Kusaga Acha kuzingua subiri tupate elimi,uliza swali subiri majibu yatolewe yote Acha kumkatisha m beba maono? KAMA watu wakubwa wanafanyiwa hivo sisi wadogo je,,Acha tujifunze bhna..ila hongera pia bwana kusaga kazi zako ni nzuri
Baba Madeleka Mungu akuongoze zaidi Hata Nabii Musa alipewa Kazi ya kumgoa Farao Baada ya kuonekana kwamba yeye ni mtetezi wa kweli Mungu akuongezee zaidi
Wakili safi wapelekeni ndo watajifunza tena msichelewe ndo wajue wakienda kupata mafunzo yao wazingaie sheria wanatumika kisiasa sana hao polisi hawana huruma hata ya kimungu
Hapo kwenye hilo neno ambalo mwandishi alitaka kulikwepesha ..eti kulawiti.. Hongera sana Wakili msomi kwa kuliweka wazi zaidi .na ukafanya reference kwenye maandiko.. kwamba sio kulawiti.. 😂😂😂😂 wote tumesikia.. Hongera sana Wakili msomi.
Polisi ya hapa Inchi ni CCM pia sisi wanainchi tunawahamu kuwa ni wanaccm tena wakubwa tena wanahatarisha haki ya wanainchi. Mungu ametuumba ili tuwe huru. Hao wahuni kwa nini mnatesa wanainchi.
Kusaga wewe ni mwandishi mmoja mzuri sana una uelewa mzuri sana ila tu unawahi kuuliza swali kabla huyo msomi wetu hajamaliza kutoa maelezo, Mungu akulinde na kukutetea wakili wetu msomi.
Kumbe tuna viongozi ila katiba ndo inazuia isingekuwa katiba we madeleka tungependekeza uwe wazilimkuu na mwabukusi awe lais mpina wazili wa fedha polepole makam wlibodisilaa jajimkuu nk yani ccm wangekoma na maisha ya watanganyika yangependeza sana ila sio sasa
Tungepata watu wa aina hiii nchi hiii kama 600 hakika tungefaid matunda ya nchi yetu maaana tunaopotea ni sisi tu wanyonge na miaka hiiii ndio speeed ya aya matukio inaongezeka
Huyu jamaa kweli yoko vizuri katika kazi yake na sidhan kama anaweza akapindisha panapotakiwa kunyooka na mfananisha na kiongoz wawamaasai ngorongoro hotuba aliotoa 22/8/2024 - saf sana tunahitaji watu wenye ukakamavu na upana wamawazo
Katika nchi hii mawakili ambao nawakubali ni pamoja na msomi madeleka.big up sana.Mwenyezi Mungu akubariki na akulinde.
Kusaga Acha kuzingua subiri tupate elimi,uliza swali subiri majibu yatolewe yote Acha kumkatisha m beba maono? KAMA watu wakubwa wanafanyiwa hivo sisi wadogo je,,Acha tujifunze bhna..ila hongera pia bwana kusaga kazi zako ni nzuri
Ubalikiwe sana wakili tunawapenda sana mawakili
Baba Madeleka Mungu akuongoze zaidi Hata Nabii Musa alipewa Kazi ya kumgoa Farao Baada ya kuonekana kwamba yeye ni mtetezi wa kweli Mungu akuongezee zaidi
You are very very right wakili msomi Madeleka waleta fujo nchi hii ni ccm na polisi wao!!
Mungu akubariki sana wakili madeleka Kwa kuwa consistent
Nibora wewe unaye muogopa Mungu kuliko hao wanao waogopa wanadam hakika kazi unayoifanya ni ibada tosha tunakuomba maisha marefu hapa duniani .
Baada ya mwabukusi kumaliza muda wake madereka atafuata hongera wakili msomi
Hongera sana madeleka uko honest sana ni zaidi ya wakili in-out you are very honest bro
Pia nakupongeza kuacha hiyo kazi maana ungekua unajitia aibu.
Wakili safi wapelekeni ndo watajifunza tena msichelewe ndo wajue wakienda kupata mafunzo yao wazingaie sheria wanatumika kisiasa sana hao polisi hawana huruma hata ya kimungu
Asante sana Madeleka,mambo ya kisheria wengi hatuyajui na maana hiyo wanainchi wengi tunapoteza haki zetu nyingi sana.
Mathayo 5 10
Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.
Mungu akuweke miaka1000
Aisee! Madeleka Kwa kweli hoja zako ni kisheria sana
Huy noma san
Peter Wapeleke Kwa Mahakamani Kwa Majina Yao Br.Tukomesheni Jamani Dhuluma Na Uonevu Huu.
Petar mwanasheria uliojaa hofu yamungu nahaki zautu wabinadam hongera sana kwaelim unayotupatia
Huyu alikuwa askari mwenye cheo cha ukaguzi
You're so genius
Wakili Mungu akupe maisha marefu uendelie kutetea na kutoa haki Kwa Kila mtu
Hapo kwenye hilo neno ambalo mwandishi alitaka kulikwepesha ..eti kulawiti.. Hongera sana Wakili msomi kwa kuliweka wazi zaidi .na ukafanya reference kwenye maandiko.. kwamba sio kulawiti.. 😂😂😂😂 wote tumesikia.. Hongera sana Wakili msomi.
Kaka madereka mungu Akulinde nakukubari sana❤❤❤
❤kabisa unasema ukweli kabisa hii nci nwajinga niweng
Wasikifananishe na ujinga 😂😂😂😂😂nimeipenda hiyo 😂😂😂
Hii na mimi nimeielewa sana
Asante sana wapelekwe mahakamani sisi wananchi tutakuja kusikiliza kesi
Mwamba ricpect sana muzalendo wa taifa letu mungu akubaliki sana
Polisi ya hapa Inchi ni CCM pia sisi wanainchi tunawahamu kuwa ni wanaccm tena wakubwa tena wanahatarisha haki ya wanainchi. Mungu ametuumba ili tuwe huru. Hao wahuni kwa nini mnatesa wanainchi.
Asante tumejifunza
Daah hapo kwenye kufira😂😂😂 tuko na pareto mkuu
😂😂😂😂😂 nacheka kama mazuri
🤣🤣🤣🤣
Wakili Msomi Madeleka Toka mwanzo unatufundisha jinsi ambavyo KATIBA MPYA inavyohitajika Leo kuliko Jana kwa vile matendo ya uvunjifu wa katibu
Katiba.
Amina isa
Perfect
Madeleka Mungu akubariki
Huo ni ushuja onge4a sana.kwa kweri msiruda nyuma mungu awatagulie watu wapumue
Wakati huo wewe unaangalia tu kwa mbali uone mwisho wake
Mugu akulinde
Sema kaka
Madeleka wewe ni mteule wa mungu mungu akutangulie unajua unachokifanya Cha kuelimisha jamiii
❤❤❤very good
Honger san kak mungu azid kukup upeo zaid
❤❤❤❤❤
Hongera kiongozi mungu akulinde
Lispect sana wakili una k2 mungu akutangulie katk kazi yako❤❤
Kusaga wewe ni mwandishi mmoja mzuri sana una uelewa mzuri sana ila tu unawahi kuuliza swali kabla huyo msomi wetu hajamaliza kutoa maelezo, Mungu akulinde na kukutetea wakili wetu msomi.
Madeleka 🙌🙌
Very comprehensive,go go go
Mungu akubariki sana
Shukrani sana wakili peter
Haki inatakiwa kutendeka na si matakwa ya baathi ya viongozi kuamua na kutenda isivyopaswa
God blessed u
Wakili Mwenyezi Mungu akutunze🙏🏿
Good job🎉
Hongera
Mwenyezi mungu akutangulie akulinde
Mtangazaj kasome kwanza ndo urudi kumhoji wakili hapo, uwezo wa kuuliza maswali tactical ni mdogo sana afu una mkatisha sana
Umebarikiwa sana madereka
Asante sana wakili madeleka
PETER MADELEKA All the best brother.big Up
Kaka sema umefanya nilie sana unachosema
Asante sana
❤❤❤ MUNGU Akulinde,,Akuepushe na hola za waovu
Mungu akutunze kaka P, M
Ila madereka jamani 😂😂😂😂😂mbavu zangu mie hakuna kupunguza ukali wa maneno😅😅😅😅pyeèeee
Ukali wa maneno apunguzwe na Wakili Madeleka kwa nini sasa ilhal msahafu na Biblia viko wazi KABISA
@@edwardkasubi5135Hakuna ukali wa maneno hapo, lugha ngumu inaruhusiwa kulingana na kosa lililofanyika
Hongera sana mzalendo wakweli Mungu akulinde
Mi nakuelewa sana Mr mdlka
Ubarikiwe wakili
Genius
Kweri baba nena
Halo Mr kusaga nashukuru Kwa maswali yako mazuri na pia nashukuru wakili msomi Madereka kujibu Kwa ufasaha nawashukuru sana
Mungu akulinde.
Mungu awalinde watetezi wa haki za binadamu. Wakili Madereka Mungu akusimamie. Asante sana Kwa kazi njema.
Aamin..❤️❤️🙏
Uko good sana bro!
Safi sana wakili jasili usie ogopa chochote MUNGU akupe uzima tele
Mungu akure maisha marefu sana wakili
Hapo nime like kwa wew
Uko vizuri Sana. Nashukuru Sana unaelewa
Hongera!
Umeongea ukweli Mh Madereka
Chukua maua Yako. 🌹 🌹 🌹 🌹 🌹 🌹 🌹
Peter Madeleka, wewe ni shule ya sheria inayotembea, "Mobile law school."
Mungu akupe maisha marefu, learned counsel.
Mobile low school
Nime ipenda brother
Kumbe tuna viongozi ila katiba ndo inazuia isingekuwa katiba we madeleka tungependekeza uwe wazilimkuu na mwabukusi awe lais mpina wazili wa fedha polepole makam wlibodisilaa jajimkuu nk yani ccm wangekoma na maisha ya watanganyika yangependeza sana ila sio sasa
Siyo sasa?
Watz tumekuw tukisahau mapem matendo ya viongoz walio pt
Peter madeleka big brain, I appreciate you,
Mwandishi una mtu mwenye ufahamu mkubwa sana tumia muda huo kuuliza maswali ya msingi
Chalomhola nikupongeze kwa kumshauri mwandishi wa habari anajizungusha hajui anahojiana na mtu mwenye akili sana na ufahamu wa kutosha.
Madeleka Mungu akulinde daima
Nimependa sana
Mzee umesemaaa❤❤
Hongera kaka etu madeleka mungu akuweke uje uwe rais
Mungu akusaidie siku moja uwe rais wa tz ili wanadamu wa mungu tukomboleke
Mungu akulinde kaka
Mungu akutie nguvu na ujasiri
Big brain
Asante sana wakili Madereka kwa kutufunza mambo ya kisheria
Mungu akupe afya teree uweze kutimiza majukuum yko
Hongera sana wakili wetu mpenda haki
Nakupa bg up
Tungepata watu wa aina hiii nchi hiii kama 600 hakika tungefaid matunda ya nchi yetu maaana tunaopotea ni sisi tu wanyonge na miaka hiiii ndio speeed ya aya matukio inaongezeka
💪🔥🔥🔥🔥🙌
Kazi kweli kweli
Huyu jamaa kweli yoko vizuri katika kazi yake na sidhan kama anaweza akapindisha panapotakiwa kunyooka na mfananisha na kiongoz wawamaasai ngorongoro hotuba aliotoa 22/8/2024 - saf sana tunahitaji watu wenye ukakamavu na upana wamawazo
Ubarikiwe kaka kwakiongeya ukweli wanao elewa watakuelewa manyumbu awawezi kukuelewa
Vyana visiwepooo. Kabisa. MAANA SIII MAUWAJIII HAYAA NOOOOO
Huyu kijana anauwezo mkubwa kisheria .Yupo vizuri sana.
Umesomeka Kaka mkubwa
👏👏
Mungu akuzidishie kunena ukweli kuhusu sheria nawapenda sana mawakili wanaojitambua kidogo mnatupatia mwanga sasa tunaona vizuri movie zinavyo chezwa;
My country Tanzania!!!!!!!!
Mungu Mbariki Peter Madereka’