Dah! Heche si subiri tena mwakani, huko mbali sana ngoja nivunje katiba nachukua fursa ya kukutangaza kuwa mbunge wa sirali kwa nyomi hiyo! Waitara basi bana.
Tumbo tumbo alishalijua hili kitambo sana kuwa hili jimbo sio lake kbs sema plesha inampanda na kushuka anaogopa kulikosa jimbo asubuhi kweupeeee anajua mwanzo alipitishwa bila kupingwa sasaivi hofu imemtanda shubaamiti chezea Tarime wewe Heche ndo wanamuelewa li Waitawara hoi😂😂😂😂🙌
Umeona ee kuna mkutano ilifanyika hapa dar es salaam wa chama cha kijani tulichokuwa tunaulizana magari yalikuwa yame jaza watoto je yanaenda wapi watu wengine wakajibu leo kuna mkutano wa watu wa kijani duu
Hii imekaa sawa hivi ni Heche mwenyewe au maana juzi niliona madudu mahali watoto wanasombwa na coaster wakipelekwa kwenye mkutano wa kijani ili kujaza uwanja heche tuambie bwana hapo umepigaje
Bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi wanachadema wezangu CCM hatuwezi kuwashinda kwenye sanduku la kura hata wao wanalijuwa gori la mkono kwao lefa anaweka mpira Kati sasa hapo ss wananchi tufanyeje
Nakumbuka mbunge Waitara aliwahi kulia bungeni na kwa vyombo vya habari akitetea wananchi wake kuhusu mgogoro wa mipaka/ardhi kwa wananchi wake. Nilisimama nikampa saluti. Na nikamuorodhesha kwenye ile orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi duniani kanda ya tanzania. Mara wakati wa sakata la uuzwaji wa bandari zetu, mbunge Heche akaanza kwa kutoka povu kwa uchawa, kama vile haitoshi papo hapo akalia kilio kikali kutetea uuzwaji wa bandari zetu na akamalizia kwa jasho jingi akisema, "naunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu!" Balaa! Papo bapo nikamtoa kwenye ile orodha yangu ya wanamapinduzi na sasahivi ananing'nia katika orodha ya wapinga mapinduzi!
Kweli kabisa Raymond. Na asante sana kwa kuona kuteleza kwangu na kutafsiri vizuri kabisa kwamba badala ya kumtaja Waitara katika comment yangu nikamtaja Comrade Heche. Nasahihisha. Pale nilipomtaja Heche katika comment yangu futa jina Heche weka Waitara mbunge. Na ninaomba radhi kwa usumbufu unaoweza kuwa umejitokeza kwa wafuatiliaji/wanamtamdao comments na pia kwa comrade Heche. Nasema, Comde Heche yupo orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi na mbunge Waitara ndiye aliyetoa povu na jasho bungeni kuunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu. Na palepale nami nikamtoa kundi la wanamapinduzi na kwa sasa ananing'inia katika orodha ya wapinga mapinduzi kanda ya Tanzania ikiongozwa (top on the list) braza mkubwa kabisa mhe. Steave Wasira.
Moja ya kipenzi changu Tanzania ❤❤❤❤❤❤ Heche wewe ni mwamba
Mpenzi cha wote huyo. Najifunza mengi sana toka CDM
🎉🎉 Akili kubwa Heche , Kweli ushindii ni wakoo ,
Sasa hao wananchi kwann wasitoe kura kwa heche
Heche Mungu akubariki sana una uwezo na unakubalika sana.Ee Mungu ibariki nchi yetu iwe na demokrasia safi na tume huru ya uchaguzi itakayotenda haki.
Mimi nipo Moro,lakini Heche nampenda sana.Anafaa sana mwamba.
Heche noma nakukubali saaaaana❤
Dah! Heche si subiri tena mwakani, huko mbali sana ngoja nivunje katiba nachukua fursa ya kukutangaza kuwa mbunge wa sirali kwa nyomi hiyo! Waitara basi bana.
MashaAllah watu wameitika
Waitara kayakanyaga, must go
Heche nimwafirika muzalendo
Hongereni
Mura hongera saana mwaka huu wataisoma namba
Tumbo tumbo alishalijua hili kitambo sana kuwa hili jimbo sio lake kbs sema plesha inampanda na kushuka anaogopa kulikosa jimbo asubuhi kweupeeee anajua mwanzo alipitishwa bila kupingwa sasaivi hofu imemtanda shubaamiti chezea Tarime wewe Heche ndo wanamuelewa li Waitawara hoi😂😂😂😂🙌
Huyo mbinga wetu wa sàsa Jana turbo!!?? Acha uchawa, kufahamu na jitakafakari.
Hatari kwa ccm
Amina Bwana awe upande wako
Safi sana Heche chuma
Mtaukamata uraisi natabiri hii. Twendeni pamoja
Hongera Heche
Ukigombea uraisi kurayangu unayo
Mtu makini sana Defense minister wetu 2024-25 John Heche rafi pendwa wangu mtu mvumiluvu sana si msigwa.
Tata nakukubali mura
Heche John yupp kwenye level ya URAIS siyo ubunge wa Sirari. Unaweza kuwa M/kiti wa Taifa CHADEMA na mambo yakaendelea. Ni mashine.
Heche kichwa cha Sirari nakuelewaga kaka Heche
Halima Mdee tunamsubiri jimboni kwake Kawe,Chadema msimpoteze Halima na Ester Bulaya.
SEMA HUWA NAKUELEWA SANA MWAMBA
Huyu jamaa kichwa sana huwa nafurahiaga sana uwepo wake
Pamoja john
Sirali hoyee
Chadema imejiandaa kuchukua nchi.ina ahadi za kweli.walimu,mapolisi na wananchi wote watafaidika na matunda ya serikali
Nimeona huyu mwaba akiomba urais watanzania wanampa wote hadi wengi walio CCM watampa sana
Heche hongera pambana sana wananchi wako wanakuelewa
Nipo Tanga huyu jamaa Simu yangu imejaa speach zake ni mwamba kweli kweli anafaa kuwa kiongozi milele
Safi sana
Kama mlivyohudhuria mkutano wa Heche,jiandikishe na mjitokeze kupiga kura.
Saf sana heche
big brain mmi heri niweke chadema sio hi kijani inatuchelewesha😊
MH. RAIS AJAYE.
MUNGU IBARIKI KAULI HII🙏
Heche I love you
Hongera mwamba heche upo vizuri
wameamuka asante heche
Mh, Heche Mungu asimama na wewe baba ili mweza kututowa katika lindi hili kubwa la umasikini uliokidhili
Sjawah kujutia uwezo wako mkubwa brooo...nataman hata uwe kiongoz wa taifa hili skumoja ...akili kubwa sna 🎉
Ningeweza ccm wote unadumbukiza kwenye shimo tunaanza upwyaaaaa wanachosha aseeew
Bila bado la mkono hawatoboi hata siku moja
Wamezoea kuiba tu
ANZA WEWE KUTUMBUKIZA MKUNDU WAKO KWA MBWA MWENZIO UKOME KAMA ULIVO KOMA LA MAMAAKO.
❤❤❤❤❤ mkomboz wetu
Hapo ccm isahaiu Jimbo letu
Heche,hacha kumponda Waitara Amelia bungeni sio kazi nyepesi tumpongeze kwa hilo.
🤣🤣🤣🤣
Weitara arienda kusaini barua komarera wanaichi wakabomolewa miji ety anasema nitegesha hatumtaki waitara tarime hatabure aende kurima usukumani mupanga
Pamoja
Uyo jamaa kanyooka sana km unaangalia bunge lazm umuelew
🎉
Mungu akusaidue heche wewe ndo mtetezi wao
Heche unastaili kuwa hata raisi wa Tanganyika kwa sababu nawafahamu wewe unasema kilicho moyoni hujifanyi kama Waitara.
Heche Huwa nakuelewaga sana hasa kwenye hoja ukiwa bungeni
Nyomiiiiii hatari
Umeona ee kuna mkutano ilifanyika hapa dar es salaam wa chama cha kijani tulichokuwa tunaulizana magari yalikuwa yame jaza watoto je yanaenda wapi watu wengine wakajibu leo kuna mkutano wa watu wa kijani duu
Tuko pamoja mpaka tone la mwisho baba heche
Tanzania nzima tujaribu wengine tuone watawezeshaje nchi na Rasilimali zetu kabla hatujachelewa .Tusiwe wajinga wa kuendelea
Rasilimali zinaenda kuisha. Maskini Tanzania mtakuwa mgeni wa nani???
@@adelinelyaruu3036 Na bado watu wamelala fofofo hata hawaoneshi dalili ya kuamka.
Ni huzuni raslimali zinayeyuka
Kweli Heche ameshinikana Tarime😂😂🙌
Heche noma
Mmmmmhhhhh ipo kazi
Ninakuelewa sana kwa hoja zako ,lakini watanzania wachache ni wangumu wa kuelewa, HECHE chapa kazi
❤❤Kaz juu yakazi
Nikweli mjini umesimama
heche nakuombea urudi parliament
Nakupata saana mwamba nipo mpanda allakini nguchande teme ikulla mulaa
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Ccm.mama.abduli.mjipange.nchi.emeeda.hii.imendaaaaaaa
Heche we wakuigwa hasa ujasili
Kichwa madini matupu 😅
Kelele ya kwanza kwa heche yakeee
WAITARA KAZI ANAYO MMMMMH
Sio ndogo sasaivi plesha inampanda nakushuka kama atapitishwa bila kupingwa sawa lkn hapo atapigwa kura nyingi sanaaaa😂😂
Atakoma. Barbara ya Nyamongo ni mbovu sana
🔥🔥🔥🔥
Heche ni mwamba
Hii imekaa sawa hivi ni Heche mwenyewe au maana juzi niliona madudu mahali watoto wanasombwa na coaster wakipelekwa kwenye mkutano wa kijani ili kujaza uwanja heche tuambie bwana hapo umepigaje
nakuombea sana heche urudi mjengoni
Bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi wanachadema wezangu CCM hatuwezi kuwashinda kwenye sanduku la kura hata wao wanalijuwa gori la mkono kwao lefa anaweka mpira Kati sasa hapo ss wananchi tufanyeje
Heche mungu azidi kukupa nguvu na afya tele
Mmmmmh, Sasa hiyo tarime ingekuwa ndio nchi ya Tanzania wananchi wangekuwa na maisha gani? Huwezi kufananisha nchi inayolingana na mkoa mmoja
Mmmh unaweza kaka
Heko kamanda Heche!!
Nimefurahi sana sijawahi furahi kiasi hiki Heche tupo pamoja ccm ni mapumbavu wote mambwa
huyu ndo heche mnamkubali sana
Heche 2025 ninuru yasirari tarime wana sirari msije mkamuangusha
Nakumbuka mbunge Waitara aliwahi kulia bungeni na kwa vyombo vya habari akitetea wananchi wake kuhusu mgogoro wa mipaka/ardhi kwa wananchi wake. Nilisimama nikampa saluti. Na nikamuorodhesha kwenye ile orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi duniani kanda ya tanzania. Mara wakati wa sakata la uuzwaji wa bandari zetu, mbunge Heche akaanza kwa kutoka povu kwa uchawa, kama vile haitoshi papo hapo akalia kilio kikali kutetea uuzwaji wa bandari zetu na akamalizia kwa jasho jingi akisema, "naunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu!" Balaa! Papo bapo nikamtoa kwenye ile orodha yangu ya wanamapinduzi na sasahivi ananing'nia katika orodha ya wapinga mapinduzi!
Ila huu ujumbe wako Kuna mahali umemtaja Heche wakati ulitakiwa umseme Waitara. Hebu cheki!!
Kweli kabisa Raymond. Na asante sana kwa kuona kuteleza kwangu na kutafsiri vizuri kabisa kwamba badala ya kumtaja Waitara katika comment yangu nikamtaja Comrade Heche. Nasahihisha. Pale nilipomtaja Heche katika comment yangu futa jina Heche weka Waitara mbunge. Na ninaomba radhi kwa usumbufu unaoweza kuwa umejitokeza kwa wafuatiliaji/wanamtamdao comments na pia kwa comrade Heche. Nasema, Comde Heche yupo orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi na mbunge Waitara ndiye aliyetoa povu na jasho bungeni kuunga mkono bandari wakabidhiwe waarabu. Na palepale nami nikamtoa kundi la wanamapinduzi na kwa sasa ananing'inia katika orodha ya wapinga mapinduzi kanda ya Tanzania ikiongozwa (top on the list) braza mkubwa kabisa mhe. Steave Wasira.
Imekula kwake
Mm nipo kusini lakini heche nakuamini sana ww mtu na nusu unafaa hata kuwa kurithi kiti mueshimiwa mbowe
Kweli Mwenye kibali ni Kama jua la asubuhi popote
Kutoka Arusha hapa... Heche ni akili Kubwa
heche na waitara ni trial within trial
Chuma hicho
Niko wilaya jirani serengeti ila kama itawezekana nitajiandikishia tarime heche ni mwanga wa tanzania Mungu akushikilie
Hapo Mbowe hayupo, lakini jamaa kajaza nyomi
Heche anafaa kuwa hata Rais
Waitara ludi ubungo Mama hakusaidiii Magufuli aliwasaidia ludi Dar
Waitara ni mama wa ccm mpumbavu mmoja hivi anaeloalia hovyo
naku penda sana eche mwamba
Nakukubali sana mkuu sijawahi pitwa na klip zako
Cvm waibe kura tu kama kawaida yao ila mbunge ni heche
Viongozi wa ccm wamewekeza kwenye hospitali za selikali wanafanya biashara za dawa kuwaumiza watanzania
Tutawapiga mawe hao maccm majinga
Pambana mwamba
Iv waitara Kona hii?
Mchimbi mpe huyu