RAIS Mpya wa IRAN aivimbia Marekani, asisitiza urafiki na URUSI na CHINA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 48

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 28 วันที่ผ่านมา +14

    Hakika sikuzote Iran ipo kweny haki big up 🇮🇷🇷🇺🇹🇿

  • @nassoromfumya7319
    @nassoromfumya7319 28 วันที่ผ่านมา +8

    Nilitamani sana kusikia hiyo taarifa, afadhali Sasa kazi iendelee.

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 28 วันที่ผ่านมา +8

    Wqoooo nmekupenda bure asante sanaa raisi kwa kuitambua urusi

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw 28 วันที่ผ่านมา +5

    Asante ezechian,kwa kucaguwa upande mzuri china na urusi.ongera...

  • @emmanuelsegeche7197
    @emmanuelsegeche7197 27 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu jamaa naona atakua tishio zaidi kuliko Ebrahim Rais maana anajua vizuri sana wamagharibi sio watu wazuri

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 28 วันที่ผ่านมา +4

    Safi sana hapo kidogo naanza kuwa na iman na ww sasa

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 28 วันที่ผ่านมา +5

    Sasa marekani hofu yake nn mana km silaha za nyuklia yeye anatengeneza ss irani isitengeneze woga sana

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 28 วันที่ผ่านมา +3

    Congratulations mr prisdent fr🇹🇿💪💪

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 28 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana, Russia forever 🇹🇿

  • @rogersanga3235
    @rogersanga3235 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mwenyezi Mungu amsimamie

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 28 วันที่ผ่านมา +3

    Safi sanaaaa

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 23 วันที่ผ่านมา

    Mungu ahsante..

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 28 วันที่ผ่านมา +2

    Moto ni uleule

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 28 วันที่ผ่านมา +2

    Tunaendelea tulipoishia kwelikazi iendelee

  • @emmadora7848
    @emmadora7848 28 วันที่ผ่านมา +2

    Wasikukute kwenye helicopter zao😂😂😂😂😂, all the best kwenye majukumu yako Mr president

  • @user-lt9yx2mh9k
    @user-lt9yx2mh9k 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kabisa 🎉🎉❤❤

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 23 วันที่ผ่านมา

    ❤❤

  • @omeraJR
    @omeraJR 28 วันที่ผ่านมา +2

    Hatuna shida nae akafie mbali🤣

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 28 วันที่ผ่านมา

    💥💥👑👑

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 28 วันที่ผ่านมา +2

    Siku zote mshiha achana nae kabsa toka enzi za Vita ya iraq Vs iran ,iran ilipoteza raisi waziri na makamu ila bado walizipiga iraq marekani usoviet kwahyo watu hao hawana cha kupoteza wakimvimbia marekani

    • @jonasmrema8550
      @jonasmrema8550 27 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 yaani Una vichekesho

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c 27 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 28 วันที่ผ่านมา +1

    🇹🇿🇹🇿🌹🇹🇿

  • @RajaaRajaa-id5wx
    @RajaaRajaa-id5wx 28 วันที่ผ่านมา

    Nakubl

  • @user-yd3me5rr2z
    @user-yd3me5rr2z 28 วันที่ผ่านมา

    Big up mr president ❤❤❤❤

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 23 วันที่ผ่านมา

    Nimeirudia Mara 3..ili nieleweee...mwaliko wa waziiii kwa wale wanaotaka kushirikiana nasiii😊😊😊❤❤China urusi no 1...wengine mkitaka mjeeee .....habar kubwa yenye akir❤

  • @user-gg8pd7rf7x
    @user-gg8pd7rf7x 27 วันที่ผ่านมา

    Like dat 🇮🇷🙌🙌🇮🇷

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 28 วันที่ผ่านมา

    Teeena

  • @HashimOlomi
    @HashimOlomi 28 วันที่ผ่านมา

    Hakika irani inanguvu

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 27 วันที่ผ่านมา

    Kumbe anavimba alafu anaogopa kutengeneza nuclier

  • @user-eb3hf1lm9e
    @user-eb3hf1lm9e 28 วันที่ผ่านมา

    Pgne hayo mashoga

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 27 วันที่ผ่านมา

    Muungu mbariki huyu raisii

  • @AsheriChonya
    @AsheriChonya 27 วันที่ผ่านมา

    Dah afazali,,tulizani hili no mamluki la magharibi,,kumbe mtu yumo,,afadhali

  • @user-ox1ce7iu8i
    @user-ox1ce7iu8i 28 วันที่ผ่านมา +1

    NAONA BARA LA ASIA SAIZ WAMEJIPATA MAAK SI KWA DERBY HII
    USA ft ( RUSSIA , IRAN , CHINA ,INDIA etc)

    • @idrisakasuwi7865
      @idrisakasuwi7865 28 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅 hawatak mchezo wembe ni ule ule

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 28 วันที่ผ่านมา

      Yaani kabisa na India ukaiweka hapo😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @jonasmrema8550
      @jonasmrema8550 27 วันที่ผ่านมา +1

      Yaani India akawe pamoja na Iran na China 😂😂😂 amka bro

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 27 วันที่ผ่านมา

      @@jonasmrema8550 Tena aamke asije akajisaidia kitandani

  • @frankwilliam144
    @frankwilliam144 28 วันที่ผ่านมา

    Marekani kazi anayo

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 27 วันที่ผ่านมา +1

      Unaota 😒😒😒

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-nb6yh2bn9ymarekani mashoga

    • @daviddeus6437
      @daviddeus6437 27 วันที่ผ่านมา +1

      Anaota ndoto ya mchana

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 27 วันที่ผ่านมา

      @@user-nb6yh2bn9y marekani mashoga

  • @IdrisaAbdallah-ze2cq
    @IdrisaAbdallah-ze2cq 28 วันที่ผ่านมา

    Arra akupenguvu

  • @user-ts9lp4rm9j
    @user-ts9lp4rm9j 27 วันที่ผ่านมา

    Hyu jamaa ukimtazama usoni unajua kbca n muongo

  • @elinathanbanka5485
    @elinathanbanka5485 28 วันที่ผ่านมา

    Mm namtaka Elia mpanzu wew unaongelea rais wa iran😢