GPS: Wabakaji wanaweza wasifungwe, au kupata adhabu ndogo kama Ushahidi usipothibitishwa Mahakamani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 213

  • @anthonydobeye9392
    @anthonydobeye9392 2 หลายเดือนก่อน +6

    Big up sana SNS kwa mada nzuri sana ya kuelimisha jamii katika masuala ya kisheria na naungana na mwanasheria hapo sisi kama wanajamii tunatakiwa kuelimishwa

  • @saumuabdallah198
    @saumuabdallah198 2 หลายเดือนก่อน +8

    Tanzania nzima hii ndio media inayojielewa yeny topic za maana...💯💯 kuna uwezekano wana sns mkamfunika millard ayo📌📌📌

  • @nassoroshakiru7094
    @nassoroshakiru7094 2 หลายเดือนก่อน +24

    Leo mimi kama Chair Man wa GPS kutoka hapa Middle East naomba likes maana niwakwanza na nachukua nafasi hii kuiamuru URUSI kufyatua Nyukria

    • @AngyJoh
      @AngyJoh 2 หลายเดือนก่อน

      Nuclear

    • @Mahene-w1l
      @Mahene-w1l 2 หลายเดือนก่อน

      Huelewi unachokiongea!! Na Hii ni kwasababu upo kwenye nchi isiyo na Vita Ko Unadhani hata wanaopigana wanapenda Kuwa katik vita...! Vita ni kupoteza uhai

    • @seifmiraji43
      @seifmiraji43 2 หลายเดือนก่อน

      Sasa hizo likes za kazi gani we kubwa jinga

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 2 หลายเดือนก่อน +12

    Afadhali Sasa. Weekend imekua mrefu sana. Big up. Dj Sma tumekumiss sana sana. Karibu tena.

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน +3

      Mm pia nimekumisini

  • @hawa6052
    @hawa6052 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pole Dj Sma Allah akupe Shifaa soon Ameeen

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 2 หลายเดือนก่อน

    Nakumbea kwa jina Yesu kwikwi iishe sasa sema tu amen

  • @jeanpierrekwizera6400
    @jeanpierrekwizera6400 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana DJ Sma

  • @RaymondRamson
    @RaymondRamson 2 หลายเดือนก่อน +5

    Sky huyu jamaa (Wakili) Naomba tuendendelee kumuona asee 🔥

  • @sosmakanya4901
    @sosmakanya4901 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanasheria msomi upo vizuri saaana hongera

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana dj smaa. Dawa ya kwikwi, nenda kwenye zile nyumba za udongo kunakuwaga na vichuguu vidogo vidogo vinajengwa na wadudu Fulani hivi wanaoruka. Ukivipata hivyo vitoe koroga kwenye kikombe chenye Maji upate ule uji uji unywe. In shaa Allahu utapona

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 2 หลายเดือนก่อน +1

    DJ sma amerudi sma ni akili kubwa ata aongee ujinga , ujinga wake still ni wisdom and knowledge kubwa sana

  • @abdullahmapesa
    @abdullahmapesa 2 หลายเดือนก่อน +2

    Big sana sns na GPS na ongera sana na karibu kwa new come wetu wakili anajuwa sana, @Dj Sma pole kwa magonjwa kama ulivyo sema tumia maji kwa wingi allah atakujalia inshaallah utapata afazali. 👍
    ⭐⭐⭐⭐⭐

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน +1

      🙏

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 2 หลายเดือนก่อน

    Aaaah SNS kaka Bunda napenda kazi yako sababu ipo kiuelimishaji sijutii bando langu kukusikiliza na kutizama Mungu akubariki

  • @RayMakini
    @RayMakini 2 หลายเดือนก่อน +1

    Polee sn kaka me paihh nilipataa iyo changamotooo siku tano mfululizooo....., nilizidiii kunywa maji mengii kwa wing na kwa nguvu taratibuu nikawa saw

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 2 หลายเดือนก่อน +11

    JS maa, pole sana, tumia juice ya miwa miekundu kunywa glas Moja bila kupumzika, utapona kwa Idhinillah.

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน +1

      Asante

    • @philipboma134
      @philipboma134 2 หลายเดือนก่อน +2

      Ilinisaidia mm pia

    • @hemedmwipopo780
      @hemedmwipopo780 2 หลายเดือนก่อน

      Samahani, ninamaanisha bila kutoa hewa unatakiwa kubana pumzi wakati unapo kugugumia hiyo juice

    • @fatumasaid9882
      @fatumasaid9882 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe dada asante ntajaribu kumpatia na mm mzaz wangu kiukwel akianzwa na huo ugonjwa daaah halafuu ni mtu nzima

  • @yohanakashinje1548
    @yohanakashinje1548 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nafurahi kumuona Dj Smaa

  • @hawamrisho-uo4ih
    @hawamrisho-uo4ih 2 หลายเดือนก่อน

    Hukumu ya Mungu ni KUBWA kuliko ya Mwanadamu.., sasa Ole wako wewe mwanadamu ukajitoa akili eti ukamuita Mungu km Athumani.., mnalo hlo kazi kwenu Poleni sana.

  • @deomloka683
    @deomloka683 2 หลายเดือนก่อน +1

    wakili Gerald yupo vizuri sana

  • @toyikudratullah1466
    @toyikudratullah1466 2 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu mwanasheriy safi 🤲🤲🤲🤲

  • @ezekielbaga1061
    @ezekielbaga1061 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana KWA kwikwi

  • @bakarisaady181
    @bakarisaady181 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna vingi sana tumejifunza kwenye GPS✔

  • @arahmantvonline
    @arahmantvonline 2 หลายเดือนก่อน +2

    Rama ndimu na jivu Bwanshemegi

  • @EliudiKwiyukwa
    @EliudiKwiyukwa 2 หลายเดือนก่อน

    Washkaji ni smart sana,(attorney)we go smart.

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jaji ni bora zaidi akose kutoa hukumu mtu asinde jera kwa kosa alilofanya kuliko kumfunga mtu kimakosa kwa jambo asilofanya

  • @Is-hakaayoubMngazija
    @Is-hakaayoubMngazija 2 หลายเดือนก่อน +3

    Respect DJ SMA🙏🙏🙏

  • @ndayiragijejules9764
    @ndayiragijejules9764 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana brother dj sma, nachoweza kukushauru, tumia maji kila siku asubui ukiamuka, tumia mda mzuri wa kurara, am sure unasleep mda mchache sana kutokana na kututafutia news, please ongeza mda wa kupumzika brother. Yaani sleep kabisa

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน

      Assnte 🙏

  • @allbeatzs
    @allbeatzs 2 หลายเดือนก่อน +3

    Njia bora ya kutatua kwikwi nikuchukuwa kikombe cha maji kikiwa na maji chukua mkaa wenye moto Tia kipande Tia ndani ya maji apo utakunywa kipindi umeweke bc apo itachukua sekunde 30 kwikwi imeisha

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko4047 2 หลายเดือนก่อน

    Big up sana❤❤

  • @OmarAbdallah-om1rd
    @OmarAbdallah-om1rd 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka sky mwambie uyo sma km kwikwi yake inaambatana na kiungulia atafune kitunguu swaumu mungu atamponya Inshaallah

  • @shaabanayoub6343
    @shaabanayoub6343 2 หลายเดือนก่อน +14

    Sisi wananchi tutamaliza wenyewe hiyo kesi wasipochukuliwa hatua

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 2 หลายเดือนก่อน +2

      usiweke uwingi ni wewe mwenyewe na ujinga wako taira wewe

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 2 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅​@@PAULNYANDILE

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 2 หลายเดือนก่อน

      Ndugu yangu utanutia kwenye mtego mwenyewe nchi yenywe ndio hii hizi Sheria za Dunia ni mtihani sana nikama geme ingekua sharia ya dini ya kiisilamu mbona tungefubgua msaafutu yani koroan tunasoma Aya mungu anasemaje mtuakifanya kosa kamahili na tunatekekeza sawa na mungu alivyosema bila kumuonea mtu kama nikuwawa maramoja mtu anauwawa kama nikuchwa fimbo au kukatwa mkono Yani ni one Time Bora ushahidi uwepotu maana katika usilamu hakuna kuoneana lakini hizi Sheria zetu za makafiri mafilimason kazi IPO ndugu jihadhali

    • @infomediahabarizandaninanj2722
      @infomediahabarizandaninanj2722 2 หลายเดือนก่อน

      For sure naona kuna mingese ishaogopa maybe hawana ndugu wa kike

    • @EsterLazaro-u8c
      @EsterLazaro-u8c 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂kwer Tena we ndo umesema

  • @AholeLifilima
    @AholeLifilima 2 หลายเดือนก่อน

    Ekhee...jamani kwa kesi ilee apana sio kweri akuna I.A wala nn Nimewaelewa lakini Allah yupo kwa binti yule atamlipia inshallah

  • @hans_tech0015
    @hans_tech0015 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mm huo ugonjwa ninao hapo inabdi ulale san epuka vinywaj vya carbon, vyakula vyeny ges, Kunywa san maji ya madafu yeny mchanganyiko wa iriki

  • @ANGRIBERTHAFRANCIS
    @ANGRIBERTHAFRANCIS 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ok Dj sma dawa ni matunguru..matunguru n mfano wa kitunguu ila sio kitunguu hupenda kumea polin na huuzea super market.chuku kilicho komaa na ndan kuna mbegu km za hirik tafuna mezq utakuwa poa

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน

      🙏

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 2 หลายเดือนก่อน

    Gerald is good 👍🏽

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 2 หลายเดือนก่อน +1

    GPS mpo juu sana

  • @miaduana
    @miaduana หลายเดือนก่อน

    Labda wahame nchi, wasirudi huku mtaani na tumeshawafotoa wataomba mungu awahurumie

  • @paulojohn-bh2vz
    @paulojohn-bh2vz 2 หลายเดือนก่อน +12

    Hivyi hii serikali inatuchukuliaje mdada yule Kwa alichofanyiwa afu mje muwaachie hao vijana hamuoni hiyo hali utakuja kuendelea na Kwa wengine kwahiyo serikali unataka kuwapa nafasi sio😢😢😢

    • @HalimaKassim-yz3we
      @HalimaKassim-yz3we 2 หลายเดือนก่อน

      Wache wa wachia raia tuna nasubiri hakuna shida 💔💔💔💔mioyo yete ina vuja dam

    • @HalimaKassim-yz3we
      @HalimaKassim-yz3we 2 หลายเดือนก่อน

      Aende vipimo vikibwa my kaka mungu akufanyie wepesi

  • @piusmbwana3329
    @piusmbwana3329 2 หลายเดือนก่อน +3

    Dj Sama badilisha system ya kula na uwe unafanya mazoezi unaumwa sana kiongozi

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sawa

    • @foka255
      @foka255 2 หลายเดือนก่อน

      Tumia ant acid ​@@djsma255

  • @Chelsie2016.
    @Chelsie2016. 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hi Sky how are you,
    Please tukuombe if inawezekana
    Next GPS mumwarike Yericko Nyerere
    Asante and GPS raha sana🔥🔥 from Canada Yukon

  • @globallife7806
    @globallife7806 2 หลายเดือนก่อน

    Broh sky hii naona kma hmjaitendea haki caption mlotuwekea hapa tulitegemea mtaonglea ishu hii in deep and ina analytical way lkn mnachmbua sna kuhusu sheria kuliko tukio amblo nd lengo la hii GPS ila yote kwa yote big up sanaa🔥🔥🔥🔥

  • @HucksonDebawa-bg9mb
    @HucksonDebawa-bg9mb 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwi kwi nirahisi utumie maji tu ikiwa imekujia

  • @lucymtui8680
    @lucymtui8680 2 หลายเดือนก่อน

    Pole kaka smaa

  • @AdamManda-wl2yd
    @AdamManda-wl2yd 2 หลายเดือนก่อน +1

    hbr sky anywe maji mengi kwa dkk 1 kama ni lita moja anywe kalribu na kuisha amimine yote tumboni bila kupumzika hiyo kwkw itaondoka inshaallah

  • @amiromar1633
    @amiromar1633 2 หลายเดือนก่อน

    Vuta pumzi ndani ziwe za kutosha kisha bana pua na mdomo pumzi zisitoke nje kwa muda wa dakika poja kisha ziachie fanya mara tatu kwikwi itaisha Ahsante

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nimesahau kitu kimoja sama na team yake ni wapuuzi ebhu nipeni likes zangu hapa kama mnamkubali sana na teams yake ya wapuuzi wapinga marekani...nakupa tiba halafu na makonzi juu...hlf tunaomba urudie mwanzo wa kuanguka kwa USSR

  • @Thatgurl-l8n
    @Thatgurl-l8n 2 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂mpk hii kesi iishe watanzania tumeshiba sheria

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.6747 2 หลายเดือนก่อน

    Sema kale kavideo Daaah😊

    • @zuumlondwa9518
      @zuumlondwa9518 2 หลายเดือนก่อน

      Umefurahia ķwaiyo

  • @fahmanalbulushi2925
    @fahmanalbulushi2925 2 หลายเดือนก่อน +3

    Dj smaa kwanza pole pili a ha kutumia chochote funga kwa siku Tatu na maji yako yawe ni juice ya tikiti itakusaidia Sana allah akuponye

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sawa shukran

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 2 หลายเดือนก่อน

      Wekeni maji mezani! Hiyo kwiki, anahitaji maji

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu mwema

  • @hawarajabu4130
    @hawarajabu4130 2 หลายเดือนก่อน +1

    Atumie asali ya nyuki wadogo, apate original inasaidia Sana tatizo la kwikwi

  • @osmanmohammedosman5493
    @osmanmohammedosman5493 2 หลายเดือนก่อน

    GPS to the World ❤

  • @salumjabuonlinetv209
    @salumjabuonlinetv209 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dj sma aache vitu vikal kwanza

  • @SheikhaSalum-p5v
    @SheikhaSalum-p5v 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana Dj Sma Allah akuafu

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน +1

      Amin kwa sote

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 2 หลายเดือนก่อน

    Take aktion madawa sio mazuri kunywa tuu msji lakini khali hiyo sio nzuri tunakuombea

  • @christopherwami2006
    @christopherwami2006 2 หลายเดือนก่อน +5

    Avute hewa ndani na asiheme Kwa muda then aachie

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 2 หลายเดือนก่อน

      Aisee io inafanya sana kaz😂😂😂😂😂😂 . .unavuta hewa ndan kwa nguvu kisha unabana af una achia kidogo kidogo ..ukifanya mara 3 inaisha

  • @kassimkitta6118
    @kassimkitta6118 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwikwi ni dehydration. Bana pumzi kwa sekunde 10 na kuendelea. Au chukua mfuko wa karatasi, pumulia mpaka itakapokata

  • @nicolashajj8224
    @nicolashajj8224 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuondosha kwikwi anatakiwa abane pumzi kwenye mdomo na puwa asiweze kupumua km second 50 au uwezo wake halafu aachie afanye takriban mara 2 had tatu itaondoka 10%

  • @AnjelMwaluka
    @AnjelMwaluka หลายเดือนก่อน

    Sns shikamooo

  • @maulidipazi6770
    @maulidipazi6770 2 หลายเดือนก่อน +1

    Chukua kikombe Cha maji weka maji kiasi .pia uanze kunywa then mtu awe anakuita mara nyingi nyingi kinakata

  • @StrongbowArrow2004
    @StrongbowArrow2004 2 หลายเดือนก่อน +1

    Miwa mekundu kunywa juice yake plz plz inasaidia mnoo🙏🙏🙏

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 2 หลายเดือนก่อน

    Wekeni maji mezani! Hiyo kwiki, anahitaji maji 👍🏽

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wana sns kwenye Gps ya hasubuhi hii nzuri, nawatakia hasubuhi njema, pasipo kusahau kuiombea Palestine, maana congo inasumbuliwa na viongozi wenyewe kwa masrahi yao binafsi nisuala LA wacongo wenyewe kufanya maamuzi ya kikatili kumtoa raisi watafte amani yao binafsi,

  • @anthonydobeye9392
    @anthonydobeye9392 2 หลายเดือนก่อน +1

    DJ SMA hiyo statement ya 'You have to remain silent........' n Miranda rights ambayo ina historia ndefu ikianzia huko Marekani na kuwa adopted katika mataifa mbalimbali duniani

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 หลายเดือนก่อน

    Kazi ipo

  • @ladooladoo1285
    @ladooladoo1285 2 หลายเดือนก่อน +3

    Chemsha hiliki kunuwa maji yake, pia embe mbichi inasaidia unatafuna

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 2 หลายเดือนก่อน

    Basi hatariii. Itakuwaja kuwa. Kapata kifiro cha buree dah hatarii

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 2 หลายเดือนก่อน

    Aisee Hilo ni tatizo anywe maji ya kutosha ni Upungufu wa Oksijeni

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 2 หลายเดือนก่อน +1

    Easy :- Protecting the bigfish = burry the evidence!

  • @infomediahabarizandaninanj2722
    @infomediahabarizandaninanj2722 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna shida mm kama mimi natamani waje mtaani huku hata leo

  • @Jamila-h1w
    @Jamila-h1w 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dj Sma jitajidi uibane pua na mdomo kwa wakati mmoja usipate kutoa pumzi wala kuvuta pumzi angalau kwa dakika moja kwikwi itaondoka kwa uwezo wa Allah

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน

      Asante 🙏

  • @GraceGracereuben
    @GraceGracereuben หลายเดือนก่อน

    Mh,nchi hii jamani sasa usibitishwaji gani wakati niunuama uliojidhihirisha kabisa sura hizo ndizo zenyewe

  • @saidthuwein7950
    @saidthuwein7950 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hiccup ni kitu hatari sana....nakunywa dawa inaitwa LAGACTIL( kidonge limoja tu) atakuja kunishkuru nimekaa👉👉👉....I have the same problem.

    • @fatumasaid9882
      @fatumasaid9882 2 หลายเดือนก่อน

      Kaka iyo dawa ipo vizur

    • @saidthuwein7950
      @saidthuwein7950 2 หลายเดือนก่อน

      @@fatumasaid9882 umeikubali eeehh!!?

  • @biomedicaleliatosha7485
    @biomedicaleliatosha7485 2 หลายเดือนก่อน +1

    Vuta pumzi uibane kwa sekunde 30 alafu utoe ubane tena kwa sekunde 30. Rudia kama mara kumi hivi..inaweza kuregulate miondoko ya diaphragm muscles kurudi kwenye normal state yake.Tatizo likiendelea kwa muda mrefu muone daktari

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน

      Sawa

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc 2 หลายเดือนก่อน

    Just Because You Did It Doesn’t Mean You’re Guilty

  • @startz24
    @startz24 2 หลายเดือนก่อน

    Wafanye yote ila wasikosee kusema kuwa awajafanya alafu jamaa wakaachiwa kuja mtaani wakiachiwa waamishwe nchi umuimu zaidi tujali aki

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc 2 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin9701 2 หลายเดือนก่อน

    Kwetu usukumani wanatibu Sana hiyo kwa kutumia dawa za asili

  • @kimwelingole6090
    @kimwelingole6090 2 หลายเดือนก่อน

    Hata mimi kwikwi kuna mwaka nirishikwa sana

  • @ray45king84
    @ray45king84 2 หลายเดือนก่อน

    No justice,just us

  • @Tanzania..cashauro
    @Tanzania..cashauro 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dawa yake hiyo ni mabuzi ya makera yani yamiakaneda rudi atafute hayo

  • @lamartaker527
    @lamartaker527 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hawakutakiwa wapate mawakili....haki wanayostail wanayotakiwa hao wapate haki gan mbona wao walihukumu bila hata kupima kosa alilofanya yule binti...walitakiwa wawe peke yao kam yule binti ckuile alivyokua peke yake,

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 2 หลายเดือนก่อน

    Mi naomba number ya hiyo mwana Sheria naomba msaada najua yupo kikazi pia yupo Kwa ajili ya kutusaidia

  • @ummulkulsum6124
    @ummulkulsum6124 2 หลายเดือนก่อน

    Achnasheen iliki anyway maji yk itaondoka hiyo kwiki

  • @silverman6930
    @silverman6930 2 หลายเดือนก่อน +1

    We will be waiting on the streets … trust me on that ..:

  • @RayMakini
    @RayMakini 2 หลายเดือนก่อน

    Mbonaaa fuuupiii

  • @godykilian
    @godykilian 2 หลายเดือนก่อน

    For hiccups
    Ziba masikio na pua pia fumba mdomo na umeze mate mara tatu, kwikwi itapotea

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu kaka mkubwa kwenye sheria yuko vizuri, ila huku kwenye vita vita...

  • @StarMerinyo
    @StarMerinyo 2 หลายเดือนก่อน

    Hahaaa kweli police mnachekesha ushaidi gani mbona mnaongea maneno Kama watu hamjaenda shule hebu kuweka Kama nchi zilizoendelea kitendo cha kumwingilia mwananmke na kurekodi na kutusha kwenye mitandao bila idhini yake tayari Hilo ni kosa la jinai,hivi nchi ya tanzania inaongozwa na nani mbona ipo Kama hakuna viongozi nchi ni imekuwa ya ovyo kweli kweli

  • @Aishatheboss117
    @Aishatheboss117 2 หลายเดือนก่อน

    Wasipo fungwa mimi nitalia sana maana watajiamini 😭

  • @SawayaNm
    @SawayaNm 2 หลายเดือนก่อน

    Kwi kwi issue try kunywa maji then you forcefully vomiting several times! Your esophagus will forcibly reflex with water going outwards! Hopefully will help!

  • @catherinecostantino2034
    @catherinecostantino2034 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kidney issue brother can be simple or complicated , but even breath holding can improve hiccup, au tafuta mtu akushtue bila kujua inaishs chap 😂😂😂

  • @jastinelema
    @jastinelema 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo jamaa mwenye kwikwi alambe majivu itamaliza

  • @BonifaceLukoo-gv9yu
    @BonifaceLukoo-gv9yu 2 หลายเดือนก่อน

    Ni sawa kisheria kujadili kesi iliyo mahakamani?

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 2 หลายเดือนก่อน

    Wakiachiliwa wadili na wana kijiji

  • @gilbertmtey9633
    @gilbertmtey9633 2 หลายเดือนก่อน

    Jivu la jikoni mzee

  • @salehemwinjuma7748
    @salehemwinjuma7748 2 หลายเดือนก่อน

    Vuta pumzi kwa second kadhaa

  • @wadantz123
    @wadantz123 2 หลายเดือนก่อน

    WaWaachie heeee tutawaonyesha dunia labda wawaamishe nchi

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 หลายเดือนก่อน

    Mkiwaacha mtawajibika ninyi

  • @ahmedjuma397
    @ahmedjuma397 2 หลายเดือนก่อน +2

    first one like please 😅

  • @KASANGA_FASHION_DESIGNER
    @KASANGA_FASHION_DESIGNER 2 หลายเดือนก่อน

    Kwkwi ni dalili ya vidonda vya tumbo