IBRAHIM URASSA - AMAPIANO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 มิ.ย. 2023
- Ni msimu wa Nne wa mashindano haya ya Kuibua Vipaji kwa Wanavyuo wakiwa wanapambana kuondoka na 10M kwa mshindi wa kwanza,mshindi wa pili kusepa na 3M na mshindi wa Tatu kusepa na 1M
Endelea kufatilia Mashindano haya ambayo hukujia Kila Jumapili Clouds TV
INSTAGRAM: UNITALENTSHOW
TIKTOK: UNITALENTSHOW
PRODUCTION: MAROON ENTERTAINMENT COMPANY LIMITED
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #season04 - บันเทิง
Uku n Bora kuliko bss
Hahahahaha majaji kazi mlikuwa nayo
Woyo woyo 🎉❤
Waoh 🌺
Nice
Mchagga akiona hela mbele ni shiiida big up
Big up brother....hongera sana kwa KAZI nzuri na kuonyesha kipaji....big up sana kwa familia YAKO ya Wana miburani sec...daima wako pamoja nawe ..I feel proud of you....big up
Yan wewe Kaka ulipaswa uwe no 1 Ila fitna tu Sasa ucjal toa nyimbo yako 1 tu watanzania wote tutakusupport
Og unajuaaaaaaa
All of her performances were on top...
Unitlent is unfair the way haukukuwa wa kwanza.u deserve the 1rst place
Bro unakipaji sana. Utafika mbali. Watanzania wanahitaji Performance, Vibe, Entertainment, and Vocal unayo. Nakukaribisha kujifunza vingi Heavenly Vocal and Music School.
Wow! Amazing talent❤🎉🎉
Oaaaa utaua familia so poa bro
Urasa ni fundi
Love
🔥🔥
Huyu jamaa alishika namba ngap jaman mbn hatar
Hao wapiga vyombo n dunia nyingne 😂😂😂😂khaaaaa
Umeona na ww kumbe.
🔥🔥🔥iki kisanga kingine👐👐
Byser 😂🫡
Atareeeeeeee huyu mwambaaaaaaaa
Keep it up bro
Nomasana
Mshindi wang
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥
🎉🎉🎉🎉
Jamani angekosa ushindi uyu kaka ningesema uchawi upo
Anakaa.costa kimpango
Mlifanya tofauti hapa huyu ndo mshindi 2nayemjua sie
Alikosa Akapewa Mdada, huyu ni wa pili
Kazi kazi
Yani ww ndo ulistahili kushinda
Charii chuga unajua jox umekaza kinoma man si chuga tuna kupa ligwala
Me sioni talent. He could be a good MC and he can pull a crowd and has vibes. Lakini talent nop
Hujajua maana ya neno talent... MC pia ni talent.
Na wewe yako😂