GPS: RAIS Mpya wa IRAN Masoud Pezeshkian huenda akaenda sawa na MAREKANI kupunguza vikwazo, ataweza?

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 133

  • @goodluckmwamboneke5591
    @goodluckmwamboneke5591 25 วันที่ผ่านมา +23

    Leo nimepata chance ya kuview mwanzoni ntacomment mpk mnichoke, I love sns

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 25 วันที่ผ่านมา +11

    Hongeleni kwa uchambuzi mzur

  • @goodluckmwamboneke5591
    @goodluckmwamboneke5591 25 วันที่ผ่านมา +16

    Lawyer anamadini sana, ila sma mtafit sana na ally mdadisi sana wa vifaa mbali mbali vyakivita na anaijua siasa ya kijeshi. Siku zote huwa nawawek kweny haya makundi matatu ila nawaheshim sana uncles, maan mi niko na 19yrs, na kunakitu smaa uliwai kusem- watanzania wengi tuliopo abroad tunatamani sana nchi yetu to allow duo citizenship so we can invest back in our country but this Sims like a trap to our government, I'm so sad for that😢

  • @goodluckmwamboneke5591
    @goodluckmwamboneke5591 25 วันที่ผ่านมา +8

    I'm ll watching GPS from seattle Washington, I love you guys na sikutegemea kuona combination ya dj,royal,student engineering wakawa na madini kiasi hicho, big up bro sky and God bless u all.

  • @mrdocta3106
    @mrdocta3106 25 วันที่ผ่านมา +2

    Salamu kwa mzee wa Facts and logic, Mwana sberia na Mr Masubi. From Canada

  • @elishaluhwago6940
    @elishaluhwago6940 25 วันที่ผ่านมา +2

    DJ SMA Una hekima sana brother... upo so matured.. and unajua...... shout out to Henry mwinuka pia... very knowledgeable

  • @tunechmkumbwa6047
    @tunechmkumbwa6047 25 วันที่ผ่านมา +5

    Huwa nafurahi sana na kujifunza vitu vingi sana pindi ninapo sikiliza GPS na SNS Kwa ujumla

  • @godwinmandary5116
    @godwinmandary5116 25 วันที่ผ่านมา +2

    GPS hakika ni darasa huru najifunza vingi sana mengi nilikuwa sijui kupitia GPS nawaelewa sana ❤❤

  • @user-yv2mx1vq3w
    @user-yv2mx1vq3w 25 วันที่ผ่านมา +2

    Uchambuzi wenu ni wa Kisayansi sana. Uelewa wenu ni wa kitaaluma tena kwa ngazi ya juu sana. Hongera sana. Hata Waislamu walio wengi hawana uelewa ngazi hiyo.

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 24 วันที่ผ่านมา +1

      Una hakika na hyo unayo yasema??

  • @issakhamis9581
    @issakhamis9581 25 วันที่ผ่านมา +1

    Shukran kwauchambuzi❤❤❤❤❤

  • @user-ni9gx1ho6c
    @user-ni9gx1ho6c 25 วันที่ผ่านมา +3

    Henr mo faya

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 24 วันที่ผ่านมา

    Hongereni sana❤❤...Uchambuzi mzuri sana..

  • @Muba-Gucci-TV
    @Muba-Gucci-TV 25 วันที่ผ่านมา +2

    Nafatilia kutoka Burundi 🇧🇮

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 20 วันที่ผ่านมา +1

    Jamaa ana chukua kiti katika wakati mgumu sana!

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 25 วันที่ผ่านมา +8

    Aiseee mmetupa wakat mgumu, kila muda ku chungulia TH-cam

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi 25 วันที่ผ่านมา +3

    Ally amu acha nawenzik waongee wamalize bs 😅😅😅

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 25 วันที่ผ่านมา +2

    Mwanasheria umeukonga moyo wangu uko sahihi.

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 25 วันที่ผ่านมา +1

    wallah naipenda hii channel kinoma

  • @JumaMkele-lm7qy
    @JumaMkele-lm7qy 25 วันที่ผ่านมา +3

    Mwana sheria ameupiga mwingi leo nipo pamoja na wote Wana sns

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb 25 วันที่ผ่านมา

    Yan naview huku mara pa kwann nato walimua gadafi🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Asante gps

  • @AbillaiShabani
    @AbillaiShabani 23 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzania 1

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 25 วันที่ผ่านมา +2

    Acha kuombaomba ridhika na unachopata unajiweza lakini hutosheki

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 25 วันที่ผ่านมา +4

    Kipindi bora GPS kutoka 254

    • @binseify4615
      @binseify4615 25 วันที่ผ่านมา +1

      😢h1

    • @Brunotarimo10
      @Brunotarimo10 25 วันที่ผ่านมา

      @@binseify4615 1 ndo Nini?

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x 25 วันที่ผ่านมา +3

    Namsubiri the MVP masub ally

  • @issaibonyissaibony9934
    @issaibonyissaibony9934 25 วันที่ผ่านมา +2

    Naitwa KhatiBu (Irani ni watu wanye asili ya kuifumba dunia ili waweze kufikia malengo yao

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 17 วันที่ผ่านมา

    Safii

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 22 วันที่ผ่านมา

    Nchi zinazongoza kwa uzalendo
    N Korean
    Iran
    China
    Urusi
    Cuba
    Venezuela
    Vietnam

  • @HabibuHobohobo-py2mq
    @HabibuHobohobo-py2mq 25 วันที่ผ่านมา +8

    Mmesahau kuwataja wapalestna kwa uzalendo wao ndo wako NAMBA MOJA wako tayari kufa wakiwa wanaipigania NCH Yao

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 25 วันที่ผ่านมา +2

    Ile jamhuri ya mapinduzi ya Irani , haiwezi kwenda sawa na magharibi na irani anaipinga Israel % how come aende sawa na magharibi pale khamaney ndo muamuzi wa mwisho

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 25 วันที่ผ่านมา

    Nawakubali sana

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x 25 วันที่ผ่านมา +3

    Magaidi hawaamini

  • @bonemwaminifu3935
    @bonemwaminifu3935 23 วันที่ผ่านมา +1

    Ali masubi

  • @Eng2460
    @Eng2460 25 วันที่ผ่านมา

    My fav media🎉

  • @gateberaildephonse5488
    @gateberaildephonse5488 25 วันที่ผ่านมา +1

    from kigali

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 19 วันที่ผ่านมา

    👊✌️👍.

  • @kidyybravo5267
    @kidyybravo5267 25 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu jamaa anaesema nailii Whats NANILII??

  • @rajdaboy
    @rajdaboy 23 วันที่ผ่านมา

    🇰🇪🔥

  • @abubakariali9848
    @abubakariali9848 25 วันที่ผ่านมา +4

    Nchi zenye uzalendo zaid
    1. North and South korea 🇰🇷
    2. Iran 🇮🇷
    3. China 🇨🇳
    4. Kenya 🇰🇪
    5. Cuba 🇨🇺
    1000. Tanzania 🇹🇿 😔

    • @ce-08
      @ce-08 25 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@ce-08Kenya itoe

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 24 วันที่ผ่านมา

      Kenya ina uzalendo kuliko hata tz, mdomo tu ndio kitu tz wanaweza​@@GeorgeAkasha-zx2rj

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi 25 วันที่ผ่านมา +1

    Ally million mia 5 zote ndo niuze nnchi mm 20 zinatosha 😅😅

  • @RAMAMOHA-vn9xv
    @RAMAMOHA-vn9xv 24 วันที่ผ่านมา

    Yes Good

  • @josephinarobert3325
    @josephinarobert3325 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kwahiyo nyie siyowazalende mbona munachanganya kingeleza nakiswahiri

  • @nassoroshakiru7094
    @nassoroshakiru7094 24 วันที่ผ่านมา

    Binafsi naona Tanzania baado tupo chini sana kwenye uzalendo ila kwa Africa Mashariki naweza kuizungumzia Rwanda

  • @user-qo2dk6iv3u
    @user-qo2dk6iv3u 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kitu wachambuz hamjakielewa hakuna kulisi nchini IRAN balaza la maulama kiongoz mkuu wa kidini Iran akifaliki lile balaza miongoni mwao anapatikana kiongoz mkuu wa kidini

  • @khalifanoti6974
    @khalifanoti6974 25 วันที่ผ่านมา +1

    Lakini mjue kuwa ktk serikali ya irani maamuzi ya jambo lolote yanaamuliwa na baraza la Ayatullah Khomeini.

  • @OsmanKauli
    @OsmanKauli 25 วันที่ผ่านมา

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I think 🤔 pia turkey Wana uzalendo

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 25 วันที่ผ่านมา +1

    watanzania wenye akili sn gps

  • @fraternitesecondaire7073
    @fraternitesecondaire7073 24 วันที่ผ่านมา

    hapo Iran inaenda kuwa vizuri zaidi

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 25 วันที่ผ่านมา

    ❤🇧🇮 🇧🇮 ✌

  • @LucasLagos-dq4mh
    @LucasLagos-dq4mh 10 วันที่ผ่านมา

    We jamaa unaependa kuongea kizunguzungu unajitahidi japo unatumia hisia nyingi kuliko uhalisia

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 25 วันที่ผ่านมา

    Akisubutu kwenda sawa na mkoloni basi siku zake zitahesabika yaliomkuta mtangulizi wake hayatamuacha salama.

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 24 วันที่ผ่านมา

    Nchi zinazoongoza kwa kuwa na raia wenye uzalendo sana duniani..1.China. 2.North korea.3.Iran.4.Russia.

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 24 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢

  • @Mubarak552
    @Mubarak552 21 วันที่ผ่านมา +1

    Iran hata Rais awe nani, mwenye maamuzi ni Ayatullah Khamenei na lile baraza lake la viongozi, na inapokuja kuhusu maslahi ya taifa lao, Iran husimama kwa pamoja bila kujali misimamo ya Rais wao, na wao wakigundua Rais ni kibaraka basi wanamfyekelea mbali

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj 24 วันที่ผ่านมา +1

    Lists ya nchi wazalendo.
    1: USA.
    2: Germany
    3: China
    4: Venezuela.
    5: Iran

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 22 วันที่ผ่านมา

      Marekani labda uzalendo wa ushoga

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 19 วันที่ผ่านมา

    Upande wa uzalendo Tanzania hatumo,maana viongozi wetu wenyewe wanatufanyia ambayo siyo.Huo ni usaliti tosha

  • @HeriDunia-i7m
    @HeriDunia-i7m 16 วันที่ผ่านมา

    tanzania watu wake wazalendo akujawai kutokea duniani yan adi wanaogopa viongozi wao akunaga iyo😂😂😂😂😂😂 ovyo tu tanzania mwisho jaman

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 25 วันที่ผ่านมา

    Naona ya Kwanza urusi ila sisi 150

  • @user-qo2dk6iv3u
    @user-qo2dk6iv3u 25 วันที่ผ่านมา

    Iran kageza vikwazo kuwa fusra ya kimaendeleo

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z 25 วันที่ผ่านมา

    Mnachambua vitu tunaogopa sns kuwa blocked na TH-cam. tunawakubali Sana

  • @khamisfarouk9493
    @khamisfarouk9493 24 วันที่ผ่านมา

    Ally punguza izo nanilii😂😂

  • @gateberaildephonse5488
    @gateberaildephonse5488 25 วันที่ผ่านมา

    kamenei ndiye kazikwa cairo??

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 25 วันที่ผ่านมา

    mnatukosha wakubwa

  • @AyoubHajj
    @AyoubHajj 25 วันที่ผ่านมา

    Naomba kuliza ni mda gani anakaa madarakani raisi wa Iran

  • @r.m.a7570
    @r.m.a7570 25 วันที่ผ่านมา

    Kuna jamaa yote kama anaijua anasema uzalendo sifur Tanzanian

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc 6 วันที่ผ่านมา

    Nawapata kipindi bomba ila Umesikia ya Traore mwanajeshi kuhusu Afrika na pembe tatu alivyoongea au ndio kuitawala dunia huko

  • @nassoroshakiru7094
    @nassoroshakiru7094 24 วันที่ผ่านมา

    Kwa upande wangu nchi zenye uzalendo ya kwanza ni 1.IRAN 2.KOREA KASKAZINI 3.CHINA 4.URUSI 5.VETINAM

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 23 วันที่ผ่านมา

    GPS ❤🫡

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843 25 วันที่ผ่านมา

    Anajisimbua kwasababu tayar marecan anahasira na Iran labda marecan watamtumia kuidhoofisha iran

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi 25 วันที่ผ่านมา

    Korea
    Iran
    Urusi
    China
    South korea

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 25 วันที่ผ่านมา

    Kiongozi mkuu ndani ya lran anakuwa sauti tuu lakini maamuzi makubwa ndani ya nchi ni aigc control lran na bunge na ndio lnayoshikilia uchumi amatoller Khomeini ndio alioifikisha nchi ya lran kujulikana kimataifa na kushikilia msimamo wake ktk mashariki ya kati lran lnaanza kuondoa vikwazo kutumia njia nyingine kujikwamua ktk kuleta maendeleo ktk serekali ya lran lran hawezi badilika msimamo wake

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb 25 วันที่ผ่านมา

    1. korea kasikazin
    2. China
    3. Iran
    4. Urusi
    5. Venezuela
    6. Burkina Faso
    7. Burundi
    8. India
    9.__
    10 naiweka tz kwa uzalendo wa lugha na uhamiaj

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila 25 วันที่ผ่านมา

    Turishawambia kuwatsa watu bila sababu ni ujinga huu ndiye rais anayestairi

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 25 วันที่ผ่านมา

    Si myahudi huyu

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART 24 วันที่ผ่านมา

    Ya kwanza Palestine 🇵🇸 licha ya vita na mauaji ya kikatili ila bado hawajakata tamaa na kutetea taifa lao

  • @swedikagusa9300
    @swedikagusa9300 25 วันที่ผ่านมา

    bro sk mpe hi herry imemuelewa xana

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 25 วันที่ผ่านมา

    Nchi yenye uzalendo ni Tanzania 🇹🇿 tulimzika magufuli na wengine walimsindikiza kaburini😅

  • @Ally-qi7xo
    @Ally-qi7xo 25 วันที่ผ่านมา

    🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦💯🇧🇮

  • @abulaaliyah77amani91
    @abulaaliyah77amani91 25 วันที่ผ่านมา

    Mhh

  • @OsamSaleh-k3v
    @OsamSaleh-k3v 25 วันที่ผ่านมา

    1 palestine
    2 north Korea
    3iran
    4china
    5cuba

  • @lusitamagora23
    @lusitamagora23 24 วันที่ผ่านมา

    Pezeshkian keshasema wazi kuwa yeye anaamini kuwa Khamenei ndiye kiongozi mkuu na hawezi kwenda kinyume na anavyoamua kiongozi huyo mkuu. Iran ins sera madhubuti inayojengwa na msingi na dini ya Kiislamu.

  • @Pablolookman
    @Pablolookman 25 วันที่ผ่านมา

    Iran inaenda kuangamia

  • @user-mf7hl7jh6s
    @user-mf7hl7jh6s 25 วันที่ผ่านมา

    Naika Iran miaka 10 kwakwwli huyu pezekian kuna mambo atabadilisha ndani Ya Iran sana sana sheria zinazo husu Wanawake (hijabu....) ila kuhusu ku support hizbullah huthi Palestine daah hayo hawez kuyafikilia maana Huu ndio msingi wao

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 25 วันที่ผ่านมา +1

    Tuelewe yakwamba iran haiwez kupata kiongozi anaye kubali matakwa ya magharibi iran itaongozwa na maghaidi mpka mwisho, ila nawakubali sana

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 25 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂 Ile tu kutumia vitu vyao ni kwamba bado wanaongozwa # Helicopter ya rais

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 25 วันที่ผ่านมา

      Kwaiyo magaidi ni wairan na sio marekani si ndio?

    • @KhamisOmar-kt4kz
      @KhamisOmar-kt4kz 25 วันที่ผ่านมา

      Ww unaukimwi wa maskio na mawazo pia israel na marekani ndio magaidi ww demu

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 25 วันที่ผ่านมา

      @@emmadora7848 😂😂😂ila ilikua ni zaman

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 25 วันที่ผ่านมา

      @@salumabdallah2990 sio hvo mimi siwez ita mtu gaid

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 25 วันที่ผ่านมา

    Mhhhhh sijui kama hawajamchagua MZUNGU maana Kuna mapandikizi pia tusisahau 😂😂😂

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 22 วันที่ผ่านมา +1

      Iran mfumo ww uelew nchi zisizo kuwa na mifumo kama tz ndo unaweza kuweka kibaraka ila hapo hata wakimuweka kazi bure

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu 21 วันที่ผ่านมา +1

      @@omarymwaluko9765 nimekusoma mwamba🤣🤣🤣🤣

  • @user-ww5iu4gz4b
    @user-ww5iu4gz4b 25 วันที่ผ่านมา

    DJ SMAA NAMKUBALI KWMBA MUDA USEME KWAMFANO IRAN ASIPATANE NA MAREKANI WAKATI WOTE WANATAKA WAPATANE NA URUSI NA CHINA LAZMA MKANGANYIKO UTAKUWEPO APO

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 25 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂 mtakuja kuaibika subili atakuwa Bega kwa Bega nchi za magharib

    • @khalifanoti6974
      @khalifanoti6974 25 วันที่ผ่านมา

      Sahau hiyo kuwa rafiki na magharibi wale wa iran wanaongozwa na baraza la ulamaa

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 25 วันที่ผ่านมา

    Hii chanel, babu kubwa,, hakuna ngonjela hum, taarifa zao ni uhakika! Zisizo na upendeleo, wala ushabiki, naiweka ubora wa hali ya juu,, naitabilia itakua bora zaidi bbc.

  • @mrdaslam301
    @mrdaslam301 25 วันที่ผ่านมา

    Nchi yenye watu wazalendo ni Russia ... Vikwazo vya kumgombanisha Putin na watu wake halafu wamemchagua Putin kwa asilimia 87 bigg up kwao.

    • @ce-08
      @ce-08 25 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂 uchaguz unasiri nyingi hicho huenda c kipimo Cha sahihi Cha uzalendo wa watu kwa nchi Yao Je Tz wazalendo kwa chama tawala sababu nchi nzima karbu wabunge wote ccm

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 25 วันที่ผ่านมา

      Mkuu Marekani ndo nchi yenye wazalendo 1 duniani hakuna mfano.Ndo maana wako radhi wakushughulikie ww Kwa ajili ya taifa lao mkuu.Russia Putin na wachache ndo wazalendo halisi, ila Oligarches wengi wa Russia sio wazalendo.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 23 วันที่ผ่านมา

      Uzalendo wa kulazimshwa nao mnauita uzalendo? Hizo nchi zote walizotaja jamaa sidhani kama ndio zinaongoza kwa uzalendo maana wananchi wake wanalazimishwa kujifanya wazalendo bila ridhaa yao.

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@GeorgeAkasha-zx2rjmarekani wazalendo wa ushoga

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@rumdeesonsoa1811marekani wazalendo wa ushoga

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 25 วันที่ผ่านมา

    Mtaji mkubwa wa Magharibi ni kupotosha vijana na wanawake kwa hio wa Iran wawe makini.
    Maendeleo makubwa wa nchi za magharibi ni kuingiza UGASHO katika Afrika na Asia sasa sijuwi hii inatusaidia nini?

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 25 วันที่ผ่านมา

      Hivi kwa ujinga wako unaamini kuwa nchi za magharibi ndizo zinasambaza ushoga? Ushoga ni tabia ya mtu mwenyewe.Na je na umalaya nao ni hao hao wazungu?Nchi za magharibi hazimlazimishi mtu kuwa shoga.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 25 วันที่ผ่านมา +1

      @@MathewNathan-yb2bz
      We ndio mjinga wa kwanza kukutana nae mwaka 2024 asie juwa kuwa bank ya dunia ukiomba mkopo miongoni mwa masharti unayo pewa ni ugasho

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@MathewNathan-yb2bzwew ndio hauna akili zezeta mkubwa, yani inamaana na ujinga wako woote hujui hilo

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 25 วันที่ผ่านมา

      @@sonnyr1899 ww ndio mjinga kwa kwanza mwenye matumizi mabaya ya akili.Marekani na nchi nyingine hawalazimishi mtu yeyote yule kuwa shoga bali wanataka watu hao walindwe wasinyanyaswe.Hata ndani ya marekani kwenyewe kuna majimbo hayaruhusu ndoa za jinsia moja hususani huo ushoga.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 25 วันที่ผ่านมา

      @@kamanapomo7029 ww ndio una matumizi mabaya ya akili kwani kuna siku hizo nchi za magharibi zilikulazimisha kwa nguvu kuwa shoga?

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 24 วันที่ผ่านมา +1

    Nchi 5 zenye raia wazalendo
    North Korea
    Iran
    Russia
    China
    Cuba

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 25 วันที่ผ่านมา

    1-korea kaskazin
    2- china
    3-iran
    4-Russia
    5-Japan

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 23 วันที่ผ่านมา

      Vigezo vipi vinazingatiwa kujua kuwa nchi fulani ina uzalendo sana?

  • @mrdaslam301
    @mrdaslam301 26 วันที่ผ่านมา +5

    Why GPS hatujazindua studio mpya