WAKILI MADELEKA “POLISI KUKAMATA VIONGOZI WA UPINZANI NI MATUMIZI MABAYA YA AKILI WAJITAFAKARI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 516

  • @nmatuja2191
    @nmatuja2191 2 หลายเดือนก่อน +70

    Katika nchi hii mawakili ambao nawakubali ni pamoja na msomi madeleka.big up sana.Mwenyezi Mungu akubariki na akulinde.

  • @SilasKanunga
    @SilasKanunga 2 หลายเดือนก่อน +14

    Kusaga Acha kuzingua subiri tupate elimi,uliza swali subiri majibu yatolewe yote Acha kumkatisha m beba maono? KAMA watu wakubwa wanafanyiwa hivo sisi wadogo je,,Acha tujifunze bhna..ila hongera pia bwana kusaga kazi zako ni nzuri

  • @AlphonceGridius-v2b
    @AlphonceGridius-v2b 2 หลายเดือนก่อน +49

    Ubalikiwe sana wakili tunawapenda sana mawakili

    • @BeatusMichael
      @BeatusMichael หลายเดือนก่อน

      Baba Madeleka Mungu akuongoze zaidi Hata Nabii Musa alipewa Kazi ya kumgoa Farao Baada ya kuonekana kwamba yeye ni mtetezi wa kweli Mungu akuongezee zaidi

  • @BundalaIlagila
    @BundalaIlagila 2 หลายเดือนก่อน +8

    You are very very right wakili msomi Madeleka waleta fujo nchi hii ni ccm na polisi wao!!

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola 2 หลายเดือนก่อน +43

    Mungu akubariki sana wakili madeleka Kwa kuwa consistent

    • @isayagilson5710
      @isayagilson5710 2 หลายเดือนก่อน +2

      Nibora wewe unaye muogopa Mungu kuliko hao wanao waogopa wanadam hakika kazi unayoifanya ni ibada tosha tunakuomba maisha marefu hapa duniani .

  • @jacobsevetu8622
    @jacobsevetu8622 2 หลายเดือนก่อน +36

    Baada ya mwabukusi kumaliza muda wake madereka atafuata hongera wakili msomi

  • @MonicaTimotheo
    @MonicaTimotheo 2 หลายเดือนก่อน +6

    Hongera sana madeleka uko honest sana ni zaidi ya wakili in-out you are very honest bro

  • @JaphetMulungu
    @JaphetMulungu 2 หลายเดือนก่อน +15

    Pia nakupongeza kuacha hiyo kazi maana ungekua unajitia aibu.

  • @ViolethMazengo-nd8cy
    @ViolethMazengo-nd8cy 2 หลายเดือนก่อน +14

    Wakili safi wapelekeni ndo watajifunza tena msichelewe ndo wajue wakienda kupata mafunzo yao wazingaie sheria wanatumika kisiasa sana hao polisi hawana huruma hata ya kimungu

  • @bonifaceswila8516
    @bonifaceswila8516 2 หลายเดือนก่อน +5

    Asante sana Madeleka,mambo ya kisheria wengi hatuyajui na maana hiyo wanainchi wengi tunapoteza haki zetu nyingi sana.

  • @onesmohmasuka3720
    @onesmohmasuka3720 2 หลายเดือนก่อน +14

    Mathayo 5 10
    Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.

  • @arafamohamed2819
    @arafamohamed2819 2 หลายเดือนก่อน +15

    Mungu akuweke miaka1000

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola 2 หลายเดือนก่อน +17

    Aisee! Madeleka Kwa kweli hoja zako ni kisheria sana

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 2 หลายเดือนก่อน +14

    Peter Wapeleke Kwa Mahakamani Kwa Majina Yao Br.Tukomesheni Jamani Dhuluma Na Uonevu Huu.

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 2 หลายเดือนก่อน +14

    Petar mwanasheria uliojaa hofu yamungu nahaki zautu wabinadam hongera sana kwaelim unayotupatia

    • @kudrasogoti3796
      @kudrasogoti3796 2 หลายเดือนก่อน

      Huyu alikuwa askari mwenye cheo cha ukaguzi

  • @georgepondelo7163
    @georgepondelo7163 2 หลายเดือนก่อน +1

    You're so genius

  • @CostansiaKimaro
    @CostansiaKimaro 2 หลายเดือนก่อน +7

    Wakili Mungu akupe maisha marefu uendelie kutetea na kutoa haki Kwa Kila mtu

  • @giovannir.restone182
    @giovannir.restone182 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hapo kwenye hilo neno ambalo mwandishi alitaka kulikwepesha ..eti kulawiti.. Hongera sana Wakili msomi kwa kuliweka wazi zaidi .na ukafanya reference kwenye maandiko.. kwamba sio kulawiti.. 😂😂😂😂 wote tumesikia.. Hongera sana Wakili msomi.

  • @thabitimadabali1726
    @thabitimadabali1726 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka madereka mungu Akulinde nakukubari sana❤❤❤

  • @MymarhaNikolaus
    @MymarhaNikolaus 2 หลายเดือนก่อน +7

    ❤kabisa unasema ukweli kabisa hii nci nwajinga niweng

  • @ChristinaKilianNyoni-xb7lk
    @ChristinaKilianNyoni-xb7lk 2 หลายเดือนก่อน +23

    Wasikifananishe na ujinga 😂😂😂😂😂nimeipenda hiyo 😂😂😂

    • @GodwinHugo-q8n
      @GodwinHugo-q8n หลายเดือนก่อน

      Hii na mimi nimeielewa sana

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi 2 หลายเดือนก่อน +3

    Asante sana wapelekwe mahakamani sisi wananchi tutakuja kusikiliza kesi

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mwamba ricpect sana muzalendo wa taifa letu mungu akubaliki sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 หลายเดือนก่อน +11

    Polisi ya hapa Inchi ni CCM pia sisi wanainchi tunawahamu kuwa ni wanaccm tena wakubwa tena wanahatarisha haki ya wanainchi. Mungu ametuumba ili tuwe huru. Hao wahuni kwa nini mnatesa wanainchi.

  • @MelisaMerdad
    @MelisaMerdad หลายเดือนก่อน +1

    Asante tumejifunza

  • @officialfaraji
    @officialfaraji 2 หลายเดือนก่อน +6

    Daah hapo kwenye kufira😂😂😂 tuko na pareto mkuu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 nacheka kama mazuri

    • @stevensteven4513
      @stevensteven4513 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣

  • @dillonfoya
    @dillonfoya 2 หลายเดือนก่อน +11

    Wakili Msomi Madeleka Toka mwanzo unatufundisha jinsi ambavyo KATIBA MPYA inavyohitajika Leo kuliko Jana kwa vile matendo ya uvunjifu wa katibu

  • @Anton-t5c2w
    @Anton-t5c2w 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amina isa

  • @oltetiangaroya8489
    @oltetiangaroya8489 2 หลายเดือนก่อน +3

    Perfect

  • @paitomsuva3817
    @paitomsuva3817 2 หลายเดือนก่อน +3

    Madeleka Mungu akubariki

  • @JaphetMulungu
    @JaphetMulungu 2 หลายเดือนก่อน +7

    Huo ni ushuja onge4a sana.kwa kweri msiruda nyuma mungu awatagulie watu wapumue

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 หลายเดือนก่อน +3

      Wakati huo wewe unaangalia tu kwa mbali uone mwisho wake

  • @AshuraEnock
    @AshuraEnock หลายเดือนก่อน +1

    Mugu akulinde

  • @AshuraEnock
    @AshuraEnock หลายเดือนก่อน +1

    Sema kaka

  • @KivumuKivumu
    @KivumuKivumu หลายเดือนก่อน +1

    Madeleka wewe ni mteule wa mungu mungu akutangulie unajua unachokifanya Cha kuelimisha jamiii

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤very good

  • @TajirMtoto-i5s
    @TajirMtoto-i5s 23 วันที่ผ่านมา

    Honger san kak mungu azid kukup upeo zaid

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 2 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤❤❤

  • @JuniorTarimo-e6s
    @JuniorTarimo-e6s 27 วันที่ผ่านมา

    Hongera kiongozi mungu akulinde

  • @SaidBuliba
    @SaidBuliba หลายเดือนก่อน

    Lispect sana wakili una k2 mungu akutangulie katk kazi yako❤❤

  • @gloryleonard1563
    @gloryleonard1563 หลายเดือนก่อน +4

    Kusaga wewe ni mwandishi mmoja mzuri sana una uelewa mzuri sana ila tu unawahi kuuliza swali kabla huyo msomi wetu hajamaliza kutoa maelezo, Mungu akulinde na kukutetea wakili wetu msomi.

  • @masoudchegeka9752
    @masoudchegeka9752 หลายเดือนก่อน

    Madeleka 🙌🙌

  • @PherollanceErnest
    @PherollanceErnest 2 หลายเดือนก่อน +1

    Very comprehensive,go go go

  • @FrankMwakalinga-k9y
    @FrankMwakalinga-k9y 28 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki sana

  • @MeripaMusa-b1q
    @MeripaMusa-b1q 2 หลายเดือนก่อน

    Shukrani sana wakili peter
    Haki inatakiwa kutendeka na si matakwa ya baathi ya viongozi kuamua na kutenda isivyopaswa
    God blessed u

  • @timotimo5501
    @timotimo5501 29 วันที่ผ่านมา

    Wakili Mwenyezi Mungu akutunze🙏🏿

  • @zawadjose5440
    @zawadjose5440 หลายเดือนก่อน

    Good job🎉

  • @AmonElia-k3s
    @AmonElia-k3s 25 วันที่ผ่านมา

    Hongera

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyezi mungu akutangulie akulinde

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mtangazaj kasome kwanza ndo urudi kumhoji wakili hapo, uwezo wa kuuliza maswali tactical ni mdogo sana afu una mkatisha sana

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct หลายเดือนก่อน +2

    Umebarikiwa sana madereka

  • @immamunisi1312
    @immamunisi1312 หลายเดือนก่อน

    Asante sana wakili madeleka

  • @HaryPoter-zw7vr
    @HaryPoter-zw7vr หลายเดือนก่อน

    PETER MADELEKA All the best brother.big Up

  • @AshuraEnock
    @AshuraEnock หลายเดือนก่อน +2

    Kaka sema umefanya nilie sana unachosema

  • @AndrewMasaga
    @AndrewMasaga 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana

  • @AidaRaphael
    @AidaRaphael หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤ MUNGU Akulinde,,Akuepushe na hola za waovu

  • @JotoKali
    @JotoKali 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akutunze kaka P, M

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 2 หลายเดือนก่อน +17

    Ila madereka jamani 😂😂😂😂😂mbavu zangu mie hakuna kupunguza ukali wa maneno😅😅😅😅pyeèeee

    • @edwardkasubi5135
      @edwardkasubi5135 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ukali wa maneno apunguzwe na Wakili Madeleka kwa nini sasa ilhal msahafu na Biblia viko wazi KABISA

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@edwardkasubi5135Hakuna ukali wa maneno hapo, lugha ngumu inaruhusiwa kulingana na kosa lililofanyika

  • @MussaToba
    @MussaToba หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mzalendo wakweli Mungu akulinde

  • @allyamri5028
    @allyamri5028 หลายเดือนก่อน

    Mi nakuelewa sana Mr mdlka

  • @FestoLalata
    @FestoLalata หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe wakili

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 2 หลายเดือนก่อน +1

    Genius

  • @AshuraEnock
    @AshuraEnock หลายเดือนก่อน +2

    Kweri baba nena

  • @mbarakaKihwele
    @mbarakaKihwele 2 หลายเดือนก่อน +1

    Halo Mr kusaga nashukuru Kwa maswali yako mazuri na pia nashukuru wakili msomi Madereka kujibu Kwa ufasaha nawashukuru sana

  • @MwafyongoMwamani-j4k
    @MwafyongoMwamani-j4k หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde.

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu awalinde watetezi wa haki za binadamu. Wakili Madereka Mungu akusimamie. Asante sana Kwa kazi njema.

    • @jumakisailo8496
      @jumakisailo8496 หลายเดือนก่อน

      Aamin..❤️❤️🙏

  • @LeonardMbela
    @LeonardMbela 2 หลายเดือนก่อน

    Uko good sana bro!

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 2 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana wakili jasili usie ogopa chochote MUNGU akupe uzima tele

  • @ramadhanizuberi-dj8pn
    @ramadhanizuberi-dj8pn หลายเดือนก่อน

    Mungu akure maisha marefu sana wakili

  • @TanganyikaChakupewa
    @TanganyikaChakupewa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo nime like kwa wew

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu4351 2 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri Sana. Nashukuru Sana unaelewa

  • @claudsaprapasen9068
    @claudsaprapasen9068 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera!

  • @KishaKisha-ux4ul
    @KishaKisha-ux4ul 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umeongea ukweli Mh Madereka
    Chukua maua Yako. 🌹 🌹 🌹 🌹 🌹 🌹 🌹

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 2 หลายเดือนก่อน

    Peter Madeleka, wewe ni shule ya sheria inayotembea, "Mobile law school."
    Mungu akupe maisha marefu, learned counsel.

    • @OmmyMataula
      @OmmyMataula หลายเดือนก่อน

      Mobile low school
      Nime ipenda brother

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kumbe tuna viongozi ila katiba ndo inazuia isingekuwa katiba we madeleka tungependekeza uwe wazilimkuu na mwabukusi awe lais mpina wazili wa fedha polepole makam wlibodisilaa jajimkuu nk yani ccm wangekoma na maisha ya watanganyika yangependeza sana ila sio sasa

    • @gellangi9694
      @gellangi9694 2 หลายเดือนก่อน

      Siyo sasa?

    • @mohdchuma78
      @mohdchuma78 หลายเดือนก่อน

      Watz tumekuw tukisahau mapem matendo ya viongoz walio pt

  • @nestanesta5704
    @nestanesta5704 2 หลายเดือนก่อน

    Peter madeleka big brain, I appreciate you,

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola 2 หลายเดือนก่อน +7

    Mwandishi una mtu mwenye ufahamu mkubwa sana tumia muda huo kuuliza maswali ya msingi

    • @geraldgedi4657
      @geraldgedi4657 2 หลายเดือนก่อน +1

      Chalomhola nikupongeze kwa kumshauri mwandishi wa habari anajizungusha hajui anahojiana na mtu mwenye akili sana na ufahamu wa kutosha.

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 2 หลายเดือนก่อน +1

    Madeleka Mungu akulinde daima

  • @MelisaMerdad
    @MelisaMerdad หลายเดือนก่อน

    Nimependa sana

  • @FalesJustinian
    @FalesJustinian หลายเดือนก่อน

    Mzee umesemaaa❤❤

  • @HusnaKassi
    @HusnaKassi หลายเดือนก่อน

    Hongera kaka etu madeleka mungu akuweke uje uwe rais

  • @MatoboGachori
    @MatoboGachori 2 หลายเดือนก่อน +13

    Mungu akusaidie siku moja uwe rais wa tz ili wanadamu wa mungu tukomboleke

  • @JumaKamasa-kl6pz
    @JumaKamasa-kl6pz หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde kaka

  • @EliasLunyuzi-g3e
    @EliasLunyuzi-g3e 4 วันที่ผ่านมา

    Mungu akutie nguvu na ujasiri

  • @evaristosanga471
    @evaristosanga471 2 หลายเดือนก่อน

    Big brain

  • @AnnaMwitega
    @AnnaMwitega 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana wakili Madereka kwa kutufunza mambo ya kisheria

  • @MatokeoJoseph.Fonkol
    @MatokeoJoseph.Fonkol หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe afya teree uweze kutimiza majukuum yko

  • @GalganoNgoja
    @GalganoNgoja 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana wakili wetu mpenda haki

  • @josephnemgosi8804
    @josephnemgosi8804 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupa bg up

  • @sostenesbarnabas776
    @sostenesbarnabas776 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tungepata watu wa aina hiii nchi hiii kama 600 hakika tungefaid matunda ya nchi yetu maaana tunaopotea ni sisi tu wanyonge na miaka hiiii ndio speeed ya aya matukio inaongezeka

  • @mosesdavid-vm5hk
    @mosesdavid-vm5hk หลายเดือนก่อน

    💪🔥🔥🔥🔥🙌

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 หลายเดือนก่อน

    Kazi kweli kweli

  • @MusaHassan-me2im
    @MusaHassan-me2im 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa kweli yoko vizuri katika kazi yake na sidhan kama anaweza akapindisha panapotakiwa kunyooka na mfananisha na kiongoz wawamaasai ngorongoro hotuba aliotoa 22/8/2024 - saf sana tunahitaji watu wenye ukakamavu na upana wamawazo

  • @TumainieliMamuya
    @TumainieliMamuya 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe kaka kwakiongeya ukweli wanao elewa watakuelewa manyumbu awawezi kukuelewa

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 11 วันที่ผ่านมา

    Vyana visiwepooo. Kabisa. MAANA SIII MAUWAJIII HAYAA NOOOOO

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 หลายเดือนก่อน

    Huyu kijana anauwezo mkubwa kisheria .Yupo vizuri sana.

  • @eunicemacha8497
    @eunicemacha8497 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umesomeka Kaka mkubwa

  • @SanareMollel-wg7nu
    @SanareMollel-wg7nu 2 หลายเดือนก่อน

    👏👏

  • @DanosiImani
    @DanosiImani 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuzidishie kunena ukweli kuhusu sheria nawapenda sana mawakili wanaojitambua kidogo mnatupatia mwanga sasa tunaona vizuri movie zinavyo chezwa;

  • @AlbertoSanga
    @AlbertoSanga หลายเดือนก่อน

    My country Tanzania!!!!!!!!

  • @azariansemwa9466
    @azariansemwa9466 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu Mbariki Peter Madereka’