Uhalifu, Mauaji na Ubabe wa MS-13: Genge hatari la Kimafia linaloisumbua serikali ya El-Salvado

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

ความคิดเห็น • 69

  • @frankjeremia7435
    @frankjeremia7435 ปีที่แล้ว +11

    Mwamba nakukubali sana kwamastory makali ambayo hunifanya nitenge munda wakusachi nakusikiza tu mastory bg up sana bro fredrick

    • @jacksonwilson5772
      @jacksonwilson5772 ปีที่แล้ว +1

      Duuh umewah kukoment.😂

    • @jeybullaz9323
      @jeybullaz9323 ปีที่แล้ว +1

      This Is SNS bro

    • @mackysuphian
      @mackysuphian ปีที่แล้ว +3

      Uc misi kuchangia chochote kwani ni sehemu inayo kuburudisha

    • @alexyohana4708
      @alexyohana4708 ปีที่แล้ว +1

      Sio wewe tu bro mi pia lazima nitenge mda kwa ajili ya simulizi na sauti

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca ปีที่แล้ว

      Tuchangie kidogo ili ku support tunachokifanya, ahsante

  • @jamesjameswisdomtz1577
    @jamesjameswisdomtz1577 ปีที่แล้ว +1

    Huku kwetu unakubalika Sana kiongozi hongera Kwa Kazi nzuli 💪💪💪

  • @petronilamtei7470
    @petronilamtei7470 ปีที่แล้ว +2

    Lovely story with the information 😊

  • @ramadhanidaudihaji2174
    @ramadhanidaudihaji2174 ปีที่แล้ว +3

    Hatari Sana daah 🤔🧐🙌🙌

  • @teshacharles-rr8tb
    @teshacharles-rr8tb ปีที่แล้ว

    Kipaji tu unacho brother mungu akubaliki mm huwa napendaga sana simulizi zako

  • @yassersahin6639
    @yassersahin6639 ปีที่แล้ว +1

    Nomaaa sana ahanste kwa makala Nzuri

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 2 หลายเดือนก่อน

    Hatari

  • @teshacharles-rr8tb
    @teshacharles-rr8tb ปีที่แล้ว

    Pamoja sana mwamba kipaji tu brother kaka full mastor

  • @samirmswahili
    @samirmswahili ปีที่แล้ว

    Sky uko vzr sana kwa simulizi sio swahili sio english rispect

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 ปีที่แล้ว +1

    Hatari kabisa kaka 🇰🇪

  • @khamisikhamisi7225
    @khamisikhamisi7225 ปีที่แล้ว +2

    🙏

  • @joseurembotz5164
    @joseurembotz5164 ปีที่แล้ว +1

    Hatari sana

  • @suedhabibu3665
    @suedhabibu3665 5 หลายเดือนก่อน

    Hao waliokamatwa wapakiwe kwenye meli za kijeshi wakamwagwe katikati ga bahari yani kila kundi likikamatwa wanabebwa wanawamwaga baharini yani halaf wasitoe taarifa yani ile hawajulikani walipoenda wanapogezwa

  • @ramaccr7525
    @ramaccr7525 11 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana bro

  • @jamilally3916
    @jamilally3916 ปีที่แล้ว +1

    Hatar kabisaa🤔🤔

  • @saddybrezzy9777
    @saddybrezzy9777 ปีที่แล้ว +2

    SKY walker baddest voice PUNCH✊🙌

  • @l.m.a.7570
    @l.m.a.7570 ปีที่แล้ว +4

    Rais wa El Salvador ana asili ya palestine

  • @maryali2122
    @maryali2122 5 หลายเดือนก่อน

    Wapingwe sindano za sumu wsnaalibi vizazi vijao ndio mwisho wao fawa ya moto ni moto

  • @maramara5621
    @maramara5621 ปีที่แล้ว +1

    Wapigie risasi wote wote wasibaki hata mmoja. Wameumize wengi

  • @mansourabdul3902
    @mansourabdul3902 ปีที่แล้ว

    Kazi kazi bro

  • @mackysuphian
    @mackysuphian ปีที่แล้ว +1

    Hivi ni kweli kifo cha costa titch kuna nabii alitabiri kifo chake????

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu ปีที่แล้ว +3

    Hawa viumbe 🏴‍☠️

  • @idrismbarak84
    @idrismbarak84 ปีที่แล้ว +1

    *Mano Dura Policy*

  • @davidtentacion3104
    @davidtentacion3104 ปีที่แล้ว +1

    Elsavado ipo Bara gani hii nchi

    • @ibrahimkasim922
      @ibrahimkasim922 ปีที่แล้ว

      America

    • @MohamedSuleiman-id7zl
      @MohamedSuleiman-id7zl 27 วันที่ผ่านมา

      Ipo Amerika ya kati imepakana na nchi za Panama, Honduras, Nicaragua Haiti, kiufup hzo nchi huitwa Latin county

  • @mucochanella1672
    @mucochanella1672 ปีที่แล้ว +1

    🔥🔥🔥🔥❤️

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922 ปีที่แล้ว

    Uko juu mtangazaji ujaiba bando yangu

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 ปีที่แล้ว +1

    Sasa wanalipwa au, maana hilo lengo pia ni kazi ngumu kwakweli.

  • @elizabethleonce1089
    @elizabethleonce1089 ปีที่แล้ว

    Wauwawe

  • @yamusahmasoud9107
    @yamusahmasoud9107 ปีที่แล้ว +1

    Sky tupechakula chamackio yetu nabongo zetu unaujua mpaka unazidi kaka uctutelekeze kama Millard ayo

  • @maryali2122
    @maryali2122 5 หลายเดือนก่อน

    Bidamuwaina hii no tishp za ulimwemgu tafuteni njia zkuwatokomexa wpelekwe kwenye poli la wanyama wakali watamalizika ni kitoeo cha simmba kupumzisha bibadamu shukulani

  • @chomaboy2104
    @chomaboy2104 ปีที่แล้ว +2

    Brother wwe unakipaj

  • @shabanialfani5394
    @shabanialfani5394 ปีที่แล้ว

    Nchi zingine zinasumbuliwa na Magenge magumu lkn Serikali inapambana sana kuyazuia. Tanzania tunasumbukiwa eti na PANYA ROAD Watoto chini ya Miaka 17 Kila Mtu anawaogopa mpaka Police na Serikali zimewashindwa. Dunia ina mambo

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 ปีที่แล้ว +1

    Kama wataka juju story y pabloEscober tafadhali enda kw Chanel y Abel mtua A K A Mkurugenzii 😃mm nilimjulia huko, alikua hatari kw usalama

  • @jaystar1004
    @jaystar1004 ปีที่แล้ว

    Free

  • @lussewaclassic6188
    @lussewaclassic6188 ปีที่แล้ว

    Bigup

  • @ibrahimsamson4193
    @ibrahimsamson4193 ปีที่แล้ว +1

    Wana sns gonga like hapa tujuane

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue7188 ปีที่แล้ว

    Tatizo watashindwa kuwaukumu kwa kukosa ushaidi,
    Haki za binadamu watapiga kelele kwa kuwa hawana makosa sababu ushaidi akuna, kwaiyo tuseme inaweza kuwa wanawashikilia kwa muda tyyu Kisha watakuwa Uhuru na hapo ndio mabalaha yatakapozi Mara mbili yake Tena kwa umakini zaidi Yani bila kuacha ushaidi

    • @shaabanramadhan6770
      @shaabanramadhan6770 ปีที่แล้ว

      Hpo hakuna ushahid boss hau direct wameshaanza kutumikia kifungo hizo tatu zote zina nembo zao MS 13 nawamehamishwa gereza tayari wamepelekwa marekani kwenye gereza lamateso makali watakaa milele

    • @ramaccr7525
      @ramaccr7525 11 หลายเดือนก่อน

      Ndo shida iyo

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 ปีที่แล้ว

    Kuna watu wana jiishiitu utasema hawatambuwi uwepo wa Allah!🤦‍♀️

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme ปีที่แล้ว +1

    Rais mwenyewe msela atawaweza tu

  • @pendosharif-kw4gl
    @pendosharif-kw4gl ปีที่แล้ว

    Inaandikwa kama medellin ila inatamkwa kama (medeyin).

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 ปีที่แล้ว

    Hawa niwatu hatari sanaa sura zao tu ni tishio

  • @billskeez92
    @billskeez92 ปีที่แล้ว

    Kaka Sky tunaandalie 360 vita vya DRC na M23 na Rwanda

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 ปีที่แล้ว

    Dunia hii ina mambo jamani wamejichora mpaka kinyaa

  • @ibrahimroble3837
    @ibrahimroble3837 5 หลายเดือนก่อน

    Tutatuma polisi wa kenya waeke amani ya kudumu😂

  • @mdundotv4501
    @mdundotv4501 ปีที่แล้ว

    Una sauti nzuri ya usimuliaji lakini rekebisha matatizo ya L na R. Mfano unaposema msululu, sio Msululu ni Msururu.

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  ปีที่แล้ว +1

      Kiswahili fasaha ni Msululu na sio 'Msururu' usirekebishe kitu ambacho wewe mwenyewe ndio hukijui

    • @kemmyboy
      @kemmyboy ปีที่แล้ว

      Wewe ndio hujui umekosea sio msururu

  • @athumanjuma2772
    @athumanjuma2772 ปีที่แล้ว

    Big up sana SNS, siku ukipata nafasi tupe madini kuhusu Cartels kiundani

  • @saidinsenda954
    @saidinsenda954 ปีที่แล้ว

    Salut mwamba we mkali napenda simulizi zako nakupata nikiwa Burundi

  • @Direct-0000
    @Direct-0000 ปีที่แล้ว

    wamekosa heri

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊

  • @abdulsimba7052
    @abdulsimba7052 ปีที่แล้ว +1

    Mwamba sauti kama mirad ayo

    • @ambwenemwamwimbe153
      @ambwenemwamwimbe153 ปีที่แล้ว +2

      Ndio sauti yake yupo kwenye media kabla ata Ayo

    • @ambwenemwamwimbe153
      @ambwenemwamwimbe153 ปีที่แล้ว +2

      Nimeanza kumsikia akiwa R.F.A miaka iyo

    • @sapparworld1733
      @sapparworld1733 ปีที่แล้ว +2

      Huyu ni zaidi ya millard,coz english pia inapanga so ni international presenter

  • @davabackup7767
    @davabackup7767 ปีที่แล้ว

    SNS