ASKOFU MWAMAKULA -"NILITEKWA SAA KADHAA -SIYO POLISI -HATA KAMA MULIRO AMESINGIZIWA RAIS ATAMUONDOA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- ''NILITEKWA KWA SAA KADHAA - SIYO POLISI - HATA KAMA MULIRO AMESINGIZIWA RAIS ATAMUONDOA'' - ASKOFU
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
“The group does not exist”; wameandika hivo
Safi sana mzee wetu Baba askofu mwamakula nyie kwa hakika wazee kama nyie ni tunu ya taifa ubarikiwe mnoo
Asante sana umeifanya siku yangu kumalizika kwa amani kabisa
Baba Askofu Mungu akubariki sana umeongea UKWELI MTUPU. Watanzania ni WAOGA tunatakiwa kupigia kelele mambo yote .ABAYA. OSTABEI huko!!! Mungu anawaona.
Ostabei bwanaa 😢
Kusumbua tu watu .mbona kuna waliotekwa wamewasema watekaji hamtaki kukubali tu wachukuliwe hatua
PAROKO WACHA KUTUMIKA KISIASA JADILI NENO LA MUNGU NAFKIRI HUJAJUA BADO NINI MAANA YA KUTEKWA
But also remember this is a mature conversation sir
Samia alimuindoa DC wa loloondo sio kwa kelele za umma Bali DC alisema jambo balo Samia hakuliona. Ndugai aliondolewa uspika kwa kusema kuwa anakopa bila utaratibu. Sabaya aliondolewa u DC wake na kufinywa kidogo sio kwa sababu zile waliposema Bali kwa kosa lake la kumdarau Samia akiwa makamu wa Rais. Historia inaonyesha wazi kuwa Rais Samia anakwama kuchukua hatua kwa matukio makubwa ya itekaji sio kwamba hajui Bali Wahusika ni kikosi kinachowajinika kwake.. Kama kweli anataka tuamini haushiki kwa nini asitoe amri kwa polisi na vikosi ya usalama iwe marufuku kwenda kumkamata mtu wakiwa na nguo za kiraia na ikitokea mtu kafiatwa na watu wasio na uniform rasmi hao watu washambuliwe kama wezi tu.?
Naanzia huku ulikoishia, kwani kuna ruhusa ya wezi kushambuliwa? Suala la uteuzi na utenguzi ni mamlaka ya Rais usilete tafsiri zako, kwani waliteuliwa kwa nini. Sheria zetu na vyombo vya ulinzi na usalama viko vizuri. Matukio yapo hata kabla ya Rais Samia kuingia madarakani.
Hapo nathani asikofu umeelewa nani mtekaji. Musimughunye maneno sio raia baba tumuachie mungu. Kama wao wataishi milele
Upo vizur baba
Hata hivyo Bado ni maumivu kwetu. Yaani badala ya askofu kuwa neutral unaegemea upande, is it ? Mchungaji?????
Wewe Si Asikofu Acha hiyo Kazi Nenda Kwenu Mbeya Kalime Mpunga
Acha upumbav wew muislamu gaidi
Acha dharau wewe. Askofu yuko sahihi kabisa.
Tatizo lako umejaa chuki kutokana na kupewa tende na halua .. kutoka unangani ...
Warudishe kwanza maarzi ya watanzania walizojilimbikizia
Hinger askofu kwa uweledi wako
Tunashukulu kwa kutoa mwanga wa matumaini nchi yetu ni nchi yenye watu waliojaa hekima kubwa mungu awajaalie kupata majibu
Hao police ni watekaji kweli na Wala sio uongo walimteka kaka yangu wakaenda kumficha kituo Cha police tazara shenzi hao walikuja kama majambazi na noa pikaup kibini
How are you doing today
Huyu siyo askofu huyu ni gofu moongo mzushi na kama siyo kauli yako ilewek jibu nikujbu
Tanganyika ni koloni la waarabu kupitia Zanzibar lakini watanganyika ni mapoyoyo ccm ni chama cha Zanzibar. Lakini inaitawala Tanganyika
Unaongea pumba,huna unalolijia,ulichoandika hakieleweki,sijui tatizo huna elimu au chuki zimekutawala.
Wewe hovyo sana
Mfyuuuuuuu
@@HeriMohamedi-re7xu Hovyo Sana wewe mtu mweusi unajifanya mwarabu utumwa utawaisha lini vichwani mwenu?
Mchungaji wa kanisa la chadema nakukumbusha tu kwamba lema aliwahi kuota kwamba magufuri atakufa na kweli leo hatuko nae vipi ulishawahi kumuuliza juu ya ndoto hiyo ilikuwaje
huyo hakuota, bali ni mfuhasi wa mauwaji ya magufuli.. kipndi anasema kaota, ndo kipindi mchakato wa mauwaji wanaisuka.. ndo maana hilo jamaa lilisafiri nje
uyu baba nimchochezi, hana sifa ya uaskofu, kiherhere inazidi
Hana sifa ya kuwa Askofu tukwamini wewe kama nani,
@@Fesary Imagine, tumwamini yeye kama nani? Swali zuri sanaa
Shida Yako ni uchawa na kujipendekeza, omba lisikukute wewe sikia tu Kwa mwenzio
Wewe ni chawa
Unajua maana uchochezi ... Au kwa kuwa umepewa tende na halua kutoka unangani
Huyu bwana anaposema mke wa kaisari halaumiwi maana yake ni nn?
Kula nyama nyamaza😮
Ahaa eti yule wa maporin kutenguliwa,sio hoja angefikishwa mahakaman.
Nakumbuka ata mweshimiwa lowassa ambaye ni marehemu aliwahi kujiuzulu
Afikishwe maakaman nann wakat alimtaj m2 alie mteka wakamfumbia macho kec ikaishia ewani
Waachieje mamlaka wakati huna ushahidi? Mpaka ije igundulike ndipo arudi c atakuwa ameumia? Mbona mnakimbilia sana kusema wajiuzulu au mnawajua watekaji halafu mnataka kupotezea kwa watu kujiuzuru? Acha mambo yako bhana
Ushahidi wa aina gani unaotakiwa? watu wameanza lini kusema watekaji ni wao? inatosha huo kuwa ushahidi maana wao hawajawahi kumleta mtekaji ilhali wao ndo wa
huyu kishandu wa buguruni vp? Et anajiita askofu.. km maaskofu ndo hawa bac dini nimeamini ni uhuni tu..
Ulimi ka chojio mhuni mwenyewe
Afananii Wala kuwa askofu
Huyo ndiyo Askofu ... Askofu makini anayetetea watu wake
Kiufupi huyu mtangazaji hanania mzuri
Kwani wewe unania nzuri?
Hana Nia nzuri .. mnataka awe na nia Gani .. ya uchawa chaws si ndiyo ? Acheni ujinga ....
Huyu mzee kweli anazeeka Vibaya Sana ...
Anazeeka vibaya .. au wewe ndiyo uelewa wako mdogo kutokana na kupewa tende na halua kutoka unangani ... Na Mambo yenu ya hivyo kutoka mbagala
Mbona wakati wa Magufuli hakuna wala haijatokea
WACHA UWONGO WEWE PALOKO NANI AKUTEKE WEWE 😢😢😢😢😢NENDA KIBONGOTO KWANZA
Ujitambui ww mtu anaongea point unafnya masiara shenzi
@@SAMFELEX-vz5yz POINT GANI HUYO ASKOFU MCHWARA WA SACCOOS WAMECHEMSHA
Waislamu wapumbav tu
@@JacobSanday-u9h WAGALATIA AMKENI HUYO SIO ASKOFU HUYO NI MWANAHARAKATI 🤩🤩🤩🤩
@@JacobSanday-u9hSasa Waislamu wameingizwaje kwenye hoja yako?