Salama Na TID SE6 EP07 FULL SHOW|NYOTA YAKO PART 1|SendTip MPESA LIPA NO 5578460
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
NYOTA YAKO
Khalid Mouhamed Tidy aka TID ni familia kwangu, mimi na yeye tunafahamiana zamani sana na ukabila wa Mama zetu pengine ndo ulitufanya tuwe karibu kwa kiasi hicho. Tulikua na marafiki wanaofahamiana. Sote tulikua tunaanza kazi na utafutaji tukiwa pamoja na pengine kiu na ubora wa kazi zetu ulitufanya kipindi flani twende kwenye njia tofauti. Ila kina mmoja alikua anashinda mechi zake kwenye ligi yake na kutawazwa kuwa bingwa wa mashindano kadha wa kadha.
Nadhani yeye kuwa STAR mkubwa hapa Afrika ya Mashariki kulitokana na kujielewa kwake na kuwa mvumilivu wa mambo kwa kipindi kirefu. Usikuambie yoyote kwamba TID alikua star kwa usiku mmoja au, yaani alilala na kuamka then boom, hapana. Ilibidi afanye kazi nyingi, na watu wengi na kwenye hizo kazi ndo alikutana na Boss ambaye aliona kipaji chake na akamuunganisha na mtu sahihi. Baada ya hapo kazi ikafanyika na mengine yakafuata.
Alikua mkubwa kiasi gani lakini? Alipitia mitihani gani? Na kipi anajivunia sana kwenye fani yake? Yepi majuto yake? Lowest moment kwenye maisha yake ilikua ipi? Kama huwa anapata mawazo ya kutaka siku zirudi nyuma na pengine angefanya vitu kwa utofauti? Kina nani na nani wanamaanisha nini katika maisha yake? Muziki wa nyumbani umemfanyia nini kwenye maisha yake?
Wapi alisoma? Elimu yake ni ya kiwango gani? Ukaribu wake na Mama yake? Maisha ya sasa? Misukosuko aliyopitia miaka mitatu iliyopita ambayo ilimfanya aingie matatani na vyombo vya dola na mambo mengine mengi tuliyazungumzia humu. TID ana Kaka zake ambao wako naye karibu sana. Hilo nalo tuliligusia humu. Suala la yeye kuwa trend setter na mwisho wa siku hana faida anayopata kwa miaka mingi na nini hilo humfundisha pia hatukuliacha nyuma.
Haya yalikua maongezi ya mtu na rafiki yake wa siku nyingi, humu pia nilitaka kujua kuhusu well being yake na mipango ya sasa ikiwa ni pamoja na TV show yake ambayo inamfanya awe busy na kumpa yeye nafasi ya kuwa na mashabiki wake kwa karibu zaidi. Tidy ni mcheshi, na mwenye kujielewa. Hatukuacha pia kuongelea mahusiano yake na Marehemu Albert Mangwea na maswali yaliyokua yamegubika juu ya chanzo cha kifo chake na pia yeye kama Rafiki na star, nini alijifunza.
Yangu matumaini uta enjoy, utacheka na kuelewa baadhi ya mambo ambayo ulikua unajiuliza au pengine ulikua hujui kutoka kwa mmoja wa wasanii wa Bongo Flavour ambaye amesaidia kwa kiasi kikubwa kuutambulisha mziki wetu KIMATAIFA.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
TH-cam Link bit.ly/TH-camS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
I can't wait Chidibeezi kwa hichi kipindi. Good Job Salama Always na enjoy show yakoo. TID 😂😂😂😂😂lazima ucheke saana
Dah itkuwa ni noma sana😂
Sanaa TID anachekesha sana
Chidi anazingua… ajibu maswali ipasavyo sometimes
@@Kobe_254 inategemea nani anamuuliza and how unamuuliza ukimchora na yeye ana kuchoka mara 2 yake but Salama yupo seriously
This felt so short. He is truly talented, an awesome person all round. You can feel his energy.
I came here to confirm that TID is a Legend to Us in Uganda 🇺🇬 ( Nyota Yako)🎉🎉 ( TID, CHAMELEON AND MR NICE)
Amazing interview and his sense of humor is on flick
Hii
He's A Comedian he 🤣😅😂👋🤣👋🙌🏾❤️🇰🇪❤️🙌🏾nice vibing 💥👋🤣😂🤣
TID uko vizuri kujieleza halafu English imelala hapo boss
yaani i have enjoyed this interview sanaaaaaaaa......
Lady I love your hair cut, second the way you talk.
Now I have a question can we have a calendar not a date 🥰 calender have many days
I tried to talk tid one day but he's m7nd wasn't there, he's one if the best people in Tz and talented , wishing one day to see where he achieved
He is powerful,I like the way's talking!!!
Salama tuletee mwana wa ilalaaa, chi chi chi chi chid beeeeeenzzzzzz
I still enjoy the show....... sehemu nimeipenda Tid alipo mtag brother wake Abuudu Master......
Great video, your such a cool person Salama. And TID is funny .
😅😅😅😅 TId u will always be my no one artists
a classic interview ever...i love th energy ...ths is🔥🔥🔥🔥🔥
😄😄😄😄😄😄woow watoto wadogo
Uyu mbwaaa nampendaaa ukisoma hiii SMS njoo Sweden uinjoy one week TID
Mnyama sana huyu Mwamba
Hapo kwa Chidi Benze nimecheka sana… guy is a serious actor; but very talented.. I like his songs ni vile kizazi kipya hakimwelewi sababu sahii mziki biashara na sio talanta tena 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸🇺🇸😂😂
Big up tid real your top in dar Sasa kwa nn usipate kipindi say back then or olds gold
Curiously, I have been waited for that shit over miles
So did I!
Nmempenda jesca na gauni lake la maua...nmempenda sana.
Leo wamekutana wavunja Yai, nomaaaa sana.
I like you guys very much.
Salama is beautiful MashaAllah.
Be blessed buddy.
i apriciated TID long way ago he is the best in singing
I love the energy🤩
Amazing interview I really like it
I like u guys ❤️
TUNAMTAKA CHID BENZ MY CC 😂😂😂😂
Nampendaaa anaongea point sana 😂😂😂😂😂
watoto wadogoooo🤣🤣....tuwazamie nyambavuuuu🔥🔥🔥🔥🔥
this man is talented and so underrated sad sad sad
he is not underrated,around 2002-2007 he was at the pick,sema kuna kushuka kwenye mziki.kama ilivo kwenye biashara nyingine.
@@Ebendentalclinic2007 na mbele kidogo
🔥
Uyu kaka namzimia🇰🇪🔥,ni yeyeee,kama inakuja inakataa💯🔥🔥🔥🔥
Mzee kigogo mnyama Top iN Dar
TID is a comedian...😂🙌😂
For sure, he needs to do something to it
Rwanda loves you Tid
Nakubali very talented huyu ndo kamtoa mpaka majizo
TID speaking good English
Jina la Mr misifa halimfai Dully Skyse huyo ndo mwenyewe
TID appreciate legend 🔥🔥🔥
I laughed a Lot tuma na ya kutolea shukuru umetumiwa pesa
PEKEE,wimbo Bora forever.
Ilikuwa poa Sana! Ila haijaisha hii imekatikia njiani!!
I love this guy 😂😂♥️♥️
Tid is genius
Like a James Bond 007 😄😎
My brother is taking...watoto wa dogo🤣🤣🤣🤣
Jessica shikamo😂😂😂😂😂😂🙌
Jamaa so talented sana
An intelligent woman with an intelligent man. Mnasikia nyinyi wanaume mnao kimbilia wanawake ambao sio wa standard zenu
Tunatizama character bro
Tumesikia
@@salimkibwana4699 . Nice. Sio ukachague mke mkrugenzi au DC na mwanaume ni form 4 failure 😂. Kwanza lazima mta shindwana tu hata Kama utakua tajiri.
Hii English ya tid is another level hahaha nimecheka Sana
TID ni motoooo sana
😂😂😂Top in dar🙌
Nampend tid mashaalwah he si talented napend personality yak
daaah TID bana ameifanya siku yangu kuwa nzuri nimefurahi sssaaanaa 😁😁
Nimecheka sana Jessica we mtoto mdogo ntakupiga 🤣😂😂🤣🤣🤣
Nakubaliii legend T. I. D 🔥🔥🔥
1🧚🏽♀️
nzuri sana kwa kweli
Naona salama leo umeamua kutuletea tatizo studio
TID nimekupenda bureee
Dah... I have never laughed out loud like today...😂😂😂
Huyu mtu nimekosa muda wa kumsikiliza kabsa nimeskip hii interview more and more and now nimeshindwa kusikiliza
Unamjua tid top in dar WA zeze nyota yako ⭐💥💥💥
Huyu jamaa ana kipaji kikubwa sana sio mziki tu alifanya move inaitwa Girl friend kibongo haijawah tokea pia alikuwa mtangazaji magic fm bado alifanya vizur pia ndo mtu alie mtoa Majizo na wengine wengi
kumbe sijawahi kujua
Daah nimecheka 😂😂
TID upo Vzr broo
TopInDar😁🙌🔥
Watoto wadogo 😀😀😀😀😀
I like this guy ki ukweli.
🔥🔥🔥🔥🔥
NYIE HUYU JESSICA WOOOSHII
Kichaa Wetu *TID* nyota yako
Mnyama ana flooww
Mnyamaa
2nd to comment 🔥🔥
🤣🤣🤣🤣🤣aka yani huyu jmni
Nimejikuta nacheka maneno ya TID suit style yake pasua nijambe jamaniiiii🤣🤣🤣
🔥
Big fun tidy
Chid benz aje pia
watoto wadogo😂😂😂
Panki kama la lucas mkenda. Salama utakuwa umemjua ni nani..hahahahahah..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah TID wee ni noooma
Pasua nijambe 😂😂
Uko na chaf apoo ahahahah ni yeye
TID.
A bet u wil never gon pick harmonize coz of what u have said about him type shi u know wht I mean
M
Tid amezeeka maskini
Wig?😂😂😂😂😂😂
Viti ndio vinaboa Salama Jabir na kingine kwanini huwa unavaa nguo nyeusi kwenye hiki kipindi chako?
Salama embu siku mtafute nay wa mitego katika hiki kipindi
MVUTO WA KUOLEWA AU KUOWA
m.th-cam.com/video/HdR6_C_pnto/w-d-xo.html
HD msasa official KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomfunika MBOSSO KHAN th-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/w-d-xo.html
2024 I HATE U NIMECHEKA LEO
Uyu jamaa chizi sana
Jesca hanadili nguo sorry lakn
Unaangalia vibaya
He is no longer top in dar. No longer tid days. Don't lie
nampenda sana Mnyama..
th-cam.com/video/oiFLHQq375g/w-d-xo.html
🔥🔥🔥🔥🔥
Eti pasua nijambe 😂😂😂
😆😆😆