MSIGWA AFICHUA MADUDU YALIYOGUBIKA UCHAGUZI KANDA YA NYASA ''SIJARIDHISHWA NIMEKATA RUFAA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 มิ.ย. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Wew msigwa hicho chama ni Cha mbowe siyo Cha umma.jindanganyeeee
Ccm ni ya nani
ccm ya nani hau yako mwezetu hunae toa maiti muimbili bule hau ccm yako kwa vile kodi ya majengo ukatwi au kwenu umeme ukatiki katiki jibu iyo kwanza yapo mengi tokea huulu
YALEEE YALE ALOSEMA MHE RAIS DKT SAMIA KWAMBA NDANI YA CHADEMA HAKUKALIKI KUNAWAKA MOTO 🔥🔥🔥,WAO WENYEWE HAWAELEWANI HATA WAKIPEWA SERIKALI WATAUNDA CHAMA CHENGINE. (🇹🇿C🇹🇿C🇹🇿M) OYEEEEEEEEEE.
Hata ccm moto unawaka maana Kila mtu anamasilai yake binafsi
Ccm mlichomfanyia Ndugae hameoni mnayaona tu ya Chadema!
Kumoto!
@@IsayaSosolo-nx8zkNdugai alijiuzulu sasa tatizo ni nini
Msigwa wewe ni mchungaji acha hasira hayoo ni mambo ya ndani ungeongea kwenye vikao vywa ndani acha ushamba
Sio ushamba Tanzania inatakiwa iwe na mgombea huru ili tuachane na Hawa manyangau wa chadema na ccm shenzi kabisa hawa
Yeye si mjumbe wa kikao chochote sasa hivi na barua zake kasema hazijibiwi
Uhuru umekuwa ushamba au wewe ndio mshamba
Hamna mtu hapa
Ninajua ni kwann unafurahia hiki@@warakawayohana2896
Hivi ungeshinda ungeongea hayo?? Umefeli sana.
Ni kweli hakukuwa na ulazima kufanya uchaguzi kabla ya Njombe kufanya uchaguzi.
Katiba inasema ngazi ya chini ikifika 50% ngazi ya juu unaweza kufanya uchaguzi bila shinda
Mh msigwa tunakuamini sana Kwa hekima na busara,pia sugu ni kiongozi mzuri sana na mwenye ushawishi kubwa.
Hivyo tusiwape wapinzani faida ,tuanzie hapa maisha yaendelee.
Mpaka hapo Msigwa una shida,, siasa inahitaji uvumilivu. Jijenge na wewe subiri miaka yake iishe,,na wewe tengeneza mikakati,, ili ushinde. Huo ni uchu wa madaraka. Na hapo ndo mnapo onesha kwamba hamuwezi kuendesha nchi.
Ndugu wewe ni CCM ungekuwa chadema ungeleta oja il chadema waungane kumpambana na CCM ila Kwa hii oja yako ni ishara unafrahia kwamba chadema isambalatike upinzan upotee
Sii oja ya kujenga
Pole Sana kaka Sugu Ana uwezo yeye kazi yake ni kusema masela masela na mane no mengi si mtendaji
😮
Huo ndo ukweli.msigwa ndo kiongoz
Anatembelea ustar wa muziki ila uongozi bado
Pumzika twende sugu moto chin, sugu moto chini
Huyu anatumiwa na ccm njaa mbaya sana mambo ya siri ya chama unatoa hadharani ili iweje acha njaa
Tunachagua mutu muzoevu wakazi
Huyu hatumiwi hata na ccm ametoa ushahidi wa kimantic Hawa chadema wanazingua ccm pia wanazingua Hawa wote hawatufai
Kwa hiyo wewe ulitaka azulumiwe asisemi
Kwani mpaka uje kwenye vyombo vya habr kwani usizungumzie katika vikao vyenu
Kama unaandika barua hazijibiwi na si.mjumbe wa kikao chochote sasa akalalamimie wapi
Kwani uchaguzi ulifanyika sirin? Acha wivu bwege we
Nini maana ya democracy mahakama ya mwisho ni wanachama
Ukiona hivyo ujue utakiwi Kila siku wwe,pumzika kaka msigwa
Mbowe achana na msigwa jamani msirudie uchaguzi mnatuchanganya. Sasa unayaambia mafisiyemu yakusaidie nini
Jamaa anajidhalilisha tu
Kusema walio kuwa wanakuunga mkono wakashinda apo unaonesha shinda ndugu msigwa. Inamaana CDM mnaweka viongozi Kwa kigezo cha kuunga mkono MTU fulan apo CCM Bora itawale milele hamna namna Kwa kweli
Mwenyekiti Taifa - Freeman Mbowe - chagga
Mkurugenzi wa Mawasiliano- John Mrema- chagga
,,,,,we unadhani kuna nini hapo?
Ndo sababu Said Kubenea na Patrobas Katambi na wengine wengi walihama.
Mnatuonesha ni jinsi gani hamtoshi kulipngoza taifa
Chagas politicians
Kumbe nyie wenyewe chama chenu hakitendi haki halafu bado mnailaumu na kuikosoa CCM. Bora niendelee kuipenda chali chali maiki
Ushauli wangu kwako mtumishi wa mungu, msigwa ,wewe ni mtumishi wa mungu,achana na hayo, huwezi just mungu ana mpango gani na we Kwa ajili ya kumtumikia yeye, wewe tumika madhabahuni tu
umeshindwa tu Mzee 😅😅😅😅😅
Vi chekesho
🎉😢😮😮😮😮😅😅😊😅😅
Msigwa kulikua hakuna haja yakufanya press hii. Jipime kama vipi wewe nenda ccm bana maana unaonekana lengo lako si jema we kama vipi nenda.
Jamaa wa hovyo, mpaka press kulalamika?
Kwendra bna
Chadema mnafeli sana yan mnatuchanganya sana
Ad naon aibu
Sasa wanakuchanganya nini hiki chama kina majungu sana sana, hapa hakuna chama cha siasa ila ni chama cha upigaji tu wakati kinaendelea hivi kinapata posho na zuruku na pesa za kuendeshea uchaguzi zote hizo hula wenyewe si pesa kidogo na ndio maana wanapokosa huja uraiani kutia huruma kuogopesha chao kiwaite kiwapoze, sijawahi kuona katika maisha yangu chama ch siasa kwa mkupuo kupoteza wabunge 19 kwa wakati mmoja, lakini tusisahau kuwa hata zito kagwe alitokea chadema na aliondoka kwa sababu hihii ya upindishaji wa katiba za chadema, je wanawezaje kupewa nchi watu hawa wenyewe hawaelewani wanazidiana maarifa huvunja katiba zao za chama je wataweza kuzingatia katiba ya nchi?
Hamia ccm huko imekulq kwako wajanja walishaga hama huko wako ccm wanakula Bata
Ivi ww msigwa unaakili kweli? Umeona uwenyekiti wa kanda ndio dili acha ujinga unatuaibisha c umuache aongoze nayeye unaaibisha chama kura 2 inakutoa imani hufai uongozi wewe
Kumbe watu wanapenda sana posho na kutembelea V8, wakishindwa tu inakuwa nongwa. Wacha inyeshe tuone matobo .na 2025 ikulu mtapasikia tu.
Kwa vurugu hizo kwenye uchaguzi hata mimi ningesema. Lakini kila wakati wa uchaguzi Chadema lazima Mbowe afanye mazingaombwe. Ni nini hii!
Baba mchungaji vumiria ndio mambo yadunia
Ila chadema imebeba wasaliti wengi sana umeshindwa tu kwenye uchaguzi wa kanda daa unatia aibu mbona chadema alikupa ubunge duu pia we ni ccm ni muda tu ulisha jichora muda tama mbaya na uchungaji ndo bas
Pumbavu mkubwa wewe kumbe ndo hilivyo aise watu walisema wewe ninyoka aise.siulisema majibu yote utakubal.leo unaongea nini sasa mtu mzima hovyo.mmtapigwa zaid ya miaka hile.
Stand up with justice being witnesses for God. And then even if it against your own people. (Quran 4:135)
Brother msigwa mwkti hashindwagi ni mafya kaambali na watoto ngoma ngumu nduguyangu,,,,muulize zito kabwe heeeee!
Sema kwenye ule mdaharo sugu alijieleza vizur .ila msigwa alionyesha kupanic kwenye majibu yake
Fanyani kazi acheni utapeli na kujieleza Sana mmezowea kula kirahisi et Sasa hv mambo yanakuwa magum unatushirikisha kufa kivyako mjomba
Nenda.ccm.usianze.kuchafua.chama.nendazako.kumbeunalalamukanini
Wewe usikate rufaa bora nakushauri ukae pembeni wacha kukipigania chama au rudi ccm watakupokea wewe jembe
Huyu ni jembe aje tu CCM tutampokea
Sasa ww miaka 7 bado hujatosheka tuu siasa raha yake ushinde tuu ukishindwa unaanza kumtafuta mchaw
Yaani mnatuaibisha sana ndg Mh msigwa achana na hii nafasi inawezekana timu haikutaki tulia utapata ubunge maisha yasonge mi naamini ww ni bora kuliko mpinzani wako lkn achana na hyo migogoro
Ubunge atampa nani?
Kwann tunalilia katiba mpya ingali kwenye Chama kuna makandokando na hamna haki kwann itumike nguvu kubwa kuzima kauli za mhe msigwa na si kusimamia haki na ukweli kama ni hvyo basi na mwenyekiti nae apishe wengine
Ameibiwa kura lazma alalamike
Chadema wote vibaka tuu
Nyie Wenyeviti wote wa siku nyingi mtoke hata Mbowe atoke
Msigwa unajiharibia ungetulia tu mbona gimbi mwenzio gimbi. Ametulia kwa kuzidiwa kula 1 una nia ovu
Ingekuwa ni wewe ungekubali ungeacha kulalamika yaani we unataka azulumiwe akae kimya hivi we una akili kweli
Mnapo ambiwa Chadema ni chama cha wahuni na mtaendelea kihuni ndio muongoze nchi sitakuwa nchi ya kihuni tu
Hata CCM kuna wahuni kibao au kamuulize Balozi Polepole
Mbowe lema mrema
Hata kama ni kweli, hii ni hatari kwa chama chetu,
.Vita ya Panzi.
Viongozi wa ngazi za juu naombeni shughulikeni na hili haraka sana jamani
Hapana pumzika hawakutaki
Msigombane jaman muungane mshikamane kuiondoa CCM
Watasubiri sana kuiondoa chama cha mama, wenyewe wanaondoana kwa majungu je watakuwa na nguvu ya kuiroa ccm? Ikiwa wenyewe wanavunja katiba za chama walizozingu, nchi za wenzetu wametuacha sana kwa kugawa uraisi kwa chama chochote chenye kura za kueleweka
😂😂😂YAN SAIZ CCM WAKIWA CHENYETA MSITUAMBIE ET MMEIBIWA KURA MAKE NYIE WENYEWE MMESHA ONYESHA UDHAIFU
MNAAIBISHANA MBELE ZA WATU MNGEHANGAIKA NDANI YA CHAMA YAAN NDANI TU MNAGOMBANA HIVYO HAMJAPEWA NCHI
Nani wa kutoa nchi? Nchi haipewi inapiganiwa. Ijue tofauti.
Muda wa kuludisha kadi unaanza sasa.
Kumbe na nyie mnaibiana pole baba
Kumbe hata na kwenye chama nako kuna vigisu vigisu kama wanavyowambia CCM sasa wakweli wepi kwenye kupiga kura CCM au vyama vyengine mana huyu analia sana kafanyiwa vigisu Tanzania hakuna siasa kuna wapiga hela tu hawa wote ukiona kiongozi analia sana ujuwe ni wapiga hela tu.
Duh! Chama cha Democrasia!??
Mlimuua magufuli tulia msumali ukuingie vizuri
Heti ni mchungaji.jinga mno unasema nini sasa hapa
Tatizo la wana siasa wetu wa Tanzania siyo wafanya biashara wao wanategemea mshahara kwenye uongozi, sasa akikosa cheo tu basi anahama chama. Kule anakohamia anatafuta cheo apate mshahara. Ndiyo maana nchi zetu zinakwama , wanasiasa wananunuliwa tu .
Ukitaka kuwa mwana siasa bora mwenye msimamo usitegemee mshahara wa cheo. Wekeza kiuchumi.
Wellcome to our Chama cha wananchi Ccm.
Siasa mchezo mchafu, mm nilisema toka ile siku wanajinadi Msigwa yupo vizuri ila kwa namna wajumbe wanavyomuhoji unaona kabisa hatoboi. Halafu watu wasikariri kila mtu akijitokeza kulalamika anavikwa vazi la usaliti, sio sawa sikilizeni hoja zilizopelekea mtu ajitokeze hadharani then mtapima au ikitolewa taarifa ya chama mtapima. Mtakuwa mnapoteza viongozi wazuri kila mara kwa kuimbiwa neno usaliti. Ktk siasa hakuna chama chochote duniani ambacho ni kisafi asilimia mia hivyo jifunzeni kusikiliza watu na sio kuwavisha ubaya.
Mheshimiwa msigwa,tulia na chama chako,mjenge chama.heshima yako ni kubwa,acha kulalamika,nafasi na muda bado sana kwako,just bush it,and empower the management of your party.
Uongozi wa chadema tupeni jibu ya hili,chama kinachafuka sana,Lisu alisema kuna pesa ya rushwa imeingia ndani ya uchaguzi na chama hamjajibu tukiyaunganisha haya tunaona kunashida kubwa kwenye chama
Ulisema sumae hafai Sasa zamu yako
Huyu msaliti tulisha mjua akae pembeni aende CCM wanao mtumia
Sugu mpambe wa Mama Samia pamoja mbowe. Acha ujinga lisu alisema hela ya mama hiyo inafanya kazi.
Maslahi mapana ya CHEDEMA yakuelekeze kukubali matokeo ili amani na utulivu ( ambavyo ni mtaji wa maendeleo ya maono ya chama) iendelee. Kama wewe ni kiongozi wa watu, na Mungu anataka uendelee, Yeye Mungu na sio wewe atakuweka. Sijui undani zaidi, lakini Msigwa unajulikana na watanzania ni kiongozi shupavu, mwadilifu. But of late umekuwa unatoweka kwenye scene kidogo kidogo hadi ni kama hauko tena. Sawa unachotafuta ni vurugu za ki ccm ndani ya chadema.
Kama nyinyi ni chama cha Democrasia na maendeleo halafu ndani yenu hakuna demokrasia basi inatia shaka, kama ndani yenu hakuna haki maana yake CCM itaendelea kutawala nasikitika sana kwa dhuluma uliyofanyiwa Mheshimiwa Msigwa
Unataka nini?uchaguzi umekwisha umetumikia nafasi hiyo kwa miaka 7 inatosha mwenzako aendelee
Uliongeza wapiga kura ila hawakukupigia kura
Unamwaminije Msigwa
Na utadondoka tena subiri na huna jipya
Haki ndio misingi ya utu.kama umeona kweli kuna taratibu zimevunjwa una haki ya kukata rufaa .Tanzania ya sasa hatutaki wana siasa wanaotumia mbinu chafu katika kujipatia kura.
Achakujichafuamzee
KARIBU CCM
Hadi wew umeingia kwenye kumi nanane za ccm!!! Mhh ccm ni hatar wanambinu kibao. ..ila Kwa mchungaji kurubuniwa ni aibu kubwa...acha tamaa tumikia taifa la mungu Kwa ngazi yoyote utakayoipata,,,acha kujidharirisha.
Uongozi mdogo hivi unaleta kelele vipi tukiwapa nchi, aah wapi hakuna nchi tutakayowapa
Unawapa nchi we ni nani
@@adeltuszakumuha9618 mwananchi wa Tanzania kenge wewe
Swali?
Kwa Mfano:
Je?, Rufaa yako ikikubaliwa na CHAMA CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) na Chama kikaamuru Uchaguzi Urudiwe tena na kisha Uchaguzi Ukarudiwa na Matokeo Yake Wewe ndiye Ukatangazwa Mshindi SUGU A.k.a Mtu wa Vurugu Atakubali kunyamaza kwa Kupokwa Ushindi wake ambao tayari anao Mkononi sasa hivi.
Devide And Rule.....
Mangi tulia dozi iingie
Hapa kweli,,,Aisee nimemuelewa msigwa.... Hii nichombo ya fundi IQ kubwa....
duh! Pole sana wameamua kukunyonga kavukavu😊😊
Nimesema mara nyingi kuwa kama kuna chama kinachoongoza kwa rafu wakati wa uchaguzi wa ndani chadema wanaongoza. Yale wanayoilalamikia ccm yooote yapo ndani ya chadema na hiyo yote ni katika mkakati wa kulinda uwenyekiti wa Mbowe. Kamuuize mwenzako Mwambe alichokutana nacho.Hiki ni chama cha mtu na wengine mnawasindikiza tuu.
Hili jembe jembe kweli pambania haki yako
Kialisia sugu ana watu wengi kuliko msigwa, sugu anatembea na vijana wengie hao masela kumbuka sugu mwaka 2008 pale mbeya watu walivichoma matail balablan kwa kaul zake hzohzo za masela masema ndo aliwastopisha watu wasifanye vurugu
Bro uko vizuri sana kwa hoja nakushauri tu chadema sio sehemu sahihi kwako, nenda Chama cha mama ukafanye kazi mkuu huko hakuna majungu ukizingua unawekwa pembeni kwa muda ukajifunze, pale hakuna alieweka hela wala atakaesema muhasisi au alikihangikia chama ni kazi tu.
Wewe huijui ccm,acha kumpotosha mzee msigwa,huyo ni ngome yetu ndani ya chadema.
Can you guys truly be our leaders? Kweli chama pinzani cha kweli kitatoka CCM.
Point
Mmeanza ujinga na ndio kazi yenu ,eti makamanda huku hata kisu hamna
Hadi kunguru anamzomea msingwa😂😂😂
Pole msigwa huyu sugu anabebwa na ndugu zake kina mbilinyi katika Kanda ya kusini mwa Tanzania wamezaliana sana .Ila ni ndugu yako uwe mpole tu msigwa na mbilinyi si ukoo mmoja nyie?
Tanzania itachukua miaka mingi kwa chama cha upinzani kuiondosha c.c.m. CHADEMA msijidanganye bila ya kushirikiana na vyama vyengine vya upinzani hamuwezi kushinda. Tatizo CHADEMA inavidharau vyama vyengine vya upinzani.
Unajichekesha nini sasa.
Msigwa be culm
Kumbe dedema wote vibaka kuanzia Leo tudili tuu na CCM
Sumaye wakati anaondoka chadema na kurudi CCM alisema wazi hiki chama ni tatizo sasa si hayo!!!
Na pia Samia naye aliona kuna shida akasema wao wenyewe ndani ya chadema kunawaka moto.
kumbe Peneza hupo sahihi
Kama ndani ya chama mnalumbana vip kuhusu uchaguzi wa nchi unafeli, acha tuwaamini CCM
Je, Chadema kweli wako tayari kukabiliana na ccm kama bado wanafanya hayo
Msigwa anazeeka vibaya. Katiba inasema mshindi lazima awe na zaidi ya 50% na sio 50.0% . Tatizo lako Msigwa unatamaa sana na uongozi, hakupaswa kuwa ropo ropo kiasi hicho. Lakini pia anatuaminisha kuwa yeye aliandaa team yake ya ushindi lakini ukweli ni kwamba hata hao anaowasema kuwa walikuwa ni wa kwake amejuaje na ana uhakika kiasi gani??
Umeishiwa posho za bungeni hukufanya na wewe mikakati umekuwa bwege kweli mbona unataka madaraka kwa nguvu ulikuwa unawaibia au unalipwa mshahara huko
Kaa huko huko hatukuitaji huku
CHAGA PARTY WEWE NI MUHEHE
Kwani Sugu ni mchaga
Ni mnama saa
Unaondolewa chamani brother welcom ccm
Yani ukichunguza sana ukielewasana wazungu wameleta hayamambo yasiasa,kwafaidayao yani siasa nikitu kinachochonganisha watu wengi hasa viongozi wenyewafuasiwengi,pia pesanayo huhusiswa nakuhalibu uelekeo wawapendahaki ,siasa nikitu ambacho ukiwa muelewa haitakiwi nchiyetu kuongozwa na wanasiasa nibola iongozwe na watemi wa makabilayetu mana huenda watnganyika wakapata haki kwamfumo huu ccm inambinu nyingi zakubomoa vyama vidogo
Kaka rufaa yako haitasikilizwa niliona hata kwenye mdahalo ulikuwa unakandamizwa snaaa njoo ccm msigwa nakuekewa sana kwenye medari za siasa
Msingwa nakuunga mkono kama watakuzingua waachie chama chao, unaweza kutimiza malengo yako ya kisiasa bila hata hao chadema
Msigwa wa hovyo
Watu wengi humu wapumbavu. Lisu alisema kuna hela za Mama Samia zinafanya kazi Sugu mbowe kati ya wanufaika wakubwa. Swali la muhimu je anayosema ni kweli? Jiulizeni kwanini katika viongozi wakuu wa chadema lisu ndio anafanya mikutano?
Mwanasheria njoo ufafanue lisu
Kimeiva sasa ni kupakua watu wale!nani mpishi hatujali tunaangalia mpakuaji.
Mh MSIGWA unahaki kulalama! Mhehe hawezi kuwa chini ya Mkinga au mbena au mpangwa! Ingawa Ukabila ni Sumu kubwa! Angalia ukubwa wa mafanikio! Achana na hayo matokeo kuna Nafasi kubwa umeandaliwa na Mungu mwenyewe( Biblia,Kitabu cha Isaya 41:10 na Yeremia 1:4-10)
Mm binafsi nakupenda ilakwauchaguzu mliofanya akapita sugu bolawewe utulie tu hiyondoo busala.
Pia matatizo yenu yanahitaji katiba tengenezeni katiba yenu Kwanza kabda ya kutaka katiba mpya tanzania
Katiba ipo dogo.
Haya sasa mtu unaongoza miaka 7 na bado mnasema democracy ipo mweeeee