Mmemuona Huyo.Apitapo Wahujumu na Vibaraka na Vikaragosi Udondoka Wenyewe.Aimarishiwe Ulinzi Mara Mabilionni Shetani Alali Usiku kucha Upanga Uovu Wake Mungu . Awarinde Wote Wenye Nia njema na Taifa letu.Tunasali kwa Ajiri ya Taifa..❤
Chukua maua yako makamu mwenyekiti Cdm, Wajue ushindani wa uchaguzi unahitaji maarifa na kukubalika sio nguvu pekee,lakini ccm wajue bila dhuluma,wizi,na kutumia vyombo vya dola wasingepita hata 2015,2020, na hata sasa hawataishinda CDM digital bila kuiba kura kwa kutumia hila na nguvu ya dola ingawa sio rahisi kwa wakati huu
Hujaongea ukweli. Ikiwa mwanachama alalamika kuhusu uendeshaji wa chama kwamba hakuna uwazi, unawezaje kutuaminisha kuwa ni chama cha demokrasia. Hebu mtusomee mali za chama na kwanini mnamwekiti wa kudumu
Ww ndo huelewi Msigwa ni msaliti ulitegemea aseme mazuri ya chama yaani mke ametoroshwa na mme mwingne unategemea amseme mme wa mwanzo vzr tumia akili mali za ccm nani anazihoji mbona Ndugai alihoji mikopo akaporwa usipika hilo hamlioni
Simama Imara .kata ngebe za Vikaragosi kwa akina Msigwa.Utajuta Kusariti Umma.Tupo pamoja Na Wapiganiao Haki, DaimaHaki Usimama kwa Wapiganiao.Haki .Siasa Safi Na Uongozi Bora. Ardhi. isiyoporwa. Na kurinda Urithi wa Watanzania.Karibu Uwanja Wa Mapambano.Umkhoto. We Sizwe..Pemberi ne Jongwe..
Wakiiba hukum ya wezi sisi wanainchi tutaifanyia kazi maana hata bibilia inazungumza mshahara wa dhambi ni mauti Kwahiyo endapo mauti yatawakuta wezi wa kura hatunadhambi
@@ChristerKoku Heche arekebishe hoja ya elimu. Anasema vijana wajifunze kilimo, ila wasifundishwe panzi ana miguu mingapi. Ukweli panzi anakula mazao, na usambaza magonjwa kwenye mimea.
Wewe ni mtumzima najua unawatu wanakutegemeya kama baba jaribu kuwa kama baba usiwe kama mtoto tokalini lisu alitibiwa Tanzania? Baada ya kupigwa lisasi?
Amani inakusaidia nini kwani wewe au umekaririshwa tu hilo neno mkubwa ebu tupe faida ya amani tukianza na wewe imekunufaisha nini toka uwe na amani ni sawali tu lakini ukiweza kujibu sawa?@@GodfreyOsward
Hongera sna lisu😅
Mmemuona Huyo.Apitapo Wahujumu na Vibaraka na Vikaragosi Udondoka Wenyewe.Aimarishiwe Ulinzi Mara Mabilionni Shetani Alali Usiku kucha Upanga Uovu Wake Mungu . Awarinde Wote Wenye Nia njema na Taifa letu.Tunasali kwa Ajiri ya Taifa..❤
Amefika umwanasheliya bola lissu kamanda
Kalibu tena mheshimiwa
Welcome back home kamanda lissu
Hongera sana kamanda lissu kurudi salama
Karibu tena nyumbani kiongozi
Ka umri kamesogea brother but never give up
Na Mungu atakushindia
Nmefurahi sana kukuona Makam M/Kiti...karibu tena mkuu
Karibu Sana kamanda wetu ✌️✌️✌️✌️
Msigwa kwisha! Kwisha kabisa!, bora angenyamaza tu, angestaafu vizuri
Kalibu saana mkuu wa inchi
Mwamba umenena wambie,pamoja tunaweza.
Oyooo mwamba karudi
Ingelikuwa vizuri waandishi.mngewahoji na ccm inapotokea jambo kama hili la Nape na makamba
Fair play
Chukua maua yako makamu mwenyekiti Cdm, Wajue ushindani wa uchaguzi unahitaji maarifa na kukubalika sio nguvu pekee,lakini ccm wajue bila dhuluma,wizi,na kutumia vyombo vya dola wasingepita hata 2015,2020, na hata sasa hawataishinda CDM digital bila kuiba kura kwa kutumia hila na nguvu ya dola ingawa sio rahisi kwa wakati huu
Mwamba huyu hapa 😀 tetenteeee😂
Nimeipenda hiyo tetentee. Haaaa😀😀😀😀 tetenteee. Mwamba. Lissu ni mboga tubaki kupika ugali tu.
Safisana lisu
Big up
Kamanda karudi . Kazi iendelee Karibu sana kamanda Lisu.
Mungu aendelee kukutunza na kukulinda
Tulikuwa tumesha kumiss Mr lisu Kwan kumepowa
KARIBU TENA LISSU YOUR ALWAYS THE POLITICAL ROLE MODAL OF ALL TIME
Go back to School and polish your English
Kiukweli mh. Lisu namkubali kuliko, huyu mh. Lisu ni Lulu ya hii nchi mh. Lisu nitakupigia kura yangu.
Kaka Lissu
Nina Imani nawe
Hujawahi kutuangushe
👊👍✌️.
Kura yangu kwako
Karibu tena nyumbani
Nimeyapenda majibu yako
Mie ccm lkn kura yangu nitampa Lisu
Lissu nimupango wamungu kwahiyo sisiraia tuunge juhudi zahuyu Malaika watz eemungu tusaidiye utujariye umakini ktk nchihii Inaenda kienyeji kienyeji
Namkubali huyu kamanda sana
Karb mwamba
Magufuli tutakukumbuka
Tulijihisi kama yatima. Karibu baba.
Hii y msigwa, mbona akina Makamba,na Nape wa mepigwa chini hilo huoni
Hujaongea ukweli. Ikiwa mwanachama alalamika kuhusu uendeshaji wa chama kwamba hakuna uwazi, unawezaje kutuaminisha kuwa ni chama cha demokrasia. Hebu mtusomee mali za chama na kwanini mnamwekiti wa kudumu
Ww ndo huelewi Msigwa ni msaliti ulitegemea aseme mazuri ya chama yaani mke ametoroshwa na mme mwingne unategemea amseme mme wa mwanzo vzr tumia akili mali za ccm nani anazihoji mbona Ndugai alihoji mikopo akaporwa usipika hilo hamlioni
@@josephmantago2837 vichwa vingine vigumu kuelewa kaka ata ukimuambia mkewe na myoa Mimi atakataa acha kabisaaa
Kumekuchaaa
Tundulis Na mwabukusi kuna Tija kubwa sana ya kuungana kuongoza Hili jahazi
Au mwandishi anataka ugombane na Mbowe😂
Uchaguzi TLS
Amerudi
Lisu hujawah niangusha unajibu hoja vizuri mno
Mwambaaaaa
Simama Imara .kata ngebe za Vikaragosi kwa akina Msigwa.Utajuta Kusariti Umma.Tupo pamoja Na Wapiganiao Haki, DaimaHaki Usimama kwa Wapiganiao.Haki .Siasa Safi Na Uongozi Bora. Ardhi. isiyoporwa. Na kurinda Urithi wa Watanzania.Karibu Uwanja Wa Mapambano.Umkhoto. We Sizwe..Pemberi ne Jongwe..
Tuko pamoja
Amna upinzani wote pasua kichwa
Wakiiba hukum ya wezi sisi wanainchi tutaifanyia kazi maana hata bibilia inazungumza mshahara wa dhambi ni mauti Kwahiyo endapo mauti yatawakuta wezi wa kura hatunadhambi
Rais watu Tundu lisu wewe nirais ushashinda 2015na2025 uhakika babu
Tuhuma ni nzito lazima zijibiwe
Mwamba amerudi
FANYENI UCHAGUZI WA AMANI HATUTAKI VURUGU.
Tangu lini tuna uchaguzi wa Amani Tanzania wakati watoto wetu wanaibwa na kuchinjwa 😢😢
Anakaa wapi?
Mdanganyeni tu
Huyu lisu aliondoka lin 😅
🐸👈🏼🤣
Punguza kulalamika
Kiboko yao karudi
Msigwa ndio asiseme kabisa, Anamadeni makubwa saana ambayomtetezi ni ccm
Amani ni kitu cha muhimu cha muhimu akivunjiki
Tunahitaji amani inayotokana na utendwaji wa haki sio amani ya hofu au uoga na vitisho
Hakuna upinzani wa kuitoa CCM kwa sasa
Nyoookooooo! Kuma.
Pipooooz
Hatutaki fujo tunataka amani tu! Kila mwaka mnaibiwa nyie tu jamani! Mwageni sera tuwasikie tubasilike!
Kakojoe ulale
Umemsikia Nape au unaongea tu kama vike masikio yako yako deaf(y)!?
Utakuwa umekatwa wewe siyo mzima😂
@@festokemibala5832😂😂😂😂🎉
@@barakabusima Mdomo Mali yako! Sikupangii cha kusema Ongeza sauti!!
uoga utashindwa vipi na mam
👊✌️🫶🫶🫶🫶❤
Pamoja na wizi wa CCM,nyiye Chadema mmejiandaaje?
@@ChristerKoku Heche arekebishe hoja ya elimu. Anasema vijana wajifunze kilimo, ila wasifundishwe panzi ana miguu mingapi. Ukweli panzi anakula mazao, na usambaza magonjwa kwenye mimea.
Tumejiandaa kukuoa
Llllllllllllllllĺphaki na amani zinahusiana Zaburi85:10 NI UKWELI hivyo ukiongea amani ongea na haki pia
Nilisema mie
Mnamchangia pesa lissu hanunui gari kama alivyosema analikarabsti
Pesa mliochanga ameenda kulipia ada wanawe
Kakuliza Nani wewe kilaza mkubwa
Acha kusema bila kufikiria
Acha ujinga nani kakuuliza hayo. Thibitisha usemayo. Acha mambo ya.hovyo
We ulichangia shingapi
Alafu anawatuhumu viongozi wa serikali wakiumwa wanaenda nje kutibiwa
Lissu ameumwa ameenda kujitibu
Hivyo kuweni makini uongo wa LISSU
uchawa utakushinda tu
Wewe ni mtumzima najua unawatu wanakutegemeya kama baba jaribu kuwa kama baba usiwe kama mtoto tokalini lisu alitibiwa Tanzania? Baada ya kupigwa lisasi?
Mamako amegharamia matibabu yake wewe choko la kizmkazi
Kwani katibiwa kwa gharama za mamaako au ya sisiem
kaka lisu mm nakuamini
Huyu mkudaa tu
Mkuda mama yako malaya wewe
We mkundu tu
FANYEN MFANYAVYO ILA MSITUHALIBIE AMAN KWA SABABU YA NJAA ZENU KUWEN MAKIN
Kazi ya utawala duniani ni kuhakikisha watu wake wameshiba. Kwa hiyo unakili ushaifu.
Da wabongo hawana ubongo 😂😂😂
Amani inakusaidia nini kwani wewe au umekaririshwa tu hilo neno mkubwa ebu tupe faida ya amani tukianza na wewe imekunufaisha nini toka uwe na amani ni sawali tu lakini ukiweza kujibu sawa?@@GodfreyOsward
Ni vizuri kuwa mpo wenzetu mlioshiba.
Kaja wajinga watanyamaza ma ccm
Mama 5 tena
Hongera sna lisu😅
Hongera sna lisu😅
Hongera sna lisu😅