RAIS Ibrahim Traore NOMA Akacha Gari la kifahari atembea kwa miguu, Wananchi wapagawa kwa furaha.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • #SAUTDIGITAL l #HABARI l #RadioSAUTFm l #sautdigitalupdates#ibrahim

ความคิดเห็น • 108

  • @SihabaMsechu
    @SihabaMsechu 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hakika tuzidi kumuombea inshaalah ,mungu amlinde na ampe maisha marefu yenye Faida kwa watu na mbele za Allah,,

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu mkuu amlinde kiongozi uyu kijana. Amen.

  • @rashadally6871
    @rashadally6871 3 หลายเดือนก่อน +20

    Mungu amlinde huyu mwamba

  • @MatanoTendegwa
    @MatanoTendegwa 3 หลายเดือนก่อน +9

    Ingekua anapigika fotokopi tungempiga moja kwa ajili ya apa kwetu kenya mungu amlinde inshallah

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 3 หลายเดือนก่อน +23

    Kwa kweli Hawa wamepata Thomas Sankara! MUNGU ajalie nasi Tukipata Magufuli mwingine na sisi tutang'ara kama wao!

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 3 หลายเดือนก่อน +2

      Magufuri nipigo kubwa sana kwetu Mimi kwasasa hakuna ninae muamini

  • @EmmanuelGabriel-zm6nv
    @EmmanuelGabriel-zm6nv 3 หลายเดือนก่อน +7

    Africa inahitaji viongozi aina ya Ibrahim traore

  • @AloneChuga
    @AloneChuga 3 หลายเดือนก่อน +16

    Tulikuwa na moja tu Tanzania,Dr john magufuli

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu ni zaidi ya Magufuli.Hataki magari ya Kalahari, anasisitiza upatikanaji chakula kwa kuwawezesha wananchi nk

    • @princeganji2779
      @princeganji2779 หลายเดือนก่อน

      Eti magufuli hahahhahha

  • @StevenMwaweza-b2b
    @StevenMwaweza-b2b 24 วันที่ผ่านมา +1

    Good

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ibrahim Traoreeeeee
    Ubarikiweeee bababbaa

  • @mugambifredrick-r9s
    @mugambifredrick-r9s 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ata huku kwetu Kenya 🇰🇪 tulikuwa na rais mmoja tu; Emilio Mwai Kibaki. Mungu ailaze roho yake pema peponi.🙏

  • @issamushi6389
    @issamushi6389 3 หลายเดือนก่อน +3

    May God bless him,am Writing in english this to show the these evils of western country that we bless Ibrahim because we want Africa to be free and they have to leave us and our resorces,enough is enough

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo หลายเดือนก่อน

    Big up ibra mungu akulinde na maadui

  • @DanKanyange
    @DanKanyange 3 หลายเดือนก่อน +6

    Nampenda sana huyu Raisi Traole

  • @evanceomondi3890
    @evanceomondi3890 หลายเดือนก่อน

    I like his leadership style

  • @BakariMtangenange
    @BakariMtangenange 3 หลายเดือนก่อน +6

    Baada ya Gaddafi Africa ndio kapatikana uyu mwamba hapa anamambo mengi

  • @shabanbisaki
    @shabanbisaki 3 หลายเดือนก่อน +2

    Namukubali sana

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 3 หลายเดือนก่อน +6

    Rais wa afrika

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 3 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu mwamba Mimi huwa namwelewa sana

  • @NikolausMnanka
    @NikolausMnanka หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @AmadeSalimoSalimo-gw8ij
    @AmadeSalimoSalimo-gw8ij 3 หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉🎉mungo ❤❤❤inusuru 🎉🎉🎉 África kupitiya viyongzi hawaaa.

  • @ameabdalla4697
    @ameabdalla4697 3 หลายเดือนก่อน

    Masha allah

  • @daudchola
    @daudchola 3 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉I like this

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 3 หลายเดือนก่อน +8

    Huyu mwamba ni kiongozi hasa

    • @issamushi6389
      @issamushi6389 3 หลายเดือนก่อน

      Ingekuwa bongo hyu cjui kma angweza

    • @issamushi6389
      @issamushi6389 3 หลายเดือนก่อน

      Amewekeza dola milioni 8 kwenye kilomètres sisi dola millions 20 naa,kwenye vx na hku watu maji umeme shida,anachukua asilimia 30 kutoka kwenye uwekezaji wa dhahabu sisi ni asilimia 16 zisizojulikana zinafnya nn maana dawa shida maji sida umeme shida kila kitu shida😢

  • @jacobnyamai-d3h
    @jacobnyamai-d3h 2 หลายเดือนก่อน

    Moja kali kinara

  • @DansonMtambi-fq2ff
    @DansonMtambi-fq2ff 3 หลายเดือนก่อน +4

    Huku kwetu tuna mama anaoupiga mwingi😂😂😂😂😂

  • @gonanzaro5580
    @gonanzaro5580 3 หลายเดือนก่อน +5

    Ruto must go

    • @ThilkadriJuma
      @ThilkadriJuma 3 หลายเดือนก่อน

      Shenzi sanaa . He is going no where

  • @SHAIBALI-z5b
    @SHAIBALI-z5b หลายเดือนก่อน

    Allah azd kumpa nguvu

  • @dismassmaranga8903
    @dismassmaranga8903 3 หลายเดือนก่อน

    I salute him from Kenya bravo

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba wa tunakukubari sisi waafrika ambao tunaona nchi zetu zilivyo na unyanyasaji wa rasilimari zetu za Kitaifa ambanzo Mwenyezi Mungu wew JPM. Nakuombea Brother Ibrahim Thraole utupe nafasi sisi vijana wa Afrika tufike uko kwako

  • @gauchogaucho7583
    @gauchogaucho7583 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hiii chanelii safii sanaa

  • @EwaldAntony
    @EwaldAntony 2 หลายเดือนก่อน

    Natokea Tanzanian na mkubali sana

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yani mpaka laha

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 หลายเดือนก่อน +1

    Natamani kutoka magufuli tungepata rais kama huyu inchi ingejengwa sasa tumebaki yatima hakuna kinacho enderea zaidi ya maneno

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 3 หลายเดือนก่อน +4

    Rais anaependwa na watu kwa mioyo yaooo..kama alivyopendwa Magufuri na wanainchi....sio Rais anaefatwa na watu kwa upambeee kama huyu tulienae sasa....hatuna hamuuu kabisaaa

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 3 หลายเดือนก่อน

      Weacha tu tunaumia ila sasa wapi tutasemeea tuvumilie tu ila tumemchoka wengi

  • @ArexIsacka
    @ArexIsacka หลายเดือนก่อน

    Ninatamuka kwajina layesu hatakufa hadi akamilishe kaziyake

  • @seifusengondo9170
    @seifusengondo9170 3 หลายเดือนก่อน

    viva afrika

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa mbaali nimeona na Bendera ya Urusi ikipepea

  • @suddytele3692
    @suddytele3692 2 หลายเดือนก่อน

    Magufuli freva

  • @MasanjaLucas-jf9cg
    @MasanjaLucas-jf9cg 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watu weusi wanakoswa tu kiongozi mwenye kuwa upande wao,,lkn wapo tayar kutawaliwa na mtu mzalendo 1 tu Africa

  • @lucasngalawa8826
    @lucasngalawa8826 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu sasa ndo Mwamba

  • @NizaMwandanji
    @NizaMwandanji 17 วันที่ผ่านมา

    Viongozi Wana mna hiiii ndio tunao wataka Africa, wasio jua kujikweza,wanao Hali wananchi wake wasio yumbishwa

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840
    @zakariapaulowiliamuwiliamu1840 2 หลายเดือนก่อน

    Wachache katka wengi

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani9905 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mwamba huyo hapo

  • @AlexNikola-ky2dm
    @AlexNikola-ky2dm 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe rais na kukubari sana endelea na mwendo huohuo

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 2 หลายเดือนก่อน

    YIYI NDUGUZAGU WA SAUT DIGITAL WADISHI AU WATU WA MIDIA KAZIYENU KUKASHIFU NCHIYENU MTU ANASIFIA KITANDACHAKE ANACHO LALIA HATAKAMA KIBOVU

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yani nikiskia au kumwona iblahim taole nikama namuona jpm mana nasisi watanganyika tulitamba sana tulijiona tuna laisi gaflatu jamaa wakafanya Yao tukaingia au tukaludi msoga , Leo nizam ya BURKINAFASO nao wamepata jpm wao naomba mungu alinde huyu jpm wabukinafaso ipo siku ataludi wakwetu

    • @issamushi6389
      @issamushi6389 3 หลายเดือนก่อน

      Wee Acha tu mungu amlaze pema leo tunachukua asilimia 16 kwenye dhahabu Ibrahim wa juzi t anachukua asilimia 30,sijui ss mwisho wetu nn

  • @rajabumshana8167
    @rajabumshana8167 หลายเดือนก่อน

    Mzalendo Magufuli amekufa Tanzania amezaliwa Bukina Faso

  • @KikuvinDalton-sq2ny
    @KikuvinDalton-sq2ny 23 วันที่ผ่านมา

    Kwa Nini usimuige uyu kiongozi kijana ? n'a uliza kihongo wa taïfa ya Congo.

  • @newbornhaule
    @newbornhaule 3 หลายเดือนก่อน

    Hakika magari mazuri Ac,mziki mzuri viyoyozi lakini RAIA hawana huduma nzuri za afya ,chakula na nk inaleta Raha gani? Kizazi cha Afrika kinaanza kuuona sasa uzalendo tuliosimuliwa na kuuona kwa uchache sana

  • @mamohamed1252
    @mamohamed1252 3 หลายเดือนก่อน

    Samahani jitahidi matamshi sahihi na majina. Kwa kweli unashida

  • @basilsimon676
    @basilsimon676 3 หลายเดือนก่อน

    Tatizo bongo tunayumba sana Mangu alivoanza tukarefusha midomo na alisema tutamkumbuka ngoja kwanza akili itusogee vizuri ndo tuwe na heshima apa mji bado hatujasema vizuri

  • @MashauriissaMohamed
    @MashauriissaMohamed 2 หลายเดือนก่อน

    Kama wewe ni kiongozi jifunze 3:24

  • @NicoleMakaveli-wr6mm
    @NicoleMakaveli-wr6mm 3 หลายเดือนก่อน

    Raisi akitembea kwa mguu ni inakuwa ni tarifa??

  • @EmanuelNicholaus-of1qg
    @EmanuelNicholaus-of1qg 3 หลายเดือนก่อน +1

    I see Magufuli spirit in this President

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 2 หลายเดือนก่อน

    JPM wetu na alikuwa kama huyu mwamba

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 3 หลายเดือนก่อน +1

    Chiz

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 3 หลายเดือนก่อน

    What i like about Traore he is so BISHOO,,he cant shake hands he only give 5,,,No corona hahahaa young presidents suits the world

    • @simontamba1285
      @simontamba1285 3 หลายเดือนก่อน

      Fact said madam respect to you
      Us is shetawn

    • @Massy-g9c
      @Massy-g9c 3 หลายเดือนก่อน

      You want him to be poisoned through handshek !!??

  • @richardrenatus9582
    @richardrenatus9582 3 หลายเดือนก่อน

    SASA ZAMU YA TUNDU LISSU, 2025 UNDER CHADEMA

  • @maase2023
    @maase2023 3 หลายเดือนก่อน +1

    Utawala wa mabavu umepitwa na wakati na hautakiwi hivo lazima aondolewe traore na nchi ufanyike uchaguzi mpya wa kihalali

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 3 หลายเดือนก่อน +2

      Tulia huwenda wewe ni ccm maana ndio mawazoyenu mgando

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 3 หลายเดือนก่อน +3

      Uliwahi kuona wanannchi wakiandamana kiongozi abaki madarakani ama unaropoka jifunze siasa wala ajalazimisha kubaki wanannchi wote hawataki aondoke hata ingelikua ni tz yangu Mimi ngemuunga mkono

    • @maase2023
      @maase2023 3 หลายเดือนก่อน

      @@abubakarimussa9131 ufanye maandamano burkina faso hujui kufa nn? Yule ni muuaji ww sio kama ruto msomi na mpole wa tabia! Traore anatembea na bastola 4 sasa ww huoni kama ni muuaji huyo

    • @maase2023
      @maase2023 3 หลายเดือนก่อน

      @@abubakarimussa9131 huyu traore hamna kitu ataondolewa muda wowote

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 3 หลายเดือนก่อน +1

      umekula kande uende ukanye sasa huna akili hata moja

  • @ObadiahMutambo
    @ObadiahMutambo 2 หลายเดือนก่อน

    𝑁𝑎𝑘𝑢𝑜𝑚𝑏𝑒𝑎 𝑘𝑤𝑎 𝑚𝑢𝑛𝑔𝑢 𝑢𝑤𝑒 𝑐ℎ𝑎𝑐ℎ𝑢 𝑘𝑤𝑎 𝐴𝑓𝑟𝑖𝑐𝑎 ,,𝑛𝑖 𝑘𝑤𝑒𝑟𝑖 𝑚𝑎𝑟𝑎𝑖𝑠 𝑤𝑎𝑚𝑒𝑘𝑢𝑤𝑎 𝑜𝑚𝑏𝑎𝑜𝑚𝑏𝑎 𝑡𝑢𝑠𝑎𝑖𝑑𝑖𝑒 𝑤𝑎𝑎𝑓𝑟𝑖𝑐𝑎

  • @SHAIBALI-z5b
    @SHAIBALI-z5b หลายเดือนก่อน

    Allah azd kumpa nguvu