Ata mimi nimesha pata suti mbili kwa mtu nakuja kabisa sitaki maswali mengi sababu sina maokoto ila suti pekee ndo mambo yote mje huku mchunge nama ng,ombe😂😂
Mwanzo walikua wana boa na vipande vyao visivyo eleweka nikaacha kuwafatilia leo nimeingia tu bahati mbaya naona wamejirekebisha, video iko full inaeleweka big up
Namjua uyo Devis kiukwel mwanamke atakae mchagua uyo kaka atainjoy San nibest yangu sana nanimwalimu wangu nilishawaig igizaganae move yote hayo kaongea ukwel hajadanganya hata kidogo nimpole mstarabu mnyenyekevu best friend alafu kanenepa
Jacky huyo uwii wenzie wanamchora tu,,,, umri ni Nini,Unaeza pata mtu kakuzidi 32 yrs na bado akawa wa ovyo tu,,, ila ukapata wa same age akawa na akili zilizonyooka.....🤣
mademu wa hapo asilimia 70 ni wasenge wakatafute na wao pesa zao mbona watu wote tunasoma ili tuje kupata kazi basi wanawake wasiwe wanasomeshwa ili walelewe na wanaume
Johari akipata Mtu (anayejitambua) niko pale niiteni kitoto cha mbwa. Na kwa bahati mbaya akiolewa siku 365 ni nyingi. Kiukweli ni mzuri (temporal) ila kichwani ni kapput. M. Mungu amsaidie kubadilika
Wanawake wengine kwa muonekano ni wazuri Kabla hajaongea, lakini akianza kuongea ndio unajua yaliyomo yako, Kuna mke au hakuna. Hizo ni hatua za mwanzo kabisa Kabla hamjaanza kuishi pamoja.
Hello Mr Right ya Bongo is so boring..waschana wanakaa wako njaa kila mtu amechoka..amujachangamka..Host pekee ndio anaongea..mziki iko juu kuliko sauti..have you watch hello Mr Right ya Kenya ama other countries..kuna level of energy and drama.....
Kazi yetu ni copy and paste kwa wengine, hii ni chow zawa Chinese... mambo haya si mila na tamaduni za ki-Africa... maana mwishoe watafikia kutengana awaja patikana kwenye tamaduni zetu, mvulana na msichana wanakitana kwenye njia ya ubishoooo siku hela imeisha ndoa kuisha....
Wadada wengi hapa washiriki ni wapumbavu Sana Wana matarajio ya ki lofa sijui wao Wana nn cha Zaid mfano mwingine anamkataa m2 kwasabab ya kabila wale... Kibooo
@@CatherineKyalo-i4f sure wanawake wengi ni machizi hata wakimpata aliye na pesa hawana uchungu nazo hawawezi kuendeleza Kwa sababu hawajui zilipatikana vipi wakiachiwa wanafilisi tu nakuacha
Awe na utayari wa ndoa kweli si vinginevyo, moyo wake huenda umesukumwa na vitu vya nje, Aombe Mungu ampe msukumo wa ndani kumpenda mshkaji cos anaonekan Wajumbe wake ndani ya akili na moyo bado wapo ambao hawajaridhia, anatakiwa kupewa counceling sasa ya kuishi na mshkaji kama mke na kutambua changamoto za kimaisha,, kupata na kukosa.
Jamani hii background music yenu ipo juu sana....nadhani pia sio kila sehemu iwekwe at least hata muweke some effect ambazo zitafanya kipindi kiwe more interesting than kuwa kama movie za bongo za zamani jmn....
Jamani jamani hivi mbona wanawake hamuna hela mnaitaji mwanaume mwenye hela Kwa hiyo nikiishiwa Hela hakuna ndoa tena embu tafuta mtu ataejali hisia zako basi jamani maisha mazuli mtatafuta wote pia kwenye mafanikio ya mwanaume lazma akili ya mwanamke imehusika tafteni hela wadad msitukomoe bana
Jamani aliyesema uzuri wa mwanamke upo kwenye kinywa chake hakukoseaa wadada wengi hapo ni wazuri ila wakifungua kinywa unaona kabisa hamna kitu Wanawake wakikristo someni mithali 31 sana,na umuombe Mungu kuwa huyo mwanamke anayezungumziwa kwenye hicho kitabu wadada wazuri vinywa havina hekima jamani.
Guys the series of this iko powa ila hiyo background ya nyimbo iko juu sanaa jaribu mupunguze hiyo sound tupate skiya vizuri we can’t hear anything editor do your job well please.
Duuh Kumbe Wanaume ndo wanawindwa namna hiii😅😅😅 Ngoja nikaze Kumpigia Magoti Mr Right wangu uwiiii😂😂😂😂😂 Mungu nilindie Kipenzi changu asije naswa na Mademu wa Dar
Kabisa ulichokuwa nacho ss Uckizarau maana wengine Piya want hitahi chamsingu Ujifafamu kweke yeye ww Ninani na uhakikishe majukumu Yako huyasahau nakutakiya Mapenzi mazuri frnd
Mungu tutangulie ss wake wakizazi hichi,maana utu umepotea kauli kubwa kwakila mwanamke nihela namuonekano bila kujua hata mwenye hizo fedha kunamda anapitia magumu anahitaji mke atakae mpa faraja nakuwa muombaji mzuri mbele zamungu kwaajili yakutengeneza familiar nzuri,ss mkute mwanamke mwenyewe anayetaka mwanaume mwenye hela nyingi yeye nn anamiliki unakuta make up tu wala hana account acheni dharau za ovyo baadhi yawanawake😏
Huyo dada kweli alikuwa serious kwa kutafuta mtu atakayefaa. Yote mema kwake🙏🏼
Loved this.
Wooow,wanafaana hawa wawili👏👏👏👏👏.
Nawatakia kila la kheri kutoka 🇰🇪
Uko wapi
Sauti ya mziki ipo juu sana wakati mtu anaongea. Ingekuwa inapungua kidogo ingekaa poa sana. Asante!
Kweli atleast wapunguze
Kabisaaaa Yan mziki uko juu sana mpk kero
Kabs dear
Iko poa tu ndg
Exactly increase on volume please
Huyu dada amefalia dresi nyekundu Ako na hekima na maarifa ya maisha
Hakika nikajua nimemuona peke yangu.
Sharon i'll come for you😛😛Anyway amazing job guys.
So amazing mt right no.2. congratulations brother❤
BRAVO MAN GOD BLESS ❤❤❤
Background song ina sauti kubwa Hadi wazungumzaji hatuwasikii vizuri, DJ tunaomba uwe unapunguza sauti ya huo wimbo wakati wa mazungumzo.
Hamax mke hy ukipata mke anae jali na kuweka kiupaumbele God 🙏
Nawapenda sana st bongo
Ushamba mwingi silazima uvae shuti ukiwa boss yeyote anaeza vaa
Aliya kanenepa pia kapendeza😘😘🤩
Sana
Ebwana ye ingekua watu wanaoa kwa namna hii nafkili kusingekwepo na mivunjiko mingi ya ndoa yeah
Nimefurahi ❤ sana San jinsi wanavyo pendana
Kindly punguzeni music kwa background tuweze kuwaskia poa
I like this show for sure❤🔥🔥🔥
Na mimi nitafutie mchumba Niko omani sina mda narudi ❤
Oooh natak tuwe marafiki
Amenichanganya sana huyo kaka jaman,mpaka raha
Nimeenjoy sana kutizama hii kabisa❤🙌🔥
Mchang huy anajuwa kutafuta Hela dad kapambne
Mimi pia ningemchakua huyo, dressing cord is good
yaaani hiii nimeipeda saaana jamaa anajua kuchagua safi kbisa hata mimi nilivutiwa na huyo dada wameendana nimetokwa na chozi ASEE. KILA LA HERI
waauh ,amazing couple
Raha san mnaweka mda wakutosha👌🔥🇨🇦
Mumefanya poa kutuwekea episode yote
Mbona hata jambazi sugu akija hapo mtasema ni TRA OR Banker! Muonekano wa magazine sio judgement sahihi!
Not magazine it is mavazi
Nice my brother
Hahaha 😂😂 okie let me enjoy
Uyo mwanamke aliosema anamkubali mtu kwa umli nimuongo pia ndomana maelezo yake hayakunyoka
Hehe Hehehee wataomba suti wazee naona
Hawa wote ni malaya kutoka washiriki mpaka washirikishaji
Nashukuru nilipata mke apo kutoka Mr Light adi Leo nipo nae. Nimemuoa naishi nae.
❤❤❤❤ I love you hello mr light
Ata mimi nimesha pata suti mbili kwa mtu nakuja kabisa sitaki maswali mengi sababu sina maokoto ila suti pekee ndo mambo yote mje huku mchunge nama ng,ombe😂😂
Huyudemu msenge kwahyo ss hatuwez vaa hvo wapga pcha mbona mm nawaka hvo😮
Wee i need a luo too its amazing ❤
😢na mm natafut mume Nina watot 2 Mume wa kunioa Mungu anisaidie
Mwanzo walikua wana boa na vipande vyao visivyo eleweka nikaacha kuwafatilia leo nimeingia tu bahati mbaya naona wamejirekebisha, video iko full inaeleweka big up
Mimi pia niliacha sasa naludi
Siyo bahati mbaya ni bahati nzuri sada
Nami pia ndokwanzaa naingia leo tar 29 mwez 12 nakuta ndefuuu nimependa sasa nitaendelea kuchungulia🧘🙏
Kipind inakuwaga ckugani na ckugani jmn na ni sahangapi😢
Namjua uyo Devis kiukwel mwanamke atakae mchagua uyo kaka atainjoy San nibest yangu sana nanimwalimu wangu nilishawaig igizaganae move yote hayo kaongea ukwel hajadanganya hata kidogo nimpole mstarabu mnyenyekevu best friend alafu kanenepa
Wewe dada chizi kweii unapenda ela zake wewe una nn utazeeka ukiangalia mfuko wa mtu wewe n mlemavu s upambane na wewe
Sasa kunenepa kwake kunahusu nini?😂
Huyo ananifaa Mimi kabisa SEMA Nina mtot 1ila nimempenda
@@glorychristopher7283 kwan wap kazungumzia mfuko
Tupe mrejesho ndoa lin
kwakupenda pesa mtafanya wanaume waazime suti ili wawakubarishe kwakuwapata😂😂😂😂😂😂😂kitawalamba
Wanakuja kutafuta pesa siyo mapenzi mimi nimefata musimu wakwanza paka wa inné wanawake wengi wanakufa apo kutafuta pesa
Ni kitawalamba au kitawaramba😅😅😅😅😅 from Kenya
@@evelynekariuki Bora hujalewa, umeelewa❤😃😃
@@evelynekariuki Bora hujalewa, umeelewa❤😃😃
@@ProspertRubura kazi yao hawatazipata
Hich kipind mmekuwa mnafanya na follow up ya hzo couple mtuoneshe hata harusi au kama kiredio amezivunja 😂
@@MohamedShaddydu hahahha umenifanya nimechoka sanaaaa
Jacky I love you ma, ulisema vizurisana, Umuri nikitu kizuri pia in relationships ❤❤️🇨🇩
Yes uyu dem ameongea Na kama Mimi Ni moja Kati ya vigezo zangu miaka
Ndo maana mabinti wasiku hizi mnafeli kwenye maisha mnaangalia pesa yamtu ambaye hamjui kaipataje pesa
Fact
kweli wanawake wengi tunafeli pakubwa sana kupenda pesa kupitiliza tena unakuta huyo anae penda maokoto hajui kutafuta zake
Umeonaeeh jinga kbs hy muuza nyama hy unazitaka pessa co zk muache avunde hapo
Ujijari juu pesa iko nani ushai sikiya amezikwa n pesa 😂😂
Huyo bint anaechagulia mavazi amepoteza point sana asubiri wale wanao vaa Jin's mchaniko ndo wanao mfaa aendelee kuwasubiri😂😂
Jacky huyo uwii wenzie wanamchora tu,,,, umri ni Nini,Unaeza pata mtu kakuzidi 32 yrs na bado akawa wa ovyo tu,,, ila ukapata wa same age akawa na akili zilizonyooka.....🤣
@@hopefreddiecker0537 😆
Ni kweli ukifokasi kwenye kazi yako na mungu akikubaliki utapata pesa
Asanteni sana kwa kuongeza dhakika, ni fan wenu mkubwa kutoka South Africa 🇿🇦 na fwatilia hiki kipidi sana...na enjoy sana 🙏😍 🥰
mademu wa hapo asilimia 70 ni wasenge wakatafute na wao pesa zao mbona watu wote tunasoma ili tuje kupata kazi basi wanawake wasiwe wanasomeshwa ili walelewe na wanaume
Kila dk maokoto yaan Had userious unaisha
Unamuona dem wako yuko apo mbele 😂😂😂
Kitu kizito
Johari akipata Mtu (anayejitambua) niko pale niiteni kitoto cha mbwa. Na kwa bahati mbaya akiolewa siku 365 ni nyingi. Kiukweli ni mzuri (temporal) ila kichwani ni kapput. M. Mungu amsaidie kubadilika
Hahahahahahaha ety kichwan ni caput sema hawa dada zetu wanafeli saaana
Napenda hiki kipindi nijiunge
Ila sijui nianzie wapi
Wanawake wengine kwa muonekano ni wazuri Kabla hajaongea, lakini akianza kuongea ndio unajua yaliyomo yako, Kuna mke au hakuna. Hizo ni hatua za mwanzo kabisa Kabla hamjaanza kuishi pamoja.
True
Johari ni jeuri sana na atachelew sana kupata mr right wake, mpuuzi huyu 😢ana attitudes sana Johari 😢
Ajui nin anataka jaman uyu dada
Kweli kabisa, pia johari ana dharau sana
Ajioe
Here in Kenya Mr Right show is pure comedy.. never serious
🤣🤣🤣🤣🤣
They joking all the time
😂😂😂😂😂😂😂😂
Anawafokea sana😅mwambieni
Kenyans ladies are like prostitute wallah too bored
Hello Mr Right ya Bongo is so boring..waschana wanakaa wako njaa kila mtu amechoka..amujachangamka..Host pekee ndio anaongea..mziki iko juu kuliko sauti..have you watch hello Mr Right ya Kenya ama other countries..kuna level of energy and drama.....
Angalia ya kwenu ilochachamaa😅
wachaga oyee wachaga na biashara😊 atariii
Huyo sijuhi Johari mshamba sanaa😏😏😏😏
Kazi yetu ni copy and paste kwa wengine, hii ni chow zawa Chinese... mambo haya si mila na tamaduni za ki-Africa... maana mwishoe watafikia kutengana awaja patikana kwenye tamaduni zetu, mvulana na msichana wanakitana kwenye njia ya ubishoooo siku hela imeisha ndoa kuisha....
Kilichobaki ni mrejesho sasa wa wanaochaguana baada ya kutoka hapo😊
Uyo mwanamke alongea mwanzo sauti yake inafaa kwenye kazi Kama uandishi wa habari
Wadada wengi hapa washiriki ni wapumbavu Sana Wana matarajio ya ki lofa sijui wao Wana nn cha Zaid mfano mwingine anamkataa m2 kwasabab ya kabila wale... Kibooo
Mm atasikumoja siwezi kujileta na kujitangaza achanikae single
Show ni ya kibabe sanaaaaa yani iko Fire 🔥 sema mnge mute kidogo hiyo background tupate raha ya kuckia vizuri hizo maneno ###Mr right Tumetoboaaaa
Wadada wanataka unafuu wa maisha, kigezo kikubwa ni maokoto ndio maana wengine wanawasha taa baada ya kupata historia ya maokoto, hakuna mapenzi😂😂😂
Hakuna mapenzi hata kidogo wanataja kazi
😅😅😅🤳🤳Natafuta network pesa hajaingia 😅😅😅
@@sarahrashidabdallah3109 🤣🤣
Very true alot of ladies are just after money which is wrong it's good to start with someone from scratch and lift each other
@@CatherineKyalo-i4f sure wanawake wengi ni machizi hata wakimpata aliye na pesa hawana uchungu nazo hawawezi kuendeleza Kwa sababu hawajui zilipatikana vipi wakiachiwa wanafilisi tu nakuacha
Jitu lenyewe jeusi et mavazi yake hayaendan na kaz yake ulitaka atembee uchi 😂utasugua gaga sana hapo
Umeonaee Wala haendani kuwa na huyo kaka 😂😂😂
@@pendomushi6351 Yan jaman hawa wadada wengine hapana kwakwel😂😹🙌
😂😂😂
@@QueenMishy 😂😹😹😂
😂😂😂😂😂😂😂
You people reduce your music volume when the show starts or one is talking ,,,and again no one speaks in English in the show 🤔eiyyyy my laaawwd
Mimi napendekeza mtu akiwasha taa pale tu Mr right akingia kusiwepo na nafasi ya baada ya hapo nahisi anayependa at first site ndio wa kweli
Awe na utayari wa ndoa kweli si vinginevyo, moyo wake huenda umesukumwa na vitu vya nje, Aombe Mungu ampe msukumo wa ndani kumpenda mshkaji cos anaonekan Wajumbe wake ndani ya akili na moyo bado wapo ambao hawajaridhia, anatakiwa kupewa counceling sasa ya kuishi na mshkaji kama mke na kutambua changamoto za kimaisha,, kupata na kukosa.
Good job, sasa hapa ni kukaa Kwa kutulia kbsaa, watching from Kenya but currently in Saudi Arabia
Same here with you
Haki natamani kupata wangu tuanze maisha ,Mko Tanzania upande gani nije nipate wangu na Mimi haki
nipo mm
Njo nikupe kaka yangu
@@rhodarichard4494 Seriously 😂Kaka Yako atakubali kupewa bibi
Jamani back ground music ina sauti kubwa punguzeni sauti. Mngritoa ingekuwa nzuri zaidi
Now jamnii tunaenjoy mnaweka kipandee kina dakika full.. vibes
Sahiv wanajitahid sana
Some of this genz ladi3s are so delusional ukiskiza vitu wanaongea wenyewe wajielewi
Waoooh uyu mrembo nilimpemda Toka anatoa maoni yake ya hawali Toka mwanzo🥰🥰🥰
Namtakia huyu kaka kila la heri ni husband material kabisa yaani hapo huyo mwanamke ayabanange mwenyewe❤❤❤❤❤❤❤
Safi sana dada lulu diva kwa kumjibu huyu dada 😂😂
Jamani hii background music yenu ipo juu sana....nadhani pia sio kila sehemu iwekwe at least hata muweke some effect ambazo zitafanya kipindi kiwe more interesting than kuwa kama movie za bongo za zamani jmn....
Johari is wife material .....nimempenda japo its my first time to watch this show
Haswaaaa
Jamani jamani hivi mbona wanawake hamuna hela mnaitaji mwanaume mwenye hela Kwa hiyo nikiishiwa Hela hakuna ndoa tena embu tafuta mtu ataejali hisia zako basi jamani maisha mazuli mtatafuta wote pia kwenye mafanikio ya mwanaume lazma akili ya mwanamke imehusika tafteni hela wadad msitukomoe bana
namimi nilikuwa na mashaka nilipofuatwa na Mr right wangu ila tunamiaka kadhaa naenjoy,kazi nzuriii alyaa
muongo ww
Kweli natuliopo mbali?
Sasa tuna enjoy jamani wapenzi wa hiki kipindi na hatupo tz tulikua tunaumia mnoo mbarikiwe star time‘s kwa kutujali fan’s wenu
Ndio ata Mimi nakipendaga
They match.mavazi pia imechangua 7shindi WA huyu msichana
.. mpuuzi Sana wewe,yaani unaumia kukosa mambo ya uchiuchi
Nakipenda sana hiki kipindi
@@gracebila1719 ..,..
Jamani aliyesema uzuri wa mwanamke upo kwenye kinywa chake hakukoseaa wadada wengi hapo ni wazuri ila wakifungua kinywa unaona kabisa hamna kitu Wanawake wakikristo someni mithali 31 sana,na umuombe Mungu kuwa huyo mwanamke anayezungumziwa kwenye hicho kitabu wadada wazuri vinywa havina hekima jamani.
Hiki kipindi kumbe huwa kitamu hivi mpaka nimelia machozi ya furaha aisee. Mungu awabariki na mkaendane katika maisha yenu ya ndoa
Inapendeza sanaaa
Kipindi cha wadangaji mtu anaejielwa hawezi tafta mwanamke au mwanaume wa maisha
Nimekupendea pia kinavutia sana❤❤❤
@@fatmafatu1128pole kila mtu nabaht yake mpk online unapat matajir na unaolew acha Zana potof maisha yamebadilik
Ndoa njema, mimi nahitaji mwanaume mwenye upendo tutakachojaliwa tutakula
Jamani mie nataka bi mdogo nipe namba
@@DennisAnthony-j5y me mkristo ndoa yetu ni mke moja
Guys the series of this iko powa ila hiyo background ya nyimbo iko juu sanaa jaribu mupunguze hiyo sound tupate skiya vizuri we can’t hear anything editor do your job well please.
Hakika hiki kipindi bwana huwa na enjoy Sana maana huwa nafurahisha ubongo
Ukiangalia hii na uangalie ya Kenya, huku kuna ustaarabu mzuri. Maongezi mazuri matulivu so miondoko ilivyo kwa Mr. Right Kenya😂
Wanao olea miwemnatuletea maisha yao tuone 😊
Kweli ingependeza tuone maisha baada ya hapa
Mi nimeoa apo kutoka Mr Light na nipo nae
Naomba muongozo plz@@ChifuMaleta
Huuu n udhalilishaj tuu na hao wanawake wanaenda kujidhalilisha hapo mbele
Hao madada aisee wapuuzi Sana wanapenda matawi ya juu Yani huyo kaka aisee mm nisingeenda kujicholesha
Kwani huyo johari si hajavutiwa nae sasa nani kampa mamlaka ya kum-judge😂😂johari tupishe bana
Hiyo miez 6 kaweza kuweka pesa sababu demu alikua mtumiaj wa pesa vby ss kawekeza kaweza kufanya mengine
Tanzanians are very calm ! Kuna wengine wangekua washarukaruka hadi wakambusu!!
Yaani mpaka busu😂😂
Sema tu Kenya😂
Iyi ndo inabamba hii Iko serious sana wah
@@nellydesniper3611 😂😂😂
Mungu akutangulie kaka kwa kila jambo🙏 pia akupe mke mwema na awe mkweli
Ila hawatatoboa hiyo mindset na mentality yake ni kazi sana Kuendana na jamaa
Ni kweli bbadoo kam Kun kitu
Wanawake wengi wanapenda mtu mwenye hela badala ya upendo wakweli
Duuh Kumbe Wanaume ndo wanawindwa namna hiii😅😅😅 Ngoja nikaze Kumpigia Magoti Mr Right wangu uwiiii😂😂😂😂😂 Mungu nilindie Kipenzi changu asije naswa na Mademu wa Dar
Kabisa ulichokuwa nacho ss
Uckizarau maana wengine
Piya want hitahi chamsingu
Ujifafamu kweke yeye ww
Ninani na uhakikishe majukumu
Yako huyasahau nakutakiya
Mapenzi mazuri frnd
@@JULIETHAMERICA kwema
Mungu tutangulie ss wake wakizazi hichi,maana utu umepotea kauli kubwa kwakila mwanamke nihela namuonekano bila kujua hata mwenye hizo fedha kunamda anapitia magumu anahitaji mke atakae mpa faraja nakuwa muombaji mzuri mbele zamungu kwaajili yakutengeneza familiar nzuri,ss mkute mwanamke mwenyewe anayetaka mwanaume mwenye hela nyingi yeye nn anamiliki unakuta make up tu wala hana account acheni dharau za ovyo baadhi yawanawake😏
Kiukweli tangu nimeangalia kipindi Cha Mr right hii couple wameendana sana Mungu awabariki mfike mbali
Jamni nmekipenda hiki kipend...tuwekeeni na kwenye Azamtv
Nina Toto15 ila bado mdogo ungeli mchua wabure from Sweden
Why?
Aaliya you are so cute and matured one. God bless you 🎉
huyu johari ni mwehu kwan mavazi yanategemea na kazi unayofanya,, ukimiliki pesa unavaaa chochote unachokiitaj siyo ety mpaka ifanye kazi bank
Naweza kupata namba ya mister right
Please, some English, we enjoy your content even when we have very little kiswahili. Could be putting some content in kingereza? Love from Uganda
40:09 40:09 @@Noren-q7z