HECHE ASIMULIA ALIVYOKOSA POSHO ya MIL1 kwa SIKU - BUNGE la NDUGAI TIMUATIMUA ya WABUNGE wa UPINZANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • HECHE ASIMULIA ALIVYOKOSA POSHO ya MIL1 kwa SIKU - BUNGE la NDUGAI TIMUATIMUA ya WABUNGE wa UPINZANI...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 90

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 หลายเดือนก่อน +2

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 10 หลายเดือนก่อน +6

    Asante sana mwanaharakati Heche kwa kutukumbusha kazi ya mbunge: 1. Kutunga sheria. 2. Kukosoa na kusimamia serikali. 3. Kuhakikisha serikali inapeleka maendeleo kwa wananchi. 4. Kufukuza kazi serikali ambayo inashimdwa kupeleka maendeleo kwa wananchi. 5. Kumfukuza kazi (impeach) rais. Natumai nimekuwa mwanafunzi mzuri na nimepata maksi nzuri leo katika mafundisho (somo) la leo la mwanaharakati Heche.

  • @jumamalekela463
    @jumamalekela463 10 หลายเดือนก่อน +2

    Brorher heche nakukubali sana unamaono halisi yauongozi namna yakuwatoawatu mahaliwalipo kusonga mbele namaisha yenyeunafuu kupitia malitulizokuwanazo,big up mybrother iposiku💪🏻💪🏻

  • @deogratiusdonald5123
    @deogratiusdonald5123 11 หลายเดือนก่อน +8

    Hongereni sana global kwa kuvialika vichwa makini kwenye studio zenu. Kuna studio zinapenda kualika wale wanaosifia kila kitu. Waalikeni sana upinzani maana hao ndio wanaotusemea wananchii. Wanatutoa porini na kutuleta bara barani. Big up sana global TV. Ninyi mnaongoza wengine wanafuataaaaaaaa!!!!

  • @deogratiusdonald5123
    @deogratiusdonald5123 11 หลายเดือนก่อน +11

    Kolumba Lebabaz. Mshauri Mh. Heche agombee uenyekiti wachama taifa. Mwamba yupo vizuri balaaaaaaa!!!! Mbowe ana vichwaaa hatari sanaaa...

  • @bensonmwabulambo9663
    @bensonmwabulambo9663 11 หลายเดือนก่อน +11

    Kichwa kizuri hiki, SEMA watu makini ubezwa ❤❤

  • @shabanadam4476
    @shabanadam4476 10 หลายเดือนก่อน +3

    Brother John Big Respect Big brain long lifetime 🙏

  • @apostelgodwin
    @apostelgodwin 10 หลายเดือนก่อน +2

    I proud to be with You Brother in Home sit Tarime ...God lord bless You we play for u.. You do best and greater pokea maua yako🎉❤nipo dar nafuatilia hotuba yako daily points tupu

    • @JimokuMhela
      @JimokuMhela 16 วันที่ผ่านมา

      Not I proud, but I'm proud. You are grammatically poor.

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 11 หลายเดือนก่อน +4

    Brother your very smart

  • @deogratiusdonald5123
    @deogratiusdonald5123 11 หลายเดือนก่อน +6

    Mh. Mbowe kwakweli vijana unao kweli uliwapika wakapikika kamanda.

  • @josephmantago2837
    @josephmantago2837 11 หลายเดือนก่อน +14

    Aisee inauma sana kuona watu mhimu kama mh HECHE hawako madarakani kuiongoza nchi badala yake tunatawaliwa na machawa aisee mi naumia sana

    • @qonquererqanquerer1781
      @qonquererqanquerer1781 11 หลายเดือนก่อน +2

      Ni Hatari Akili Ndogo Kuongoza Akili Kubwa, Huyu Alifaa Kua Mtu Mkubwa Sana Wizi Wa Kura Nakukosa Tume Huru ya Uchaguzi Vinatunyima Mchango Watu Wa Maana Kama Heche, Katiba Mpya Ni Sasa.

    • @corporatethugsent7380
      @corporatethugsent7380 10 หลายเดือนก่อน

      Inauma saaanaaaa aseee

    • @RutinikiGosbert
      @RutinikiGosbert 15 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa ila mimi daima CDM watu wenye akili

  • @DavidLeonard-p5n
    @DavidLeonard-p5n 14 วันที่ผ่านมา

    Bg up Mr heche mwamba kabisa

  • @wilfredshayo5442
    @wilfredshayo5442 12 วันที่ผ่านมา

    Akili zipo vizur aisee dah? Kule kati hamna kitu aisee! 🎉🎉

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 11 หลายเดือนก่อน +9

    mh heche akili kubwa sana ccm wana kariri wamekosa ubunifu

  • @osiakita8693
    @osiakita8693 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna vitu vingi sana vya kumuinua mwananchi wa chini leo hii muwekezaji akija nchini anakuja na bajeti ya kuwalipa wafanyakazi wake malipo mazuri kabisaa lakini akifika hapa akionyesha malipo ya kuwalipa wafanyakazi anaambiwa hizo hela nyingi sana kuwalipa hawa watu wanaanza kupewa hela kidogo kabisaaaaa ambayo haiwezi kumuendeleza mfanya kazi ila wangesimamia watu wa sekta binafsi walipwe vizuri nchi hii ingekuwa inamelemeta sana

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 14 วันที่ผ่านมา

    Akili kubwa 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @wilfredshayo5442
    @wilfredshayo5442 12 วันที่ผ่านมา

    Mzee gombea bas urais Nyerere wetu

  • @israelmpiluka-gu6vh
    @israelmpiluka-gu6vh 12 วันที่ผ่านมา

    Heche umeongea point sana kama ingependeza ingekuwa mkufunzi uwafundishe wabunge wa ccm kutekeleza wajibu wao.

  • @Mrofficial_lll
    @Mrofficial_lll 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nynyi waandishi msikate hizo enterview
    Achen uchawa

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 11 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani Heche Mungu amjalie maisha marefu aisee.

  • @peterantony5890
    @peterantony5890 9 หลายเดือนก่อน +1

    Sifa za Watanzania walio wengi ni kuwa waongo, wanafiki na kujipendekeza.

  • @PascleShayo
    @PascleShayo 11 หลายเดือนก่อน +3

    Heche nakukubal mbaya nafuatilia kile video yako napenda uzalendo🎉

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 10 หลายเดือนก่อน

    Posho za namna hiyo wakati wananchi wanaumia! This is so sad!

  • @PauloJigwa
    @PauloJigwa 11 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa yupo vizuri sanaa

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ahsante Heche Kwa Haya Madini.

  • @salimmwaisaka9164
    @salimmwaisaka9164 15 วันที่ผ่านมา

    Uko sahihi kaka

  • @alexmnogi1822
    @alexmnogi1822 11 หลายเดือนก่อน +6

    Jamaa kichwa snaa...Hana anaposoma anavyokichwan akili kubwa sna asee! Dah!

  • @MussaKulanga
    @MussaKulanga 10 หลายเดือนก่อน

    Heche ni noma sana jembe kweli

  • @NelsonMwaipaja
    @NelsonMwaipaja 8 วันที่ผ่านมา

    Panzi ana miguu mingapi😂😂😂😂

  • @fadhiliitambu6210
    @fadhiliitambu6210 8 วันที่ผ่านมา

    Chadema ina watu smart sana na ukifatilia hata comment wale wapiga makofi hawana cha kucomment umu

  • @aminimushi6945
    @aminimushi6945 10 หลายเดือนก่อน

    Watanzania tunatakiwa tumuombe sana Mungu,hatuwezi kumpata spika wa bunge kama marehemu Sitta,Mungu amuweke pema huko aliko.

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina3380 10 หลายเดือนก่อน

    Saf sana uko vzr

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ndugai alilewa ukereketwa mpaka akajivua uSpika wake na elimu yake kwa faida ya siasa za maji taka wakati wa Magufuli,kiasi cha kujidharaulisha kwa wananchi kabla hajajitumbua mwenyewe kwa ujinga uleule....!

  • @feisalkhamis9445
    @feisalkhamis9445 11 หลายเดือนก่อน +2

    heche insha'Allah tukutane bungeni 2025

  • @pastorteddywaziri5754
    @pastorteddywaziri5754 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe hii inchi Kuna watu wanakula maisha wengine tunasurvive.Yaani kumbe mnalipwagwa milioni 12 Kwa mwezi halafu posho kila siku laki nne.Bado Tena mkistaafu mnalipwa dah!!

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 11 หลายเดือนก่อน

      Ahahaaa usiumue sio ww tu sote mioyo yetu inaumia ndo Tanzanian yetu iyo nchi ya kazi na bata

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 16 วันที่ผ่านมา

      Saivi ni18 na posho ni laki 7

  • @triphoniamapunda
    @triphoniamapunda 11 หลายเดือนก่อน

    Tanzania bwanaaa!!!

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 11 หลายเดือนก่อน

    Kwani hawa akina heche walisemaje juu ya Lowasa na baada ya kuhamia kwao WALISEMAJE? KWELI NYANI HALIONI 😂😂😂

  • @athumankaswaga605
    @athumankaswaga605 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu bariki hii hazina ya taifa....hakika Mbowe una watu makini sana

  • @faridmnyamike556
    @faridmnyamike556 9 หลายเดือนก่อน

    Mhe.Heche ni Akili kubwa sana

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 10 หลายเดือนก่อน

    Upinzan mko vizur sana sana ila kwakukosa ktba mpya na uchaguz huru na haki tumehuru.

  • @alexmnogi1822
    @alexmnogi1822 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mpka jmaaa ( kurumba Hana chakuhoji) tunawashkru kwa kutuletea watu wenye akili kubwa kama hawa

  • @NorbertusNyamuga
    @NorbertusNyamuga 11 หลายเดือนก่อน

    Mugaka mungu nakuona

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 11 หลายเดือนก่อน +1

    VIVA MH. HECHE....WAKATI WA MABADILIKO UMEFIKA!

  • @MwatijaFikoti
    @MwatijaFikoti 11 หลายเดือนก่อน +2

    Heche unaakili sana Kwa mambo unayoongea ni kweli kabisa ila kijana hawaelewi kabisa.

  • @RobertJohannes-n3c
    @RobertJohannes-n3c 15 วันที่ผ่านมา

    Heche heche heche we ni mwamba sema hii nchi haioni watu sahihi!

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 11 หลายเดือนก่อน

    Big brain always speak the fact

  • @theonewrld
    @theonewrld 18 วันที่ผ่านมา

    Kweli wew ni mwandishi msomi.

  • @Innocent.SelfMastery
    @Innocent.SelfMastery 10 หลายเดือนก่อน

    Akili kubwa hii, CCM haitaki watu wenye akili

  • @kelvinmboya5846
    @kelvinmboya5846 10 หลายเดือนก่อน

    Akili nyingi ndio kama hizi.

  • @alexmnogi1822
    @alexmnogi1822 11 หลายเดือนก่อน

    Hvi hawa watu wapo selekalin? Mbna watu wenye akili ndo wnachukiwa hakika Dunia hii haipo sawa

  • @godfreymrosso2051
    @godfreymrosso2051 11 หลายเดือนก่อน

    ukweli usemwe tuu huu jamaa ana IQ kubwa sana ni mtu wakumtumia

  • @PhilipoMwita-ge2oj
    @PhilipoMwita-ge2oj 10 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali mbunge wangu wa sirari wewe nijembe alafu nijembe tena

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 11 หลายเดือนก่อน +2

    Madam President sikiliza watu wenye akili timamu

  • @gabrielmahala9848
    @gabrielmahala9848 11 หลายเดือนก่อน +1

    Yani natamani ccm iondoke madarakani leo, heche hongera ipo ccm watakuelewa

  • @rajabumtuga7372
    @rajabumtuga7372 11 หลายเดือนก่อน

    Ingia darasani nod utaelewa hilo swali lako

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 11 หลายเดือนก่อน +3

    Bunge ni idara ya chama Cha mapinduzi

  • @davidami7980
    @davidami7980 11 หลายเดือนก่อน +2

    Heche kichwa sana

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 11 หลายเดือนก่อน +1

    Àkili kama hizi ni adimu hongera heche

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 11 หลายเดือนก่อน

    👊✌️👍.

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 11 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi hakuna kitu kibaya kama unawabunge wa ugonjwa wa Akili Kwahiyo CCM wote wana ugonjwa wa Akili

  • @AlexMakala-s7k
    @AlexMakala-s7k 11 หลายเดือนก่อน

    Namwona mwenyekiti hajae chadema

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 11 หลายเดือนก่อน

    Yaan wewe hakri yako ni sawa wabunge 200 ya wale wa kile chama Cha ndiyooo Kila kitu
    Wao ni uchawa nahuku inateketea

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 11 หลายเดือนก่อน

    Mal Rushwaa hugeuzwa kuwa mtumwa wa Mtoa RUSHWA. Ndiyo walivyo VIONGOZI walio saint mkataba ya madini kisha WANANCHI WAKASHANGILIA SAAANA.

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt 11 หลายเดือนก่อน +1

    Katiba mpya ndo kilakitu

  • @Jal210
    @Jal210 11 หลายเดือนก่อน

    Kichwa hewa tu mpuuzi huyu kazi kubeza serikali hamna lolote na Chadema yenu

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 11 หลายเดือนก่อน

      Ww unaumwa akili sio bure

    • @Jal210
      @Jal210 11 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndiyo mgonjwa kumsaidia mpuuzi

    • @JabirJabir-r5g
      @JabirJabir-r5g 18 วันที่ผ่านมา

      Wewe mwerevu tuambie huo ukweli wako.

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias7594 11 หลายเดือนก่อน

    Sasa tumweleweje huku anapinga ujenzi wa viwanda na mawazo ya jpm alokuwa nayo upande mwingine anasema vingejengwa viwanda watu wapate ajira na vitu vitengenezwe hapa . Nadhani Rais jpm ndo suala alokuwa anaubili sana kuwa hata madini yaongezwe thamani hapa nchini. Lkn sawa ndo kipindi cha kuanza kujifagilia njia mwakani.

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 11 หลายเดือนก่อน

      Viwanda vipi niambie hata vitatu tu muhim

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 17 วันที่ผ่านมา

      JPM hakufaa kuwa rais yule.

  • @reginas1832
    @reginas1832 11 หลายเดือนก่อน

    Delete ccm

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 11 หลายเดือนก่อน +1

    Unafiki ndio kazi yenu nyote wanasiasa, hata Wapinzani walituambia Lowasa fisadi baadae mkamsifu. Ni upuuzi kusema Mbunge wa Tanzania amuwondoe Rais wakati Rais ni 51% ya Bunge, yaani Rais anaweza kufanya lolote bila Bunge wakati Bunge haliwezi kufanya lolote bila Rais. Utamfukuza je?

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 11 หลายเดือนก่อน

      Mbuna hueleweki uone hata aibu

    • @athumankaswaga605
      @athumankaswaga605 11 หลายเดือนก่อน

      Haya mambo huwezi kuyaelewa ingali bado unaishi kwa shemejio subiri siku ndoa ya dadako ikivunjika ndio utaielewa dunia ikoje😢

    • @SylvesterKameo
      @SylvesterKameo 15 วันที่ผ่านมา

      Pole sana, shida ni shule. Bila shule huwezi kujua majukumu, wajibu na nguvu ya bunge kuisimamia serikali!

  • @triphoniamapunda
    @triphoniamapunda 11 หลายเดือนก่อน

    Tanzania bwanaaa!!!