Uhalifu, Mauaji na Ubabe wa MS-13: Genge hatari la Kimafia linaloisumbua serikali ya El-Salvado
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Mwamba nakukubali sana kwamastory makali ambayo hunifanya nitenge munda wakusachi nakusikiza tu mastory bg up sana bro fredrick
Duuh umewah kukoment.😂
This Is SNS bro
Uc misi kuchangia chochote kwani ni sehemu inayo kuburudisha
Sio wewe tu bro mi pia lazima nitenge mda kwa ajili ya simulizi na sauti
Tuchangie kidogo ili ku support tunachokifanya, ahsante
Huku kwetu unakubalika Sana kiongozi hongera Kwa Kazi nzuli 💪💪💪
Lovely story with the information 😊
Hatari Sana daah 🤔🧐🙌🙌
Noma sana bg up sana🙏
Kipaji tu unacho brother mungu akubaliki mm huwa napendaga sana simulizi zako
Nomaaa sana ahanste kwa makala Nzuri
Hatari
Pamoja sana mwamba kipaji tu brother kaka full mastor
Sky uko vzr sana kwa simulizi sio swahili sio english rispect
Hatari kabisa kaka 🇰🇪
🙏
Hatari sana
Hao waliokamatwa wapakiwe kwenye meli za kijeshi wakamwagwe katikati ga bahari yani kila kundi likikamatwa wanabebwa wanawamwaga baharini yani halaf wasitoe taarifa yani ile hawajulikani walipoenda wanapogezwa
Nakukubali sana bro
Hatar kabisaa🤔🤔
SKY walker baddest voice PUNCH✊🙌
Rais wa El Salvador ana asili ya palestine
Wapingwe sindano za sumu wsnaalibi vizazi vijao ndio mwisho wao fawa ya moto ni moto
Wapigie risasi wote wote wasibaki hata mmoja. Wameumize wengi
Kazi kazi bro
Hivi ni kweli kifo cha costa titch kuna nabii alitabiri kifo chake????
Hawa viumbe 🏴☠️
*Mano Dura Policy*
Elsavado ipo Bara gani hii nchi
America
Ipo Amerika ya kati imepakana na nchi za Panama, Honduras, Nicaragua Haiti, kiufup hzo nchi huitwa Latin county
🔥🔥🔥🔥❤️
Uko juu mtangazaji ujaiba bando yangu
Sasa wanalipwa au, maana hilo lengo pia ni kazi ngumu kwakweli.
Wauwawe
Sky tupechakula chamackio yetu nabongo zetu unaujua mpaka unazidi kaka uctutelekeze kama Millard ayo
Bidamuwaina hii no tishp za ulimwemgu tafuteni njia zkuwatokomexa wpelekwe kwenye poli la wanyama wakali watamalizika ni kitoeo cha simmba kupumzisha bibadamu shukulani
Brother wwe unakipaj
Nchi zingine zinasumbuliwa na Magenge magumu lkn Serikali inapambana sana kuyazuia. Tanzania tunasumbukiwa eti na PANYA ROAD Watoto chini ya Miaka 17 Kila Mtu anawaogopa mpaka Police na Serikali zimewashindwa. Dunia ina mambo
Kama wataka juju story y pabloEscober tafadhali enda kw Chanel y Abel mtua A K A Mkurugenzii 😃mm nilimjulia huko, alikua hatari kw usalama
Free
Bigup
Wana sns gonga like hapa tujuane
Chukua hii
Tatizo watashindwa kuwaukumu kwa kukosa ushaidi,
Haki za binadamu watapiga kelele kwa kuwa hawana makosa sababu ushaidi akuna, kwaiyo tuseme inaweza kuwa wanawashikilia kwa muda tyyu Kisha watakuwa Uhuru na hapo ndio mabalaha yatakapozi Mara mbili yake Tena kwa umakini zaidi Yani bila kuacha ushaidi
Hpo hakuna ushahid boss hau direct wameshaanza kutumikia kifungo hizo tatu zote zina nembo zao MS 13 nawamehamishwa gereza tayari wamepelekwa marekani kwenye gereza lamateso makali watakaa milele
Ndo shida iyo
Kuna watu wana jiishiitu utasema hawatambuwi uwepo wa Allah!🤦♀️
Rais mwenyewe msela atawaweza tu
Inaandikwa kama medellin ila inatamkwa kama (medeyin).
Hawa niwatu hatari sanaa sura zao tu ni tishio
Kaka Sky tunaandalie 360 vita vya DRC na M23 na Rwanda
Dunia hii ina mambo jamani wamejichora mpaka kinyaa
Tutatuma polisi wa kenya waeke amani ya kudumu😂
Una sauti nzuri ya usimuliaji lakini rekebisha matatizo ya L na R. Mfano unaposema msululu, sio Msululu ni Msururu.
Kiswahili fasaha ni Msululu na sio 'Msururu' usirekebishe kitu ambacho wewe mwenyewe ndio hukijui
Wewe ndio hujui umekosea sio msururu
Big up sana SNS, siku ukipata nafasi tupe madini kuhusu Cartels kiundani
Salut mwamba we mkali napenda simulizi zako nakupata nikiwa Burundi
wamekosa heri
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊
Mwamba sauti kama mirad ayo
Ndio sauti yake yupo kwenye media kabla ata Ayo
Nimeanza kumsikia akiwa R.F.A miaka iyo
Huyu ni zaidi ya millard,coz english pia inapanga so ni international presenter
SNS