Tabia 4 Zinazoleta Fursa Kubwa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 175

  • @kayombog1694
    @kayombog1694 3 ปีที่แล้ว +11

    1. Fanya vitu kwa ubora
    2. Have emotional intelligence
    Control your depression, anger
    3. Be interested in others
    Reciprocity - appreciate& admire others
    4. Action orientation
    -sense of urgency

  • @onesmomushi943
    @onesmomushi943 3 ปีที่แล้ว +10

    Duu aisee nanauka,mungu akubariki umetoa kwenye uzembe ulionisumbua muda mrefu sana yaani nisipo sikiliza clip yako kwa siku napata kiu zaidi ya majii asante sanaaaaaaaaaa

  • @donardmussa3263
    @donardmussa3263 2 ปีที่แล้ว +7

    Thanks a lot for me to understand about :
    1.Exllence
    2.Emotional intelligence
    3.interest on others
    4.Action oriented
    Those it will open ways development

  • @franknachimbinya7688
    @franknachimbinya7688 3 ปีที่แล้ว +11

    The speach of NANAUKA is my psychological breakfast of every morning
    Thanks

    • @solomonnzebele-nz3is
      @solomonnzebele-nz3is ปีที่แล้ว

      Kaka Joel umekuwa msada sanaaaaaa katika jamii mana tangu nimeaza kukufatilia nimetengeneza vitu ambavyo hata walio kuwa wananijua wameshangaa sanaaaaa

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 3 ปีที่แล้ว +4

    Thanks Kaka nimegundua kitu hasa leo kweli kabisa ubora nikujithamini Kwa kujiamini Amina Sana kaka joel ubarikiwe...sana

    • @officialhustler7325
      @officialhustler7325 3 ปีที่แล้ว +2

      thankx alot.. Kwa maarifa mazr long live kiongoz

  • @mombasatv1994
    @mombasatv1994 ปีที่แล้ว +2

    Salute nakukubali sanaa ww ni Zaidi ya mwalimu

    • @williameliakim8595
      @williameliakim8595 ปีที่แล้ว

      Ahasantenii sanaaa kitabuu hicho kinapatinanajeee

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu azidi kukubariki

  • @abelgeorge7535
    @abelgeorge7535 2 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante sana kaka joel kwa mafundisho kuhusu saikolojia ya maisha yetu.

  • @fredrickmwanangwa6423
    @fredrickmwanangwa6423 3 ปีที่แล้ว +3

    Kaka Kila siku wewe ni ufunguo..Ubarikiwe brother Nanauka

  • @patrickapolinary2949
    @patrickapolinary2949 3 ปีที่แล้ว +2

    Watu wanaofanikiwa na wanaofeli wanatofautiana tabia 300 kuanzia pale wanapoamka mpaka wanapolala,asante sana mentor

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 ปีที่แล้ว +1

      Kabisaa

    • @macksemuyango6108
      @macksemuyango6108 3 ปีที่แล้ว

      @@joelnanauka HABARI!
      Naomba kupata mawasiliano ya simu ili nipate au kununua kitabu cha TABIA 12 ZINAZOLETA MAFANIKIO

  • @ananielsulley4944
    @ananielsulley4944 3 ปีที่แล้ว +2

    Daah kaka Joel me hiyo tabia namba 2 inanitesa sana kwa kweli

  • @oyugisamwel545
    @oyugisamwel545 3 ปีที่แล้ว +2

    Mr. Joel, I really like your shows/programs. Umenibariki sana. Na Mungu akuongeze maarifa mengi ili utufunze zaidi!!

  • @christinamushi2273
    @christinamushi2273 3 ปีที่แล้ว +1

    Napendaaa kukushukuru Sana kwa dhatii maana tokaa nimeanzaa kukufuatilia mpaka sasa nibinti Mdogo Lakini nimekuwa meneja wa hotel na bado nasoma chuo na ninabiashara sina cha kukulipa zaidi kukuombea kwa mungu

  • @andrewmussa9919
    @andrewmussa9919 3 ปีที่แล้ว +2

    Najifunza kila Leo thank mentor

  • @elikadoeliasnyamkola559
    @elikadoeliasnyamkola559 3 ปีที่แล้ว +3

    Woooo! Ahsante sana kwa maarifa mazuri unayotupatia. By ELIKADO BILIONEA

  • @ukhtyhalimaismailbakari4931
    @ukhtyhalimaismailbakari4931 3 ปีที่แล้ว +4

    Shukraan sana brother tunazidi kusonga mbele barikiwa sana ❤️❤️❤️❤️

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 ปีที่แล้ว +1

      Ahsante sana Zawadi

  • @timizandotochannel3347
    @timizandotochannel3347 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kaka wewe ni mwalimu wangu sana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 ปีที่แล้ว +1

    Joel Mungu akubariki.Ni kweli.

  • @HusseinHaule-pr5ov
    @HusseinHaule-pr5ov ปีที่แล้ว +1

    Yan bro upo makini sana umenitoa katika maisha ya mazoea na kunileta katika maisha ya umakini zaid na mafanikio nimeyaona nahapa ndio kwanza naanza Mungu hakubariki sana na kazi hii naomba usiache bro mambo mengi sana napata kutoka kwako

  • @magrethnelson949
    @magrethnelson949 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kwa somo, najengeka kila iitwapo leo nnapopitia masomo yako🙏🙏

  • @oyugisamwel545
    @oyugisamwel545 3 ปีที่แล้ว +3

    You're the reason of my subscription to TH-cam

  • @happnesstupuyo155
    @happnesstupuyo155 3 ปีที่แล้ว +2

    Umenibadilisha Sana joel

  • @halmahassan7182
    @halmahassan7182 ปีที่แล้ว +2

    Asant sanaaaaaaaaa kakaa mm nakukubali kweli

  • @ramadhannyigana8883
    @ramadhannyigana8883 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante kaka nakipataje icho kitabu

  • @funnyworldtz
    @funnyworldtz 2 ปีที่แล้ว +1

    Brother your good, nafatilia sana masomo yako najifunza mengi sana umenifungua akili kwa kiasi kikubwa mno, Thanks for the class brother 🙏🙏🤝🤝

  • @bahatidonard3462
    @bahatidonard3462 ปีที่แล้ว +1

    I appreciate you kaka🙏🏿

  • @gracemariki4841
    @gracemariki4841 ปีที่แล้ว +1

    Naomba hicho kitabu Joel niko Dodoma jiji

  • @elinurujohn975
    @elinurujohn975 ปีที่แล้ว +1

    God bless you

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 ปีที่แล้ว +4

    Thank you so much my Brother Joel for Morning motivation stay blessed 🙏🙏

  • @leticiampeka1488
    @leticiampeka1488 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana, be blessed🤝

  • @winniewilson2855
    @winniewilson2855 ปีที่แล้ว +1

    Very powerful

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka ubarikiwe sana

  • @lizzymasha2131
    @lizzymasha2131 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sanaa mekuelewa sanaa

  • @thomasgabriel588
    @thomasgabriel588 ปีที่แล้ว +1

    nakubali

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe kwa mafunzo

  • @davidmsubi2639
    @davidmsubi2639 3 ปีที่แล้ว +2

    Hakika kitabu kipo vizuri..nimekisoma kwa umakini mzuri.. Hongera Sana Mwl.

  • @herielstephenmsanga
    @herielstephenmsanga 3 ปีที่แล้ว +2

    I appriciate your learnings brother..!! Thank You

  • @gaspernicholaus9309
    @gaspernicholaus9309 3 ปีที่แล้ว +1

    Hakika nakupata nakuerew najifunza mengi mungu awe nawe

  • @afyakiganjanimwako8309
    @afyakiganjanimwako8309 3 ปีที่แล้ว

    DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
    1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.
    2)Kukosa Hamu ya Tendo kabisa / kukosa Msisimko/Mihemko
    3)Mwili kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa huambatana na usingizi mzito sana.
    4)MBEGU KUTOKA KIDOGO AU HAZITOKI KABISA/
    5)Uume kuwa Lege lege wakati unashiriki Tendo
    6)UUME KUSINYAA NA KUWA MDOGO
    Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume kama umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na Kama unamfaham mtu mwenye Changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?
    *Epuka fedheha Linda ndoa yako*
    Wasiliana nasi kwa matibabu ya changamoto yako kwa kutumia bidhaa zenye ubora (chakula lishe) tupigie/ tuma ujumbe kwenda namba 0719881752/0785327494

  • @nevagasmsamba5060
    @nevagasmsamba5060 3 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana chief

  • @Teacher-Yasilini
    @Teacher-Yasilini 3 ปีที่แล้ว +2

    Love u more you have sent me into good way

    • @meleajohnkisaka7969
      @meleajohnkisaka7969 3 ปีที่แล้ว +1

      Asante sana kila siku napata mambo mazuri ,asante sana Mungu akubariku

  • @janeflorencesajjabi1545
    @janeflorencesajjabi1545 ปีที่แล้ว +1

    Be Bless Day by Day.

  • @junglebee7852
    @junglebee7852 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks so much bra.... you talk sense my brother

  • @user-fv2sn7js7g
    @user-fv2sn7js7g 2 ปีที่แล้ว

    Nisaidia mm ninahasila san mungu nisaidia kwakwer

  • @medsonstarlon0805
    @medsonstarlon0805 3 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante mwalim Joel ,,,, 👏

  • @dicksonmajengo9304
    @dicksonmajengo9304 2 ปีที่แล้ว +1

    kaka nimechelewa sana kukujua lkn kwa kipindi kfupi tu nimejifunza meng yamenisaidia ahsante

  • @geophreymanyama4335
    @geophreymanyama4335 3 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza Asante

  • @josephmichael9555
    @josephmichael9555 ปีที่แล้ว +1

    Hakika nakuelewa sana kila siku nachukua madini

  • @kadmc9124
    @kadmc9124 3 ปีที่แล้ว +2

    pamoja bro. tuko We're 2gether

  • @annetmbwambo9369
    @annetmbwambo9369 ปีที่แล้ว +1

    BALIKIWA kaka naomba hicho kitabu

  • @kalyweedy5106
    @kalyweedy5106 11 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana kaka

  • @jumajuma9075
    @jumajuma9075 3 ปีที่แล้ว +1

    hv haw dislike,mnawaelewa kwl!?,unawek dislike kwa joel nanauka!!

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas4866 3 ปีที่แล้ว +3

    Brother Joel umetisha sana

    • @leonardntigeza1458
      @leonardntigeza1458 3 ปีที่แล้ว

      Nahitaji.kitabu.hicho.chatabia.12.zinaleta.fulsa.nakitabu.cha.timiza.malengo

  • @juliethfrank6626
    @juliethfrank6626 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana,no nne ni changamoto kwangu

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 2 ปีที่แล้ว +1

    Elimu yako. Daima

  • @Elishanabagingisemvayle-ob4cm
    @Elishanabagingisemvayle-ob4cm 2 หลายเดือนก่อน

    Asante mpendwa

  • @user-dq9if5rz5w
    @user-dq9if5rz5w 11 หลายเดือนก่อน

    Niaje brother

  • @aidanwealthclub6288
    @aidanwealthclub6288 3 ปีที่แล้ว +1

    Thank you so much bro... I appreciate

  • @growonlinetv3631
    @growonlinetv3631 3 ปีที่แล้ว +1

    Big up sana Joel Nanauka

  • @asnaabububu2297
    @asnaabububu2297 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana

  • @mohamedahmad3137
    @mohamedahmad3137 3 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante San boss

  • @ponctualitesuleim9417
    @ponctualitesuleim9417 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda saaana

  • @winniewilson2855
    @winniewilson2855 ปีที่แล้ว +1

    Bro I like your clip

  • @maryammwandola4134
    @maryammwandola4134 3 ปีที่แล้ว +1

    ubarikiwe sn kaka Joel

  • @agnesmwita9315
    @agnesmwita9315 ปีที่แล้ว +1

    Kinauzwa shingapi kitabu kaka joel

  • @manandochazzry1923
    @manandochazzry1923 3 ปีที่แล้ว +1

    Thank you brother

  • @enelebowden2373
    @enelebowden2373 2 ปีที่แล้ว +1

    true

  • @melodyanne3249
    @melodyanne3249 3 ปีที่แล้ว +1

    thanks my mentor

  • @franksfrancis6263
    @franksfrancis6263 ปีที่แล้ว

    Stay blessed

  • @eddahhawa7471
    @eddahhawa7471 3 ปีที่แล้ว +1

    Ashante!!.♥️

  • @alisiaalex1569
    @alisiaalex1569 3 ปีที่แล้ว +1

    Be blessed brother

  • @glorywilliam
    @glorywilliam ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana,niko arusha natamani kupata vitabu vyako unaweza kunielekeza pakuvipata?

  • @lemmylaulian163
    @lemmylaulian163 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏

  • @erickdaudi3815
    @erickdaudi3815 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimekupata vyema

  • @mussalulenga9939
    @mussalulenga9939 2 ปีที่แล้ว +1

    Namba 1 na namba 4 hua baado inasusua

  • @nicolausdandagala6201
    @nicolausdandagala6201 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimekielewa kaka Joel

  • @beatricmmpantaleo3420
    @beatricmmpantaleo3420 3 ปีที่แล้ว +1

    Salute!

  • @zabronsuleiman664
    @zabronsuleiman664 3 ปีที่แล้ว +2

    asante kaka ,naomb kupata kitabu cha namna ya kupangilia malengo mwaka mpya unakaribia kaka nipo kahama

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 ปีที่แล้ว

      Karibu tuwasiliane 0756-094875

  • @nasraamour1923
    @nasraamour1923 ปีที่แล้ว +1

    Samahani nauliza naweza kupata wapi icho kitabu

  • @halifaiddy8497
    @halifaiddy8497 3 ปีที่แล้ว +1

    Good session

  • @shadow4real868
    @shadow4real868 3 ปีที่แล้ว

    Nakubar san

  • @Jrmontaiza
    @Jrmontaiza 7 หลายเดือนก่อน

    Thanks

  • @msalaba6768
    @msalaba6768 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimekuwa naguswa saana na elim unayotowa kweli ningetamani hata kukutana nawe siku moja. Naitaji kitabu hicho saana nipo DRC mashariki nipe njia za kukipata na bey yake haraka iwezakanavyo.

  • @zaynabhussein6825
    @zaynabhussein6825 3 ปีที่แล้ว

    Shukran

  • @eliamatiku5923
    @eliamatiku5923 3 ปีที่แล้ว

    Naomba kujua gharama za hicho kitabu

  • @christinamushi2273
    @christinamushi2273 3 ปีที่แล้ว +1

    Kama kukufuatilia nimeanza tokaa nilipoanzaa kumiliki Sim kubwaa daimaa napendaa Kuwa Kama wewe

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 2 ปีที่แล้ว +1

    Nahitaji kitabu, tabia 12 zinazoleta mafanikio

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 3 ปีที่แล้ว +3

    Hakika haya mambo manne ni ndo msingi wa maendeleo

  • @abiamarwa1528
    @abiamarwa1528 3 ปีที่แล้ว

    Nahitaji kitabu joel

  • @fatinaabdul2392
    @fatinaabdul2392 3 ปีที่แล้ว

    Vitabu tunavipataje

  • @macksemuyango6108
    @macksemuyango6108 3 ปีที่แล้ว +1

    Naomba kupata namba ya simu ambayo nitawasiliana ili kupata kitabu cha “TABIA 12 ZINAZOLETA MAFANIKIO”

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 ปีที่แล้ว

    Bei gani kaka

  • @ibrahimkhamis1820
    @ibrahimkhamis1820 ปีที่แล้ว

    Safi sana JN. Vp unaweza kuwa mtu mzuri wa kutunza heshima za watu wa namna zote?

  • @pascalumira7271
    @pascalumira7271 ปีที่แล้ว +1

    Naitaka hiyo kitabu tabiya 12 niko kampala ina uzwa shilingi ngapi?

  • @SimonShoo-mw8nk
    @SimonShoo-mw8nk 11 หลายเดือนก่อน

    Ungefanya mpango tuwe tunapata vitabu kwa njia ya online tusomee kwenye cm kwa sababu simu tuko nazo mda wote

  • @eliamatiku5923
    @eliamatiku5923 2 ปีที่แล้ว

    Kiongiozi gharama ya kitabu

  • @neysmiller1307
    @neysmiller1307 2 ปีที่แล้ว +1

    😘😘

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 ปีที่แล้ว

    Hii Ya mwisho ninayo

  • @RashidRashid-ny6pj
    @RashidRashid-ny6pj 3 ปีที่แล้ว +1

    Unawezaji kufanya mambo kwa ubora kwa mfano kwenye kuuza duka?

  • @aloycekomba1
    @aloycekomba1 ปีที่แล้ว +1

    Nahitaji ebook ya the money formula napataje?