Joel Nanauka: Kanuni muhimu za kuishinda Hasira.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 124

  • @manaseezekiel8165
    @manaseezekiel8165 4 ปีที่แล้ว +31

    Kama unamkubali Joel gonga like yako hapa

  • @angasyegemwampulo8217
    @angasyegemwampulo8217 4 ปีที่แล้ว +4

    Asante sana .nimenufaika sana na darasa hili😍 mungu akubariki kwa kunisaidia kuliondoa tatizo your my trust friend until nilipojiunga na darasa lako

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 ปีที่แล้ว

      Ahsante Sana kwa mrejesho huu

  • @linaswai5401
    @linaswai5401 4 ปีที่แล้ว +1

    Joel toka nimeanza kukufatilia kwenye mafunzo yako umenibadilisha mtazamo wangu wa ndani. God bless you the man of God.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 ปีที่แล้ว +1

      Ameen Lina,thank You so Much

  • @paschaljilala9307
    @paschaljilala9307 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa hili somo kaka Joel maana mimi nina hii changamoto. Naahidi kufanyia kazi hivyo vyote🙏

  • @latifahjanja6679
    @latifahjanja6679 4 ปีที่แล้ว +3

    Njia nyengine ni kumlaani shetani/kumkemea kwani hua akiona mmpeshana na yy hua anakujaza ili uwe na asila zaidi ili yatokee makubwa,asant sana bro mungu akubaliki njia ulizozitaja mbili hua natumia ili kupunguza asira kwanza hiyo ya kuzungumza mwenyewe pili hua namwambia rafiki yang lkn ni kama dada hua anishauli yote ila najikuta kidg nimepunguza na hua nayaacha yapite sometimes unaweza kumsimulia akaniambia dah pole sana lkn hua nalidhika kwa kutoa hasira

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 ปีที่แล้ว +1

    Hasira zimenisumbua sana ila nashukuru kaka Joel umenisaidia nitazifanyia kazi ubarikiwe sana kaka

  • @chitandastories
    @chitandastories 4 ปีที่แล้ว +3

    Nimejifunza mengi sana katika hii video

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 ปีที่แล้ว

      Ahsante Sana kwa kuendelea kujifunza

  • @deborahdavie
    @deborahdavie ปีที่แล้ว

    Asantee Kaka Joel Nanauka. Matumaini yangu nitakutana na wewe siku moja...☺

  • @kolletakilimila4249
    @kolletakilimila4249 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka Joel mimi nimekuelewa sana

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin5436 ปีที่แล้ว

    Asante Sana hiyo ya kuondoka imenisaidiahizoo nyingine nilikuwa sijui Asante kwakuniongezea maana nikikerwa nahisi kma kunakitu kimenikaba hivo najaribu kujizuia lkn najikuta kma ninaplesha kwamba ni lazima niongee Sasa kunamungine kukiondoka a nahisi ndo umemzarau kbsa km hya mazingira tunayofanyia kz do self tok na yakuhesabu nahisi zitanifaa Asante Sana huwa nakufatilia Sana na nimejifunza vitu vingi Sana kupitia wewe mungu akubaliki sana

  • @mwanakomborashid7053
    @mwanakomborashid7053 ปีที่แล้ว

    Asante sana kakangu..hili somo naomba Mungu likanibadilishe

  • @patrickapolinary2949
    @patrickapolinary2949 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakumbuka mwaka 2018 nilichukua maamuzi yasiyosahh mwshowe nkajutia mwnyw,asant mentor wang and see you at the top

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 ปีที่แล้ว

      Pole,Ila hongera Sana kwa kujifunzs

  • @sweetapplepalace1618
    @sweetapplepalace1618 3 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Sana more than 1000000000000.......times .

  • @mathewmassawe5982
    @mathewmassawe5982 8 หลายเดือนก่อน

    Asannte sana Mtumishi hii imekaa vzuri

  • @asfarsham9037
    @asfarsham9037 3 ปีที่แล้ว

    Shukran sana kwa somo.
    Mimi hupenda kutumia hio self talk.
    Huwa najiuliza
    1)is it necessary to react?
    2)is it worth my time and energy?
    3)what effect this might cause in a long run?.
    Huwa kwa kiasi flani inanipunguza ile hasira

  • @sayyidtawaqal1754
    @sayyidtawaqal1754 4 ปีที่แล้ว +2

    Thanks so much brother! Yani ulivyonitoamba katika maisha naomba uhai na uzima nilazima nitakutafuta nikupe shukurani live!

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 ปีที่แล้ว

      Ahsante Sana,nitafurahi siku tukionana🙏

    • @ramadhanalmashamza3458
      @ramadhanalmashamza3458 ปีที่แล้ว

      Mimi pia nitakutafuta baada ya miaka mitatu hii video nimeiona leo na umenisaidia sana ubarikiwe sana

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 ปีที่แล้ว

    Nimebadilika na kuwa mtu sahihi kupitia wewe Jo, mungu akuongezee miaka mingi uwasaidie kizaz iki na kijacho amen🙏🏻

  • @zahraswalehe1853
    @zahraswalehe1853 2 ปีที่แล้ว

    Aisee nitafqnyia kazi nakuwa na hasira hadi nagombana na mtu mwingine akinisemesha duh asante nitalifanyia kazi

  • @gagalebro9519
    @gagalebro9519 4 ปีที่แล้ว +2

    God bless you for everything you do my brother

  • @lazarodaniely5377
    @lazarodaniely5377 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubarki sana nmekuelewa my professor

  • @visensiakadege6608
    @visensiakadege6608 6 หลายเดือนก่อน

    Asante Kwa somo

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 ปีที่แล้ว

    Asante nimefaidika na wewe,barikiwa,

  • @afyayangutv6015
    @afyayangutv6015 4 ปีที่แล้ว +2

    Ni somo zuri ambalo limefika kwa wakati na muda sahii kwani hasira huleta hasara katika maisha kwan hupelekea watu kufanya maamuz yasiyo takiwa kwa mfano (ukimuuliza muuaj baada ya kuua atakujibu ni hasira tu, talaka nying ni hasira tu zinapelekea hayoyote , na meng meng yasiyoelezeka , jambo LA kuzingatia ni kutofanya maamuz wakati ukiwa na hasira ) Good day brother joel

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 2 ปีที่แล้ว

    Asante nitajifunza kuhesabu

  • @rachelandrew4889
    @rachelandrew4889 3 ปีที่แล้ว

    Nakuamini sana mungu azid kukuinua had viwango vya juu zaidi

  • @jamesdimosso2601
    @jamesdimosso2601 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka hii ni nzuri sana bila shaka itawasaidia wengi.

  • @labanpeter1165
    @labanpeter1165 ปีที่แล้ว

    I appreciate your speech! zinanijega sana kiakili kama kijana i wish to share ideas with you mungu atupe uzimatu. Hakika una nondo nzuri kiongozi

  • @johnokiya9777
    @johnokiya9777 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwa hakika umekuwa msaada mukubwa kwa maisha yangu hakika mafunzo yako hunifungua akili zaidi nakuombea maisha marefu ili uendelee kunikuza zaidi

  • @aash4145
    @aash4145 ปีที่แล้ว

    Shukran kaka kwakutufunza

  • @zawadingonyani1958
    @zawadingonyani1958 ปีที่แล้ว

    Thank bro Unasaidia maisha ya vijana

  • @kitundubray6583
    @kitundubray6583 3 ปีที่แล้ว

    Hii njia ya mwisho ni the best sana kwangu nitaitumia hii

  • @samwelimboya8730
    @samwelimboya8730 4 ปีที่แล้ว

    Dah Mungu akubariki tu maana nimekuwa na changamoto hiyo hadi Sasa

  • @biregeyasabune8630
    @biregeyasabune8630 4 ปีที่แล้ว

    Asante Sana joel asira nikitu mbaya sana

  • @roselynerwiza9383
    @roselynerwiza9383 2 ปีที่แล้ว

    Asante nikichukia natoa maneno mabaya sana bila kujali watu walioko karibu yangu badae najisikia vibaya kwa nilivyoongea lkn ndio tayari nimeongea siwezi kufuta.Nitajitahidi kuhesabu nione au kuondoka eneo la tukio

  • @CharlesLaizer-pj7bv
    @CharlesLaizer-pj7bv ปีที่แล้ว

    blessed more bro.. nmejifunza mengi sanaa .. ntabadlika sana kupitia mafundisho yako kaka

  • @user-sb3tz1ve4w
    @user-sb3tz1ve4w 11 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana bro

  • @heavenlyonlinetv8187
    @heavenlyonlinetv8187 4 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante bro zote zinaniusu

  • @sayyidtawaqal1754
    @sayyidtawaqal1754 4 ปีที่แล้ว +1

    Ulivyo nitoambali katika maisha!

  • @rajabukulala6669
    @rajabukulala6669 4 ปีที่แล้ว +1

    Njia ni 1 nimejaribu kuitumia na imeleta mafanikio kwangu ,kaka we ni mwalimu bora sana

  • @ballkissymubarak9416
    @ballkissymubarak9416 4 ปีที่แล้ว

    Shukran brother kwa kututoa ujingaa

  • @happyjacob7736
    @happyjacob7736 3 ปีที่แล้ว

    Kaka najifunza vinga sana kutoka kwako asante unafanya vizur sana

  • @joackimwilfred8624
    @joackimwilfred8624 4 ปีที่แล้ว +1

    Kaka naamin umeshushwa na mwenyezi Mungu kutukomboa kifkira. Nimemaliza kusoma kitabu chako cha (Timiza malengo yako) chenye mbinu 60. Naomba unielekeze kitabu kizur kitakacho nisaidia katika suala zima la ujasiriamali. Asante.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 ปีที่แล้ว

      Wow,hongera Sana.tuwasiliane 0756-094875

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 ปีที่แล้ว

    Ipo. Sawa. Sana

  • @onesmosanga8408
    @onesmosanga8408 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana mwalim joel

  • @eradiusaudax6224
    @eradiusaudax6224 4 ปีที่แล้ว

    Napenda sana mawazo yako maana yananisaidia sana kwenye maisha yangu ubalikiwe sana

  • @subiraomari5908
    @subiraomari5908 4 ปีที่แล้ว

    Asante Sana kwa kutujuza

  • @pastorgodsonjohn8562
    @pastorgodsonjohn8562 3 ปีที่แล้ว +1

    Wee jamaa sjui ulizaliwa siku gani maana hakuna jambo unaliongeaga alafu nijikute simo haijawai kunitokea kiufupi Mungu akubariki sana pia Nina shida na kitabu kinacoongela maswala ya uongozi

  • @ashuraseif3020
    @ashuraseif3020 4 ปีที่แล้ว +1

    Mimi ninasema nikiwa nina hasira nakutoka hiyo sehemu ya shari.Vinasaidia sana

  • @beatricemwita3451
    @beatricemwita3451 4 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nilikuwa na hasira sana ila nilipokujua tu wewe kaka joel sasa sina hasira tena, najiamini mafunzo yako yamenikaa kichwani, kila gumu au kila hasira huwa najiambia haya am the ceo of my own life, I believe myself mara kibao na hivyo simuwazii tena aliteyenikwaza sababu mimi ni bosi wa maisha yang

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 ปีที่แล้ว

      Wow,you are the CEO of your life

  • @erickkessy3861
    @erickkessy3861 3 ปีที่แล้ว

    Nimekubali Sana Kaka Joel

  • @bestshine6273
    @bestshine6273 2 ปีที่แล้ว

    ASANTE BROTHER

  • @uwimananadia6066
    @uwimananadia6066 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa ushahuri

  • @mwafrikaissa491
    @mwafrikaissa491 4 ปีที่แล้ว +1

    Saf mzee

  • @sabrinasaid839
    @sabrinasaid839 4 ปีที่แล้ว

    Ahsante umenisaidia

  • @petermateru8821
    @petermateru8821 3 ปีที่แล้ว

    God bless you brother

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 ปีที่แล้ว

    .asante

  • @kajorobaraka1269
    @kajorobaraka1269 3 ปีที่แล้ว

    Njia ya mwisho kabisa is the best way of reducing Hasira

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 4 ปีที่แล้ว

    Asante mwl wangu

  • @badybady4897
    @badybady4897 2 ปีที่แล้ว

    Your the best bro

  • @allykishki6266
    @allykishki6266 4 ปีที่แล้ว +5

    HONGERA KWA KAZI NZURI MR.JOEL
    Ila NAOMBA UTISAIDIE KTK HILI NI VIP UTAWEZA KUMTOA UMPENDAE KWENY MUDI CHAFU NA MBAYA NA KUMLETA KTK MUDI NZURI...???KWA MAANA NYINGINE NI VIP UDILI NA MTU AMBAYE HAYUPO SAWA...?

    • @inocentkirumbuyo8461
      @inocentkirumbuyo8461 3 ปีที่แล้ว +1

      Hii utapata kwenye kitabu dale carlegie how to Win friend influence by people kwenye hicho kitabu kuna kila kitu unachotaka na zaidi kama unatoana ni ngumu kukipata unaweza kunitafuta kwa namba 0768480963 nitakupatia bure kabisa upate maarifa

  • @medsonstarlon0805
    @medsonstarlon0805 4 ปีที่แล้ว

    Shukrani sana

  • @muhsinyahaya5822
    @muhsinyahaya5822 4 ปีที่แล้ว

    Thanks brother

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 3 ปีที่แล้ว

    Bless you always

  • @jonasbonne9372
    @jonasbonne9372 4 ปีที่แล้ว

    Thx bro in yr teaching

  • @lucymgata9721
    @lucymgata9721 4 ปีที่แล้ว

    Kaka nakushukuru umenibadilisha sana

  • @benjaminjohn3131
    @benjaminjohn3131 4 ปีที่แล้ว

    Dah, nimeipenda💪💪💪

  • @LusanaJohn
    @LusanaJohn 2 หลายเดือนก่อน

    Kwli mm ninahasira hbu nisaidie

  • @alisultantz
    @alisultantz 4 ปีที่แล้ว +1

    Thank you, my brothe

    • @josephmwinuka6664
      @josephmwinuka6664 4 ปีที่แล้ว

      Njia rahisi no kuondoka

    • @kadogorimwinyi1466
      @kadogorimwinyi1466 4 ปีที่แล้ว

      @@josephmwinuka6664 unaweza kuondoka na isisaidii, bora ujibwatukie mwenyewe.

  • @emmaraphael5982
    @emmaraphael5982 4 ปีที่แล้ว +1

    Ya kuhesabu nitajakibu mimi ninahasira san yani had naumwaga nikishikwa na hasira hivo asante nitajalibu hiiyo njia ya mwisho

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 ปีที่แล้ว

      Safi Sana,nitafurahi kupata mrejesho

  • @timobrownfighter
    @timobrownfighter 4 ปีที่แล้ว

    Asante kaka

  • @hafsahcletty5968
    @hafsahcletty5968 3 ปีที่แล้ว

    Thanks 🙏

  • @husseinmwakasala7565
    @husseinmwakasala7565 4 ปีที่แล้ว

    self talk will be better for me, sitotukana wala kujibu vibaya

  • @theresiachigali9482
    @theresiachigali9482 2 ปีที่แล้ว

    Hakika umenihamisha sehem

  • @alhajrahassan89
    @alhajrahassan89 11 หลายเดือนก่อน

    💯💯

  • @priscardanier8264
    @priscardanier8264 ปีที่แล้ว

    Nakumbuka 2020 nilipitiwa magumu Sana nikaibiwa kazin nikafiwa na kaka angu na mchumba angu akaoa ni kipindi kilicho kuwa kigumu Sana kwangu na hayo yote yalitokea ndan ya mwez mmoja na kwa hicho kipindi hicho nilikuwa ckufaham kwa bahat nzur nikaona mtu kapsti kakipande wsp nikaamua kukutafuta TH-cam hakika ule wakati niliweza kutoka kwenye maumivu na huwa nawaza bila kufatilia wewe ingekuaje

  • @djcoco_designer5739
    @djcoco_designer5739 3 ปีที่แล้ว

    Vizuri

  • @emmanuelyusuph9057
    @emmanuelyusuph9057 4 ปีที่แล้ว

    asante sana my mentor

  • @JovietiKamugisha
    @JovietiKamugisha 22 วันที่ผ่านมา

    Mimi ninekuewa mno ila change changamoto yako bado nashindwa kuikotroo asira

  • @Mkaambali
    @Mkaambali 4 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @kiwopeiddi9628
    @kiwopeiddi9628 3 ปีที่แล้ว

    For m kumuvu sehemu husika tu

  • @melvinnakhungu2504
    @melvinnakhungu2504 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 3 ปีที่แล้ว

    Thk

  • @willymwaitege2379
    @willymwaitege2379 2 ปีที่แล้ว

    Mm willy mwaitege lazma xku moja niwe kam ww ntakushka mkono ntaxema axant joel nanauka

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 4 ปีที่แล้ว

    Cool 😎

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 ปีที่แล้ว

    Imekuwa miaka 2 tangu u upload lkn leo nimekuja kujifunza hii nahitaji kusaidika

  • @rebekabigawa1439
    @rebekabigawa1439 3 ปีที่แล้ว

    Me ntajalibu hi njia ya mwisho Kama inaniingia ivi maana napayukaga

  • @saumumbukuzi4922
    @saumumbukuzi4922 4 ปีที่แล้ว +1

    Nimejifunza kitu hapo kwenye point ya take time away ninao mfano wa mtu wangu wa karibu alishaitumia hiyo

  • @nurumosha9216
    @nurumosha9216 3 ปีที่แล้ว

    Kaka wacha niishie kwenye kukuita tu ila Mungu akuweke kwa ajili yetu

  • @zedrob117
    @zedrob117 3 ปีที่แล้ว

    Ashate

  • @stellanovatus2033
    @stellanovatus2033 3 ปีที่แล้ว

    🙏🙏😍

  • @mindgapfiller
    @mindgapfiller 4 ปีที่แล้ว

    💪💪🙏

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 ปีที่แล้ว

    Reverse oder/Self talk.

  • @rebekabigawa1439
    @rebekabigawa1439 3 ปีที่แล้ว

    Sasa km ninahasira kwa watoto nafanyaje

  • @mundesmokesen9314
    @mundesmokesen9314 3 ปีที่แล้ว

    Namba tatu inenigusa kaka

  • @khalifakh9687
    @khalifakh9687 2 ปีที่แล้ว

    Je njia ya kuepuka mambo mabay

  • @jumajumamweupe6675
    @jumajumamweupe6675 ปีที่แล้ว

    Omidipo tupog

  • @modrinmaufi233
    @modrinmaufi233 4 ปีที่แล้ว

    Dah huyu mtu ana akili sans

  • @gagalebro9519
    @gagalebro9519 4 ปีที่แล้ว

    Let me follow you on your Instagram 🙏🙏🙏

  • @stewadstevin8982
    @stewadstevin8982 3 ปีที่แล้ว

    Njia na 4 kuhesebu kwa kuludi nyuma

  • @estherkimario2039
    @estherkimario2039 3 ปีที่แล้ว

    Kwann unakuta mtu anakuambia umechukuaaa kitu fulan wakati ww unajua ujafanyaaa hich kitu