Kama magufuri angepata viongozi 20 kama hawa dah tungefika mbali sana nakupenda sana mwanri unafanya kazi bila kuangalia sura safi sana mungu akupe nguvu na uhai ili upewe majukumu makubwa zaidi ya hayo ili ututete wanyonge
Yaan huyu kiongoz nampenda kwa hekima na busara zake anavyozitumia kwenye uongoz wake bila kumwonea mtu yeyote aise nakuombea kwa Mungu akupandishe zaidi ya hapo
Mkuu mwanri Tabora, wewe ni zao bora sana la Rais Magufuli unafanya kazi nzuri sana sana mikoa.yote ingekuwa hivi nchi yetu ingezidi kuwa nzuri sana aisee,Rais muangalie sana huyu mkuu
Hii ndiyo maana tunampenda sana Mhe. Rais John Pombe Magufuli. Je, tunadhani kwamba nje ya uwepo wa Mhe. JPM wanyonge hawa wangesikilizwa. Tanzania tuliishafika mahali pa kila mwenye ndevu kugeuka baba wa familia. Asante Mungu kwa kutujalia uongozi unaojali maisha ya wanyonge. Mimi suala la nani sijui yupi kapotea kwangu si tatizo kubwa. Maana ya usalama wa nchi ni pana, na ndiyo maana inapojitokeza mtu anataka kutuharibia usalama wa nchi, hekima na busara zinapaswa kutuongoza kumharibu yeye ili kusalimisha maisha ya wengi. Vinginevyo napongeza sana juhudi zinazofanywa kuhakikisha Tanzania inafanyika ya Watanzania badala ya kufanyika ya akina fulani tu.
Rais wetu kila uteuzi wako mwingi wa viongozi wa hii awamu kweli mkono wa Mungu upo nawe. Wengi wamekuwa chaguo lenye imani kwa watu.Mungu azidi kukupa mwelekeo ambao unatumia kuwapata hawa viongozi wenye dhati ya kweli, kweli intai faraja Toka nimezaliwa kuona ukweli wa viongozi kufanya kazi nikweli.Mungu awe nanyi na sisi sote.
Baaah Mzee Mwanri ww urudi tuu nyumbani siha au mkuu akuchague urudi K/manjaro unyooshe huu mkoa na maendeleo yawepo kama kipindi ulichokuwa parliamentary,Sanya Naibil ngaritati kidire mpaka leo hakuna lami Mungu akuongoze baba mkuu wa mkoa
Nakukubaali Mkuu waMkoa Tabora One' Good- hebu gonga LIKE kama unamkubali huyu Mutu.
Sle
Mkuu wa mkoa unafaa kuwa waziri wa mambo ya ndan, laa sivyo uhamishiwe hapa dar kumepwaya sana
Twahitaji Kama yeye hapa kenya
Fadhili platnumz Ata mm namkubali Sana uyo
sana...
Kama magufuri angepata viongozi 20 kama hawa dah tungefika mbali sana nakupenda sana mwanri unafanya kazi bila kuangalia sura safi sana mungu akupe nguvu na uhai ili upewe majukumu makubwa zaidi ya hayo ili ututete wanyonge
Ameena
AMIN
Uyu mzeee bhana ni hatarii kanyoooosha maelezo briefly and clear but simple zaid sana message understood and accepted
King Rc tabora Mwenye ezimungu akujaalie Afya umri ili uzidi kututetea
Comeooooòooooòooon
Huyu mkuu wa mkoa anapandwaga na pumzi sana ila nimependa ana imigine feeling za maumivu wanayoyapata watu wa chini,, , very finee RC MWANRI👏👏👏👏👏
Mwanri nakutabiria uwaziri wa mambo ya ndani ktk jina la Yesu pokea!
Ameniii
Mkuu wa mkoa wa tabora mungu akulinde napenda sana kazi yako nakupenda sana mungu akupe uhai mrefu
Asante baba kwa kazi nzuri
Nilikuwa nimejaa roho mtakatifu lkn roho anisamehe mmeniudhi Sana 😂😂💪
Yaan huyu kiongoz nampenda kwa hekima na busara zake anavyozitumia kwenye uongoz wake bila kumwonea mtu yeyote aise nakuombea kwa Mungu akupandishe zaidi ya hapo
Ameen
Kazi nzuri sana mkuu wa mkoa . Itakuwa vizuri kama mara hii ataletwa mkoa wa mara atunyooshe maan hakuna kinachofanyika uk
Front line kutatua kero za wananchi!Good job! My Mwanri tutakumiss Sana'a umewabadilisha Sana'a mind set za wanatabora!
Mkuu mwanri Tabora, wewe ni zao bora sana la Rais Magufuli unafanya kazi nzuri sana sana mikoa.yote ingekuwa hivi nchi yetu ingezidi kuwa nzuri sana aisee,Rais muangalie sana huyu mkuu
Nakupendanga bure unajua kazi yako unajali mwanaiji wa chini babu tulia uyu mkuu wa mkoa ni jembe 💘🔥🔥💪💫
African people they, need leaders like this,
huuu utawala will never never be fogettable!
Exactly
Exactly brother
Safi mkuu tanzania tunatakiwa tupelekwe ivyo hongera mungekuwa kama kumi inchi ingehendelea
Hii ndiyo maana tunampenda sana Mhe. Rais John Pombe Magufuli. Je, tunadhani kwamba nje ya uwepo wa Mhe. JPM wanyonge hawa wangesikilizwa. Tanzania tuliishafika mahali pa kila mwenye ndevu kugeuka baba wa familia. Asante Mungu kwa kutujalia uongozi unaojali maisha ya wanyonge. Mimi suala la nani sijui yupi kapotea kwangu si tatizo kubwa. Maana ya usalama wa nchi ni pana, na ndiyo maana inapojitokeza mtu anataka kutuharibia usalama wa nchi, hekima na busara zinapaswa kutuongoza kumharibu yeye ili kusalimisha maisha ya wengi. Vinginevyo napongeza sana juhudi zinazofanywa kuhakikisha Tanzania inafanyika ya Watanzania badala ya kufanyika ya akina fulani tu.
Hatujawai skia, mwenye hera zake ndo alikua na ruksa ya kuishi peke, wengine ni kupigwa mapanga hivo kama mifugo
Huyu mzee anafanya kazi vzr sana sio mkuu wangu mpenda sifa makondee
Mzee Mwanri oyeeeeeee. Oyeeeee....! I ❤ you mpenzi. 😁
Safi sana endelea kusimamia haki baba mungu azidi kukupa nguvu na afya njema RC
We need more leaders like this man
😂😂😂😂😂Katapembe Katapembe katakatakata dondosha chiniii🤣🤣🙌🙌wacha kabisa iyo kituuu
Hahahaha kata pembe zote
Mungu akuweke mzee naomba nafasi yko hii ungekua cheo chajuu nchi hii adi raha bonge la kiongoziii god bless u...!!!!!
Mi Mwanri namkubali mia. Kwa mia. Good job
Uyu mzee kaeleza alivo maliza ujumbe umesha fika anataka kusema sema anajua Sana kujieleza na uyu mkuu wa mkoa ndo atakua mkuu wa mkoa bora kbsa 🙏🏾
I like this man kwa kweli anapiga kazi. MUNGU azidi kumpa hekima
Kama umewaona jamaa wameshikilia bango lisianguke weka like
no kudondok hiloo
Come on men
Yupo vizuri kazi nzuri hongera mkuu
nakukubali mkuu big up natamani ungekuwa mkuu wa mkoa wa dsm
Ubarikiwe mkuu nimefarijika nautendaji wakoo
Hongera sana tutakumiss tu
Mm kazi yng kukata pembe wale wote wanaoota pembe!! Hongera sn RC Mwanri
This man is leader and a comedian too😂😂😂ningekuwa mtanzania ningempa kura zote
Mzee wa Tolonto kazi njemaa mkuu.... Mungu mwema atakuwa pamoja nawe!
Mama samia mrudishe huyu mtu mchapa kazi sana huyu!!.watu kama hawa hawatakiwi kukaa hv hv taifa linawaitajii
Mh Mwanri, clips zako nazifuatilia sana. Nimeenda Tabora juzi kweli Toronto yako inapendeza sana!
Isee mwanry namkubal sana mzee anachaoa kaz
Huyu ndio RC bora kwangu katika serikali ya awamu ya tano
Aggrey mwanri🙏🙏
Tbr kweli mmelamba dume
Nampenda sana huyu jamaa🙏🏻🙏🏻
Aliyesikia..."kaa hapo hapo..mpigieni makofi..!
Gonga like twende pamoja...!
😀😀😀😀😀😀nimecheka sana
@@hassansaid9925
RC Mwanri anamikwara sana..
@@paulmaziku240 tena saaaana ila nampenda anapiga kazi kwakweli
Baada ya mpoki na joti ni huyu mzeee aiseee dahh hahahahahahahahahaha
Nakubali mkuu wa mkoa wa tabora sana natamani Aje Dar es salaam mkuu wa mkoa wa Dar Aende tabora
Mzee anapga kaz kichizi, come on meeeeen
😆😆😆
Hahahahaaa sio sir huyu baba huwa ananitoa stress na misemo yake 😂😂😂 come on men'
Baba angu mwanri juwa fika mwanao na enjoy uwepo wako Sana baba angu hahahaha noma
sukuma ndan
aisee nampenda sana agrei kwa uongoz wake
😁😁😁 sema polisi kanifurahisha sana kanywea ile mbaya
Baba hongera sana kwa kutetea wanyonge
My Role model....
Mi nasomaga comment kwanza
😂😂😂😂
Kumbe upo kama mimi
Mama tunakuomba mtulidishie mwanly wetu tabora aendelee kuinyosha na kuipiga msasa
Mungu akulinde na akupe maisha marefu
Ayo nakukubali sana habari zako ni za kweli na za haraka by Kimambo kibo ubungo
Mzee umeelezea vizuri 💪💪💪
👏👏👏👏
Nakupenda Sana baba yani wanafugaji wanaboa
Mzee wa Toronto very good
This is man does what magu did during his time...
Mzee anajua kujieleza
Sawa
Kabisa
kabisa
mambo wajina😍😍
Wewe je?
Mungu awalinde viongozi kama Hawa hakika ni wazarendo sana people needed by JPM
Kuna mtu kala bango nani kaona😂😂😂😂dah had wameniaribia concentration
Nimeona 😂😂
YES TRUE ,THATS GOOD 👍, HESHIMA NAOVR ETC YANI UTU NA P9A ASANTE BW.MKOA DOLEE!
Mzee uko sawa nakukubali Allwah akupe nguvu
Babu leo kafukuwa makaburi ,acha kabisa hiyo kitu sukuma ndani
Duuh muheshimwa hongela kwakusaidia wanyonge
Nimefurahi sana Mama kwa kurudisha
Mwanri Mwanri nkukubl sana unafundsha kitu fln
Rais wetu kila uteuzi wako mwingi wa viongozi wa hii awamu kweli mkono wa Mungu upo nawe. Wengi wamekuwa chaguo lenye imani kwa watu.Mungu azidi kukupa mwelekeo ambao unatumia kuwapata hawa viongozi wenye dhati ya kweli, kweli intai faraja Toka nimezaliwa kuona ukweli wa viongozi kufanya kazi nikweli.Mungu awe nanyi na sisi sote.
Jamani umesema ukweli
Mkuu wa mkoa nimekuelewa leo vizur sana juz kwenye ujenzi nilifrah sana
Hongera sana mkuu wa mkoa !
Kaa hapo hapo, pigeni makofi 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😃😃😃kamata sukuma ndani 😃😃😃
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Nimecheka kwa nguvu
hhhhhh
Kumekuchaaaaa🤣🤣🤣😂😂😂
Kumekuchaaaa🚶🏿♀🚶🏿♀🚶🏿♀🚶🏿♀kwl uongoz huu wa awamu ya tano nauvulia kofia na viatu pia acha nipekue tu 😂😂😂
😁😁😁😁😁 khaaa aisee ata mimi napekua nawewe wai. Ni shida watu hawahemi.
Tena tabora ni hatar sana
🤣🤣🤣🤣angali miba isikuchome miguuni
ili jembe kweli
@@noxlosingida2369 😅😅😅sawaa
bring this man to goma (Drc) he is the best
Engineer ngapi hapo soma Mita. Sukuma ndani🤣🤣hao
😂😂😂😂😂🇧🇮
Yaani huyu mkuu WA mkoa namkubaliii...
Mzee ameuwasha moto vizur sana
Nampenda sana huyu jogoo.
Next prime minister
Good hakuna kuangalia ujinga lazma Kila mtu aishi kwa Uhuru bila kuoneana hakuna mtu mweny nguvu
Baaah Mzee Mwanri ww urudi tuu nyumbani siha au mkuu akuchague urudi K/manjaro unyooshe huu mkoa na maendeleo yawepo kama kipindi ulichokuwa parliamentary,Sanya Naibil ngaritati kidire mpaka leo hakuna lami Mungu akuongoze baba mkuu wa mkoa
Come on men 😄😄😄 nimecheka kwa sauti huyo ndio mh mwanri wataisoma namba shenzi kabisa
You have any other questions
Asante. Wawekwe ndanii haswaa ni wauwaji haoo
Mungu ambariki huyu mzee mwanri
Mimi kazi yangu kama kuna mtu anaota pembe nakata kata pembe zote naweka chini afu nione😀😀😀😀😀😀
Aliye ona bango limedondoka twende wote hapa
Mama Samia ningeomba kama mimi mwana inchi wako mwema mrudishe huyu Mzee kwenye uwongozi tafadhari 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Kama unamuombea mema kiongozi huyu like
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀kata pembe. Mumehongwa shingap daaa kuzaa laha jaman. Mama ako kawaletea wananchi zawad kutoka kwa Mungu
Pigaaaa kaziii mzee sukumaaa ote ndaniii😁😁😁
Kata pembe kata pembe🙈😂😂
Jamani nimempenda Sana Huyu kiongoza kWA kutetea mkoa wake na Watu wake,
Nice mwar
😂😂😂😂 mtendaji katenda nini 😂 ila huyu mama ndo angekua anamjibu #chuma sijui2😅😅😅😅
Eee come on man😂😂
Sukuma ndani
Jembeee namkubali sana uyu mzee
Nmependa akipiga makofi 😂😂😂aje tanga jmn huyu DC😂😂😂
Kwa kweli aje tu
Huyu shighela aondoke tu
RC
Mimi hapa leo nimekuja roho mtakatifu sasa hapa roho mtakatifu anisamehe ahahah mzee chapa kazi
Dah huyu mwanli angeendelea dah safi sana
4:27 si mnasikia wananchi wanapiga makofi? Maana ake watu WANAOLEWA hapa 😂
😂 😂 😂
🤣🤣🤣🤣
Wanaonewa 😂
@@HASASON alichapia 😂😂
Daah aisee 😂😂
Yaani mtu ameshambuliwa
Alafu mshambuliwa kalazwa nyie mnatoa dhamana
Daaaaaa RC UMEONGEA UKWELI
SASA CJUI HAWA WANAOPEWA UONGOZI CJUI WANABAHATI GANI
Camon mana 😂😂😂