BALOZI MPUNGWE AFICHUA YA TUHUMA ZA BASHE SAKATA LA SUKARI, MPINA AONA MWANGA KISA.....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 29

  • @masterhptv4065
    @masterhptv4065 3 หลายเดือนก่อน +7

    Cha ajabu vyombo vya habari havitasambaza hii clip watanaki kutangaza udaku na uchawa. Sikihz waandishi hawasumbuki na uchunguzi wa taarifa wanazozitoa ukiwa na hela na cheo report inatoka tu hata kama ukiwa mwongo.

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 3 หลายเดือนก่อน +4

    Kwa maelezo haya ya Balozi Mpungwe, Bashe anasemaje? Ni aibu aibu kwa Serikali. PCCB mko wapi?

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 3 หลายเดือนก่อน +5

    waziri kilimo na wafedha ni majizi makubwa kwa kutumia gep sugar wamepiga bilioni tatu kwa kuagiza sukari nyingi kuliko inavyotakiwa na uwo ni mpango mkakati wa mama kupitia ccm ili wakiuza sukari wapate faida kubwa kama iyo niliyoitaja ili wapate pesa ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kwa hiyo wenye uelewa tunajua nyinyi viwanda amna shida mpo sawa kabisa

  • @nestor384
    @nestor384 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mpina Jelson Luhaga nakuombea uishi na mwenyezi mungu akushindie Waziri wa kilimo alipaswa kuwa jela mpaka muda huu!

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mpumpugwe mwenyewe alihujimu migodi ya mererani tunakujuwa

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna wakat au Kuna mambo ambayoi bunge linapaswa kuisimamia serikali. Ipasavyo kama katiba ya nchi inavyo wataka, pale bingeni wapo kwa niaba ya wananchi kila mbunge yuku pale kuwakiliaha wananchi wake na watanzania kwa ujumla, sasa mbunge akipeleka hoja ambayo inaibana serikali au kiongozi pale bingeni basi ajibiwe kwa hoja na serikali imjibu Kwa hoja sahihi, sasa kama mpina walimjibu Kwa mipasho na kumsimasha asihuzurie vikao kadhaa, kumbe bado kuna shida, hawa jamaa wasukari unaona kabisa kama walikua na matumaini na mpina alikua anahoja ya msingi kuhusu kulinda viwanda,, na kama mpina pia angewakosea pia hao jamaa wa sukari wangesema mpina alichosema sio kweli, mpina wamemtoa lakini hili jambo bado linawatafuna na sasa Kwa namna walivyo muajibisha mpina na inawezekana hoja yake ilikua na ukweli, sasa Kwa namna walivyo mfanya mpina inawza ikawaogopesha wabunge wengine kuibua madudu,

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ukiona watoto wa simba ujue mama na baba hawako mbali. Sa waziri wa kilimo na wa fedha???.

  • @gasparyephraimmwakatuma9542
    @gasparyephraimmwakatuma9542 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa maelezo haya Mpina alikuwa sahihi na Waziri kadanganya! Waziri na Spika wajibu haya maelezo

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 3 หลายเดือนก่อน +1

    HUYU MZEE APEWE ULINZI,,,,,,,au ATATEKWA

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 2 หลายเดือนก่อน

    Dah-sasa mpina kwa nini anafukuzwa bungeni

  • @jumakizija829
    @jumakizija829 3 หลายเดือนก่อน +1

    Balozi naye ashindilia, bila kupepesa macho asema kuambiwa kuwa hawakuagiza sukari kuwa ni 'Uongo'. Sasa sijui ni nani atakuwa alisema uongo

  • @mariammalale3729
    @mariammalale3729 3 หลายเดือนก่อน

    Hayasemeki wallahiii

  • @Chrishenryson-beats
    @Chrishenryson-beats 3 หลายเดือนก่อน +2

    Acha wale nchi si wanatuona mazuzu😅😅😅

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf 2 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi mnashindwa nini

  • @listerkongola6872
    @listerkongola6872 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huwezi kuwa mzalishaji na wakati huohuo muagizaji wa sukari ya bei chini.
    Kwa conflict of interest, mzalishaji hawezi zalisha sukari kukidhi mahitaji ya sukari Tanzania!!

    • @PaulMsema
      @PaulMsema 3 หลายเดือนก่อน

      Sukari ni bidhaa nyeti ukifanya Kila mtu aingize utauwa wananchi wako pia hata Kodi hitapata kama nchi maana viongozi wakubwa watajipenyeza kwenye uagizaji ni utaratibu mzuri tuu ambao uliwekwa na serkali ya awamu ya 5

  • @hassanmitayo1875
    @hassanmitayo1875 3 หลายเดือนก่อน

    Msumari umekita sehemu husika, tangu waziri Tizeba na Kaijage mlikuwa wapi kujitokeza?, Sheria imeshapita mzee wangu zalisha sukari uuze bei ikipanda store inafunguliwa.

  • @EvalineJonathan
    @EvalineJonathan 3 หลายเดือนก่อน

    Jamn media please crip hiz ziende viral watu waffaham ukweli juu ya swala hili ....mpinaa oyeee

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz 3 หลายเดือนก่อน

    Ee mungu tuhumie baba tumekuwa kondoo wasio na mchungaji. Mungu tuhurumie. Siku zote aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Mumgu wangu.

  • @shabanihalfani9718
    @shabanihalfani9718 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna usahihi.
    Kila mtu anafahamu sukari ilifikia zaidi ya 5000 kwa kilo.
    Mlifanya nini kutoagiza ili mtengeneze gap then bei izidi kuumiza raia

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy 3 หลายเดือนก่อน

    Vyombo vya usalama isaidieni nchi mshaurini mhe rais ili twende vizuri

  • @mountketumbeine5079
    @mountketumbeine5079 3 หลายเดือนก่อน

    Hamkuwahi kueleza haya kabla mlivyoona kitumbua kinaingia mchanga mnaanza kupiga kelele, watanzania wanaogopa sana ushindani fanyeni kazi muda wa kubebwa umeisha

  • @EvalineJonathan
    @EvalineJonathan 3 หลายเดือนก่อน

    Jamn media please crip hiz ziende viral

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz 3 หลายเดือนก่อน

    Bashe bashe mwigulu mwigulu.

  • @EvalineJonathan
    @EvalineJonathan 3 หลายเดือนก่อน

    Mpina oyeee

  • @raphaelondego7703
    @raphaelondego7703 3 หลายเดือนก่อน

    Gen-z in the making 😊

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee mwizi

    • @PaulMsema
      @PaulMsema 3 หลายเดือนก่อน

      Sio mwizi anaelezea vzr tuu

    • @EvalineJonathan
      @EvalineJonathan 3 หลายเดือนก่อน

      Inaonekana ww hufikirii mbali ...unawaza wizi tyuu Kam Bashe