Sky thanks for this analysis though its painful to hear what other human beings undergo in the name of rehabilitation its really sad and painful especially to boy child although ladies too but boy child its real abuse may God Help us and give African leaders some insight to do something about the congestion in these jails.Maybe it will reduce the abuse among these inmates .And also there should be rules for people employed in these institution their work is to rehabilitate and not abuse them they should not and insult to injury.
Ingekua ni hiari yangu Muuaji nae auwawe the moment amepatikana na hatia! Pili mbakaji aisee nawachukia hawa watu ingekua hiari yangu mbakaji akipatikana na hatia achomwe moto akiwa anajiona Wengi mtakuja mseme Mimi katili , ndio Mimi ni katili Tena sanaaa , nakataa kulipa Kodi iwalishe hawa watu makatili kuliko Mimi. Imagine mtu anambaka/kumlawiti mtoto mdogo anafungwa kidogo anaachiwa anarudi pale pale mtaani anaendelea kuishi kama kawaida anaendelea kufanya matukio Kitu msichojua wabakaji na wauwaji hawapo sawa kiakili ...kufungwa peke ake haitoshi mara nyingi wanarudia mambo hayohayo
@@lifeofyuri4020 unakumbuka babu sea kungekuwa na sheria za kunyongwa angekuwa kashanyongwa maana alihukumiwa Tayar Alionekan ana hatia yaani kalawiti sikatai wapo wanaofanya hivyo vitendo na wengne wanasingiziwa ila wanaosimamia izo kesi wanakuwa na nguvu unaonekana umefanya kweli
Kaka sky kila siku tuakwambia, bc weka the story hili tujue inakuwa kila jumangapi....km anavyofnya Jamal au justin shed.... Sio Hiv inakuwa gafra bin vuuuu aina mpangilio.... !!!!!!
Kweli kabisa, Tanzania kwetu pazuri sana, tunatafuta maisha kwa uhuru, tunatembea kwa uhuru, tunasafiri kwa uhuru, Wakati nchi za wenzetu mambo yote hayo ni kipengele
Japokua ni hivyo dunia nzima. Marekani 30% ya magereza ni biashara binafsi. Kwahip hapo watatafuta wateja kupitia kwenye vyombo vya ulinzi. New York mfungwa mmoja hutumia zaidi ya dollars 130,000 kwa mwaka
Yani TANZANIA HAKUNA hata moja then South Africa ipo sio kwel, hii tafiki inabid wahusika muanze kwenda magerezan kuishi hata mwez ili mkitoka muwe na uharisia wa report
Ndugu sky ... Nafasi ya kwanza Africa inafaa iwe gereza la antanimora liko Antananarivo nchini Madagascar... Naomba ufanye research alafu utaona balaa lake hilo gereza
GEREZA LA MUKOBEKO, LIPO HAPA KABWE MJINI YAANI NILISHIKWA NA BUTWAA KUKUTA GEREZA KUBWA KAMA HILI KATIKA SEHEMU NINAYOISHI KWA HUKU ZAMBIA. IKUMBUKWE KUWA HILI NDO GEREZA LILILO TUMIKA KUMUSHIKILIA RAIS AMBAYE YUKO MADARAKANI KWA SASA.
Alaafu tuna walaum wazungu eti wana tunyanyapa!😔💔 wakati ss wenyew hatujipendi bora tunge endelea kutawaliwa nawazungu huwenda leo hii engelikuwa afadhali
This is a pure talent , not forced .hongera sana bro sky Walker
Naomba mungu anipe mwisho mwema wallallih
Amen
Dah! mungu atunusuru na balaa hili walofungwa mungu anasaidia watoke
Watoke waende wapi ?! ili waendeleze uhalifu ??
Na hao waliowaua au waliowabaka mfano?
I knew Kamiti Maximum can never miss this list
Bhana 😂
From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 one love.
Hy I'm George from TANZANIA
🥺🥺🥺🥺Allah atunusuru na atupe mwisho mwema🧎♂️🧎♂️🧎♂️🧎♂️
Vp kuhusu geleza la lwannda mbeya??
Aisee M/Mungu tunusuru naomba mwisho mwema
You are the best sky Mashaa Allah
Sky on top hongera brother kwa makala nzuri
I really love what you do sky
Fanya uchunguzi vizuri......nenda gereza la idete morogoro......ndo utajuwa Tanzania nayo tumo top ten
Hakuna gereza zur ww ukienda ndyo utajua kule n kubaya🙌🙌
Love it, napenda sana hii 360
Duh mungu tupe mwisho mwema mm na taifa langu
Mungu atunusuru kabisa haya maisha wengine tunasafili katika nchi za watu😭😭😭🌍🌍
Amina
The voice of yours!.
Dah!
Sky thanks for this analysis though its painful to hear what other human beings undergo in the name of rehabilitation its really sad and painful especially to boy child although ladies too but boy child its real abuse may God
Help us and give African leaders some insight to do something about the congestion in these jails.Maybe it will reduce the abuse among these inmates .And also there should be rules for people employed in these institution their work is to rehabilitate
and not abuse them they should not and insult to injury.
Ohoooo Kamiti Kenya inafaa kuwa number 1.... Wahalifu Hatari wa nchi mbali mbali wanalitwa Kamiti..
Mungu atunusuru inatisha sana Africa kilakitu chetu kinatisha
Kwa Niaba ya wakenya wote we miss sauti ya Baby sky
Kweli hata mimi namiss sauti yake nyororo
Mbona tz hujasema au haimo? au unaogopa?
SKY Walker big up💪🙌
Ingekua ni hiari yangu Muuaji nae auwawe the moment amepatikana na hatia! Pili mbakaji aisee nawachukia hawa watu ingekua hiari yangu mbakaji akipatikana na hatia achomwe moto akiwa anajiona
Wengi mtakuja mseme Mimi katili , ndio Mimi ni katili Tena sanaaa , nakataa kulipa Kodi iwalishe hawa watu makatili kuliko Mimi. Imagine mtu anambaka/kumlawiti mtoto mdogo anafungwa kidogo anaachiwa anarudi pale pale mtaani anaendelea kuishi kama kawaida anaendelea kufanya matukio
Kitu msichojua wabakaji na wauwaji hawapo sawa kiakili ...kufungwa peke ake haitoshi mara nyingi wanarudia mambo hayohayo
Kuna wengine wanasingiziwa hizo kesi sio wote wanahatia
Maisha ya siri nyingi sana chunguza zako tu Kisha jaribu kukadiria adhabu
@@gwakisamwangasa7826 nimeongelea watu wanafanya hivyo vitendo sijaongelea wafungwa
@@elishazacharia1204 sijasema Mimi ni mtakatifu
@@lifeofyuri4020 unakumbuka babu sea kungekuwa na sheria za kunyongwa angekuwa kashanyongwa maana alihukumiwa Tayar Alionekan ana hatia yaani kalawiti sikatai wapo wanaofanya hivyo vitendo na wengne wanasingiziwa ila wanaosimamia izo kesi wanakuwa na nguvu unaonekana umefanya kweli
Kaka sky kila siku tuakwambia, bc weka the story hili tujue inakuwa kila jumangapi....km anavyofnya Jamal au justin shed.... Sio Hiv inakuwa gafra bin vuuuu aina mpangilio.... !!!!!!
Tanzania pazuri sana kila kitu kwetu pazuri kama unabisha bisha hila sisi tulio nje tunajuwa kabisa kma kwetu pazuri
Bora wambie
Kweli kabisa, Tanzania kwetu pazuri sana, tunatafuta maisha kwa uhuru, tunatembea kwa uhuru, tunasafiri kwa uhuru, Wakati nchi za wenzetu mambo yote hayo ni kipengele
Hakuna pazuri
Tulizeni sisi tulokaa jela , hayatangazwi tu
Japokua ni hivyo dunia nzima. Marekani 30% ya magereza ni biashara binafsi. Kwahip hapo watatafuta wateja kupitia kwenye vyombo vya ulinzi. New York mfungwa mmoja hutumia zaidi ya dollars 130,000 kwa mwaka
Yellow inform ni South Africa 🇿🇦
uniform
Ungekuwa unaandika makala 360 inakuwa rahisi kuzi search.
FOTWUNE is the best. No excuse any development must some get pain
Good job ❣️❣️❣️❣️#SNS
Subhannallah, mtihani kwakweli
Nice
mozambiq mhhhh ni noma wanakaa wapalianda
As a kenyan, i expected to see Shimo la tewa even before kamiti...I've never been in prison but I know Shimo la tewa is deadly
Mungu tusaidie jamani ii atalisana duu ee mungu ninusulu kwailo
Watu waovu Sana wakifunzwa dini Ndo watakao kuwa na Imani sana
Sky his the best
Duh!
Kwa hiyo magereza ya Tanzania ni mazuri yanafaa kuishi huko.
😂😂😂jichanganye😂😂
Mimi naishi karibu nayo ya paarl ya Africa kusini
Yoooo bro ilo gereza Ata kwainje tu linatisha
😅😅😅
Nimekubari
Ndio maana nasema tuendelee kutawaliwa tu maana wazungu wanaroho mbaya lakin afrika nadhani tumezidi
Afrika nyoko bro
Sema magereza ya Africa mateso yamezid jamn
360🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥@🇧🇮
My friend died kwenye gereza number 8.
Inalillah wainailaih rajioon, pole my
Makala nzur japo inasikitisha 😢 lkn nimejifunza
Yani TANZANIA HAKUNA hata moja then South Africa ipo sio kwel, hii tafiki inabid wahusika muanze kwenda magerezan kuishi hata mwez ili mkitoka muwe na uharisia wa report
Ongeza research kwenye story zako nilitegemea ungesema idadi ya vifo takwimu za ubakaji idadi ya wafungwa etc
Ridhika na ulichokipata bro kwani hayo aliyokuelezea kayaokota tu au kapoteza mda wake kuyafukunyua yasiko onekana kirahisi ?
Ni hatari sana, hali ya hewa tu ikikosekana ni kifu, inci zetu zaki africa ni macungu tu,
Mbona utaji gereza la Tanzania, ni gereza atari sana
Noma
Shout out to my brother sky 🙏
Mbona ujasema Tanzania
Sky facts umesema
Ndugu sky ... Nafasi ya kwanza Africa inafaa iwe gereza la antanimora liko Antananarivo nchini Madagascar... Naomba ufanye research alafu utaona balaa lake hilo gereza
Tanzania magereza mazuri ama
Ndio swali
🙈
Ya kwetu ni afadhali ndo maana hatupo kwenye list hii
Wanatesekaaa jmnii
NAKUKUNAL SANA SKY WALKER
Kamiti Kenya ogopa yani hata Police wenywe wanawaogopa wafungwa🤔
😂
😂😂🤣
😹😹😹😹😹 duuh
🤣🤣🤣🤣
duh😂😂😂😂
Hivi huzi nchi zilizopo kwenye hii list hawajui au ndo kutojali? This is to bad and sad as well
mbona tz haipo na Burundi
Subutu
Maximum Zambia kuna brother yangu dulla yupo huko kapigwa yundo ya miaka 25
Mmmmmmm too bad be ro
th-cam.com/video/zlOOO5viU7k/w-d-xo.html
Pole kwazambia wanarohombaya
Ilo gereza la kabwe Zambia nimekaa mm ningeshangaa kama lisinge orozeshwa
Pole😭
pole sana
Mmekosa ubunifu wa Jina mpaka muige Jina la Kipindi cha Crouds? Acheni uvivu wa kufikili
Umependelea inchi yako😔😔😔 mm kama mkenya sijafrahi🇰🇪
Wabongo Wana mamb ya mchongo
Ogopa gereza la kenya nimeka miaka 8 ila km miaka 80 Daah watu wanapata shida sana humu dunian
Pole sana Nassirvarane
pole sanaa
Duuuh😢😢😢😢Mungu atuepushe
Kenya haikosi mahali popote
Hahahaha dah
Chikurubi iyo noma sana
Bona amusemi Tanzania eko pazuri mupaka wapi muache ni huhuni
🙏🙏❤️🔥
Kwani tz hakuna Basi za wafungwa Hadi utuwekee Basi za mambele
Hiv gereza la Tanzania halina mantnyaso kwa wafungwa?
Magereza yoote yanamanyanyaso .....sikiliza vizur utaelewa amekwambia top 10 ilivyofanyiwa utafit hajasema huku hakuna manyanyaso ....
Kenya ogopa
Shimo la Tewa kenya?
Mbona Tanzania huitaji? Hapa napo kuna shida ya kufamtu
Shimo la tewaa wanangu mwalijua
Daaah hatari kweli.🤔🤔
Tulikua tunaonba ukionesha tuoneshe na matukio mfano km anavo fanya kwenye the story book
Nikweli lasegerea halipo ktk top ten!!? ☻️ au tumeogopa kulitaja tu 😁😁😁😁
Sns for life👌
Khuu
Poss Moore sio poa
mbona sijasikia gereza la ukonga?
Aka sitaki shari
Yaani Mozambique imekosekana? 🤔
Unaogopa kusema Hali ya magereza ya TZ sababu watakuvinya mapumbu mpaka ukome
Mmh uko wanaume wanabakana na kubakwa na maaskari na wadada wanasagana na wafungwa kupigana daily inatisha sana
Sure
Sky umezngua ..unaogopa nn mbona yatanzania haujayaweka kwaukatili unaofanyika hio sio fair
Lazima aogope akilitaja moja tu la tz atawekwa kwenda kulionja.
WATU WEUPE WANA ROHO MBAYA ,,
GEREZA LA MUKOBEKO, LIPO HAPA KABWE MJINI YAANI NILISHIKWA NA BUTWAA KUKUTA GEREZA KUBWA KAMA HILI KATIKA SEHEMU NINAYOISHI KWA HUKU ZAMBIA. IKUMBUKWE KUWA HILI NDO GEREZA LILILO TUMIKA KUMUSHIKILIA RAIS AMBAYE YUKO MADARAKANI KWA SASA.
Mbona Tz hakuna ama nikitaka habari za magereza ya Tz mpaka Niwe Nje ama Mimi Ndio Sielewi
NA WENGINE WAMEFUNGWA KIMAKOSA TU
Alaafu tuna walaum wazungu eti wana tunyanyapa!😔💔 wakati ss wenyew hatujipendi bora tunge endelea kutawaliwa nawazungu huwenda leo hii engelikuwa afadhali
🙈
Duh! Utawaliwe na wazungu? Karne hii unawaza kutawaliwa? Asee!!
@@isikesamike tunatawaliwa pia kisiasa africa haipo huru kwa nchi nyingi japo tunaona eti tupo huru
@@isikesamike Unashanga kitu gani na watu wachaze wakizungu wanaitawala dunia nasi Africa tu jombi kwani bado umelala usingizi
Utawaliwe mara ngapi? Kwani unafikiri upo huru? N mojawapo wame tuwash brain ,tuamini hatuwezi kufanya kitu,mpaka watufanyie wao
nataka nikaishi kwenye sayari yangu pekee yangu
Jamani
Daah noma
Kwa hio Tanzania hakuna gereza hatari😳😳😳😳
Inawezekana yapo ila bado sana kufikia ya uko
Lipo Moja huko Songea unaambiwa vyumba ni Giza vidirisha vidogo hewa hakuna
Mm bora niumwe sio jela
😂😂
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍.
💔
Km wameua wakae hivyohivyo hao sio binaadam
Gereza za afrika ni kama unaiona jehanam kwa pale
HAKUNA FAIDA KUTIWA GEREZANI KWA HALI HII!!! BORA WABAK8 NJE KWA MAASI KULIKO KUFUNGWA,UMOJA WA MATAIFA IPO WAPI