LIVE: KIMENUKA, BODI YA SUKARI WANAJIBU YOTE, MPINA ALIPULIWA VIKALI, "NI MPOTOSHAJI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2024
  • #uhondotv #uhondotv

ความคิดเห็น • 17

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 วันที่ผ่านมา +2

    Watu wanaiba kama hakuna serikali. Watu wanateseka, bunge limetekwa. Wananchi wanaotetea Mali za wanatanzania wanaambiwa wabebe Mizigo yawo watóke bungeni, utafikiri bunge ni la watu binafsi. Uwongo juu ya uwongo. Wabunge wote wakianza kutowa hoja zawo wanamushukuru Mwenyezi Mungu, huku hawatetei haki. Ni Mungu kisha Rais Samia. Wenye akiri zetu wan amps Rais sifa za uwongo. Wanaosema ukweli na watetezi wa haki wanafukuzwa bungeni. Haki iko wapi?

  • @nsajigwamwakalonge5702
    @nsajigwamwakalonge5702 3 วันที่ผ่านมา

    Wezi wanatamba hii nchi bana utazani haina jeshi

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga 3 วันที่ผ่านมา

    Kiongozi unakosea xn lkn pia unamkosea mungu acha kila mtu aubebe msalaba wk hicho unacho jaribu kufanya acha kbx

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 3 วันที่ผ่านมา

    Napita tuu

  • @ABUYSELEMAN
    @ABUYSELEMAN วันที่ผ่านมา

    Bashe anapambana sana ila wabongo hawana fadhila

  • @ABUYSELEMAN
    @ABUYSELEMAN วันที่ผ่านมา

    Uyo mpina anamajungu anachuki binafsi na Bashe acheni upuuzi msioelewa

  • @froma3732
    @froma3732 2 วันที่ผ่านมา

    Huyu ameweka wazi kila kitu lkn Kuna wingine hawataki kufahamu kwahivo tuwaache vile Munavofahamu

  • @DonaldMasunga-l6d
    @DonaldMasunga-l6d 3 วันที่ผ่านมา

    Zee zima halafu lichawa.

  • @AdelinaAloys
    @AdelinaAloys วันที่ผ่านมา

    Wewe nawe una majibu ya uhongo nchi hii ni hatsrishi kilichofanya unatoa kibari tofauti na wazalishaji wakati muda wa kufika mzigo wao bado na tukichunguza leseni zao zilikatwa kwa muda mfupi ili waingie mchongo wa biashara Richmond nyingine kwenye akili akikusikiliza anagundua uhongo wa bodi

  • @isayasemunguruka103
    @isayasemunguruka103 3 วันที่ผ่านมา

    Amna kitu hapo mchongo

  • @nestor384
    @nestor384 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu naye anaongea upuuzi gani.. they are lying Ukweli wote Mpina alishausema.. Full of lying😌

  • @protasreshola9744
    @protasreshola9744 3 วันที่ผ่านมา

    Hoja mkuu tumia kiswahili au wewe si wakwetu kwani aass eea yaaa naa si kiswahili

  • @yassinmuamba2526
    @yassinmuamba2526 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu ni mpumbavu sisi tunaelewa tutakutana mahakamani

  • @protasreshola9744
    @protasreshola9744 3 วันที่ผ่านมา

    Mchakato kauli kujilnda

  • @methuselamiligo614
    @methuselamiligo614 3 วันที่ผ่านมา

    Mochongo

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 วันที่ผ่านมา

    Hakuna majibu yeyote. Ni kukingiana vifuwa na kuwafanya watanzania wajinga