HECHE ASIMAMISHA MJI WA SIRARI , AMCHAMBUA WAITARA " SIONI ANASHINDIA WAPI HUYU ,APOKELEWA KISHUJAA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 229

  • @GeraldNyasembe-q2d
    @GeraldNyasembe-q2d 3 หลายเดือนก่อน +16

    Moja ya kipenzi changu Tanzania ❤❤❤❤❤❤ Heche wewe ni mwamba

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mpenzi cha wote huyo. Najifunza mengi sana toka CDM

  • @goodlackriwa6728
    @goodlackriwa6728 3 หลายเดือนก่อน +21

    🎉🎉 Akili kubwa Heche , Kweli ushindii ni wakoo ,

    • @MURLIJuma
      @MURLIJuma 2 หลายเดือนก่อน

      Sasa hao wananchi kwann wasitoe kura kwa heche

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 3 หลายเดือนก่อน +11

    Heche Mungu akubariki sana una uwezo na unakubalika sana.Ee Mungu ibariki nchi yetu iwe na demokrasia safi na tume huru ya uchaguzi itakayotenda haki.

  • @KitokiSospeter
    @KitokiSospeter 2 หลายเดือนก่อน +11

    Mimi nipo Moro,lakini Heche nampenda sana.Anafaa sana mwamba.

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon5928 2 หลายเดือนก่อน +5

    Heche noma nakukubali saaaaana❤

  • @erestizacharia4758
    @erestizacharia4758 3 หลายเดือนก่อน +15

    Dah! Heche si subiri tena mwakani, huko mbali sana ngoja nivunje katiba nachukua fursa ya kukutangaza kuwa mbunge wa sirali kwa nyomi hiyo! Waitara basi bana.

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 3 หลายเดือนก่อน +12

    MashaAllah watu wameitika

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 2 หลายเดือนก่อน +5

    Waitara kayakanyaga, must go

  • @LushidulaJidamawi
    @LushidulaJidamawi 3 หลายเดือนก่อน +12

    Heche nimwafirika muzalendo

  • @EzekielSMapunda
    @EzekielSMapunda 2 หลายเดือนก่อน

    Hongereni

  • @CheniBuya
    @CheniBuya หลายเดือนก่อน

    Mura hongera saana mwaka huu wataisoma namba

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 3 หลายเดือนก่อน +10

    Tumbo tumbo alishalijua hili kitambo sana kuwa hili jimbo sio lake kbs sema plesha inampanda na kushuka anaogopa kulikosa jimbo asubuhi kweupeeee anajua mwanzo alipitishwa bila kupingwa sasaivi hofu imemtanda shubaamiti chezea Tarime wewe Heche ndo wanamuelewa li Waitawara hoi😂😂😂😂🙌

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 หลายเดือนก่อน

      Huyo mbinga wetu wa sàsa Jana turbo!!?? Acha uchawa, kufahamu na jitakafakari.

  • @AishaNdinadyo
    @AishaNdinadyo 3 หลายเดือนก่อน +9

    Hatari kwa ccm

  • @FortinathaMvikule-cm1im
    @FortinathaMvikule-cm1im 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amina Bwana awe upande wako

  • @RutinikiGosbert
    @RutinikiGosbert 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana Heche chuma

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 3 หลายเดือนก่อน +15

    Mtaukamata uraisi natabiri hii. Twendeni pamoja

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Heche

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ukigombea uraisi kurayangu unayo

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mtu makini sana Defense minister wetu 2024-25 John Heche rafi pendwa wangu mtu mvumiluvu sana si msigwa.

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 3 หลายเดือนก่อน +12

    Tata nakukubali mura

  • @ecodreamafrica3060
    @ecodreamafrica3060 2 หลายเดือนก่อน

    Heche John yupp kwenye level ya URAIS siyo ubunge wa Sirari. Unaweza kuwa M/kiti wa Taifa CHADEMA na mambo yakaendelea. Ni mashine.

  • @DjJohnBashir-oy7cx
    @DjJohnBashir-oy7cx 2 หลายเดือนก่อน +2

    Heche kichwa cha Sirari nakuelewaga kaka Heche

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 หลายเดือนก่อน

    Halima Mdee tunamsubiri jimboni kwake Kawe,Chadema msimpoteze Halima na Ester Bulaya.

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 3 หลายเดือนก่อน +8

    SEMA HUWA NAKUELEWA SANA MWAMBA

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa kichwa sana huwa nafurahiaga sana uwepo wake

  • @ChileDaud
    @ChileDaud 19 วันที่ผ่านมา

    Pamoja john

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 3 หลายเดือนก่อน +11

    Sirali hoyee

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 2 หลายเดือนก่อน +1

    Chadema imejiandaa kuchukua nchi.ina ahadi za kweli.walimu,mapolisi na wananchi wote watafaidika na matunda ya serikali

  • @Stephenmangera
    @Stephenmangera 22 วันที่ผ่านมา

    Nimeona huyu mwaba akiomba urais watanzania wanampa wote hadi wengi walio CCM watampa sana

  • @HenryCastuli-jz3cx
    @HenryCastuli-jz3cx 3 หลายเดือนก่อน +6

    Heche hongera pambana sana wananchi wako wanakuelewa

  • @agnessmgimba9131
    @agnessmgimba9131 หลายเดือนก่อน

    Nipo Tanga huyu jamaa Simu yangu imejaa speach zake ni mwamba kweli kweli anafaa kuwa kiongozi milele

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 หลายเดือนก่อน

    Kama mlivyohudhuria mkutano wa Heche,jiandikishe na mjitokeze kupiga kura.

  • @furaha7154
    @furaha7154 3 หลายเดือนก่อน +3

    Saf sana heche

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 2 หลายเดือนก่อน

    big brain mmi heri niweke chadema sio hi kijani inatuchelewesha😊

  • @mc_turuka
    @mc_turuka 2 หลายเดือนก่อน

    MH. RAIS AJAYE.
    MUNGU IBARIKI KAULI HII🙏

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon5928 2 หลายเดือนก่อน +1

    Heche I love you

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 3 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera mwamba heche upo vizuri

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 2 หลายเดือนก่อน

    wameamuka asante heche

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mh, Heche Mungu asimama na wewe baba ili mweza kututowa katika lindi hili kubwa la umasikini uliokidhili

  • @alexmnogi1822
    @alexmnogi1822 3 หลายเดือนก่อน +8

    Sjawah kujutia uwezo wako mkubwa brooo...nataman hata uwe kiongoz wa taifa hili skumoja ...akili kubwa sna 🎉

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ningeweza ccm wote unadumbukiza kwenye shimo tunaanza upwyaaaaa wanachosha aseeew

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 หลายเดือนก่อน

      Bila bado la mkono hawatoboi hata siku moja
      Wamezoea kuiba tu

    • @jaffaralimakame1533
      @jaffaralimakame1533 หลายเดือนก่อน

      ANZA WEWE KUTUMBUKIZA MKUNDU WAKO KWA MBWA MWENZIO UKOME KAMA ULIVO KOMA LA MAMAAKO.

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 3 หลายเดือนก่อน +5

    ❤❤❤❤❤ mkomboz wetu

  • @KonkaJumaa
    @KonkaJumaa หลายเดือนก่อน

    Hapo ccm isahaiu Jimbo letu

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 หลายเดือนก่อน

    Heche,hacha kumponda Waitara Amelia bungeni sio kazi nyepesi tumpongeze kwa hilo.

  • @barakanyanchama4297
    @barakanyanchama4297 2 หลายเดือนก่อน +1

    Weitara arienda kusaini barua komarera wanaichi wakabomolewa miji ety anasema nitegesha hatumtaki waitara tarime hatabure aende kurima usukumani mupanga

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pamoja

  • @MustaphaSeleman-z7c
    @MustaphaSeleman-z7c หลายเดือนก่อน

    Uyo jamaa kanyooka sana km unaangalia bunge lazm umuelew

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 หลายเดือนก่อน +2

    🎉

  • @NancyMatuli-fb5jp
    @NancyMatuli-fb5jp 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akusaidue heche wewe ndo mtetezi wao

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 หลายเดือนก่อน +1

    Heche unastaili kuwa hata raisi wa Tanganyika kwa sababu nawafahamu wewe unasema kilicho moyoni hujifanyi kama Waitara.

  • @DjJohnBashir-oy7cx
    @DjJohnBashir-oy7cx 2 หลายเดือนก่อน +2

    Heche Huwa nakuelewaga sana hasa kwenye hoja ukiwa bungeni

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 3 หลายเดือนก่อน +9

    Nyomiiiiii hatari

    • @danielkanso
      @danielkanso 2 หลายเดือนก่อน

      Umeona ee kuna mkutano ilifanyika hapa dar es salaam wa chama cha kijani tulichokuwa tunaulizana magari yalikuwa yame jaza watoto je yanaenda wapi watu wengine wakajibu leo kuna mkutano wa watu wa kijani duu

  • @PauloLoota
    @PauloLoota 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tuko pamoja mpaka tone la mwisho baba heche

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 หลายเดือนก่อน +12

    Tanzania nzima tujaribu wengine tuone watawezeshaje nchi na Rasilimali zetu kabla hatujachelewa .Tusiwe wajinga wa kuendelea

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 3 หลายเดือนก่อน +1

      Rasilimali zinaenda kuisha. Maskini Tanzania mtakuwa mgeni wa nani???

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 หลายเดือนก่อน

      @@adelinelyaruu3036 Na bado watu wamelala fofofo hata hawaoneshi dalili ya kuamka.

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ni huzuni raslimali zinayeyuka

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 3 หลายเดือนก่อน +6

    Kweli Heche ameshinikana Tarime😂😂🙌

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 3 หลายเดือนก่อน +4

    Heche noma

  • @lgf7297
    @lgf7297 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmmmhhhhh ipo kazi

  • @AlphaMagomba
    @AlphaMagomba 2 หลายเดือนก่อน

    Ninakuelewa sana kwa hoja zako ,lakini watanzania wachache ni wangumu wa kuelewa, HECHE chapa kazi

  • @TitoChungu
    @TitoChungu 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤Kaz juu yakazi

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nikweli mjini umesimama

  • @ElibarikiMbando
    @ElibarikiMbando หลายเดือนก่อน

    heche nakuombea urudi parliament

  • @MwitaJohanisi
    @MwitaJohanisi 2 หลายเดือนก่อน

    Nakupata saana mwamba nipo mpanda allakini nguchande teme ikulla mulaa

  • @PauloLoota
    @PauloLoota 2 หลายเดือนก่อน +1

    ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 2 หลายเดือนก่อน

    Ccm.mama.abduli.mjipange.nchi.emeeda.hii.imendaaaaaaa

  • @Deoathanasmbongo
    @Deoathanasmbongo 2 หลายเดือนก่อน

    Heche we wakuigwa hasa ujasili

  • @eunicemacha8497
    @eunicemacha8497 หลายเดือนก่อน

    Kichwa madini matupu 😅

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 3 หลายเดือนก่อน +4

    Kelele ya kwanza kwa heche yakeee

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 3 หลายเดือนก่อน +9

    WAITARA KAZI ANAYO MMMMMH

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 3 หลายเดือนก่อน +3

      Sio ndogo sasaivi plesha inampanda nakushuka kama atapitishwa bila kupingwa sawa lkn hapo atapigwa kura nyingi sanaaaa😂😂

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 หลายเดือนก่อน

      Atakoma. Barbara ya Nyamongo ni mbovu sana

  • @fulgenceoswald3866
    @fulgenceoswald3866 3 หลายเดือนก่อน +3

    🔥🔥🔥🔥

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im 2 หลายเดือนก่อน

    Heche ni mwamba

  • @danielkanso
    @danielkanso 2 หลายเดือนก่อน

    Hii imekaa sawa hivi ni Heche mwenyewe au maana juzi niliona madudu mahali watoto wanasombwa na coaster wakipelekwa kwenye mkutano wa kijani ili kujaza uwanja heche tuambie bwana hapo umepigaje

  • @ElibarikiMbando
    @ElibarikiMbando 2 หลายเดือนก่อน

    nakuombea sana heche urudi mjengoni

  • @SylvesterMakenzie
    @SylvesterMakenzie 2 หลายเดือนก่อน

    Bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi wanachadema wezangu CCM hatuwezi kuwashinda kwenye sanduku la kura hata wao wanalijuwa gori la mkono kwao lefa anaweka mpira Kati sasa hapo ss wananchi tufanyeje

  • @chaba_boy_tz7287
    @chaba_boy_tz7287 2 หลายเดือนก่อน +1

    Heche mungu azidi kukupa nguvu na afya tele

  • @IssackJoseph-w2h
    @IssackJoseph-w2h 2 หลายเดือนก่อน

    Mmmmmh, Sasa hiyo tarime ingekuwa ndio nchi ya Tanzania wananchi wangekuwa na maisha gani? Huwezi kufananisha nchi inayolingana na mkoa mmoja

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mmmh unaweza kaka

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 2 หลายเดือนก่อน

    Heko kamanda Heche!!

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 2 หลายเดือนก่อน

    Nimefurahi sana sijawahi furahi kiasi hiki Heche tupo pamoja ccm ni mapumbavu wote mambwa

  • @paulojohn9608
    @paulojohn9608 3 หลายเดือนก่อน

    huyu ndo heche mnamkubali sana

  • @barakanyanchama4297
    @barakanyanchama4297 2 หลายเดือนก่อน

    Heche 2025 ninuru yasirari tarime wana sirari msije mkamuangusha

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nakumbuka mbunge Waitara aliwahi kulia bungeni na kwa vyombo vya habari akitetea wananchi wake kuhusu mgogoro wa mipaka/ardhi kwa wananchi wake. Nilisimama nikampa saluti. Na nikamuorodhesha kwenye ile orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi duniani kanda ya tanzania. Mara wakati wa sakata la uuzwaji wa bandari zetu, mbunge Heche akaanza kwa kutoka povu kwa uchawa, kama vile haitoshi papo hapo akalia kilio kikali kutetea uuzwaji wa bandari zetu na akamalizia kwa jasho jingi akisema, "naunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu!" Balaa! Papo bapo nikamtoa kwenye ile orodha yangu ya wanamapinduzi na sasahivi ananing'nia katika orodha ya wapinga mapinduzi!

    • @raymondnlelwa427
      @raymondnlelwa427 3 หลายเดือนก่อน

      Ila huu ujumbe wako Kuna mahali umemtaja Heche wakati ulitakiwa umseme Waitara. Hebu cheki!!

    • @stewartdyamvunye-wz6rn
      @stewartdyamvunye-wz6rn 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa Raymond. Na asante sana kwa kuona kuteleza kwangu na kutafsiri vizuri kabisa kwamba badala ya kumtaja Waitara katika comment yangu nikamtaja Comrade Heche. Nasahihisha. Pale nilipomtaja Heche katika comment yangu futa jina Heche weka Waitara mbunge. Na ninaomba radhi kwa usumbufu unaoweza kuwa umejitokeza kwa wafuatiliaji/wanamtamdao comments na pia kwa comrade Heche. Nasema, Comde Heche yupo orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi na mbunge Waitara ndiye aliyetoa povu na jasho bungeni kuunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu. Na palepale nami nikamtoa kundi la wanamapinduzi na kwa sasa ananing'inia katika orodha ya wapinga mapinduzi kanda ya Tanzania ikiongozwa (top on the list) braza mkubwa kabisa mhe. Steave Wasira.

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 หลายเดือนก่อน

      Imekula kwake

  • @msafiriamani1824
    @msafiriamani1824 2 หลายเดือนก่อน

    Mm nipo kusini lakini heche nakuamini sana ww mtu na nusu unafaa hata kuwa kurithi kiti mueshimiwa mbowe

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli Mwenye kibali ni Kama jua la asubuhi popote

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee 2 หลายเดือนก่อน

    Kutoka Arusha hapa... Heche ni akili Kubwa

  • @ElibarikiMbando
    @ElibarikiMbando หลายเดือนก่อน

    heche na waitara ni trial within trial

  • @admaumsengi4230
    @admaumsengi4230 3 หลายเดือนก่อน +1

    Chuma hicho

  • @wirangamochemba7063
    @wirangamochemba7063 2 หลายเดือนก่อน +2

    Niko wilaya jirani serengeti ila kama itawezekana nitajiandikishia tarime heche ni mwanga wa tanzania Mungu akushikilie

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo Mbowe hayupo, lakini jamaa kajaza nyomi

  • @pastorybahinyuye4876
    @pastorybahinyuye4876 2 หลายเดือนก่อน

    Heche anafaa kuwa hata Rais

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 3 หลายเดือนก่อน +1

    Waitara ludi ubungo Mama hakusaidiii Magufuli aliwasaidia ludi Dar

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 2 หลายเดือนก่อน

    Waitara ni mama wa ccm mpumbavu mmoja hivi anaeloalia hovyo

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 2 หลายเดือนก่อน

    naku penda sana eche mwamba

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali sana mkuu sijawahi pitwa na klip zako

  • @ObediKinkusha-gq8fw
    @ObediKinkusha-gq8fw 2 หลายเดือนก่อน

    Cvm waibe kura tu kama kawaida yao ila mbunge ni heche

  • @LucasKagoma
    @LucasKagoma 2 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wa ccm wamewekeza kwenye hospitali za selikali wanafanya biashara za dawa kuwaumiza watanzania

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 2 หลายเดือนก่อน

    Tutawapiga mawe hao maccm majinga

  • @HassanMshamu
    @HassanMshamu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pambana mwamba

  • @jaccobojaccobo748
    @jaccobojaccobo748 2 หลายเดือนก่อน

    Iv waitara Kona hii?

  • @SaidiMohamedi-n2u
    @SaidiMohamedi-n2u 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mchimbi mpe huyu