Watu wanaiba kama hakuna serikali. Watu wanateseka, bunge limetekwa. Wananchi wanaotetea Mali za wanatanzania wanaambiwa wabebe Mizigo yawo watóke bungeni, utafikiri bunge ni la watu binafsi. Uwongo juu ya uwongo. Wabunge wote wakianza kutowa hoja zawo wanamushukuru Mwenyezi Mungu, huku hawatetei haki. Ni Mungu kisha Rais Samia. Wenye akiri zetu wan amps Rais sifa za uwongo. Wanaosema ukweli na watetezi wa haki wanafukuzwa bungeni. Haki iko wapi?
Wewe nawe una majibu ya uhongo nchi hii ni hatsrishi kilichofanya unatoa kibari tofauti na wazalishaji wakati muda wa kufika mzigo wao bado na tukichunguza leseni zao zilikatwa kwa muda mfupi ili waingie mchongo wa biashara Richmond nyingine kwenye akili akikusikiliza anagundua uhongo wa bodi
Watu wanaiba kama hakuna serikali. Watu wanateseka, bunge limetekwa. Wananchi wanaotetea Mali za wanatanzania wanaambiwa wabebe Mizigo yawo watóke bungeni, utafikiri bunge ni la watu binafsi. Uwongo juu ya uwongo. Wabunge wote wakianza kutowa hoja zawo wanamushukuru Mwenyezi Mungu, huku hawatetei haki. Ni Mungu kisha Rais Samia. Wenye akiri zetu wan amps Rais sifa za uwongo. Wanaosema ukweli na watetezi wa haki wanafukuzwa bungeni. Haki iko wapi?
Wezi wanatamba hii nchi bana utazani haina jeshi
Kiongozi unakosea xn lkn pia unamkosea mungu acha kila mtu aubebe msalaba wk hicho unacho jaribu kufanya acha kbx
Napita tuu
Bashe anapambana sana ila wabongo hawana fadhila
Uyo mpina anamajungu anachuki binafsi na Bashe acheni upuuzi msioelewa
Huyu ameweka wazi kila kitu lkn Kuna wingine hawataki kufahamu kwahivo tuwaache vile Munavofahamu
Zee zima halafu lichawa.
Wewe nawe una majibu ya uhongo nchi hii ni hatsrishi kilichofanya unatoa kibari tofauti na wazalishaji wakati muda wa kufika mzigo wao bado na tukichunguza leseni zao zilikatwa kwa muda mfupi ili waingie mchongo wa biashara Richmond nyingine kwenye akili akikusikiliza anagundua uhongo wa bodi
Amna kitu hapo mchongo
Huyu naye anaongea upuuzi gani.. they are lying Ukweli wote Mpina alishausema.. Full of lying😌
Hoja mkuu tumia kiswahili au wewe si wakwetu kwani aass eea yaaa naa si kiswahili
Huyu ni mpumbavu sisi tunaelewa tutakutana mahakamani
Mchakato kauli kujilnda
Mochongo
Hakuna majibu yeyote. Ni kukingiana vifuwa na kuwafanya watanzania wajinga