CAMP 14: GEREZA hatari la KIFO la Korea Kaskazini, MFUNGWA aliyetoroka asimulia mambo ya kutisha

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • #Makala360 hii inakupa mkasa wa matukio ya kweli ya kusisimua ya mwanaume pekee na aliye hai mpaka sasa aliyefanikiwa kutoroka katika gereza hili hatari zaidi duniani. Haikuwa rahisi, inatisha na kusisimua. Tega sikio mpaka mwisho kujua mengi kuhusu Camp 14, gereza la kijeshi huko Korea Kaskazini ambalo kwa hakika si mahali salama pa kujikuta ndani yake
  • วิทยาศาสตร์และเทคโนโลยี

ความคิดเห็น • 132

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 ปีที่แล้ว +14

    Braza una saut nzur xana ya kusimulia Hadith love 💕! Gonga like Yako kama unamwelewa hyu broo!!

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo sheria ya Vizazi vitatu nimeipenda ❤❤❤❤❤siku wakimtia mkononi mwao tena sijui ni kitamkuta😥😥😥😥🇨🇳

  • @gastonamnon7005
    @gastonamnon7005 ปีที่แล้ว +10

    Nmeanza kua mfuatiliaji mzuri wa hii makala 💥💥🙂🙂 Bravo 👏

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky ปีที่แล้ว +5

    Subhanallah Uwiiii 🥺🥺🥺🥺Daa sidhani km atakuja kuwa sawa tena psychology because since amezaliwa.
    SNS big up

  • @Arrestgptucomedy
    @Arrestgptucomedy ปีที่แล้ว +5

    Locked from Kenya nimependa makara kama hizi plz do more research my favorite Media

  • @jameswisdomtz8580
    @jameswisdomtz8580 ปีที่แล้ว +7

    Makala nzuli sana yenye mafunzo katika maisha ya sasa

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 24 วันที่ผ่านมา

    Asante Mungu kuniumba Tanzania

  • @Dreamtech.24
    @Dreamtech.24 ปีที่แล้ว +7

    Have been waiting for this for couple days …. Thanks sky 👊

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 ปีที่แล้ว +8

    Wa kwanza nipeni like 😂😂

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 ปีที่แล้ว +4

    Sky unajuw mpk unaker 🙏🙏
    Kwa hii makal Safi 360

  • @IdrisaMussa-sm6tb
    @IdrisaMussa-sm6tb ปีที่แล้ว

    Kiukwel spend kukoment lkin napenda sana makala yako na sauti yako hongera sana kaka kwa uelewa wako na huyumbi Wala kusitasita katika usimuliz wako ahsante

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante kwa makala hii. Duniani kuna mambo ya kutisha. Shukran 🙏

  • @zainabumnamba8526
    @zainabumnamba8526 ปีที่แล้ว +3

    Nashukuru sana kuzaliwa Tanzania ♥️♥️

    • @abdullahaldarae1523
      @abdullahaldarae1523 ปีที่แล้ว +1

      Unadhani tz ndio magereza Yao mazuri

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@abdullahaldarae1523hamna anachoelewa siku afanye makosa then aende lupango harafu atuambie

  • @sandraechiveraya8570
    @sandraechiveraya8570 ปีที่แล้ว +11

    This is awesome sky your gorgeous at this your narrative is ✌️✌️on point

  • @mustafabakari2919
    @mustafabakari2919 ปีที่แล้ว +4

    Nakukubali sana kaka

  • @Jaycollection
    @Jaycollection ปีที่แล้ว +3

    Bravo 👏🏾👏🏾👏🏾

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 ปีที่แล้ว

    Makala zenu zinamvuto.
    Hongeren kwa ubunifu

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji nimekukubari uko vizuri kwa sauti yako hongera sana kwa utafiti wako.

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ampe maisha marefu sana ahin❤️🙏🙏🙏

  • @muslihelpapel8754
    @muslihelpapel8754 ปีที่แล้ว +4

    Sky walker the TOP engine❤️

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 ปีที่แล้ว +4

    Mwamba unajuwa sanaaa

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly ปีที่แล้ว +2

    Ila huyu rais wa korea kaskazin na yule wa Russia n wamba waheshimiwe🙌

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 2 หลายเดือนก่อน

    Genius

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 ปีที่แล้ว +4

    I loooooooov this

  • @josephk90
    @josephk90 ปีที่แล้ว +3

    Speechless!

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 ปีที่แล้ว +2

    Daah ila kuna watu wana roho ngumu sana unawasha mkaa kwenye mwili wa binadamu.

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 ปีที่แล้ว +6

    Hii sauti inafaa sana kwenye simulizi

  • @gaspercharles4242
    @gaspercharles4242 ปีที่แล้ว

    Ndiyomaana hata superpower wanamuogopa mtukwaoyuko.nauzalendo Kwenyenchiyake daimambele nyumamwiko.

  • @strong8534
    @strong8534 ปีที่แล้ว +1

    Thank you Sky

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 ปีที่แล้ว +8

    Yaani mtu anazaliwa kwenye gereza na yeye anaishi Kama mfungwa! Kosa lake la yeye kuishi Kama mfungwa lilikuwa ni lipi? Ila hiyo story Ni movie kabisa!

    • @piusisisto5857
      @piusisisto5857 11 หลายเดือนก่อน +1

      we unaitwa nani mchumba

    • @user-pq5xe1xx7o
      @user-pq5xe1xx7o 10 หลายเดือนก่อน

      Nenda nawewe ukaone man sihuamin mpaka uone 😂😂😂

    • @omaryjudasymwanga7172
      @omaryjudasymwanga7172 6 หลายเดือนก่อน

      Kisanga nikwamba ukiwa kule hutembelewi maana ni.makosa ya.kivita tuu hakuna kuingia hivyo huyo mtoto hangeweza kuruusiwa maana hajui pakwenda hivyo inampasa akae mpaka.mzazi.atoke

    • @MuhemeliNyogwa
      @MuhemeliNyogwa 5 หลายเดือนก่อน

      Sijawahi kuishi nchi za kipumbavu kama hizo

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 ปีที่แล้ว +2

    Duuuh nouma saana 🙌🇶🇦

  • @aminaali792
    @aminaali792 ปีที่แล้ว +1

    Asantee kaka Sky🫶🏼👌🏼

  • @sevystaronedancer1785
    @sevystaronedancer1785 ปีที่แล้ว +1

    Sns bwana sky saut nzuri 👊👊👊👊

  • @godwinmbwambo3316
    @godwinmbwambo3316 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo ndiyo Korea Kaskazini. Shetani wa dunia.

  • @goodluckjackson1777
    @goodluckjackson1777 ปีที่แล้ว +3

    SNS on fire 🔥 🔥 🔥

  • @mcno1noah
    @mcno1noah ปีที่แล้ว +4

    Nawakubali Sana sns kwenye makala 360 na hiki ki sound Cha background nimekuelewa Sana makala inakua na laza

  • @fredymushy9674
    @fredymushy9674 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana kaka kwa 360 pamoja

  • @GodfreyRichard-v4f
    @GodfreyRichard-v4f หลายเดือนก่อน

    Sns iko juuu kama kilimanjaro

  • @rgmoussa
    @rgmoussa ปีที่แล้ว +2

    namba uno

  • @stanleymartin2943
    @stanleymartin2943 ปีที่แล้ว +3

    Watu wanateseka sana ktk dunia hii sio poa

  • @belzylucas7275
    @belzylucas7275 ปีที่แล้ว +1

    Sky me napenda sana simulizi zako

  • @LAUWONICHOLAUS
    @LAUWONICHOLAUS ปีที่แล้ว

    Sky 🌌 walker unatisha sana Big up

  • @mwajumabinwa604
    @mwajumabinwa604 ปีที่แล้ว +1

    sounds good

  • @danielafernado6767
    @danielafernado6767 ปีที่แล้ว

    Waaaaah!! Nsawa

  • @chefdrew4760
    @chefdrew4760 ปีที่แล้ว +2

    tupo makini sana

  • @premier47
    @premier47 ปีที่แล้ว +3

    Siku moja natamani uelezee undan wa dark web nakuomba sana

  • @shoshifataki5825
    @shoshifataki5825 ปีที่แล้ว +1

    mze wewe unaweza sana kaka 👊👊😊

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 ปีที่แล้ว +4

    Hawana hofu ya Mungu hao😰

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr ปีที่แล้ว

      Hawaabudu,,hakuna dini huko

  • @AbdulSalim-wu8wo
    @AbdulSalim-wu8wo ปีที่แล้ว

    Asante

  • @braynbreezyoficial666
    @braynbreezyoficial666 ปีที่แล้ว +2

    Iyo makala inata kuendana na mov moja ya kihindi inaitwa deewar ya mze wakaz amithabachan

  • @fml1804
    @fml1804 ปีที่แล้ว +5

    Da kwamala ya kwanza nimekuwa wakwanza ku view video za youtubechanel zenye zaid ya subscribe 1m tz

  • @aisha_mohammed5825
    @aisha_mohammed5825 ปีที่แล้ว +8

    Love this content ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @ajoseph31
    @ajoseph31 ปีที่แล้ว +2

    Hakika tunaishi kwenye nchi yenye amani, na uhuru

  • @sulwajackson6906
    @sulwajackson6906 ปีที่แล้ว

    Nimeogopa sana

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 ปีที่แล้ว +1

    Subhanallah

  • @hellenrichard187
    @hellenrichard187 ปีที่แล้ว +3

    Mimi na nyie pamoja sana nawapenda

  • @mbogolokushaha7782
    @mbogolokushaha7782 ปีที่แล้ว

    Guantanamo, mauaji Libya, Afghanistan, Iraq nk

  • @mkiawachui6449
    @mkiawachui6449 ปีที่แล้ว

    Sauti nzuri

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤

  • @amdunially4096
    @amdunially4096 ปีที่แล้ว

    Woooooowwwwww

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mkubwa!

  • @rgmoussa
    @rgmoussa ปีที่แล้ว

    namba1

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao ปีที่แล้ว +1

    Asante Mungu Kwa maisha

  • @user-uz8kp6je6m
    @user-uz8kp6je6m 11 หลายเดือนก่อน

    Mbona america hawaongelei guantanamo bay

  • @jaymbawal249
    @jaymbawal249 ปีที่แล้ว

    Ñàķùbãľ bľøøď 🔥🔥🔥🔥una jua sn

  • @wemakalama6458
    @wemakalama6458 ปีที่แล้ว +1

    Hii media ina madini hadimu ubarikiwe sky walker

  • @OmanOman-ry5gw
    @OmanOman-ry5gw ปีที่แล้ว

    Brother ila nin mm hiz za korea kaskazin nisha zirudisha zaid ya mara tano zote mbil zilete nyengin mbon nizur

  • @maila561
    @maila561 ปีที่แล้ว

    let support you bro

  • @user-ty9yg8fg9g
    @user-ty9yg8fg9g 8 หลายเดือนก่อน

    Magereza hatari yapo kote duniani ila kama huendani na mrengo fulani utaonekana wewe tu ndiyo mbaya

  • @abuukamugisha5994
    @abuukamugisha5994 ปีที่แล้ว +1

    Duh, vizazi vitatu🤔

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr ปีที่แล้ว

    Unamzaa mtoto jail,,anafanya ndio iwe sababu ya mama kuuliwa,,duh

  • @chi12547
    @chi12547 ปีที่แล้ว

    Sahii ukifunguwa mipaka ya North Korea, within 1 month only, nnchi itabaki bilA watua, watatoroka wote

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 ปีที่แล้ว

    Mmmmh😳😳😳

  • @patrickkwibe4431
    @patrickkwibe4431 9 หลายเดือนก่อน

    inatisha sana😅😅

  • @mugishaalida5580
    @mugishaalida5580 ปีที่แล้ว

    hiyi inchi kwanini isikombolewe hata kivita kwakuwaokoa watu na maisha hayo 🤔🙏

    • @alexjohn7361
      @alexjohn7361 6 หลายเดือนก่อน

      Hizi zingine ni perception tu juu ya wananchi na nchi hizo kwakuwa taarifa zake nyingi hatuna na inapelekea tuletewe propaganda tu na maadui wake. Mfano usema masai anateseka kuishi polini na ng'ombe ilihali kwao ni fresh tuu na wanatuona sie hamnazo kwa lifestyle tunayoishi

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 ปีที่แล้ว

    Daaah

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 ปีที่แล้ว

    Mung wang family tena kwaoniyama chura

  • @MarthaGirgis-yi6zy
    @MarthaGirgis-yi6zy ปีที่แล้ว

    Mmh kosa la mzazi linamtesa mtoto daaah hyo ndo Korea ban

  • @abdalahabdalah7853
    @abdalahabdalah7853 ปีที่แล้ว

    Korea wako seriouz na maisha, hawawezi kufanywa watumwa wa kudumu na wamarekani

    • @davidbochela1441
      @davidbochela1441 ปีที่แล้ว

      na hii ni nini

    • @musakhalid1274
      @musakhalid1274 ปีที่แล้ว

      Hizo ni propaganda za nchi za magharibi...wenzetu hawana huo ujinga

  • @saidemuamedeali2678
    @saidemuamedeali2678 ปีที่แล้ว

    Duu kali

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 ปีที่แล้ว +1

    Tupe mastory kaka sns

  • @stanleyjohn1361
    @stanleyjohn1361 ปีที่แล้ว +1

    Wewe unajua japo muda umekuwa mfupi naomba tueleezee siku ya kifo cha na hisia kwamba unakufa sasa

    • @ummyomary3423
      @ummyomary3423 ปีที่แล้ว

      😅😅😅😅mimi nitakuelezea tu ukishaamuona mwamba islael ujue umelala yoooo 😂😂

  • @daktariwakienyeji
    @daktariwakienyeji ปีที่แล้ว

    🙏

  • @majijimikomaga1368
    @majijimikomaga1368 ปีที่แล้ว

    Kwa Hulka za CCM na Viongozi wa Jana na leo, Tanzania ya CCM na Magerezani tyake, hali halisi imekaribia na kuwa Korea Kaskazini...

  • @gynae8407
    @gynae8407 ปีที่แล้ว

    Duh! Huku ni jehanamu kabisa

  • @bonfacemarube6196
    @bonfacemarube6196 ปีที่แล้ว

    Wanyama si wale walioko porini pekee, waliovaa suti ni hatari zaidi

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 ปีที่แล้ว

    Nihao ciao

  • @aishamatangamatangamatanga1344
    @aishamatangamatangamatanga1344 ปีที่แล้ว +4

    Nipo nakufatilia

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Heee!

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 ปีที่แล้ว +1

    Movie yake inaitwaje?,,mana lazima ishatengenezwa..

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏.

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 ปีที่แล้ว +1

    Mmh, hiyo ni kila nchi tu. Magereza kama hayo yapo

  • @brownie_dee8655
    @brownie_dee8655 ปีที่แล้ว

    Naomba kuuliza hasa yy c mwanaharakat anafanya kazi ya kutetea haki za binadamu?sasa anawezaje kufanikisha hilo wakat rahisi wao ndo muhusika mkubwa wa roho mby?

  • @user-jo2ye6jm5o
    @user-jo2ye6jm5o ปีที่แล้ว

    Djaf

  • @butondodavid2105
    @butondodavid2105 ปีที่แล้ว

    Mwamba sns

  • @Gody360
    @Gody360 ปีที่แล้ว

    MaKn sana bro✊🏽✊🏽🔥🔥🔥🔥🔥

  • @annaphilemon852
    @annaphilemon852 ปีที่แล้ว

    Km rais wao tu mbili zimefyatuka je magereza yao ipo vp

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 ปีที่แล้ว +1

    Hivi vinafaa kabisa Tanzania

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr ปีที่แล้ว

      Hahahahaha

  • @kabamaponda9597
    @kabamaponda9597 ปีที่แล้ว

    💔😮‍💨😭

  • @maila561
    @maila561 ปีที่แล้ว +1

    yaani kwamfano ningekuwa raisi wa Tanzania chakwanza ningejenga gereza ambalo wale wanao ua wenzao au kubaka au kula rushwa ndio ingekuwa gereza lao niamini wangeingia humo yaan ukitoka hutoweza kurudia kabisaaa😅😅😅

    • @suleimankidiavai1889
      @suleimankidiavai1889 ปีที่แล้ว

      🤔🤔🤔🤔😉😉😉😉7🤣7🤣🤣🤣🤣