Mbunge Heche, Polisi wavutana baada ya kuripoti Polisi Sirari na Tarime Rorya
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ก.ย. 2024
- Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche ameripoti Kituo cha Polisi Sirari na baadaye kuelekezwa kwenda Mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya na kuambiwa Wilaya ya Kipolisi Tarime Mjini Kisha kurudishwa mkoani...bado anaendelea kuhojiwa Polisi...
Wanaumeeee! Nimewapenda sana hapo rorya! Big up sana! Hapana kuogopa mitutu,askari jiheshimuni
Tarime huko duuuu ni nomaaaaa!!!!! Safi Ayo upo vzr broo
makabira makari kuliko mengine
kweli huko kunavidume vya shoka
Jeshi la polisi linafanya makosa makubwa sana kuacha kusimamia sheria na kujiingiza kwenye Siasa kwa ajili ya kufukuzia vyeo jeshi polisi limepoteza uweledi wake kabisa
Ama kweli mnalichezea jeshi letu mmelipanda kichwani
hamisi m zuberi
Kama ulikuwa upendezwi na wanachokifanya polisi mbona Jana ukujitokeza kupinga
Acha unafiki wewe mnapenda sana malalamiko afu mkiitwa kwenye movement amuendi
Kweli
huku siyo kuwakomesha wapinzani ila ni kuwapaisha kisiasa.
hawa watu wa tarime dah wamepinda sana
saleh salum 😂😂😂😂
najivunia kuzaliwa tarime. hapa ni wanaume tuu
aaaah watani wngu
Safiii Mh Heche
chadema tuige uwezo wa john heche nikamanda shujaa kama tundu lissu nawapenda viongozi wangu kwakasiihio ccm tutaitoa pale beach fery
Bona kweli lema ww kweli hujutambui toka tumeanza kujipa matumaini ya kuchukuwa nchi ni Leo ? Kwa hilo tujipe matumaini tu.
Kwa kweli......
Kanda maalumu hyo
Haya mambo yanaumiza sana
Yaani na mm ningezaliwa Mara ingekuwa bora sana yaani huku ninakoishi maoga yote
Tarime safi sana yaani mnamsimamo kama uku kwetu mbeya %%
Hii ndo serikali ya wanyonge
serikali makini utumia busara bali, kinyume chake ni kuleta maafa jambo hili si zuri Mh Raisi badili staili ya kuongoza nchi
nan kakudanganya! wenye akili tunakijua na kukubali anachofanya rais.
Malary Hillary
Mbona jana hukujitokeza kwenye movement kupinga hili acha unafiki waache polisi wafanye kazi yao
Malary Hillary msenge wewe usimuhusishe Rais na jambo linalofanyiwa uchunguzi, acha ufala kwani kwenye huo ugomvi Rais alikuwepo? acha watu wa ulinzi na usalama wafanye kazi yao kosa la mtu mmoja haliwezi kulifanya jeshi zima la police kuonekana alifanyi kazi kiuadilifu.
😀😀 umetumwa kumuuwa mweshimiwa😀😀😀😀😂
Hamjachoka kuwapakazia
kuna watu wamechoka tayar na uesnge wa inchi hii
serikali iliangalie hili itumie busara lakini ikitumia nguvu watu watapoteza maisha sana maana wakurya wakipanda hawashuki
John Matiku eneheh
nimegundua tarime hawawezi kuinunua kuna vidume wa shoka
haswaa
Watu wa mara mnajielewa sana
😁😁😁😁😁😁 hiyo lugha nilioisikia Ni cha wap?👊
I'm street boy from afriganistan ila hawa jamaa wanatisha
Pole sana heche mungu yupo nawe
Hii ndio mara
Asante kamanda wewe ni mpiganaj
Ksbla ya 2015 chadema tulikuwa vizuri
millad unazingua bro mbna unakata baadh ya matukio
Steven Yusuph ,huyu naye ni Ccm tu
Tarime htr
Tarime ni balaaa
watu wamechoka hawaogop ris wal kufa
Tarime ndo sisi ufala tulikataa zamani
Hii serikali ya awamu ya tano dhu!!! Ni kiboko kweli
ugumu ugumu, tarime co wa2 w mchezo
Yan sasahiv Raisi wetu Magufuli ndio anatufanya tunajitambua na nyie Jeshi la polisi jipangeni vzr maana wananchi wanazidi kutoka gizani na kujua haki zao kwahiyo mjiandae Sana kipindi kile hela ilikua inazima ukweli sasahv mambo ni Bam bam Hakuna pesa na nilazima haki itendeke tukimpa tena hii 5 ndio mtazidi kuwaelewa wananchi vzr
Aiseee
Tarime nawapenda sana makamanda
Daaa noma xana wanaume wakweli sikuzote unatakiwa uxiogope polisi muogope MUNGU2
Iyo tumbo iyooo
Wakurya atariii
heche ungemkata ngumi moja kwanza
wote wanatafuta vyeo
Mungu awatie nguvu
safiii sanaaaa tarimee
Ulivumilia kamanda
Aibu polisi tz
We know where we're coming from but we don't where we're going.
Ajaliya ndege Tanzania ilitokea mwezi gani
tz wote tungekua hiv nchi ingekua na adabu
Wangapi wamesikia eti iyo tumbo
daaaaaaaah ama kweli pasua kichwa
Heche..... 💪
Wansiasa wote wangekua j heche basi ccm nkoloni mweus atangogoka
wanaume tupo Tanzania mzima ila vidume vya shoka wapo tarime
Chilomba Chilo hahahah kabisaaa huko ndo wanaume wapo i wish ht bashite wamuhamishie huko yan watamnyoosha
+Jackline Saxtus bashite anaigiaje hapo! pombe tupu.
ujinga mtupu!
Chilomba Chilo hahahahahahaha 😂😂😂😂
Chilomba Chilo tumekusikia wakike
Polisi Wa Tanzania Ongereni sana tena sana Kwa kazi nzuri mnayo ifanya na mzidi kuwanyoosha wote wananchi.
Wa Tanzania wanapenda sana malalamiko msiwasikilize.
Mkundu kweli ww
Fala sana wewe
itakuwa una liwa tako wewe sio bule na mm nitaanza kukushugulikia wewe
Hakika kubwa watauwa wangapi
tarime mi nawakubali
Jaman daaa Sjui tunaeda wap
🎉🎉🎉🎉
Makurya siwaweziiiii
Nakukubali msh
Mungu yupo ipo ck yatawageukia haya wanaotufanyia ccm upo mwishiwake
Hawa ndo wanaume wamara
tanzania tanzania😭😭😭😭 da! ama kweli m afrika akipewa bunduki anajion yeye anaweza kufanya chochote kwaajili ya masilahi yake
Kweli unaingia tarime
Nikotayari nife kwaajili ya imani ya diniyangu ila siyo kwaajili ya siasa ni ujinga mkubwa.
Najivunia kutokea mkoa wa Mara sisi ni wamura hatuogopi risasi
huna lolote
fala kweli wewe...
Uogopi risasi inayotoka kwa askari wa polisi mbona kinonke alitetemesha tarime mpaka watu wakawa wanalala saa 12 vidume ndo wakawa wanatamba acha zarau risasi we isikie kwa mwenzio
Waliofeli wengi wanaenda kujiunga na jeshi la police unategemea nini
Uyo police kamata weka ndan
heche awe mwenyekiti wa chadema itanoga sana heche ni mwanaume namkubali sana
Vita muraaa
Aki wanaume Wote tuwe wakurya hatuta letewa ujinga na ccm wala polisi kutuonea bila sababu
nataman namm ningezaliwa kwa wanaume wa shoka tarime
Makubwa vidume tarime risasi kitu gani atuogopi risasi mula
saf sana huo ndo uanaume
Uwiii murah! Amang'ana gasarekere
Pongezi kwa Heche ana msimamo sana
Vita ni vita mura
Hao ndiyo wanaume
Ibrahim Pius wewe ni mwanamke au?
+Chrispini Beno hahaha
+Chrispini Beno Fala wewe nani mwanamke una comment kama umekatwa kichwa pumbavu au ww punga nini
Ibrahim Pius sasa matusi ya nini ndugu yangu, wakati ww mwenyewe umewasifia ina maana ww huna sifa za kuitwa mwanaume, thats why nimekuuliza ww ni mwanamke??😂😂😂
Trip hii ukibwaga mboga tunamwaga ugali
hawa ndio wanaumoja piga mwizi wa kisiasa uyo
✌
duh
wanaume halisi wapo Tarime mkoa Wa Mara tu
Robert Junior umeona eeee
Miaka hii polisi mnawaonaje chadema?
😳
Ila inatia uchungu jaman
Kumbe hawa ndo wanaume wa dar wanaotukana wanaume wa Dar? Kurareki.. Mura ana mikwara.
Ukizumbaa unaonewa ukijihami wanakuogopa kikubwa n kujikubali mwenyewe kwnza
Hakuna haki nchi hii
Haya ni madhara ya uchochezi,,inamaana police miaka yote huwa hawatembei na bunduki,ulimbukikeni wa chadema,,mtaishia hivyo hivyo IKULU hamtaisogelea.
Tumechoka
Alafu watu wanajifanya kupenda ccm..nashangaa Sana yan
Nachukua nafasi huu kuviomba vyombo husika kuangalia swala la Democracy upya ndani ya nchi yangu hamtaweza kuwaziba hawa watu midomo mpaka 2020 uvumilivu utawashinda,wataingia barabarani kitu ambacho ni kibaya na niaibu kwa nchi wacheni Uhuru utawale ndani ya nchi yetu yangu ni hayo tu
Kwann watu mnakuwaga hamna hekima
Duu
Lin hii
mtasalenda tuuuu..
Dah kwakweli sipati picha
kwani haunabodigadi nitafute atamm ntawanyooshao asikali atawakiwakumi
Naomba kujua tofauti kati ya maandamano na msafara