Iende mbele Injili ee, iende mbeleeee Iende mbele Injili ya Yesu, iende mbele. Hii ndiyo Injili ya kweli ya kuliokoa Kanisa na Jehanamu ya moto. Mungu aendelee kukutia nguvu Mzee. Asante.
Kuhubiri injili isiyoghoshiwa sio kujaliwa kaka. Kama uko tayari kifa, anza kupinga uovu na ubaya kama Yohana Mbatizaji umuone Herode anavyokuja kukukata kichwa popote ulipo.
Rev. Magembe ni sauti ya Mungu katika wakati huu ambao kanisa limepotoka katika kiwango cha kutisha. Ni kawaida ya Mungu kuwainua watumishi wa aina ya Rev. Magembe pale ambapo kanisa linapopotoka na kuanza misingi ya injili ya kweli. Mungu azidi kumbariki mtumishi huyu(Rev. Magembe) na kumpa maisha marefu.
Naipenda sana Injiri ya huyu Mchungaji na wachungaji wengine wenye Injiri kama hii,,na nikweli kabisa kanisa liko kwenye hali mbaya sana na Mungu atusaidie tushituke
Kabisa Kiongozi huiona njia, huonyesha njia na kuendea njia na Wachungaji na maaskofu wajifunze Kwa Mzee Magembe Awe Askofu wa Wakristo wote Tz na azidi kuwaonya viongozi na waumini Kwa ujumla bila kumung'unya mameno
Eeee Mungu wangu nifundishe kui ishi kweli yako. Nime kutenda dhambi mimi nirehemu eee Yesu wangu 😢😢😢😢. Niwe na mwisho mwema nika ione ile Mbingu mpya.
Mimi binafsi nimebarikiwa sana na hili Neno la Leo.... Kama wachungaji wote wangekuwa hivi hakika na maovu yangepungua sana.. pr. Magebe Ubarikiwe sana.🙏🙏🙏
Umeongea Ukweli Mtupu Mtumishi wa Mungu. Siku hizi wapo wachungaji wanavunja hadi nyungu kanisani. Eti wanavunja laana...wengine wanasema tutoe kafara..au sadaka ngumu ili tubarikiwe..kuna mwengine anasema kwamba ni Ruksa maaskofu kuoa wake zaidi ya mmoja..To be honest, the Chuch is in a critical condition, we Must repent that the times of spiritual awakening may come to us.
Watu awataki injili kavu watu tuna taka isha na majabu Mungu yeye mara zote utembea katika uweza na nguvu haiwekani watu waje kanisani na magonjwa na warudi nayo hapana watumishi nguvu za Mungu ziko wapi washirika nguvu za Mungu ziko wapi tusiwalau watu kwenda kwa mitume ikiwa Mungu uko ana tembea mtabaki kuwanyoshea vidole bure hatutaki story za biblia tunataka injili yenye madhilisho ya Mungu
Ni kweli Pentekoste ya leo sio ile ya zamani.. Hakika Imekufa. Imekwisha, Lakini asifiwe Mungu aliyelijua hili akatupa ahadi katika siku hizi za mwisho ya kuturejesha katika Imani ya Pentekoste ya Asili(Malaki 4:5-6) Hallelujah.
WACHUNGAJI WOTE WAWE NA LUGHA MOJA. MAASKOFU WA KUU, MAASKOFU WA MAJIMBO, NA WACHUNGAJI WAKE WOTE, AKIONGEA ASKOFU MKUU, MAAGIZO YASHUKE MPAKA CHINI KWA WACHUNGAJI, MPAKA IWAFIKIE WAUMINI. EEH MUNGU UTUOKOE NA YA ULINWENGU😢
The power of Jesus Christ is what changed the world. You to day have only noises. Manifest power of Jesus. It's this power which brings surrendering in the hearts of the people. Hearing comes from the word of God, if you preach laws you always won't see manifestation of power. Key point isaya 61:1- with Luke 4:18. Kweli inadhihirika wazi kutibu matatizo ya watu. Haiwi kweli hadi udhihirisho umeonekana.
Tungekuwa na watu kama Hawa watano tu Tanzania ingepona mapema sana,, MUNGU ampe maisha marefu pastor Magembe,,
1.Moses Magembe
2.Pascal Cassian
3.Mwakipesile
4.Amiel Katekela
5.Wapo wengine wengine ambao hawana access au exposure ya social media kama hawa
@@johnmaganga44 Bishop Dickson Kabigumila pia
Uchaguzi ni wako yupi unataka kumfuata wa kweli au wa uongo
Wapo wengi hawana hata account za mitandao 😢@@johnmaganga44
Christopher mwakasege
Iende mbele Injili ee, iende mbeleeee
Iende mbele Injili ya Yesu, iende mbele.
Hii ndiyo Injili ya kweli ya kuliokoa Kanisa na Jehanamu ya moto.
Mungu aendelee kukutia nguvu Mzee.
Asante.
Hii ni injili ya kweli hongera sana pastor magembe MWENYEZI MUNGU akubariki sana🙏
😭😭😭😭😭😭😭😭😭YESU nijaalie kuhubiri injili isiyogoshiwa niko tayari hata kufa mwili wangu kabisaaa
Kuhubiri injili isiyoghoshiwa sio kujaliwa kaka. Kama uko tayari kifa, anza kupinga uovu na ubaya kama Yohana Mbatizaji umuone Herode anavyokuja kukukata kichwa popote ulipo.
@@HelbethMlelwa hata sasa ninaihubiri kaka mm ninakuelewa sana
Injili inahbiriwa popote nilipo
Pokea kwa Jina la Yesu
Na kufikia hapo magembe alipofka amekua ni mtu wa maombi haswaaa. Chakula chake ni maombi sio chips na nyama. Bwana akutie nguvu
I wish one day ntakuja kusimama kama mch. Magembe Ili na mm niseme kitu mbele ya kanisa
Kuna nguvu kubwa sana ya Kimungu ndani yako mtumishi wa Mungu!!Endelea kusimama katika kweli ya Mungu hata mwisho wa Dunia hii
Askofu Mungu akupe maisha marefu ili uendelee kutupa kweli ya Mungu
Dah Mungu akutie Nguvu baba wa Imani natamani hii Injili . Amen
Amen mch MUNGU aibariki injili hii ukweli utalirudisha kanisa
Amina baba nikweli k abisa %100 mungu atusaidie sana
Kukosa au kupoteza uwezo wa kusikia ni mlango wa uovu mbalimbali. BWANA akubariki Mzee Mchg. Magembe. Ni ujumbe sahihi kwa wakati sahihi.
Sema Taifa tupone🤌🏼👊🏼
Asante mchungaji ,ni ukweli usiopingika ,❤ mwenyezi MUNGU afanye wepesi ,
Mungu azidi kukutunza daimaa❤
Hongera mtumishi wa Mungu. Chapa injili, chapa injili maadamu ni mchana maana usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi. Chapa injili, washa moto, washa moto mtumishi usinyamaze!
Mungu atusaidie kwa kweli hali ni mbaya mno
Rev. Magembe ni sauti ya Mungu katika wakati huu ambao kanisa limepotoka katika kiwango cha kutisha. Ni kawaida ya Mungu kuwainua watumishi wa aina ya Rev. Magembe pale ambapo kanisa linapopotoka na kuanza misingi ya injili ya kweli. Mungu azidi kumbariki mtumishi huyu(Rev. Magembe) na kumpa maisha marefu.
Eti Reverent hilo n jina la Mungu binadamu astahili kutumia hilo jina😢
KAMA ILE NYOMI YOTE YA MWAMPOSA WATU ZAIDI YA ELFU SABINI IMEPOTEA INAENDA KUZIMU 😢😢😢😢
Mungu Baba wa Mbinguni tunaomba utusamehe kwa dhambi inayochafua kanisa lako 😢😢😢
Amen haya ni mahubiri muhimu kwa nyakati za mwisho tulizonazo. Kanisa linapoteza radha, ni muhimu mteule kuwa macho
Amina sana May God bless you Servant of our Lord Jesus christ 🙏
Yes safi kabisa injili iendelee Amina
Wako watumishi wa kweli tanzania wakina sumbe elibariki baba magembe
Kabisa sumbe na mgembe nawapenda sana wanasema kweli sichoki kuwasikiliza mafundisho yao najifunza mengi kuwao
Mungu azidi kukutunza mtumishi wa Mungu
Mungu akutunze baba,,ni
UAMSHO na Matengenezo ndani ya KANISA
Aminaa sana pastor be blessed mwenye sikio na askie maaan weng tumejikita ma dini badala kumtfuta Yesu aliye hai
Amina ...natamani wachungaji wote wawe kama wewe ....Baba Ubarikiwe Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juuu
Upo sahihi mchungaji,matengenezo yanatakiwa kuanzia ndani,Mungu akubariki sana na aendelee kukupa nguvu kwa ajili ya wake wa Mungu
Ubarikiwe san kwa ujumbe unaoliponya kanisa nakupata vizuri mchungaji wangu
Amen and amen Baba!
Holy spirit have mercy upon the church of Tanzania ! Mercy oooh Lord.
Pole sana mtumishi,wahuni wamevamia kanisa
Amen pasa Saudi mtumishi wa mungu tangaza Neno la mungu na alie na masikio na asikie mungu akutie nguvu unapoendelea kufundisha Neno 🙏🙏🙏🙏🙏
Dunia imeingia kanisani waziwazi wala haijifichi
Siyo dunia imengiea kanisani, bali kabisa limejisahau, hakuna nguvu ya Mungu ndani ya kanisa ya kubadilisha watu
Naipenda sana Injiri ya huyu Mchungaji na wachungaji wengine wenye Injiri kama hii,,na nikweli kabisa kanisa liko kwenye hali mbaya sana na Mungu atusaidie tushituke
Sema kweli mtumishi wa Mungu, taji yako n kubwa mbinguni , Mungu akujalie sana uendelee na moyo huo
Huyu apewe uaskofu mkuu, Safi Sana mungu atabaki na watu wenye kupiga kelele
Kabisa
Kiongozi huiona njia, huonyesha njia na kuendea njia na Wachungaji na maaskofu wajifunze Kwa Mzee Magembe
Awe Askofu wa Wakristo wote Tz na azidi kuwaonya viongozi na waumini Kwa ujumla bila kumung'unya mameno
Utamwongezea nguvu ya kuhubiri Injili?
@@michaelambangile3632 mungu Alie ndani yake anatosha yeye ndie mwanzo na mwisho kwa wote wanaomwamin
Eeee Mungu wangu nifundishe kui ishi kweli yako. Nime kutenda dhambi mimi nirehemu eee Yesu wangu 😢😢😢😢. Niwe na mwisho mwema nika ione ile Mbingu mpya.
Mungu akubaliki
Mungu akubariki sana mtumishi Kwa kuisema kweli ya Mungu
I appreciate pr God Bless you.
Barikiwa mtumishii injili isongee mbele
Amina baba sema tupone maana ukweli ndo uponyaji
"Mtaijua ile kweli, nayo kweli itawaweka huru"
Ubarikiwe baba
Mungu nisaidie nihubiri kweli yako .nikweli baba kanisa liko icu
Mimi binafsi nimebarikiwa sana na hili Neno la Leo.... Kama wachungaji wote wangekuwa hivi hakika na maovu yangepungua sana.. pr. Magebe Ubarikiwe sana.🙏🙏🙏
Hua nakuaelewa sana pasta Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu sana
Injili kama hii naipenda sana mimi Fariji Edson
Umeongea Ukweli Mtupu Mtumishi wa Mungu. Siku hizi wapo wachungaji wanavunja hadi nyungu kanisani. Eti wanavunja laana...wengine wanasema tutoe kafara..au sadaka ngumu ili tubarikiwe..kuna mwengine anasema kwamba ni Ruksa maaskofu kuoa wake zaidi ya mmoja..To be honest, the Chuch is in a critical condition, we Must repent that the times of spiritual awakening may come to us.
Pastor magembe BWANA YESU AKUTUNZE SANA PASTOR
Mungu akupe maisha mpaka utakapoona Mungu ametusaidia
Mungu akutunze sana Mtumishi wa Mungu
Be blessed ❤
Nasikia utiisho wa Mungu.
Watu awataki injili kavu watu tuna taka isha na majabu Mungu yeye mara zote utembea katika uweza na nguvu haiwekani watu waje kanisani na magonjwa na warudi nayo hapana watumishi nguvu za Mungu ziko wapi washirika nguvu za Mungu ziko wapi tusiwalau watu kwenda kwa mitume ikiwa Mungu uko ana tembea mtabaki kuwanyoshea vidole bure hatutaki story za biblia tunataka injili yenye madhilisho ya Mungu
❤❤❤❤
Ni kweli Pentekoste ya leo sio ile ya zamani.. Hakika Imekufa. Imekwisha,
Lakini asifiwe Mungu aliyelijua hili akatupa ahadi katika siku hizi za mwisho ya kuturejesha katika Imani ya Pentekoste ya Asili(Malaki 4:5-6)
Hallelujah.
Amina tunafutilia sana
Mungu akubariki sana ❤
Ni kweli kabisa..hizo nyomi hazina maana kwamba kanisa lipo hai..spiritually kanisa lipo ICU....
Amen baba, tunaumia baba yetu siku zinazidi kuwa mbaya zaidi, mungu atusaidie sana😂
Well said baba
Kabisa mtumish tumehama katika kusudii la MUNGU
Ubarikiwe sana mtumishi Kwa huduma
mungu akubaliki sana baba
Hakika mungu akutie nguvu
Amina baba ubarikiwe sana
WACHUNGAJI WOTE WAWE NA LUGHA MOJA. MAASKOFU WA KUU, MAASKOFU WA MAJIMBO, NA WACHUNGAJI WAKE WOTE, AKIONGEA ASKOFU MKUU, MAAGIZO YASHUKE MPAKA CHINI KWA WACHUNGAJI, MPAKA IWAFIKIE WAUMINI. EEH MUNGU UTUOKOE NA YA ULINWENGU😢
Hao maaskofu wenu wengi ni wanachama wa kile chama mfano yule mwa ametumika kuvuruga
Mungu akuongezee siku zakuishi babangu uzidi kutufungua masikio nime kubali hii injili ubarikiwe sana🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki mtumish
Ebwana nipenami njeema ya kuhubir injiriyako yakwer kamahii ya magembe😢😢😢😢😢❤❤❤
Ameeen sana
Amina baba
Mungu atusaidie ubarikiwe mno
Amina
🙏🙏 mungu atusaidiee
Amen Mutumishi wa Mungu
Ubarikiwe mpendwa upendwaye na bwana
Ooooooooo baba pasta mungu atusaidie tulipo panatisha jamani😢😢😢😢
Mi ni mluther natabaki kua hivo lakin huyu mchungaji siju ni wakanisa gani lakini ana mahubiri ya kweli Mungu na ukubarik
Very true.
Haleluya
Mungu azindi kukupa ujasiri na mungu akulinde huko ulipo
Kweli much Mungu akubariki watu wanashuudia mafuta na maji Yesu wamemsahau
Kweli Baba Mungu atusaidie
Barikiwa xana mtumish
Amen pastor umeongea kweli kabisa
Nakuelewa pastor ujumbe wa matengenezo jumbe kama hizi chache baba
Baba mungu akubariki
Mungu awabariki
Amen baba 🙏
Eee Mungu naomba tusaidie sana turudi katika mstari wako 😢😢😢😢😢
Mungu atusaidie
Ni kweli kabisa MUNGU atusaidie
Mungu tusamehe jamani tuonyeshe njia ya kweli tunaangamia jamani hatujui tiende wapi naomba usiku wa leo mungu nikumbuke
Utashangaa anaibuka mtumishi mwingine anaanza kumpinga Maghembe,Mungu atusaidie
Isaya Benson, IPM,Masisi wataibuka
Hi ni sawa kabisa
Amina baba nasikia kulia
Amen
Kweli kabisa Mungu tusaidiye
Mungu anawajua walio wake, naaamini kanisa litasimama hadi ukamilifu wa dahari...
The power of Jesus Christ is what changed the world.
You to day have only noises.
Manifest power of Jesus. It's this power which brings surrendering in the hearts of the people.
Hearing comes from the word of God, if you preach laws you always won't see manifestation of power.
Key point isaya 61:1- with Luke 4:18.
Kweli inadhihirika wazi kutibu matatizo ya watu. Haiwi kweli hadi udhihirisho umeonekana.
Not every where you demonstrate power, this is a rebuking sermon
MUNGU Aliye hai Akubariki Sana Askofu
Noted