ASKOFU MWAMAKULA -"NILITEKWA SAA KADHAA -SIYO POLISI -HATA KAMA MULIRO AMESINGIZIWA RAIS ATAMUONDOA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
  • ''NILITEKWA KWA SAA KADHAA - SIYO POLISI - HATA KAMA MULIRO AMESINGIZIWA RAIS ATAMUONDOA'' - ASKOFU
    💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.....
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 66

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

    • @edustudiotz3879
      @edustudiotz3879 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      “The group does not exist”; wameandika hivo

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา +10

    Safi sana mzee wetu Baba askofu mwamakula nyie kwa hakika wazee kama nyie ni tunu ya taifa ubarikiwe mnoo

  • @mr.vionge
    @mr.vionge 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Asante sana umeifanya siku yangu kumalizika kwa amani kabisa

  • @humphreymwankemwa
    @humphreymwankemwa 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Baba Askofu Mungu akubariki sana umeongea UKWELI MTUPU. Watanzania ni WAOGA tunatakiwa kupigia kelele mambo yote .ABAYA. OSTABEI huko!!! Mungu anawaona.

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Ostabei bwanaa 😢

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Kusumbua tu watu .mbona kuna waliotekwa wamewasema watekaji hamtaki kukubali tu wachukuliwe hatua

  • @gift-AA
    @gift-AA 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    PAROKO WACHA KUTUMIKA KISIASA JADILI NENO LA MUNGU NAFKIRI HUJAJUA BADO NINI MAANA YA KUTEKWA

    • @nicholasakeya6790
      @nicholasakeya6790 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      But also remember this is a mature conversation sir

  • @bertinkimati2674
    @bertinkimati2674 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Samia alimuindoa DC wa loloondo sio kwa kelele za umma Bali DC alisema jambo balo Samia hakuliona. Ndugai aliondolewa uspika kwa kusema kuwa anakopa bila utaratibu. Sabaya aliondolewa u DC wake na kufinywa kidogo sio kwa sababu zile waliposema Bali kwa kosa lake la kumdarau Samia akiwa makamu wa Rais. Historia inaonyesha wazi kuwa Rais Samia anakwama kuchukua hatua kwa matukio makubwa ya itekaji sio kwamba hajui Bali Wahusika ni kikosi kinachowajinika kwake.. Kama kweli anataka tuamini haushiki kwa nini asitoe amri kwa polisi na vikosi ya usalama iwe marufuku kwenda kumkamata mtu wakiwa na nguo za kiraia na ikitokea mtu kafiatwa na watu wasio na uniform rasmi hao watu washambuliwe kama wezi tu.?

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 12 นาทีที่ผ่านมา

      Naanzia huku ulikoishia, kwani kuna ruhusa ya wezi kushambuliwa? Suala la uteuzi na utenguzi ni mamlaka ya Rais usilete tafsiri zako, kwani waliteuliwa kwa nini. Sheria zetu na vyombo vya ulinzi na usalama viko vizuri. Matukio yapo hata kabla ya Rais Samia kuingia madarakani.

  • @JOSEPHMwakibinga
    @JOSEPHMwakibinga 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hapo nathani asikofu umeelewa nani mtekaji. Musimughunye maneno sio raia baba tumuachie mungu. Kama wao wataishi milele

  • @brittanypulei789
    @brittanypulei789 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Upo vizur baba

  • @damianichayo895
    @damianichayo895 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hata hivyo Bado ni maumivu kwetu. Yaani badala ya askofu kuwa neutral unaegemea upande, is it ? Mchungaji?????

  • @HASSANWAZIRIGAO
    @HASSANWAZIRIGAO 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Wewe Si Asikofu Acha hiyo Kazi Nenda Kwenu Mbeya Kalime Mpunga

    • @JacobSanday-u9h
      @JacobSanday-u9h 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Acha upumbav wew muislamu gaidi

    • @ceciliamagalabajimmy4391
      @ceciliamagalabajimmy4391 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Acha dharau wewe. Askofu yuko sahihi kabisa.

    • @nicodemusngwala2079
      @nicodemusngwala2079 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Tatizo lako umejaa chuki kutokana na kupewa tende na halua .. kutoka unangani ...

  • @JudicaShoo-x9n
    @JudicaShoo-x9n 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Warudishe kwanza maarzi ya watanzania walizojilimbikizia

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hinger askofu kwa uweledi wako

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Tunashukulu kwa kutoa mwanga wa matumaini nchi yetu ni nchi yenye watu waliojaa hekima kubwa mungu awajaalie kupata majibu

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hao police ni watekaji kweli na Wala sio uongo walimteka kaka yangu wakaenda kumficha kituo Cha police tazara shenzi hao walikuja kama majambazi na noa pikaup kibini

  • @JAPHETLAIZER-i9m
    @JAPHETLAIZER-i9m 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    How are you doing today

  • @QwakuHangu
    @QwakuHangu 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu siyo askofu huyu ni gofu moongo mzushi na kama siyo kauli yako ilewek jibu nikujbu

  • @HeriMohamedi-re7xu
    @HeriMohamedi-re7xu 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Tanganyika ni koloni la waarabu kupitia Zanzibar lakini watanganyika ni mapoyoyo ccm ni chama cha Zanzibar. Lakini inaitawala Tanganyika

    • @mkude
      @mkude 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Unaongea pumba,huna unalolijia,ulichoandika hakieleweki,sijui tatizo huna elimu au chuki zimekutawala.

    • @OscarKasalile
      @OscarKasalile 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe hovyo sana

    • @erastodickson3063
      @erastodickson3063 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mfyuuuuuuu

    • @OscarKasalile
      @OscarKasalile 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@HeriMohamedi-re7xu Hovyo Sana wewe mtu mweusi unajifanya mwarabu utumwa utawaisha lini vichwani mwenu?

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mchungaji wa kanisa la chadema nakukumbusha tu kwamba lema aliwahi kuota kwamba magufuri atakufa na kweli leo hatuko nae vipi ulishawahi kumuuliza juu ya ndoto hiyo ilikuwaje

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      huyo hakuota, bali ni mfuhasi wa mauwaji ya magufuli.. kipndi anasema kaota, ndo kipindi mchakato wa mauwaji wanaisuka.. ndo maana hilo jamaa lilisafiri nje

  • @ThomasErro
    @ThomasErro 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    uyu baba nimchochezi, hana sifa ya uaskofu, kiherhere inazidi

    • @Fesary
      @Fesary 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Hana sifa ya kuwa Askofu tukwamini wewe kama nani,

    • @mjanthony4864
      @mjanthony4864 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      @@Fesary Imagine, tumwamini yeye kama nani? Swali zuri sanaa

    • @hamzamajenja4891
      @hamzamajenja4891 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Shida Yako ni uchawa na kujipendekeza, omba lisikukute wewe sikia tu Kwa mwenzio

    • @josephatemmanuel458
      @josephatemmanuel458 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe ni chawa

    • @nicodemusngwala2079
      @nicodemusngwala2079 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Unajua maana uchochezi ... Au kwa kuwa umepewa tende na halua kutoka unangani

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu bwana anaposema mke wa kaisari halaumiwi maana yake ni nn?

    • @StevenSanga-n3n
      @StevenSanga-n3n 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kula nyama nyamaza😮

  • @JeremiahKaliwa-h1w
    @JeremiahKaliwa-h1w 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ahaa eti yule wa maporin kutenguliwa,sio hoja angefikishwa mahakaman.

    • @noellema9109
      @noellema9109 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Nakumbuka ata mweshimiwa lowassa ambaye ni marehemu aliwahi kujiuzulu

    • @YohanaPeter-r1y
      @YohanaPeter-r1y 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Afikishwe maakaman nann wakat alimtaj m2 alie mteka wakamfumbia macho kec ikaishia ewani

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Waachieje mamlaka wakati huna ushahidi? Mpaka ije igundulike ndipo arudi c atakuwa ameumia? Mbona mnakimbilia sana kusema wajiuzulu au mnawajua watekaji halafu mnataka kupotezea kwa watu kujiuzuru? Acha mambo yako bhana

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ushahidi wa aina gani unaotakiwa? watu wameanza lini kusema watekaji ni wao? inatosha huo kuwa ushahidi maana wao hawajawahi kumleta mtekaji ilhali wao ndo wa

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    huyu kishandu wa buguruni vp? Et anajiita askofu.. km maaskofu ndo hawa bac dini nimeamini ni uhuni tu..

    • @alexmalyango1405
      @alexmalyango1405 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ulimi ka chojio mhuni mwenyewe

  • @JudicaShoo-x9n
    @JudicaShoo-x9n 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Afananii Wala kuwa askofu

    • @nicodemusngwala2079
      @nicodemusngwala2079 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Huyo ndiyo Askofu ... Askofu makini anayetetea watu wake

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kiufupi huyu mtangazaji hanania mzuri

    • @josephatemmanuel458
      @josephatemmanuel458 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kwani wewe unania nzuri?

    • @nicodemusngwala2079
      @nicodemusngwala2079 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hana Nia nzuri .. mnataka awe na nia Gani .. ya uchawa chaws si ndiyo ? Acheni ujinga ....

  • @mbagalacharambe114
    @mbagalacharambe114 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu mzee kweli anazeeka Vibaya Sana ...

    • @nicodemusngwala2079
      @nicodemusngwala2079 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Anazeeka vibaya .. au wewe ndiyo uelewa wako mdogo kutokana na kupewa tende na halua kutoka unangani ... Na Mambo yenu ya hivyo kutoka mbagala

  • @mohamedyeslam5194
    @mohamedyeslam5194 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mbona wakati wa Magufuli hakuna wala haijatokea

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    WACHA UWONGO WEWE PALOKO NANI AKUTEKE WEWE 😢😢😢😢😢NENDA KIBONGOTO KWANZA

    • @SAMFELEX-vz5yz
      @SAMFELEX-vz5yz 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ujitambui ww mtu anaongea point unafnya masiara shenzi

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@SAMFELEX-vz5yz POINT GANI HUYO ASKOFU MCHWARA WA SACCOOS WAMECHEMSHA

    • @JacobSanday-u9h
      @JacobSanday-u9h 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Waislamu wapumbav tu

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@JacobSanday-u9h WAGALATIA AMKENI HUYO SIO ASKOFU HUYO NI MWANAHARAKATI 🤩🤩🤩🤩

    • @johannesishengoma1232
      @johannesishengoma1232 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@JacobSanday-u9hSasa Waislamu wameingizwaje kwenye hoja yako?