🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
  • 🔴#Live: MSTAAFU KIKWETE na MTOTO wa MANJI WAZUNGUMZA KWA UCHUNGU MAISHA ya MANJI HADI KUFARIKI...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 163

  • @BismarkStephen
    @BismarkStephen 26 วันที่ผ่านมา +14

    Kikwete mumgu akubariki Sana uzeeki Una roho nzuri

    • @WilliamMsungu
      @WilliamMsungu 26 วันที่ผ่านมา +2

      Hizi kauli zingine za kishamba kwahiyo wanaozeeka Wana roho mbaya?

    • @allythabiti8150
      @allythabiti8150 26 วันที่ผ่านมา

      ​@@WilliamMsunguNdyo hujui kuwa roho mbaya na kuweka vitu moyon vinamzeesha mtu haraka

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS 26 วันที่ผ่านมา +11

    Poleni kwa msiba mkubwa, Mungu awatie nguvu.

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq 26 วันที่ผ่านมา +6

    Tunawapa pole wafiwa INNA LILAH!

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 27 วันที่ผ่านมา +19

    Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na alitie nuru kaburi lake pamoja na sisi tuliohai utupe mwisho mwema.

    • @AbdulmujibAhmed
      @AbdulmujibAhmed 27 วันที่ผ่านมา +2

      Kwanini wataje habari ya yanga kwani dini hiyo? Manji namjua sana alikua mtu wa Dunia tu mimi mtanzani mkazi wa mbagala kuu kwa sasa nipo South africca hakuahi kujenga hata msikiti mmoja katika maisha yake

    • @ramashauritanga8966
      @ramashauritanga8966 27 วันที่ผ่านมา

      Pp

    • @meshackeliau8973
      @meshackeliau8973 26 วันที่ผ่านมา

      ​@@AbdulmujibAhmed kwani ni lazima ajenge msikitiki 😂😂

    • @mariamkikula1614
      @mariamkikula1614 26 วันที่ผ่านมา

      Amin yarabii

    • @shakilakhamis2109
      @shakilakhamis2109 26 วันที่ผ่านมา

      Amiiin

  • @user-qc9jf6rn7u
    @user-qc9jf6rn7u 26 วันที่ผ่านมา +3

    Pole sana kijana. Mungu akupe baraka katika kuyaishi yake mzee ameachia.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 27 วันที่ผ่านมา +14

    The late , Yusuf Ally Mehboub Manji, was very hardworking man!

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 26 วันที่ผ่านมา +5

    Allah awape moyo wa subra kwa nyakati zote daiman

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 27 วันที่ผ่านมา +6

    Mashallah mtoto mzuri sana hatari... Pole sana... mwenyezi Mungu amlaze pahala pema peponi amini

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 27 วันที่ผ่านมา +6

    MashaAllah amekua mkubwa ivi, Mungu akupe subra 😢😢

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu awatie nguvu watoto wa manji naelewa uchungu mliopata ila Mungu awatie nguvu na kuwafariji sana

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 26 วันที่ผ่านมา +4

    Pole sana kwa wana familia wa Manji

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 26 วันที่ผ่านมา +4

    Yusuph was a very humble rich man

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y 26 วันที่ผ่านมา +5

    Jk nakukubali sana na Mungo akubariki na kukupa miaka mingi na kheri duniani

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 27 วันที่ผ่านมา +5

    Poreasamwanangu mungu ampuunzisha baba magari pema oeponi jamani nimeeumia sana

  • @beatuskulwa2912
    @beatuskulwa2912 26 วันที่ผ่านมา +5

    RIP Manji ,uliiheshimisha Yanga natutaendelea kukukumbuka kwa waalama ulioiacha

  • @emanuelmushi9917
    @emanuelmushi9917 26 วันที่ผ่านมา +7

    N kwel manji alionewa sana na kikombe hich makonda anakjuaa

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 21 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana family ya manji M/mungu awape nguvu na subra 😭😭

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 27 วันที่ผ่านมา +6

    Umesema Ukweli hapa sio maswala ya siasa ni msiba acheni ujinga wa kusema mzee kaiba mnsushaidi upi

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 27 วันที่ผ่านมา +4

    Mwanae mfanya biashara jamani kama kaandika manji kisa riko wapi mwizi kakuibia Nini mtajeni marehemu Kwa mazuri yake nawara sio mabaya yake wewe ukisajamwa umekufa nduguzako hajisikii vizuri mungu iraze pema rohi ya mpendwa wetu oeponi amina

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 24 วันที่ผ่านมา

    Amina yaaraab

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 26 วันที่ผ่านมา

    MUNGU amulaze mahara pema peponi Amen

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 26 วันที่ผ่านมา +1

    Allahu Marehemu 🙏🙏🙏

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 15 วันที่ผ่านมา

    Wamemdhulumu sna mpka wamemuua maskiin!! makonda utalipa yote kwa Mungu

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 27 วันที่ผ่านมา +3

    Manji na Kikwete walikuwa marafiki wakubwa, ndio maana Manji aliingia Yanga.

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 25 วันที่ผ่านมา

    Mungu amuweke mahali pema amani

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ya rabbi nsataraa manji

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 27 วันที่ผ่านมา +3

    R.I.P YUSUPH MANJI

  • @user-ts4zn1sx7h
    @user-ts4zn1sx7h 10 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @piusmdoe3200
    @piusmdoe3200 26 วันที่ผ่านมา +1

    RIP.Yusuf Manji.

  • @salmaramadhan2725
    @salmaramadhan2725 20 วันที่ผ่านมา

    Kikwete ana roho nzuri,najuta kupoteza simu na no zake kupotea...

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 25 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢maskn anajikaza kiume
    Innalilah waina ilah rajiun

  • @walterngowi5835
    @walterngowi5835 27 วันที่ผ่านมา +2

    Vp Makonda naye yupo hapo au 😎😎

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 26 วันที่ผ่านมา

    Makonda kaka yangu, mtafute huyu Kijana, unafanya mambo makubwa sana, usikose Baraka Bure, muombe Msamaha Kwa ajili ya baba yake kabla ya kufanya Toba Kwa Mungu Ili uwe na amani, pia umuombe Msamaha Joseph Warioba, pia Mtoto wa Lowasa,
    nayasema haya kwakuwa nipo na wewe sana siku hizi, unafanya mambo makubwa sana, usikubali hawa watu wote wafe hujawaomba Msamaha. Manji aliteseka na moyo wake ulizidi kumdhoofu akiwa magereza Kwa kisasi kisicho na Afya. Nakupenda Makonda fanya hivyo my Brother.

  • @user-tz8tg2sk5r
    @user-tz8tg2sk5r 27 วันที่ผ่านมา +6

    Yan mnatarajia mtu kafika level ya urais awe maskin/ kama kaiba hamna ushahid nyamazeni

  • @BismarkStephen
    @BismarkStephen 26 วันที่ผ่านมา +2

    Acheni kulaum wqtu fanyeni KAZI Acha kusema watu vibaya

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 26 วันที่ผ่านมา

    Manji ameacha alama ya upendo na upole. Mungu amtunzie vijana wake wazuri na timu ya yanga pia. RIP Manji.

  • @ramadhanikigoto
    @ramadhanikigoto 27 วันที่ผ่านมา +1

    Innallilah wainailaih rajiun

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 27 วันที่ผ่านมา +3

    bonge la handsome jamani waoool

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 26 วันที่ผ่านมา +1

      Acha tamaa na uzinifu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 26 วันที่ผ่านมา

      HAYA MAJINA YA WEMA WANAKUWA NA NYEGE SANA 😂😂😂

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 26 วันที่ผ่านมา +2

    Mwenyezimungu hashindwi na jambo lolote hana kubwa wala hana dogo

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 27 วันที่ผ่านมา +3

    Yusuf Sio Yusufu..😂😂😂

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 26 วันที่ผ่านมา +2

    R l.P.

  • @markmushi8940
    @markmushi8940 26 วันที่ผ่านมา +1

    Apumzike kwa amani yusuf manji alikuwa ni m2 wa wa2

  • @salmakirundu2076
    @salmakirundu2076 25 วันที่ผ่านมา

    Innah lilah wainah illah rajioon

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h 23 วันที่ผ่านมา

    President kikwete miaka 100 nakuombea mana kuna wachawi wanahesabu marais eti walotangulia mbele ya haki wewe kwa kuwa ulikuwa na roho nzuri hadi mia inshallah utafika kwa uwezo wa alwah

  • @friendsofpeopleorg1157
    @friendsofpeopleorg1157 26 วันที่ผ่านมา +2

    Poleni sana

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 26 วันที่ผ่านมา +2

    Chalamila sasa atamkebehi nani? Alipo sema kariakoo, manji kakimbia nchi

    • @nsiamasawe4578
      @nsiamasawe4578 26 วันที่ผ่านมา

      Yaani acha tu Mungu atamlipa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 26 วันที่ผ่านมา

      ​@@nsiamasawe4578NYIE UTOPOLO MLIMPIGA MANJI BAKORA NA MKAMUITA MWIZI SHENZISTAN NYIE

  • @adrianowillix5491
    @adrianowillix5491 26 วันที่ผ่านมา

    The team , the network

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 27 วันที่ผ่านมา +2

    Mjombaumeongea vizir sana hata Mimi nimeeumia sana nimesikia Jana kuwa yusufu amekufa

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 26 วันที่ผ่านมา

      Sio yusufu ni YUSUF

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y 27 วันที่ผ่านมา +2

    Kikwete kumbe Bado hajawa mzee Bado Yuko ,🦾

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 27 วันที่ผ่านมา

      👍👍👍

    • @KenedyMwaipaja
      @KenedyMwaipaja 26 วันที่ผ่านมา

      Awam ya 5 alizeeka zeeka awamu ya 6 kamwili kamenona😂😂😅

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 26 วันที่ผ่านมา

      Ukiwa na moyo Safi huwezi kuzeeka haraka, Ila ilukiwa na moyo wa chuki, fitina na wivu Lazima uonekane mzee hata kama una umri mdogo!!

    • @KenedyMwaipaja
      @KenedyMwaipaja 26 วันที่ผ่านมา

      @@wazirisaid8326 moyo safiii!! ???

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 26 วันที่ผ่านมา

    RIP Yusuph Manji

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 25 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢😢

  • @greysonjohn9778
    @greysonjohn9778 25 วันที่ผ่านมา

    R. I. P

  • @abdallahabdallah7872
    @abdallahabdallah7872 27 วันที่ผ่านมา +8

    Kikwete ametokea katika familia ya kiungwana

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 27 วันที่ผ่านมา

      Mhhh

    • @albertjames6845
      @albertjames6845 27 วันที่ผ่านมา

      Au sio

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 27 วันที่ผ่านมา

      Huna baya Rais mstafaa KIKWETE

    • @saidnoumani7244
      @saidnoumani7244 24 วันที่ผ่านมา

      Ni kweli...pia inategemea malezi huwezi ukaribganisha watu wa pwani na Kanda za ziwa Kwa ungwana etc

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 23 วันที่ผ่านมา

      ​@@HamisMghuna-fj3vzatakufa tu

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 26 วันที่ผ่านมา

    RIP YUSUF MANJI.

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 26 วันที่ผ่านมา

    Jk 🔥

  • @geofkabo7843
    @geofkabo7843 24 วันที่ผ่านมา

    Ridh1 alikuwa na urafiki na manji? Haraf kunafukunyuku anamsema makonda?

  • @user-my7qi2qv3p
    @user-my7qi2qv3p 26 วันที่ผ่านมา

    Rip jembe ulaya

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kikwete bado kijanaaaa

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 26 วันที่ผ่านมา

    Sasa wee mzee kikwete umekabidhiwa mtoto umelee mpaka unashtukizwa msiba we vipi mzee

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c 26 วันที่ผ่านมา

    Makonda hajafika msibani?

  • @user-cd5ch7mi1e
    @user-cd5ch7mi1e 23 วันที่ผ่านมา

    MNAZUNGUMZA KWA UCHUNGU SABABU YAMANJI SASA NI HISTORIA ILIOBAKI KIONGOZI MKUU RAIS MSTAAFU MAREHEMU ALI H😊HASSAN MWINYI ALISEMA MAISHA NIHADITHI SASA TUELEWE.HIVYO NASI TUKO NJIA 1 MOJA HAKUNA KUZUNGUMZA KWAUCHUNGU LAZIMA TUONDOKE

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 26 วันที่ผ่านมา +1

    Kikwete ni mtu mzur saana, Hekima na busara ni vitu vikubwa sana katika maisha.

  • @hamidashaban1203
    @hamidashaban1203 26 วันที่ผ่านมา

    Wacheni wivu aliyepewa na Allah hakuna wakumnyang'anya hasadi zinawasumbua.

  • @danielkipingu354
    @danielkipingu354 26 วันที่ผ่านมา

    DP ..... tumepigwa.

  • @eightofhearts
    @eightofhearts 26 วันที่ผ่านมา

    The older son is very handsome and eloquent. He gives off a “trustable” vibe. MashaAllah.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 27 วันที่ผ่านมา +2

    Kumbe uliachiwa Hayati Yusuf Ally Mehboub Manji umlee? Mbona hukutuambia hayo kabla,,,,? Kama ulikuwa umekabidhiwa kama mwanao mbona hawakukukaribisha katika mazishi yake? Kumbe mlikuwa unakutana nao nje ya nchi,,,dah, haya bwana!

    • @emazjassam2452
      @emazjassam2452 27 วันที่ผ่านมา +1

      Hujitambui,ulitaka lini asimame aseme aliachiwa....

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 27 วันที่ผ่านมา +2

      Mtu kifa kila kitu utasikia hp sifa kibao utasikia wamemtesa wee na kumpmaradhi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 27 วันที่ผ่านมา

      @@emazjassam2452 punguza makasiriko ndugu,,

    • @ibrahimrajabu8722
      @ibrahimrajabu8722 26 วันที่ผ่านมา

      Yako ushamaliza kiasi ubebe ya wengine???

    • @ramsojimmykelly3379
      @ramsojimmykelly3379 26 วันที่ผ่านมา

      ​@@nishaabdula5015makonda hii dhambi inamuhusu na marehemu magu

  • @victorkamugisha2282
    @victorkamugisha2282 26 วันที่ผ่านมา

    Huyu mtoto ataichukua Yanga

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 26 วันที่ผ่านมา

      ILIWAMPIGE BAKORA KAMA BABAKE???

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 26 วันที่ผ่านมา

    Laisi watanzania anaendelea kupenda madaraka ila kwasababu ya katiba yaccmtu ila isinge kua hio angehutubu mpaka kifo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 26 วันที่ผ่านมา

      WEWE HUPENDI MADARAKA??

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 27 วันที่ผ่านมา

    Kupenda yanga ndo nini sasa

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 27 วันที่ผ่านมา +2

    Mmemtesa bqba ake wee adi kumsababishi mardhi leo mnongea nae nn mtt wk

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona unataja ugonjwa wa mtu?

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 27 วันที่ผ่านมา +2

      Shida ipo wapi....amezungumza historia ya uhusiano wa yeye na familia ya manji

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 27 วันที่ผ่านมา

      @@kaoretosha6668 hata madaktari Huwa hawasemi ugonjwa wa mtu hadharani

    • @HannanSomaiyah-wp7ny
      @HannanSomaiyah-wp7ny 26 วันที่ผ่านมา +1

      Tumuombee na Tujiombee,Si vyema kuongelea mabaya yake, Hakuna mkamilifu Dunia Allah ampe kaul thabity pamoja na Wazaz wetu yaraby 🙏

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 27 วันที่ผ่านมา +3

    Lakini aliathirika na madawa na alikua simtu wa dini alipenda sana dunia

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 27 วันที่ผ่านมา +4

      Ni kheri wewe usiyependa dunia kwa maana utaishi milele!

    • @ip_header
      @ip_header 27 วันที่ผ่านมา +3

      @abdulmujibAhmed
      jaribu kusoma vizuri dini ya uislam, si vyema kumsema vibaya mtu aliefariki. Hakuna binadamu mkamilifu kikubwa kuomba mwisho mwema.

    • @SharifaOmary-ui8vs
      @SharifaOmary-ui8vs 27 วันที่ผ่านมา

      Ww tena hakimu wa watu

    • @Legends_Interviews
      @Legends_Interviews 27 วันที่ผ่านมา

      Allah amsamehe

    • @allythabiti8150
      @allythabiti8150 26 วันที่ผ่านมา

      Sheikh hayo umetoa wap, Wala tajasasu

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 26 วันที่ผ่านมา +1

    baba Kikwete bado kijana kabisa..siri ni ipi mzee?😅 apewe muda na globa TV atupe mawaidha kabla kujaliwa kufika umri huo na Mungu wetu😄😄

    • @doktamathew
      @doktamathew 26 วันที่ผ่านมา

      Hali vitu vya kisasa,hali ugali,hali wali,hali vitu vyenye sukari ,hajawahi kunywa soda,pombe. Anakula vitu vya asili mara kwa mara

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 26 วันที่ผ่านมา

      @@doktamathew oh ivi kumbe ivo eh?

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 27 วันที่ผ่านมา +2

    WEWENKIKWETE YALE MABASI MWANAO PESSA KAPATA WAPI ?

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 27 วันที่ผ่านมา +2

      Ulipopata wewe pesa ya bando kuandika upuuzi.

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 27 วันที่ผ่านมา +2

      Kapewa na baba yake unadhani ndio wewe mwenye baba hohehahe.

    • @KingBuddah-nx3ui
      @KingBuddah-nx3ui 27 วันที่ผ่านมา

      @@salmahalfani6307 KWA NINI KAMUANDIKISHA MANJE NDIO MMIRIKI

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 27 วันที่ผ่านมา +2

      Roho za kimaskini.......shidaaaaa.....

    • @KingBuddah-nx3ui
      @KingBuddah-nx3ui 27 วันที่ผ่านมา

      @@kaoretosha6668 WEWE WATANZANIA WANAKUMBUKA KWA MATESA WALIOFANYIWA NA HUYU MZEE

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 27 วันที่ผ่านมา +2

    MWIZI ANAMJENGEA MWIZI MWENZAKE RIZIWANI KANUNUA MABASI KAMUANDIKA MANJE KAIBIA SERIKALI

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 27 วันที่ผ่านมา +1

      Acha roho mbaya za kijinga...

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 27 วันที่ผ่านมา

      Tena wewe ni mpumbavu haswa.

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 27 วันที่ผ่านมา

      Uwezo wako wa kufikili umefka mwisho

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 27 วันที่ผ่านมา +2

      rohoo ya kibaguziii itakuuaa aduaaa llah laanatullah mungu akulani zaidi

    • @IMANWILLIAM-bl2ui
      @IMANWILLIAM-bl2ui 27 วันที่ผ่านมา

      umaskini wako ndo uchukue wengine

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 26 วันที่ผ่านมา

    Mrudishieni mali zake mulizomtaifisha

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 26 วันที่ผ่านมา

    Kumbe ukawa unamsaidia hata kwenye mikwepo ya kodi we zee wewe bwana

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 27 วันที่ผ่านมา +2

    Siowote tumesikitika ACHA aende tu

  • @kaoretosha6668
    @kaoretosha6668 27 วันที่ผ่านมา +6

    Acheni roho za kimaskini kila wakati mwizi....mwizi...mwizi....toeni ushahidi msisambaze fitnaaa....

    • @user-ym6hd7xh3g
      @user-ym6hd7xh3g 26 วันที่ผ่านมา +1

      Maskini ndivyo walivyo.ndio maana wengi wachawi
      Mtu kajitahidi kafanikiwa mnamwambia mwizi
      Nenda nawe kaibe ufanikiwe

    • @didasseveline9013
      @didasseveline9013 26 วันที่ผ่านมา

      Walioshangilia kifo Cha mwamba! Naona anachomoka Mmoja baada ya mwingine! Hakika mungu ni fundi

    • @user-sl1ko9me7u
      @user-sl1ko9me7u 26 วันที่ผ่านมา

      RIP YUSUF MANJI....MAREHEMU HAKUWA MKAMILIFU KAMA SISI BINADAMU WOTE....KUNA WAKATI ALIWAKOSEA WATANZANIA KAMA WANANCHI KWA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WETU MAFISADI NA WALA RUSHWA....NA KUNA WAKATI PIA ALIWATENDEA MEMA NA MAZURI WATANZANIA....WATANZANIA TUMSAMEHE KWA YOTE....RIP YUSUF MANJI.

    • @mussamalekela2107
      @mussamalekela2107 26 วันที่ผ่านมา

      ​@@didasseveline9013 kwa hiyo ambao hawakushangilia watachomoka kwa makundi sio! Ujinga mzigo

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 25 วันที่ผ่านมา

    Mungu amuweke mahali pema amani