VITA YA VIETNAM: Moto wa Wanajeshi wa Vietnam Mitego yao hatari ya JADI Iliua vibaya wanajeshi wa US

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

ความคิดเห็น • 74

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy9304 10 หลายเดือนก่อน +60

    Kama unaamin sky Kwa Sasa ndio mtangazaji Bora gonga like

    • @mpjozzegalvanize4926
      @mpjozzegalvanize4926 10 หลายเดือนก่อน +3

      Sky noma, uwasilishaji wake auchoshi kusikiliza

    • @yusufsuleiman7886
      @yusufsuleiman7886 2 หลายเดือนก่อน

      Kabisa , jamaa yupo poa sana sana

  • @deogratiaskatabwa5230
    @deogratiaskatabwa5230 10 หลายเดือนก่อน +10

    Sky the great mtqngazaji Bora Africa was simulizi zilizojaa ukweli 100% Tunakuombea kaka

    • @samirmswahili
      @samirmswahili 10 หลายเดือนก่อน +1

      Sky noma sana

  • @user-so9rn6ld3n
    @user-so9rn6ld3n 10 หลายเดือนก่อน +5

    Uko vizuri mtangazaji historian ya kweli kabisa

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx 10 หลายเดือนก่อน +3

    Simulizi nzuri na imesimuliwa kwa utulivu sana, huwa namkubal sana huyu msimuliaji hana mbambamba😂👏👏👏

  • @Cadabrizzo
    @Cadabrizzo 10 หลายเดือนก่อน +8

    Big up brother sky

  • @hamisilumona7163
    @hamisilumona7163 10 หลายเดือนก่อน +17

    Hadisi hii ni kweli America ilichindwa na vita vya vietnam, kwa maana walizani jinsi wanavyofanya kwa inchi zingine. Pia vilevile America walipigwa kwenye vita ya Somalia ndio sababu, America hawawezi kusaidia somalia hata kidogo. Wanajutiya kwenda Somalia na Vietnam.

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 10 หลายเดือนก่อน +1

      Hawa jamaa wakikupiga kwa technology hautoboi ila vita isiyohusisha technology mnafanya battle, technology ndio ubavu wa hizi nchi kubwa

    • @laudadeusredemptorysidinda2750
      @laudadeusredemptorysidinda2750 10 หลายเดือนก่อน +1

      Ilipigwa lini na Somalia? 😂😂😂 au story za vijiweni, wale hawana watakachopata Somalia ndomana hawana habari nao, hiyo Somalia wanamgambo wake wenyewe had leo wameshindwa kuipindua serikali.

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx 10 หลายเดือนก่อน +3

      ​@@laudadeusredemptorysidinda2750Fuatilia historia kaka, tatizo ni kwamba wakifanyiwa ubabe wazungu huwa haiandikwi sana lazma watatafutiza sababu ili ionekane hawakushindwa, hata Ethiopia haijawah kutawaliwa lakin ukiuliza kwnn utaambiwa et waliona kule hakuna kitu watachonufaika nacho lakin ukwel ni kwamba walishindwa. Hata huko Somalia ni vivyo hivyo

    • @Chettymlambalipsi-lb9km
      @Chettymlambalipsi-lb9km 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@brunoh_bx safi sana kijana Kwa maelezo mazuri

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx 10 หลายเดือนก่อน

      @@Chettymlambalipsi-lb9km Pamoja sana kaka

  • @ishaqally444
    @ishaqally444 10 หลายเดือนก่อน +1

    Watching from Hanoi Vietnam, nmefurahi sana kusikilza nakala Sky you are the best.

  • @Gerardirankunda2885
    @Gerardirankunda2885 10 หลายเดือนก่อน +4

    Ulikua umekawia san bro 😂😂🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🤣❤

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 10 หลายเดือนก่อน +14

    Nakumbuka Lufufu kwenye movie za wavietnam na USA

    • @mwajumabinwa604
      @mwajumabinwa604 10 หลายเดือนก่อน +2

      Me too I remember him

    • @kibokutiwanatanyika1540
      @kibokutiwanatanyika1540 10 หลายเดือนก่อน +2

      kwani huyo lufufu ndo nani?🙈

    • @rockyvlogs2214
      @rockyvlogs2214 10 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂

    • @stanslauschatata3483
      @stanslauschatata3483 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@kibokutiwanatanyika1540umezaliwa mwaka gan??😢

    • @mpjozzegalvanize4926
      @mpjozzegalvanize4926 10 หลายเดือนก่อน

      @@kibokutiwanatanyika1540 lufufu alikuwa mtafsiri wa movie Tanzania toka miaka ya tisini, movie zake uchoki msikiliza kama sky alivyo sema bwana mkubwa alikuwa na machachali kweli kweli.

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi 10 หลายเดือนก่อน +5

    Vietnam wangeshindwa na marekani usingekuwa Russia. Hawa majamaa walisaidiwa na mbinu hatari za jeshi la Russia. Bila Russia bac hata korea kaskazini wangeshindwa na marekani. Kwamaana nyingine Russia inatisha kwelikweli kwenye uwanja wa vita. Russia, boss. Putin mkombozi wa ulimwengu mzima!!

    • @nakali79
      @nakali79 10 หลายเดือนก่อน +2

      Kwani marekani hiyo vita gani imewahi kushinda ikiwa peke yake kama nchi?

    • @MichaelMathew-ke6bi
      @MichaelMathew-ke6bi 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@nakali79 hamna yaani

  • @princekarani7836
    @princekarani7836 10 หลายเดือนก่อน +5

    Alafu Marekani wanavyoifichaga ihi story, hawatakagi kuiongelea kabisaa.alafu movie za kimarekani wanavyoigizaga wanawapiga wavietinam🤣🤣🤣🤣 kila movie

  • @martingeorgenzali5614
    @martingeorgenzali5614 10 หลายเดือนก่อน +4

    Sns...Is...The...World

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 10 หลายเดือนก่อน +6

    WA THAILAND WENGI WA KIUME WALIKUFA KATIKA VITA HII NA NDIO ILIO SABABISHA WANAWAKE KUWA WENGI MPAKA LEO.

    • @lameckraphael3743
      @lameckraphael3743 10 หลายเดือนก่อน +2

      Tukihamia sie wanaume tutakua deal ee huko

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 10 หลายเดือนก่อน +2

      @@lameckraphael3743 UTAWAKIMBIA BROO WIKI TU INAKUTOSHA 😂 😆 😆 😂

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 หลายเดือนก่อน

      😴😴😴

  • @chany9950
    @chany9950 10 หลายเดือนก่อน +2

    Love you sky👍🏽👍🏽😘😘🙏🏾🙏🏾

  • @billskeez92
    @billskeez92 10 หลายเดือนก่อน +2

    Asante bro sky ❤ @Billskeez🇧🇮

  • @ramaccr7525
    @ramaccr7525 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nakukubali sana bro🙏🙏🔥

  • @SimbanaYanga_
    @SimbanaYanga_ 10 หลายเดือนก่อน +1

    sky mwamba sana kwenye hizi kazi

  • @AndrewPaul-no2wr
    @AndrewPaul-no2wr 10 หลายเดือนก่อน +2

    Sky✊

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata3483 10 หลายเดือนก่อน +4

    marekani hajawahi kushinda vita, labda ya japani, nayo asingetumia nyuklia wangemkanda😂

    • @sayshabani6350
      @sayshabani6350 10 หลายเดือนก่อน +1

      Na juzi wamepigia na mtu mmoja putin haàhahahahhaa . Wamejichanga na ndugu zao wa ulaya ila bado

    • @laudadeusredemptorysidinda2750
      @laudadeusredemptorysidinda2750 10 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa kwanini wasipigwe kabisa wakaacha ubabe kama huwa hawashindi?

    • @OumaBashir-oj5hk
      @OumaBashir-oj5hk หลายเดือนก่อน

      The battle at Mogadishu Marekani alipigwa hadi akatoroka

  • @mwakasaladaniel9198
    @mwakasaladaniel9198 10 หลายเดือนก่อน +1

    Naikubali bro

  • @fathmafatomo2962
    @fathmafatomo2962 10 หลายเดือนก่อน +1

    STRONG 💪👊

  • @aristidesvedasto7855
    @aristidesvedasto7855 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wazalendo wa kweli

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 10 หลายเดือนก่อน +1

    Halafu enzi hizo wanaume wakifikisha 18yrs old,wote walikuwa wanalazimishwa kwenda jeshini.

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 10 หลายเดือนก่อน +1

    Unajua kuingia nchi za watu bila vita ya technology utapigwa tu,,,km Vietnam kule nchi yao misitu na njia zote wanazijua mnajipeleka tu,,mtachapwa,,hata Wangeenda Afghanistan bila technology wangechapwa,hata hivyo wengi walikufa na kuumia,kwa sababu ya majabali yale,wenyewe wanayajua ,wameshayazoea, majangwa yale,,,acha lile joto hawaliwezi plus waliotafunwa na ng'e

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mi ninahis hata kina kinjikitile ngwale, mwanamalundi na Mkwawa waliwashindwa, bas tu historoa yetu haikukaa vyema

  • @emmanuelmasele4990
    @emmanuelmasele4990 10 หลายเดือนก่อน +1

    Marekani jau

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula7351 10 หลายเดือนก่อน +3

    Hatareeeee sana💪🏾

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 หลายเดือนก่อน

    Kimbelembele chake Apa Alikomeswa kimitego 😂

  • @OumaBashir-oj5hk
    @OumaBashir-oj5hk หลายเดือนก่อน

    America wameshindwa kwenye vita zote wanazopigana ikiwemo The battle at Mogadishu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 10 หลายเดือนก่อน +1

    ✌️👊👍

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mmarekani popote alipo ni nuksi tu.

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv 10 หลายเดือนก่อน +1

    American hakomi yupo kila sehemu

  • @samirmswahili
    @samirmswahili 10 หลายเดือนก่อน +1

    Duuu kumbe zile muvi nyingi wamerka walichezea kweli?

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 10 หลายเดือนก่อน +1

    Maarekani have lost all fights

  • @gabrielkabato9909
    @gabrielkabato9909 6 หลายเดือนก่อน

    Uzalendo ni kitu muhimu sana

  • @abisaimsewa1935
    @abisaimsewa1935 10 หลายเดือนก่อน

    Ivi Wamarekani Kuna vita gani walisha shinda sehem zote walizo vamia

    • @lameckraphael3743
      @lameckraphael3743 10 หลายเดือนก่อน

      wanakimbiaga labda japan

    • @jonasizack6712
      @jonasizack6712 10 หลายเดือนก่อน

      Kwa Japan yenyewe walishinda baada ya KUTUMIA nyuklia

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani hauwezi kutamka "Makala Miatatu Sitini"? ... shiriki katika kudumisha kiswahili na sio kukiuwa Swahili

  • @richardburundi3090
    @richardburundi3090 10 หลายเดือนก่อน

    Kwasasa tunataka vita live Israel acana na viduvyazamani

    • @audaxmlowa9953
      @audaxmlowa9953 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@fatmafatu1128watu wengine uharo sana

    • @stanslauschatata3483
      @stanslauschatata3483 10 หลายเดือนก่อน

      kasome vitabu acha uzembe

  • @PesaMadafu
    @PesaMadafu 10 หลายเดือนก่อน +2

    American got they ass beat also it was a lot racism during the period.