Kabla mh. Joel nanauka hajawa mwalimu wangu nilijua kwamba mtu ukiwa na pesa unaweza ukafanya chochote Na ukafanikiwa. lakini baada ya kujifunza mambo mengi kutoka kwa huyu mwalimu wangu wa maisha. Nimegundua kwamba mambo mengi nilikuwa najidanganya. Na saizi naishi maisha yenye furaha na yasiyo stress kwamaana kila kinacho tokea tayari kunakuwa na nondo za kutosha kichwani mwangu.
kweli brother na sio biashara tu hata maswala ya course yapo hvyo hvyo utaskia course flan hailipi' pia kingne nmejifunza ku take risk kunahitaj mchakato sio kukurupuka tu
Asante Kaka. Uitaji wa kitabu hicho ninao, lkn ningeomba kupata kwanza cha STRATEGY 2021 ambacho nimekwisha lipia toka trh 19/1/2021 lkn mpk mda huu bado cjakipata na nikatuma na sms whatsap Jina Namnyaki Mollel. Asante.
Somo zuri kwa kwa sisi tunaotaka kuanza ßiashara asante kwa somo zuri
Asante sana
Shukran
Kabla mh. Joel nanauka hajawa mwalimu wangu nilijua kwamba mtu ukiwa na pesa unaweza ukafanya chochote Na ukafanikiwa. lakini baada ya kujifunza mambo mengi kutoka kwa huyu mwalimu wangu wa maisha.
Nimegundua kwamba mambo mengi nilikuwa najidanganya. Na saizi naishi maisha yenye furaha na yasiyo stress kwamaana kila kinacho tokea tayari kunakuwa na nondo za kutosha kichwani mwangu.
Asante sana umenitoa mbali sana
Ahsante kwa somo zuli
asante sana Joel
Dah nimekumbuka mbali sana DECI
Asanti nafurahia mafunzo yako hapa Kenya 💃♥️
Karibu tanzania
Nc
Ahsante sana kwa mafunzo yako.
Kweli kabisa Bro Joel
nmekuelewa hata kabla ya kuskia
Thanks brother
Nashukuru sana kaka kwa somo zuri, je nitajuaje kama biashara ninayo Fanya inanifaa ,
Asante kaka
See
🤝
Shukrani
Asante saana kaka Joel, haki tangu nikufatilue mafundisho yako najiona kubadilika.... Mungu akubariki Sai nko Saudia.... Nmkenya.
Ameen, ahsante Sana Lilian.Nashukuru kwa kunipa mrejesho wa namna mafundisho yalivyokusaidia.Nakutakia mafanikio makubwa zaidi
Amina.... Mungu akubariki
kweli brother na sio biashara tu hata maswala ya course yapo hvyo hvyo utaskia course flan hailipi' pia kingne nmejifunza ku take risk kunahitaj mchakato sio kukurupuka tu
Kaka natamani angalau kupata mawazo yako zaid ktk maisha haya
Pesa sio mbegu hahahaha business networking embu elewen hii
Mtaji wa kuanza biashara ni changamoto sana lakini wazo la biashara tunalo
Ahsante mr. joel
Asante Kaka. Uitaji wa kitabu hicho ninao, lkn ningeomba kupata kwanza cha STRATEGY 2021 ambacho nimekwisha lipia toka trh 19/1/2021 lkn mpk mda huu bado cjakipata na nikatuma na sms whatsap Jina Namnyaki Mollel. Asante.
Pole sana.Kama BADO haujakipata Hadi leo tuma neno BADO kwenda 0756-094875
@@joelnanauka Nimekwisha kipata toka trh 21, Asante.