ความคิดเห็น •

  • @AyubuKalukula
    @AyubuKalukula 27 วันที่ผ่านมา +2

    Usiwe mkristo tu kua sister kabisaa afu uwone kama aloumba mbingu atapungukiwa kitu uislamu ndo dini Tu no duscas

  • @floramarinyo3517
    @floramarinyo3517 ปีที่แล้ว +11

    Jina la YESU ni dawa ni faraja linaponyaa linauwisha Lina fariji aisee kam ww umebahatikaa kumpata Yesu , mashukuru Mungu aisee hii ni NEEMA , NEEMA nikwamba umepata kitu ambacho hukistaili so aiseee tushukuru kuwa wakristo 💒🙏👍💪❤️😘

    • @FaridaSilwani
      @FaridaSilwani ปีที่แล้ว

      🙏🙏

    • @hamadmohamed3056
      @hamadmohamed3056 ปีที่แล้ว

      Yesu awe Mungu Kisha wanaadamu wamkamate wamuuwe!

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 ปีที่แล้ว +2

      @@hamadmohamed3056 punguzeni kutupia watu majini mnazingua kinoma😂😂

  • @_fizzle
    @_fizzle ปีที่แล้ว +28

    Umeniletea mtu ninayempenda sana, personality yake tu mimi inanikosha mno. Big love Anna 😍

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 ปีที่แล้ว +51

    Kila ulimi utakiri Yesu ni Bwana

    • @user-ls8rn4tz5m
      @user-ls8rn4tz5m ปีที่แล้ว

      Make apo kwanza nicheke 😂😂😂

    • @mishyomar3567
      @mishyomar3567 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-ls8rn4tz5m😅😂

  • @neemashao5328
    @neemashao5328 11 หลายเดือนก่อน +2

    Wow!Godliver umesema vizur umeokoka na unampenda Yesu:Nakupenda unajua kuigiza pia luv❤

  • @user-wo8dz3tu5b
    @user-wo8dz3tu5b ปีที่แล้ว +4

    Mungu wa mbinguni akubariki sana na uzidi kumpenda mungu na mungu bila shaka ataoneka ndani yako

  • @halimajumanne9778
    @halimajumanne9778 ปีที่แล้ว +3

    Kwa hiyo ana uliacha uislam kwa sababu ya marafiki wabaya wewe hukua na msimamo usitudanyanye bana

  • @luckyshija6649
    @luckyshija6649 ปีที่แล้ว +19

    Godliva is awesome in each way, Salama unajua mpka unaboa yani ni balaa

  • @choggysly3541
    @choggysly3541 ปีที่แล้ว +3

    Umeongea vizuri...Pili uislamu na ushirkina ni vitu viwili tofauti ulipata watu sio sahihi kabisa

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 ปีที่แล้ว +7

    Mi pia nakupenda sana Godliver Mungu atukuzwe kwa ajili yako

  • @Fatmafo6gojh
    @Fatmafo6gojh ปีที่แล้ว +4

    Hao marafiki ni sababu tu ya ww kurud ukristo coz haukua na Imani na amani na ujasir w kutosha w kufocus na dini ambayo ni ngeni kwko ata muislam ambaye ange shift ukristo ange do the same even if asingekutana na marafiki hovyo.

  • @WahidYahya-bf4lq
    @WahidYahya-bf4lq ปีที่แล้ว +3

    mskini , nilikuhukumu ktk nafsi yangu kumbe kosa lilitokana na waislam wenyewe. ungepata misingi sahihi ya dini usingerudi kwenye ukristo

  • @noahyavinmlela859
    @noahyavinmlela859 ปีที่แล้ว +16

    Nazani Interview hii itakuwa Nzuri sana ngoja tuone

  • @gracejasson8690
    @gracejasson8690 ปีที่แล้ว +17

    Nlikuwa najiuliza kwa nini nampenda kumbe ndo maana 💞💞 Nakupenda wewe Dada jamani

  • @hilaryarande-gs8ht
    @hilaryarande-gs8ht 28 วันที่ผ่านมา

    Tha beautiful story of testimony of the blood of Jesus very powerful

  • @pastorvincent9851
    @pastorvincent9851 หลายเดือนก่อน

    Uliwekwa huru dada, baada ya Uhuru na gharama zake! Inafurahisha!

  • @AyubuKalukula
    @AyubuKalukula 27 วันที่ผ่านมา

    Polesana ulikutana na waislamu jina afu ukisema dini unakihukumu uislamu kwajiri ya hao matapeli umejichanganya sana mana hayo majini kanisani ndo kilasiku wanaombea sasa mwamposa na wenzie ndo kaziako yesu anafanyinini

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 ปีที่แล้ว +2

    Qur an inatosha sana kikubwa ni kujuwa vipi utaitumia kwa shida zako

  • @yassintaibrahim3541
    @yassintaibrahim3541 ปีที่แล้ว +7

    Nawapenda Wote Kwaajili Ya M/MUNGU 🙏🙏🙏😘😘😘

  • @user-sh7vv6wd3l
    @user-sh7vv6wd3l ปีที่แล้ว +1

    Hakuna muislam yeyote anemchukia yesu. ila nyiny wa kristo sio waelewa

  • @thomaslyimo1729
    @thomaslyimo1729 ปีที่แล้ว +13

    She is story teller, she is good and smart.

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ulikuwa ukipendeza sana ulipokuwa ukivaaa ushungi

  • @laoiyadi1176
    @laoiyadi1176 ปีที่แล้ว +16

    Ila salama ni mrembo jamani ❤️❤️ I love you 💚

    • @khadijasalama6074
      @khadijasalama6074 ปีที่แล้ว +1

      Ahsante ila ndivyo tulivyo masalama ama vp

  • @ramadhaninkondeja2018
    @ramadhaninkondeja2018 ปีที่แล้ว +11

    Dada huo ni mtihami ujue wislamu ni dini ya kweli Sasa wanachikifanya watu wengi hawaamini maandiko wànawafuata watu Hilo balaa Quran haijabakisha kitu, manake hata hao wanaosali halafu wanaroga au kwenda kwa wagani wote motoni

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 ปีที่แล้ว +5

      Kwa yesu ndo mahali sahihi hajakosea

    • @rizoibrahimovich605
      @rizoibrahimovich605 ปีที่แล้ว

      Inategemea unaenda Kwa mganga kufanya nn, kama unaenda kujikinga sidhani kama ni dhambi

    • @winfridahaule4364
      @winfridahaule4364 11 หลายเดือนก่อน +3

      ​@@rizoibrahimovich605Mungu ataki kuchanganywa Kinga ni Mungu pekee

    • @lilianmoyo9369
      @lilianmoyo9369 หลายเดือนก่อน

      Tuonyeshe alierudi kutoka wafu akakwambia hayo au ndio bendera fuata upepo

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dunia ni gereza kwa waislam na dunia ni dunia ni pepo kwa makafiri unajihisi km maisha umeyapatia kumbe ni starrehe ya dunia tu

  • @gaspamgasa2366
    @gaspamgasa2366 ปีที่แล้ว +7

    Thank u Jesus ulirudi ukristo nilikua nimeanza kkuchukia kujua kumbe we muislam tena fata mkumbo, abarikiwe baba aliekuombea, atukuzwe Yesu alikurwjesha

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 ปีที่แล้ว +1

      Sasa hata kama angekuwa muislam tena why umchukie?

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 ปีที่แล้ว +1

      @@brigithadidas5128 chizi huyo!

    • @happyhousekeeper
      @happyhousekeeper ปีที่แล้ว +2

      Chuki haitakiwi

    • @agnessjohn1222
      @agnessjohn1222 ปีที่แล้ว +2

      Wenzetu ushirikina nikawaida Yao ninao ndugu zangu ndio maisha Yao wamefilisika kwakuendekeza waganga wanaishi maisha ya hofu Sana wao kilamtu ni mchawi wanaishi maisha ya hofu siku zote

    • @annahulilo6719
      @annahulilo6719 ปีที่แล้ว

      @@brigithadidas5128 Yes! Chuki sio mbele za Mungu.

  • @virendavictoria5174
    @virendavictoria5174 ปีที่แล้ว +5

    Godliver my favourite and the best actress

  • @isacksaimon4532
    @isacksaimon4532 ปีที่แล้ว +2

    Huyu salama ana jua kuuliza sana

  • @hilaryarande-gs8ht
    @hilaryarande-gs8ht 28 วันที่ผ่านมา

    Ni dhairi waislamu wanatumia majini, sule akuwa wazi Kwa ilo,lakini DAMU,ya YESU Iko na nguvu ya toa Kila nguvu za giza

  • @arjunelly540
    @arjunelly540 11 หลายเดือนก่อน +1

    Salama mnafiki et hata mimi nampenda Yesu😂😂😂😂😂

  • @alphredinaalphonce7043
    @alphredinaalphonce7043 ปีที่แล้ว +3

    Kumbe nishomile mwenzangu🥰🥰

  • @jacquelinekahamba7872
    @jacquelinekahamba7872 11 หลายเดือนก่อน +1

    yote maisha cha muhimu kumjua Mungu

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda God live

  • @jacksonkendavis8689
    @jacksonkendavis8689 ปีที่แล้ว +15

    I LOVE YOU GODLIVER..YOU ARE SUCH AN INSPIRATION!!!
    🔥🔥❤❤❤💥💥

  • @deborahkabwe6057
    @deborahkabwe6057 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda Sana dada kazi yako nzuri sana

  • @amazing_grace5392
    @amazing_grace5392 ปีที่แล้ว +4

    She is very humble

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว +3

    💙Yeah nakupend sana 😘

  • @mwanahamishassan8017
    @mwanahamishassan8017 ปีที่แล้ว +1

    unafanya kazi yako vizuli dada Ana mungu akubariki

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 3 หลายเดือนก่อน

    Safi dada una ujasiri wa kusema habari za Yesu kwa ujasiri mkubwa

  • @michaelchuwa1879
    @michaelchuwa1879 ปีที่แล้ว +12

    It's marvelous interview waited along time .

  • @pendondossy4181
    @pendondossy4181 ปีที่แล้ว +3

    Yan salama na Godliver❤️❤️❤️❤️💋💋💋

  • @rodrickmataba8999
    @rodrickmataba8999 ปีที่แล้ว +3

    Shout out kwa Mwanangu Mboghochov...

  • @mercynina6288
    @mercynina6288 ปีที่แล้ว +9

    Asante YESU aliekurudisha mtoto wake! There was a reason @godlivergordian

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 ปีที่แล้ว +2

      Akikuchagua hupotea, utaenda na kurudi nyumbani Kwa Bwana, hallelujah on that. Sifa na utukufu anao yeye.

  • @hawasapi5480
    @hawasapi5480 ปีที่แล้ว +9

    I never watch interview za kiswahili like this hadi mwisho, I love this actress.

    • @ngoni7944
      @ngoni7944 ปีที่แล้ว

      But English belong to white people

  • @laurenciam2i459
    @laurenciam2i459 ปีที่แล้ว +5

    Thank you for coming back to Christian 🙏

  • @lovelyliliy5822
    @lovelyliliy5822 4 หลายเดือนก่อน

    Ulishajua sio watu sahihi ungetafuta watu sahihi wangekusaidia km kweli ulikua na nia na unaupenda uislamu

  • @Nadia-fg8yr
    @Nadia-fg8yr ปีที่แล้ว +3

    Salama,, ni mzuri ,,hazeeki,,,love salama,,❤❤

  • @azinarashidi5204
    @azinarashidi5204 ปีที่แล้ว +7

    Nice interview

  • @lucydelina1749
    @lucydelina1749 ปีที่แล้ว +1

    Salma my dada kaz nzuri sana na godlvar

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 ปีที่แล้ว +5

    Sijui Christina Shusho anafuatilia hii Interview🙂 Nadhani akiangalia atakuwa mtu ambaye alikuwa mwanzo... Mnyenyekevu

  • @ilhamrachel8474
    @ilhamrachel8474 ปีที่แล้ว

    nampenda sna hyu dada kutoka moyoni i wish nije kuwa kma yy mbelen coz napend sn uigizaji

  • @user-xw6ml2uy9v
    @user-xw6ml2uy9v ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda❤❤ dada Ana MUNGU awe nawe

  • @jacklinenestory9945
    @jacklinenestory9945 ปีที่แล้ว +1

    Jaman kitu cha bk hicho nakupenda mno anna

  • @brendagabriel2052
    @brendagabriel2052 ปีที่แล้ว +1

    My biggest brother khaaaa kinge hiki hahahaha, my Elder brother

  • @BhokeWarioba
    @BhokeWarioba ปีที่แล้ว +1

    Woooh ubarikiwe sana anna

  • @cailesatieno4998
    @cailesatieno4998 ปีที่แล้ว +2

    LOVE HER SO MUCH❤❤❤

  • @bustani-inn7328
    @bustani-inn7328 ปีที่แล้ว +4

    Great interview ila part 2 siioni

  • @abdul-razaksheha7793
    @abdul-razaksheha7793 ปีที่แล้ว

    Nawachukia hao marafik waliokusumbua Kupitia uislam but I love 💞 so much anna

  • @dullydullahsenior756
    @dullydullahsenior756 ปีที่แล้ว +2

    Godliver 🔥🔥🔥🔥🔥❤️🏆

  • @rukiaussi2764
    @rukiaussi2764 ปีที่แล้ว

    Nakukumbuka kweny nusura ulikuw mke wa cheche❤

  • @ahiakkessy5949
    @ahiakkessy5949 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda salama

  • @jelistinajoel5888
    @jelistinajoel5888 ปีที่แล้ว +6

    Dah umemleta mtu Makin Sanaa🥰💓

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 ปีที่แล้ว +2

    It's true. Getrude she is the best

  • @catherinemathew5742
    @catherinemathew5742 ปีที่แล้ว +1

    I love u Anna wa jua kal.....

  • @angelraphael4500
    @angelraphael4500 ปีที่แล้ว +1

    Ubungo kisiwani my best school,,

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 ปีที่แล้ว +10

    She knows what she is doing 🔥🔥

  • @user-lm2rc7qm5d
    @user-lm2rc7qm5d ปีที่แล้ว

    Sio tuu nakupenda nakupenda zaidi yasana

  • @rosegideon336
    @rosegideon336 ปีที่แล้ว

    God bless u sanaaa

  • @saidimtera6665
    @saidimtera6665 ปีที่แล้ว +2

    Nice show

  • @irenemlay9769
    @irenemlay9769 ปีที่แล้ว +2

    Nampenda sana huyu dada jamani

  • @siasia5469
    @siasia5469 ปีที่แล้ว +3

    Wale marafiki zako walikua si watu wazuri walikupeleka uko kwaajili ya kukuangamiza tuu na si kukulinda ilikua ni kwa manufaa yao

  • @user-sh7vv6wd3l
    @user-sh7vv6wd3l ปีที่แล้ว

    Hukuingia kweny uislam. Si kwa7bu mungu

  • @zakhiamsuya4922
    @zakhiamsuya4922 ปีที่แล้ว +2

    Mzur

  • @modestamashoke9038
    @modestamashoke9038 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda huyu dada sana

  • @pendozakariya2601
    @pendozakariya2601 ปีที่แล้ว

    Nakupenda maira

  • @user-wp5ku3cf9i
    @user-wp5ku3cf9i ปีที่แล้ว +4

    Ubarikiwe sana mtumishi dada songa mbele hapo ulipo ndio mahali sahihi na unapokuwa Muslim umemkataa Yesu na kama umemkataa Yesu hauna wokovu hvyo usimuache Yesu tena

    • @ASIMOnlineTv
      @ASIMOnlineTv ปีที่แล้ว +1

      Pole sana yesu ni nabii wa mwenyezi mungu (Allah)

    • @user-wp5ku3cf9i
      @user-wp5ku3cf9i ปีที่แล้ว

      Hakika Yesu Ni Mungu Quran 3:56

    • @fatmamohamed6812
      @fatmamohamed6812 ปีที่แล้ว

      ​@@user-wp5ku3cf9i astaghfirullah

    • @fatmamohamed6812
      @fatmamohamed6812 ปีที่แล้ว

      ​@@user-wp5ku3cf9i soma quran 3:55,56,57,58,59,60,61,62.uielewe vizuri tafadhali kukumbusha kwa yaliyo ya haki ni sadaka 🙏

    • @user-wp5ku3cf9i
      @user-wp5ku3cf9i ปีที่แล้ว

      @@fatmamohamed6812 Nimesoma na sijajua wap hijaelewa hau unataka nielewe maana nimeiona quran ikiwainua wanaomfata Yesu Hukuna wokovu kwa Bila Yesu Inabidi ujifunze kwanni Yesu Abebe sifa kama mwanadamu na aitwe Mungu Shetani kawafanya waislamu wengi wa sijue nuru kwa hoja hafifu soma vitabu vitakatifu kwa lengo la kumfahamu Mungu usisome kama Muumini wa imani fulani kamwe hutajua nuru

  • @fatmasaidi5965
    @fatmasaidi5965 ปีที่แล้ว +1

    Big up

  • @alonto8159
    @alonto8159 ปีที่แล้ว +2

    I love this gal

  • @neemaandera5514
    @neemaandera5514 ปีที่แล้ว

    Penda sana❤❤

  • @omarkhamis4220
    @omarkhamis4220 ปีที่แล้ว +1

    Takbir

  • @jacklinejerr2447
    @jacklinejerr2447 ปีที่แล้ว +11

    short hair but smart😍 love you godliver

  • @JilbertDanifordMathayo-sn2gy
    @JilbertDanifordMathayo-sn2gy 2 หลายเดือนก่อน

    YESU NDO KILA KITU. SOURCE OF LIVE IS HIDEN WITHIN A NAME OF JESUS.
    Neno linasema amwaminie mwana Yu na Uzima.
    Tuache kiki ... Za kudukua followers mtandaoni!

  • @nasekilebwaya8925
    @nasekilebwaya8925 ปีที่แล้ว

    Wooh 😍🥰G

  • @melinaferuzi7842
    @melinaferuzi7842 11 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda wewe ni kitu usicho kijua❤

  • @kennedybernard564
    @kennedybernard564 ปีที่แล้ว +6

    aww i love her jamn 🥰🥰

  • @queenmwaweya9691
    @queenmwaweya9691 ปีที่แล้ว +4

    We dada ninakupenda mpaka najishangaa natamani siku nionane nawew lakini naona hixhokibali sina ila nakupenda sana Anna

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 ปีที่แล้ว

    Hawa waganga Mtihani sana

  • @samsoniadamu2727
    @samsoniadamu2727 ปีที่แล้ว +1

    Yan huyu dada jmn...nampenda mno mno

  • @ashahajji6876
    @ashahajji6876 ปีที่แล้ว

    Nampenda huyo dada htr

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 ปีที่แล้ว +3

    Wewe umeongea UKWELI

  • @leauwikunze3903
    @leauwikunze3903 11 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda wwe dda hujuwitu na omba siku moja tukutane my

  • @ramadhaninkondeja2018
    @ramadhaninkondeja2018 ปีที่แล้ว +1

    Yaani dada angu ungefata maandiko maana ushirikina ni Moja kati ya zambi zisizosameheka, ila mi naamini ukweli unajua sema tu umerudi kwenye ukristo kwa sababu ya wazazi pengine ila ukifa kafiki ni motoni. Wislamu umekataza Kila aina ya uovu but pole ila usibeep Tena kufanya hivyo dada angu

  • @shangweyussuf640
    @shangweyussuf640 ปีที่แล้ว +9

    Ulikutana na matapeli. Hawakuwa Muslims.

  • @aishasalehe9710
    @aishasalehe9710 ปีที่แล้ว

    Mwaaaa ana love you so much

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 ปีที่แล้ว

    ulikuwa umesimama vizur kwenye uislam shetani ukamkaribisha..ungekuwa imara tu kuamini Mungu mmoja usingewasikiliza marafiki wa sio na imani.

  • @mariambakari7796
    @mariambakari7796 ปีที่แล้ว +3

    Salama umenenepa Mashaallah

  • @JilbertDanifordMathayo-sn2gy
    @JilbertDanifordMathayo-sn2gy 2 หลายเดือนก่อน

    Labda kuenda uislamu ni Kwa maslahi Fulani.

  • @mmn7480
    @mmn7480 ปีที่แล้ว +2

    Wakwanzaaa

  • @christermademla5802
    @christermademla5802 ปีที่แล้ว

    Jaman nampenda uyu dada...

  • @mwajumasuleiman9767
    @mwajumasuleiman9767 ปีที่แล้ว

    Nampenda.ana.kama.ninavyo.kupenda.madam.salama.mmmmwaaaaaa