PRINCE KATEGA: KUMBE BINADAMU HATUFARIKI HUWA TUNAACHA MWILI ..... WAAFRIKA TUJITAMBUE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ค. 2020
- PRINCE KATEGA: KUMBE BINADAMU HATUFARIKI HUWA TUNAACHA MWILI ..... WAAFRIKA TUJITAMBUE
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE th-cam.com/users/Tricodskills...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ tricodmedia
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricod-skills-11524157...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodskills
#PrinceKatega
#Africa
#kujitambua
Sijutii kabsa kukusikiliza mzee wangu... Namshukuru Mwalimu wangu the Great Sir TABARO KAIJAGE kunitambulisha kwako...
Siku waafrika tulivochezewa, tutashangaa Siku tukiamka. Ukweli tunauona kama uongo na uongo kama ukweli. Babu zako ulio ishi nao wakifa wanaitwa mizimu na hautakiwi kuwakumbuka wala kuwasigelea, wao wakifa wanaitwa no watakatifu, lazima tujifikirie Waafrika tulipokosea. Until we are awake ndo tutayajua anayoyasema Prince Katega II. MUNGU wetu atuhurumie!!
Asante sana nlienda kwa wachungaji wanasema niache mizimu nlikuw naumwa balaa lkn toka nimetambikia mambo yanaenda vzr
Mzee mm naomba unifundishe jinsi ya kuongea na mizim ya babu zangu maana hatujui kubisa
You're right Prince religion they call them angles but Africa we call them ancestors so mizimu ya mababu n.a. mabibi zetu ndio malaika wetu ambao dini zinaita malaika
Kutoka duce tupo pamojaaaaaaaaa nakubali sanaaaa kazi zako
Siku zote dawa inayo ponya lazima iwe chungu.
Lakin kunywa Ni lazima kama tunataka kuishi.
Ahsante sana mzee Wangu wewe ni zaidi ya Mwalimu!
Nakupenda sana katega.
Hongera, tuko pamoja
Asante kwa somo
Hongera
Asante baba huwa nakuelewaga sana
Nakukubali sana mzee wng
Asante kwa funzo,nimejifunza kitu hapo.
Ukweli Mtupu......
Its only Mamafrica baba juu si wote ni watoto wa Mungu sio Jesus peke ...i believe there are two greatest law which are responsible for humanity life on earth..THE LAW OF CAUSES AND EFFECTS WHICH KARMA AND THE LOW OF REBIRTH as you said REINCARNATION BABA and HUMAN BODY is a one of the amazing vehicle in universe transmute those law Sir Kageta...since I was born I always believe that we all have the spark of Nature or God which I call Soul inside of us which live forever in different forms by the power of its own minds
You're right❤
Asante sana kwa mafundisho haya yote.
Prince katega uko sahihi kabsa lakin
Kumbuka watu wanaprogram ambazo zimepandikizwa kwa miaka mingi nasio rahisi kuzitoa kwa wakat mmoja., Endelea kuuongea ukwel kwan UKWELI Utatuweka kua huru 💝💗💗💗💖💕🙅
I am not sure about those mizimus, but Let's keep reading the original word of God.
Which is the original God and which is not plse?? Advise plse
Shukran 🙏🏿
Kuna watu wanaamin kuwa mussa na elia pale walipo mtokea yesu kwamba wale ni watakatifu .kutokana na mafundisho tunayo fundishwa katika imani zetu kuwa ..muafrika akifariki ni amefariki tu na anakuwa mzimu ila wazungu wao wanajua nguvu ya mizimu ndio maana wao mwenzao akifa wanamuita mtakatifu ndio ujiulize mpaka leo hakuna mtakatifu muafrika ni wazungu tu
Musa hakuwa mzungu
Asante kwa masomo hii
Tufundishe baba uzungu unatupoteza Sana nahawata tuambia ukweli.
Good
*_Anaposema kilichotokea kwa Mh Benjamin William mkapa kwanni mnatoa hiyo saut acheni zenu_*
Pure truth 100%...ukiskia maarifa ndio haya...USIANGAMIE MUAFRIKA.
Mungu alitamka lini !
Prince katega wa pili Nina muelewa Sana uwa
Tufundishe jinsi ya kuwasiliana na mizimu
Ukweli ni kua nadharia ya kifo haipo binadamu hafii ukiangalia angani jua lipo, mwezi upo , nyota zipo , binadamu hafii
kuwepo kwa nyota, jua na mwez kunahusianaje na kufa kwako had useme hufi
😂😂😂😂
@@hamisimtemi3803 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nifundishe niongee na baba zangu
Ila ndugu unavyo weka mambo hadharani ivi ina maana hawa jamaa hawata kufanyia njama zizote ndugu maana ukweli siku zote sio rahis kuujua kirahis na ukijua lazima utapata kipangamizi
Nikweli kabisa
Nimesikia katika history yako kutoka colobalt TV Tanzanian ndio nimeamua kukufua.
Ni kweli kbs baba
Uko sahihi muheshimiwa katega
Iwe kweli ama urongo me sijui lakini najua kile binadamu anaanzisha huisha baada ya miaka kidogo na kupitea kabisa lakini kile mungu alianzisha hakiishi kitadumu milele ....from 254
Nifundishe mimi njinsi yakuongea na babu nzangu
Nimekuelewa sana Prince, ila nina maswali machache ya kukuuliza
Mwalimu nakupataje
If a lie can destroy such a strong truth, it means the lie is stronger than the truth...Mr. Prince, any idea in the power behind that lie, whats its secret. Maybe we should disseminate the lie
Mimi nmekuelew ila bado kuna watu majuha watakupinga
Wakwanza kucomment weka hapa comments zote za katega
1:54 right out of either
❣️🇹🇿👏
Sisi ndio watoto was Israeli...watoto wa mungu
_KUKUBALI SANA KATEGA_ ila tu bado sijapata kitabu Chako naomba nijue nakipataje
Nashikuru sana prince...lakini eliya wala hakufa.
Tusiposoma kur an tutapotezwa sana na watu wa aina hii, na kuna tatizokubwa litatokea pindi watoto wetu watakapoacha kusoma kur an
prince katega
BABA WA FIKRA
Hatuwezi kuamka kwa sasa mpaka. Kila mmoja akubali lakini kwa wengi waliopo sasa na kwakuwa hawapendi kuamini na kuaminiana sisi kwa sisi wazungu wamefanya jambo sana kwamba sisi tusiaminiane tuwaamini wao hapo ndio wametuweza sana
Unsyuka 😄😄😄🤸🤸🤸
Mzee unjaua tatizo uhaya mwingi sana unajisifia fisia kila saa nenda kweenyee point
Kama tunarudi, kwanini population inaongezeka zaidi . Nina mona kwamba wengine watoka wopi?
Hebu niandikie hilo neno
Elimu ikzidi sana inakua ujinga
Jaman, mie biblia yangu yote inaniambia Eliya alipaa mbinguni na gari la moto huku elisha akimuangalia, sasa huyo aliekufa ni yupi labda
Saf San mzee wgu
Wa wa wa katega waa tunakupenda mfalme
Umeludi Mala ngapi Dunia
Tunaka wapi tukishawacha mwmili??
NifutAlia kabisa
Nakuwunga Mukono
ufufuo upo
Unawasema wazungu akati %80 unaongea kingeleza unafki uo mbona mbarikiwa aongeagi kingeleza kingi ivo
This is Satan's great deception, "Natural immortality of the soul" Satan said, ye shall not surely die. Now its just the matter of choice, to trust what God said or what Satan lied.
But of the tree of the knowledge of good and evil, thou shalt not eat of it: for in the day that thou eatest thereof thou shalt surely die.
Genesis:2:17
KWELI ITABAKI KUWA KWELI TU😊
Kwaivo Mungu hakutaka tujue good and bad alitaka tuwe midoli wa mbinguni forever?
K😃
😃
you are not the body that takes you to churches or mosques
@@BigZhumbe Wewe unamchukuliaje huyu Mungu?
Canst thou by searching find out God? canst thou find out the Almighty unto perfection? It is as high as heaven; what canst thou do? deeper than hell; what canst thou know? The measure thereof is longer than the earth, and broader than the sea. If he cut off, and shut up, or gather together, then who can hinder him? For he knoweth vain men: he seeth wickedness also; will he not then consider it?
Job:11:7-11
MY FRIEND, MUNGU HACHUNGUZIKI. HATA ANGETAKA TUBAKI MIDOLI FOREVER, ANABAKI KUWA MUNGU TU.
Rencalate of bodies
Mh
Kuna MWILI na ROHO. hata YOGI kama Sadhguru anasema sana hilo.
Ndio maana kwa wakristo husema Yesu ni Mungu
Mie ni mgogo tunawaita milungu mzimu
Usipingane na maandiko kwa kujificha kwenye kivuli cha uzalendo wa kiafrica na upotoshaji wa haoo walio potosha bali hebu jaribu kuutafuta ukweli ukiupata ndo uwaeleze watu hivi" unaonaje utakapo wafundisha watu kua hawato fufuliwa alafu wakajikuta wanafufuliwa kiurahisi tuu"! Umewahi kujiuliza hali itakuaje kwako wewe kama mkufunzi pamoja na wale ulowafundisha wakakuamini!??
Huyu jamaa hajielewi kabisa.
Dunia ina dini 4300 dini zote hazielezi kuhusu ufufuo sauti ya wengi ndio sauti ya Mungu
@@BigZhumbe lau dunia nzima ikakubaliana katika jambo lisilo la kweli, na yakatupiliwa mbali maoni ya mtu mmoja mwenye haki, kukubaliana kwa watu wote duniani, hakufanyi ukweli kua uongo ukweli utabaki kua ukweli na uongo utabaki kua uongo
Hiviovitabu kaandika nani kamasio binadam. Tena vimehaliliwa kwa 320 chiniya yamzungu mtoto waarekizanda wapili. kaisali
@@ezekielmartin5675 ukiwa wewe mwenye kujielewa toa maoni yako,watu WAJIFUNZE Kujifunza sio dhambi dhambi Ni kuamini kitu bila kujua aliyekuletea,alikuwa na Nia gani na wewe..fikiria nje ya box
Nilichelewa kuguskiza
Lakini nakubaliana na wewe
Vema
Unapotosha watu. Kwahiyo wanaokufa wameumbwa Na Nani?
Mzee minimekuelewa ila kuna baadhi ya vijana hawaelewi kabisa ndio kwanza wa nakuambia unavuta bangi
🤣🤣🤣🤣
Kidogo nina Shaka na "reincarnation"
Kwanini Ni baadhi ya watu.. kwanini sio sisi sote
upuuzi mutupu
Acha bangi
Wewe acha kupotosha wakristo, Wapi Yesu aliletewa mizimu?
Google transfiguration of jesus utaelewa anachoongea
Kwani mzimu ni nini kwa mtazamo wako?
@@BigZhumbe soma bible usidanganywe naporojo za hekima ya kidunia🤣🤣🤣
Wakolosai 2:1-15,17-23
[1]Maana nataka ninyi mjue jinsi ilivyo kuu juhudi yangu niliyo nayo kwa ajili yenu, na kwa ajili ya wale wa Laodikia, na wale wasioniona uso wangu katika mwili;
[2]ili wafarijiwe mioyo yao, wakiunganishwa katika upendo, wakapate utajiri wote wa kufahamu kwa hakika, wapate kujua kabisa siri ya Mungu, yaani, Kristo;
[3]ambaye ndani yake yeye hazina zote za hekima na maarifa zimesitirika.
[4]Nasema neno hili, mtu asije akawadanganya kwa maneno ya kuwashawishi.
[5]Maana nijapokuwa sipo kwa mwili, lakini nipo pamoja nanyi kwa roho, nikifurahi na kuuona utaratibu wenu na uthabiti wa imani yenu katika Kristo.
[6]Basi kama mlivyompokea Kristo Yesu, Bwana, enendeni vivyo hivyo katika yeye;
[7]wenye shina na wenye kujengwa katika yeye; mmefanywa imara kwa imani, kama mlivyofundishwa; mkizidi kutoa shukrani.
[8]Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.
[9]Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili.
[10]Na ninyi mmetimilika katika yeye aliye kichwa cha enzi yote na mamlaka.
[11]Katika yeye mmetahiriwa kwa tohara isiyofanyika kwa mikono, kwa kuuvua mwili wa nyama, kwa tohara ya Kristo.
[12]Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu.
[13]Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutokutahiriwa kwa mwili wenu, aliwafanya hai pamoja naye, akiisha kutusamehe makosa yote;
[14]akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushitaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaiondoa isiwepo tena, akaigongomea msalabani;
[15]akiisha kuzivua enzi na mamlaka, na kuzifanya kuwa mkogo kwa ujasiri, akizishangilia katika msalaba huo.
[17]mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.
[18]Mtu asiwanyang’anye thawabu yenu, kwa kunyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na kuabudu malaika, akijitia katika maono yake na kujivuna bure, kwa akili zake za kimwili;
[19]wala hakishiki Kichwa, ambacho kwa yeye mwili wote ukiruzukiwa na kuungamanishwa kwa viungo na mishipa, hukua kwa maongeo yatokayo kwa Mungu.
[20]Basi ikiwa mlikufa pamoja na Kristo mkayaacha yale mafundisho ya awali ya ulimwengu, kwa nini kujitia chini ya amri, kama wenye kuishi duniani,
[21]Msishike, msionje, msiguse;
[22](mambo hayo yote huharibika wakati wa kutumiwa); hali mkifuata maagizo na mafundisho ya wanadamu?
[23]Mambo hayo yanaonekana kana kwamba yana hekima, katika namna ya ibada mliyojitungia wenyewe, na katika kunyenyekea, na katika kuutawala mwili kwa ukali; lakini hayafai kitu kwa kuzizuia tamaa za mwili.
@@ezekielmartin5675 Hio biblia ilikua wapi wakati wa slavery na ilimsaidia vipi muafrica?
Aisee kuna vitu vingine muelewa mjitambue nyie
Wewe huwez kukomboa fikra za mtu
😃😃