ULAYA - JORAMU NKUMBI asimulia MAZITO alioyaona akiwa huko, aogopa haya ya KUTISHA, asifia MAZURI

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 281

  • @borntolearnaway
    @borntolearnaway 2 หลายเดือนก่อน +18

    Dah nilitamani siku huyu Mwamba tumskie dah SnS ni level nyengine big up

  • @anuarymyekakimolo4785
    @anuarymyekakimolo4785 หลายเดือนก่อน +7

    Wew bora ulisafir kwa uchungu huo hongera sana kaka kuna "MANYUMBU" wamesoma nchi hizohizo na wamekua viongozi wa taifa letu lakin ni manyumbu tu , manyumbu, ni manyumbu tu

  • @navioma4882
    @navioma4882 10 วันที่ผ่านมา +1

    Rais wa 🇹🇿 wa abeee ishaallah

  • @AlphanSamwi
    @AlphanSamwi 2 หลายเดือนก่อน +8

    Nakukubali sana kaka uko very smart waswahili bado tuko nyuma saana,

  • @JuliusMtunguja
    @JuliusMtunguja 2 หลายเดือนก่อน +12

    JORAM,HONGERA SANA.HATA ECKERNFODE CAMBRIDGE, TANGA WANAFUNZI WALIKUPENDA SANA.KUMBE KUNA VISION KUBWA SANA NDANI YAKO.

    • @joramunkumbi
      @joramunkumbi 2 หลายเดือนก่อน +4

      Oooh Nimefurahi kupata Ujumbe wako Mwalimu, Asante Mkuu wangu wa Kazi - Nawe ulikuwa ni Mwalimu wa Kujituma sana na Uliojaa nidhamu

  • @thadeombani7869
    @thadeombani7869 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amina ubarikiwe sana ndugu yangu kwa makadara ya mwenyezi Mungu ,Mungu tusaidie tupate vijana kama hawa elfu 10,000 ili nchi hii ya Tanzania iamke bado tumelala

  • @Noelywiliam
    @Noelywiliam หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana kwa kukitukuza na kukiheshim ki Swahili chetu, alalafu unakiongea kiswahili balabala, bila kukigoshi, unakuta mtu anaongea kiswahili anatuchanganyia na maneno ya kingereza, hii ni utumwa wa rugha

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb 2 หลายเดือนก่อน +11

    Nimependa jinsi unavyojuvunia kiswahili,safi sana

  • @Its_Goodluck
    @Its_Goodluck หลายเดือนก่อน

    yani mgeni ana munkari ila muandishi amepoa kiasi kwamba interview imekua kama imepoa hv kwa kingereza tunaweza sema unmatched energy

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 2 หลายเดือนก่อน +2

    Lkn msisau hong kong tunanyimwa entry wakati atuna visa wanaturudisha tukiwa tunakila ki2 nilitaka siku nimpe kipindi brother sky lkn cjapata namba yake au namba za maraisi wa darspora tujue km tunavisa tupate visa au km awatutaki bac selkali yao ituambie na serikali yetu itoe tamko.big up brother wazungu walishakwenda kitambo atuwawezi

  • @elinurujohn975
    @elinurujohn975 หลายเดือนก่อน

    ❤ kaz nzuri kaka utakumbukwa sana.

  • @babumrisha
    @babumrisha 2 หลายเดือนก่อน +2

    Broo uko vizuri sana uwezo unao mwanangu keep it up

  • @omuze1290
    @omuze1290 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu jamaa anayesimulia is purely sanguine. Anajua kuongea!❤

    • @EmanuelChisna
      @EmanuelChisna หลายเดือนก่อน +1

      Ni melankoli as a dorminant character,sangwini ni resecive

  • @navioma4882
    @navioma4882 10 วันที่ผ่านมา

    Nampenda sana kaka angu

  • @DaudiMazengoMasterDTEM
    @DaudiMazengoMasterDTEM หลายเดือนก่อน

    Safi sana interview ipo super.
    Namba iandikwe hapa

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mzee nakupata bwana J tokea Captown south Africa 🇿🇦 karibu sana

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 2 หลายเดือนก่อน

    Upo vizuri mzazi Kwa unavyo chambua na kufuatilia historia ya watu C I A hawaku kufuatilia kweel

  • @ndimizarohomtakatifurichar9802
    @ndimizarohomtakatifurichar9802 2 หลายเดือนก่อน +6

    Lahaula lakwata😢😢😢😢

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 2 หลายเดือนก่อน +8

    Mimi nimefika Chuo Kikuu huko Sweden nikakuta mpaka Canteen ya wanafunzi ndio hiyo hiyo ya Maprofesa: sisu huku tumetenga; utazani mahitaji ya miili yso ni tofauti! !!

    • @aidanmbilinyi8184
      @aidanmbilinyi8184 หลายเดือนก่อน

      Nawezaje pata scholarship huko sweden ndugu

  • @zuberiismail2972
    @zuberiismail2972 หลายเดือนก่อน

    Wanyaturu wanaongea kiswahili fasaha sana, hongera mnyampaa great iq

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 2 หลายเดือนก่อน +2

    Asante nishakuelewa❤❤❤

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana Joram

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 2 หลายเดือนก่อน +2

    Great,nafurahi sana kusikia mengi kutoka kwake, Mimi nipo kusini mwa Afrika nahitaji kitabu hicho,nikipateje?

  • @FilbertMsongela-xt9tq
    @FilbertMsongela-xt9tq หลายเดือนก่อน

    Aiseee vizuri sana jaman

  • @shomilecomedytv
    @shomilecomedytv 2 หลายเดือนก่อน

    Napenda sns❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mr_pork2523
    @mr_pork2523 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Joram ww ni mlumbi kwel kwel

  • @wakushibandfrombushland
    @wakushibandfrombushland หลายเดือนก่อน

    ❤🔥🔥🔥 fact

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 หลายเดือนก่อน

    Leooo nimefurahi hongerenii,wana blog hiii,haya ndoo mamboo ya kutuletea tuyatazame na kusikilizaa,punguzenii,kushabikia mamboo ya ukrainaaaaa na Hamas hayatusaidiii😊

  • @universalenergy8060
    @universalenergy8060 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unaongea kiswahili kizuri sana ❤❤❤

  • @SeverinKisey
    @SeverinKisey หลายเดือนก่อน

    Safi sana tumepata mengi toka kwako kaka

  • @JosephJumbe-w6h
    @JosephJumbe-w6h 2 หลายเดือนก่อน +26

    Hawa ndiyo vijana Serikali inatakiwa kuwatumia.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 2 หลายเดือนก่อน +2

      DIRA YA MAENDELEO YA TAIFA 2050 IZINGATIE UJENZI WA MIUNDOMBINU STAHIKI. TUMECHELEWA SANA. VIONGOZI ZINGATIENI MAWAZO HAYA

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 หลายเดือนก่อน

      Je atapendwa? huyu amezidi ktk ukweli , hatotakiwa.

  • @Mtem-m5s
    @Mtem-m5s 2 หลายเดือนก่อน

    Smart guy✌️

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah ❤

  • @AishaTabi-e2z
    @AishaTabi-e2z 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana bro ❤

  • @ramadhanwilbard8196
    @ramadhanwilbard8196 หลายเดือนก่อน

    Huyo Jamaa ana chembechembe za Mwl Nyerere.

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz 2 หลายเดือนก่อน

    I am a Mormon saint a Tanzanian living in 🇹🇿

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 2 หลายเดือนก่อน +37

    Africa kuendelea ni vigumu sababu viongozi wengi ni vibaraka watiifu wa magharibi.

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kabisa

    • @samirhumud7408
      @samirhumud7408 2 หลายเดือนก่อน +3

      Sio viongozi hata raiya wao ni watiifu

    • @omuze1290
      @omuze1290 2 หลายเดือนก่อน +4

      Ndugu, lenye mwanzo lina mwisho!

    • @justusngailo9302
      @justusngailo9302 2 หลายเดือนก่อน +7

      Viongozi wa namna hiyo ni zao la cc wananchi wa hovyo .tukubali ifike pahala waafrica tukubali Kuna sehemu punakwama tubadili namna yakufikiri.

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 2 หลายเดือนก่อน +4

      Licha ya utiifu kwa mabeberu ni wezi pia waliokubuhu kabisa

  • @lettysalala2504
    @lettysalala2504 2 หลายเดือนก่อน +12

    Watanzania atuna umoja hata kidogo na hawawezi saidiana

  • @gabrielkyando2632
    @gabrielkyando2632 หลายเดือนก่อน

    Sisi bado sana, tunafikajeeee huko wakati tuna viongozi wanawaza ubinafsishajiii

  • @thewalltours
    @thewalltours 2 หลายเดือนก่อน +1

    facts

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 2 หลายเดือนก่อน +1

    THE VERTELLER

  • @luisojr3480
    @luisojr3480 2 หลายเดือนก่อน

    Jamaa yuko smart Sana

  • @ChukuMrido
    @ChukuMrido 2 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri Kaka duu

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc 2 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri muno kiswahili

  • @mwalitv4555
    @mwalitv4555 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaaa ana IQ kubwaaa...

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 2 หลายเดือนก่อน +3

    Unamaisha mwenzangu na mimi ningefika kutafuta nini wakati Tanzania yetu wenyewe hatuja itembea

  • @BinsiraVena
    @BinsiraVena 2 หลายเดือนก่อน +6

    Nawe ungeandika kitabu kwa kiswahili Ili kuenzi

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 หลายเดือนก่อน +2

    Mim huwa najiuliza iv viongozi wètu hawaishi kwenda ulaya iv wao huwa hawapati wivu wamaendeleo, wao ni kuuza rasilimali tu

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 2 หลายเดือนก่อน +9

    Waswahili wakifika ulaya au amirika wanajitenga kila mtu kivyake😊

    • @binzotv2007
      @binzotv2007 2 หลายเดือนก่อน +4

      Uchawi majungu that why

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 2 หลายเดือนก่อน +2

      Uchawi,umbea,wivu hakuna anae penda maendeleo ya mwenzake 😢ila Africa ni pazuri sana tatizo maendeleo tu ndo hatuna.

  • @galileemsangwa9311
    @galileemsangwa9311 2 หลายเดือนก่อน +5

    HIYO INTERVIEW UNGEFANYA NA BROTHER SKY INGETISHA SANA KWELI..ILA HAPO MTANGAZAJI HATA AELEWI AHULIZE NINI😂

    • @IshipalemyPasko
      @IshipalemyPasko หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂daa we mpuuzi Sana 😂😂😂

  • @bagumandongwe8566
    @bagumandongwe8566 2 หลายเดือนก่อน +11

    Hii interview ilimstahili Bundala, huyu mwamba ni muhimu sana mngemheshimisha sio kumuhoji kiholela hivyo sisemi mtangazaji hajui ila kiwango chake bado kiko chini

    • @anordgerison8639
      @anordgerison8639 2 หลายเดือนก่อน +4

      Acha uchawi wewe Roho mbaya Kama ya mbwa .....!!!! Mwaandishi anajua Sana sema amekutana na mtu ambaye n muongeaji Sana

    • @saidmasoud9004
      @saidmasoud9004 หลายเดือนก่อน

      Mtangazaji yuko sana vizuri haku mwintaraki na story ili flow vizuri.

    • @bagumandongwe8566
      @bagumandongwe8566 หลายเดือนก่อน

      @@anordgerison8639 nauhakika unajua kusoma ila sidhani kama unajua kuelewa unachokisoma, …… hamna sehemu niliposema kwamba mtangazaji hajui , unaweza kurudia kusoma comment hiyo tena, kuelewa na kufikiria badi ni halali haijapigwa marufuku bado…

    • @anuarymyekakimolo4785
      @anuarymyekakimolo4785 หลายเดือนก่อน +1

      Amna wakati mwingine maongez ya kukata kata ya mwandishi kujikuta anajua Lakin ameacha jamaa atoe elimu kwa upana. Kuhoji hoji kihorela syo ujuz Huwa ni ufala wakati mwingine

  • @badilikakijana4032
    @badilikakijana4032 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umesema kweli

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli kuhusu lugha ya kwetu kiswahili wazazi wengi hawajali hilo wanakimbilia lugha nyengine,lkn nchi nyengine kama waarabu,wahindi na baadhi ya nchi watoto wanaongea lugha za kwao pia,mimi watoto wangu nawazungumzisha kiswahili mpaka kuna mwaka mmoja nilimpeleka mtoto klinik na nesi aliniuliza mtoto wako unaongea nae lugha gani?nikamuambia kiswahili,akaniambia ni vizuri sana kuhusu lugha ya huku ataijua tu akienda skuli au akicheza na wenziwe,jamani lugha ya nyumbani ni vizuri kuijua pia,utakuta wengine eti wanawapeleka watoto kufundishwa kiswahili wakati baba na mama wanaongea ni aibu,tabia hiyo ipo kwa watanzania,warundi na baadhi ya nchi ingawa sio wote,hata kama mzazi mmoja sio Mtanzania pigania wewe Mtanzania mwanao akijue kiswahili

  • @cleartzboy
    @cleartzboy 2 หลายเดือนก่อน +2

    Angalia msomi akiongea kiswahil Hana muda na kingerezaaaa chenu na ni msomii

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tatizo sisi hatuna uzalendo, hasa viongozi , walio wengi wanajali famalia zao , tungekuwa na viongozi . Kama mama samia . Magufuli. Makonda . Tungendelea sana.

    • @Hamidkaran
      @Hamidkaran หลายเดือนก่อน

      Atuna pesa iyo tukabari😂😂😂

  • @salimali-rf9er
    @salimali-rf9er 2 หลายเดือนก่อน

    Umezungumza vizuri sana kaka, na hivi ndio anavyotaka SETANI(SATAN AU LUSIFA) tuishi huru kabisa, kwa hufuata kitabu chake, tuwache vitabu vye vya mwenyezi mungu tumfuate yeye

    • @lodrickkisanga8681
      @lodrickkisanga8681 27 วันที่ผ่านมา

      Wewe unafkiri bila kusoma vitabu vitakatifu na kumfuata Mungu basi utaweza fanya kitu

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wapili ku like

  • @nicospack3893
    @nicospack3893 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wa kwanza kuangalia hii

  • @abuubekaabeid9870
    @abuubekaabeid9870 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu jamaa ni Mwalimu au alikua mwalimu wa Math maana lazima uelewe anavyo hadithia😅

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 2 หลายเดือนก่อน +11

    This man should be the given presidential candidate chance in 2030... if he win, he will make this country better than the people of his age who are going to take that chance!
    That is the Fact

    • @rommyshabby3959
      @rommyshabby3959 2 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu ana sera za ujamaa so kwa nchi kama tz watu wenye falsa za kijamaaa hawawezi kupata nafas

    • @seketawaissa1129
      @seketawaissa1129 2 หลายเดือนก่อน

      Bingwa kabisa uyuu

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 2 หลายเดือนก่อน

      Eh

    • @anuarymyekakimolo4785
      @anuarymyekakimolo4785 หลายเดือนก่อน

      ​@@rommyshabby3959au unaogopa uwezo wake

    • @anuarymyekakimolo4785
      @anuarymyekakimolo4785 หลายเดือนก่อน

      Sawa lakin nawewe pia andika kiswahili, unarudia yaleyale we vip tena

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 2 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu angalikuwa ni mjukuu wa nyerere ingalipendeza baadhi ya vibagwizo vinafanana

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 2 หลายเดือนก่อน

    Waswahili kutoka East Africa hatuna umoja wa kusapotiana km Hawa wenzetu wa ngozi nyeupe Unaweza ukafungua mpk mgahawa lkn ndugu zako wa kashindwa Kuja kula tofauti na wenzetu
    Wahindi
    Muhindi mwenzao akifungua hata Laundry wapo radhi atoke hata umbali wa km 5 lkn aende kufua nguo kwa Muhindi mwenzie ampe sapot hiyo ndio tofauti yetu na wao
    Na ndo maana tumeshindwa kua na umoja wa maeneo yetu binafsi ktk Nnchi nyingi tu tumekua na umoja zaid ktk mambo ya kiuhalifu lkn mambo ya kimaendeleo
    Zero

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mtaalamu uyu

  • @Its_Goodluck
    @Its_Goodluck หลายเดือนก่อน

    honera sana kaka bukumbi msafiri mwenzangu ila kwa muandishi umeifanya interview imekosa mvuto uliotakiwa,sjui pengine ulikuwa unawaza nini au pengine ulikumbwa na hali ya kibinadam ya kujiskia kukosa amani baada ya kuskia story nzur ya matamanio ya kuwa muhusika wa simulizi husika

  • @cleartzboy
    @cleartzboy 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani uyu ni mtoto wa Nyerere au

  • @MahmoodAhmed-yt9me
    @MahmoodAhmed-yt9me 3 วันที่ผ่านมา

    Awali ni mwanzo unaposema sikuzaawali si sahihi kwa maanayasikuzijazo

  • @tumainieverest9928
    @tumainieverest9928 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ungekiandika kiswahili

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 หลายเดือนก่อน

    unaogea sana nkumbi

  • @RajabuLuhendama
    @RajabuLuhendama 2 หลายเดือนก่อน +9

    Afrika kinachotuangusha ni serekali zetu,ila kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja sisi tunawazidi mbali wazungu,siku serekali zitajitambua tu tutafika mbali sana ila hatujui siku hiyo itafika lini ya kujitambua basi

    • @mrcardano1203
      @mrcardano1203 2 หลายเดือนก่อน

      Embu nieleweshe unavyosema kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja tunawazidi

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 2 หลายเดือนก่อน

      Huenda uko Sawa Holo la mmojammoja

  • @jbkfilmsglobal
    @jbkfilmsglobal 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂yeah hapa Vancouver kuna beach watu wote wanakuwa naked kabisa 🙌🙌

  • @MussaAlly-t6m
    @MussaAlly-t6m หลายเดือนก่อน

    Sijakuelewa bro kabisa

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wa Ulumbi nielekeze hapo kwenye bwawa la kuogelea wa mnyama nikatalii😂😂

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa ana madini kichwani lakini mwandishi wa habari Sio hawezi kuuliza maswali yoyote yupo kama Robots ,

  • @MahmoodAhmed-yt9me
    @MahmoodAhmed-yt9me 3 วันที่ผ่านมา

    Sio MAKADARA ni MAQAADIIR kwa maana ya mipango ya Mwenyezimungu ambayo alishapanga jambo hilo litokee

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 2 หลายเดือนก่อน +8

    Mwambie broh sky amjuishe kwenye watu wa jps please 🙏

    • @allykwaya
      @allykwaya 2 หลายเดือนก่อน +2

      PGS anaweza kusaidia kiasi fulani kwenye kujenga fikra na kuhamisha uzalendo.

    • @ce-08
      @ce-08 2 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@allykwaya hapana kwa GPS labda kama kunakipindi kingine au kama hiyo siku GPS wanaongelea mambo ya uzalendo na maendeleo lakini kuchambua vita sishauri afanye yeye anadunia yake nyingine lakini sio kuchambua vita sababu huyu ni mtu ambae kunavipindi vya dini huwa namuona na akiongea km kiongoz

    • @ce-08
      @ce-08 2 หลายเดือนก่อน +1

      Labda kwenye kipindi Cha CHIMBO SCHOOL OF THOUGH unakipata hapa hapa SNS huenda hicho kikamfaa zaidi 🎉

    • @allykwaya
      @allykwaya 2 หลายเดือนก่อน

      @@ce-08 Nimekupata vizuri. GPS Ikiongozwa na Mtalamu wa fact and logic Dj Smaa, Mwinuka na masubi inakuwaga Babkubwa sana. Sky akiibua hoja na matukio huwa haichoshi kabisa. Salute SNS

    • @allykwaya
      @allykwaya 2 หลายเดือนก่อน

      @@ce-08 Naaam

  • @Aisha-qd2rg
    @Aisha-qd2rg 2 หลายเดือนก่อน +5

    Wabongo wakikaa pamoja wanawaza kuchukuliana mabwana

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 2 หลายเดือนก่อน

      Amina uhakika n'a wazo lako

    • @luisojr3480
      @luisojr3480 2 หลายเดือนก่อน

      Daaa ndo tunachokiweza hicho😂

  • @hajjikhamis1820
    @hajjikhamis1820 หลายเดือนก่อน

    Hakuna Ubalozi mdogo wa Tanzania Marekani New York.

  • @AyshuuAlly
    @AyshuuAlly 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂eti kama mijusii😅😅😅

  • @GodfreyMichael-p6n
    @GodfreyMichael-p6n 2 หลายเดือนก่อน

    Unatisha bro

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mie nilishanga nilifika Norway nikaona highway 🛣️ zipo chini ya milima ya mawe tena uko chini kwa kuna mabonde ya kupanda na shuka.

  • @sule17942
    @sule17942 2 หลายเดือนก่อน

    Umechelewa kutoka man

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 หลายเดือนก่อน

    Tanzania kwa rasilimali tulizonazo, tungeona aibu kwenda kuombaomba misaada na kukopakopa nje huko! AIBU KABISA!!!

  • @KabwariHassani
    @KabwariHassani 2 หลายเดือนก่อน +1

    ndio unayo sema nikweli baba na mama ndio wanamakosa ongerasana

  • @chogsbongo3021
    @chogsbongo3021 2 หลายเดือนก่อน

    Naogopa sana siku vijana wetu wanapo pata nafasi ya kujifunza ughaibuni hawana msaada isipokua wanakuja kuwa wazungu weusi!

  • @MauBonde
    @MauBonde 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mwambie kasahau treni za juu zipo hapa Germany kuna mji unaitwa wurpetal.

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 2 หลายเดือนก่อน +4

    Nakupata mkubwa nipo Canada mwaka wa tatu ila uku Tz atuna ummoja 😢😢

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 2 หลายเดือนก่อน

      Umoja upi unaoutaka?fuata kilichokuwezasha kuwa ulipo,ukiwa Tz ukikaa n'a Mhaya akiongezeka Mhaya mwingine ikiwa wewe sio Mhaya anakuacha sembuse huko ulipo kwa sasa.

  • @AishaTabi-e2z
    @AishaTabi-e2z 2 หลายเดือนก่อน

    Waaaa uko ni kiti ja shetani

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 หลายเดือนก่อน

    Mali zinachotwa Afrika, rasilimali zetu zinachotwa kwenda kujenga Ulaya.
    Tumejaza maviongoz mafisad tu yanauza rasilimali zetu ovyo ovyo tu!

  • @mussamdoe4619
    @mussamdoe4619 2 หลายเดือนก่อน

    Atari sana

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 2 หลายเดือนก่อน

    Africa kazi yao dhulma kuuwana kunyimana Uhuru wakupiga Kura rohombaya tumach

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 2 หลายเดือนก่อน

      Rushwa ndio adui yetu,hupati kazi bila kujuana ni jambon la kushangaza sana

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c หลายเดือนก่อน

    Mnaweza kumtag mama Samia a hone huyu kijana

  • @georgekabaka377
    @georgekabaka377 2 หลายเดือนก่อน

    Mwamba anajua

  • @musamagulu2023
    @musamagulu2023 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa maneno yako tu sisi waafrika inatubidi tuyakatae kabisa hayo mambo ya wazungu yanaenda kutuharibia tamaduni zetu za kiafrika.
    Wanataka wote twende motoni washenzi tu hao

  • @TimotheoWabawili
    @TimotheoWabawili 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania wakiacha ubaguzi nakutengeza kukaribisha maifa mengine ujuzu na ufanisi utajenga inchi imradi kuheshim katiba ya inchi

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko หลายเดือนก่อน

    Serikali nyingi za afrika ni za kishetani na nizakibaraka kwa wazungu

  • @khalidmzamiru2444
    @khalidmzamiru2444 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wamekua wakiiba utajiri wa nchi za Africa kwa miaka nchi kama Congo 🇨🇩 wanagombanishwa ili wachote Mali, wanaiba mafuta kwa mataifa ya Kiarabu. Leo Mzee Mseven anaanzisha bomba la mafuta eti anaharibu mazingira.Acha kuwatukuza Majizi na Warafi wakubwa hao

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe unaona wezi lakini viongozi Wenu Waafrika wanaodai wanalinda rasilimali zenu kumbe wao ndio wanaiba lakini kwaajili ya matumbo yao ila kama wageni hao wanaiba kwaajili ya maslahi mapana ya nchi zai

  • @thewaukweli2183
    @thewaukweli2183 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi Swali ameulizwa ni lipi ?😁😁😁

  • @godsonkimaro1440
    @godsonkimaro1440 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa bro wewe unaeneza kiswahili alafu unaandika kitabu kwa kingereza HOW Comes😮

  • @aasatt78
    @aasatt78 2 หลายเดือนก่อน +2

    Escow hapati ata nafasi ya kuuliza swali 😂 jamaa anatiririka tu 😅

    • @RonnieBertin
      @RonnieBertin 2 หลายเดือนก่อน

      Hapo hakuna maswali Kuna story teller na the watcher

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 หลายเดือนก่อน

    Nakitaka hicho