SOBIBOR: Kambi ya kifo iliyotumiwa na Adolf Hitler kuua wafungwa wa Kiyahudi wafikao 250,000!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • Unaweza kujiuliza kwanini kambi ya #Sobibor ilijengwa. Na kwanini kulikuwa na chuki ya kibaguzi hasa kwa wayahudi? Walifanya nini mpaka kuuawa kikatili, kupelekwa makambini na kupewa adhabu kali zisizokuwa na chembe ya utu wa kibinadamu.
    Tega sikio lako katika makala hii ili kujua mengi ya kusisimua kuhusu kambi ya maangamizi ya Sobibor pamoja na ukatili wa #AdolfHitler wa Ujerumani

ความคิดเห็น • 136

  • @elimumwaipaja74
    @elimumwaipaja74 2 ปีที่แล้ว +9

    Nimesikiliza simulizi hii usiku huu kukiwa kumetulia bila bughuza ili nimpate vema Skywalker.. hakika Wewe ni mwalimu mzuri. Simulizi hii inatosha kabisa kuielewa historia. Nakukubali sana Skywalker.. mungu anijalie nipate fursa kukuona najifunza vingi kwako.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 ปีที่แล้ว +1

    Nawakubari ndugu zangu kwa kutufafanua Uhepo wetukujua mengi kupitia makala zenu 👏🇹🇿🇬🇷

  • @dantemaina6008
    @dantemaina6008 2 ปีที่แล้ว +9

    am a Kenyan but napenda ii channel sana sana keep it up brother

  • @Sadi_Tv
    @Sadi_Tv 2 ปีที่แล้ว +5

    Daaah mnakuja vizuri sana na mna ubunifu wa kipekee na wa kitofauti hongera sana Sky Walker na Team nzima ya Sns

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 ปีที่แล้ว +7

    Am from England and the problem is,I don't understand kiswahili bt hii story n nzuri Sana bro, kazi nzuri Sana

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว +9

    Niliiona hii sinema, sijui mume wangu aliipata wapi Ile cassette, siku nyingi sana sikumbuki mwaka gani ilikuwa black and white. Nililia sana, inasikitisha mno! Kwa hiyo ile wanavyosema kama Hitler aliwachukia Wayahudi baada ya kugundua walimbaka Mama ake ndo akazaliwa yeye si kweli. Asante SNS.

    • @geoffreybasesa2015
      @geoffreybasesa2015 2 ปีที่แล้ว

      Wewe ulielia ulikua mkubwa manake ulifuatilia, mimi niliiona nikiwa na miaka kama 11 ou 12 hata sikutambua nini kiliendelea ilikua miaka ya 2001-2002. Ila around 14years niliifuatilia tena ndo nikatambua nini walitaka kumaanisha.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว

      @@geoffreybasesa2015 of course nilikuwa mkubwa, nishaolewa na watoto 😂! Inasikitisha kujua ni true story. Wayahudi tangu wajue wao ni taifa teule wanajisahau Sana, hata nauliza walifuata nini Ulaya???? Na vile wabaguzi mmh!

  • @bishweko
    @bishweko 8 หลายเดือนก่อน +3

    Tatizo mayahudi waliouwawa na Hitra sio wale waliuza siri za kijeshi. Tukumbuke kulikuweko na mayahudi safadim na mayahudi Ashikinaz hawa ndio mpaka sasa ni mafisadi na kama kawaida yao wanatabia ya kubadili uhalisia wao kwa sasa wanajiita Zayunist.

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 2 ปีที่แล้ว +14

    Kuna jamal April
    Mtiga abdarah
    Justin shed
    Na ananias edgar
    Lakn ww sky Walker ni the best bro

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 2 ปีที่แล้ว

      Sky ni bora, hana mbwembwe

    • @zaburi2386
      @zaburi2386 2 ปีที่แล้ว

      @@rashowshine7849 ushabik maandaz uo

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 2 ปีที่แล้ว

      @@zaburi2386 Jamal ni ovyo kuliko wote

    • @mastaplan
      @mastaplan 2 ปีที่แล้ว

      Kila presenter ana IQ yake acha ushabiki uliopitiliza mzee

    • @mastaplan
      @mastaplan 2 ปีที่แล้ว

      @@rashowshine7849 inategemea maoni umeyatoa ukiwa katika hali gani maana sometimes maoni tunatoa tukiwa na feelings na sio Akili.

  • @mosesmbeke6137
    @mosesmbeke6137 2 ปีที่แล้ว +1

    Umejitahido Sana kk,uko vizuri.Good work

  • @francismwacha253
    @francismwacha253 2 ปีที่แล้ว +3

    Big up sky hii makala ya kikubwa sana hii ndo maana halisi ya SNS

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 2 ปีที่แล้ว +2

    Thanks Bundala makala hii, inatufanya tu reflect hii issue inayoendelea ya Russia 🇷🇺 na nchi against. Thanks @ MK from UK 🇬🇧

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 2 ปีที่แล้ว +2

    Nili watch nikiwa mdogo tena si mara moja ilikuwa 1994 tuki watch I was 6yrs yani hii movie acha tu walikuwa wanachomwa moto wah...tulikuwa na casset yake nililia sana hii ndo sababu mimi kuchukia wazungu...

  • @ramad3086
    @ramad3086 ปีที่แล้ว

    Nakuku bali san mkuu unajua kuchambua stori hadi unanipa morari ya kukusikiliza t niite🔥 rama d🔥 ucku mchan nawafatiliaga san🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sknapoleonshoo3145
    @sknapoleonshoo3145 ปีที่แล้ว +1

    Thank you so much. Noted down carefully!!!

  • @antonyndege3278
    @antonyndege3278 6 หลายเดือนก่อน +2

    Wayaudi walistaili kuuawa

    • @ibrahimgwasma1223
      @ibrahimgwasma1223 วันที่ผ่านมา

      Me naamini binadamu wote wana haki ya kuishi ukiwemo wew

  • @lucianoluciano6795
    @lucianoluciano6795 2 ปีที่แล้ว +2

    ....Sky endelea kutoa historia kama hizi maramojamoja walau..sisi wengine niwanafunzi tutajifunza mengi toka kwako...

  • @jamesverdian2445
    @jamesverdian2445 2 ปีที่แล้ว +1

    Umehelezea vizuri sana nimependa maelezo yako mkuu

  • @MohammediKihimbwa-bj4pf
    @MohammediKihimbwa-bj4pf หลายเดือนก่อน +1

    Wakiteswa wao mchi za magharibi Wana lala Mika wao wanawauwa wasrabu je waitweje ni magaidi tu

  • @peteremanuel2367
    @peteremanuel2367 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yale yanofanywa na Israel leo huko Palestina, basi Hitler alikuwa sawa kuwauwa hawa Wayaudi milioni 6, maana hawa Wayaudi ni makatili sana, na ndiyo hawa walimuua Yesu bila kosa.

    • @ibrahimgwasma1223
      @ibrahimgwasma1223 วันที่ผ่านมา

      Walimshtaki kwa Mkoloni wao aliyekuwa anawatawala wakati ule Mrumi pilato

  • @beesmarttv3792
    @beesmarttv3792 2 ปีที่แล้ว +2

    Dah bro sky unatisha Sana!! Mpangilio wa sauit na background ya huo mziki wa taratibu dah!!

  • @mwaminindayishimiye4434
    @mwaminindayishimiye4434 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu tuu 😢😢😢😭😭😭😢😢

  • @MohammediKihimbwa-bj4pf
    @MohammediKihimbwa-bj4pf หลายเดือนก่อน +1

    Ukiona inch za magharibi znamsema mtu vibaya basi uyo ni mwema

  • @nishaismail1178
    @nishaismail1178 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimeipenda hii

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 ปีที่แล้ว

    Shukran

  • @thepurpleonlinetv8630
    @thepurpleonlinetv8630 2 ปีที่แล้ว

    Hili n balaa ahsante sana

  • @abrahemhemed8369
    @abrahemhemed8369 9 หลายเดือนก่อน

    I watched and I like this movie

  • @ziobuono.7633
    @ziobuono.7633 2 ปีที่แล้ว

    Nimefrahi sana..pia Kama naeza kuomba..utuletee story ja ukuta Wa jeriko ..maarufu Bob Marley aliumbwa jeriko wallz. Asante

  • @zainulabidiendhulfikar7398
    @zainulabidiendhulfikar7398 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mm binafsi Bado sijatosheka na ushahidi juu ya haya mambo ya hitler

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan7010 2 ปีที่แล้ว +3

    NAHISI SNS ndio chanzo boraaa Cha habari TZ

  • @josemitimingi8048
    @josemitimingi8048 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @iam_sami
    @iam_sami หลายเดือนก่อน +1

    Tupe ya yule mbelgiji aliouwa wacongo mil26 …. Ss ni waafrika

  • @bomonda2622
    @bomonda2622 2 ปีที่แล้ว +4

    Magic voice

  • @nuhubaraza9323
    @nuhubaraza9323 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sana kaka

  • @hossenhassan7092
    @hossenhassan7092 2 ปีที่แล้ว

    Good

  • @mbembelatv
    @mbembelatv 2 ปีที่แล้ว

    Napenda sn simuliz za aina hii👏💪🏼

  • @godfreydaniel6818
    @godfreydaniel6818 2 ปีที่แล้ว +3

    Adolph hitra ni mwamba alikua anatafuta heshima

  • @Emmanuelmwangimwangi811-oi4wq
    @Emmanuelmwangimwangi811-oi4wq 8 หลายเดือนก่อน +1

    Emmanuel mwangi kutoka kenya vidio poa sana

  • @dayanaleo7537
    @dayanaleo7537 2 ปีที่แล้ว +2

    Haki nilisha anza huzunika nikajua mmefuta hamto ipost tena☹️☹️ but thank you sns ur the best🤗🌹 napenda sana simulizi zinazo simuliwa na sky au babysky🤗🥰

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  2 ปีที่แล้ว +2

      Pole sana, kuna kosa dogo tulikuwa tunalirekebisha kwenye ile ya mwanzo

    • @dayanaleo7537
      @dayanaleo7537 2 ปีที่แล้ว

      @@SimuliziNaSauti it’s okay 🤗🥰

  • @jigajrphil1344
    @jigajrphil1344 ปีที่แล้ว +1

    Confidence haiendani na Uzao
    Ndiyo maana Baba yake na Suleiman alibaka Ila mwanae alioa wake 300 na mademu 700 ,
    Kumbe tabia haifuati Uzao
    Ni namna ambayo mtu anafundishwa ama kujifunza mwenyewe.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว +1

    Story ya kusisimua sana hii.

  • @ediofficial483
    @ediofficial483 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sobibor call of duty Second Word war game

  • @lucianoluciano6795
    @lucianoluciano6795 2 ปีที่แล้ว

    ...but nakukaribisha kwa mara nyingine tena KARIBU SANA NCHI YA NGUDU KWIMBA..

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 2 ปีที่แล้ว

    Hitra

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 4 หลายเดือนก่อน

    Lile tanuri la moto noma,yaani watu wanachomwa kama mishikaki.

  • @geoffreybasesa2015
    @geoffreybasesa2015 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii movie nilikua naichukia sana manak haikua na action ila baada ya kukua na kufuatilia story nikatambua ni bonge la movie. Wayahudi waliteseka sana kipindi hicho, hadi kutumiwa kama kuni kwa kuchomwa moto

    • @ramaccr7525
      @ramaccr7525 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

    • @geoffreybasesa2015
      @geoffreybasesa2015 ปีที่แล้ว

      @@ramaccr7525mbona umecheka au na ww ulikua kama mimi😅

  • @augostinopaul3601
    @augostinopaul3601 2 ปีที่แล้ว

    #Sns to the world

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 11 หลายเดือนก่อน

    Hile sinema himepigwa maluku kuonesha labda TH-cam 😂story mzuri

  • @theprince5253
    @theprince5253 7 หลายเดือนก่อน

    Brother samahani naomba utuletee historia ya Mt Kilimanjaro

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 ปีที่แล้ว +2

    Magu alikuwa mdogo wake ila mungu kamuwahisha ujue

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 2 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 2 ปีที่แล้ว

      K ya mbwa wewe

    • @ramaccr7525
      @ramaccr7525 ปีที่แล้ว

      asha kumkosea magu ashima uyo hitl alikuwa fisi aliuwa mpaka mende

  • @mecksaloon81
    @mecksaloon81 2 ปีที่แล้ว

    Inasikitishaga sana niliwahi kuitazama nikiwa nasoma form two.

  • @suntzu8959
    @suntzu8959 2 ปีที่แล้ว +3

    I have a tape of this video

  • @hopechidera
    @hopechidera 2 ปีที่แล้ว +1

    Mlifanya poa sana kuondoa hiyo video ya kwanza kwa kusahihisha,anyways asanteni kwa hiyi makala nayo nimeisikiliza a to z,mimi ni mpenzi wamakala sana...

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 ปีที่แล้ว +3

    Dah enzi hizo tunaangalia TV kwa jirani 🤣🤣

    • @kawawamamaya8543
      @kawawamamaya8543 2 ปีที่แล้ว +1

      Yaaani we acha na kuulizwa kama miguu yetu ni misafi maisha haya bwna 🤣🤣🤣🤣

    • @ramaccr7525
      @ramaccr7525 ปีที่แล้ว

      @@kawawamamaya8543😂😂😂

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe4057 2 ปีที่แล้ว

    Nc

  • @powilink6504
    @powilink6504 ปีที่แล้ว

    Historia inasisimua

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 2 ปีที่แล้ว

    Hiyooo movie ni hatari sanaaaaa

  • @hoodlamar9284
    @hoodlamar9284 2 ปีที่แล้ว +2

    kwanini mwandishi anasema ni kifo cha utata? au alikua shetani😀

    • @heritier5119
      @heritier5119 ปีที่แล้ว +1

      Allkuwa ni shetani aliyeuvaa mwili wa binadamu,Ajulikani alipofia

  • @shilakodeni2853
    @shilakodeni2853 ปีที่แล้ว

    Nimekukubali iwoniukweli

  • @heritier5119
    @heritier5119 ปีที่แล้ว +1

    Hittler hakuwa binadamu bali alikuwa ni shetani aliyeuvaa mwili wa binadamu. Kama alivyokuwa Iddi Amini.

    • @user-dc4hw4hy8z
      @user-dc4hw4hy8z 10 หลายเดือนก่อน

      Kasome kwanza ukweli upo huutaki .....uliza kwa watu wenye maarifa....

    • @abdallahmasanja621
      @abdallahmasanja621 10 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga idd amini kafanya nini

  • @nlctomaro8226
    @nlctomaro8226 หลายเดือนก่อน

    Mnaupiga mwingii SNS ndo habarii za mjinii

  • @sadikathumani1003
    @sadikathumani1003 2 ปีที่แล้ว +11

    Hizo ni propaganda za mataifa ya magharibi huyo hitla mwenyew alikuw myahudi aliwauwa kwa sa7bu ya ujinga wao

    • @faumahona5769
      @faumahona5769 2 ปีที่แล้ว +1

      Ww ni muisilamu huwezi kuwapenda wayahudi na inaonekana ww ni mbishi Kama mavi

    • @heritier5119
      @heritier5119 ปีที่แล้ว +2

      Waislamu wanachuki na Wayahudi

    • @nakalikyumile3234
      @nakalikyumile3234 ปีที่แล้ว +2

      @@faumahona5769 sasa, wewe wayahudi ni nduguzo? Wote wazungu hawawapendi nyie ila mnajipendekeza kwasababu waliwadanganya kuwa wao walichaguliwa na mungu

    • @nakalikyumile3234
      @nakalikyumile3234 ปีที่แล้ว +2

      @@heritier5119 wayahudi wao wanawapenda waislamu?

    • @nakalikyumile3234
      @nakalikyumile3234 ปีที่แล้ว +3

      Wazungu wote hawana maana, wao ndio chanzo cha nyie weusi kutaabika mpaka Leo, waliwatumikisha miaka nenda rudi utumwani, bibi na babu zetu wakauliwa kinyama, wakateswa, Leo ati mtu mweusi unamuonea huruma mzungu aitwaye "myahudi" huo "Unyanism"

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 2 ปีที่แล้ว

    Sns mko juuu

  • @rajabmartojr3302
    @rajabmartojr3302 2 ปีที่แล้ว

    Uhh

  • @mwaminindayishimiye4434
    @mwaminindayishimiye4434 2 ปีที่แล้ว

    Hadi na sisi mka 😢😢😢😢

  • @mukusinisaidijanja9773
    @mukusinisaidijanja9773 2 ปีที่แล้ว

    Nipo London nakupata

  • @hassanibanzi9322
    @hassanibanzi9322 2 ปีที่แล้ว +1

    Bundle langu limeisha kihalali nimeongeza kitu kuhusu hitler

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @imuutyger3175
    @imuutyger3175 3 หลายเดือนก่อน

    Bora wauliwe mn unaona palestina inavoteseka

  • @heritier5119
    @heritier5119 ปีที่แล้ว

    Hittler yupo kuzimu anakula moto. Hadi SAsa hakuna raisi, mfalme, au mtawala yeyeto aliyekufa yupo peponi wote wapo kuzimu wanakula Sana moto sababu awakutenda haki

    • @ramaccr7525
      @ramaccr7525 ปีที่แล้ว

      Waliuwa moaka mende 😂😂😂

  • @IbrahimMohamed-yy2il
    @IbrahimMohamed-yy2il 2 ปีที่แล้ว

    Katika Propaganda kubwa zilizonikiwa sana moja wapo ni hii movie.

  • @husseinkaoneka5834
    @husseinkaoneka5834 2 ปีที่แล้ว

    Hyo nnayo had sasa mzee naiangalia kila cku

    • @RynoFiree
      @RynoFiree 11 หลายเดือนก่อน

      Mkuu inaitwaje hiyo movie niitafute

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 5 หลายเดือนก่อน

      Mzee wako nae kboko 😂

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 2 ปีที่แล้ว

    7:38 hao ni wafrica 😆

  • @abedinegoraphael4774
    @abedinegoraphael4774 2 ปีที่แล้ว

    niko nayo hiyo movies aseee

  • @yusuphbenjaminkugaiwa7608
    @yusuphbenjaminkugaiwa7608 2 ปีที่แล้ว

    Hapa bongo hawakuwepo watu kama hitla?

  • @cosimasamonimpiniracosimas6160
    @cosimasamonimpiniracosimas6160 2 ปีที่แล้ว

    Sikumooja uje na story ya Burundi

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri 2 ปีที่แล้ว

    IKO POA MUMEKUJA TOFAUTI

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 2 ปีที่แล้ว

    Wayahudi ni wasaliti, sio watu wakuaamini lamwe

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 ปีที่แล้ว

      Baasi na hizi hadithi za holocoust

  • @heritier5119
    @heritier5119 ปีที่แล้ว

    Hittler alikuwa shoga

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 5 หลายเดือนก่อน

      😂

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan7010 2 ปีที่แล้ว +1

    NAHISI SNS ndio chanzo boraaa Cha habari TZ