TAZAMA MANABII WALIVYO MWAGA PESA KWA MASANJA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
  • TANGAZA NASI MASANJA TV:
    SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates:
    👇 👇
    / @masanjatvgospel

ความคิดเห็น • 256

  • @jacksonpetro495
    @jacksonpetro495 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kanisa lolote ambalo kipaumbele chake sio utakatifu na kuurithi ufalme wa Mungu kama kipaumbele cha Yesu, likimbieni jamani hizi ni siku za mwisho.

  • @evodiajohn7991
    @evodiajohn7991 3 หลายเดือนก่อน +8

    Tafuta hela wacha kuhukumuhuku

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 3 หลายเดือนก่อน +14

    Kamwanamke kamevaa suruali kamebeba chombo cha sadaka hakaogopi da watu yesu anarudi kamekaa mbele ya madhabahu ila siku za mwisho hatari sana uhuru wa siku za mwisho jaman yesu atarudi naogopa sana mwe naogopa sana nikisoma.biblia na tulivo tofauti

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ha ha haaaaa! Htr sn ! Shetan n mjnja sn, hakuzuii kwenda kanisan ila anahakikisha lazima akupe kufuru yake moja ambyo kw hyo tuu anauhakika hauioni mbngu, kupiga kelele kuruka hkumpi shida, yey anachojua , ukifny mapenz yke wew n wke ht km uwe mke wa nabii km huyo hpo mbele alovalia jezeberi wearng style sjui n ya kubust matiti au ya mabega waz yy anajua. Lkn yte hy htupasw kushangaa c UMESOMA JINA LA KANISA!? HV JNA HALIATHIR TABIA/ MATENDO YA MWENY JNA HLO?

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 3 หลายเดือนก่อน

      @@chrisdeoglatias8665 na sasa hivi shetan anajua kanisa limemgundua ko analeta mawimbi mengi sana makanisan I'li kanisa likate tamaa ila atakatisha tamaa dini.sio kanisa kanisa limejengwa juu.ya mwamba.imara damu ya Yesu na loho mtakatifu yupo akiliongoza kwA kila kitu habari ya mavazi loho anasema kwA habali ya maisha loho.anasema.usiishi hivi kwA habari ya.vinywaji loho anasema usinywe.mapombe habari ya vyakula loho anasema usile.vyakula vya madhabahu ya kipepo.watu wanasema utajuaje loho anasema unakuta mtu anasema huyu jilani.kila.mwaka.anachinja.kondoo.ndio ma'ana anaweza.sikukuu.nyumbani pake ko.unajiepusha unajua.ni.mshilikina Mungu atufungue macho tuone kinachoendelea

    • @OswardalexandarbapafukeB-ty9oe
      @OswardalexandarbapafukeB-ty9oe 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hata Mimi Nashangaa sijui wanasoma biblia Gani maana amevaa suluali alafu eti amekaa mbele ya mazabahu sijui anamuwakilisha shatani maana du ajabu.

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 3 หลายเดือนก่อน

      @@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe ninachoamini ni kwamba shetani anajua kuwa Mungu.amewafunulia.watu.wake siri sasa kainua watumishi wengiwengi maajenti wake wamefungua makanisa wanalahisisha.hakuna kuwakataza watu dhambi.nikukusanya.hela makanisa ambayo yana imani anatuma maajenti wake wavae wanavotaka wanywe.wanavotaka wafanye.wanavotaka.ili.mladi.wajae.kanisani heshima madhabahuni isiwepo ila islamiki wangekili.yesu.ni.bwana mm ningehamia.msikitini ma'ana makanisani shetani amewajaza malaya.wengi sijajua.ivi.hawajui.kuwa.suluari kwA mwanamke ni ukahaba mpaka.mtu.anaimba na suluari.kabisa.Mungu.atusamehe

    • @moseshaule586
      @moseshaule586 2 หลายเดือนก่อน

      Akuogope wewe kwani ndo uliyemfia msalabani.... au wewe ni mchungaji wake? Kila mtu abaki na malezi ya babaake wa kiroho... Wewe mbona huogopi kuandika jina Yesu kwa kuanza na herufi ndogo... hujafundishwa vizuri na babaako kwa kiroho?

  • @allenmlelwa7950
    @allenmlelwa7950 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wapongo nikukosoa tu.kila kitu.tafuteni jela acheni umasikini.mtaenda jehanamu kwa kuhukumu kila kitu😂

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 2 หลายเดือนก่อน +3

    Watumishi WA mungu kwer nyinyi au mnajidanganya wenyewe

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo6479 2 หลายเดือนก่อน +11

    😂😂😂😂 Nifundishe kunyamaza ee Mungu wangu ,,acha hukumu iwe juu yako .

  • @emmanuelsumari7553
    @emmanuelsumari7553 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwakuwa kila kazi atendayo mwanadamu itapimwa kwa moto. Mungu ndiye ajuaye mtenda kazi wake, na wasio wake.

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 2 หลายเดือนก่อน +1

    Freemason wote hao

  • @NzyimanaAloys
    @NzyimanaAloys หลายเดือนก่อน

    washungagi niwambie. munafikili munapereka watu mbinguni alakini wuisho mutapata mambo hamutaweza kujua. wakristo tokeni hapo kwahayo makanisa. prophet ni yesu tu basi.

  • @costofamily4861
    @costofamily4861 หลายเดือนก่อน

    Usihukumu pasipo kuhukumiwa, Ogopa neno hili, acha kujihesabia haki imagine ww ndo ungekuwa nabii hapo

  • @mastermurundidon1431
    @mastermurundidon1431 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huwo niujinga,wanawarubuni,wanawaiba,wanawafanya mbumbumbu,hivi ninyi wa Tanzania nani kawaloga hadi stage hiyo

    • @josephkaveya4284
      @josephkaveya4284 2 หลายเดือนก่อน

      Masanja mjanja amewachezea kekundu

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ni muda sahihi sasa serikali kuanza kupata kodi kwa haya makanisa wachangie kulijenga taifa...ngoja niandae waraka nimtumie waziri wa fedha

  • @Godishereforus
    @Godishereforus 2 หลายเดือนก่อน +1

    You guys Heaven is real, so is hell, repent in 7 day, you're warned.

  • @NaimaniMndeme
    @NaimaniMndeme หลายเดือนก่อน +1

    Hizo zote zitapita lakini mwisho wake mungu ndiye atakaye hukumu kama Yuko sawa wanacho kifanya apo madhabahuni.

  • @StevenFaustine-mb7qo
    @StevenFaustine-mb7qo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mafreemason awa Amna Cha mungu walaniwe

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 3 หลายเดือนก่อน +6

    Amekosekana Mzee wa Kenya na Mzee wa Arusha Ezekiel na Jodevi

    • @mwana3887
      @mwana3887 3 หลายเดือนก่อน

      Geordavie ni royal anafuata kanuni na taratibu za kinabii nabii hawezi Kuwa Kila sehemu lazima ajichukue Kwa nidhamu na pia kutokana na uongoziwa roho wa Mungu(Mtakatifu)

    • @BeniJohn-xd3cn
      @BeniJohn-xd3cn 3 หลายเดือนก่อน

      @@mwana3887 angekuwa anafanya show ya mavazi kanisani si ushetani tena ya kike na wanapita mbele yake ata wewe pia uoni kuwa uwo ni shetani

    • @BeniJohn-xd3cn
      @BeniJohn-xd3cn 3 หลายเดือนก่อน

      @@mwana3887 ni wa Mungu gani uyo Roho Mtakatifu ni Mungu mwenyewe awezi kuruusu ujinga kama uo unajuwa Maana ya Roho Mtakatifu wewe

    • @BeniJohn-xd3cn
      @BeniJohn-xd3cn 3 หลายเดือนก่อน

      @@mwana3887 kuwa makini na kusema anaongozwa na Roho Mtakatifu tena fanya toba uombe rehema upesi Sana utapita kwe wakati ngumu kwa kumshrikisha Roho Mtakatifu kwenye ujinga na ushetani

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 2 หลายเดือนก่อน +7

    Makanisa ya waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu Freemason churches.

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 หลายเดือนก่อน

    Iwewe isiwe mtaripa garamaya Roho zawatu mnazopoteza

  • @JOHAIVENY
    @JOHAIVENY 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wamevaa ngozi ya kondoo kmbe chui mi cijuhi ila yeye tu aliye juu

  • @MarkoWMichael
    @MarkoWMichael 3 หลายเดือนก่อน +7

    Haahahhahha jamaa anaesambZa maiki goti mpaka chini 😂😂

    • @solomondanny-1507
      @solomondanny-1507 2 หลายเดือนก่อน

      Utumwa huo. YESU hakuwa hivyo.

    • @agnesdeogratius7018
      @agnesdeogratius7018 หลายเดือนก่อน

      Na uanaume kupig goti apo wanaoneshana ufahari tu naizo ela wanazoahid ili waumin wanogewe nao wachange kumbe wanatapeliwa ee mungu tusaidie

  • @JohnLusaya-n2j
    @JohnLusaya-n2j 2 หลายเดือนก่อน

    Naona masanja na yeye ni mwana chama Kama kiboko ya wa chawi muliona wapi giza na nulu vinachangamana

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 3 หลายเดือนก่อน +43

    HAKUNA MANABII TANZANIA BALI TUNAWAWAKILISHI WA SHETANI KUELEKEZA WATU KWENDA KUZIMU

    • @SGIT-jd6fg
      @SGIT-jd6fg 3 หลายเดือนก่อน +10

      Unajuaje kama hawapo mpendwa usipingane na Neno la Mungu kama wauongo wapo jua hata mmoja wa kweli anaweza kuwepo

    • @CharlesMakasi-jp2hs
      @CharlesMakasi-jp2hs 3 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@SGIT-jd6fgsahh kabsa watu wanashindwa kuelewa sana

    • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
      @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 3 หลายเดือนก่อน

      Maandiko ndio yanayo. thibitsha kuwa kutakuwa na manabii soma kitabu Cha ufunuo yey sikawambia yey ni Alfa na omega mwanzo na mwisho ?​@@SGIT-jd6fg

    • @YustoMlay-cv4zb
      @YustoMlay-cv4zb 3 หลายเดือนก่อน +2

      Acha tu Mungu atuokoe na kuzimu

    • @JeffJoeNya
      @JeffJoeNya 3 หลายเดือนก่อน +3

      Sawa MuNGU

  • @erodiasmallya2869
    @erodiasmallya2869 3 หลายเดือนก่อน +10

    Nyakati Za mwisho tutaona mengi. Manabii wa uongo wameongezeka na wanazidi kuongezeka😭

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 2 หลายเดือนก่อน

      Ukiwepo na ww mkristo wa uongo, fool

  • @elizabethkisogole34
    @elizabethkisogole34 3 หลายเดือนก่อน +4

    Nilichogundua Masanja umejuankucheza na fahamu zao Kwa nafasi zao kuwacgomoa pesa

  • @AbsalomMwamaloba
    @AbsalomMwamaloba 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kinacho sikitisha TRA wamekomaa na maduka kudai mapato na kupandisha kodi ,ila matapeli kama Hawa wanaachwa huru 😢 . Endeleeni na uganga wenu huo Atakuja mwana wa Adamu kumlipa Kila mtu .

  • @WillySonny-u1k
    @WillySonny-u1k 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tuweni macho sio kila atajae jina la bwana anamwakilisha bwana kweli wengi ni wachawi

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc 3 หลายเดือนก่อน +3

    Duuh, kweli tutafute hela coz majungu cyo mtaji

  • @gracepaul5901
    @gracepaul5901 2 หลายเดือนก่อน

    I don't trust these dominations now days

  • @EmmanuelAlberto-f3g
    @EmmanuelAlberto-f3g 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nyakati.hizi.nizamwisho.tujihazari.namanabii.wauongo.ndo.hawa

  • @YohanaWanda-v7d
    @YohanaWanda-v7d 3 หลายเดือนก่อน +6

    Ivi kweli na ninyi ni kanisa la Mungu hilo ni kundi la wasanii Mungu hakai mahali pa jins hiyo

    • @RachelBahahazo
      @RachelBahahazo 3 หลายเดือนก่อน

      Anakaa sehemu gani?

    • @RajabuHayyan
      @RajabuHayyan 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅​@@RachelBahahazo

    • @RajabuHayyan
      @RajabuHayyan 3 หลายเดือนก่อน

      Anakaa wap😅

    • @peterrulagora7403
      @peterrulagora7403 3 หลายเดือนก่อน

      Ndio roho mtakatifu hayupo hapo labda nguvu za majini

    • @StephenZangira
      @StephenZangira 2 หลายเดือนก่อน

      Eh Mungu wa Abraham tunusuru🙏🏼

  • @ThomasMgaya-y1r
    @ThomasMgaya-y1r 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi Napitatunamabegiyangu

  • @ChazJulias
    @ChazJulias 29 วันที่ผ่านมา

    wachuna waumini hao😂😂😂

  • @ombenijailos3149
    @ombenijailos3149 2 หลายเดือนก่อน

    NA SIKU HIO WANAWAKE SABA WATAMSHIKA MTU MUME MMOJA NA KUSEMA TUTAKULA CHAKULA CHETU NA KUVAA NGUO ZETU WENYEWE LAKINI TUITWE TU KWA JINA LAKO UTUONDOLEE HII AIBU isaya 4 ..1 anaejua tafsiri yake pls njoo

  • @faridymtobozi7086
    @faridymtobozi7086 2 หลายเดือนก่อน

    Apo ni kibaha ua mail moja?😮

  • @daudiazizi8495
    @daudiazizi8495 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nanyie si muigize muwe wa uongo mpate hela,watazidi Kubarikiwa.achen kuaonea wvu

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale 2 หลายเดือนก่อน

      acha ujinga WEWE, wanawaonea wivu kwa lipi?! hayo maigizo?!!

  • @siaveramanga289
    @siaveramanga289 2 หลายเดือนก่อน +2

    I see my prophet Rolinga,God bless you all

  • @kingmsanya3524
    @kingmsanya3524 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naona prophetic Roringa anasema leo ni meingia wapi hapa.😂

  • @WTC492
    @WTC492 2 หลายเดือนก่อน +3

    We masanja unaenda lesi usingekimbilia kwenye uaskofu au kuwa mchungaji au kufungua kanisa bado una uchanga mwingi na mizaha. Ungekubalii kukaa chini ya maongozi ya Mungu kwa muda na watumishi waliokaa vizuri kama wakina Mwakasege na Mbarikiwa mpaka upate ukomavu.

    • @PeterMahona-zd3oz
      @PeterMahona-zd3oz 2 หลายเดือนก่อน

      hatumuhuku ila anapoelekea alipofikia tumwechie. MUNGU

    • @focusernest5610
      @focusernest5610 2 หลายเดือนก่อน

      Huyu anawaza pesa,,,kabla alikuwa akisali jangwani kwa mchungaj mwakiborwa TAG,,,wanaanzisha huduma nje ya makanisa walikozaliwa ili wapate pesa

    • @joicejoshua3258
      @joicejoshua3258 25 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano 2 หลายเดือนก่อน

    Mwisho wa manabii wa UONGO umefika, Mungu hakai kwenye majengo, jifunze kwa mjumbe wa agano duniani uingie kwenye ufalme uepukane na dhiki kuu inayoujilia ulimwengu wote fuatilia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo.

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 3 หลายเดือนก่อน +9

    Eti manabii😂😂,hao ni watabiri na waganga kwa mgongo wa jina la Yesu

    • @agnesdeogratius7018
      @agnesdeogratius7018 หลายเดือนก่อน

      Kabisa kbisa hawana ata aibu

    • @agnesdeogratius7018
      @agnesdeogratius7018 หลายเดือนก่อน

      Wanaendelea kujenga milango ya kuingilia freemason

  • @BartolomeuHenrique-mx1fn
    @BartolomeuHenrique-mx1fn 3 หลายเดือนก่อน +1

    Duh massanja Nini????umepotea

  • @Godishereforus
    @Godishereforus 2 หลายเดือนก่อน +1

    Glory be to God.
    Mtubu ndani ya siku 7, Mungu adhiakiwi, repentance and accept Jesus Christ in 7 days. Don't say you were not warned.

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 3 หลายเดือนก่อน +5

    Uganga mtupu wapinga Kristo Yesu wote

    • @RehemaMtono
      @RehemaMtono 3 หลายเดือนก่อน +1

      Na zumaridi

    • @BeniJohn-xd3cn
      @BeniJohn-xd3cn 3 หลายเดือนก่อน

      @@RehemaMtono ukweli mtupu Mungu ktk Kristo Yesu akubariki kwa kujuwa kweli

    • @RehemaMtono
      @RehemaMtono 3 หลายเดือนก่อน

      @@BeniJohn-xd3cn manabii wa kuzimu hao woote

    • @BeniJohn-xd3cn
      @BeniJohn-xd3cn 3 หลายเดือนก่อน

      @@RehemaMtono Asante Sana ndungu yangu ktk Kristo Yesu ubarikiwe Sana kwa kujuwa kweli na kweli imekuweka uru🙏🙏

    • @prophetDanielyMwanisenga-bk8cc
      @prophetDanielyMwanisenga-bk8cc 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe unashingap

  • @jumakihiyo
    @jumakihiyo 3 หลายเดือนก่อน +6

    Genge la wahuni tu hilo

  • @deborahmchona5584
    @deborahmchona5584 3 หลายเดือนก่อน +9

    Nimemwona sijui wanamuita kiboko ya wachawi jmni 😭😭😭 Mungu tusaidie

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 3 หลายเดือนก่อน +2

      Na atusaidi kwlkwel

    • @HappyFlowers-ee8ru
      @HappyFlowers-ee8ru 2 หลายเดือนก่อน

      Mmmh kweli basi nmehakikisha kuwa masanja siooooo kabisaaaa maana Giza na nuru havichangamani kiboko ya wachawi sio kabisaaa maana alisemaga hata utakatifu sio kazi yake kufundusha Wala muda wa kukemea dhambi Hana

    • @EZRA-b1c
      @EZRA-b1c 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@HappyFlowers-ee8ruYESU KRISTO A TUSAIDIE WAJA ZAKE

    • @K-go1qj
      @K-go1qj 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@HappyFlowers-ee8ruwote wanajoka hapo

  • @GraceOtieno-vo3sj
    @GraceOtieno-vo3sj 2 หลายเดือนก่อน

    Usi waone hao......Wana hubiriiii........ukadhani wote ni wa ukweli.....usisikie wote waotabirii ukadhani wote ni wa ukweli

  • @HappyWilaganu
    @HappyWilaganu หลายเดือนก่อน

    Naona wawakilishi wa yusufa mnajitowa madhabahuni mwa shetani sisi tulie wa mungu hamtuwezi mungu tunae muabudu ni wakwer ila nyie fanyeni hivo ila siku yenu ipo mtowa hukumu yupo mungu atulehemu😮😮😮

  • @maryinyas9320
    @maryinyas9320 2 หลายเดือนก่อน

    Hakika Timothy alisema hata yatatokea, tunayaona live.... Roho zidanganyazo.....

  • @JustinMkumbwa
    @JustinMkumbwa 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wakiristo tuwen makinisana hiimizaha katka Kaz ya MUNGu mh najua watu wa mungu wapo tuingie kwenye maombi shetan anapambana kulivunja kabisa la bwana

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 3 หลายเดือนก่อน

      N kwl unajua sasahv shetan katuletea maisha ya ubz na uviv, wat hatusomi Neno, hvyo adui hutumia kutojua/ ujnga wetu kutnda kaz yke kw kivuli cha Mungu. Tumesahau kuwa WALA UPUUZI au utani au midhaha, kamwe hvtakiw kusikika wala kufnyw na mtumsh wa kwl wa Mungu ila wale wa upnde wa pili aaah ht kukmbia madhabhun sio ttzo au kuleta commed sio ttzo!

    • @NizerMgombele-xn5hb
      @NizerMgombele-xn5hb 3 หลายเดือนก่อน

      Kila manabii ni wa uongo hvyo hakuna wachungaji wa uongo huu ni upumbavu mjue mungu ndo maana liko neno linasema ukishakuwa na roho mtakatifu utazipima roho kujua zimetoka wapi usilopokelopoke tu , mara nyakati za mwisho unazijua hzo nyakati na maana yake ,shauri jambo unalofahamu usilalamike 2 kama hujui kitu jifunze kumjua mungu utapotosha watu mpende mungu na uwe mwaminifu kwake utabarikiwa sana

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 2 หลายเดือนก่อน

      @@NizerMgombele-xn5hb Kwan shida iko wp? Usemalo nisawa ila sjajua kwa vdeo hii uko upnde upi? Au wewe unafikir manabii wa uongo mpk waweje?

  • @jumazamoyoni3745
    @jumazamoyoni3745 2 หลายเดือนก่อน

    Usimnyooshee kidore. Mtu mana. Vingine vyarundi kwako acheni kukosoa azisheni nanyinyi

  • @monikamasasi7582
    @monikamasasi7582 2 หลายเดือนก่อน

    Kila kitu mnakosoa tu jamani watanzania tumezidi,mwamposa sio,mbarikiwa sio kakobe sio,masanja sio,kiboko wa wachawi sio,tumechoka sasa susi tumeamua kuamini hivyo hivyo

  • @nicholausrwezaura1971
    @nicholausrwezaura1971 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu

  • @MlyakadoHassan
    @MlyakadoHassan 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani pesa nikitu kingine wewe fanya yako sikiliza tuu

  • @JustinKituyamaana-og3bg
    @JustinKituyamaana-og3bg 2 หลายเดือนก่อน +1

    Napita sisemi kitu.😅😅😅

  • @ednakawau9842
    @ednakawau9842 หลายเดือนก่อน

    😂😅😂😂

  • @jeraldjensen6504
    @jeraldjensen6504 2 หลายเดือนก่อน

    Kazi ya MUNGU isonge mbele , wenye hela ndo wanaoijenga nyumba ya Bwana tusio na hela kazi yetu ni kukoment😂😂😂😂

  • @ElizabethMafie-m1g
    @ElizabethMafie-m1g หลายเดือนก่อน

    Yaaay yaan sjaelewa mwanaume unapiga magoti au ni mm sjamuangalia vizur ooh ni siku za mwisho zijaribuni hizo roho 😂

  • @tumsifumabula7381
    @tumsifumabula7381 2 หลายเดือนก่อน

    Acha Mungu achambue anayeokoka ni mtu sio watu na hukumu ni ya Mungu ukikosa majukumu kazi ni kutafuta yupi mbaya yupi mwema mwachie aonaye sirini

  • @subirawasia5180
    @subirawasia5180 หลายเดือนก่อน

    Mungu naomba nifundishe kukaa kimya madhabau za kweli wazijua ww

  • @shantiMickel
    @shantiMickel หลายเดือนก่อน

    Musaidia mayatima na wengine muwanunulia vyakula 😢😢😢😅😅😅

  • @MlyakadoHassan
    @MlyakadoHassan 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani hebu tujiulize yakwetu

  • @meckngenzi1690
    @meckngenzi1690 2 หลายเดือนก่อน

    Sihukumu ila biblia inasema kwenye mithali 18-24
    Ajifanyiaye marafiki wengi ni kwa uangamivu wake yeye mwenyewe

  • @StevenMwannega
    @StevenMwannega 2 หลายเดือนก่อน

    Mliambiwa mtawatambua kwa matendo yao,nashukur kwa sabab nimekumbukalisem hiz nyakati zitafik inadhihilisha izo nyakat ndio hiz sasa,,,,.

  • @FelicianiShine
    @FelicianiShine 2 หลายเดือนก่อน

    Mwamposa yupo wapi, hananja yupo wapi, mwakisapile Yuko wapi hapo,

  • @teyllalugazia
    @teyllalugazia 2 หลายเดือนก่อน

    Acha tu nionekane nahukumu jamani ila hapo ni uhuniuhuni tu, watu wa Mungu tulieni kwenyeadhehebu yenu

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale 2 หลายเดือนก่อน

    NI AIBU HICHO KINACHOTENDEKA! NI HERI WANAOJITOKEZA WAZ KWA WAGANGA KULIKO HAYO MAIGIZO!

  • @godfreysanziki1461
    @godfreysanziki1461 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ulijua kuwakamata ma bishop

  • @BYAMUNGUGERLASMASHAURI
    @BYAMUNGUGERLASMASHAURI 2 หลายเดือนก่อน

    Umoja wa manabii wa uongo kwa kutamani kuwavuta watu kwa shetani. Wote hawa sio watumishi wa kweli basisa kabisa.

  • @pumarice2710
    @pumarice2710 3 หลายเดือนก่อน +1

    Eeh, Mwenyezi Mungu tusaidie.

  • @paulezekia1041
    @paulezekia1041 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wwe hunahakiri unampagia mungu filimasoni hawanauwezo wakumzidi mungu acha kanisa lijegwe nawewe update kuokolewa nakunjua mtendo makuu yakilisto

    • @AdamusonKomba
      @AdamusonKomba หลายเดือนก่อน

      Madevo ship wote umeona andiko loote happ

    • @AdamusonKomba
      @AdamusonKomba หลายเดือนก่อน

      Mashetani wakubwaaaaaa wote wadogozake na popu wavatikani tuwaombeee Baazi yahoo wasichomwe watubu laki inikazi kutubu maanauliapa

  • @RitaLameck
    @RitaLameck 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani mwenzetu mpo ukweli? Mbele ya kiti cha enzi iko kazi siku ile ya mwisho.

  • @ashasalim612
    @ashasalim612 3 หลายเดือนก่อน

    Kabla hujambeza mwenzako au kumsema vibaya jichunguze kwanza je wew ukosahihi kwakila kitu MUNGU atusamehe

  • @WTC492
    @WTC492 2 หลายเดือนก่อน

    Masanja kuna watu ukianza kushirikiana nao lazima ubebebe roho za upotofu.

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hao wanakuonyesha ukomavu

  • @OswardSanga-ep5js
    @OswardSanga-ep5js 2 หลายเดือนก่อน

    Wote hawana hela hapo ndiomaana wanaombaomba angalau yule jamaa wa Arusha Geo Dev

  • @RehemaRehemaJosephbaraka
    @RehemaRehemaJosephbaraka 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu awasaidie waache kufanya kazi za shetani wamu lidie yesu kristo atawa samehe

  • @mariapendael626
    @mariapendael626 2 หลายเดือนก่อน

    Eee mungu wangu maanget sasa wako hadharani tena wanatumia jina la yesu 😭😭huyo ni yesu gani hata hivyo? Labda yesu wa yezeberi laana na iwe juu yao

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 หลายเดือนก่อน

    MUNGU SIYO KITU CHA KUFANYIWA VICHEKESHO.

  • @RobertMolell
    @RobertMolell 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ndg zangu tuchunge midomo yetu kwani itaja tugharimu siku 1,wawe wa ukweli au wauongo watajua wao na aliyewaumba.

  • @mbonicosmas5984
    @mbonicosmas5984 2 หลายเดือนก่อน

    DRESSING CODE.
    they put on red, black or white golden shinning garments as working uniform. it is never a coincidence. each color represents a spiritual rank that one has got, red being the highest.

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ila masanja pia jifunze maana umekuwa ukiwashambulia sana manabii

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325 3 หลายเดือนก่อน

    😮😮😮masanja achaga utani ujue wewe kwa sasa ni mchunga badilika basi

  • @agnesspeter6416
    @agnesspeter6416 2 หลายเดือนก่อน +2

    Masanja apunguze mzaha madhabahuni kazi anayoifanya ni nzuriii mnooo Mungu ambariki saana

    • @selegioelias9076
      @selegioelias9076 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe ndo unaona madhabahuni wenzio wako kwa kazi kupiga pes

    • @deviselisaria5488
      @deviselisaria5488 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kazi gan ukimpgia simu hana la kujibu

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 หลายเดือนก่อน

      Kazi gani
      Yaani watu wanachezewa akili

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati 3 หลายเดือนก่อน +2

    Masanja naomba milion mbili

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 3 หลายเดือนก่อน

      Ha ha haaaaa haaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa ha ha haaaaa!!! Nawew kusanya manabii!!!!

  • @FlorensiaMkombozi-et1ts
    @FlorensiaMkombozi-et1ts 2 หลายเดือนก่อน

    Manabii tunao ila niwachache waache kutumia wanyama watu kujinufaisha wao wanasema wanyama mavi Mungu amechoshwa na matedo yao madhabahu wanazoabudia Yesu ana kwenda kuziwasha moto niwambia ukweli zitawaka moto kwa Jina la Yesu

  • @FamtamAli-vl2wx
    @FamtamAli-vl2wx 2 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu wangu

  • @prchMichael
    @prchMichael 2 หลายเดือนก่อน

    hizi ni ajenda za mpinga kristo kabisa

  • @MaryDanda-j5q
    @MaryDanda-j5q 3 หลายเดือนก่อน

    Usihukum usije ukahukumiwa acha magugu na ngano vikue pamoja

  • @ElizaphanKamando
    @ElizaphanKamando 2 หลายเดือนก่อน

    Hii pesa bhana duuh hamna utumishi hapo ni usanii tu

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 3 หลายเดือนก่อน

    Chaaaa uyana chu ngachoooka
    Kama Mungu yupo basi atatenda yenye haki maana yy ndo anaona yaliyo sirini

  • @RastaSuma
    @RastaSuma 2 หลายเดือนก่อน

    Akili kumkichwa nyuma ya pazia.

  • @TheresiaMwetitu
    @TheresiaMwetitu 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu tusamehe hatujui tuyatendayo

  • @Madsan-q7i
    @Madsan-q7i 2 หลายเดือนก่อน

    Tumtafute Mungu, maadamu anapatikana sarakasi za madhabahuni nyakat za leo zmekuwa nying jaman Yesu Kristo amevunjiwa heshima vha kutosha so Mungu alisaidie kanisa.

  • @giftmed1a332
    @giftmed1a332 2 หลายเดือนก่อน

    I see my prophet kiboko za wachawi!! Say wooooyooo prophesize paapaa!!

  • @galusikiliani6228
    @galusikiliani6228 2 หลายเดือนก่อน

    Swali langu hawo mana ii wote wameowa

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wasio na hela utaona comment zao tu😂😂😂 jamani hela inaondoa hasira

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 3 หลายเดือนก่อน

      @@warakawayohana2896 usisahau hela inaondoa akili wengi.wenye.hela.kama wamepata.hela.haraka wanakuwa.hawana akili.ko.kama hela.inaondoa.hasira b yake.huondoa.ufahamu.na.akili.asilimia wengi wenye hela hawafikilii.ndio ma'ana wengine wanakufa.kaa mbwa

    • @MasanjaTVgospel
      @MasanjaTVgospel  3 หลายเดือนก่อน

      😆😆😆

    • @peterrulagora7403
      @peterrulagora7403 3 หลายเดือนก่อน

      Nani kakwambia Kila anayechangia mada hana pesa?

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 3 หลายเดือนก่อน

      @@peterrulagora7403 hata wewe Huna?😂😂😂

  • @julianabenard7840
    @julianabenard7840 3 หลายเดือนก่อน

    wanamvuta huyu masanja atakuja kujuta... so utumishi sio mchezo

  • @Namaize-lc8sh
    @Namaize-lc8sh 2 หลายเดือนก่อน

    Mmmh kama ni kweli basi Mungu akutangulie

  • @ClaudineHARERIMANA-d8y
    @ClaudineHARERIMANA-d8y 3 หลายเดือนก่อน

    Hahaa izo makanisa jamani niku lomba lomba mavazi na pesa shida😢😂😂

  • @neemamwanga407
    @neemamwanga407 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani wanaume nao wanapiga magoti😂😂

    • @agnesdeogratius7018
      @agnesdeogratius7018 หลายเดือนก่อน

      Mimi mwenyew sijawai ona mwanaume anapiga magoti tena anampigia mwanaume mwenzie