Style aliyoitumia Makongoro Nyerere kuomba kura za ubunge
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- April 4, 2017 ulifanyika uchaguzi wa wabunge wa bunge la Afrika Mashariki ambapo Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakifanya uchaguzi huo Bungeni mjini Dodoma.
Mmoja wa wagombea alikuwa ni Makongoro Nyerere ambaye style yake ya kuomba kura ilisababisha wabunge wengi kuanza kucheza kila muda alivyokuwa akiongea
Kama unacheki hii kitu 2021.mwezi wa 5 upo timamu mno
Namuona Mwalimu kwa mbaaali ndani ya Makongolo, kama na wewe umeona hivyo like
Ni makongoro, sio (makongolo)
Kiukweli jamaa kama Baba yake hadi sauti.
Kabisa
mtu anapigwa interview ya kingereza hapo, kwakua ni E. Africa. hapo kuzuga watu lakini kikubwa MTU anapimwa uwezo wa lugha ya kigeni
angel mwanaidi VEE
Mimi naona kingereza kiwe kinapewa kipaumbele kwenye hili bunge.😃😃😃😃 hivi kweli shikamoo mzee katisha
Frank Sylivestar
Sema Kula Dogan
sorry *kulwa
Swahili Marahaba Shikamo
Waliokuja kuona hii baada ya uteuzi wa Samia tujuane
Leo mjuba ni RC maisha yanaenda kasi
Afrca masharli English ya nn katka bunge.huu ndo utumwa wenyew
daaaah anajua mpaka raha kumsikiliza!!!!!
Everyone who read my comment SHIKAMOO
🤣🤣🤣
Marhabaa
😂😂😂😂😂
Hahahaha!! big up makongoro! in real I appreciate on how you took the floor!!
asante kwa kuja Mr Makongoro
like his father, big up makongoro
musukuma amemuelewa nyerere msaidieni tafsiri
haaaahaaahaaa msukuma
Salim Mrisho kuma wewe
@@ayoubchacha9090 😨
umetsha makongoro u made a gud speach
Speech
mama mbavu zanguuuuuu uuwi
Redemption seriously
Nampenda sana huyu jamaa, anajua sana kujieleza, English yake safi
Sana
Very true..
Nakupenda kaka angu makongoro una Nidhamu ya kale kuheshimu mdogo na mkubwa huna dharau.
very nice Makongoro J.k. Nyerere,, shikamoo mzee!
nimependa aina ya siasa aliotumia hizo ndo siasa zinazotakiwa Tz hongera makongoro kweli umetoka katika nyumba ya wenye hekima na busara
hawa shikamoo ni SHIDA huko EALA HAKUNA JIPYA.
jamaa anajua sana big up makongoro
Nimefurah baada ya kuona wabunge wengi wapo kimya nikagundua shida sio maneno hayajawapendeza shida hawaelewi kinachoongelewa
Mmmh... English should be taught in Tanzania to avoid...
good Mr you makongoro Nyerere
he speaks like nyerere
Makongoro anajua kuongea vzr
Una akili ww
Huyu hajui kitu chochote
Mmmmh jamani mbona kama wewe ndio hujui?
Good speach
😀😀😀😀😀😀😀unazeeka na utani wako ,shikamoh
hahaaaaa
good
Sijaelewa kinacho ongelewa hapo coz baba angu alikua hana hela za kuniendeleza na elimu ya secondary
Yani tz mulibarikiwa tangu ukoloni..jamani huyu angepewa raisi
Jamaa yupo vizuri
@@shukranchitema4836 tena sana
Mh makongoro wewe unafaa kuongoza hata kwa malkia uingereza ! Your very talenting and confidently! Saafi saana
Alafu wakamnyima kura
Kumamake hapa ndoninapokosana na vichogo maana hutaka kukopi mpaka yulewanaemkopi wampite
Milard mungu akuongoz kweny kazi yako
Wabunge wengine wanaulizaa kwa kukomoa kwa kuona et hajuii,anajua bhana political federation
Mr.makongolo is very fantastic😄😄😄
Bongo Politics ni kuwachekesha watu na watakufueahia kwelikweli but ukiingia Madarakani mmmh....!
kwani kingereza kinausu jamaniii bungeni mbona watanzania hamueshimu lugha yetu tunapenda kukopiii khaaaa oyoo aibu tupuuu
Divvana Johnson hujielew????
Divvana Johnson Nanikaleta aibu mbona kinaeleweka Anachokizungumuzia niwapi alipokosea
uncle hahahaa u made me laugh
Marahabaaaaaaa... hujambo MTOTO wa Baba YETU wa TAIFA
Today am doing revisions. Big Up Makongoro JK Nyerere
Ahaha! Tanzania English problems!! Mrudi shule
Is it english an education? For me it is a language
Wewe ndo ukasome ujue kutofautisha vitu bwege we
MH. Makongoro hotuba uliotoa Kwa lugha ya kiingereza ilikua nzuri sana nimekuelewa na hapo wabunge walibaki kunyamaza baadhi Yao walikua hawaelewi lolote ulichoongelea Kwa kua baadhi Yao hawaelewi au lugha hio ilikua inawachenga niligundua Spika ilikua anakupima kama ulikua unajua kuongea lugha ya kiingereza lakini Spika alibaki kuduwaa tu hongera makongoro tumekuelewa
I Really Admire Ur English. It's Fantasy And Good. But Mheshimiwa Umenivunja Mbavu...Eti Shikamooo Hahahahaaaaa
Bashite jamani analeta vyeti au
Uko vizuri RC Makongoro safi sana, unajua vitu
hhhh you made us to remember our first president, Big Up
hata mm ningekueepo bungeni, ningempa Kura huyu jamaa.
Kenyan are thinking only them they can speak English but now we proofed to them even us we can speak this colonial language.
@ LULANJA MD Haya tumeamini! Mbona tusiongee kimaasai sasa?
Speaking kiswahili in English.
Well done..the son of
Baba wa Taifa...I admired
How you handle the floor. Congratulation.
millady ayo !Good job keep it up
Aisee ata nyerere ajawai ongea kingereza bungeni ebu ongea kiswahili lugha yetu
Anaomba kuchaguliwa bunge la EAC sio la Tanzania kaka
@@rosemaryngowo2327 acha kumuelewesha
Makongoro you are my hero...big up !
kingereza hakiusu mana kuna wazee wetu wengine hawajuwa na sis ni watanzania tuna lugha yetu
Divvana Johnson
Halafu anajua kujieleza kuliko viongozi wengi wakuu waliopita cna haja yakuwataja mnawajua
Hii mnajaribu tu au ndio mpango uliopo kuongea kidhungu bungeni? Tunawaomba Waheshimiwa muendelee tu na lugha yetu 🇹🇿🇦🇷
Tanzania still needs a Good Politicians... That Nyerere didn't sell him self very Good to his fellow members of the Palament.....
Gd
Natafurahi sana siku huyu jamaa akiwa hata waziri ,tutajua uwezo wake vizuri
alikuwa na mengi ya kuzungumza. na ile shikamoo bila kujali ukubwa au udogo wa mtu alikuwa na maana yake pia. kamwamkia waziri mkuu kamwacha spika wa bunge!!! siasa bana!!! uongozi una siri nyingi sana. napita jamani. asante spika wa bunge na makongoro nyerere pia
Stedius Bernado kasalimia wote
regardless of your age shikamoo.....hah hah hah
Marahabaaa
yuko sawa anamanisha yuko chini yao,, na ndoo maana harisi ya shikamoo
Nice
mamaaaa iyo lv kiswahili kwa kingereza kinaitwaje nauliza tuu jaman
Denis Matthew Kiswanglish
Denis Matthew Swainglish
Very interesting like his father.
kiswahili na kingereza inaitwa codemixing
Hon Makongoro MARAHABAAA
Makongoro nyerere shikamooo
Shkamoo.
Ukitaka kufanikiwa jishushe.ilipendeza sana.
Salute Makongoro
jamani ccm mnatuletea watu gani mnatuharibia chama
Unachama na Ww kula Ugali kwako tu!
Lucy Leopold Wewe unachama wanawajuwa waanzilishi au Unaropoka
Makongoro unajua sana asee mpaka kero hahaha
makongoro this is ccm braza ,, merely shikamooooo
very nice mr makongoro
Ahahaha hata mm nimecheka
Upo vizuri sana kakaangu
Kumbe mwalimu alimfundisha kijana kiingereza,safi sana.
Brian Basela ila wengine hajawafundisha..!
All that time you have been in East African Palament.. And All you done for Tanzania is Petroleum pipe...
Mr. Makongoro shikamooo.
He is good and bright!
Hahaahaa mbunge msukuma yuko wapi mazee wa la saba Sijui hapo anatafasiriwa na nani makogoro
good ma dad
I appreciate
Hahaha kweli bungeni kuna wasomi kweli kweli
Why,' honourable candidate,' hana jina ? Wa TZ mtatushangaza sana !
Kiingerezaa sio cha kubabahishaa
hahahaaaaa most of politicians in tz.they don't know English .hihihihiiiii
English is not a really measure of someone education my friend.
You must one
Huyu jamaa ni bonge la kiongozi
wengine atujaelewa ndio maana atucheki ila SHIKAMOO
et shikamoo
Km unanfurahsha hv!!!!! Nmekpenda kngereza chako! Kko vzr Mr.
Mpo kwenye kichekesho au bungeni shikamo
Katisha kijuukuu
HahahA ndalola amang'Ana ni mazomu ku kingeleza kwazo mwetu. .......big up
Awe hehehe Orasekya kweli
Makongoro karibu manyaratena
A man is smart.
Tanzania should stick to debating in Kiswahili, English kwao ni mlima
Oooooy
duh! hii style👍