Namna Ya Kuanza Upya Baada Ya Kushindwa (Fail)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 136

  • @basamtz8674
    @basamtz8674 5 ปีที่แล้ว +6

    Wew ni mwalimu wangu naamini mda sio mlefu nitakuita uje unitembelee uone mafanikio yangu kupitia masomo yako Asante

  • @onesmokway
    @onesmokway 5 ปีที่แล้ว +8

    Tatizo la Watanzania wengi wakifeligi jambo flan huwa wanafeli mpka akili ya kuweza kufwatilia watu wa Saikolojia kama wewe maana kwa sisi watanzania mara nyingi watu wanaomba ushauri huwa hawana shida na ushauri bali wanataka kupima pia mawazo ya watu wanaowaomba ushauri kwa sababu pia unakuta washajiwekea Misimamo yaoo...
    Ila brooh kuna point 1 ya msingi imenibariki sana kuwa kufeli kwetu kwa jambo flani tusipelekee lawama kwa watu wengine..👍👍👍👍 nimekuelewa sana Brother Nanauka umekuja kuwa chakula changu cha ubongo na daily toka nimeanza kukufatilia nimeona mabadiliko chanya Thanks Sana endelea kutufafanulia mambo mengi sana kaka

  • @ramadhanbashir8484
    @ramadhanbashir8484 4 ปีที่แล้ว

    Nakushuru sana,nimeanza kuwa jasiri kutokana na elimu ya maarifa unayonipatia kila siku,na mimi nakuombea kwa mungu akuzidishie elimu ya maarifa ya kuwabadilisha madhaifu kuwa majasiri wa maisha yetu AMIN.

  • @cvanocharles6001
    @cvanocharles6001 5 ปีที่แล้ว +18

    Tangu nianze kumsikiliza kaka Joel Nanauka February 2018 nimekuwa mpya sana naamini nitafanikiwa Mungu atabariki kazi za mikono yangu pia kaka Joel ubarikiwe na Mungu akuongezee miaka mingi ya kuishi

    • @babramakungu2692
      @babramakungu2692 5 ปีที่แล้ว

      Mimi nilimkopea MTU pesa ametiweka na pesa najiona nimefeli pesa zote nalipa madeni kupitia somo hill naanza upya from now

    • @nickynator5113
      @nickynator5113 3 ปีที่แล้ว

      Amen

    • @ZabronManunda
      @ZabronManunda ปีที่แล้ว

      Thank u bro

  • @hafidhsaid9301
    @hafidhsaid9301 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante teacher Joel hakika wewe ni hazina kubwa Tanzania hii 😂 tunakuelewa wanafunz wako god bless you.

  • @bellatilia0804
    @bellatilia0804 5 ปีที่แล้ว +6

    Asante sana Joel nakuelewa sana,nimegundua Mimi nilikuwa mgumu kukubali kama nimefail

  • @manasemlonganile4496
    @manasemlonganile4496 5 ปีที่แล้ว +2

    Nimebarikiwa sana, kwa neema tu ya Mungu hivi karibuni niliamua kutafakari my past success. Nilipata nguvu sana baada ya hapo

  • @estersimoni7572
    @estersimoni7572 3 ปีที่แล้ว

    Ukwel kaka nimekujua kwenye wakati sahihi Sana ....nikiwa nimefanya kazi moja kwa miaka 11 bila malengo wala mafanikio baada ya kukubali kuwa nafeil na kuchukua hatua ya kutaka sasa kutimiza ndoto zangu ndio nakutana na matundisho yako kwa Mara ya kanza to nimejifunza na kuchukua hatua na kujiwekea vitu vitakavyo niongoza naamin baada ya mda mfupi natarud hapa kushuhudia... blessed mwana wa MUNGU

  • @fatmamwiru7574
    @fatmamwiru7574 5 ปีที่แล้ว

    Asante kwa somo zuri sanaaa unazidi kutupa nguvu ya kupambana ktk maisha,Naona mafanikio mengi sana ktk maisha yangu kuptia masomo yako,Asante sanaa kwa ushauri mzuri

  • @jaruoedga2196
    @jaruoedga2196 5 ปีที่แล้ว +1

    Joel we uliletwa duniani kwa makusudi kbsaa jmn na nimekupata katika kipindi sahihi kwangu najisikia mpya tena katika dunia hii najiona mweny thamani tena mungu akuweke jmn

  • @janecosmas2139
    @janecosmas2139 5 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akupe umri mrefu tuzidi kujifunza kutoka kwako... Amen 🙏

  • @hassanmsuya9057
    @hassanmsuya9057 5 ปีที่แล้ว

    Yani kila ninavyo zidi kukufwatila brother Joel nazidi kuupa uwezo ubongo wangu na Mimi mwenyewe najiongezea kujiamini kuwa naweza kufanya kile nilicho kuwa nakiona mlima kwangu thanks god kwa kutuletea MTU kama Joel mungu akutie nguvu usichoke kutupa hamasa kaka asante

  • @tengatimoth5570
    @tengatimoth5570 5 ปีที่แล้ว +3

    Ww Jamaa umebadilisha maisha yangu sana na nmepiga hatu 20 zaidi ya pale nlpokuwa God bless You Brother

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Tenga Timoth nashukuru sana kusikia hivyo Tenga naamini utafika mbali sana

  • @AlfaMbisa
    @AlfaMbisa 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi kwanzia Leo nitafuata hizo hatua maana hii semester nimeshuka sana kimasomo kwasababu ya uvivu na kukariri masomo bila kuelewa na hii imenifanya nimeshindwa kufanya vizuri katika test zangu zote na nilianza kukata tamaa. hivo kwakuwa nimeona hizi hatua na hakika nitafanya mtihani wa mwisho kwa ufanisi mkubwa. Asante author Joel nanauka

  • @annymdg7647
    @annymdg7647 5 ปีที่แล้ว +8

    Failing doesn't stop u to achieve in life,it's a challenge we need to accept thankx for that stay blessed

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +2

      Sara Ondieki well said it,let’s move on

    • @annymdg7647
      @annymdg7647 5 ปีที่แล้ว +1

      @@joelnanauka yea together we can 👏👏👏👏

  • @salmamasood2524
    @salmamasood2524 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa big up bora kuanza upya baada ya kufeli sijakata tamaa zidi kutushauri

  • @mariamgitau3614
    @mariamgitau3614 4 ปีที่แล้ว +1

    Shukran Sana kaka Allah akujaze kila LA kheri

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 5 ปีที่แล้ว

    Nakushukuru sana Joel kila siku unazidi junifanya jasiri bila ya kukata tamaa Mungu akubariki uzidi kutupa elimu

  • @kimono5812
    @kimono5812 5 ปีที่แล้ว +3

    I'm so happy i found your channel over a month ago. Najifunza kiswahili. Naelewa alittle bit lakini I still get the main points. Your points are delivered well. You are doing great. Keep uplifting Tanzanians!! Upload weekly please!! Great work! Kazi nzuri sana kaka

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +2

      Thanks for encouraging words,I will keep it going.Help me to spread and share

    • @kimono5812
      @kimono5812 5 ปีที่แล้ว +2

      @@joelnanauka yes I shared your video already and will continue to do so.two things will grow your audience fast
      1. Consistently uploading videos- you've been uploading daily now which is great.do a minimum of once a week.
      2) good lighting.
      3) engaging with your audience- you are already good at this since you reply to moments.
      Make sure you record in daylight next to a dirisha so that you have good lighting or buy lighting equipment from online. Ring lights are really good if you are recording during the night.
      You are doing amazing. Great work kaka.

  • @theresiabukuku9821
    @theresiabukuku9821 5 ปีที่แล้ว +8

    Asante sana kaka,umenipa nguvu ya kwendelea mbele,God bless you

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Theresia Bukuku karibu sana Theresia nakutakia mafanikio ,hakuna kukata tamaa

    • @theresiabukuku9821
      @theresiabukuku9821 5 ปีที่แล้ว

      @@joelnanauka Asante kaka

  • @gladmboya2385
    @gladmboya2385 5 ปีที่แล้ว +7

    Asante bro leo nafungua ukurasa mpyaa

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      Glad Mboya safi sana glad,anza upya 👏👏👏👏

  • @mosessteward6481
    @mosessteward6481 5 ปีที่แล้ว +4

    Asante sana kaka nakkubali mpaka sasa nishaanza kupiga hatua ktk maisha yangu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      Nashukuru sana pamoja sana

  • @jescakabogo730
    @jescakabogo730 5 ปีที่แล้ว

    Nikupongeze kwa kazi nzuri, mafundisho yako ni mazuri.

  • @augustinodede7245
    @augustinodede7245 4 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana kwa masomo yako mazuri katika life choises

  • @erickwilbard6457
    @erickwilbard6457 8 หลายเดือนก่อน

    Nimefurahi sana kwa elimu yakk kiukwel toka nikufatilie nafurahia mabadiliko ambayo tuali nimeanza kuyaona asateh sana

  • @claraprosper8642
    @claraprosper8642 5 ปีที่แล้ว

    Asante...Umenifundisha mambo mengi hapo 1. Kuwa malalamiko ni fursa kwa wengine,mana tunapolalamika tunatoa faida/wazo la wengine kufanyia kazi.
    2.kujifunza kupitia changamoto ili kuwa bora zaidi.
    3.kutokukata tamaa.

  • @zahranynassoro6171
    @zahranynassoro6171 5 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana hujawahi kukosea nilianza kukufatilia Tangu siku ile tulipokutana katika event ya wajasiriamali iliyofanywa na TYCC ahsnte bt mm kama mwanao nahitaj kuanza biashara lkn sijui soko likoje la ✌ viungo vya chai na chakula

  • @charlzzesonconsciousness6685
    @charlzzesonconsciousness6685 5 ปีที่แล้ว +2

    See you at the top

  • @judithwambura9234
    @judithwambura9234 5 ปีที่แล้ว

    Many thanks to kaka Joel Nanauka now nazingatia mafundisho yako and naona tofauti ya mienendo yangu ya nyuma na sasa

  • @shijamorris8280
    @shijamorris8280 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka kwa hii hatua kwani ilishawahi nikuta nilikaa mwenyewe sitaki kabisa kukaa karibu lkn nilipochua hatua now najiona napiga hatua

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 3 ปีที่แล้ว

    Asante sana mungu akubariki

  • @mwakasimba9982
    @mwakasimba9982 5 ปีที่แล้ว +3

    Unanifungua sana kaka yng sijutii mb zngu barikiwa sana

  • @necoonlinetv8200
    @necoonlinetv8200 2 ปีที่แล้ว

    Asante, Ubarikiwe. Natamani kuanza upya

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 3 ปีที่แล้ว

    Daima mr mi video zako ninazo kama 300 na zimenisaidia sana I wish nimeamini matatizo yetu ndio sehemu yetu yakwanza yakujivunia

  • @adow9musictz931
    @adow9musictz931 5 ปีที่แล้ว +1

    asante sana brother sababu umeweza kuiamsha akili yangu na kuendelea mbele

  • @ephraimmalongo1994
    @ephraimmalongo1994 5 ปีที่แล้ว +1

    ahsante kwa maneno yenye nguvu ambayo ni dawa kwetu.

  • @veronapaul2407
    @veronapaul2407 5 ปีที่แล้ว

    Mimi nilifeli mtihani wa chuo kuingia semester ya pili nilikata tamaa kusoma na mamb mengi tena nifeli kuyaendesha kisa kufeli. Sasa nimejifunza mengi na ni amini nitatoka Mimi kama Mimi naanz upya. Tena Ahsante ujumbe mzuri sana

  • @sadick-sebastian4052
    @sadick-sebastian4052 5 ปีที่แล้ว +2

    Asanteeee Kaka Joel kwa ujumbe mzuri, Mungu akubarikii,,

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Sadick- FOUNDER TIEDF Ameen Sadick nashukuru sana let’s keep on sharing

  • @jamilajuma8334
    @jamilajuma8334 5 ปีที่แล้ว

    nimetabasamu baada ya hii video. asante

  • @dmoetz2835
    @dmoetz2835 5 ปีที่แล้ว +4

    Bro nakufatilia vingi unavyo viongea vipo katika maisha yangu kweli nimefeli ila nimekubali kuwa nimefeli acha nibambane

    • @fundieddy3490
      @fundieddy3490 5 ปีที่แล้ว

      Asante sana. Hili somo huwa ninalisoma kila siku.

  • @marcopeter4091
    @marcopeter4091 ปีที่แล้ว

    Asante sana

  • @pazetv5639
    @pazetv5639 2 ปีที่แล้ว

    Thanks a lot for the session! !

  • @raphaeltemba9306
    @raphaeltemba9306 5 ปีที่แล้ว

    Vizuri saana na umenifungua macho ningeomba pia kaka unielekeze namna ya kufanya presentation ya kibiashara

  • @andreyfesto4900
    @andreyfesto4900 5 ปีที่แล้ว +2

    Acceptance of situation iz the first stage of solvng pronlemz

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Andrey Festo kabisaaa

  • @veronapaul2407
    @veronapaul2407 5 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana brother Joel nimejifunza mengi sana kwenye hii maada

  • @Udindigwa
    @Udindigwa ปีที่แล้ว

    Amina

  • @annshort4074
    @annshort4074 3 ปีที่แล้ว

    good morning mr joel hiyo ndio changamoto ninayo ipitia sasa kazi zangu nilikuwa nafanya vizuri ila kipindi hiki mambo sio mazuri

  • @Maulidfundi
    @Maulidfundi 5 ปีที่แล้ว +1

    Napo fer mm, napotaka kupiga atua,,,, ya kumiliki biashala yangu,,,najikuta nabaki palepale,,,2 mipango aitimiiii

  • @omarmkoi9590
    @omarmkoi9590 5 ปีที่แล้ว +1

    Thanks for your advice bro much love to you, God bless you

  • @herimailo8183
    @herimailo8183 ปีที่แล้ว

    Brother asante nimefanikiwa kutumia njia hizi naendelea na maisha ya furaha sasa

  • @evvajohn5748
    @evvajohn5748 5 ปีที่แล้ว +1

    umezingatiwa br

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 5 ปีที่แล้ว +3

    Ahsante kaka

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      Khadija Juma karibu sana Khadija,See You At The Top

    • @babramakungu2692
      @babramakungu2692 5 ปีที่แล้ว

      Ahsante kaka umeniponya moyo

  • @wilfredcasmir2511
    @wilfredcasmir2511 5 ปีที่แล้ว +2

    Asante brother

  • @renatuskachwele7174
    @renatuskachwele7174 5 ปีที่แล้ว

    If you want to be successful faster, you must double your rate of failure. Success lies on the far side of failure.

  • @emmanuelamkinga7828
    @emmanuelamkinga7828 2 ปีที่แล้ว

    habari yako brother joel naitwa emmanuela ni binti mwenye miaka ishirini na mbili kiukweli nimefika sehemu sujui nifanyaje natamani kuwa mwandishi wa habari lakini napigwa vita kubwa sana na wazazi ndugu hata majirani naomba ushauri wako wanasema huko hakuna ajira na pesa ni ndogo ila ndani yangu hilo ni jambo kililopo wengi wanasema nikasomee biashara

  • @salehussi3650
    @salehussi3650 5 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwakunpa nguvu zakusonga mbele

  • @dr.eddygirik5646
    @dr.eddygirik5646 5 ปีที่แล้ว +1

    Nmeelewa saana mkuu

  • @Mwamba67
    @Mwamba67 5 ปีที่แล้ว +1

    Hii ni zaidi ya protini...!!

  • @cainewilliam5236
    @cainewilliam5236 5 ปีที่แล้ว +2

    Sounds good.

  • @science_fact93
    @science_fact93 5 ปีที่แล้ว +3

    Fact bro

  • @getrudandabita1651
    @getrudandabita1651 5 ปีที่แล้ว

    naona nimefeli baada ya kuingia kwenye ndoa,, tofauti na nilivyokuwa single,,, mambo yalikuwa yamefunguka,, ila nilivyoingia tu kwenye ndoa hadi sasa nikitendawili na changamoto hizi,,, niko katika wakati mgumu

  • @ramadhanijuma8340
    @ramadhanijuma8340 5 ปีที่แล้ว +2

    Nasumbuliwa sana na issue 2
    1.ku accept fail and own its..

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      Rama Shemliwa itabidi uzifanyie kazi mapema ili usibakie kwneye tatizo kwa Muda mrefu zaidi

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 5 ปีที่แล้ว

    Allah akuzidishie afya đúņíæñ ñâ áķhęřā

  • @faustakanyambo7823
    @faustakanyambo7823 5 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka I really blessed by U lessons

  • @saidkhamis9380
    @saidkhamis9380 4 ปีที่แล้ว

    Thanks

  • @henrikomsenga8081
    @henrikomsenga8081 5 ปีที่แล้ว

    umenitia nguvu sana kaka,, niliende interview nikafeli nikaona kama Hakuna tena malango mwingine tena wakutokea lakini kumbe kufeli ni tukio sio Mimi.... hakika nainuka tenAa

  • @salehalisaleh7685
    @salehalisaleh7685 5 ปีที่แล้ว +2

    Nimejifunza kitu hapo,big up bro

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Salehali Saleh thanks pamoja sna

    • @headoffice3221
      @headoffice3221 4 ปีที่แล้ว

      Dear Brother Joel:
      Kindly just wanted to let you know that your video really changed, and they keep changing my life everyday.
      My name is Amiri Mnyoti. I do run a door to door direct sales company in multiple locations in Zambia.
      As a leader in the organisation my job is to recruit people train them to be good sales representative in the field....in to good team leaders leading other new sales representative in to good sales manager managing branches which recruits new people.
      By so doing I always have to be a teacher as well as a student of the business.
      I have been in the business for about 17 years now I'm happy and I love what I do.
      Your channel has been like my mother board. It real helpful for me.
      I just wants to say thanks a million times.
      And need more of personal training from you.
      Your prompt reply will highly be appreciated.
      My contacts: +2609659000062
      Same no# WhatsApp & WeChat.

  • @godlovemakule8151
    @godlovemakule8151 3 ปีที่แล้ว

    Nashukuru, sana kaka

  • @hafsacletty1519
    @hafsacletty1519 5 ปีที่แล้ว

    Shukran

  • @paschalgoodman4088
    @paschalgoodman4088 5 ปีที่แล้ว

    NAOMBA MUNGU AKUONGEZEE KUKUTUMIA ZAIDI NA ZAIDI , MY COACHER

  • @deborahkhan4868
    @deborahkhan4868 5 ปีที่แล้ว

    Nice asante

  • @paulinahugolini159
    @paulinahugolini159 5 ปีที่แล้ว +2

    thanks broo

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      paulina Hugolini karibu sana,pamoja

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 5 ปีที่แล้ว +1

    Fact my

  • @Salehabdallah-cu7kh
    @Salehabdallah-cu7kh ปีที่แล้ว

    Nice

  • @godfreynollo811
    @godfreynollo811 5 ปีที่แล้ว +1

    Ahsant san bro God bless u

  • @believeinyourself9576
    @believeinyourself9576 5 ปีที่แล้ว +1

    God bless you bro, much respect

  • @uwingeneyeshadia7697
    @uwingeneyeshadia7697 4 ปีที่แล้ว

    Kila nikikuskiliza huwa unanigusa Mungu akubaliki sana my brother🙏

  • @jimsonmgaya7399
    @jimsonmgaya7399 5 ปีที่แล้ว

    kaka npo ughaibun uku
    lakn nimekuwa nikibadilika siku baada ya siku na kuwa mpya zaidi sabab ya kufatilia video zako
    ubarikiwe sana sana

  • @hajimakame7554
    @hajimakame7554 5 ปีที่แล้ว

    nimekuelewaa brzaa

  • @fredyasante1115
    @fredyasante1115 5 ปีที่แล้ว

    asante Sana kaka

  • @saidbaiya9524
    @saidbaiya9524 5 ปีที่แล้ว

    Nataka kitabu brother nitakipataje

  • @majameney3449
    @majameney3449 5 ปีที่แล้ว

    Your amaizing kaka, you feed our brain with such a delicious food. We real appriciate br. Be blessed much

  • @banathdaniel6550
    @banathdaniel6550 5 ปีที่แล้ว

    I appreciated you brother

  • @diyaosman8992
    @diyaosman8992 5 ปีที่แล้ว

    God bless you

  • @asyamaulidi7857
    @asyamaulidi7857 5 ปีที่แล้ว

    Nothing to tell you my brother Joel
    Allah bless you and your family

  • @rizikifumao3685
    @rizikifumao3685 5 ปีที่แล้ว

    Asante kaka,but naomba kuuliza nawezaje kupata nafasi ya kuwa mwanafunzi wako ktk darasa lako privacy.

  • @freytone
    @freytone ปีที่แล้ว

    🙏🙏🙏 brother

  • @sweetbertmbowe3284
    @sweetbertmbowe3284 5 ปีที่แล้ว

    Be blessed brother

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 5 ปีที่แล้ว

    safi mnoo

  • @halfanimuruwa3826
    @halfanimuruwa3826 5 ปีที่แล้ว

    Barikiwa brother

  • @estajustinian5585
    @estajustinian5585 3 ปีที่แล้ว

    Mm nahitaji kujifunza zaidi

  • @barakaalex2719
    @barakaalex2719 3 ปีที่แล้ว

    Joel naomba unifundishe namna ya kuanza maisha ya kujitegemea please nimechokaa kukaa nyumbani

  • @fahamumshitu4712
    @fahamumshitu4712 5 ปีที่แล้ว

    👂👏

  • @magretymabuga2987
    @magretymabuga2987 5 ปีที่แล้ว

    Hapo kwenye haraka na watu ninakuwa nao karibu
    KAKA, MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว

    🙌😍

  • @marcodaudi9445
    @marcodaudi9445 5 ปีที่แล้ว

    bro unanipa chakula cha ubongo..... yan unanifanya nikufatilie sana kila mda

  • @mikikimikikitv6376
    @mikikimikikitv6376 11 หลายเดือนก่อน

    Haya mafunzo yamenifaa

  • @hasanimavula5570
    @hasanimavula5570 3 ปีที่แล้ว

    Nataman niion clip yako ya Kwanza kabsaaaa

  • @mussajoshua8118
    @mussajoshua8118 5 ปีที่แล้ว

    Unayoeleza bro yameshanitokea nili fail nikawa mtu wakukaa nyumbani

  • @mahmoudmabrouk4747
    @mahmoudmabrouk4747 5 ปีที่แล้ว

    Samo zuri bro