Salama Na ALLYBEE SE6 EP72| KULE NI KULE... PART 2 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 มิ.ย. 2023
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kwenye jiji la ‘Maraha’ hapa nyumbani kwetu Tanzania ambayo kwa miaka ya hivi karibuni sehemu za starehe zimekua tele na kila mmoja ana uwezo wa kula bata zake vizuri tu kulingana na urefu wa mfuko wake basi hakuna ambaye HAJUI jina la DJ huyu mahiri ambaye kwa ubunifu wake ameweza sana kubadilisha kabisa jinsi ambavyo wenzake walomtangulia walikua wanafanya. Yaani Ally alikichukua kitabu cha jinsi ya kutoa burudani kama DJ na kukichanachana na kisha akaanza kuandika cha kwake, ambacho mpaka tunaenda mtamboni kiiila msomaji wake anapeeenda ambayo yameandikwa na ambayo anaendelea kuyaandika.
Wakati msimu huu unaanza Ally Bee hakua moja ya majina ambayo yalikua yameandikwa kama mmoja ya watu ambao tungependa kujua story ya maisha yake, kutaka kujua nini kinampa hamasa ya kufanya ambacho anafanya na pengine mambo mengine tele ambayo atakua na uhuru wa ku share na sisi. Ila kuna siku nilikua nyumbani na Rafiki yangu ambaye pia ni mdogo wangu Ndugu Sadam Almando Sanare ambaye nilikua namuuliza maswali kuhusu Dj mwengine kabisa huku nikilalamika kuhusu huyo mtu kwamba pengine kuna jambo haliko sawa kuhusu simulizi zake za baadhi ya mambo maana amekua kama anaongelea sana skuizi, then yeye akaniambia kuhusu Ally Bee (binafsi hupenda kumuita Ally Bee kwasababu wote tunamjua nyuki, na ukali wake lakini asali yake sote ndo kama hivyo, hopefully it will make sense kwake someday 😄). So wakati ananiambia nami tayari nilikua nishamuona, basi mengine yakaendelea kwenye meza yetu adhimu.
Story ya maisha yake Ndugu yetu huyu ni ya mateso mengi sana, ila kwa sasa na hata pengine mwanzo kwa adha zote hizo tunamshukuru Allah kwa hayo yote maana hayo ndo yameleta hasira za yeye kutaka zaidi, kuomba zaidi na kufanyia kazi zaidi yote ambayo anayo leo. Ally anakumbuka jinsi alivyofika Dar es Salaam mara ya kwanza na pia amenihadithia adha ya kutokua na sehemu ya kukaa hasa unapokua umekuja mjini mara ya kwanza. Alinifanya nijiulize maswali mengi sana mimi kama binadamu wa kawaida kabisa, au ambaye Mwenyezi kanibariki kwa mengi zaidi ya wengine, nini nafanya kuwasaidia ambao nawaona barabarani? Au ambao hawana uwezo wa kunifikia lakini wana uhitaji? Kanifundisha kuhusu kutochukulia maisha au nafasi ambazo tunazo kwenye maisha yetu kwamba ni kawaida tu. Ki ukweli kila ambacho tunacho kwenye maisha yetu TUNA KILA SABABU YA KUMSHUKURU AMBAYE AMETUPA. Ila pia inabidi mara moja moja tujipigie makofi kwa mbali ambapo tumetoka na ambapo tumefika lakini zaidi tumuombe Mwenyezi Mungu azidi kutuimarisha na kutufungulia milango ya Kheri, ZAIDI.
Niamini mimi nikikuambia kuhusu kutoa, kwamba kutoa ni raha zaidi kuliko kupokea ingawa wengi wetu tunapenda zaidi kupokea, ukitaka kujua hilo jaribu kwa kuanza kumpa hata mtu zawadi ndogo tu, hata pipi ambayo alikua hategemei kama utampa au utakumbuka, sura yake itakueleza mengi hata kama yeye ataamua asikuambie kwasababu zake zozote tu. Ally alisaidiwa na mtu ambaye hata walikua hawafahamiani na kuamua kumpa hifadhi katika sehemu ambayo yeye alikua anakaa. Pengine yeye alipofanya wala hakujua kama Ndugu Ally atakuja kuwa mmoja wa ma DJ HODARI na Hyper Man bora ambae nchi hii imewahi kuona.
Leo ningependa tujifunze kuhusu hilo, kuhusu kuwa kind, kuhusu kuwapa watu nafasi kwenye maisha yetu na kutosubiri malipo kutoka kwao maana pengine yanaweza yasije lakini wewe tayari unakua ushamaliza kazi yako.
Yangu matumaini story ya DJ Ally Bee itakua na impact kwenye maisha yako kama ambavyo imekua kwenye maisha yangu.
Enjoy and stay BLESSED.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
TH-cam Link bit.ly/TH-camSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - บันเทิง
He is so adorable.......... not educated but well civilised and modernized! The content in his thoughts is so natural ...... then his aura is icing on the cake so much positive energy 🤩
I couldn't agree less..Am just seeing him for the first time but i love his vibe😂
Kuna nondo nyingo mno humu with the very funniest conveying way...I real hearted this sesseion✊🏿🫵🙌🙌🙌🙌
ally b anachosema kuhusu caring a parent when he's/her at bed sick and his/her whole life is a unlimited blessing ... am the witness it happened the same to me. sijawahi kukwama since my mom rest easy ... sababu ya baraka hizo hata nipate changamoto vipi zinatatuka atabila mimi kujua nashangaa tu am free from it ☺☺ #athumanii nondo nyingi pia tumeokota# thanks madam salama#
Asee uyu jamaa kaongea kwa hisia mpaka nimesisimka asee mungu akuongezee sana allybee big up sana man
Great entertainer and down to earth kind a person.Big up DJ Ally B.👍😊
huyu jamaa big brain sana ... halafu ana moyo wake mweupe, hauna makwasukwasu
Asante allybee
Mungu akubariki
Kazi na uhadili Kwa salama🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nimeipenda sana iyoo n hisia kali sana aiseeeee duuh dj all b umepita kwingi
It's a VIBE... Nice Man Ally B, keep pushing my brother. Bright mind.
Kila kaz unayopewa u take as an opportunity to get another job nakukubar dj ally B
Kidogo ametaka kufanana na mnyama TD, na mbwembwe zake 😂
akivyosema '' mama ''' to salama nimeshtuka 🤣 beautiful and true
Nime enjoy sana Leo na mwanangu dj ally b. Peace sana uyu jamaa. Kipindi naona kilikua kiufupi.
One of the best interview so far
Nasemajeeeeee, YahStoneTown ni true classroom
Huyu kaka amenifanya nijifunze vitu vingi kiukweli,la mhimu ni kuwa jitoe sana kumsaidia mzazi wako na hasa kipindi amepatwa na maradhi ,hajiwezi
Hilo vibe 😊😊😊ni fire mpaka namaliza kuangalia natabasam tuu
This man is the MAN ❤
Nilichojifunza Mwamba ana IQ kubwa mno🧠
Huyu mwamba inatakiwa itafutwe sessions moja awepo yy na TID nafikri itakua noma sana
halwezi kunoga coz t i d halnal vibe la huyu mwambal
Yaani katika salama na zote zilizopita ya leo nimefurahi sana
Jamaa kaongea ukweli wa maisha 🎉
Daaah hili ni darasa na lipo kwa kila mtu kama kuna mtu yoyote anaenda sivyo na wazazi na wapo hai basi arudi na kuwaangalia na tuishi vizuri na watu
Baraka ziko kwa wazazi na Wema ni Njia ya mafanikio yako kesho
❤❤😂😂bonge la interview nimefurahibna kuelimika kinouuma
This interview is so touching. Thanks Salama
Ally Is A VIBE Big Time!!!! Asumaniiiiiiiiiii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Great Show!!! Congrats to Salama and The Team!!!!!!
Nimeenjoi sana hii show, maverously interview
Nimejifunza nimefurahi ❤❤❤
Jamaa ameniliza so educative story
Ally B kanifikirisha Sana. Kaongea Mengi kama Hustler. Nmejifunza
I love the interview
Dj romijons,mdogo wake na mondi.alikuja kuliga mziki montana bar maeneo ya wazo contena..aisee alikuwa anapiga vibaya na kwa dharau..nyimbo anapandishia hovyo hovyoo.
Ally bee the dj....🙌🙌🙌🙌
Show qali sanaaa Salama walai big for Ally B and u too Salama jabiri ❤🇰🇪
Aisee Salama nakukubali saana kwa kutuletea watu waliojaa NONDO.Nimejifunza mengi sana kupitia maisha ya Ally bee ya zamani na ya sasa.Ni kweli katika utoaji na kuwasaidia wazazi na watu walio chini hua unabarikiwa sana...mimi ni shuhuda wa hili.We should live to touch hearts of others in one way or the other
KINDNESS IS FREE
Nimempenda Asumani
Athuuuuumaaaniii Naseeeemaaaaajee Naseeeemaaaje huna baya mwambaaa
One among the best interview
Tajiri...namkubali sana 🔥
nimefurah leo mwanzo mwisho
ALLYBEE PhD Holder
Kubwa kulikoo🔥🔥
One of the best interviews
Nimerudia hii mara mbili.....nimejifunza safi sana ...god bless you guys
Mimi pia
Duh! Nimeenjoy hii interview kwakweli, big up bro
Great stuff Man,,Great Stuff asee
Great interview!
Mlete tena uyo kwenye kipindi jamaa ana IQ kubwa sana namkubali kinoma noma
Sasa amlete tena wa nn wkt ushamaskia
😂😂😂
He is so funny❤❤❤❤😂😂😂😂😂
VIJANA TUNA FUNZO HAPA
Best interview
🎉🎉🎉 dj ali
Kali sana hii
Kuwa na watu wengi wanakuombea
Big up allybeeq
Blessings Athumani ❤
😂😂😂daaa ila brother AllyBee bhana watu walokaribu nae wana enjoy sana😂😂😂 asumaniiiiiiii
Best interview ever madini matupu
Best interview❤❤❤😅
Moshi town stand up 🔥
❤❤from 🇰🇪🇰🇪
💯👌🏽
❤❤ nimependa hii
one love brother
💯💯💯💯💯💯💯💯💯
The guy is very fun 😅
Jamaa hana Elimu lakini ana akili sana 21:11 kaongea jambo muhimu sana na la kweli
😂😂😂😂 huyu jamaa yuko funny
Hii ni shule ❤
100% 🔥🔥
Dah😅
Dah jamaa kaongea nondo sana
Aasumaniiiiiiiiiiiiiiiiiii!🤣😂
best dj
Asumaniiiii 😂😂😂😂
Inshallah
Hii ndo interview sasa
next naomba aje vunjabei please please
Asuuuuuumannnniiiii
Salama take your credit you stick to the theme
Nairudia mala kumikumi
14:57 😂😂😂
Yani salama hii interview amefulahi mpaka kajisahau kama yeye mtangazaji
Chaliangu Ali una nondo Kama zote wagumu tunadumu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Kazi sanaaaa
😂😂😂😂
😅😅😅😅
Best interview
next naomba aje vunjabei please please
Secondary ianzie hata darasa la 5 la 3 kama kweli ivi 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁
😂😂😂😂
next naomba aje vunjabei please please