Hatari! Ukikiuka sheria hizi 18 nchini Korea Kaskazini ni adhabu ya kifo au Maisha Jela
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Makala 360 inakuletea mambo ya kustajabisha kuhusu baadhi ya sheria kali na za ajabu ambazo zipo nchini Korea Kaskazini, sheria hizi pengine hukuzijua na ungetamani kuzifahamu. Tega sikio lako mpaka mwisho, ukizisikia sheria hizi hakika hutatamani kukanyaga korea kaskazini, na pengine unaweza kushukuru kabisa kwamba hukuzaliwa na kuwa raia wa nchi hiyo.
Ndani ya mipaka ya Korea Kaskazini
Insha'Allah ipo siku Mungu atawauliza unyama huyo kuua watu bila hatia
TANZANIA tuna amani hata kama Maisha yanatubana ❤️Jah bless brother sky
Dah Allahmdhulilah nashkuru kuwa mkenya
NAKUPENDA NCHI yangu 🇹🇿🇹🇿
Unasimulia vizuri hongera bro sky unatufanya tuskilize
Daaaah iyo mzuri iyo Sheria ya Korea kaskazini ingekuwepo na apo nchini kwetu Tanzania Yani nchi ingekuwa na adabu sana
wewe akili zako hazifanyi kazi
Mungu Ibariki Tanzania 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Kutoka nairobi nilichelewa kuingalia ihii video . Karibu crown media Fredrick budala❤
Yaaan kwa sheria ya kucheka mi nisingevumilia nahisi ningeuwawa mchana kweupeeee kwa jinsi ninavyopenda kucheka
Namshukuru sana Mungu kwa kunifanya nizaliwe Tanzania 🇹🇿 🙏 😢
La!!! Sio inchi hii ni gereza tayari, tuna bahati sisi wenye tulizaliwa inje adhabu mpaka vizazi vitatu jamani...
N sawa tu maana bnadamu tukipewa uhuru sana tunajisahau
Wangeruhusu Raia kusafiri huyo kiduku angebaki peke yake wallahi maana kumbe huko ni sawa na kuzimu tu
Hilo Ni gereza sio nchi!
Siku moja nitakuwa Rais wa Tanzania na nchi ambazo zitakuwarafiki ni 1. Russia,Cuba, Korea kaskazini, Iran na china. Lakini china kunakitu nitaongea nao kama tutakubaliana wakija africa wasitufanye sisi watumwa.
Dah acha nibaki kwetu😅😅🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️
Mbona Wana atar Sana duu uyu Kim mbona anawanyima Uhuru sana
Nilitamani kuwa mwingizaji wa kolea ila mh nimeghaili😂😂😂😂😂😂
Hii inchi naipenda sana
Hii nchi nilitamani sana kwenda nashukuru kwa hii tarifa
Nenda South Korea soul
🤣🤣🤣
😅
God bless sns 🙏
Wallah mimi natakani nikaishikuko nitakuwa naamani ya ubongo wow very good life 🤲🏻🤲🏻💃🏼💃🏼 insha'Allah itakujakwenda huko milele
😂usinisahau na mm
Mzee usije ukaniacha mwanao
Uyu atafrauni anaafadhali mungu saidia
Izi sheria ni nzuri kuzidi ushoga. Ila wazungu watulewesha upumbafu. Kim ni mwanaume.
Hii nchi aina uhuru wowote
Siokilakitu unachoambiwa kuhusu Korea kaskazi nichakweli, vingine vinachochewa na inchi za maghalibi
Sio vyote. Jaribu kutafuta hadithi za wazawa wa North Korea waliokimbia nchi yao, utagundua Wana hadithi za kutisha na kuvunja moyo.
@@albert-kkitwenga4889 ndo ivyo ww CIA ndo wana fanya ivyo soma historian ya North Korea na south korea
Kheee apo kwenye adhabu adi kizazi cha 3 jamani mweee ,,, Duh Nyie kwaiyo nisicheke kisa maombolezo mwee ningekua nishakufa 😂😂😂😂🙌🏻
Ubalozi wao uko wapi ni ka apply visa ya kwenda kwenye hii nchi, nchi imenyooka sana unaweza usiawelewe ila kwa upande wangu nimewaelewa
Ukienda na hiyo Ngozi yako utajuwa ujuwi
Mi na urafi wangu wa Movies za Mbele. Sasa hivi ningekuwa Marehem🤣🤣🤣
Hizi Sheria zao Ni nzuli Tena Uwon Watu Wakiandamana Wananchii wake Wapo Pamoja na serkali Yao
hii Yote hawataki Nchii Yao Kuingililiwa na Mataifa Ya Magharibi
Wewe unaongea usichokijua ata kama ni kuzuiwa wasingiliwe na nchi za magharibi lakini ubanwe hata usicheke !! Unamaana sheria hizo zingewekwa hapa nchni ungezifurahia?!
Thank god for living in tanzania
No freedom of speech, no freedom of movement, no freedom of communication when it comes to foreign countries,,,, weh religion be it Muslim or christian u are not allowed weh,, I choose my country 💯
Safi kabisa
Kazi Safi Sana The Sky
Hyo inaitwa tii sheria bila shuruti
Hiyu rais aje Tanzania ataware hata mwaka mmoja watu wanyoke inchi imekuwa ya watu wa hovyo sana
Duuuu hapo kwenye kucheka jmniiiiiiiiii ningepewa adhabu dk 0 tu mana ile mtu anatangaza kuanzia leo hamna kucheka mie sasa 👉🤣🤣🤣🤣🤣🤣
naipenda sana iyo nchi iko vizur sana ya kibabe
Muongo ww mdogo wangu
Hizo sheria nyengine km kunyoa kwa kweli mtihani
Ila dunia hii ina baadhi ya nchi ina sheria zenye masharti ya ajabu ni kichaa tu ndo aweza kuyafanya
Hao wananchi wanaishi au wanaishiwa
sio kweli,sio sheria zote zlizotajwa ni za kweli.zingine ni propaganda za nchi za magharibi
Hapana. Kwa North Korea, yaliyosemwa humu ni kweli kabisa. Tena hapa Kuna baadhi ya taarifa chungu mno za nchi hiyo hazijasimuliwa. Jaribu kutafuta hadithi za wazawa wa North Korea waliokimbia nchi yao. Hadithi zao zinavunja moyo na kusikitisha mno.
Shukuru mungu amezaliwa nchi ya amani
Hajafanya vibaya kujuwa kulilinda taifa lake lisipokonyeke yeye ni mzalendo wa kweli mno mungu amsaidie sana
Kwahiyo Wewe unafurahi uwe kama mfugwa
Hizi sheria kiduku akifa zitaendelea au...!watafik mbingun hoi Korean kaskzin
Hatari Sana daah 🙌🙌🙌
hiyo nimeipenda sheria ya korea
Yani iyo nchi so ya kuishi inawanyima haki zao wananchi wananchi wanaishi kam bado wapo kweny utumwa wapo kweny ukoloni bado maan hawan uhuru kweny nchi yao na yote anafany hayo kw kumuogopa mmarekani inachekesha
Aaaah hawa jamaa nawakubali sana
Huna hakilii sawaa
Mimi naona hizo taarifa za kupikwa na vyombo vya magharibi ni za uongo kabisa mwenyewe nimeona walivyotuzushia tanzania kwamba rais alikua gaidi na wakati sisi hatujaona gaidi
Toka lini ukamsikia mtu yeyote kajipost anaenda north Korea ,lini wasanii wakubwa dunian ukawasikia wameenda kutumbuiza north Korea , wap kuna baloz za north Korea ,Vip unajua hta wimbo mmoja wa north Korea ,tuoneshe raia wa north Korea kwenye jamii yako, hta walii Tu, tuambie Imani yao ya kuabudu,kila mnorth Korea anaejitokeza hadharan husema mabaya ya nchi yake na sio wanaikingia kifua nchi yao, kabla ya kujua ni propaganda jiulize hya
Kuhusu Korea kz hili ni kweli kabisa,sababu kuna mtanzania aliye wahi kuishi huko anasema kule hakufai hata kidogo, hakuna uhuru kabisa
Nahisi hizi habari umezipata kwenye vyombo vya wamagharibi watu ambao wana bifu na kim kiduku mimi siwezi kuamini sheria hizo zote zipo
Ni za ukweli kabsa hizo
Hilo gereza la sobibo
Mesheria yote hiyo migumu ya kutesa raia wake ni kuiepuka marekani dah!
Korea wako sawa nimependa msimamo wao
Binafsi
Jina lako death utakua timamu kweli
Iyo amna kuchek ndo nime ipenda 😂🤣🤣
Napenda ivo kilamtu atambue wajibu wake
Mmmh,,🤔,, nchi ngumu hataree
Lakini kwa hili la kupiga marufuku Biblia takatifu kwa wananchi wake ni kukimyima raia wake sio sawa.
Apo kwenye bangi lipuka na mibangi yako alafu kifo kikuiteee😂😂😂😂😂😂😂sns kwenye bangi nimecheka sana
Gereza lanye eneo kubwa kushinda yote duniani ni gereza la korea kaskazini😅😅😅
Mungu wangu 😪😪😪😪
Ubabe umezidi huko sasa hiyo cio haki kabisa
Hapo kwenye bangi wamatisha.hivi hatuna ubalozi wao
Ahsante mungu kuzaliwa tz 😁😁
alafu kuna washenzi wa likuwawanasema magufuli alikuwa dikteta come on man
Hahahahaha Hahahahaha serikali iweke sheria kupanga watu wa kuishi Dar
daah! maajabu haya
Kuishi huko ni sawa na utumwa
Wasira angeshaauliwa mana alisinzia bungeni 😅😅😅
Uwongo bhan 😃
Ningekuw nimeshakufa
Alafu CHADEMA wanasema Tanzania ina ma dictators
nitakua rais siku moja Kim atakuwa rafiki yangu 🤗🤗🤗
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔😉😉😉😉🤔🤔🤔😂😂😂
Bora ni Baki Tanzania
I love yo narration bro, Sky. Keep it up
Hy Kim anajiona mungu mtu yn nmestabisha ht biblia jmn
Kwaiyo raila wetu akekua korea angekua ashauliwa nakusinzia kwake
Iyo sheria yakuto kucheka dah😂😂
Lakin Brother Sky hiki unachokiongea na wewe umekichunguza ama umekicopy sehem nyingine tu unatusimulia kama ulivocopy!?? Maana unaweza kuongea kitu ambacho sio sahihi endapo hujachunguza. Kwann usiende huko Korea kujua ukwel wa mambo.
It is absolutely true. The situation there is a lot more grim than narrated here. Try commiting to a Google-check about North Korea, it will leave you jaw-gaping with a heavy heart.
@@albert-kkitwenga4889 absolutely may be is true, but every country has its own principles to defend its community against western propaganda, North Korea and other countries as Asia, Iran etc become the eye spot from western watchdog, so a single mistake is a chance to dethrone their culture and merely a war victims. Actual you are aware that the main weapon nowdays is media, none were able to escape from western media propaganda. I have witnessed strong leaders been killed due to media propaganda, being named dictators and so forth. For N.Korea its absolutel setted some principles, but its all for sake of defend its own citizen and countr, though I have seen some documentary peoples wore jeans and etc.
aahh au sio aende ili akaulize waseme jasusi au akacheke sky wetu afe ?
@@albert-kkitwenga4889 Google ni wagaribi na Google iko against North Korea
niatali kabis
sasa hii ni nchi au jehanamu?
Ndoto yangu ilikuwa ni kwenda kusoma IT lakni sasa duuu
Yani nisicheke kwakweli acha niedelee kubaki Tanzania 😂😂😂😂
Huyu aje atawale Tanzania,,,wala rushwa warushwe kwa simba waliwe
Mbwa wote hao mm ningevunja tu maana najijua nipo vip
Sky walker
Hii Nchii Ni Zuli Sana Yni Kwa Sheria hii uko Korea Kazikazini Hakuna Mateja Wala Majambazi hakuna Uko Maana Sheria zao Ni very tight
Wewe unge survive huko???
@@BigZhumbe n jambazi au
@@delphiniusdeocress9798 Hapana ni mwana riadha
@@BigZhumbe daah kumbe jamaa kafka mbali
🤔🤔🤔🤣🤣🤣🤣🥺🥺🥺
hiyo ya usingizi ni haki kabisa
hii ndyo nchi ya kuigwa duniani ni mfano wa nchi zetu za kiafrica
Yaan hata MUNGU mwenye anagawa pumz kwa Kla mja wake na haban kufkia huko watalpa kwa hayo kuuwana bla 7bu Za mcng MUNGU NLINDIE NCHI YANGU 2WE NA STARA ILA 2CFKIE HUKO.
Apo18pakuvaa jinsi nilikuwa china kuna mtaa nilikuwa wanauza nguo frani nikajiuliza wanavaa laia wawapi🤣
Kaka sky umesahau sheria moja...raia yoyoye haruhusiwi kunenepa,ukiwa na kitambi unapigwa shaba...kwa hiyo nchi ina fat boy mmoja tu ...na ni mzee wa kiduku...hahahaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 duh
Kheee haki uko wabongo wengi tungekua wafu 😂😂😂
Hahahahahahhhaahha
Apo kw bangi sawa izo sheria zingine tutavumilia 2 ama aje wazimbiting
Najivunia kua mkenya huko kenya tunatengeneza hata account fake za naibu waraisi kulagai watu watume pesa tunatukana hata raisi
Jeans 👖. Wacha nihame huko
Ingekuwa bongo hahhahaa cjui ningebakia na nani aiseee
Hili toto kama mbwa tu.
Hiyo Si country Iyo ninhell
Basi uko wote ni watakatifu mbinguni wataingia kama tu wakimpokea kristo
Kunasheria za kipuuzi sana hasa hii ya kunyoa,na kusinzia
ya kucheka je 😅😅😅 watanzania kibao Sasa hivi tungekuwa marehemu
Atr sna.