RC CHALAMILA AUWASHA MOTO KWA MWAMPOSA HADHARANI | MNAMUONA MWAMPOSA ANACHEKESHA HUNA TATIZO WEWE.

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 48

  • @honestangalapa4178
    @honestangalapa4178 4 วันที่ผ่านมา +2

    Well said Mkuu, ambao hawajapata changamoto hawawezi kukuelewa na kama wanakuelewa na wanapinga basi hao pia ni mawakala wa kizimu. Na utakuta mwingine akipata changamoto anaona heri aende kwa mganga wa kienyeji na sio kukimbilia madhabahu. Kama hujapitia changamoto mwambie Mungu Asante.

  • @KessyRiziki
    @KessyRiziki 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    ❤❤umeongea leo Mungu atusaidie sana na Amtunze Mtume mwamposa

  • @user-sn9yp3sc2f
    @user-sn9yp3sc2f 5 วันที่ผ่านมา +3

    Mkuu wamkoa MUNGU akubariki sana,unakarama ya utumishi ndani yako

  • @BraveMajaliwa-gf7ru
    @BraveMajaliwa-gf7ru 13 นาทีที่ผ่านมา

    Huyu ndo kasetiwa na serikali uchaguzi unakuja 😂😂😂

  • @allyanthony3489
    @allyanthony3489 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mkuu wa mkoa barkiwa sana maneno haya niya baraka kabisa na mtumishi wetu Baba Mwamposa Mungu amzidishie maisha malefu

  • @H3s4d
    @H3s4d 4 วันที่ผ่านมา

    Hongera mkuu wa. Mkoakwahotuba. Yako🎉😅

  • @AnethJohn-t4q
    @AnethJohn-t4q 4 วันที่ผ่านมา +1

    Ni kweli muheshimiwa umeongea point

  • @luciasteven3314
    @luciasteven3314 4 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 unafiki na usaliti ndio kitu kilichopo kwenye damu yake 😅

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 5 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu jamaa kapagawa baada ya kumsema vibaya JPM eti kipindichake watu walisaga meno naona laana ishaanza kumkolea hivi jamani ushawahi kuona mtu anamcheka kichaa? au anajiongeleshatu

    • @wilfredlukowo9476
      @wilfredlukowo9476 4 วันที่ผ่านมา

      Wewe ni kati ya wanao wacheka vichaa

    • @mohamedkimbwembwe-oi1rm
      @mohamedkimbwembwe-oi1rm 4 วันที่ผ่านมา

      Mimi namkubali magufuli sana ila maisha yalikuwa magumu ni kweli au mmesahau neno vyuma vimekaza ila huyu nae nimkosa anawajibu kijeuri na kizarau raia nihilo kosa,na kuenda kanisani pia kosa maana hamna pahali YESU ametenda kazi ndani ya mikanisa

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q 4 วันที่ผ่านมา +1

    sasa chalamila aisee we ni muhubiri

  • @beatricesamwel8161
    @beatricesamwel8161 4 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢kumbe wanao enda kumtafuta MUNGU mpaka upate majanga hii mpya aisee

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 4 วันที่ผ่านมา

    Ukweli Aupingwi Mtu Mwingine Nyumbani Kwao2 Wenye Kumpenda Awafiki Wan4 Kati Ya Watu20 Tena Mnasoma Biblia Au Quruwan Lakini Angalia Wingi Uo Mwenye Nacho Ataongezewa Kweli Mwamposa Akisema Naombeni Milioni Moja Wengi Watatoa Kumuongezea

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 4 วันที่ผ่านมา

    Kweli kazi anaifanya mpaka anaweza kuwauzia watu mchanga na watu wakanunua,kazi anaiweza.

    • @daudimlamka1239
      @daudimlamka1239 4 วันที่ผ่านมา +1

      acha uongo katika vitu usivyojua, kama vip pita tuu sio lazima ukoment, coz hapana wahi tokea ameuza mchanga ila anaombea

  • @chimpayejohn6157
    @chimpayejohn6157 4 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa saaana

  • @gervasmichael6124
    @gervasmichael6124 5 วันที่ผ่านมา

    Mungu azidi kukuinua

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya2622 4 วันที่ผ่านมา

    Mmmh sioni usitawi wa watu wetu kwa mkesha kama hii🤣🤣😂

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 4 วันที่ผ่านมา

    Mkuu Wa Mkoa Anasema Kweli Jana Madangulo Yote Yamebaki Wazi Kwenda Kwa Mwamposa Kwaivo Mkuu Wa Wilaya Fulani Akutakuwa Kukamata Madada Poa Alitakiwa Aseme Na Viongozi Wa Dini Kazi Yake Yeye Kusaidia Mikopo2

  • @DenisRukangula
    @DenisRukangula 4 วันที่ผ่านมา

    Watu wanamatatizo ndiyo maana unawaona wanakimbilia panapo na uhitaji

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mfatilie huyo mwamposa kaja mjini kutafuta pesa za watu tu ataziacha kwa anayo yaganya mmungu anamwangalia tu ipo siku akaponeshe hospitali basi

    • @janehenry1730
      @janehenry1730 4 วันที่ผ่านมา

      Yesu aliwaponya wenye haja ya kuponywa si Kila mtu anataka kuombewa kwa Jina la Yesu.

    • @Nick16697
      @Nick16697 4 วันที่ผ่านมา

      Pole sana

    • @user-ym6hd7xh3g
      @user-ym6hd7xh3g 4 วันที่ผ่านมา

      Kwa kweli poleni sana
      Dunia hii ina mambo ya ajabu

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya2622 4 วันที่ผ่านมา

    Wewe majanga ni moja ya maisha acha uongo😂🤣🤣😂

    • @DenisRukangula
      @DenisRukangula 4 วันที่ผ่านมา

      Wewe ni mpuuzi saana

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 5 วันที่ผ่านมา +3

    Uongo mtupu mungu kaja kwa mwamposa wakati mambo anayo yanfanya sio ambavyo na bee yesu kafanya leo kuna mana bee wa tofauti mara huyu kaja kwa ufunguo kapewa mara kakutana na mungu mara jua mara wanachapwa mara mtu anatoka juu kwa kama mara wanaogeshwa wanawake makanisani jamani msiewe wajinga wenzenu wanapata pesa ili wajitajirishe madili ya wazungu hayo yote

    • @emmanueljoseph3815
      @emmanueljoseph3815 4 วันที่ผ่านมา

      na wewe nenda kafanye ili utupije pesa

  • @StartSmall
    @StartSmall 4 วันที่ผ่านมา

    Nyie nanyi hili li Chanel lenu mmezidi matangazo Mwanzo wa habari tangazo mwisho wa habari tangazo mnadhani watu hawakereki, bora hayo matangazo ya google yenyewe yanajulikana

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 5 วันที่ผ่านมา

    Amekuja kuomba kura huyo 2025 tuonane

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 5 วันที่ผ่านมา

    Msanii

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q 4 วันที่ผ่านมา

    Chalamila tangia nimekufahamu leo ndio umeongea

    • @DenisRukangula
      @DenisRukangula 4 วันที่ผ่านมา

      Chalamila uwa anaongea

  • @abuuqamar58
    @abuuqamar58 4 วันที่ผ่านมา

    Eti mtume😂😂😂

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 4 วันที่ผ่านมา

    Ajenge kanisa sasa

  • @Mydearyasin
    @Mydearyasin 4 วันที่ผ่านมา

    NAPENDA UISLAM

    • @IsmailMjesh
      @IsmailMjesh 4 วันที่ผ่านมา

      Uislam raha sana.......

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 2 วันที่ผ่านมา

      Nyoko

    • @IsmailMjesh
      @IsmailMjesh 2 วันที่ผ่านมา

      @@Mydearyasin Allah atuhifazi sote...... Atupe mwisho mwemaa

  • @godfreyfrancis1013
    @godfreyfrancis1013 5 วันที่ผ่านมา

  • @JamesLudovic
    @JamesLudovic 5 วันที่ผ่านมา +2

    Mwamposa ni tapeli

  • @aloycelaizer2553
    @aloycelaizer2553 5 วันที่ผ่านมา

    Uwe mku zaidi ya hapo😊

  • @aloycelaizer2553
    @aloycelaizer2553 5 วันที่ผ่านมา

    Unastahili kuwa mku wa mkoa

  • @ELIYUDIIssaka
    @ELIYUDIIssaka 5 วันที่ผ่านมา

    niukweri mutupu muheshimiwa