SIRI NZITO YA YESU NI NANI HII HAPA... NI MUNGU, MTOTO WA MUNGU AU MTUME HUWEZI AMINI INATISHAA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • SIRI NZITO YA YESU NI NANI HII HAPA... NI MUNGU, MTOTO WA MUNGU AU MTUME HUWEZI AMINI INATISHAA
    Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
    TRICOD SKILLS Website:
    www.tricodskil...
    LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
    / tricod-skills-11524157...
    FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
    / tricodskills
    FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
    / tricodskills
    #ukristo
    #upagani
    #YesuniMungu

ความคิดเห็น • 418

  • @TricodMedia
    @TricodMedia  5 ปีที่แล้ว +2

    SIRI YA MIAKA YA YESU ILIOPOTEA KWENYE BIBLIA miaka 12-30 MASON NA WA HINDU WAHUSIKA HUWEZI KUAMINI
    th-cam.com/video/7ubqTlR2Lvk/w-d-xo.html

  • @PeninahMwendwa
    @PeninahMwendwa 9 หลายเดือนก่อน +2

    Yesu ni mwana wa mungu, yaani mungu akamtuma roho wake ambaye ni yesu,ili akawakomboe watu wa ulimwengu

  • @jumaraphael2108
    @jumaraphael2108 4 ปีที่แล้ว +5

    YESU NI MUNGU, Mathayo 1:23 Tazama,bikira atachukua mimba, nae atazaa mwana; Nao watamwita jina lake IMANUELI; Yaani, MUNGU Pamoja nasi. Yohana 1;1 hapo mwanzo kulikuwako neno naye neno alikuwa MUNGU.

    • @binyamina8850
      @binyamina8850 3 ปีที่แล้ว

      “Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”
      - Mat 27:46 (SUV)
      “Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.”
      - Yoh 20:17 (SUV)
      “Enyi waume wa Israeli, sikilizeni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mtu aliyedhihirishwa kwenu na Mungu kwa miujiza na ajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kwa mkono wake kati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua;”
      - Mat 2:22 (SUV)
      “Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.”
      - Yoh 17:3 (SUV)
      “Ikawa siku zile aliondoka (Yesu) akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha katika kumwomba Mungu.”
      - Luk 6:12 (SUV)
      “Yeye (Yesu), siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;”
      - Ebr 5:7 (SUV)
      “Tazama, mtumishi wangu niliyemteua; Mpendwa wangu, moyo wangu uliyependezwa naye; Nitatia roho yangu juu yake, Naye atawatangazia Mataifa hukumu.”
      - Mat 12:18 (SUV)
      “Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.”
      - 1Kor 11:3 (SUV)

    • @alikhamis6326
      @alikhamis6326 3 ปีที่แล้ว

      Yesu kwa mujibu wa hizi aya ulizo zitoa haitaki tochi kwamba issa si mungu ni nabii Alie tumwa kwa Wana wa israil

    • @fatumamushifatuma355
      @fatumamushifatuma355 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe kama yesu nimungu alie iumba dunia na Adam.paka kuja eva..na vizazi kuzaliwa paka kuja patikana mariamu....nani alieumba dunia???? Mariamu alipo ambiwa atabeba mimba akasema mungungu yawezekana vipi kubeba mimba wakati sijalala na mwanaume....haya mariamu alikuwa anaongea na nani, acha kukufuru mungu nitofauti na yesu...mungu ni mungu tu

    • @fatumamushifatuma355
      @fatumamushifatuma355 4 หลายเดือนก่อน

      Aliongea nani maana wataka kutuonyesha mungu alizaliwa na pia wataka kutuambia mungu niwawili maana dunia iliubwa kabla ya binadamu kuumbwa

  • @salehomari9145
    @salehomari9145 4 ปีที่แล้ว +5

    Peoples back to muhamadi (s.a.w) live in peace

  • @getrudalawrent8932
    @getrudalawrent8932 4 ปีที่แล้ว +5

    Yesu ni Mungu. mathayo 1:23, isaya 9:6, yohana 1:1-5, tito 2:13-14

    • @elemnesh611
      @elemnesh611 4 ปีที่แล้ว

      Getruda Lawrent no

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 5 ปีที่แล้ว +3

    we are spiritual beings having a human experience siku moja tutarudi kwa mungu baba!

  • @mohamedfadhilisadick3912
    @mohamedfadhilisadick3912 5 ปีที่แล้ว +14

    Nipeni like zangu
    Wakwanza mm leo X2

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 ปีที่แล้ว +1

      umetisha sana kamandaaaa 😂😂😂👍👍👍👍👍👍👍👍

    • @edwinmmasi5230
      @edwinmmasi5230 5 ปีที่แล้ว +1

      Mungu ni mmoja ana nafasi tatu
      1.Mungu Baba
      2.Mungu Mwana
      3.Mungu Roho Mtakatifu
      Tunaweza kuwatofautisha Kwa majina na kazi zao Ila hatuwezi kuwatenganisha...Kwa maana nyingine wanafanya KAZI pamoja(hatuwezi kuwatenganisha) lakini Kila mmoja ana KAZI yake(kutofautisha)

    • @geralftiffiri1180
      @geralftiffiri1180 5 ปีที่แล้ว

      Nimekupatia mzee baba.

    • @omarsaid3005
      @omarsaid3005 4 ปีที่แล้ว

      @@edwinmmasi5230Tunahitaji Andiko linalosema Mungu baba,Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu? Litoke katika biblia sio porojo mtoa mada kashindwa kujibu Kwasababu hakuna katika biblia na haliwez kukuwepo

    • @zuwenamussa7093
      @zuwenamussa7093 3 ปีที่แล้ว

      @@edwinmmasi5230 nithibitishie hayo mambo matatu nasio kuongea2,

  • @omarsaid3005
    @omarsaid3005 4 ปีที่แล้ว +2

    Yohana:17.3
    Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
    Haya maneno ya Yesu yeye sio Mungu

  • @bellingtonlyimo6467
    @bellingtonlyimo6467 5 ปีที่แล้ว +24

    Suala la utatu wa Mungu lipo nje ya upeo(uwezo) wa kibinadamu ndio maana utatu unaeleweka kwa njia ya imani tu. Hakuna akili wala maarifa ya kibinadamu unaoweza kumuelewa Mungu kwa usahihi na hii ndio maana Yesu Kristo alimjibu Mtume Petro wakati alipojibu swali kuwa Yesu Kristo ni nani (Mathayo 16: 15 - 17). Akili na uwezo wa kibinadamu ni mdogo sana katika kumfahamu Mungu. Mungu wetu yupo katika ngazi ya juu sana( Super natural dimension) na katika utukufu mkubwa ambao akili na maarifa ya kibinadamu haiwezi kupata maelezo sahihi kuhusu Mungu (Timotheo 6: 16). Jambo la msingi hapa ni kuliamini Neno la Mungu kuwa Yesu Kristo ni Mwana wake wa pekee na ndie anaemdhirisha Mungu wetu na hasa katika kutimiza mpango wa Mungu wa kumkomboa mwanadamu kupitia damu ya Yesu Kristo .

    • @mtasma1994
      @mtasma1994 5 ปีที่แล้ว

      Yesu mnasema ni myahudi na yeye ndio mungu wenu kwaiyo mnataka kutudhihirishia mungu wenu kuwa ni myahudi? Kama ni hivyo kwann biblia ya sasa isiandikwe na mayahudi walioishi na mungu wenu? Na inashangza sana kuona agano jipya maandiko yake mengi yameandikwa na warumi watu ambao hata hawajanusa harufu ya yesu na wala hakuna mtu yeyote aliyetoka kwa warumi?

    • @kuruthumhaji2296
      @kuruthumhaji2296 5 ปีที่แล้ว +1

      @@mtasma1994 unakjua vzr uksemacho ww ? Amn nakuamby bado n mdg San ktk ufahamu wa mandko vzr Soma na ufaham uksemacho uskulupuke

    • @rwesimbibicharles8994
      @rwesimbibicharles8994 5 ปีที่แล้ว

      Amina

    • @omarsaid3005
      @omarsaid3005 4 ปีที่แล้ว

      Marko:10.17
      Hata alipokuwa akitoka kwenda njiani, mtu mmoja akaja mbio, akampigia magoti, akamwuliza, Mwalimu mwema, nifanye nini nipate kuurithi uzima wa milele?
      Marko:10.18
      Yesu akamwambia, Kwa nini kuniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, ndiye Mungu.
      Yesu hawezi kuwa Mungu wala mtoto wa Mungu

    • @yohanasosi5604
      @yohanasosi5604 4 ปีที่แล้ว

      Saaaaaaf hata Magu anaeza wakilishwa na mkuu mkoa....Na ikawa tuu kama ndo yeye yupo hapo

  • @marthaholela6938
    @marthaholela6938 2 ปีที่แล้ว

    Upo sahihi sana...hapa Mungu ni ROHO na ..ukristo...ndiye Roho wa Mungu aliyEkaa ndani ya yesu..na ndo hiyo nguvu..aliyokuwa nayo....Yesu....na hata Yesu alipomaliza kazi Duniani...alikufa kama wanadamu wengine..

  • @rubengodfreytarasis
    @rubengodfreytarasis ปีที่แล้ว

    Amen

  • @emmanuelmwakatuma142
    @emmanuelmwakatuma142 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana bro japo kitambo ulituacha njiapanda ndg zako hakika Mungu akubaliki

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 ปีที่แล้ว

      sa unataka awasapoti hatakama ni Uongo kuwa Ukristo sio Dini??

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 ปีที่แล้ว

      Asante sana ndugu nimerudi mnisamehe bure tu

  • @mapendomrosso2270
    @mapendomrosso2270 5 ปีที่แล้ว +9

    hakuna awezae kumuuliza Mungu habari zake maana chombo hakiwezi kumuuliza mfinyanzi kwa nini wanitengeneza hivi napia imani hushinda yote na kwaimani utamjua Mungu lakini kama huna imani hutajua chochote na pia Mungu ni Mmoja tu katika vyote na ndani ya vyote

    • @leilaomary6349
      @leilaomary6349 5 ปีที่แล้ว

      Kama huna elimu ya ukristo na uislam huwezi jua YESU ni nani Soma.

    • @estherkoya8410
      @estherkoya8410 4 ปีที่แล้ว

      Good

  • @priscapaulo113
    @priscapaulo113 5 ปีที่แล้ว +4

    1yoh 5:9 tukiupokea ushuhuda wa wanadamu,ushuhuda wa mungu ni mkuu zaidi kwa maana ushuhuda was mungu ni huu;kwamba amemshuhudia mwanaye

  • @munirampili3381
    @munirampili3381 5 ปีที่แล้ว +8

    Yesu ni mwana Wa mungu ambae mungu alimfanya kama awe msaidizi wake kama Leo hii unaweza ukawa na watt 7 lkn 1 ukawa unampenda kuliko wte 7bu n mtiifu kwako bas ndvyo mungu alivyo mpenda yesu mpaka akasema kuwa huy n mwanangu nnae pendezwa nae tuache wivu jmn yesu n mwana Wa mungu ingawa ss wte n wana Wa mungu ila yy n mtiifu zaid

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 ปีที่แล้ว

      Hahaha!! Huyo mungu wenu waajabu kweli, Mungu gani anakuwa na Msaidizi Hahaa.. Huu ni mtihani Kwa kweli yaan MTU anasubutu kusema Mungu anamsaidizi wake. inamaana Mungu hawezi kufanya mambo yake peke mpak asaidiwe???? INNALILAH WAINAILAH RAJIIUN huu ni msiba.. tena msiba mkubwa.

    • @yusuphsalimu6723
      @yusuphsalimu6723 5 ปีที่แล้ว

      Munira Mpili 🤣🤣🤣🤣

    • @HABIBULLAH-nd9ft
      @HABIBULLAH-nd9ft 5 ปีที่แล้ว

      Muogope mungu acha ghushi

    • @mohamedmussa1678
      @mohamedmussa1678 5 ปีที่แล้ว

      Acha uwongo ww

    • @bboyblackfire
      @bboyblackfire 5 ปีที่แล้ว

      kwahyo MUNGU mbinafsi ana nafsi kama binadamu yakumpenda mtu anaemtaka yeye???

  • @felixstanley9801
    @felixstanley9801 3 ปีที่แล้ว +1

    Asaantee kaka Mora Mrezi akutie nguvu na hekima utufunurie zaidiAMEN

  • @nazonahdi9993
    @nazonahdi9993 4 ปีที่แล้ว +5

    Yesu ni mtume wa mwenyewezi mungu katumwa aje kufundisha dini co mtt wa mungu allah hajazaa wala hajazaliwa wala hamna anayefanana naye muwe na akili nyinyi

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 4 ปีที่แล้ว +2

    Ni gumu mpaka tutapochambua vzr Mungu atufunze tu maana hata mitume walikua na maswali yenye Utata lkn Yesu bado mshindi wa dunia

  • @TricodMedia
    @TricodMedia  5 ปีที่แล้ว +1

    HIZI NDIO HISTORIA ZA YESU WAWILI ZINAZO WACHANGANYA WAKRISTO WENGI SANA
    th-cam.com/video/tBdnGVWKyiY/w-d-xo.html

  • @reginamhagama2421
    @reginamhagama2421 5 ปีที่แล้ว +2

    Mungu baba sawa na Mungu mwana Mungu mwana sawa na Mungu Roho Mtakatifu. kwa pamoja huitwa Utatu Mtakatifu: namaanisha kwamba ( YESU KRISTO NI MUNGU) Amina:

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 ปีที่แล้ว

      Tufate maneno yako??? au maandiko ya kwenye Kitabu..

    • @joycezabro4065
      @joycezabro4065 5 ปีที่แล้ว

      Regina Mhagama pole yesu m2me na alitahiliwa alilala alikula unasemaje yesu mungu

    • @joycezabro4065
      @joycezabro4065 5 ปีที่แล้ว

      Someni Mungu hajazaa wala hajazaliwa yesu ni m2me

    • @danielnoa4676
      @danielnoa4676 5 ปีที่แล้ว

      We dada ukifa utaomba mungu akuludishe tena duniani hili huombe mizimu yako kama vile wachina au wahindi au watu wote wa Asia wanaomba mungu kupitia mabuda na hao mabuda ni weus na ndio maana watu weusi tunachekwa kwa ujinga wetu wa mawazo nakuna ushahidi wowote wa yesu zahidi ya vitabu . Hizo picha za yesu ni mtoto wa pop Alexander 6, anaitwa Ceacer borgio ni yesu wa wazungu sio watu weusi Amkeni yesu sio mungu... inaamana mungu alikufa msalabani acheni ujinga.

    • @erickkihanga9292
      @erickkihanga9292 5 ปีที่แล้ว

      Hakuna kitu kama hicho Dada angu. Hakuna maali hata pamoja ktk Biblia inayoonesha Utatu Mtakatifu. Isipokuwa Katika vitabu vingi Yeye mwenyewe amesema "Naapa kwa Nafsi Yangu" Mungu ni mmoja na Jina lake ni "Bwana Yesu Kristo"

  • @jumaraphael2108
    @jumaraphael2108 4 ปีที่แล้ว +1

    YESU NI MUNGU

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 4 ปีที่แล้ว +1

    Ukizaliwa mkiristo kwa kuwa wazazi wako ni wakiristo basi fanya uchunguzi kama kulikuwepo na dini inayotwa ukiristo wakati wa Yesu na kama haikuwepo basi makao yenu ni Moto sababu kulingana na maandiko ya bibilia ukiristo ulikuja baada ya Yesu kuondoka na ulianzishwa na msomi Paulo (Matendo 11:24-26) apo ndipo Mwanzo wafuasi wa Paulo waliitwa wakiristo

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 ปีที่แล้ว

      Na yesu hajatamka neno kristo ni masih bin maryam kwa hiyo mmungu anapigwa ni na bee kama wengine kuna wakristo wengine wanasema ukweli wanasema yesu wsi mmungu ni mtume isa alahy salam

  • @user-mt4gx9dx7c
    @user-mt4gx9dx7c 9 หลายเดือนก่อน +1

    Akili zake hazichunguziki kamwe wapendwa Mungu tubaki kumwabudu tu katika kweli maana mwanafunzi hamzidi mwalimu wake hayo ni maneno ya Yesu

  • @Michoarbah
    @Michoarbah 5 ปีที่แล้ว +2

    nakuelewa xanaaa..... kijana......

  • @nabafumoreen6870
    @nabafumoreen6870 3 ปีที่แล้ว +1

    Yes ni mwana wa mungu

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  3 ปีที่แล้ว

      Kwaio yesu ni mtoto wa mungu ikiwa na maana kwamba mungu anafamilia huko mbinguni au una maana gani

    • @mozajuma2387
      @mozajuma2387 2 ปีที่แล้ว

      YESU kwa kizungu JESUS kwa kiarab ISSA. ni mutme wa mungu miongoni mwa mitume iliyoteuliwa na ALLAH kufundisha DINI ya uislam na kukataza shirk na maovu yote ambayo mungu hayaridhii. katika QUR-AN mitume iliyotajwa ni 25 akiwemo MASIHI ISSA BIN MARYAM (AS).

  • @mussajulius8437
    @mussajulius8437 4 ปีที่แล้ว

    Yesu sio mungu Bali ni mwana wa mungu

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 5 ปีที่แล้ว +4

    kuna mungu mmoja tuuu! mungu ni roho ( roho mtakatifu) ...mwana si mungu ...mungu alishi ndani ya yesu akiwa hapa duniani maana yesu alikuwa mwanadamu mwenye mwili na roho na mungu ili aweze kutenda hapa duniani ilibidi aingie ndani ya binadamu na ni yesu tuuu ndo alimpendeza mungu kuliko binadamu yoyote hapa duniani...ingawa sisi sote ni wana wa mungu ila mteule ni yesu tuuuu na ndo njia ya kwenda kwa baba ...alipofufufuka alipaaa kwenda mbinguni na ameketi mkono wa kuume wa mungu( mungu baba).....so mungu ni roho(roho mtakatifu) ....sisi binadamu ni watoto (wana wake) twaishi duniani tuna mwili na roho na ili tuweze kurudi kwa baba mwili lazima tuuache duniani!!

    • @mozajuma2387
      @mozajuma2387 2 ปีที่แล้ว +1

      subhanallah. huyo mungu unaemuamini unamaanisha hakuweza kutenda lolote bila ya kuingia katika mwanaadamu ambae alimuumba yeye mwenye. ametakasika ALLAH alieniumba mimi na wewe

    • @yohana1242
      @yohana1242 ปีที่แล้ว

      Daaah mtihani yan mungu kaingia kwenye mwili wa binadam watu tunakoelekea sas ni kubay aisee

    • @mjitenaziofficial3035
      @mjitenaziofficial3035 ปีที่แล้ว

      @@yohana1242 bro tambua Yesu alikua Mwana before Dunia ihubwe.

  • @venahsithole6463
    @venahsithole6463 5 ปีที่แล้ว +5

    Ninachoamini Yesu ni mtoto wa Mungu alikuja hapa duniani kutuokoa sisi wakosefu na sala zetu zinapita kwakwe halafu yeye anazipeleka kwa baba yake hata nikifa Yesu kristo ndie atanipokea nakunipeleka kwa baba yake ambaye ni Mungu alie juu Mbinguni

    • @motingijh2101
      @motingijh2101 5 ปีที่แล้ว

      Je? Yesu ni myahudi? Je mungu ni myahudi?

    • @user-ln2ht2gt5p
      @user-ln2ht2gt5p 5 ปีที่แล้ว

      Yesu ni mtot wa mungu ulimuona kazaa

    • @zuwenamussa7093
      @zuwenamussa7093 3 ปีที่แล้ว

      Mungu hana mtoto nawala ajazaa nawala hafananishwi nakitu chochote kile

    • @mozajuma2387
      @mozajuma2387 2 ปีที่แล้ว

      sema mungu ni mmoja tu, hakuzaa wala hakuzaliwa, na wala hana hata mmoja anaefanana naye.

  • @DaxFrank-de5nk
    @DaxFrank-de5nk ปีที่แล้ว

    apana jamani mungu nisifa kuna jina lake py yesu sihii mungu nimalaik mkuu ndokiumbe wa kwanz kuumbw namungu

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 5 ปีที่แล้ว +3

    Ww inaonekana ulishachemka toka zamani sana, Yesu ni mwana wa Mungu, inamaana iko hivi: hatuwezi kumwona Mungu bila kupitia kwa Yesu, na Roho mtakatifu ni nguvu, yaan naweza kusema ni nguvu maalum ya kutuwezesha kushinda magumu yaliyo mbele yetu, Mungu sio mtu na wala hana mwili,.. Tutazidi kumpenda Yesu hata jana leo na hata milele. We elewa tu ivo, vingine ni siri yake, hutaweza kuelewa had siku tutakapofika kwake. Amen. Barikiwe sana ww mtangazaji..na wengine wote.

  • @user-hd4oh9ef2c
    @user-hd4oh9ef2c 9 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu alituambia tukimwona yeye tumemwona baba,Kwa hiyo they are one,u cannot split those three, without Jesus u cannot enter heaven, so ask your self, let us trust God,u cannot split them

    • @user-hd4oh9ef2c
      @user-hd4oh9ef2c 9 หลายเดือนก่อน

      Tena tujue kwamba yesu ni baba,mwana na roho mtakatifu,He is God whom we can see, the spirit of God is in Him,sioni kama mtu akiona my boy atakuwa ameniona but remember tukimwona yesu,tutakuwa tumemwona baba wa mbinguni,alisema mwazaja kusema mwamuamini baba na hamjawai mwona ili Hali hamuniamini Mimi mwenye munaona,baba ni roho,in short, Jesus is God, and father and the holy spirit is in Him,, remember he is will come again to judge the world

  • @sanuramakame5122
    @sanuramakame5122 5 ปีที่แล้ว +3

    Yesu sio Mungu kwa maana yesu anasema na kwenda kwa baba nanyi baba yenu kwa Mungu wangu na nyinyi Mungu wenu.

    • @vianneyhabonimana7128
      @vianneyhabonimana7128 5 ปีที่แล้ว +1

      sanura makame ... That's true,,,Yesu kristo mwenyew alikiri hayo,,,but ukitaka kujua umungu wake pia,,,inakupasa kuwa na hekima...na hilo ni somo kubwa. siku moja Yesu kristo aliwaambia wayahudi eti " before Abraham was, I am." hilo linamaana yake ,ukiwa na roho mtakatifu ndani mwako,,,unaweza kuelewa kiundani zaidi maana yake...thx.

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 ปีที่แล้ว

      @@vianneyhabonimana7128 kwani ikiwa kambla mbona mitume wengi walikua kambla ya kuja duniani hata sasa mitume wapo mbinguni ila wanatumwa duniani kuhubiri kuwa mmngu yupo binadam walikua hawamini kama mmungu yupo ndio watu waliamini kua mmungu yupoo na ni mmoja hana mshirika aliumba dunia na malaika majini na binadam na wa nyama na mitume toka adam yesu alisema mmungu mbona umeniacha inamanisha yuko mmungu sio kwa kua alikuako kabla ndio awe yesu mungu hapana mungu hazaliwi ni mtume kama mitume wa kawaida mmungu hapigwi wala kupigwa na misumari yule ni mitume ila wayahudi walmkataa na yy alikua nabee wa mmungu

  • @mariamyusufyusuf1117
    @mariamyusufyusuf1117 4 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mungu

  • @johannes4127
    @johannes4127 3 ปีที่แล้ว

    Yesu ni mungu

  • @samxx411
    @samxx411 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu baba, mwana, bibi, babu, Dada, kaka...endelezeni hadi mmalize ukoo wa yesu

    • @jamesobedy3940
      @jamesobedy3940 2 ปีที่แล้ว

      Na mjomba na shangazi 😂😂

  • @giftnuhu3203
    @giftnuhu3203 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwislam na wewe eti unamsubilia mpinga kriso! Mpinga kristo ni wewe 😂😂😂

  • @mwanzakabwari2988
    @mwanzakabwari2988 5 ปีที่แล้ว +2

    Ikiwa utakubali kwamba yesu nimtoto waMungu wakumza basi inabidi ukubali kuwa Mungu na mariyam walikuwa wapenzi

    • @allynico4929
      @allynico4929 5 ปีที่แล้ว

      Mwanza Kabwari dah

    • @dottoemanuel457
      @dottoemanuel457 3 ปีที่แล้ว

      Umekosea sana unajua waanadam sisi huwa hatutakiwi kujua mengi zaidi yayale ambayo huwa tuna tumiwa kutoka mbinguni

  • @motingijh2101
    @motingijh2101 5 ปีที่แล้ว +2

    Kwel binadamu sio Watu, yaani walimsulubu mungu msalabani Hadi wakamuua maana sa sita ilipofika mungu alikata roho,. Nahic atakuwa anawaogopa sana wanadamu.

    • @mapendomrosso2270
      @mapendomrosso2270 5 ปีที่แล้ว

      MOTINGI JH wewe koma Mungu hafi ila mwili ndo unaokufa pale roho inapouacha mwili Ninyi mwaabudu msichokijua ila sisi twaabudu tukijuacho Mungu ni Roho na wamwabuduo wamwabudu katika roho na kweli .Bwana asema kabla ya ibrahimu mimi niko jiulise alikuaje na wakati wa kabla ya ibrahimu?

    • @mtasma1994
      @mtasma1994 5 ปีที่แล้ว

      @@mapendomrosso2270 kuna kitu wakristo mnajichanganya ambacho hata mtoto mwenye IQ kubwa atapinga tu ivi yesu kafa msalabani siku tatu dunia ikiongozwa nanani..... Nakwann yesu aseme naenda kwa baba ambaye nanyi ni baba yenu ?? Ingekuwa kama kweli mungu angesema narudi nyumbani....

    • @mapendomrosso2270
      @mapendomrosso2270 5 ปีที่แล้ว

      mtasma jr inanifurahisha pale unapojituzi mwenyewe yaani Bwana Yesu aliwaambia mafarisayo na wayahudi kuwa kabla ya ibrahimu yeye yupo jiulise alikuaje ? ukipata jibu nijibu alikuaje na alikua wapi

    • @mtasma1994
      @mtasma1994 5 ปีที่แล้ว

      @@mapendomrosso2270 hata wew kabla ya kuja duniani ulikuwepo ili kwenye ulimwengu wa roho

    • @motingijh2101
      @motingijh2101 5 ปีที่แล้ว

      @@mapendomrosso2270 yesu alikuwa na roho? Wewe Una roho? Je yesu alikuwa na mwili? Wewe una mwili? Je yesu alikuwa na damu?, Wewe Una damu,? Je yesu alikuwa mungu,? Wewe ni mungu.? JE YESU NI ROHO,? WEWE NI ROHO?

  • @ameliawayua142
    @ameliawayua142 4 ปีที่แล้ว

    Mungu baba, mwana na roho.. Wote ni moja. Ila yesu sio mungu. Yesu akawaambia, mimi ndimi njia ya ukweli na uzima, mtu aji, kwa Baba yangu,, ila kwa njia yangu mimi. Apo yesu mwenyewe amemanisha, Yeye na babake mkuu ambaye ni mwenyezi mungu. Vipi? Munamuita yesu eti mungu, wakati amedhibitisha uwezi kumuona babake bila kumpitia Yeye kwanza. Mungu kwa kweli akuzaa mtoto... Ila alimpenda yesu Ata kabla amuumbe kumpitia roho mtakatifu. Roho anatumika pale Mara mbili kwa Baba na kwa mwana. Kuwaunganisha.

  • @eliakimsamwel1846
    @eliakimsamwel1846 5 ปีที่แล้ว +7

    MUNGU ni BABA, na yesu ni mwili ulichaguliwa kubeba roho ya MUNGU BABA, au mafuta ya kufanya kazi, za MUNGU kama walivyo changuliwa manabii wakubwa watatu Musa, eliya mtishibi ndio maana yesu alipopanda mlimani walimtokea, tofauti ya yesu na kina musa ni kwamba yeye alizaliwa bila ya mwanaume lakini kazi ilikuwa ilele ya kinabii ndio maana anazibitiaha mwenyewe kwenye yohana 17: 1--- ana mwambia BABA nimemaliza kazi uliyonituma nirudishe kwenye utukufu ule wa mwanzo kabda ya ulimwengu kuwako, kwahiyo anamaanisha ile roho au kiristo iliyokuwa ndani ya mwili unaitwa yesu, ndio maana pale msalabani alipokata roho Yale mafuta au ile nguvu ikarudi juu ilipotoka kwa BABA, kwahyo MUNGU baba ni nafsi ya kwanza, neno lake ndio lililoingia ndini ya tumbo LA mariamu likavaa mwili ukaitwa yesu kwahyo yesu sio MUNGU BABA, Bali ni neno,ambalo lilipokuja duniani akamwita maana wake wa pekee, ikimaanisha kila alieubwa na MUNGU ni mwana isipokuwa alimchagua yesu awe mwana wapekee, ili abebe utendaji wake, kutuonesha ukuu wa MUNGU ,ndio maana kipindi ya wanawaisrali utumwani alimwingia Musa , baadae eliya. Ndio hayo kwaleo, warumi wanajua ukweli ila hawataki sisi tujue

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 ปีที่แล้ว

      Mungu ni baba ndo nin??

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 ปีที่แล้ว

      Ngoja nitulie nisome vizuri

    • @markangel1588
      @markangel1588 ปีที่แล้ว

      ​@@TricodMedia Mayani Kalenda inaongeza vema Kuhusu Yesu Kristo. na pia zama atakazo zaliwa. Pia vinasaba vya Yesu visingeweza fanana na Binadamu yoyote aliyepata kuishi hapa Duniani.

  • @harunilazaro3313
    @harunilazaro3313 3 ปีที่แล้ว

    Yohana 14
    8 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.
    9 Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

  • @adamhassan8141
    @adamhassan8141 5 ปีที่แล้ว +1

    mungu nizaidi yetu sisi wanadam na upeo wake ni mkubwa kwahio nashauli tumwachie yeye tu bali sio kubishana ok

  • @shaibushaaban1538
    @shaibushaaban1538 5 ปีที่แล้ว +4

    Allah hu akbaru Allah tuongoze wajawako watuwanamacho lakini hawaoni wanamasikio lakini hawasikii wanasoma lakini hawaelewi wanacho kisoma mwenyezi mungu sio kigeugeu kusoma hujui hatapicha jamani

  • @alimzee
    @alimzee 5 ปีที่แล้ว +3

    Kwanza ondoa izo picha ndio uendelee na mafunzo

  • @emmanuelmasoko1013
    @emmanuelmasoko1013 3 ปีที่แล้ว

    Yesu ni Mungu kwa Asilimia 💯 ambaye hakubali apite kushoto.

    • @binyamina8850
      @binyamina8850 3 ปีที่แล้ว

      “Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”
      - Mat 27:46 (SUV)
      “Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.”
      - Yoh 20:17 (SUV)
      “Enyi waume wa Israeli, sikilizeni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mtu aliyedhihirishwa kwenu na Mungu kwa miujiza na ajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kwa mkono wake kati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua;”
      - Mat 2:22 (SUV)
      “Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.”
      - Yoh 17:3 (SUV)
      “Ikawa siku zile aliondoka (Yesu) akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha katika kumwomba Mungu.”
      - Luk 6:12 (SUV)
      “Yeye (Yesu), siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;”
      - Ebr 5:7 (SUV)
      “Tazama, mtumishi wangu niliyemteua; Mpendwa wangu, moyo wangu uliyependezwa naye; Nitatia roho yangu juu yake, Naye atawatangazia Mataifa hukumu.”
      - Mat 12:18 (SUV)
      “Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.”
      - 1Kor 11:3 (SUV)

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 3 ปีที่แล้ว +1

    Trinity ni uwongo. Mystery.

    • @binyamina8850
      @binyamina8850 3 ปีที่แล้ว

      “Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”
      - Mat 27:46 (SUV)
      “Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.”
      - Yoh 20:17 (SUV)
      “Enyi waume wa Israeli, sikilizeni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mtu aliyedhihirishwa kwenu na Mungu kwa miujiza na ajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kwa mkono wake kati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua;”
      - Mat 2:22 (SUV)
      “Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.”
      - Yoh 17:3 (SUV)
      “Ikawa siku zile aliondoka (Yesu) akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha katika kumwomba Mungu.”
      - Luk 6:12 (SUV)
      “Yeye (Yesu), siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;”
      - Ebr 5:7 (SUV)
      “Tazama, mtumishi wangu niliyemteua; Mpendwa wangu, moyo wangu uliyependezwa naye; Nitatia roho yangu juu yake, Naye atawatangazia Mataifa hukumu.”
      - Mat 12:18 (SUV)
      “Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.”
      - 1Kor 11:3 (SUV)

  • @sharonndowo6922
    @sharonndowo6922 5 ปีที่แล้ว +4

    Jehanam ni halisi

  • @mbonimanakisenya6868
    @mbonimanakisenya6868 4 ปีที่แล้ว

    Mungu anajaribiwaje?

  • @josephbonday8510
    @josephbonday8510 5 ปีที่แล้ว +3

    Akili za kuambiwa, yachanganye na zetu

  • @user-fu9xp9gq4x
    @user-fu9xp9gq4x 8 หลายเดือนก่อน

    YesukristoniMungumkuu,Nafsimoja,HakunautatundaniYABiblia

  • @ackimackim8912
    @ackimackim8912 3 ปีที่แล้ว +1

    Yohana (1:1)(1:14)

    • @binyamina8850
      @binyamina8850 3 ปีที่แล้ว

      “Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”
      - Mat 27:46 (SUV)
      “Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.”
      - Yoh 20:17 (SUV)
      “Enyi waume wa Israeli, sikilizeni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mtu aliyedhihirishwa kwenu na Mungu kwa miujiza na ajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kwa mkono wake kati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua;”
      - Mat 2:22 (SUV)
      “Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.”
      - Yoh 17:3 (SUV)
      “Ikawa siku zile aliondoka (Yesu) akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha katika kumwomba Mungu.”
      - Luk 6:12 (SUV)
      “Yeye (Yesu), siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;”
      - Ebr 5:7 (SUV)
      “Tazama, mtumishi wangu niliyemteua; Mpendwa wangu, moyo wangu uliyependezwa naye; Nitatia roho yangu juu yake, Naye atawatangazia Mataifa hukumu.”
      - Mat 12:18 (SUV)
      “Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.”
      - 1Kor 11:3 (SUV)

  • @kuruthumhaji2296
    @kuruthumhaji2296 5 ปีที่แล้ว +1

    (Isaya 9.6)Maan kwa ajil yetu mtoto... Amezaliwa ........nae ataitwa jina lake,mshauri wa ajabu.[Mungu mwenye nguvu] baba wa milele mfalme wa aman.......Maandiko yamedhihilisha kuwa n Mungu tena mwenye nguvu na mfalme...Tukitaka kuufunua uwezo wa Mungu kibinadamu atutafanikiwa maan alshakili mwenyewe akisema akili zake azchunguziki cha msingi wa kristo wenzangu tutende mema ili tukifika mbinguni ktk ile miaka 1000 tumuulize vzr Mungu maswali yetu yoteee.

  • @markangel1588
    @markangel1588 ปีที่แล้ว

    Na ijulikane ya kuwa mpinga Kristo yuh aja na anawatangulizi wake wapo waja na wengine wapo wakifanya kubadili mawazo ya watu Mungu, Kwa kuwanena manabii na kifananisha Yesu Kristo, Ili kuwatoa wanadamu katika wokovu wa kweli, Yoh.10. 7.Kwa hiyo Yesu akasema nao tena akawaambia, “Mimi ni mlango wa kupitia kondoo. 8 Wote walionitangulia ni wezi na wany ang’anyi. Hata hivyo kondoo hawakuwafuata. 9 Mimi ni mlango; mtu ye yote anayeingia zizini kwa kupitia kwangu atakuwa salama, naye ataingia na kutoka na kupata malisho.

  • @damasiusmayanja5329
    @damasiusmayanja5329 5 ปีที่แล้ว +1

    John/Yohana 8:31-59 I and The Father are One & Yohana/John 10:22-24 " Am telling the truth before Abraham was Am" Yohana 1:1-3 Hapo Mwanzo kulikuwako na Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu naye Neno alikuwa Mungu, vyote vilifanyika kwa Neno Hapana kilichofanyika pasipo Neno, Mwanzo Tumfanye MTU kwa sura na mfano wetu, Mungu alifanya uumbaji kwa Neno na akiwa na Neno wake

  • @festosindani4427
    @festosindani4427 5 ปีที่แล้ว +1

    hili somo hata mimi linanichanganya

  • @kingsuleiman7201
    @kingsuleiman7201 3 ปีที่แล้ว

    Anaetaka kumfuata mungu wa kweli atamfata kwasababu zipo njia mbili Mimi mwenyewe baada ya kuujua ukweli niliufata yohana 8:42, Marko 12:28 ziko Aya nyingi Sana kwenye biblia Ila wachungaji wanavyo badili kwenye mahubili huwezi amini Hadi huluma kisa njaa2.

  • @khairulabdi8231
    @khairulabdi8231 5 ปีที่แล้ว +5

    TUJIULIZE MASWALI.. Hivi Inawezekanaj YESU muanzilishi wa Ukristo, Ukristo Usianzie kwao Jerusalem??? Badala yake Makao Makuu Ya Kikristo yawe kwenye nchi Za Wazuungu.?????? Jamaani hata hili linahitaji Elimu ya Chuo kikuu kufikiri???

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 ปีที่แล้ว

      Hahahahahaha

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 ปีที่แล้ว

      Tricod vitu kama Hivi mnatakiwa muwe mnatuweka wazi bhana! Maana tunakuwa hatuelewi, isijekuw Ukristo ni biashara ya WAZEE ULAYA..Hahaa

    • @HABIBULLAH-nd9ft
      @HABIBULLAH-nd9ft 5 ปีที่แล้ว +1

      Hapo chacha.

    • @mapendomrosso2270
      @mapendomrosso2270 5 ปีที่แล้ว

      Khairul Abdi ukristo halisi siyo dini bali ni kaniza alilolinunua ka Damu ya Yesu yaani watu wa Kristo wanao liamini jina la Yesi Kristo Bwana .

    • @mtasma1994
      @mtasma1994 5 ปีที่แล้ว

      @@TricodMedia yaaan nchi ambazo ukristo unapewa kipao mbele hakuna hata mtume aliyeishi lakini tazama Asia kule nchi za kiarabu ambazo mitume walikaa zina mifumo ya kiislam na kuhusu sodoma na gomora lilitokea kule na ushahidi upo maana kuna majangwa na mafuta chini yake na kama mwana geography mzuri,au mechanical engineering tunaambia mafuta yaan petroleum ni fossil yaan mabaki ya viumbe hai vilivyokufa miaka 1000 nyuma hata hilo huoni tu

  • @ahmedmagesa4586
    @ahmedmagesa4586 4 ปีที่แล้ว +2

    Swali ni kwamba ni nani Aliyeanzisha utatu mtakatifu?

  • @mikayona5431
    @mikayona5431 5 ปีที่แล้ว +5

    ...bas philipo akamwambia yatosha tuonyeshe baba....akajibu alieniona mm amemuona baba
    .....sauti ikatoka huyu ndiye mwanangu mpendwa....
    akawauliza watu wanamtambua yy km nani?...wengine eliya wengine mmojawapo wa manabii...na nyny mnanitambua km nani? petro akajibu km mwana wa Mungu

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 ปีที่แล้ว

      Nimekupata vizuri

    • @moodyhassany8928
      @moodyhassany8928 5 ปีที่แล้ว

      Anajichanganya tu mngu ana mtoto

    • @mikayona5431
      @mikayona5431 5 ปีที่แล้ว

      @@moodyhassany8928 hakuna anaemjua Mungu kwa undani zaid so usijikute unamjua sn maan hata musa mwnyw hakuweza kuijua jina lake japo alipata nafasi ya kuongea nae...kwa kifupi Mungu hashindwi kua na mtoto akiamua

    • @hatibuahmadi7237
      @hatibuahmadi7237 5 ปีที่แล้ว

      mnajua nyie wakristu sijui hua mna tatizo gani yaani mna shangaa kwa nabi issa kuzaliwa bila baba kiasi kwamba mna sahau kabisa kua mungu anauwezo wakufanya zaidi yailo ameweza kuumba mbingu ardhi kamuumba adam bila baba wala mama tena kamtenge neza yeye mwenywe akamuumba hawa bila yamama wala baba kamtoa kwenye ubavu wa adam sasa iweje kwa nabi issa yesu ?? yaani

    • @christophersimwinga6689
      @christophersimwinga6689 5 ปีที่แล้ว +1

      bwana tricod sikia jibu la yesu alilomjibu filipo UKINIONA MIMI UMESHA MWONA MUNGU BABA tena akaendelea kusema MIMI NIMEKUWAPO NANYI SIKU ZOTE HIZI BADO HAMJANIJUWA haya ni maelezo ya yesu mwenyewe kwamba yeye ndiye Mungu baba na kwamba hakukua na mungu mwingine ambaye wakina filipo walitaka yesu awaoneshe

  • @shaibushaaban1538
    @shaibushaaban1538 5 ปีที่แล้ว +3

    Ninacho jua Mimi waungu wakowengi ila mwenyezi mungu apaswae kuabudiwa ni Allah Hana mtoto wala msaidizi hakuzaa wala hakuzaliwa halali wala hasiizii

    • @silaswilliammakashi3227
      @silaswilliammakashi3227 5 ปีที่แล้ว

      Kwa hiyo hata malaika sio wasaidizi wake sio unaelewa nini maana ya msaidizi au mnakaririshwa tu basi.

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 ปีที่แล้ว

      @@silaswilliammakashi3227 anamanisha msaidizi sio malaika malaika ni malaika mmungu wa pili hamnaa mmungu ni mmoja malaika yy ndio alie waumba hajasaidiwa na mmmungu mwingine kumba malaika na dunia

    • @mozajuma2387
      @mozajuma2387 2 ปีที่แล้ว

      @@silaswilliammakashi3227 malaika ni viumbe walioumbwa na mungu tofauti yao na sisi ni kwamba malaika hawamkosei mungu, hawali na wala hawanywi ila sote tutakufa siku ya mwisho siku nzito iumizayo nyoyo siku ya majuto. malaika wanamuabudu na kumtumika mungu mmoja tu ALLAH.

  • @joshuamasaga9002
    @joshuamasaga9002 5 ปีที่แล้ว +1

    Kuhusu swala la utatu mtakatifu sio swala la kutafsriwa ki philosophy wala kisiasa za kidini. Trinity ni imani ya kweli ambayo huwezi kuiona katika biblia ikielezwa wazi sana ingawa biblia imeweka wazi utatu mtakatifu wa Mungu. Kuna mambo 3 yanayo tuonesha utatu mtakatifu wa Mungu kwanza. UUMBAJI mwanzo sura ya 1 na 2 KATIKA UUMBAJI TUNAONA Mungu baba. pili ni ubatizo, na tatu ni ukombozi

    • @zachariabin5400
      @zachariabin5400 5 ปีที่แล้ว

      Muongoooooo nynyi someni wakristo utawala moto utatu ni mipango ya watu nyny mnafata tu bila kujua

  • @chazgunda5823
    @chazgunda5823 3 ปีที่แล้ว

    Nataman kucomment vitu nnavovijua mm kupitia vitabu lakn nakumbuka vitabu viliandikwa na binadam kama mm tu
    naeza nnkaandika apa kutetea dini yangu nkakwaza watu wa iman tofauti na mm kumbe mimi nakosea sijui chochote
    Kikubwa siwez kuchama zambi zabule kukoment kitu nisichokuwa na uhakika nacho ntabaki kwa iman yangu nnavoamini basi
    KATIKA MUNGU NAAMINI

  • @janauridelaya2553
    @janauridelaya2553 4 ปีที่แล้ว +1

    Wewe mwanadamu wa sasa mwenye dhambi, tamaa ya kutenda uovu na kiburi huwezi jua, elewa au fahamu kuhusu UMUNGU wa MUNGU na mapana yake. Hii inatokana na ukweli kwamba, hata ukifahamu bado nafsi yako yauovu haita mkiri. Hii ni kwasababu hata baba wa uongo, uovu,kiburi na tamaa ya kujiinua(Ibirisi) alimfahamu vzr zaidi yako ww lkn aliasi. Pia kumbuka, giza na mwanga havielewan, kwa maana hiyo haiwezekani mwanadam awaye yote mpenda uovu kumtafakari Mungu na mapana yake akamuelewa. Hivyo basi kana uovu uwayo wote na uwe mnyenyekev na mpenda watu, ndiyo uanze kumtafakari Mungu na mapana yake, tofauti nahapo utakuwa unapoteza muda na nguvu zako bure!.

    • @magnusmichael7052
      @magnusmichael7052 4 ปีที่แล้ว

      katika watu niliowahi kuwaelewa na umeongea ni ww... Kwa watu waliojaa dhambi ngumu kumuelewa Mungu. ata ukimuelewa hautamkiri

  • @sabanajunior3243
    @sabanajunior3243 ปีที่แล้ว

    Me ni mkristo lakini nimegunduwa wakristo tulio wengi atuna hoja sisi Sana sana tuna ubishi wakitoto

  • @ivanchrisantus3915
    @ivanchrisantus3915 5 ปีที่แล้ว +7

    Je kama yesu ni myahudi je mungu ni myahudi?

    • @mustafaally5648
      @mustafaally5648 4 ปีที่แล้ว +2

      Sorry hiv kuna ata Mtume 1 mzungu ujiulizi swali Kwnn mitume wote wawe Waarabu ukibisha nakupa ushaidi huu...Nchi ya Israeli na Palestina wanamahusiano kama ndugu baba yao alikua nan? Na ndipo utajua mitume wote ni Arabic na ndipo inapopatikana dini ya haki ambayo ni Islamic sorry kama nimemkera mtu....cha msingi usipanic jenga hoja

    • @zuwenamussa7093
      @zuwenamussa7093 3 ปีที่แล้ว +1

      @@mustafaally5648 kwel kabisa

    • @zuwenamussa7093
      @zuwenamussa7093 3 ปีที่แล้ว +1

      @@mustafaally5648 alafu kingine usikubar maneno ya kuambiwa tafuta vitabu ujisomee mwenyewe ndipo utaamin dini ya kwel niipi

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 ปีที่แล้ว

      @@mustafaally5648 hap chacha wabishi wanajua katoka marecani italy kweli ibrahim alizaliwa irag ukiwambia wanabisha mitume wooote ni warabu mpaka sasa nchi zote za kiarabu ni waislam ayob ni oman alipo

  • @nyangebujari7563
    @nyangebujari7563 5 ปีที่แล้ว +3

    BIBLIA IKO WAZI JUU YA YESU KRISTU KUWA NI MUNGU. SHIDA NI KUWA MANENO YA BIBLIA NI YA KIROHO NA UKITAKA KUELEWA KIMWILI HUWEZI KUELEWA. MUNGU NI ROHO. ISAYA 7.14 YESU ALITABIRIWA. YOHANA 1.1-3 NENO ALIKUWA NA MUNGU. NAYE ALIKUWA MUNGU.

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 ปีที่แล้ว +1

      Kwaio kuna miungu wawili au

    • @nyangebujari7563
      @nyangebujari7563 5 ปีที่แล้ว +2

      @@TricodMedia Mungu mmoja. Nafsi tatu. Wewe ni mtu mmoja. Lakini una Roho, nafsi na mwili. Wewe pia ni Trinity. Fuatilia mafundisho yangu Facebook: Peter Bujari

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 ปีที่แล้ว

      Chenga...

    • @silaswilliammakashi3227
      @silaswilliammakashi3227 5 ปีที่แล้ว +1

      @@nyangebujari7563 Safi kabsaa umemfundisha vizuri kabsaa

    • @silaswilliammakashi3227
      @silaswilliammakashi3227 5 ปีที่แล้ว +1

      @@khairulabdi8231 Chenga ni ww usieelewa

  • @sharonndowo6922
    @sharonndowo6922 5 ปีที่แล้ว +1

    Wako wa tatu na sio wako watu wa tatu; (1Yoh 5 )
    ------------
    7 For there are three that bear record in heaven, the Father, the Word, and the Holy Ghost: and these three are one.
    8 And there are three that bear witness in earth, the Spirit, and the water, and the blood: and these three agree in one.

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 ปีที่แล้ว

      Hahaha sa kama Yesu ni Mungu na Mungu ni nan???

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 ปีที่แล้ว +2

      Hahahaha nakuona nakuona

    • @sharonndowo6922
      @sharonndowo6922 5 ปีที่แล้ว +1

      @@TricodMedia ila unawachanganya watu Joseph jamani, naomba kama hutojali tuwasiliane zaidi kuna ninayohitaji tuyajadili kwa ndani zaidi ndugu yangu

  • @magnusmichael7052
    @magnusmichael7052 4 ปีที่แล้ว +1

    unavoongelea Mungu usimwite mtu.. au roho mtakatifu hao sio watu

  • @user-fu9xp9gq4x
    @user-fu9xp9gq4x 8 หลายเดือนก่อน

    YesuniMungusomaIsaya44:6

  • @paicifikokamuzora6413
    @paicifikokamuzora6413 5 ปีที่แล้ว +1

    Umechanganya kwa Luka kwani hayo yalikuwa ni matukio mawili tofauti, habari ya Maria kuchukua mimba na Ubatizo wake, ni matukio mawili tofauti, kwa hiyo huwezisema Luka alichanganya siyo kweli kabisa.

    • @kijanahodari2080
      @kijanahodari2080 4 ปีที่แล้ว

      Yesu na Yohana mbatizaji hawakuwahi kukutana ata siku moja

  • @wilsonedward9508
    @wilsonedward9508 5 ปีที่แล้ว +2

    Isaya 9:6,......Isaya 11:1

    • @nemohos4885
      @nemohos4885 5 ปีที่แล้ว

      genesis 1:1 inakuambia kwamba biblia ni story za watoto

    • @samwelwakwanzatv8493
      @samwelwakwanzatv8493 3 ปีที่แล้ว

      @@nemohos4885 wewe muongo

  • @kingsuleiman7201
    @kingsuleiman7201 3 ปีที่แล้ว

    Yesu ni nabii Ila uongo wanao tumia wachungaji kuhubili ndio unawa changanya wa kiristo Ila hakika ni nabii hata ukiisoma biblia yote itakupa majibu mfano ni mathayo 21"11,au yohana 8,40, na Aya nyingi.

  • @amosambakisye1788
    @amosambakisye1788 2 ปีที่แล้ว +1

    Jaribu kitabu knachoitwa Vatican assassin kama unaweza kukipata

  • @lenjeevara3407
    @lenjeevara3407 5 ปีที่แล้ว +1

    Pwaaaaaaaaaaa

    • @abdallahjuma7687
      @abdallahjuma7687 5 ปีที่แล้ว

      Kiukwel Mungu ni mmoja ila yesu sio mungu kwasababu yesu kaumbwa na mungu mwenyewe iweje awe mungu tena

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 4 ปีที่แล้ว

    Zote ni theologies za kumtafuta Mungu wa kweli, lakini kwenye imani ya kumjua yeye ndipo wengi wanapochanganyana, na hiyo ndio sifa kubwa ya Mungu. Kwa akili ya binaadamu yeyote yule jua ina mipaka ya kujua siri za Mungu kwa hiyo kwa upeo wa sisi wanaadamu hatuwezi kamwe kumjua Mungu bali tutaishia kwenye dalili zake kama alivyojieleza kwa kiasi alichotaka mwenyewe. Yesu ni mwanaadamu wa Mungu kama mm na ww, hawezi kuwa Mungu, Yesu ni ujumbe na muujiza mkubwa wa Mungu kama ni hivyo basi tuelewe Sifa za Yesu zote alizokuwa nazo bado hazijamtosheleza kumwita Mungu, Mungu ana mambo hata kwa upeo wetu wenye fence alilotuwekea Mungu mwenyewe basi hatutaweza kumfikiria.

  • @mbonimanakisenya6868
    @mbonimanakisenya6868 4 ปีที่แล้ว

    Neno na yesu wap na wap

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 5 ปีที่แล้ว +4

    Bila kua muislaam huwezi kujua ukweli utabaki kupelekwa tu namatakwa ya watu waliyo tangulia
    Quran ndiyo suruhisho la utata yesu ni mtume wa Allah

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft 5 ปีที่แล้ว +2

    Atakae chukia na achukie na atakuwa Ni mwehu haswa wallah tena yesu akiwa katika utatu huu mungu na anichome moto Leo hii nimejitoa muhanga kwa hii laana wanayo yang'ang'ania wajinga wengi sanaaa ivoo tu yaani" don't panic."

    • @mapendomrosso2270
      @mapendomrosso2270 5 ปีที่แล้ว

      HABIBU LLAH Mungu ni mmoja Anasema katika isaya nam fahamuni sasa yakua mimi ni Mungu mimi ni Bwana mimi ni Mwokosi najeruhi mimi naponya mimi naua mimi nahuisha mimi na hakuna awwzae kuokoa katika mkono wangu.

    • @hamisikigodihamisikigodi3706
      @hamisikigodihamisikigodi3706 5 ปีที่แล้ว

      wana macho hawaon wanamasikio na hawasikii dah mungu wanamfananisha na mtu eti hawatoonaa hata wakioneshwa ila wanaujuwa ukweli ila kutoka wanaona shida gan huku kushahadia tu jmn unakuwa Islamic njowen u. s. a mwaka jana ilikuwa na waislam lak8 hasa hv milion10 hamshangai mbona waislam hawaj Kwenu ebu badiliken kesho uko pagumu jmn nawaoneya huluma.

    • @helenhongerababaamosj5848
      @helenhongerababaamosj5848 5 ปีที่แล้ว

      HABIBU pole sana kwa kuongea hayo maneno bila kujua

    • @lulujoseph2352
      @lulujoseph2352 3 ปีที่แล้ว

      @@hamisikigodihamisikigodi3706 unajua kuna wakristo wangapi duniani kama hicho ndio kugezo cha dini yakweli?

  • @apostlefrank9921
    @apostlefrank9921 5 ปีที่แล้ว

    Acha kudanganya watu Wewe Mungu anakuona

    • @dottomarko1890
      @dottomarko1890 3 ปีที่แล้ว

      Anawadanganya vp wew unaelewa nini juu ya hayo?

  • @vianneyhabonimana7128
    @vianneyhabonimana7128 5 ปีที่แล้ว +5

    Tunapashwa kuelewa kwa Mungu ni nani? bcs, wengi wanasema eti ni roho, kitu ambacho hakiwezi kuonekana, wengine watakwambia kwamba Mungu anaishi ndani yetu,,,lakini maandiko matakatifu yanaonyesha wazi,,,nature ya Mungu. for eg. Gen 1:26 hapo inaeleza jinsi Mungu alivyo tuumba kwa mfano wake,,, Act 7:55-56, hapo inaeleza kwa Stefano aliona mbingu zikifunguka na akaona Yesu kristo akisimama upande wa kulia wa Mungu, hilo inaonyesha kwamba ni watu wawili...soma pia, Mat 26:52-64... This is a high doctrine, you can contact me on my what's app for more explanation about that. +25771697165 tutatumia maandiko kiundani zaidi ili tusaidiane kuelewa. Asante, Mungu awabariki.

  • @petermdabwa173
    @petermdabwa173 5 ปีที่แล้ว +5

    Kuhuuc abar za YESU weng mtataft mtapata majib na weng mtakosa majibu kikubwa ww muamin tu kwamba yupo muombe mfwate mengne achana nayo mtajikuta mnamkosea paspo kujua

    • @johnmhina7127
      @johnmhina7127 5 ปีที่แล้ว

      True

    • @bboyblackfire
      @bboyblackfire 5 ปีที่แล้ว +2

      sidhan kama MUNGU aliweka mipaka yakumjua usituwekee mipaka na kama na wew dini yako inakuwekea mipaka bas achana nayo inakupoteza

  • @kingsuleiman7201
    @kingsuleiman7201 3 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mungu yesu ni yesu nabii hata Paulo anajua biblia timothio wa kwanza 2,5

  • @abilahihaule1251
    @abilahihaule1251 5 ปีที่แล้ว +2

    Haibu kubwa sana mtangazaji unatangaza uongo mbele ya wanaojua. Hivi mumeshawahi kujiuliza mwisho wenu utakuwa nini?

    • @elemnesh611
      @elemnesh611 4 ปีที่แล้ว

      Abilahi Haule chunguza biblia yko vzri na utapata majibu ni haya

  • @magrethpaul5959
    @magrethpaul5959 2 ปีที่แล้ว

    Km wewe nimungu Mdogo dunian Basi Yesu Ni Mungu IPO kwenye zabur

  • @donpjay9528
    @donpjay9528 4 ปีที่แล้ว

    Yesu ni mungu soma kwenye kitabu cha Yohann 1.6 inasema hapo mwanzo palikuwako neno naye neno alikuwa kwa mungu

    • @omarsaid3005
      @omarsaid3005 4 ปีที่แล้ว

      Kwa maana hapo mwanzo kulikuwako na Mungu naye Mungu alikuwako kwa Mungu nae Mungu ni Mungu ndio nini?ukimaanisha ilo neno ni Mungu sasa kutakuwa na Mungu wa ngapi

    • @omarsaid3005
      @omarsaid3005 4 ปีที่แล้ว

      Chukua iyo

    • @omarsaid3005
      @omarsaid3005 4 ปีที่แล้ว

      Hesabu:23.19
      Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalifikiliza?

  • @mjitenaziofficial3035
    @mjitenaziofficial3035 ปีที่แล้ว

    ILO FUNDISHO NILA UWONGO NA LINA HARIBU IMANI YA KICHRSISTO. YESU NI MWANA WA MUNGU IYO AITA BADILIKA KAMWE. YESU SIYO MUNGU BABA ILA YESU NI MWANA WA MUNGU ILA ANAHAKI YAKUITWA MUNGU KWASABABU YEYE NI MWANA WA MUNGU NA NI MRITHI WA YOTE. BIBLIA INA SEMA Katika Kitabu cha
    YOHANA 17:3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. HAYO NI MANENO YA YESU ALIYO YASEMA.
    TUMJUWE MUNGU WA KWELI WA PEKEE NA YESU ALIYE TUMWA SASA IVYO MNA SEMA TU NI YULE YULE ? Why

  • @crescentvscross1132
    @crescentvscross1132 2 ปีที่แล้ว

    Wagiriki na warumi ndo walipoteza alichofundisha yesu

  • @marthaholela6938
    @marthaholela6938 2 ปีที่แล้ว

    MUNGU NI ROHO...NA YESU N MWANADAMU...

  • @user-fu9xp9gq4x
    @user-fu9xp9gq4x 8 หลายเดือนก่อน

    BWANAYesukristoniMungumkuu,KABLA YAKENAZAIDIYAKEHAKUNAMunguwengi

  • @henrycharo9697
    @henrycharo9697 5 ปีที่แล้ว

    1yohana5:8
    2petro1:17
    Yohana 1:1-14
    Yohana4:24

  • @kozahandsome4482
    @kozahandsome4482 3 ปีที่แล้ว

    ww umechanagnikiwa ujui ki2 unasema kwa sababu hata Kama yesu sio mungu na korani inasema Muhammad Hana nakao ya kupeleka watu ,yesu ndiye njia ya uzima yesu,ako ndani ya baba,na baba ndani yake apo mwazo kulikwa na neno likakuwa na mungu neno ndio yesu trinity ni ukweli baba , na mwana na roho mtakatifu yesu akikufaa akieda mbinguni aliwachia wanafunzi wake roho mtakatifu sawa wewe umchanganikiwa siwezi kuwa muisilamu Mimi nafwata yesu nakufa na yeye

  • @vitalramadhani8577
    @vitalramadhani8577 5 ปีที่แล้ว +3

    Ila kuna kitu ninakufahamisha hizo picha zote hakuna picha ya YESU iliomo kati ya hizo umeonyesha

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 ปีที่แล้ว

      Hahahahaha najua hilo

    • @shukuranikibona5893
      @shukuranikibona5893 5 ปีที่แล้ว +1

      Mfano tu wa picha ya Yesu kumbuka Yesu alifanana sana na wanafunzi wake..!

  • @estherkoya8410
    @estherkoya8410 4 ปีที่แล้ว

    Imani, sisi tumechagua kuamin na kushika sana tulichonacho( iman) had mwisho wa dahar, hata dunia isipoelewa au ikituona wajinga, bado tnaamini na tutazidisha imani

  • @sharonndowo6922
    @sharonndowo6922 5 ปีที่แล้ว +4

    Ndio naanza kudondosha magazeti Joseph;
    .
    .Yesu ni Mungu yule yule wa Agano la kale (Yehova); "Mimi ni Bwana, wala hapana mwingine; zaidi yangu mimi hapana Mungu; nitakufunga mshipi ijapokuwa hukunijua;"
    (Is 45: 5)
    ....Mungu wa Agano la kale Yehova anasema yeye ndiye Bwana hapana mwingine, lakini kwenye Agano jipya malaika walihubiri kuwa Yesu ndiye Bwana, Mfalme na Kristo; (Luk 2 )
    ------------
    10 Malaika akawaambia, Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea habari njema ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote;
    11 maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo Bwana.
    .
    .Isaya alisema hivi miaka 700 kabla ya Yesu; "Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani."
    (Is 9: 6)
    .
    .Yesu mwenyewe hakukataa kuabudiwa; "Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu,"
    (Mar 7: 7)
    .
    .Damu iliyomwagika msalabani kulinunua Kanisa ilikuwa ya Mungu mwenyewe; "Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe."
    (Mat 20: 28)
    .
    .Mungu mwenyewe alisema; " But unto the Son he saith, Thy throne, O God, is for ever and ever: a sceptre of righteousness is the sceptre of thy kingdom."
    (Ebr 1: 8)
    ......Hapo Mungu anamwita Yesu "O God" G ya herufi kubwa inamwakilisha Mungu mwenyewe.
    .
    .Wafilipi 2:5- (Fil 2 )
    ------------
    5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
    6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho;
    7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;
    8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
    .
    .Yesu ni Mungu mkuu; "tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;"
    (Tit 2: 13)
    .
    .Yehova alisema hivi katika Agano la Kale; "Kwa nafsi yangu nimeapa, neno hili limetoka kinywani mwangu katika haki, wala halitarudi, ya kwamba mbele zangu kila goti litapigwa, kila ulimi utaapa."
    (Is 45: 23)
    .
    .....Katika Agano jipya; (Fil 2 )
    ------------
    10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi;
    11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
    .
    .Yesu alisema alipomfunulia Yo hana mambo yajayo, kuwa yeye ni; "Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi."
    (Ufu 1: 8)
    .
    .Roho Mtakatifu ni; Petro alisema; (Mat 5 )
    ------------
    3 Petro akasema, Anania, kwa nini Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho Mtakatifu, na kuzuia kwa siri sehemu ya thamani ya kiwanja?
    4 Kilipokuwa kwako, hakikuwa mali yako? Na kilipokuwa kimekwisha kuuzwa, thamani yake haikuwa katika uwezo wako? Ilikuwaje hata ukaweka neno hili moyoni mwako? Hukumwambia uongo mwanadamu, bali Mungu.
    .
    ....Mniwie radhi kwa gazeti.

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 ปีที่แล้ว +1

      Mamaaaaaaa gazeti hili ngoja nile kwanza alf nirudi nilipitie vizuri

    • @moodyhassany8928
      @moodyhassany8928 5 ปีที่แล้ว

      Moto unakuhusu usipobadilika

    • @sharonndowo6922
      @sharonndowo6922 5 ปีที่แล้ว +1

      @@moodyhassany8928 mi nimenukuu bible nibadilishe kitabu au nini sasa hapo au hatia ya mimi iko wapi hapo?

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 ปีที่แล้ว

      Wakristo Mna kwama Wapi??? Nyie...

    • @sharonndowo6922
      @sharonndowo6922 5 ปีที่แล้ว +2

      @@khairulabdi8231 tuna kwama kwenye bible kama vile waislam wanavyo kwama ndugu yangu, mi naona unatumia nguvu kubwa Tricod karuhu utiririke gazeti lako kuhusu Yesu ni nani, ingekuwa vyema utoe coment yako iliyobora ili wengi tufaidi mambo ya ku kwama tuachie sisi.

  • @biragestephen9772
    @biragestephen9772 5 ปีที่แล้ว

    Injili ya Yohana 1 utajua Yesu ni nan

  • @adamujuma5925
    @adamujuma5925 5 ปีที่แล้ว +3

    Me nasubiri kusoma tu comments!, km yupo mwingine anayesubiri tuungane..

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 ปีที่แล้ว

      Hahahaha

    • @janefulko8736
      @janefulko8736 5 ปีที่แล้ว

      We mbwa Quran haijawahi shushwa labda na kamba na hiyo dini wote mtaulamba moto dadeki

    • @adamujuma5925
      @adamujuma5925 5 ปีที่แล้ว

      Ukirusha jiwe gizani ukasikia kelele ujue limemlenga! So haijalishi ni kelele za matusi au za aina gani.

    • @mwanahamisially5234
      @mwanahamisially5234 5 ปีที่แล้ว +1

      Mm👍👍👍

  • @mtasma1994
    @mtasma1994 5 ปีที่แล้ว +4

    Yesu ni mtume kama mitume wengine

    • @nemohos4885
      @nemohos4885 5 ปีที่แล้ว +1

      kwaiyo mbona ajatumwa tena?

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 ปีที่แล้ว

      sitayari kipindi chake kimepita tusubir kwa mara ya pili wakati anakuja kupambana na Dajjal ( mpinga kristo) ila sis hatutakuwepo.

    • @silaswilliammakashi3227
      @silaswilliammakashi3227 5 ปีที่แล้ว

      @@khairulabdi8231 Sasa kwanini asije mtume muhammad kupambana na mpinga kristo hadi aje Yesu

    • @mapendomrosso2270
      @mapendomrosso2270 5 ปีที่แล้ว

      mtasma jr rumia mdawako kutafuta Bwana maadamu anapatikana

    • @mtasma1994
      @mtasma1994 5 ปีที่แล้ว

      @@mapendomrosso2270 ungejuwa kwann yesu aliletwa duniani usingeongea saana kingine nchi zote ambazo zilikaliwa na mitume mpaka sasa ni waislam mfano misri kwa nabii musa hadi pale babelon kwa maana Iraq,Jordan hiz nchi zote ni za kiislam halafu kama mwelewa zaidi jiulize kwann mitume wote walishuka bara la Asia lakini maandiko mengi ya kikristo yameanzia kwa wazungu ambako hakuna historia kuhusu hata huyo yesu.... Kikubwa ni kwamba tunadanganywa na wazungu akiwemo paul

  • @vianneyhabonimana7128
    @vianneyhabonimana7128 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa maelezo,,,ila kuna tatizo kidogo naomba nieleze,,,Trinity is a false doctrine taught by the Universal Church, now called Catholic, when you read well the scriptures you will understand, God our heavenly father, Jesus Christ and the Holy Spirit are three distinct characters, there is only one God, our heavenly father, Jesus Christ his only Son in the flesh and the Holy Spirit who testifies of God, the heavenly father and Son, but they have one purpose ... God sent Jesus Christ to teach his gospel, establish its church and atone for all those who believe in its name, but the fact that is dead and resurrected gives to all humanity all who believe and those who do not believe it the power to resurrect after the death. ni somo kubwa, naweza nikaelewesha kila mmoja ili kila mtu aelewe,maana myaka mingi ilipita, watu wengi bado wana utata wa kushindwa kuelewa hilo jambo, inaonesha wazi kwamba watu wengi wanaomba Mungu ambao hawajui...soma kwanza John14:25-28 utaona Yesu kristo mwenyewe alicho kisema wakati alikuwa anaaga mitume wake...then you'll understand my point...

    • @ramadhanaldawiyya8659
      @ramadhanaldawiyya8659 5 ปีที่แล้ว

      Hahahaahha wewe mwenyewe inakuletea ukakasi...dogma HIYO KAKA.

    • @vianneyhabonimana7128
      @vianneyhabonimana7128 5 ปีที่แล้ว

      Ramadhan Aldawiyya ,,,Mimi hainipi ukakasi wowote Kaka,,,labda hujaelewa nilicho kiongea,,,hiyo ni doctrine ndogo kwangu Kaka...niandikie kwenye what's app yangu if you don't mind,,,then, utaniuliza swali lolote...

    • @erickkihanga9292
      @erickkihanga9292 5 ปีที่แล้ว

      Amen.
      Wenye hekima watatambua hayo. Ni wale waliotoka mbinguni tu, na wala huwezi lazimisha.
      Kila mbegu izae kwa jinsi yake, Kaini na uzao wake (Ibilisi) na Sethi uzao wake (wana wa Mungu). Biblia ilisema Hapo ndipo Watu walipo anza kuliitia jina la Bwana. (Uzao wa Seth).

  • @savege-zh8yk
    @savege-zh8yk 5 ปีที่แล้ว

    Kama ivo Mungu ameumba Yani kuwa kuku na kuku kuwa yayi u ajuwa maana yake?
    Umeshaga wayi tokosa yayi uone hisi yayi moja una na vipande vi tatu?
    Sasa kama Mungu anaweza kufanya ivyo nini sasa inaweza mshinda?

  • @tomzlee4076
    @tomzlee4076 5 ปีที่แล้ว +3

    Soma IMANI YA NIKEA ( imani ya mitume) au soma IMANI YA ATANASIO. utaelewa vzur kuhusu utatu mtakatifu

    • @TricodMedia
      @TricodMedia  5 ปีที่แล้ว

      Ukifuata biblia inavyosema utapotea maana kila mtume alikua anapinga mwenzake cha muhimu ni kujua makubaliano walioingia kwenye mkutano wa nausea kuhusu utatu mtakatifu maana ndio msingi ya ukristo

    • @sharonndowo6922
      @sharonndowo6922 5 ปีที่แล้ว

      @@TricodMedia ok, huo mkutano ntaupata wapi kama sio kwenye bible unapatikana wapi?

    • @sharonndowo6922
      @sharonndowo6922 5 ปีที่แล้ว

      Kwa niaba ya wengi kama hutojali tuwekee hapa ndugu tusome