MSIGWA ATAKA WAGOMBEA WAWILI KITI CHA MBOWE, HAKUNA KUPITA BILA KUPINGWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 115

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 2 หลายเดือนก่อน +6

    Tukiwaambia chama Cha chadema ni chama Cha ukabila hamkuelew mbowe hawez kukubali kuachia uenyekiti

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 หลายเดือนก่อน

      Utakuwa na govi wewe siyo bure!

  • @hussein8200
    @hussein8200 2 หลายเดือนก่อน +1

    Haifai kukaa na jambo moyoni haiyakuwa linakuathiri ni veme kutema nyongo kama alivyofanya Mch. PETER MSIGWA. Congrats sana big brother kwa kusema ukweli. Hiyo ndiyo CHADEMA ilivyo kwa wale wasio ifahamu vizuri.

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mbowe ni mwenyekiti wa kudumu wa chadema, akifa anataka amrithishe mwanae chadema ni chama cha wachaga chama cha kifalme pumbuvu chadema

    • @shivobs4485
      @shivobs4485 2 หลายเดือนก่อน

      CCM ni chama cha nani mzee

    • @Ryanzabron
      @Ryanzabron 2 หลายเดือนก่อน

      @@shivobs4485 CCm kila mtu ni kiongozi ndo maana unaona hakujawahi kuwa na mwenyekiti mmoja.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 หลายเดือนก่อน +3

    ILA MSIGWA UKO SAWA SANA MABADILIKO YANATAKIWA KUANZIA NDAN YA CHAMA

  • @frankchaula6840
    @frankchaula6840 2 หลายเดือนก่อน +4

    Umechoka brother

  • @BobNgagi2023
    @BobNgagi2023 2 หลายเดือนก่อน +6

    Msigwa atakua amehongwa na CCM akivuruge chama kama akina Mdee, manake kwa namna hii Chadema watawezaje kudai tume huru ya uchaguzi na katiba mpya wakaeleweka 😂😂

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 2 หลายเดือนก่อน +5

      CHADEMA HAKUNA DEMOCRACY KUNA UDINI TU NA UKANDA CHAMA CHA WAHUNI WENYE NJAA

    • @thomaskiponda6079
      @thomaskiponda6079 2 หลายเดือนก่อน

      Ninachoweza KUSEMA NI chadema NI lazima cha democratisia

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 2 หลายเดือนก่อน

      @@thomaskiponda6079 NEXT VICTIM LISU 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳

    • @RenatusMatungwa
      @RenatusMatungwa 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mbowe ndo anaivuruga chadema jitambue ww uwe na akili

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 2 หลายเดือนก่อน

      @@RenatusMatungwa WOTE NI WAHUNI NA WADINI KUANZIA DIWANI MPAKA MWENYEKITI 🤧🤧🤧🤧🤧

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc 2 หลายเดือนก่อน +2

    Msigwa akajifunze Kwa Mh Zitto kabwe kilichompata na anachokiyaka atakipata muda si mrefuuj

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 2 หลายเดือนก่อน +4

    Msigwa upo sawa

  • @BobNgagi2023
    @BobNgagi2023 2 หลายเดือนก่อน +10

    Daaah, TZ hatuna upinzani, shida tu , ndiyo maana Lissu naye ana kauli za kitoto toto tu, Ukiutaka Urais angalau uwe na kauli za staha , hivi mtanzania gani mwenye nia njema na nchi hii atampigia kura za urais mtu kama Lissu

    • @KamwandaNzowa-eo4ur
      @KamwandaNzowa-eo4ur 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kama kauri za Lisu ni kitoto kwanini mnakataa Tume huru na Katiba Mpya jalibuni kuruhusu tume huru mapate majibu yenu

    • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
      @yahyamajidyahyahilalal-har8762 2 หลายเดือนก่อน

      Jengeni chama kwanza ​@@KamwandaNzowa-eo4ur

    • @chescokagali5962
      @chescokagali5962 2 หลายเดือนก่อน

      Utofauti uliouona hapo ni upi maana hoja ya Msigwa imenyooka au hampendi kisikia kukosoa kitu kibaya Ili kiboreshwe

    • @user-qz2cs5wm5u
      @user-qz2cs5wm5u 2 หลายเดือนก่อน

      Sisi tutampigia maana ametakakuliwa kwamaslai yanchi nawananchi

    • @PetroMpunga-rt7hv
      @PetroMpunga-rt7hv 2 หลายเดือนก่อน

      Katiba mpya

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 2 หลายเดือนก่อน +2

    Napongeza sana lissu na mbowe wafanye mdahalo😊

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 2 หลายเดือนก่อน +1

    CHADEMA hakuna kitu rufaa, akina Mhe. Halima Mdee wamekata rufaa inayosubiri mkutano Mkuu wa chama lakini bila haya wala kuheshimu mnawatangaza kama ni watu hawana chama hali mkijuwa rufaa yao ipo mezani. Hebu naomba HAKI itendeke!

  • @bonifacemwanga3115
    @bonifacemwanga3115 หลายเดือนก่อน

    SASA UPO CCM, HAYO SASA KAZUNGUMZE HUKO, UCJEGEUZWA MPIGA DEBE BAADA YA KULISHWA BAGIAAA, hakika umepotea kama mshumaa, CCM kijan na CCM mpauko, Utakatwa MKIA kama MWENDA zake alivyosema, WAKATI UTAZUNGUMZA

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yes uenyekiti wawe wawili!

  • @lucasgraduce1066
    @lucasgraduce1066 2 หลายเดือนก่อน

    That's great pastor! It signifies maturity in what you believe in! You've my total support bro!

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 หลายเดือนก่อน +1

    Mroho wa madaraka mbona hata ww unang,ang,ania madaraka, kumbe chadema unaipenda itakuuma sana ss tupo tena tupogo chadema

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 หลายเดือนก่อน

    Watanzania wengi sijui tunashida gani,kuna points za maana sana Msigwa anaziongea,kwa mwana chadema haswaa (anaetamani chama kipate uongozi wa taifa) angeguswa moyoni kabisa.Cha ajabu watu wanapondea tu utadhani hakuna lolote la maana hapo,sasa hiyo itakusaidia wewe wala siyo chama.vinginevyo mnaeponda kila alicho ongea msigwa muwe Mamruki.

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 2 หลายเดือนก่อน +3

    Chadema yangu mnanikatisha tamaa jaman mmeaza kulumbana Tena jaman daaah

    • @user-eg8ri1fy4h
      @user-eg8ri1fy4h 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mahali penye njaa hakunaga umoja 😮😮😅😅

    • @user-qy5qw1jv4s
      @user-qy5qw1jv4s 2 หลายเดือนก่อน

      Tofautisha malumbano na kutetea haki pale mtu anapoona hajatendewa haki ana ana haki ya kutafuta haki yake na sio malumbano, kwani chadema Kuna wa malakini hakuna wanadamu kwamba hakuna mahali wanaweza kukosea? Kuna chama gani ambacho Kiko perfect kwa kila kitu, ivi Kuna chama kilicho na mikawanyiko kuliko ccm? Kwanini mkisikia jambo fulani tu kwa chadema kunaanza maneno, hayo ni kawaida na kila mtu ana haki ya kuongea pale anapoona Kuna jambo halijaenda sawa kwa upande wake na sio mbaya na ndio semocrasia yenyewe

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa ili mbowe kachemka na watu wake tunamkalibisha msigwa kwenye chama lao ccm👍👍👍👍

  • @user-si5rl7kc6c
    @user-si5rl7kc6c 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mitifuano IPO mchungaji anaonesha hasira Kwa mwenykiti wake kisa kaporwa tonge mdomoni

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 หลายเดือนก่อน

      Lakini si ndio demokrasia?

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile1523 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo hamjapewa inchi na mkipewa je?

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 หลายเดือนก่อน +1

    Lisu alivyosema ndan ya chama kuna rushwa mkakataa

  • @valencegustav1378
    @valencegustav1378 2 หลายเดือนก่อน

    Mbowe akitoka nadhan ni busara wakili msomi mwabukusi achukue usukani jamaa ni mzalendo kuliko hao wanaopiga kelele ...mdam mheshimiwa mwenyekiti wa CCM alishatuhakikishia ndani kuna fukuta hapo tunajua kuna mapandikizi tayari na Moja wapo ni mchungaji uyo

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mhehe mwoga wala kumunyamunya maneno safi sana

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 หลายเดือนก่อน

      Aliyekwambia msigwa ni mhehe ni nani?

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si หลายเดือนก่อน

    Kitapigwa mnada asubuhi

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mch Msigwa oyeeeeeee

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 2 หลายเดือนก่อน

      😂....hoyeeeeeeee

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 2 หลายเดือนก่อน

    KAMA HATA MSIGWA ANAINGIA KTK ,MSUGUANO, NA SUGU na hawa ndio MAJEMBE TUNAYO YATEGEMEA,LEO WATAKA KUGOMBANA,,CNA HAJA TENA NA HIKI CHAMA,bola kubaki tu,bila kushabikia chama chochote,kupotezeana muda tu,

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 2 หลายเดือนก่อน

    Mkitaka kuona hii dunia kua haifai kabisa mguseni mbowe na chama chake. Kumgusa mbowe na uenyekiti wake ni sana na kuigusa CCM na chama chao.mtapata tabu sana

  • @chescokagali5962
    @chescokagali5962 2 หลายเดือนก่อน

    Nadhani mawazo na maoni ya Mchungaji Msigwa ni ya msingi sana na kama Chama Ione huo ndiyo utakuwa uwakilishi mwema kwenye Demokrasia ndani ya chama

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 2 หลายเดือนก่อน +1

    Chadema ukitaka kuonekana umenunuliwa ww gusa link ya mwenyekiti si unamsikia safari hii ngazi taifa hakuna cha kupita bila kupingwa ndo mgogoro huo timu Lissu na Timu mbowe

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂... Richardiiiiiiiiiiiiiii
      Nimecheka balaa
      Eti gusa link ya mwenyekiti ndio utajua...
      Hakika ukigusa link ya mwenyekiti ndio utajua chadema ni chama au genge la wahuni 😂
      Yaliyomkuta Chacha Wangwe na Tundu Lisu yatamkuta na Msigwa

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂 HAPO MMEWAPA VIRUNGU CCM VYA KUWAPIGIA 2025😅😅😅MKISHINDWA UCHAGUZ MSISEME MMEIBIWA KURA MAANA MMESHA ANZA KUYAKANYAGA WENYEWE🙆🙆

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni Chadema,ukwelinikwamba Mbowe hawezi kupita.Maana hana jipya.Kama nikwafaida ya wanainchi tafuteni mtu wakugombea

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 2 หลายเดือนก่อน

    Yuko sawa Msigwa hizo ndizo siasa za nchi zilizoendelea.

  • @josephmabula9658
    @josephmabula9658 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hii timu tundulisu

  • @johnosunga6859
    @johnosunga6859 2 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji ridhika kushindwa unaleta mgawanyiko chadema

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂...aaaah wapi usimzibe mdomo mtumishi hakuna cha kukubali kushindwa,muache afunguke ni ukweli na uwazi demokrasia gani ya mwenyekiti mmoja milele??😂😂
      Tuone sasa kama na huyu mtampiga risasi halafu msingizie ni chama tawala
      Mchungaji kaa macho kuna kupigwa risasi au ajali kama Chacha Wangwe 😂😂😂

  • @albinusmkono5887
    @albinusmkono5887 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe vp nani kamchoka mbowe.!! Na udikiteta ameufañyia nani.acha basi kuongea maneno ya kulishwa .kwanza wewe umemaloza mashamba ya famlya kwa kusomeshwa.hata hujui dikiteta.???

  • @user-rg2py2yz4x
    @user-rg2py2yz4x หลายเดือนก่อน

    Wewe..kwisha..kaaa..hukohuko..hatuna.mangufu..ccm

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtu anatafuta njia ya kuhama. Si chama changu lakini aende. Si tayari ameshaitwa huko!

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 2 หลายเดือนก่อน

    Hakika Mimi binafsi kweli wewe Mch,Msingwa nakukubali sana maana ulikuwa shupavu kweli kipindi Cha mwenda zake jengeni Chama chenu Chadema

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mbowe muda wake umeisha

  • @lucasgraduce1066
    @lucasgraduce1066 2 หลายเดือนก่อน

    Kauli za staha zutatupunguzia mfumko wa bei? Zitatuondolea ubadhirifu wa mali za umma? Zitanusuru hatari ya mdororo wa uchumi? Kuna problem katika mfumo wetu wa kufikiri!

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 2 หลายเดือนก่อน

    Mbowe miaka yote hiki chama ina madikteta alitamka sumu haionjwi kwa kulambwa

  • @Adrianmellow
    @Adrianmellow 2 หลายเดือนก่อน +1

    Msigw tulia

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 2 หลายเดือนก่อน

    Katika wapinzani ambao sio wanafiki huyu jamaa siku nyingi tu alishalionesha hilo yupo realistic sana

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee kubali yaishe

  • @user-qy5qw1jv4s
    @user-qy5qw1jv4s 2 หลายเดือนก่อน

    Tofautisheni malumbano na kutetea haki pale mtu anapoona hajatendewa haki ana ana haki ya kutafuta haki yake na sio malumbano, kwani chadema Kuna wa malakini hakuna wanadamu kwamba hakuna mahali wanaweza kukosea? Kuna chama gani ambacho Kiko perfect kwa kila kitu, ivi Kuna chama kilicho na mikawanyiko kuliko ccm? Kwanini mkisikia jambo fulani tu kwa chadema kunaanza maneno, hayo ni kawaida na kila mtu ana haki ya kuongea pale anapoona Kuna jambo halijaenda sawa kwa upande wake na sio mbaya na ndio semocrasia yenyewe

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 2 หลายเดือนก่อน

    HII NDIO DEMOCRASIA SASA HAKUNA KUPITA BILA KUPINGWA UNAPITA BILA KUPINGWA WEWE NANI? TUMEPINGA SANA HAYA MAMBO YANAVYOENDELEA CCM. NINYI CHADEMA MNATAKA KUFANYA KAMA CCM? NYIE VIPI? MSIGWA YUPO SAWA.

  • @godwinchengula6940
    @godwinchengula6940 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka tulia maisja bado yanaendelea

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 2 หลายเดือนก่อน

    Hata kwa Lissu nivigumu kupita

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 หลายเดือนก่อน

    Kahama mbona 🫣

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n 2 หลายเดือนก่อน

    hawa wanajuana ya kaisali mwachie kaisali

  • @valerianrwebandiza754
    @valerianrwebandiza754 2 หลายเดือนก่อน

    Chacha Wangwe!

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 หลายเดือนก่อน

    Mbowe bado anahitajika chadema

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa jirani moto unawaka, subiri muda ufike tu lazima maji mtayaita mmah!

  • @devidmwakipunda1697
    @devidmwakipunda1697 2 หลายเดือนก่อน

    Kamaumekata lufaa subili lufaa ifanyekazi unalopoka nini sasa

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂...unauliza swali au umekerwa na ukweli??
      Ni kweli kabisa anaropoka ukweli kuhusu madudu ndani ya chama..hakuna habari ya mwenyekiti mmoja maisha 😂😂😂

  • @user-kq8dg5sd2n
    @user-kq8dg5sd2n 2 หลายเดือนก่อน

    CCM OYEEEE

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 2 หลายเดือนก่อน

    Humu Kuna matatizo ukimsikiliza huyu bwana unajua tu Kuna makundi mawili yaliojipanga kupambana vikali.naona anguko kubwa kabisa linakuja

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa kauli hizi Hali sio shwari,,,,

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 หลายเดือนก่อน +1

    Halafu nyie ndio muingie ikulu pumbavu zenu mtauza nchi yote.

    • @user-qy5qw1jv4s
      @user-qy5qw1jv4s 2 หลายเดือนก่อน

      Wew ndo huna akili kabisa

    • @user-qy5qw1jv4s
      @user-qy5qw1jv4s 2 หลายเดือนก่อน

      Ivi chadema ni malaika, kma mtu anaona Kuna sehemu hajatendewa haki kwaiyo akae kimya kisa ni chadema kwamba wao hakuna mahali wanaweza kukosea? Kwani Kuna chama kina migawanyiko na malumbano kama icho kilichopo ikulu, au wew uko nchi gani ndugu

  • @AngerusLijuja-bg6sb
    @AngerusLijuja-bg6sb 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 yani najikuta nachekatu. MH MSIGWA iludie CPU yangu nilivyo jiuzuru niliyasema ayauliniponda SANA Leo wewe vipi mkuu

  • @SamsonJohn-mo7en
    @SamsonJohn-mo7en หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @paulokateme7615
    @paulokateme7615 2 หลายเดือนก่อน

    Mvuto kushinei.

  • @user-tu8tl2lg4b
    @user-tu8tl2lg4b 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe ndo utulie

  • @johnshayo9635
    @johnshayo9635 2 หลายเดือนก่อน

    We tulia mkuu nenda tu ccm kale vinono

  • @warangisasa
    @warangisasa 2 หลายเดือนก่อน

    Mepdj

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 2 หลายเดือนก่อน

    Kumeanza kuchangamka huku

  • @JoseMwambyale
    @JoseMwambyale 2 หลายเดือนก่อน

    Ulañz

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 2 หลายเดือนก่อน

    Unadai demokrasia halafu wewe mwenyewe hutaki demokrasia,,mbowe ni wakati wako wa kupisha mawazo mapya

    • @albinusmkono5887
      @albinusmkono5887 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe unataka mawazo mpya.!!.mbowe anastahili hapo.amewanyima usingizi ccm.anawauma nn.??kwani wao ni wanachadema.??.wanapandikiza mamluki kuleta fujo na kukashfu mbowe.eti amekaa muda mrefu.??sasa inawahusu nn.wanataka waweke watu wepesi wasambalatishe chama.labda lissu au mwambuksi.watahimili mashuti ya ccm

    • @albinusmkono5887
      @albinusmkono5887 2 หลายเดือนก่อน

      Msigwa Hana hoja yeye awarudishie ccm.hela zao.kama mwanzo alosema amepongeza ushindi akaongea maneno ya heshima.baada ya kukutana na waliomtuma wakamuwekea mdomoni maneno ili anchafie mbowe na akichafue Chama.

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe tulia ulitaka utawale mbaka lini muachie dogo aendeleze

    • @hussein8200
      @hussein8200 2 หลายเดือนก่อน

      Mbona M/kiti hataki kutoka na kuwaachia wengine? Bwege wewee!?

  • @silasponeka1773
    @silasponeka1773 2 หลายเดือนก่อน

    Mnafiki wewe

  • @charlesolomi9514
    @charlesolomi9514 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa tunawapaje nchi 😢

  • @bongo39
    @bongo39 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mbowe washakuchoka sasa wenzio hitaki kutoka madarakani mwaka wa ngapi sasa huu huu nu udikteta unaraka kuwa kama mugabe sasa ngatuka mpska wakufukuze ndio utatoka

  • @bilid4128
    @bilid4128 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 2 หลายเดือนก่อน

    Mahesabu Mbowe yupo Chadema miaka 30 sawa na nusu ya miaka ya Uhuru ni udikiteta usiokubalika nusu ya Uhai wa maisha yake duuuu

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 2 หลายเดือนก่อน

      Usiseme usicho kijua km huna uhakika haondoki na bado yupo sana coz Ccm mnataka aje mtu dhaifu mkibomoe chama Asubuh na mapema Hilo chini ya uwongoz wa mbowe halita wezekana tena ndomana kelele nying zinatoka Ccm ilihali sisi tunajua mnachotaka nyie kengeziii