NI HATARI SANA KUOTA NDOTO ZA AINA HII
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 พ.ย. 2023
- #HaleluyaTv #ProphetRolinga #OmegaMinistriesChurchofAllNations #OCOAN
Kuendelea kupata Shuhuda mbalimbali na Maneno zaidi, tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamii:-
Haleluya APP : play.google.com/store/apps/de...
Facebook : / prophetrolinga
Instagram : / prophetrolinga
TH-cam : / haleluyatv
Audiomack : audiomack.com/prophetrolinga
Mtumishi wa Mungu niombee kwangu uchawi umeletwa na anataka kuuwa kabara vijana please pray for my children Shalom
Mungu naomba niwe naelewa ndoto
MUNGU awabariki Sana ni hakika MUNGU atusaidie tuwe watu wA kuishi sawasawa na maadiri mema
Napiga matabu ya kiuchawi tote kwa maisha yangu na watoto wangu kwa jina la Yesu
Halaluya mtumishi niliwah kuota kifo kwa mtu wa karibu yangu nanikawambia nanikweri haikupita mda akafa mdgo wake niombee mtumish
Unapopewa taarifa km hyo ni ili ukatae kisitokee, unatakiwa kuifuta hyo mauti kwa Damu ya Yesu, batilisha, tangua hyo mauti kwa Damu ya Yesu...
Amen nimebarikiwa nakufundishwa nikiwa uganda kasese.
Asante baba ubarikiwe na neno la uzima nakueleza baba nazid kuimarika
Nabii ss Rollinga ni kweli nilikua naota ndoto zinatimia nikiwa mschana mama yangu alitaka kunitoa kafara nilinusurika kifo baadae akaweka majini kwa mwili yangu nimeteseka sana but throu GOD s power naskiza neno kutoka kwako
Barikiwa saana baba,nimekuelewa
Aminaa. Baba nikweli
Great message, may all my dreams and vision be fulfilled in Jesus Christ Mighty name Amen!!!!
Aminaaa barikiwa sanaa Mtumishi wa Mungu
Amina ndio baba ni kweli❤
Asante kwa ufafanuzi. Mara nyingi napuza sana ndoto. Kuanzia leo nitakuwa nafuatilia
AMEN BABA
Nimemwelewa Mtumishi
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Ndoto nipo Shule niliyosoma zaman na nipo kijijini na pia namuota baba Alisha fariki
Amen 🙏🙏🙏
Wooooiiiyeeee!!!
Asanteeee Yesu
Nahitaji baba uniombee mtt wangu Amepigwa ububu ila kuna ndoto niliota....mpaka hapa niliota ndoto hatari km 3,,,,,muombee. mtt wangu anaitwa Jaylaa anamiaka miwili na muez5
Amen naomba Mungu anifungue ktk hizi ndoto Amen
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN BABA
Mm huwa nikiota kitu lazma kitokew ata siku mbili bado😢😢😢😢 yaan kinatokea sanaaaaaaaaa saaaanaaa sanaaaa
Thank you Jesus
Amen nabariki na mafundisho omega sana niombeeni nifike kanisani Mimi Niko simanjiro manyara kijijini cha narakawo
Mtumish Mimi kiukwel Hali hiyo ninayo japo cjaokoka haijatnitoka nikiota kitu kinatokea na ñinapitia Mambo magumu sana kila nikijtahd kucmama nashndwa
❤❤ Amīnaa
Ni kweli Baba mm hapa ndoto zinizumbua sana, kuota shule ya msingi na kuota kijijini mara kwa mara.
Mwanangu noma mimi naota nipo shuleni shule ya msingi wakati wenzangu wanaandika mimi sina peni mala sina daftali
Yaani same same to me ndungu yangu
Duh yaani nyie ni kama mm hio ni ndoto ya kukurudisha nyuma kimaendeleo yaani imenichukua kama miaka 10 hv
Hiyo yamanisha hamtatoka mahali mulipo na kuendelea imba Sana ili mola afungue milango ya kusinga mbele
Aminaaa Barikiwa sanaa Mtumishi Mimi mwenyewe niliota kunamtu alikuwa ananiosha kichwani povu likatoka jeupe sanaaa kisha miguu yangu ikiwa miguu imetumbukizwa kwenye karai la maji akaniosha namiguu maana yake nini?
Ameni
Ni kweli amen amen
Kweli kabisa baba
Amen
Ameen
Mtumishi naota marakwamara nipo shuleni shule ya msingi kijijini kwetu nipo nabibizangu na walikufa siku nyingi naomba maombi
Mimi nimewaiota ndoto nimekufa
10:36
Ndio izo ndoto sio nzur niliisi ataongelea ndoto hizo halafu nioikuwa naota nipo shule au nilipokuwa naishi zaman
Hizi ndoto jamani zimenisumbua shule Kila siku
Me ndo tatazo ilo
Nimm kabisa huyo naota kila kitu navoote alivofanyiwa mwanangu niliota tangu nikiwa na mimba...
hakika niliota boyfriend wangu ameniacha nakweli aliniacha na sasa amemvisha Pete ya uchumba m2 mwingine
Pole.hakuwa mpango wa Mungu kwako