LEONARD SUNDAY EASY
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ม.ค. 2023
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 13 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - บันเทิง
Gerry313 my favorite artist kiba amchukue mtoto huyu akiongezewa vionjo kidgo ataua San na Kwa nn t touch mm ningesem yogo ndo apige vinanda vyake hapa anayekubar like nying twende sawa
Duuh nimewahi kusema kwamba uyu jamaa ni wa kawaida ...daah Leo kaniumbua asee sorry fundi Leonard sunday 🙌
Hahahah
Hahaha
Hahah hatar san hapo washind niwawili tu mmoja wapo xx kat huyu na tgun tozzy
Tunaosubiriii kudownload tupo wangap
Nipoo
Bonge la ngoma kbs
Sanaa ✌️
Madam rita, Salama and Master mnafanyia vijana wa tanzania kitu kizuri sana, mungu awabariki sana. Watu wana ndoto hawajui zitatimia lini but mnajaribu kutengeza platform😍😍😍alafu hii sauti ya leonard mtu haezi jua ndo anaanza muziki..... Mtu anaeza fikiri ni msanii ashafanya mzuki mara mingi😍😍😍kazi poa Sunday😍😍
I second you!
Jah bless sana master madam na salama mungu awape miaka mingi sana
The first song nimeplay back 🔙
Ahaaaaa eti rajabu inamuhusu hit song imekaa Safi hongera kwa performance
Ametisha kinoma yani Daaah nimeirudia zaidi ya Mara Nne4
Harmonize mr.j
U r de most1
Leonard❣️🥰
T Gun ni kipenzi cha watanzania walio wengi,,,, But ukweli haujifichi Leonard Sunday is more than fire 🔥🔥🔥🔥 You are not a star you are de super star,,,,, Hata kama usipokuwa mshindi wa haya mashindano,,,,, Kwenye Ndoto za T Gun namuona Leonard Sunday akiipeperusha vema bendera ya Tanzania 🇹🇿 kwenye tuzo za Grammy na BET ,,, Wish all de best blood ❤️ Don't give up,,,, 🙏🔥❤️ You are not regular person you are extra ordinary one,,,,🔥🔥❤️🇹🇿🇹🇿🤝💪💪💪
Kwa kweliii
Yes!
True ❤
Jamaaa kauwa, umepata shabiki mpya from 🇲🇿
It's a successful song akiyamungu🎶🔥🔥🔥
Nice song
Nice beaty
Nice sound
This guy has just done justice to this beat am sure the producer is contented anywhere he is.
Aya sichoki kupiga huu wimbo daa jamani
Oyooooooooooooohhhhhhj my favorite songs for african
Beka Ibrozama nae kashapata backup yake 🙌🏿
Nyi jamaa mnajua sana safi sana
Leo ni fund Mungu amsaidie na kumbariki Zaid na zaid atatupa faraja kubwa sana kupitia vibao vyake ,, it eassssy hata na mim Nina moyo beibiiii
1: Tgun Tozy
2:jailos au Sunday
3: sunday au jailos
4: Neema Ntigonzaa
Kwa ngoma nne walizo post besticaly mie nazipanga ivo ila when comes to my favorite easy is my fav
Imepita 😁
Tgun uhakika anajuwa
You killed it brother, this is next level, you're the most talented guys in my generation.
Namba 1 tgun
Namba 2 Patrick
Namba 3 Leonard......kama umenielewa gonga like
❤️❤️❤️❤️❤️Anaweza sana
good music kabisa bro, This all stars has done something better to all these competitors
My no 1 song
Wee jamaa ni full package 📦 aisee nakuelewa since ulikuwa top 2 kipindi kile na yule jamaa wa mbeya 👏👏👏, nakuona top 5 ata top 3 tena kaka 👏👏👏keep it up 👆
Muandishi mzuri mnoo anajua kuimba brother tupo pamoha
Hii inaenda mainstream kabisaa. 🙌🙌💪 Mziki mzuriiii 🤛🏹🎯
Dah !!!!kijana uko vzr nmekubl ngoma
Hongera Kaka unaenda kawa bongela stars focus tu
Utafika mbali sana , pambana sana fundii wa nyimbo tz .👍
Mwamba anasauti safi
Wow so amazing
congatulation to PRODUCER IS FIRE
Uririvye neza cane🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮👌🏻👌🏻👌🏻
Hataree majaji kazi wanayo😅
Mungu akulinde katika hii safari Yako umeningusa sn
Jamn mim Leonard ananimaliza mie hasa haka ka wimbo kake noma sana
P1 kakaa Kwa touch umechagua brother saloot kwako ✌️✌️
Jamen it's great 😍😍😍
Nyie this guy walahi anajua sana
Aiseeeeee. This boy can sing
Master j hujui music wala hujasomea chochote usichukulie watu kirahis coz umekaa kwa hiyo kiti I love madam Rita huna tofaut na Simon cowel
Fire saana mzeew 🔥🔥
Wamakonde tumeshapitanayo hii 🔥🔥we are on trending everyway my big brother Konde
Akuna msaanii anaeimba hivi aisee huyu jamaa anajua zaidiii
Master j ana rohoo mbaya
The lady didn't disappointed you. She's a good actress as well 🔥
Kali Sana Mzee 🔥🔥
Classic song 💥💥💫💫
I wona download the song I love it
Azoba beats
Zouk beat
Nyimbo za kubembeleza mutoto mzuri 😍😍💪
Sure mzee
I think theTanzanian artist can perform like this sio makelele Tu Kwa jukwaa na mikono juu mingi we need performance sio nduru
Akili mtu wangu
Leonard ni Noma, umeitendea haki beat, yan beat nzuri, sauti nzuri Yan daaah
Jamaa anajua saana kaimba kama song yake
Hata hii inafaa kua video mdogowetu
Umeua sana nimekubal unajua kwel mzik kipaj chako
Pin kal inachoma na inaskilizika🤗💪💪💸💸💸💸💸
Daahhh bonge la ngomaaa
love the song
Nice performance
Huyu ni msanii na mwandishi mzur...appreciate
Asilimia kubwa katungiwa na Patrick Alsina
Sio mbaya,,ila ana kipaj fresh
My favourite 💕💕💕
T touch ameua, Yogo anawafaa mastar tu. Maunderground kutoboa kwa beats zake ni ngumu Sana. That's my point
Nakubali... Yogo beat zake za kikubwa sana
Wow 🔥🔥🔥🔥
UMEUAAA BROOH 🔥🔥🔥
T touch,,, Kamtendea haki saaana kijana
Love you baby from Sweden
Bizzo from k brother nice Good
Good music n good performance 👏👏
Keep it good work
Sunday ♥️🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu jamaa anajua dah hongereni sana BSS kwa kuleta kipaji hiki kipya
Thank you bss, tanzania's definitely got talent... bss bora ni season hiii... great ideas... wow🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏
ngomaaa kali yyte atakaepita me poa
uyu ndio star heko yako kaka
Love u sunday ur yet to receive it keep moving n You’ll get it 🥰🥰♥️
Keep it up bro,,, ni 🔥
Wooow nc🥰🥰
❤️❤️🔥🔥🔥
That’s so great music
Could you please send to audiomack coz hatuwez kupata
Toeni izi ngoma tu download tuskize tukisubir videos
huwa sifatili bongo star search ila uyu mwamba ni shida
Leonardo umetisha
Congratulations brother, this is my song now❤❤❤
Heeeyyy ... Can't wait for this heat song jamn 💪💯💯💯
🙌🙌💪
Huyu kijana alistahili kuwa mshindi sema TU mkamuhujumu hakuna aloweza kufika kiwango chake huyu reonadi
Bruce atarudi lini chamani
Smart san 💯
Jamani mtoto tgun tozzy
🔥🔥🔥
Huyu ndo msanii Sasa bongostarsearch
Vocal kaliiii. Hongera sana, utatoboa.
Uyu Leonard anajua
Unajua mwamba... #MikonoYa Mr T Touch 🔥🔥✌🏿✌🏿
Nice san
Masta j umezingua Ngoma Kari sana
Nlishasema huyu mwamba akileta userious wake hapa hakuna wa kumshika. Mpeni taji lake
Umetshaaaaaaa xana,,,
unajua