TISHIO LA MAUAJI: HECHE AWATAJA KWA MAJINA WANAOMTISHIA UHAI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ก.ย. 2024
- Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche adai kuwa amekuwa akipokea vitisho vya mauaji tangu alipozungumzia suala aliloliita la ufisadi katika vitambulisho vya taifa na utengenezwaji wa pasipoti za kielektroniki wakati wa kipindi bunge la mwezi Februari.
mungu akulinde eche ✌✌✌✌✌💪💪💪💪💪
pole mh. mbunge. mungu atawaumbua wabaya wako....
Mungu akuepushe na watesi wako heche amen
Mwenyezi Mungu akulinde mh Heche!
Mkand
mungu akurinde we nikama wagwe usiogope tuko pamoja nawe 100
Mungu akulinde
Mungu ndio mlinzi wako
Tumaini mwaifunga
poleee sanaaa
Mungu ata kulinda kama atulindavyo!!!
Mimi richard okello
Hongereni wanatarime kwa kupata mbuge sisi wanarorya tuna ngurue kwamba ni mbunge
safi sana JOHN HECHE!!!!! Hoja kuntu!!!!
Kama unamtambua Heche ni Shujaa ngonga like!
Mungu atakulinda mbunge . hao wanaokuombea mabaya watatangulia wao kaburini
nikweli ndugu wametangulia wao kabulini
neema unakomenti ujinga subili nawewe yatakukuta pumba yamtama jinga sana Pole sana mh heche
Utoto was siasa ndo sababu pambana tu mungu yupo
Duh Haya Mambo Yakutishana Hayataisha Mpaka Tutekenyane kidogo
Watanzania wenye uelewa na akili zetu timamu tuko pamoja Mkuu usiogope
Ss ni Tarime tuko fiti tumekuchagua mura pigakazi
Mnatekana wenyeweeee
Bora uwataje umma ujue
da aise kaka uko pw sana
Munguingilia kati
MUNGU ni mkubwa sana atakuepusha nao maadui na wezi wa nchii hii
Heche chacha kama wangwe....!!!!
Ni heri ukisema ukweli kulìko kufanya unafiki. Watawala watambue kuwa wao ni binaadamu kama walivyo wengine. Wakumbuke pia nao watakuwa na mwisho. JOHN HECHE usiogope chochote, MUNGU wetu anakulinda
nikweli heche kwasasa tunashinikizwa tukubari hata uovu wa serikari jamani hii si haki
Nakushauri ukaripoti na kituo cha polisi
Watakufa wao watakuacha Mungu atakuokoa
Soma zaburi 23
Pambana kamanda, pamoja na vitisho vyao kamwe haturudi nyuma.
Fanya kazi bro kukimbilia kweny ma t.v haya kusema kwetu tukusaidie nn maan tumekuchagua ww ukatuwakilishe sisi hatuna nguvu yyte bro
raphael simba mbungeni wanambia nenda kwenye mada sasa kwenye Tv ndio sehemu ya kunenea na kuwatarifu wananchi nini kinawasibu nje ya kazi zao..tuyapokea kama yalivyo sio mambo ya kupuuza huyo ni mtu mzima anajua nn cha kufanya kiki zinawenyewe
Aloyce Garani mm naonaga wananivuruga tu rafk yangu sisi tumewapa dhamana hiyo watuhangaikie bro na pia waliapa Miungu yao yte leo sisi hatuna nguvu tena bro
raphael simba we umempa dhamana nani mbuzi ww, si ulichagua kijani ???
Mahamudu Juma na hapo ndo nmeona jinc gan ulivyo na upeo mdgo ww jamaa unahisi matusi au kuitana majina ya ajabu ndo suluhisho????nakupa pole kwa herufi kubwa maan sio kosa lako iseeeee
raphael simba so what the hell do you want to tell me? Stay the fuck away from me... Dumbass!!!!!
wanakufa wao sasa
wakikuuwa wakikuuwa heche. hakuna rangi waacha kuona tumechoka watz kuona watu wanatekwa wanateswa nahata kuuwawa hivihivi et kwasababu ama hukusapot mambo yao unatofaut kiitikadi wasizani watz hatujui kinachoendelea mhh kunyamaza pia nijibu twendenitu tutafika
Kwa hilo tutamtafuta zito mana ndo kibokoyao
Habibu mbwa kabisa, na huyo usalama wa taifa ni usalama wa jehenamu.
Habibu mchange ni muhuni tu kama wahuni wengine.. kashindwa masomo UDOM 2009 sas yuko mtaani anaokoteza Mambo ya hapa na pale.. ni mganga njaa tu uyo.. namjua in and out..
Tarime mna jembe
Watu wa Musoma mnatisha sanaaa,kujiamini asilimia 1000.Pole ila km Ni kweli siyo Jambo zuri kutafutana kwa Nini watanzania mnafika huko?
Uhuni WA kishamba
Du KUMBE siasa ni chafua nikuchafue
Tarehe 26 nikesho kutwa2 jamani hata msi hofu
mmesahau majimboyenu mnakamjini kazi kutafuta kk wananch wanateseka wapinzani mnakaa dar mnakearasana
Ampty brain!!!!!!!!
Ezekiel Mwadomba ww ndo empty mzee
@@fredymachumu465
HAPO NDO UMETHIBITISHA KABISAA!!! KWAMBA WEWE UME WAPA MZIGO WALO HUSIKA KUKU LETA.
Ezekiel Mwadomba awana lolote awa mzee MFA maji haishi kutapatapa, mda so mrefu u ujinga utaishaa
@@fredymachumu465
Yupi anatapatapa?
Tutachukua yanayotuhusu yasio tuhusu tutakuachiaa,kuna watu hawajawahi fikwa na jambo lolote soo they will take this as bushit ani.....ila siku yakikuta utajua kama anasema kweli ama uongo .time will tell
Acha vitisho mtu mzima atishiwi nyau hi nchi sio ya babaako ni ya watanzinia wote Kuma la mamaako
kwan hao wanaowauwa wanawauwa kwalipi mjinga wewe
Ninyi hamjengewi chuku ila mnajijengea chuku kwatabiazenu zakuchonganisha wtz ninyi mmkwisha hamnamaneno yakujenga nakuwaunganisha wtz ilamnahoja za kuisambalatisha tz
hawa mafisi wanaokutishia ni mazwazwa wote,TUPO PAMOJA HECHE
No litit No salender!! pumbavu zaoo...
Yaan tuko tayari hata kufa, hatumuogopi mtu yeyote...tupige kazi...
WATAJE BROO ILI UKIPATA TATIZO TUWAJUE SAFIII
Ahh wapi tuache wongo in nyie wenyewe kwa mini mliwasamehe walioponga kumteka meya
Ila jeshi hata sikumoja huwa halikagui bwana BOni kazingua
Propa kama ganda tushazoea akili ya kuambiwa weka na yakoo...!!!
Ukionekana unakosoa Nini John 🙊🙊
Mwamba
Pambana heche wewe ni jeshi, achana na mapoyoyo wanaojiita ni watu wasiojulikana.
Tarime ni watalamu wa kufinya wakileta za kuleta gecha mula
Asante xna kwa kutu taarifu hao wajinga kwa majina yao. ...
tokaaa apaaa wew nanii anakutishiaaa
Kama umesha hakikisha unatishiwa basi na wewe mtishie ilimwende sawa halafu jilinde kama kufa sote tutakufa hainasababu ya kuogopa
kiki hizo sasa tukusadie ninyi kama mmekosa nidhamu na mmekuwa wakudhalau Mamlaka kiukweli kwasasa mnaboa sana mmekuwa kama vichaa wasio jielewa .
habibu mchange nina hata njaaa tupu yule. ..
😴
Shame this country
Haipendezi, na UONGO HAUDUMU
Naona unatafuta kick kwa nguvu kweri
pumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Heche kalale hakuna wa kukuua. Wewe mpuuzi tu. Mnajichezea wenyewe huyo inawezekana ni mbowe alifanya hayo
Heche pambana wewe na LEMA nawakubali
Unajua kumtaja mchaw wakat si yeye mchaw ndo anakuloga ufe kabisa si anajua humfahamu
Duu nishida
Tupo na YESU daima na si hao wauwaji, ogopa alah nyie serkali
Upuuzi huwo nyinyi kila siku ndo mnasema eti mnatishiwa peleka taarifa polisi sio kwenye vyombo vya habari ulishindwa nn kuwashitaki
Abdul Hussein mmmmmmm
unajua huu shabiki wenu wakijinga mutambue tutakuja kuliawote mtu wanakwambia wanataka kumuuwa kwani tundu lissu sialipiga kelele jamani jamani mwisho wasiku sinimungutu amewaumbua wauwaji wakubwa nyinyi wote mnaotetea uovu unaondelea hapa nchini wote mnalo lakujibu mbele zamungu
Watengenezaji wa matukio chadema
MDA WA KUFA UKIFIKA UTAKUFA NA IKIWA MDA WAKO WAKUFA HAUJAFIKA HAKUNA YOYOTE ANAEWEZA KUKUUWA NDUGU YANGU HECHE ASIKUBABAISHE MTU YOYOTE MTEGEMEE ALLAH NAHUYO ANAEKUTISHIA MAISHA YAKO HUENDA AKAFA YEYE MWANZO KULIKO WW
Woote ni wale wale waropokaji
Heche pambana mbaba
nondo wako wengi
Wahalifu nyinyi
Acha woga wewe fanya kazi
kaka piga kazi achana na hao wanaokupiga majungu sisi tunakuelewa sana wananchi wako
Utajiuwa mwenyewe mnafki mkubwa wakuuwe kwa lipiy au wawauwe kwalipiy mmesha jiishia nyie
We mkundu nn yaan mtu anakwambia wanamtafuta ili wamuue hlf ww unamdihaki? kuma ww
wacha ujinga unakataa bashe alipolia ndani yabunge kuhusu hao watuwenu mnaowaita wasiojulikana mbona hakubisha
Watakao kukuua wewe watauwawa wenyewe. Mungu atapigana nao
fuga ndevu broo
kwani ww s jambazi ovyoo mjomba
Msigwa anafaa kuwa shahidi wako?
Imma Mlowe muulize mama yako
Mmh!!mna chosha kweli 🙄 acheni mfe tu
Neema Kilomoni ujielew neema
FALA WW
neema ataishi miaka 1000
By the way kila mmoja atakufa Hakuna atakayebaki ukiwemo we unaewaombea wenzio kifo
Useless...
Ishapita mwaka na hujafa mbona?
mmepotezana nyie sacos
Acha uzushi nyie tunawajua nia yenu
Nia gan wefala
acha kiki zako za kipumbafu
Sunday stanley mpuuzi zaidi kuliko hata wapuuzi wa mirembe.
Mwehu sana wewe.
Makenge nyie
kiki ata picha
Waripoti Kwa rais wetu mwelewa atakusaidia, kuna wanaojipendekeza ndio wanaosumbua watz jamani
Unatafuta kiki ya kisiasa 2020 huna chochote utabaki kupiga domo tu
we nani? hata usi report Polisi, unatafuta umaarufu huo ndo uchochezi ukamatwe tu ukae Ndani
Pumbavu wakubwa mmeishiwa
Leila Innocent ningeshangaaa chizi asiongee na mdomo unaonuka mavi
kuma ww leila
James Mbata unataja tupu ya mama yako? Kweli wewe mtoto wa kikopo.
mura taita umutu wasikutishe
Wabunge wa mitandaoni unamwambia nani hapa ciyo kama ujinga uongo tu mbn msigie nyinyi tu wansamge bora unde polisi kihelehele chenu
Tarime vijijini inahitaji maendeleo. Wasaidie watu wa jimboni kwako. 2020 sio mbali. Vijana ni chachu ya Mabadiliko. Broo siasa hizo waachie wao waliopoteza muelekeo; lakini sio wewe. Kwa unayoyafanya sasa. Utapoteza Credibility yako kwa watu wa Tarime Vijijini.
Hizi kiki jamani. Mtu ukidhulumu watu ukiona unafuatiliwa unaongea kitu uonekane umegusa jambo useme unafuatiliwa. Hebu acheni watu waishi kwa amani. Matumbo yenu yasituponze watanzania wote.
tuma hamza we jinga sana we. Atafute kiki ili imsaidie nini?
Kuweni naakili hata kidogo za kujiongeza atafute kiki Leo nyinyi wajinga wakubwa
tuma hamza we huna akili
tuma hamza aaaaaaU
Poinless !!
Nendazako akuuwenani wewe
heche ww unakotoka tu tabia ya ujangili ipo usianze kujitetea kama hukufanya Mungu atakusaidia kama ulifanya dhambi lazima uilipe ikumbukwe malipo yote nihapa hapa duniani
Bahati Boniphace # mbona kama una laana ya kudumu,angalia hoja ...anakotoka ndo nn ina maana unataka kututukana tunaotoka huko au unatakaje
Pore kwa kwa kutishiwa maisha
Fyuuuuuu
Acha hizo wewe mfa maji.