Kwa coment chache tu nimeona jinsi gani watanzania wanaitaji mungu kuwaletea Masihi kuja kuwatua watu mizigo ya akili,roho,mwili,...watu wamekalia tu hatumtaki Hangaya,enyi wanafki je,wewe uliookaa hapo unaifanyia nn nchi yako?watu hata kujiongoza tu ni shida kuongoza familia zenu mnashindwa,waleeni watoto wenu vizuri maana ndiko vongozi wanakotoka,hatutakiwi kusubiri kubadilisha matokeo justini kalikawe alishaimba"panapofuka moshi basi moto uko chini"..mitaani kesi zilizojaa zote ni kutokana na watu hawajielewi na wamelelewa hovyo,watot wa mitaan wanazidi kujaa tunaona tu tunamsubiri hangaya au sio,,watu mpak wamekufa bado wanawasubirigi mitume/manabii wao kwamba watarudi lkn mi naamua kuwafata ukouko,simsubiri raisi,mbunge sjui nabii/mtume afanye kitu nafanya mwenyewe maana mungu katutuma wote na ukitaka kuibadili dunia badilika wewe kwanza
Huyu mzee anachoongelea ni anaona mbali anaona kwamba hwa maraisi watapita wote lkn kwa hangaya kuna kitu kimeendela zaid cha uafrika zaidi baada ya kusimikwa uchifu watakuja wengine itafika mbali hadi kwenye Ufalme,Mungu atakua ameona tumekomaa tunaweza na tumezoea uchifu,ufalme n.k tutaweza kumpata mfalme ambaye ana nguvu ya mungu, kyala,leza,ngai,Allah...kwaiyo tusiwalaumu viongozi wetu hiyo ni kazi ngumu sana siri ya mtungi aijuaye kata ndio maan nyerere alisema "Ikulu ni mahala patakatifu" je?wewe ulielewaje
Miaka laki nne Tanzania kulikua na watu wanaishi alafu miaka elfu saba iliyopita Mungu wa kupewa ndio kamuumba Adamu na Hawa.... tunalishwa matango mabovu 🤣
Sometimes people they needed to go to the Qur'an,ww wafkiri na mungu anasema ki vyake,sasa tuache kuamini mungu aliposema kumshusha Adam duniani ili tukuamini wewe binadamu WA Kwanza kuishi Tanzania???
No ,big nooo, huyo siyo Queen kabisa, jiulize JPM alimuuwaje??pls ,eti chief HANGAYA, ametoka kwenye family ya kichifu???jmn msipambe uongo. Watanzania hatumtaki, na hayupo wa kumpa kura 2025.PERIOD.
Una uhakika kama kamuua JPM?? Usikomment kwa mhemko ndugu makasiriko ya nini??? Kila familia duniani iliwahi kuwa na ufalme ndani yao wewe jiulize since beginning of time inamaana familia yako inaongooozwa tu.... think of babu yako aliyeishi miaka elfu 7 iliyopita hadi leo upo wewe mtakua mandezi wa level gani kama hamjawahi kua na mfalme hata mmoja?? Na kura 2025 CCM wasipotoa mgombea mwingine.... mama anaendelea na uongozi CCM ni chama tawala daima. Vyama vingine wasindikizaji tu
Sema humtaki sio watanzania hawamtaki,yanini kusemea watu?.angalia kizuri alichokisema prince katega beba na ambacho hakikufai achana nacho..Marais wangapi wamekuja wakaongoza vizuri wengine vibaya lkn leo wakowapi?Waafrika tunatakiwa turudi kwenye maisha yetu ya kifalme na sio kitumwa..mambo ya sjui nn mara nn Hapana ndugu,wew unaifanyia nn nchi yako?mabadiliko yanaanza na wewe na familia yako huko ndiko walikotoka wakina Nyerere,Mkapa,mwinyi ____ mpak sas Mh.Samia...Ndo maana ata yesu alisemaga "Msinililie mimi walilieni watoto wenu___"
Changamoto ya wa tanzania na waafrika KIUJUMLA bado wajinga sana, video za namna hii huwa hazina viewerz wengi viewers WAPO kwenye udaku na mpenzi HOVYO KABISA 🚮🚮🚮🚮☠️☠️
Dr Prince Katega HESHIMA YAKO MZEE WANGU........... our african ancenstors wakulinde na uendelee na kazi yako.!!
Hongera sana kwa elimu hii kubwa, Watanzania tumeanza kutambua kuwa dini hizi tumeletewa, Hongera sana baba.
Brother @sky huyo Dr anatoa madini sana ase hongera yke Na yko pia
Ahsante Prince katega 2 kwa ukombozi wa FIKRA
Tunaomba muendelezo wa masomo haya ni muhimu sana kwa vizazi
Kwa coment chache tu nimeona jinsi gani watanzania wanaitaji mungu kuwaletea Masihi kuja kuwatua watu mizigo ya akili,roho,mwili,...watu wamekalia tu hatumtaki Hangaya,enyi wanafki je,wewe uliookaa hapo unaifanyia nn nchi yako?watu hata kujiongoza tu ni shida kuongoza familia zenu mnashindwa,waleeni watoto wenu vizuri maana ndiko vongozi wanakotoka,hatutakiwi kusubiri kubadilisha matokeo justini kalikawe alishaimba"panapofuka moshi basi moto uko chini"..mitaani kesi zilizojaa zote ni kutokana na watu hawajielewi na wamelelewa hovyo,watot wa mitaan wanazidi kujaa tunaona tu tunamsubiri hangaya au sio,,watu mpak wamekufa bado wanawasubirigi mitume/manabii wao kwamba watarudi lkn mi naamua kuwafata ukouko,simsubiri raisi,mbunge sjui nabii/mtume afanye kitu nafanya mwenyewe maana mungu katutuma wote na ukitaka kuibadili dunia badilika wewe kwanza
Wow kwa kuja tena
Price katega2 mungu akubaliki sana
Asante mulan
Asanteni wote mnaosaidia kusambaza habari hizi nyeti
Wewe ni Zaidi ya Mwalimu
Safii
Dr Prince, please fanya kazi yako, ila huyo unae muita eti chief HANGAYA, big nooo.
Kapewa huo Uhamgaya ni wafalme wa falme za kitanzania
Huyu mzee anachoongelea ni anaona mbali anaona kwamba hwa maraisi watapita wote lkn kwa hangaya kuna kitu kimeendela zaid cha uafrika zaidi baada ya kusimikwa uchifu watakuja wengine itafika mbali hadi kwenye Ufalme,Mungu atakua ameona tumekomaa tunaweza na tumezoea uchifu,ufalme n.k tutaweza kumpata mfalme ambaye ana nguvu ya mungu, kyala,leza,ngai,Allah...kwaiyo tusiwalaumu viongozi wetu hiyo ni kazi ngumu sana siri ya mtungi aijuaye kata ndio maan nyerere alisema "Ikulu ni mahala patakatifu" je?wewe ulielewaje
Asante
Miaka laki nne Tanzania kulikua na watu wanaishi alafu miaka elfu saba iliyopita Mungu wa kupewa ndio kamuumba Adamu na Hawa.... tunalishwa matango mabovu 🤣
KATEGA UNATUVURUGA 🤯🤯🤯
HANGAYA HANA HAYA KAMA NI HUO NINAE MUWAZA BASI SIO
Tusiukumu ili tuendelee chini ya jua. Ukijijua mwenyewe kwanza haya mengine yatakua poa tu 🦋
Ndiomana ni nchi yenye amani kuliko zote duniani
This is the men💥💥
SAMSON KAONDOKA KABAKIA DELILA.
MAFUNDISHO YA ALIFU LELA HULELA HAYO (PAUKWA PAKAWA)
Sometimes people they needed to go to the Qur'an,ww wafkiri na mungu anasema ki vyake,sasa tuache kuamini mungu aliposema kumshusha Adam duniani ili tukuamini wewe binadamu WA Kwanza kuishi Tanzania???
Mungu wa Quran na Biblia ni scammer
No ,big nooo, huyo siyo Queen kabisa, jiulize JPM alimuuwaje??pls ,eti chief HANGAYA, ametoka kwenye family ya kichifu???jmn msipambe uongo. Watanzania hatumtaki, na hayupo wa kumpa kura 2025.PERIOD.
Una uhakika kama kamuua JPM?? Usikomment kwa mhemko ndugu makasiriko ya nini???
Kila familia duniani iliwahi kuwa na ufalme ndani yao wewe jiulize since beginning of time inamaana familia yako inaongooozwa tu.... think of babu yako aliyeishi miaka elfu 7 iliyopita hadi leo upo wewe mtakua mandezi wa level gani kama hamjawahi kua na mfalme hata mmoja??
Na kura 2025 CCM wasipotoa mgombea mwingine.... mama anaendelea na uongozi CCM ni chama tawala daima. Vyama vingine wasindikizaji tu
Alafu mama alipewa huo umalkia ni wafalme wa falme zote za kiasili Tanzania so ukubali tu huyo ni MALKIA
Sema humtaki sio watanzania hawamtaki,yanini kusemea watu?.angalia kizuri alichokisema prince katega beba na ambacho hakikufai achana nacho..Marais wangapi wamekuja wakaongoza vizuri wengine vibaya lkn leo wakowapi?Waafrika tunatakiwa turudi kwenye maisha yetu ya kifalme na sio kitumwa..mambo ya sjui nn mara nn Hapana ndugu,wew unaifanyia nn nchi yako?mabadiliko yanaanza na wewe na familia yako huko ndiko walikotoka wakina Nyerere,Mkapa,mwinyi ____ mpak sas Mh.Samia...Ndo maana ata yesu alisemaga "Msinililie mimi walilieni watoto wenu___"
No,big nooo, ×zillions kwako mnyooshaye kidole wakati vingine vinabaki ukijinyooshea ..unaangalia kibanzi kilicho katika jicho la mwenzako ingali jichoni mwako kuna bolt
@@ismailmagina2231 Comment nzuri sana hii
Changamoto ya wa tanzania na waafrika KIUJUMLA bado wajinga sana, video za namna hii huwa hazina viewerz wengi viewers WAPO kwenye udaku na mpenzi HOVYO KABISA 🚮🚮🚮🚮☠️☠️
wewe ni muongo