KIFO cha MAUMIVU cha OTTO WARMBIER Mmarekani aliyeponzwa na WIZI, alichofanyiwa utaiogopa KOREA (N)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Ninachojifunza hapa, nchini kama marekani inajali watu wake haijalishii popote walipo duniani...
Unapoenda nchi za watu fuata mashart ya nchi husika. Acha kuleta uhuni na mzaha kwenye nchi za watu kwa kuhisi nchi yako ni bora sana kuliko nchi ulipo
Yaan habari inavosimuliwa unalazmika kuisikiliza hata kama haina impact ya moja kwa moja na maisha binafsi. Keep it skywalker
Subhannallah, walimpa sumu ya kumuua Pole pole au walimtesa.
Hizi makala nazielewaga sana dadeq🤝
Nipo kwenye basi nainjoy kusikiliza hii sauti ya Mume wa mama Cameroon,,,i love this voice sichoki kuisikiliza
Napendaga sana simulizi zako.
Oooh Jamaaanii he was very young wangemsamee tu😢 Inalilahi Wainailahi Rajeehun. Sky asante 360🔥
young and stupid , hayo ndio matokeo yake. ujuaji mwingi.
Hawa wazungu wanapenda sana kuvunja sheria hata nchini mwao! Kwa nchi kama Korea Kaskazini lazima wakupe kibano maana wanakuona kama spy
Wanajiona ndo wenye dunia
Tatizo alilofanya ni kutoa bango kwenye nchi yenye sheria kali la sivyo hayo yote yasingetokea
MAKALA 360 NA SKY NI KIPINDI NUMBER MOJA KWA SASA BONGO BORA SANA YA SIMULIZI ANAONGEA KIIIUFAZWAHA SIO KMA SIMULIZI ZAWENGINE SINAZOJAWA NA UZUSHII BIG UP SANA MWAMBA NAPENDA SNA KWA KAZI UNAYO IFANYA 🔥👏
360 ni 🔥🔥🔥
On top🎉
Yaan bundala nataman uwe unatoa hadith kila sekunde na sisi tutasapot brooo
Alifanya Kama Wanavyo Jichukulia Vitu Hapa AFRICA Otherwise Pole sana Dunia Chungu Sana
I will never forget this I seen on the NBC 😢😢😢 I were pregnant with my first child.
Sad indeed; young and curious...alitaka memento au souvenir from North Korea, big miscalculation. Alikua mdogo sana and brilliant, hivyo inakua ngumu kujadiliana na vijana wa umri huo! Atakua ameteswa huko jela na bila hata ya viongozi wa juu kujua.
Kama meno yalikua yamelegea, basi atakua amepata kipigo cha kuharibu ubongo...very sad indeed, and nothing can be done to NK as it's a nuclear time bomb by itself... 💣
Dunia inaiogopa sana hiyo nchi sababu hawajali and have nothing to loose. What untimely death 😔 😠 😡
Nakufwata ana kwa ana kutoka komoro 🇰🇲🇰🇲 big up sn sky
Simulizi na sky ni fire!!
Asnte kwa makala hii. Post-mortem report, najua 🇺🇸 USA wapo number one, lakini itabidi tuheshim Dr 👨⚕️ alifanya post-mortem. ?? Botulinum not discussed!
Very Sad😢
Duh 😢😢😢😢😢 tutulie tu kwenye nchi zetu.
😂
Kbx kwa watu kubaya sana
Bundala napenda sana ukiwa unahadisia
Hiyo wala sio nchii ya kuisogelea wallahi
Ile nchi inavyotisha kwa masimulizi tu,watu wanapata wapi ujasiri wa kwenda NK????
Msimamo wao ni mzuri ndo maana hawapelekewi ujinga na wazungu
iyo nchi mfanowakuigwa
Daah bango tu limemtoa uhai
Nchi mbaya sana jamani hii stay inaumiza sana,kama urusi wanavofanya watu ukienda kusoma huko naukawa nahakiri sana lazima wakufanyia mambo mabaya
Hakuna nchi mbaya unachotakiwa ni ufate sheria za nchi husika
Mmmh usichezee Wala chura hawaelewi kitu duh hatar
Nimejifunza kuwa lazima tuwe watu wazuri tuache tamaa asingeiba yasingemkuta pole Yao wazazi inasikitisha
Especially inchi za watu
Kerea Ni nomaa
Raia wa Marekani na Korea Kusini ni kama moto kwa nchi Korea Kaskazini
Ina Uma Sana kama mzazi kweli
Korea Kaskazini sio nchi ya kibabe, bali ni nchi inayofuata utaratibu wa sheria waliojiwekea.
Hatujazoea utaratibu kama huu ndio maana tunashangaa.
Kabisa nchi zote tulitakiw kuishi kw mishingi na sheria za nchi ze2
North korea forever yeyote yule atakaye vunja sharia lazima ahadhibiwe
Naipenda Xana 3600
Ila wakorea wanaroho mbaya
Ndo maana husikii itikadi za kishoga,ndoa za jinsia moja na madawa ya kulevya
Kama umekaa kaa kuvunja sheria usiende north korea
Simuliz nawakubali sana kama navomkubali diamond plutnimz
Mmmmh Bora nibaki nyumbani niwe naona magorofa kwenye tv
😅😅Kwan unaishi nchi gani? Isiyokuwa na maghorofa,
Ikienda nchi za watu ni kuwa tu mpole na kushika kilichokupeleka
Zaidi ya hapo yatakukuta tu
noma sana aseeee ni fire
Nawakubari makala yanu🙏🇹🇿🇬🇷
Niatari
vp marekani hakurespond kwa lolote lile
Walizuia meli ya korea kaskazin wakaiuza dolla m500. Wakaipeleka kwa wazazi wa otto kama compensation
Wachina watakuwa walimwekea kitu mwilini ili afe
Wapili leo
No,alifanya kitu kisichotakiwa sabab sio kitu kilichompeleka,alikosea pia
Nawapenda sana makala haya napenda yawe muda kwamuda
7:09
Aiseee walimnyoosha vibaya mno nilikuepo
😂😂😂😂
😂😂
Kijana unakitu utafika mbali😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣dah
Duh inasikitisha mno...ila marekani ndo wajifunze kuwa na adabu..pengine alifanya kama mzaha tu ila upande mwingine wanaona kama dharau ukizingatia history za hizo nchi lazima wakushikishe adabu
Itakua alijisahau akahisi north korea kama marekani ambako wana uhuru kupitiliza
Daaah 😢😢😢
Huzuni tu😢
walimpiga sindano huyo ili hasiende simulia kilichomkuta ndani! Husicheze na hawa jamaa wasiokuwa na dini!
Daah inasikitsha
Bro unaelezea vizuri mno yaani hata kama unatuongopea basi uongo umesimama wima kama nyeti za tumbili yaani tunakuelewa vizuri sana na tunapata utulivu mno kwenye kukusikiliza…😂
Haaaàaaaaaa
Ni kweli hii stori
Sanaa yaani unainjoy tu
😂😂😂😂😂
😢
Nime penda kwa message yako cyo saw kwa ukatili kama uwi dah
Fifth comments 🔥🔥🔥
Dah😢
Kwa nini watu wanaenda korea kaskazini kwenye sheria kali nchi zenye sheria kali mimi siwezi kwenda wala siwezi kuishi huko
wewee🤣🤣🤣🤣🤣
Hutaweza cos waafrica ni watu wa mzaa mzaa kila mahali hadi kwenye mapenz
Korea hamuamini mtu hasa mgeni mmarekani ukifanya kosa lazima wakuuwe
The sky walker on duty
Oto alikoseya kwababu korea watu wanaihogopa yeye kwa nn kachukuwa iyo pictures 🖼️? Na serekali ya Korea walikoseya ju Oto alikiri kosalake !
💔💔💔
😢😢😢😢
Mkuki kwa Nguruwe police wa Kizungu wanawauwa Blacks American kila kukicha na hakuna hatua yeyote zinazochukuliwa
Kuwa binadamu basi
Alijikuta jeuri sana 🧐😁
Hao askari wa NK wamechoka huenda hawali rushwa wala posho
Ningekuwa NK hapo nikosa kukosoa Afya ya Askari
Hii nchi inaongozwa na Belzebull
Kwenye Bible kuna Nebukadrzza sishangai ila ufalme kama huo hau dumu
cheki Julias kaiser
mfalme Gogu wa bashan
Mfalme Nimrod
Nirou
Farao nk
Korea usikanyage hata sisismizi......... Huko ndo kwenyewe ndo maana wazungu hawapawezi wanakuja kutuonea sisi huku afrika.
Sinto muito nem para ir la nao quero.
duuh😢mung wang
Nina swali, @sky wewe unaweza kupeleka familia yako kutalii kwenye hiyo nchi? 😂
Mtazamo wangu ni kwamba demokrasia idumu milele - uwazi na uhuru ndo maisha ❤ na pia muwe mnasikiliza ushauri waswahili wanasema asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ni huzuni kwakweli ila pengine yote yasingetokea labda angesikiliza ushauri wa US dept state.
Nimelia San
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏
Dogo ujuaji ulimponza kudadadek vijana punguzeni majasho
kwetu mwizi tunamchoma moto hao walimuhurumia sanaaa
Mwana kulitafuta mwana kulipata.
Wee jamaaa nowma sana wee mtu na nusu
Walimchekecha🙄🙄
NI US STATES OF DEPARTMENT SYO US STATES DEPARTMENT COME ON MAN
Sasa Kumbe Alifanya Makosa Akiwa Anajua Shelia Za Nchi Iyo Tena Anatokea Taifa Kubwa Duniani Alistahili Jambo Ilo
Please sky tunaomba maelezo kidogo ya kifo cha Muigizaji wa Nigeria 🇳🇬 kimetokana nanini make tikitok ndo story lakini mimi huwa nakuamini wewe pekee kuanzia hasubuhi nachungulia kama umetuwekea nakuta bado Please musahada
Ni mtoto wa muigizaji aliye agaa
Kwaio wafanyakazi wa iyo hotel ni Ma Spy
Kikawaida ukivunja sharia lazima uhadhibiwe kwahilo nina wapongeza north korea
Acha kupongeza ujinga wewe walichofanya Korea niukiukaji wa haki za binadamu wanatakiwa walipe walicho kifanya
Alilitafuta mwenyewe
Ata nipate pesa mpak nibinuke sitokaa nikanyage iyo nchi aki ,rais wao mwenyew anatisha
Hao hawataki utan na mmarekani kivyovyote
🤔🤔🤲🏻🤲🏻🤲🏻🙏🏻🙏🏻😔😔
Mtoto akililia wembe mpatie
Jamaa cio wabaya hawataki nchi yao idharauliwe
Wew ni mbaya c wao
Mbona sauti yako inakata kata
hawa jamaa wana adhabu za kijasusi wanakutesa na vipimo vinashindwa kuthibitisha
Kaka bundala msiwe mnakandamiza upande mmojatu kwenye habari !!!!!
Funzo apo nikueshimu tamaduni na sheria za watu au nchii zawengine....mbona wenzake walirudi salama?
Yeye uyo oto alizingua akazinguliwa📌🤣🤣
F**k 🇺🇸
Hao jamaa sijui wamerogwa nini yaani mtu mmoja tu anawaburuza atakavyo
HIVYO USHAONA MAREKANI INAVYOBURUZA RAIA WAKE NA HIO BASI NDIO NCHI SALAMA KWA SASA KWENDA KUISHI MAANA HATA MAMBO YA USHOGA HUTOYAKUTA 😊😊😊 FUNUWA UBONGO
Propaganda za wazungu kuitangaza vibaya korea kaskazini mbona wapo wengi wazungu wanatembelea ukikiuka sheria utaazibiwa kimujibu wa sheria
Tena akakiri makosa kvp?alizingua sana
Really? ndo maana hawa watu wanatuona Africa kama choo, hivi hatuna habari kama hizi africa kweli? Msinitukane, Tuna mabilioni Yamepotea kutoka kwenye taarifa ya CAG, Kweli channels zina muda wa Kupoteza kujadili wengine zaidi ya kujadili taarifa ya CAG? KWELI PUMBA SANA WAANDISHI WETU
Andaa Chanel yako uongelee maswala hayo usiwapangie watu cha kuzungumza ktk chanel yao kama huwez unsubscribe
@@rahmaidd1246 Ndo maana mnabakia kufuata mkumbo tu, khaaa kweli kazi tunayo kwa mijitu kama nyie
Nenda CHANEL TEN, au ITV, hizo ndio Chanel za hayo mambo ya selikali na siasa hapa sio pahali Pake hayo mambo yako, alafu pia jifunze kua na utu heshima na hekima, hizo coments zako, zinavunja heshima kwa, watu wenye umri mkubwa zaidi ya wazee wako na, wenye hadhi ya ubinaadamu kuliko, huko kwenye UKOO wako, ndugu yetu heshima na hekima haviuzwi dukani, ni bure kabisaa, ila ÁFRICA wengi wetu hivi vitu kwenye família yani wazazi, hisia zangu zinaniambia , kwenye família yako mmekosa hivi vitu, acha ujinga hii, SNS ya, MTU binafsi, sio ya selikali na sio ya siasa, tumia 🧠 kufikiri.
Brother, tunajua una uchungu na yaliyotajwa kwenye ripot ya CAG lakin hilo halitengui umuhimu wa kujifunza mambo mengine yanayoendelea ulimwenguni. Masimulizi haya ni funzo kubwa kwetu kwa sb kuna nyakati ambazo askari wetu wanapelekwa Korea kupata mafunzo hivyo itawasaidia sana namna ya kuishi huko
Wataongelea mambo ya CAG Kila siku? Kila mwandishi TH-cam ana uhuru wakupost anachotaka yeye. Wacha tunaopenda content za sky tumsikilize sky wewe katafute mwandishi anaongelea mambo unayoyataka na sio kuwatukana wenzako. Au la fungua wewe Chanel yako uongelee hayo mambo hakuna anayokuzua
Sio utawala wa kibabe