RAYVANNY AMTOLEA MASHUKA LEONARD SUNDAY
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ธ.ค. 2022
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 13 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - บันเทิง
Incredible
Simply incredible
Its incredible
I mean incredible
Ila vany anagawa sana pia anatia moyo sana kwa vijana au wadogo zake
Huyo kijana ana sauti, na hiyo ndio rayvanny anangalia
Mungu bariki RayVanny.. anajua LIFE🕊🕊
Fid akiaminia ni inatia moyo sana
Uyu jamaa n 🔥🔥🔥
Babu nakuona ukiwa mshindi wa kwanza ww ni binge la staaaaaa
Karibu kwaya church
U so good
Kaka ww atali sanaaaaaaaa
U killing
💞💞💞💞
Beka Yuko vizuli mno acheni kulinganisha beka na huyo dogo
Wa mjua beka ibraza vizuri
Beka Ibrozama!!? Mnamjua kwel huyo Beka!? Msimlinganishe na huyu leonard japo naye anajua
Huyu bado yupo bado kwa haya mashindano kila time namwona
Anasauti ya kumba jaman
Dogo unajuwa Sana kaza
1st runners up unarudi tena bss kufanya Nini.,..pisha platform kwa watu wengine bwana
Alikua wa pili sio mshindi
Broo Kuna mshind alafu 1 2 3 runners up
Uyu jamaa mbona m namuonaga wa kawaida Sana au Mimi ndo cielewi muziki
Hujui
@@ntunzwenimanafaustin2197 uranyishe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
fid q comment yake siielewi nikiangalia na response alioifanya kwa kutikisa kichwa kwa kukataa anachokifanya jamaa etu.. ma judge wanafki hawa basi tu angalia dakika ya 2:15 bonyeza hizo dakika nilizoweka hapo
Me nimemuelewa fid q, kamkubali kijana na uimbaji wake angalia vizur huo mda anapotikisa kichwa na kijana alivyokua akiimba kwa mda huo, so fid q hajatikisa kichwa kumkataa hapana kamkubali tena sana, kila mtu ana response yake
@@deboramhagama4577 naam
Uyu afanane na beka kweli?
Hivi beka ni wa kumfananisha na huyu dogo kweli?? Beka ni level nyingne kabisa hao wakasome,, hata Rayvany hamsogelei beka Ibronzama,, Beka ni balaa aisee acheni ujiiiiiii
Soma ulichoandika
Mm mwenyewe nashangaa ebu wamtake radhi ibrozama ni habar nyingine hapa bongo hamna ata uyo vanny boy hamuwez beka barnaba mwenyewe anatii kwa beka
Hawamjui vzr beka au fid kaongea kufurahisha watu tu hapo,beka ni nuksi ktk hizi style
Hao wanabebwa na connection tu japo sawa wanaimba ila syo kwa beka aisee,, m napenda sana music na nafatilia mno,, waache kufananisha watu kwa sifa waangalie uharisia na uwezo wa mtu binafs,, Beka hata akiimba live ni kama amerecord
HUYU JAMAA ANAJUA MPKA ANAKERAA
kusema et beka ibrozama asinge weza kurudia wanmjua au ndio sifa
Beka ni habari nyingine bwana
Hamjui beka huyu fid,beka ni konyo ni shida ktk hz style
Ana sauti nzuri