Lawyer anamadini sana, ila sma mtafit sana na ally mdadisi sana wa vifaa mbali mbali vyakivita na anaijua siasa ya kijeshi. Siku zote huwa nawawek kweny haya makundi matatu ila nawaheshim sana uncles, maan mi niko na 19yrs, na kunakitu smaa uliwai kusem- watanzania wengi tuliopo abroad tunatamani sana nchi yetu to allow duo citizenship so we can invest back in our country but this Sims like a trap to our government, I'm so sad for that😢
I'm ll watching GPS from seattle Washington, I love you guys na sikutegemea kuona combination ya dj,royal,student engineering wakawa na madini kiasi hicho, big up bro sky and God bless u all.
Uchambuzi wenu ni wa Kisayansi sana. Uelewa wenu ni wa kitaaluma tena kwa ngazi ya juu sana. Hongera sana. Hata Waislamu walio wengi hawana uelewa ngazi hiyo.
Ile jamhuri ya mapinduzi ya Irani , haiwezi kwenda sawa na magharibi na irani anaipinga Israel % how come aende sawa na magharibi pale khamaney ndo muamuzi wa mwisho
Kitu wachambuz hamjakielewa hakuna kulisi nchini IRAN balaza la maulama kiongoz mkuu wa kidini Iran akifaliki lile balaza miongoni mwao anapatikana kiongoz mkuu wa kidini
Iran hata Rais awe nani, mwenye maamuzi ni Ayatullah Khamenei na lile baraza lake la viongozi, na inapokuja kuhusu maslahi ya taifa lao, Iran husimama kwa pamoja bila kujali misimamo ya Rais wao, na wao wakigundua Rais ni kibaraka basi wanamfyekelea mbali
Kiongozi mkuu ndani ya lran anakuwa sauti tuu lakini maamuzi makubwa ndani ya nchi ni aigc control lran na bunge na ndio lnayoshikilia uchumi amatoller Khomeini ndio alioifikisha nchi ya lran kujulikana kimataifa na kushikilia msimamo wake ktk mashariki ya kati lran lnaanza kuondoa vikwazo kutumia njia nyingine kujikwamua ktk kuleta maendeleo ktk serekali ya lran lran hawezi badilika msimamo wake
Pezeshkian keshasema wazi kuwa yeye anaamini kuwa Khamenei ndiye kiongozi mkuu na hawezi kwenda kinyume na anavyoamua kiongozi huyo mkuu. Iran ins sera madhubuti inayojengwa na msingi na dini ya Kiislamu.
Naika Iran miaka 10 kwakwwli huyu pezekian kuna mambo atabadilisha ndani Ya Iran sana sana sheria zinazo husu Wanawake (hijabu....) ila kuhusu ku support hizbullah huthi Palestine daah hayo hawez kuyafikilia maana Huu ndio msingi wao
Hii chanel, babu kubwa,, hakuna ngonjela hum, taarifa zao ni uhakika! Zisizo na upendeleo, wala ushabiki, naiweka ubora wa hali ya juu,, naitabilia itakua bora zaidi bbc.
😂😂 uchaguz unasiri nyingi hicho huenda c kipimo Cha sahihi Cha uzalendo wa watu kwa nchi Yao Je Tz wazalendo kwa chama tawala sababu nchi nzima karbu wabunge wote ccm
Mkuu Marekani ndo nchi yenye wazalendo 1 duniani hakuna mfano.Ndo maana wako radhi wakushughulikie ww Kwa ajili ya taifa lao mkuu.Russia Putin na wachache ndo wazalendo halisi, ila Oligarches wengi wa Russia sio wazalendo.
Uzalendo wa kulazimshwa nao mnauita uzalendo? Hizo nchi zote walizotaja jamaa sidhani kama ndio zinaongoza kwa uzalendo maana wananchi wake wanalazimishwa kujifanya wazalendo bila ridhaa yao.
Mtaji mkubwa wa Magharibi ni kupotosha vijana na wanawake kwa hio wa Iran wawe makini. Maendeleo makubwa wa nchi za magharibi ni kuingiza UGASHO katika Afrika na Asia sasa sijuwi hii inatusaidia nini?
Hivi kwa ujinga wako unaamini kuwa nchi za magharibi ndizo zinasambaza ushoga? Ushoga ni tabia ya mtu mwenyewe.Na je na umalaya nao ni hao hao wazungu?Nchi za magharibi hazimlazimishi mtu kuwa shoga.
@@MathewNathan-yb2bz We ndio mjinga wa kwanza kukutana nae mwaka 2024 asie juwa kuwa bank ya dunia ukiomba mkopo miongoni mwa masharti unayo pewa ni ugasho
@@sonnyr1899 ww ndio mjinga kwa kwanza mwenye matumizi mabaya ya akili.Marekani na nchi nyingine hawalazimishi mtu yeyote yule kuwa shoga bali wanataka watu hao walindwe wasinyanyaswe.Hata ndani ya marekani kwenyewe kuna majimbo hayaruhusu ndoa za jinsia moja hususani huo ushoga.
Leo nimepata chance ya kuview mwanzoni ntacomment mpk mnichoke, I love sns
Hongeleni kwa uchambuzi mzur
Lawyer anamadini sana, ila sma mtafit sana na ally mdadisi sana wa vifaa mbali mbali vyakivita na anaijua siasa ya kijeshi. Siku zote huwa nawawek kweny haya makundi matatu ila nawaheshim sana uncles, maan mi niko na 19yrs, na kunakitu smaa uliwai kusem- watanzania wengi tuliopo abroad tunatamani sana nchi yetu to allow duo citizenship so we can invest back in our country but this Sims like a trap to our government, I'm so sad for that😢
I'm ll watching GPS from seattle Washington, I love you guys na sikutegemea kuona combination ya dj,royal,student engineering wakawa na madini kiasi hicho, big up bro sky and God bless u all.
Salamu kwa mzee wa Facts and logic, Mwana sberia na Mr Masubi. From Canada
DJ SMA Una hekima sana brother... upo so matured.. and unajua...... shout out to Henry mwinuka pia... very knowledgeable
Huwa nafurahi sana na kujifunza vitu vingi sana pindi ninapo sikiliza GPS na SNS Kwa ujumla
GPS hakika ni darasa huru najifunza vingi sana mengi nilikuwa sijui kupitia GPS nawaelewa sana ❤❤
Uchambuzi wenu ni wa Kisayansi sana. Uelewa wenu ni wa kitaaluma tena kwa ngazi ya juu sana. Hongera sana. Hata Waislamu walio wengi hawana uelewa ngazi hiyo.
Una hakika na hyo unayo yasema??
Shukran kwauchambuzi❤❤❤❤❤
Henr mo faya
Hongereni sana❤❤...Uchambuzi mzuri sana..
Nafatilia kutoka Burundi 🇧🇮
Jamaa ana chukua kiti katika wakati mgumu sana!
Saana
Aiseee mmetupa wakat mgumu, kila muda ku chungulia TH-cam
Ally amu acha nawenzik waongee wamalize bs 😅😅😅
Mwanasheria umeukonga moyo wangu uko sahihi.
wallah naipenda hii channel kinoma
Mwana sheria ameupiga mwingi leo nipo pamoja na wote Wana sns
Yan naview huku mara pa kwann nato walimua gadafi🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Asante gps
Tanzania 1
Acha kuombaomba ridhika na unachopata unajiweza lakini hutosheki
Kipindi bora GPS kutoka 254
😢h1
@@binseify4615 1 ndo Nini?
Namsubiri the MVP masub ally
asee mwamba ni mnoma,
Henry mwinuka pia fundi sana huyu Jamaa.
Naitwa KhatiBu (Irani ni watu wanye asili ya kuifumba dunia ili waweze kufikia malengo yao
Safii
Nchi zinazongoza kwa uzalendo
N Korean
Iran
China
Urusi
Cuba
Venezuela
Vietnam
Mmesahau kuwataja wapalestna kwa uzalendo wao ndo wako NAMBA MOJA wako tayari kufa wakiwa wanaipigania NCH Yao
Ile jamhuri ya mapinduzi ya Irani , haiwezi kwenda sawa na magharibi na irani anaipinga Israel % how come aende sawa na magharibi pale khamaney ndo muamuzi wa mwisho
Nawakubali sana
Magaidi hawaamini
Ali masubi
My fav media🎉
from kigali
👊✌️👍.
Huyu jamaa anaesema nailii Whats NANILII??
😂😂😂😂
🇰🇪🔥
Nchi zenye uzalendo zaid
1. North and South korea 🇰🇷
2. Iran 🇮🇷
3. China 🇨🇳
4. Kenya 🇰🇪
5. Cuba 🇨🇺
1000. Tanzania 🇹🇿 😔
😂😂😂
@@ce-08Kenya itoe
Kenya ina uzalendo kuliko hata tz, mdomo tu ndio kitu tz wanaweza@@GeorgeAkasha-zx2rj
Ally million mia 5 zote ndo niuze nnchi mm 20 zinatosha 😅😅
Yes Good
Kwahiyo nyie siyowazalende mbona munachanganya kingeleza nakiswahiri
Binafsi naona Tanzania baado tupo chini sana kwenye uzalendo ila kwa Africa Mashariki naweza kuizungumzia Rwanda
Kitu wachambuz hamjakielewa hakuna kulisi nchini IRAN balaza la maulama kiongoz mkuu wa kidini Iran akifaliki lile balaza miongoni mwao anapatikana kiongoz mkuu wa kidini
Lakini mjue kuwa ktk serikali ya irani maamuzi ya jambo lolote yanaamuliwa na baraza la Ayatullah Khomeini.
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I think 🤔 pia turkey Wana uzalendo
watanzania wenye akili sn gps
hapo Iran inaenda kuwa vizuri zaidi
❤🇧🇮 🇧🇮 ✌
We jamaa unaependa kuongea kizunguzungu unajitahidi japo unatumia hisia nyingi kuliko uhalisia
Akisubutu kwenda sawa na mkoloni basi siku zake zitahesabika yaliomkuta mtangulizi wake hayatamuacha salama.
Nchi zinazoongoza kwa kuwa na raia wenye uzalendo sana duniani..1.China. 2.North korea.3.Iran.4.Russia.
😢😢😢😢
Iran hata Rais awe nani, mwenye maamuzi ni Ayatullah Khamenei na lile baraza lake la viongozi, na inapokuja kuhusu maslahi ya taifa lao, Iran husimama kwa pamoja bila kujali misimamo ya Rais wao, na wao wakigundua Rais ni kibaraka basi wanamfyekelea mbali
Lists ya nchi wazalendo.
1: USA.
2: Germany
3: China
4: Venezuela.
5: Iran
Marekani labda uzalendo wa ushoga
Upande wa uzalendo Tanzania hatumo,maana viongozi wetu wenyewe wanatufanyia ambayo siyo.Huo ni usaliti tosha
tanzania watu wake wazalendo akujawai kutokea duniani yan adi wanaogopa viongozi wao akunaga iyo😂😂😂😂😂😂 ovyo tu tanzania mwisho jaman
Naona ya Kwanza urusi ila sisi 150
Iran kageza vikwazo kuwa fusra ya kimaendeleo
Mnachambua vitu tunaogopa sns kuwa blocked na TH-cam. tunawakubali Sana
Ally punguza izo nanilii😂😂
kamenei ndiye kazikwa cairo??
mnatukosha wakubwa
Naomba kuliza ni mda gani anakaa madarakani raisi wa Iran
Kuna jamaa yote kama anaijua anasema uzalendo sifur Tanzanian
Nawapata kipindi bomba ila Umesikia ya Traore mwanajeshi kuhusu Afrika na pembe tatu alivyoongea au ndio kuitawala dunia huko
Kwa upande wangu nchi zenye uzalendo ya kwanza ni 1.IRAN 2.KOREA KASKAZINI 3.CHINA 4.URUSI 5.VETINAM
GPS ❤🫡
Anajisimbua kwasababu tayar marecan anahasira na Iran labda marecan watamtumia kuidhoofisha iran
Korea
Iran
Urusi
China
South korea
Kiongozi mkuu ndani ya lran anakuwa sauti tuu lakini maamuzi makubwa ndani ya nchi ni aigc control lran na bunge na ndio lnayoshikilia uchumi amatoller Khomeini ndio alioifikisha nchi ya lran kujulikana kimataifa na kushikilia msimamo wake ktk mashariki ya kati lran lnaanza kuondoa vikwazo kutumia njia nyingine kujikwamua ktk kuleta maendeleo ktk serekali ya lran lran hawezi badilika msimamo wake
1. korea kasikazin
2. China
3. Iran
4. Urusi
5. Venezuela
6. Burkina Faso
7. Burundi
8. India
9.__
10 naiweka tz kwa uzalendo wa lugha na uhamiaj
Turishawambia kuwatsa watu bila sababu ni ujinga huu ndiye rais anayestairi
Si myahudi huyu
Ya kwanza Palestine 🇵🇸 licha ya vita na mauaji ya kikatili ila bado hawajakata tamaa na kutetea taifa lao
bro sk mpe hi herry imemuelewa xana
Nchi yenye uzalendo ni Tanzania 🇹🇿 tulimzika magufuli na wengine walimsindikiza kaburini😅
🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦💯🇧🇮
Mhh
1 palestine
2 north Korea
3iran
4china
5cuba
Pezeshkian keshasema wazi kuwa yeye anaamini kuwa Khamenei ndiye kiongozi mkuu na hawezi kwenda kinyume na anavyoamua kiongozi huyo mkuu. Iran ins sera madhubuti inayojengwa na msingi na dini ya Kiislamu.
Iran inaenda kuangamia
Ww choko
Naika Iran miaka 10 kwakwwli huyu pezekian kuna mambo atabadilisha ndani Ya Iran sana sana sheria zinazo husu Wanawake (hijabu....) ila kuhusu ku support hizbullah huthi Palestine daah hayo hawez kuyafikilia maana Huu ndio msingi wao
Tuelewe yakwamba iran haiwez kupata kiongozi anaye kubali matakwa ya magharibi iran itaongozwa na maghaidi mpka mwisho, ila nawakubali sana
😂😂😂😂 Ile tu kutumia vitu vyao ni kwamba bado wanaongozwa # Helicopter ya rais
Kwaiyo magaidi ni wairan na sio marekani si ndio?
Ww unaukimwi wa maskio na mawazo pia israel na marekani ndio magaidi ww demu
@@emmadora7848 😂😂😂ila ilikua ni zaman
@@salumabdallah2990 sio hvo mimi siwez ita mtu gaid
Mhhhhh sijui kama hawajamchagua MZUNGU maana Kuna mapandikizi pia tusisahau 😂😂😂
Iran mfumo ww uelew nchi zisizo kuwa na mifumo kama tz ndo unaweza kuweka kibaraka ila hapo hata wakimuweka kazi bure
@@omarymwaluko9765 nimekusoma mwamba🤣🤣🤣🤣
DJ SMAA NAMKUBALI KWMBA MUDA USEME KWAMFANO IRAN ASIPATANE NA MAREKANI WAKATI WOTE WANATAKA WAPATANE NA URUSI NA CHINA LAZMA MKANGANYIKO UTAKUWEPO APO
😂😂😂😂 mtakuja kuaibika subili atakuwa Bega kwa Bega nchi za magharib
Sahau hiyo kuwa rafiki na magharibi wale wa iran wanaongozwa na baraza la ulamaa
Hii chanel, babu kubwa,, hakuna ngonjela hum, taarifa zao ni uhakika! Zisizo na upendeleo, wala ushabiki, naiweka ubora wa hali ya juu,, naitabilia itakua bora zaidi bbc.
Nchi yenye watu wazalendo ni Russia ... Vikwazo vya kumgombanisha Putin na watu wake halafu wamemchagua Putin kwa asilimia 87 bigg up kwao.
😂😂 uchaguz unasiri nyingi hicho huenda c kipimo Cha sahihi Cha uzalendo wa watu kwa nchi Yao Je Tz wazalendo kwa chama tawala sababu nchi nzima karbu wabunge wote ccm
Mkuu Marekani ndo nchi yenye wazalendo 1 duniani hakuna mfano.Ndo maana wako radhi wakushughulikie ww Kwa ajili ya taifa lao mkuu.Russia Putin na wachache ndo wazalendo halisi, ila Oligarches wengi wa Russia sio wazalendo.
Uzalendo wa kulazimshwa nao mnauita uzalendo? Hizo nchi zote walizotaja jamaa sidhani kama ndio zinaongoza kwa uzalendo maana wananchi wake wanalazimishwa kujifanya wazalendo bila ridhaa yao.
@@GeorgeAkasha-zx2rjmarekani wazalendo wa ushoga
@@rumdeesonsoa1811marekani wazalendo wa ushoga
Mtaji mkubwa wa Magharibi ni kupotosha vijana na wanawake kwa hio wa Iran wawe makini.
Maendeleo makubwa wa nchi za magharibi ni kuingiza UGASHO katika Afrika na Asia sasa sijuwi hii inatusaidia nini?
Hivi kwa ujinga wako unaamini kuwa nchi za magharibi ndizo zinasambaza ushoga? Ushoga ni tabia ya mtu mwenyewe.Na je na umalaya nao ni hao hao wazungu?Nchi za magharibi hazimlazimishi mtu kuwa shoga.
@@MathewNathan-yb2bz
We ndio mjinga wa kwanza kukutana nae mwaka 2024 asie juwa kuwa bank ya dunia ukiomba mkopo miongoni mwa masharti unayo pewa ni ugasho
@@MathewNathan-yb2bzwew ndio hauna akili zezeta mkubwa, yani inamaana na ujinga wako woote hujui hilo
@@sonnyr1899 ww ndio mjinga kwa kwanza mwenye matumizi mabaya ya akili.Marekani na nchi nyingine hawalazimishi mtu yeyote yule kuwa shoga bali wanataka watu hao walindwe wasinyanyaswe.Hata ndani ya marekani kwenyewe kuna majimbo hayaruhusu ndoa za jinsia moja hususani huo ushoga.
@@kamanapomo7029 ww ndio una matumizi mabaya ya akili kwani kuna siku hizo nchi za magharibi zilikulazimisha kwa nguvu kuwa shoga?
Nchi 5 zenye raia wazalendo
North Korea
Iran
Russia
China
Cuba
1-korea kaskazin
2- china
3-iran
4-Russia
5-Japan
Vigezo vipi vinazingatiwa kujua kuwa nchi fulani ina uzalendo sana?
Why GPS hatujazindua studio mpya
Kabisa
Toeni michango na support