Kamwanamke kamevaa suruali kamebeba chombo cha sadaka hakaogopi da watu yesu anarudi kamekaa mbele ya madhabahu ila siku za mwisho hatari sana uhuru wa siku za mwisho jaman yesu atarudi naogopa sana mwe naogopa sana nikisoma.biblia na tulivo tofauti
Ha ha haaaaa! Htr sn ! Shetan n mjnja sn, hakuzuii kwenda kanisan ila anahakikisha lazima akupe kufuru yake moja ambyo kw hyo tuu anauhakika hauioni mbngu, kupiga kelele kuruka hkumpi shida, yey anachojua , ukifny mapenz yke wew n wke ht km uwe mke wa nabii km huyo hpo mbele alovalia jezeberi wearng style sjui n ya kubust matiti au ya mabega waz yy anajua. Lkn yte hy htupasw kushangaa c UMESOMA JINA LA KANISA!? HV JNA HALIATHIR TABIA/ MATENDO YA MWENY JNA HLO?
@@chrisdeoglatias8665 na sasa hivi shetan anajua kanisa limemgundua ko analeta mawimbi mengi sana makanisan I'li kanisa likate tamaa ila atakatisha tamaa dini.sio kanisa kanisa limejengwa juu.ya mwamba.imara damu ya Yesu na loho mtakatifu yupo akiliongoza kwA kila kitu habari ya mavazi loho anasema kwA habali ya maisha loho.anasema.usiishi hivi kwA habari ya.vinywaji loho anasema usinywe.mapombe habari ya vyakula loho anasema usile.vyakula vya madhabahu ya kipepo.watu wanasema utajuaje loho anasema unakuta mtu anasema huyu jilani.kila.mwaka.anachinja.kondoo.ndio ma'ana anaweza.sikukuu.nyumbani pake ko.unajiepusha unajua.ni.mshilikina Mungu atufungue macho tuone kinachoendelea
@@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe ninachoamini ni kwamba shetani anajua kuwa Mungu.amewafunulia.watu.wake siri sasa kainua watumishi wengiwengi maajenti wake wamefungua makanisa wanalahisisha.hakuna kuwakataza watu dhambi.nikukusanya.hela makanisa ambayo yana imani anatuma maajenti wake wavae wanavotaka wanywe.wanavotaka wafanye.wanavotaka.ili.mladi.wajae.kanisani heshima madhabahuni isiwepo ila islamiki wangekili.yesu.ni.bwana mm ningehamia.msikitini ma'ana makanisani shetani amewajaza malaya.wengi sijajua.ivi.hawajui.kuwa.suluari kwA mwanamke ni ukahaba mpaka.mtu.anaimba na suluari.kabisa.Mungu.atusamehe
Akuogope wewe kwani ndo uliyemfia msalabani.... au wewe ni mchungaji wake? Kila mtu abaki na malezi ya babaake wa kiroho... Wewe mbona huogopi kuandika jina Yesu kwa kuanza na herufi ndogo... hujafundishwa vizuri na babaako kwa kiroho?
washungagi niwambie. munafikili munapereka watu mbinguni alakini wuisho mutapata mambo hamutaweza kujua. wakristo tokeni hapo kwahayo makanisa. prophet ni yesu tu basi.
Geordavie ni royal anafuata kanuni na taratibu za kinabii nabii hawezi Kuwa Kila sehemu lazima ajichukue Kwa nidhamu na pia kutokana na uongoziwa roho wa Mungu(Mtakatifu)
@@mwana3887 kuwa makini na kusema anaongozwa na Roho Mtakatifu tena fanya toba uombe rehema upesi Sana utapita kwe wakati ngumu kwa kumshrikisha Roho Mtakatifu kwenye ujinga na ushetani
Kinacho sikitisha TRA wamekomaa na maduka kudai mapato na kupandisha kodi ,ila matapeli kama Hawa wanaachwa huru 😢 . Endeleeni na uganga wenu huo Atakuja mwana wa Adamu kumlipa Kila mtu .
NA SIKU HIO WANAWAKE SABA WATAMSHIKA MTU MUME MMOJA NA KUSEMA TUTAKULA CHAKULA CHETU NA KUVAA NGUO ZETU WENYEWE LAKINI TUITWE TU KWA JINA LAKO UTUONDOLEE HII AIBU isaya 4 ..1 anaejua tafsiri yake pls njoo
We masanja unaenda lesi usingekimbilia kwenye uaskofu au kuwa mchungaji au kufungua kanisa bado una uchanga mwingi na mizaha. Ungekubalii kukaa chini ya maongozi ya Mungu kwa muda na watumishi waliokaa vizuri kama wakina Mwakasege na Mbarikiwa mpaka upate ukomavu.
Mwisho wa manabii wa UONGO umefika, Mungu hakai kwenye majengo, jifunze kwa mjumbe wa agano duniani uingie kwenye ufalme uepukane na dhiki kuu inayoujilia ulimwengu wote fuatilia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo.
Mmmh kweli basi nmehakikisha kuwa masanja siooooo kabisaaaa maana Giza na nuru havichangamani kiboko ya wachawi sio kabisaaa maana alisemaga hata utakatifu sio kazi yake kufundusha Wala muda wa kukemea dhambi Hana
Naona wawakilishi wa yusufa mnajitowa madhabahuni mwa shetani sisi tulie wa mungu hamtuwezi mungu tunae muabudu ni wakwer ila nyie fanyeni hivo ila siku yenu ipo mtowa hukumu yupo mungu atulehemu😮😮😮
N kwl unajua sasahv shetan katuletea maisha ya ubz na uviv, wat hatusomi Neno, hvyo adui hutumia kutojua/ ujnga wetu kutnda kaz yke kw kivuli cha Mungu. Tumesahau kuwa WALA UPUUZI au utani au midhaha, kamwe hvtakiw kusikika wala kufnyw na mtumsh wa kwl wa Mungu ila wale wa upnde wa pili aaah ht kukmbia madhabhun sio ttzo au kuleta commed sio ttzo!
Kila manabii ni wa uongo hvyo hakuna wachungaji wa uongo huu ni upumbavu mjue mungu ndo maana liko neno linasema ukishakuwa na roho mtakatifu utazipima roho kujua zimetoka wapi usilopokelopoke tu , mara nyakati za mwisho unazijua hzo nyakati na maana yake ,shauri jambo unalofahamu usilalamike 2 kama hujui kitu jifunze kumjua mungu utapotosha watu mpende mungu na uwe mwaminifu kwake utabarikiwa sana
Kila kitu mnakosoa tu jamani watanzania tumezidi,mwamposa sio,mbarikiwa sio kakobe sio,masanja sio,kiboko wa wachawi sio,tumechoka sasa susi tumeamua kuamini hivyo hivyo
DRESSING CODE. they put on red, black or white golden shinning garments as working uniform. it is never a coincidence. each color represents a spiritual rank that one has got, red being the highest.
Manabii tunao ila niwachache waache kutumia wanyama watu kujinufaisha wao wanasema wanyama mavi Mungu amechoshwa na matedo yao madhabahu wanazoabudia Yesu ana kwenda kuziwasha moto niwambia ukweli zitawaka moto kwa Jina la Yesu
Tumtafute Mungu, maadamu anapatikana sarakasi za madhabahuni nyakat za leo zmekuwa nying jaman Yesu Kristo amevunjiwa heshima vha kutosha so Mungu alisaidie kanisa.
@@warakawayohana2896 usisahau hela inaondoa akili wengi.wenye.hela.kama wamepata.hela.haraka wanakuwa.hawana akili.ko.kama hela.inaondoa.hasira b yake.huondoa.ufahamu.na.akili.asilimia wengi wenye hela hawafikilii.ndio ma'ana wengine wanakufa.kaa mbwa
Kanisa lolote ambalo kipaumbele chake sio utakatifu na kuurithi ufalme wa Mungu kama kipaumbele cha Yesu, likimbieni jamani hizi ni siku za mwisho.
Tafuta hela wacha kuhukumuhuku
Kamwanamke kamevaa suruali kamebeba chombo cha sadaka hakaogopi da watu yesu anarudi kamekaa mbele ya madhabahu ila siku za mwisho hatari sana uhuru wa siku za mwisho jaman yesu atarudi naogopa sana mwe naogopa sana nikisoma.biblia na tulivo tofauti
Ha ha haaaaa! Htr sn ! Shetan n mjnja sn, hakuzuii kwenda kanisan ila anahakikisha lazima akupe kufuru yake moja ambyo kw hyo tuu anauhakika hauioni mbngu, kupiga kelele kuruka hkumpi shida, yey anachojua , ukifny mapenz yke wew n wke ht km uwe mke wa nabii km huyo hpo mbele alovalia jezeberi wearng style sjui n ya kubust matiti au ya mabega waz yy anajua. Lkn yte hy htupasw kushangaa c UMESOMA JINA LA KANISA!? HV JNA HALIATHIR TABIA/ MATENDO YA MWENY JNA HLO?
@@chrisdeoglatias8665 na sasa hivi shetan anajua kanisa limemgundua ko analeta mawimbi mengi sana makanisan I'li kanisa likate tamaa ila atakatisha tamaa dini.sio kanisa kanisa limejengwa juu.ya mwamba.imara damu ya Yesu na loho mtakatifu yupo akiliongoza kwA kila kitu habari ya mavazi loho anasema kwA habali ya maisha loho.anasema.usiishi hivi kwA habari ya.vinywaji loho anasema usinywe.mapombe habari ya vyakula loho anasema usile.vyakula vya madhabahu ya kipepo.watu wanasema utajuaje loho anasema unakuta mtu anasema huyu jilani.kila.mwaka.anachinja.kondoo.ndio ma'ana anaweza.sikukuu.nyumbani pake ko.unajiepusha unajua.ni.mshilikina Mungu atufungue macho tuone kinachoendelea
Hata Mimi Nashangaa sijui wanasoma biblia Gani maana amevaa suluali alafu eti amekaa mbele ya mazabahu sijui anamuwakilisha shatani maana du ajabu.
@@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe ninachoamini ni kwamba shetani anajua kuwa Mungu.amewafunulia.watu.wake siri sasa kainua watumishi wengiwengi maajenti wake wamefungua makanisa wanalahisisha.hakuna kuwakataza watu dhambi.nikukusanya.hela makanisa ambayo yana imani anatuma maajenti wake wavae wanavotaka wanywe.wanavotaka wafanye.wanavotaka.ili.mladi.wajae.kanisani heshima madhabahuni isiwepo ila islamiki wangekili.yesu.ni.bwana mm ningehamia.msikitini ma'ana makanisani shetani amewajaza malaya.wengi sijajua.ivi.hawajui.kuwa.suluari kwA mwanamke ni ukahaba mpaka.mtu.anaimba na suluari.kabisa.Mungu.atusamehe
Akuogope wewe kwani ndo uliyemfia msalabani.... au wewe ni mchungaji wake? Kila mtu abaki na malezi ya babaake wa kiroho... Wewe mbona huogopi kuandika jina Yesu kwa kuanza na herufi ndogo... hujafundishwa vizuri na babaako kwa kiroho?
Wapongo nikukosoa tu.kila kitu.tafuteni jela acheni umasikini.mtaenda jehanamu kwa kuhukumu kila kitu😂
Watumishi WA mungu kwer nyinyi au mnajidanganya wenyewe
😂😂😂😂 Nifundishe kunyamaza ee Mungu wangu ,,acha hukumu iwe juu yako .
Kwakuwa kila kazi atendayo mwanadamu itapimwa kwa moto. Mungu ndiye ajuaye mtenda kazi wake, na wasio wake.
Freemason wote hao
washungagi niwambie. munafikili munapereka watu mbinguni alakini wuisho mutapata mambo hamutaweza kujua. wakristo tokeni hapo kwahayo makanisa. prophet ni yesu tu basi.
Usihukumu pasipo kuhukumiwa, Ogopa neno hili, acha kujihesabia haki imagine ww ndo ungekuwa nabii hapo
Huwo niujinga,wanawarubuni,wanawaiba,wanawafanya mbumbumbu,hivi ninyi wa Tanzania nani kawaloga hadi stage hiyo
Masanja mjanja amewachezea kekundu
Ni muda sahihi sasa serikali kuanza kupata kodi kwa haya makanisa wachangie kulijenga taifa...ngoja niandae waraka nimtumie waziri wa fedha
You guys Heaven is real, so is hell, repent in 7 day, you're warned.
Hizo zote zitapita lakini mwisho wake mungu ndiye atakaye hukumu kama Yuko sawa wanacho kifanya apo madhabahuni.
Mafreemason awa Amna Cha mungu walaniwe
Amekosekana Mzee wa Kenya na Mzee wa Arusha Ezekiel na Jodevi
Geordavie ni royal anafuata kanuni na taratibu za kinabii nabii hawezi Kuwa Kila sehemu lazima ajichukue Kwa nidhamu na pia kutokana na uongoziwa roho wa Mungu(Mtakatifu)
@@mwana3887 angekuwa anafanya show ya mavazi kanisani si ushetani tena ya kike na wanapita mbele yake ata wewe pia uoni kuwa uwo ni shetani
@@mwana3887 ni wa Mungu gani uyo Roho Mtakatifu ni Mungu mwenyewe awezi kuruusu ujinga kama uo unajuwa Maana ya Roho Mtakatifu wewe
@@mwana3887 kuwa makini na kusema anaongozwa na Roho Mtakatifu tena fanya toba uombe rehema upesi Sana utapita kwe wakati ngumu kwa kumshrikisha Roho Mtakatifu kwenye ujinga na ushetani
Makanisa ya waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu Freemason churches.
Iwewe isiwe mtaripa garamaya Roho zawatu mnazopoteza
Wamevaa ngozi ya kondoo kmbe chui mi cijuhi ila yeye tu aliye juu
Haahahhahha jamaa anaesambZa maiki goti mpaka chini 😂😂
Utumwa huo. YESU hakuwa hivyo.
Na uanaume kupig goti apo wanaoneshana ufahari tu naizo ela wanazoahid ili waumin wanogewe nao wachange kumbe wanatapeliwa ee mungu tusaidie
Naona masanja na yeye ni mwana chama Kama kiboko ya wa chawi muliona wapi giza na nulu vinachangamana
HAKUNA MANABII TANZANIA BALI TUNAWAWAKILISHI WA SHETANI KUELEKEZA WATU KWENDA KUZIMU
Unajuaje kama hawapo mpendwa usipingane na Neno la Mungu kama wauongo wapo jua hata mmoja wa kweli anaweza kuwepo
@@SGIT-jd6fgsahh kabsa watu wanashindwa kuelewa sana
Maandiko ndio yanayo. thibitsha kuwa kutakuwa na manabii soma kitabu Cha ufunuo yey sikawambia yey ni Alfa na omega mwanzo na mwisho ?@@SGIT-jd6fg
Acha tu Mungu atuokoe na kuzimu
Sawa MuNGU
Nyakati Za mwisho tutaona mengi. Manabii wa uongo wameongezeka na wanazidi kuongezeka😭
Ukiwepo na ww mkristo wa uongo, fool
Nilichogundua Masanja umejuankucheza na fahamu zao Kwa nafasi zao kuwacgomoa pesa
😂
Kinacho sikitisha TRA wamekomaa na maduka kudai mapato na kupandisha kodi ,ila matapeli kama Hawa wanaachwa huru 😢 . Endeleeni na uganga wenu huo Atakuja mwana wa Adamu kumlipa Kila mtu .
Etijamani
Masanja. ameingia kingi
Tuweni macho sio kila atajae jina la bwana anamwakilisha bwana kweli wengi ni wachawi
Duuh, kweli tutafute hela coz majungu cyo mtaji
I don't trust these dominations now days
Nyakati.hizi.nizamwisho.tujihazari.namanabii.wauongo.ndo.hawa
Ivi kweli na ninyi ni kanisa la Mungu hilo ni kundi la wasanii Mungu hakai mahali pa jins hiyo
Anakaa sehemu gani?
😅😅😅😅@@RachelBahahazo
Anakaa wap😅
Ndio roho mtakatifu hayupo hapo labda nguvu za majini
Eh Mungu wa Abraham tunusuru🙏🏼
Mimi Napitatunamabegiyangu
wachuna waumini hao😂😂😂
NA SIKU HIO WANAWAKE SABA WATAMSHIKA MTU MUME MMOJA NA KUSEMA TUTAKULA CHAKULA CHETU NA KUVAA NGUO ZETU WENYEWE LAKINI TUITWE TU KWA JINA LAKO UTUONDOLEE HII AIBU isaya 4 ..1 anaejua tafsiri yake pls njoo
Apo ni kibaha ua mail moja?😮
Nanyie si muigize muwe wa uongo mpate hela,watazidi Kubarikiwa.achen kuaonea wvu
acha ujinga WEWE, wanawaonea wivu kwa lipi?! hayo maigizo?!!
I see my prophet Rolinga,God bless you all
Naona prophetic Roringa anasema leo ni meingia wapi hapa.😂
We masanja unaenda lesi usingekimbilia kwenye uaskofu au kuwa mchungaji au kufungua kanisa bado una uchanga mwingi na mizaha. Ungekubalii kukaa chini ya maongozi ya Mungu kwa muda na watumishi waliokaa vizuri kama wakina Mwakasege na Mbarikiwa mpaka upate ukomavu.
hatumuhuku ila anapoelekea alipofikia tumwechie. MUNGU
Huyu anawaza pesa,,,kabla alikuwa akisali jangwani kwa mchungaj mwakiborwa TAG,,,wanaanzisha huduma nje ya makanisa walikozaliwa ili wapate pesa
😂😂😂😂😂😂
Mwisho wa manabii wa UONGO umefika, Mungu hakai kwenye majengo, jifunze kwa mjumbe wa agano duniani uingie kwenye ufalme uepukane na dhiki kuu inayoujilia ulimwengu wote fuatilia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo.
Eti manabii😂😂,hao ni watabiri na waganga kwa mgongo wa jina la Yesu
Kabisa kbisa hawana ata aibu
Wanaendelea kujenga milango ya kuingilia freemason
Duh massanja Nini????umepotea
Glory be to God.
Mtubu ndani ya siku 7, Mungu adhiakiwi, repentance and accept Jesus Christ in 7 days. Don't say you were not warned.
Uganga mtupu wapinga Kristo Yesu wote
Na zumaridi
@@RehemaMtono ukweli mtupu Mungu ktk Kristo Yesu akubariki kwa kujuwa kweli
@@BeniJohn-xd3cn manabii wa kuzimu hao woote
@@RehemaMtono Asante Sana ndungu yangu ktk Kristo Yesu ubarikiwe Sana kwa kujuwa kweli na kweli imekuweka uru🙏🙏
Wewe unashingap
Genge la wahuni tu hilo
Nimemwona sijui wanamuita kiboko ya wachawi jmni 😭😭😭 Mungu tusaidie
Na atusaidi kwlkwel
Mmmh kweli basi nmehakikisha kuwa masanja siooooo kabisaaaa maana Giza na nuru havichangamani kiboko ya wachawi sio kabisaaa maana alisemaga hata utakatifu sio kazi yake kufundusha Wala muda wa kukemea dhambi Hana
@@HappyFlowers-ee8ruYESU KRISTO A TUSAIDIE WAJA ZAKE
@@HappyFlowers-ee8ruwote wanajoka hapo
Usi waone hao......Wana hubiriiii........ukadhani wote ni wa ukweli.....usisikie wote waotabirii ukadhani wote ni wa ukweli
Naona wawakilishi wa yusufa mnajitowa madhabahuni mwa shetani sisi tulie wa mungu hamtuwezi mungu tunae muabudu ni wakwer ila nyie fanyeni hivo ila siku yenu ipo mtowa hukumu yupo mungu atulehemu😮😮😮
Hakika Timothy alisema hata yatatokea, tunayaona live.... Roho zidanganyazo.....
Wakiristo tuwen makinisana hiimizaha katka Kaz ya MUNGu mh najua watu wa mungu wapo tuingie kwenye maombi shetan anapambana kulivunja kabisa la bwana
N kwl unajua sasahv shetan katuletea maisha ya ubz na uviv, wat hatusomi Neno, hvyo adui hutumia kutojua/ ujnga wetu kutnda kaz yke kw kivuli cha Mungu. Tumesahau kuwa WALA UPUUZI au utani au midhaha, kamwe hvtakiw kusikika wala kufnyw na mtumsh wa kwl wa Mungu ila wale wa upnde wa pili aaah ht kukmbia madhabhun sio ttzo au kuleta commed sio ttzo!
Kila manabii ni wa uongo hvyo hakuna wachungaji wa uongo huu ni upumbavu mjue mungu ndo maana liko neno linasema ukishakuwa na roho mtakatifu utazipima roho kujua zimetoka wapi usilopokelopoke tu , mara nyakati za mwisho unazijua hzo nyakati na maana yake ,shauri jambo unalofahamu usilalamike 2 kama hujui kitu jifunze kumjua mungu utapotosha watu mpende mungu na uwe mwaminifu kwake utabarikiwa sana
@@NizerMgombele-xn5hb Kwan shida iko wp? Usemalo nisawa ila sjajua kwa vdeo hii uko upnde upi? Au wewe unafikir manabii wa uongo mpk waweje?
Usimnyooshee kidore. Mtu mana. Vingine vyarundi kwako acheni kukosoa azisheni nanyinyi
Kila kitu mnakosoa tu jamani watanzania tumezidi,mwamposa sio,mbarikiwa sio kakobe sio,masanja sio,kiboko wa wachawi sio,tumechoka sasa susi tumeamua kuamini hivyo hivyo
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
Jamani pesa nikitu kingine wewe fanya yako sikiliza tuu
Napita sisemi kitu.😅😅😅
😂😅😂😂
Kazi ya MUNGU isonge mbele , wenye hela ndo wanaoijenga nyumba ya Bwana tusio na hela kazi yetu ni kukoment😂😂😂😂
Yaaay yaan sjaelewa mwanaume unapiga magoti au ni mm sjamuangalia vizur ooh ni siku za mwisho zijaribuni hizo roho 😂
Acha Mungu achambue anayeokoka ni mtu sio watu na hukumu ni ya Mungu ukikosa majukumu kazi ni kutafuta yupi mbaya yupi mwema mwachie aonaye sirini
Mungu naomba nifundishe kukaa kimya madhabau za kweli wazijua ww
Musaidia mayatima na wengine muwanunulia vyakula 😢😢😢😅😅😅
Jamani hebu tujiulize yakwetu
Sihukumu ila biblia inasema kwenye mithali 18-24
Ajifanyiaye marafiki wengi ni kwa uangamivu wake yeye mwenyewe
Mliambiwa mtawatambua kwa matendo yao,nashukur kwa sabab nimekumbukalisem hiz nyakati zitafik inadhihilisha izo nyakat ndio hiz sasa,,,,.
Mwamposa yupo wapi, hananja yupo wapi, mwakisapile Yuko wapi hapo,
Acha tu nionekane nahukumu jamani ila hapo ni uhuniuhuni tu, watu wa Mungu tulieni kwenyeadhehebu yenu
NI AIBU HICHO KINACHOTENDEKA! NI HERI WANAOJITOKEZA WAZ KWA WAGANGA KULIKO HAYO MAIGIZO!
Ulijua kuwakamata ma bishop
Umoja wa manabii wa uongo kwa kutamani kuwavuta watu kwa shetani. Wote hawa sio watumishi wa kweli basisa kabisa.
Eeh, Mwenyezi Mungu tusaidie.
Wwe hunahakiri unampagia mungu filimasoni hawanauwezo wakumzidi mungu acha kanisa lijegwe nawewe update kuokolewa nakunjua mtendo makuu yakilisto
Madevo ship wote umeona andiko loote happ
Mashetani wakubwaaaaaa wote wadogozake na popu wavatikani tuwaombeee Baazi yahoo wasichomwe watubu laki inikazi kutubu maanauliapa
Jamani mwenzetu mpo ukweli? Mbele ya kiti cha enzi iko kazi siku ile ya mwisho.
Kabla hujambeza mwenzako au kumsema vibaya jichunguze kwanza je wew ukosahihi kwakila kitu MUNGU atusamehe
Masanja kuna watu ukianza kushirikiana nao lazima ubebebe roho za upotofu.
Hao wanakuonyesha ukomavu
Wote hawana hela hapo ndiomaana wanaombaomba angalau yule jamaa wa Arusha Geo Dev
Mungu awasaidie waache kufanya kazi za shetani wamu lidie yesu kristo atawa samehe
Eee mungu wangu maanget sasa wako hadharani tena wanatumia jina la yesu 😭😭huyo ni yesu gani hata hivyo? Labda yesu wa yezeberi laana na iwe juu yao
MUNGU SIYO KITU CHA KUFANYIWA VICHEKESHO.
Ndg zangu tuchunge midomo yetu kwani itaja tugharimu siku 1,wawe wa ukweli au wauongo watajua wao na aliyewaumba.
DRESSING CODE.
they put on red, black or white golden shinning garments as working uniform. it is never a coincidence. each color represents a spiritual rank that one has got, red being the highest.
Ila masanja pia jifunze maana umekuwa ukiwashambulia sana manabii
Hapa and anataka hela
Anamaslai
😮😮😮masanja achaga utani ujue wewe kwa sasa ni mchunga badilika basi
Masanja apunguze mzaha madhabahuni kazi anayoifanya ni nzuriii mnooo Mungu ambariki saana
Wewe ndo unaona madhabahuni wenzio wako kwa kazi kupiga pes
Kazi gan ukimpgia simu hana la kujibu
Kazi gani
Yaani watu wanachezewa akili
Masanja naomba milion mbili
Ha ha haaaaa haaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa ha ha haaaaa!!! Nawew kusanya manabii!!!!
Manabii tunao ila niwachache waache kutumia wanyama watu kujinufaisha wao wanasema wanyama mavi Mungu amechoshwa na matedo yao madhabahu wanazoabudia Yesu ana kwenda kuziwasha moto niwambia ukweli zitawaka moto kwa Jina la Yesu
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu wangu
hizi ni ajenda za mpinga kristo kabisa
Usihukum usije ukahukumiwa acha magugu na ngano vikue pamoja
Hii pesa bhana duuh hamna utumishi hapo ni usanii tu
Chaaaa uyana chu ngachoooka
Kama Mungu yupo basi atatenda yenye haki maana yy ndo anaona yaliyo sirini
Akili kumkichwa nyuma ya pazia.
Mungu tusamehe hatujui tuyatendayo
Tumtafute Mungu, maadamu anapatikana sarakasi za madhabahuni nyakat za leo zmekuwa nying jaman Yesu Kristo amevunjiwa heshima vha kutosha so Mungu alisaidie kanisa.
Jamann
I see my prophet kiboko za wachawi!! Say wooooyooo prophesize paapaa!!
Swali langu hawo mana ii wote wameowa
Watu wasio na hela utaona comment zao tu😂😂😂 jamani hela inaondoa hasira
@@warakawayohana2896 usisahau hela inaondoa akili wengi.wenye.hela.kama wamepata.hela.haraka wanakuwa.hawana akili.ko.kama hela.inaondoa.hasira b yake.huondoa.ufahamu.na.akili.asilimia wengi wenye hela hawafikilii.ndio ma'ana wengine wanakufa.kaa mbwa
😆😆😆
Nani kakwambia Kila anayechangia mada hana pesa?
@@peterrulagora7403 hata wewe Huna?😂😂😂
wanamvuta huyu masanja atakuja kujuta... so utumishi sio mchezo
Mmmh kama ni kweli basi Mungu akutangulie
Hahaa izo makanisa jamani niku lomba lomba mavazi na pesa shida😢😂😂
Jamani wanaume nao wanapiga magoti😂😂
Mimi mwenyew sijawai ona mwanaume anapiga magoti tena anampigia mwanaume mwenzie