Jina la YESU ni dawa ni faraja linaponyaa linauwisha Lina fariji aisee kam ww umebahatikaa kumpata Yesu , mashukuru Mungu aisee hii ni NEEMA , NEEMA nikwamba umepata kitu ambacho hukistaili so aiseee tushukuru kuwa wakristo 💒🙏👍💪❤️😘
Umeniletea mtu ninayempenda sana, personality yake tu mimi inanikosha mno. Big love Anna 😍
Wow!Godliver umesema vizur umeokoka na unampenda Yesu:Nakupenda unajua kuigiza pia luv❤
Mungu wa mbinguni akubariki sana na uzidi kumpenda mungu na mungu bila shaka ataoneka ndani yako
Kwa hiyo ana uliacha uislam kwa sababu ya marafiki wabaya wewe hukua na msimamo usitudanyanye bana
Godliva is awesome in each way, Salama unajua mpka unaboa yani ni balaa
Umeongea vizuri...Pili uislamu na ushirkina ni vitu viwili tofauti ulipata watu sio sahihi kabisa
Mi pia nakupenda sana Godliver Mungu atukuzwe kwa ajili yako
Hao marafiki ni sababu tu ya ww kurud ukristo coz haukua na Imani na amani na ujasir w kutosha w kufocus na dini ambayo ni ngeni kwko ata muislam ambaye ange shift ukristo ange do the same even if asingekutana na marafiki hovyo.
mskini , nilikuhukumu ktk nafsi yangu kumbe kosa lilitokana na waislam wenyewe. ungepata misingi sahihi ya dini usingerudi kwenye ukristo
Nazani Interview hii itakuwa Nzuri sana ngoja tuone
Nlikuwa najiuliza kwa nini nampenda kumbe ndo maana 💞💞 Nakupenda wewe Dada jamani
Tha beautiful story of testimony of the blood of Jesus very powerful
Uliwekwa huru dada, baada ya Uhuru na gharama zake! Inafurahisha!
Polesana ulikutana na waislamu jina afu ukisema dini unakihukumu uislamu kwajiri ya hao matapeli umejichanganya sana mana hayo majini kanisani ndo kilasiku wanaombea sasa mwamposa na wenzie ndo kaziako yesu anafanyinini
Qur an inatosha sana kikubwa ni kujuwa vipi utaitumia kwa shida zako
Nawapenda Wote Kwaajili Ya M/MUNGU 🙏🙏🙏😘😘😘
Hakuna muislam yeyote anemchukia yesu. ila nyiny wa kristo sio waelewa
She is story teller, she is good and smart.
Ulikuwa ukipendeza sana ulipokuwa ukivaaa ushungi
Dada huo ni mtihami ujue wislamu ni dini ya kweli Sasa wanachikifanya watu wengi hawaamini maandiko wànawafuata watu Hilo balaa Quran haijabakisha kitu, manake hata hao wanaosali halafu wanaroga au kwenda kwa wagani wote motoni
Inategemea unaenda Kwa mganga kufanya nn, kama unaenda kujikinga sidhani kama ni dhambi
@@rizoibrahimovich605Mungu ataki kuchanganywa Kinga ni Mungu pekee
Tuonyeshe alierudi kutoka wafu akakwambia hayo au ndio bendera fuata upepo
Dunia ni gereza kwa waislam na dunia ni dunia ni pepo kwa makafiri unajihisi km maisha umeyapatia kumbe ni starrehe ya dunia tu
Thank u Jesus ulirudi ukristo nilikua nimeanza kkuchukia kujua kumbe we muislam tena fata mkumbo, abarikiwe baba aliekuombea, atukuzwe Yesu alikurwjesha
Wenzetu ushirikina nikawaida Yao ninao ndugu zangu ndio maisha Yao wamefilisika kwakuendekeza waganga wanaishi maisha ya hofu Sana wao kilamtu ni mchawi wanaishi maisha ya hofu siku zote
Godliver my favourite and the best actress
Huyu salama ana jua kuuliza sana
Ni dhairi waislamu wanatumia majini, sule akuwa wazi Kwa ilo,lakini DAMU,ya YESU Iko na nguvu ya toa Kila nguvu za giza
Salama mnafiki et hata mimi nampenda Yesu😂😂😂😂😂
Kumbe nishomile mwenzangu🥰🥰
yote maisha cha muhimu kumjua Mungu
Nakupenda God live
I LOVE YOU GODLIVER..YOU ARE SUCH AN INSPIRATION!!!
🔥🔥❤❤❤💥💥
Nakupenda Sana dada kazi yako nzuri sana
She is very humble
💙Yeah nakupend sana 😘
unafanya kazi yako vizuli dada Ana mungu akubariki
Safi dada una ujasiri wa kusema habari za Yesu kwa ujasiri mkubwa
It's marvelous interview waited along time .
Yan salama na Godliver❤️❤️❤️❤️💋💋💋
Shout out kwa Mwanangu Mboghochov...
Asante YESU aliekurudisha mtoto wake! There was a reason @godlivergordian
Akikuchagua hupotea, utaenda na kurudi nyumbani Kwa Bwana, hallelujah on that. Sifa na utukufu anao yeye.
I never watch interview za kiswahili like this hadi mwisho, I love this actress.
Thank you for coming back to Christian 🙏
Ulishajua sio watu sahihi ungetafuta watu sahihi wangekusaidia km kweli ulikua na nia na unaupenda uislamu
Salama,, ni mzuri ,,hazeeki,,,love salama,,❤❤
Nice interview
Salma my dada kaz nzuri sana na godlvar
Sijui Christina Shusho anafuatilia hii Interview🙂 Nadhani akiangalia atakuwa mtu ambaye alikuwa mwanzo... Mnyenyekevu
Sikuhizi kawehuka, Roho wa Mungu ashatoweka, tunajionea mapichapicha tu.
nampenda sna hyu dada kutoka moyoni i wish nije kuwa kma yy mbelen coz napend sn uigizaji
Nakupenda❤❤ dada Ana MUNGU awe nawe
Jaman kitu cha bk hicho nakupenda mno anna
My biggest brother khaaaa kinge hiki hahahaha, my Elder brother
Woooh ubarikiwe sana anna
LOVE HER SO MUCH❤❤❤
Great interview ila part 2 siioni
Nawachukia hao marafik waliokusumbua Kupitia uislam but I love 💞 so much anna
Godliver 🔥🔥🔥🔥🔥❤️🏆
Nakukumbuka kweny nusura ulikuw mke wa cheche❤
Nampenda salama
Dah umemleta mtu Makin Sanaa🥰💓
It's true. Getrude she is the best
I love u Anna wa jua kal.....
Ubungo kisiwani my best school,,
She knows what she is doing 🔥🔥
Sio tuu nakupenda nakupenda zaidi yasana
God bless u sanaaa
Nice show
Nampenda sana huyu dada jamani
Wale marafiki zako walikua si watu wazuri walikupeleka uko kwaajili ya kukuangamiza tuu na si kukulinda ilikua ni kwa manufaa yao
Hukuingia kweny uislam. Si kwa7bu mungu
Mzur
Nampenda huyu dada sana
Nakupenda maira
Ubarikiwe sana mtumishi dada songa mbele hapo ulipo ndio mahali sahihi na unapokuwa Muslim umemkataa Yesu na kama umemkataa Yesu hauna wokovu hvyo usimuache Yesu tena
@@user-wp5ku3cf9i soma quran 3:55,56,57,58,59,60,61,62.uielewe vizuri tafadhali kukumbusha kwa yaliyo ya haki ni sadaka 🙏
@@fatmamohamed6812 Nimesoma na sijajua wap hijaelewa hau unataka nielewe maana nimeiona quran ikiwainua wanaomfata Yesu Hukuna wokovu kwa Bila Yesu Inabidi ujifunze kwanni Yesu Abebe sifa kama mwanadamu na aitwe Mungu Shetani kawafanya waislamu wengi wa sijue nuru kwa hoja hafifu soma vitabu vitakatifu kwa lengo la kumfahamu Mungu usisome kama Muumini wa imani fulani kamwe hutajua nuru
Big up
I love this gal
Penda sana❤❤
Takbir
short hair but smart😍 love you godliver
YESU NDO KILA KITU. SOURCE OF LIVE IS HIDEN WITHIN A NAME OF JESUS.
Neno linasema amwaminie mwana Yu na Uzima.
Tuache kiki ... Za kudukua followers mtandaoni!
Wooh 😍🥰G
Nakupenda wewe ni kitu usicho kijua❤
aww i love her jamn 🥰🥰
We dada ninakupenda mpaka najishangaa natamani siku nionane nawew lakini naona hixhokibali sina ila nakupenda sana Anna
Hawa waganga Mtihani sana
Yan huyu dada jmn...nampenda mno mno
Nampenda huyo dada htr
Wewe umeongea UKWELI
Nakupenda wwe dda hujuwitu na omba siku moja tukutane my
Yaani dada angu ungefata maandiko maana ushirikina ni Moja kati ya zambi zisizosameheka, ila mi naamini ukweli unajua sema tu umerudi kwenye ukristo kwa sababu ya wazazi pengine ila ukifa kafiki ni motoni. Wislamu umekataza Kila aina ya uovu but pole ila usibeep Tena kufanya hivyo dada angu
Ulikutana na matapeli. Hawakuwa Muslims.
Mwaaaa ana love you so much
ulikuwa umesimama vizur kwenye uislam shetani ukamkaribisha..ungekuwa imara tu kuamini Mungu mmoja usingewasikiliza marafiki wa sio na imani.
Labda kuenda uislamu ni Kwa maslahi Fulani.
Wakwanzaaa
Jaman nampenda uyu dada...
Nampenda.ana.kama.ninavyo.kupenda.madam.salama.mmmmwaaaaaa
Usiwe mkristo tu kua sister kabisaa afu uwone kama aloumba mbingu atapungukiwa kitu uislamu ndo dini Tu no duscas