Mungu akubariki Mtumwa wake neno hili ni kubwa sana natamani kama ungekuwa na kipindi kwenye vyombo vikubwa vya habari ili kila mtu asikie kweli ya neno kupitia wewe
1. Nini lengo la kufunga Mithali 28:19 mfano wa malengo : shukurani ; kuhuishwa kiroho; nataka maongozi kutafuta mkakati; ruhusa...uponyaji wa uchumi; mwili; kupata neema kutatua tatizo 2. Kujitoa/ commitment -gharama inategemea na hitaji mzigo haraka.. 3. Jiandae kiroho ( jiweke sawa na Mungu- toba; tafuta maandiko ya kusimamia- Mungu hujibu neno lake ktk maombi Yer 1:12 4. Jiwekee ratiba 1kor 14:40. 5. Tarajia shukurani kwa shukurani- jenga jukwaa ..
Nakuomba kokote ulipo Mungu akupe haja ya moyo wako leo 2024 ndo nimekuja kuliona hili somo jaman kumbe mtandao unasaidia ❤❤❤❤❤kuna kitu nime kupata asante Mungu 🎉🎉🎉
Mungu akubariki sana mchungaji nliwahi kupita tu you tube nikasikiliza neno moja basi nimeanza kuwa nakusikiliza sana Kuna kitu Mungu ameweka ndani yako kuna namna unafundisha mtu anaweza kusikiliza bila kuchoka Asante sana na Mungu azidishe mafuta
God bless you sikujua ratiba ya maombi mi hufunga but wee nachanganya Kila kitu Asante mutumishi wa Mungu barikiwa Kwa mafunzo mazuri nimejua Sasa ratiba ya mufungo
Ubarikiwe sana mafundisho yako nayapata nikiwa Zambia, Mimi ni mchungaji, Niko Zambia, naimarika sana mafundisho yako yananiletea mafunuo mengi, kweli yananisogeza sana
Asante pasta nimepata maarifa makubwa sana yanisadie kukua kiroho kweli nilikuwa nafunga wakati mwingine nikawa nakosa muda wa kuomba kabisa,ubarikiwe!!
Amen huwa naskia amani Sana ninaposikiliza mafundisho yako yananibariki na kunifungua pastor George Mungu yupo ndani yako ,natamani siku moja nije kanisani kwako nikuone Tu ,umenifungua vitu vingi Sana Sana , kwenye mafundisho yako.
Kiukweli nilikuwa sina huu ufahamu kabisa I know its Holly Spirit na sio kingine. Tunamsujudu yeye na kila mmoja amepata ufahamu. Ubarikiwe baba kwa kutupa haya maarifa
@@jordanchisawilo6177 Pastor BWANA YESU asifiwe MUNGU akubariki , jinsi anavyokutumia nimekuwa nikijengwa sana na mafundisho mimi ni mchangaji ila nimeanza kupata matokeo ninavyo endelea kujifunza
Bwana Yesu asifiwe mtumishi naomba kuuliza ule mfungo wa Yesu wa siku arobaini ulikuwa kavu ama lah,maana umesema kibiblia mifungo mikavu mwisho ni siku tatu ,naomba unielekeze
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Mimi ni mmoja wa maelfu wanaoponywa kupitia huduma hii ya utumishi wako mbele za Mungu. Namuomba Mungu anipe neema ya kuyafanyia kazi mafundisho unayotupa na siku Moja nije nitoe ushuhuda mbele za Mungu Kwa jinsi yalivyonivusha. Naendelea kuchuchumilia hadi uzima wa milele. Amen
mtumishi unakitu chenye u Mungu halisi ndani yako naomba ufunikwe kwa dam ya Yesu usije igeukia tamaa ukapoteza kusudi la Mungu alilokuwekea.
Ubarikiwee sana baba mungu wa mbinguni akubariki❤ by jonson matiko ktoka zanzibar
Oooh my Lord sijawah kuupata huu ufunua..Mungu nakushukuru kwa hili..mtumishi ubarikiwe sana
Asante Kwa somo mtumishi
Amen🙏🙏🙏 mtu mishi Wa. Mungu nime barikiwa kwa SoMo Suri sana
Amen mtumishi 🙏🏿
Nashukuru mungu kwa ajili ya mtumishi wako naomba mtunze
Amena!!
Nimebarikiwa na kujifunza mengi kumbe nilikuwa naomba omba tu bila kufahamu hapa nimejifunza
Amen amen ,ubarikiwe Kwa SoMo hili ,Mimi nafungaga tu bila malengo na kufuata utaratibu
Thanks Lord for meeting a wonderful man of God with search teaching be blessed man of God for blessings of word, umenitoa mbali.
Amen amen amen baba yangu una towa chakula Mazuri Sana wewe una faaa uko
Sisi ni wa Drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mungu akubariki mtumishi wa mungu nahisi kubarikiwa sana
Ameeen nimekuelewa Mtumishi kwa Somo zuri kuna mahali umeinua kiwango cha Imani yangu
Asante kwa mafundisho mazuri mtumishi wa Mungu
AMEN AMEN AMEN MUNGU nakushukru kwa Mtumishi wako ambaye amenielimisha kuhusu mfungo barikiwa Sana mtumishi
Mungu akubariki Mtumwa wake neno hili ni kubwa sana natamani kama ungekuwa na kipindi kwenye vyombo vikubwa vya habari ili kila mtu asikie kweli ya neno kupitia wewe
Asante pastor kwa neno la mungu
May God bless you richly mafundisho yenye nguvu za mungu na kuelewa kwa urahisi
Mungu akubariki sana pastar kwa kutufundisha, tunakushukuru sana
Nimevushwa sanaaa na hili somo.barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa viwango vya juu 🙏
I'm so blessed by your gospel, may GOD bless your pastor sure I have get many things from you 🙏🙏🙏🙏
Nashukuru sana kwa mwongozo huu nitaufanyia kazi ,ubarikie sana mtumishi wa Mungu
Mungu hajibu maombi lakini ana lijibu Neno Lake! Very powerful revelation!
Namshukuru MUNGU Kwa ajili yako mtumishi wa MUNGU najifunza nilikua nafunga kidini.sasa nitafunga Kwa malengo Asante YESU Kwa kuniona
Nimejifunza kiasi kikubwa. Sikuwa najua jinsi hii. Hakika nimebadilika sasa . Barikiwa sana Mtumishi.
Asante pastor kwa mafunzo mazuri aki nmejua mengi sana kuhusu mpangilio wa maombi
Amina mtumishi❤
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
1. Nini lengo la kufunga Mithali 28:19 mfano wa malengo : shukurani ; kuhuishwa kiroho; nataka maongozi kutafuta mkakati; ruhusa...uponyaji wa uchumi; mwili; kupata neema kutatua tatizo 2. Kujitoa/ commitment -gharama inategemea na hitaji mzigo haraka.. 3. Jiandae kiroho ( jiweke sawa na Mungu- toba; tafuta maandiko ya kusimamia- Mungu hujibu neno lake ktk maombi Yer 1:12 4. Jiwekee ratiba 1kor 14:40. 5. Tarajia shukurani kwa shukurani- jenga jukwaa ..
Nimeinuliwa cna , na nimepata uwelewa mkubwa 🎉
Na hii ndio Injili isiyogoshiwa nimekula kitu kilichokuwa kinanisumbua muda mrefu sana Mungu akubariki sana mtumishi
Anakuwa sehemu gani jamani
Asante mtumishi wa Mungu umenifundisha kufunga kwa malengo na gharama ya mfungo wangu
Thank you soo much man of God,wewe ni wa baraka katika mwili wa kristo
Nafarijika kwa somo la mfungo amen
Asante sana Mungu kwa kunifundisha namna ya kufunga asante mch nimekuelews ubarikiwe sana
Barikiwa sana Baba hakika umenifungua MUNGU akutunze kwaajili yetu pia
Nakuomba kokote ulipo Mungu akupe haja ya moyo wako leo 2024 ndo nimekuja kuliona hili somo jaman kumbe mtandao unasaidia ❤❤❤❤❤kuna kitu nime kupata asante Mungu 🎉🎉🎉
Nimependa Mafundisho yàko, sikuwa nimewahi kuyasikiliza. Barikiwa Sana Mtumishi wa MUNGU.
Amina mtumishi Kwa kunifungua katika kuomba maombi ya mfungo
Mafunzo ya ajabu mungu akuzidishie hekima
AMEEN SO INSIGHTFUL
Amen mtumishi Kuna kitu nimegain thanks a lot glory to God
Mungu akubariki sana mchungaji nliwahi kupita tu you tube nikasikiliza neno moja basi nimeanza kuwa nakusikiliza sana
Kuna kitu Mungu ameweka ndani yako kuna namna unafundisha mtu anaweza kusikiliza bila kuchoka
Asante sana na Mungu azidishe mafuta
Asante mtumishi wa MUNGU nimebarikiwa na hili somo ,nimefunguka macho ,Asante BABA 🙏
Amen Mimi hapa ulikua unanishambulia Mimi Tu wala sio MTU mwengine Yani umenitoa uchafu wote na mungu aniongoze Kwa Kila kitu ubarikiwe 🙏
Amina, asante sana mtumishi wa MUNGU umenizaidia kabsa
Injili ya kweli ya mungu inayotakiwa ndyo hiiii mungu akubariki mnooo pastor George
Andika Mungu start with capital later
Asante sana Mungu nakushukiru Kwa ajili ya huyu pastor hakika nimepata kitu
God bless you sikujua ratiba ya maombi mi hufunga but wee nachanganya Kila kitu Asante mutumishi wa Mungu barikiwa Kwa mafunzo mazuri nimejua Sasa ratiba ya mufungo
Mimi pia
Ubarikiwe sana mafundisho yako nayapata nikiwa Zambia, Mimi ni mchungaji, Niko Zambia, naimarika sana mafundisho yako yananiletea mafunuo mengi, kweli yananisogeza sana
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu! Jina la BWANA lihimidiwe Milele
Mtumishi Mungu akubariki kwa somo zuri, na Mungu atusaidie sana kuweza kufwata ipasavyo, injili yako hii ya kweli isiyotuwa magumashi
Wow sikuwa na ufahamu bt now am delivered thank you man of God
More Grace upon u🙏
Leo umenifungua masikio kumbe ndio maana tunaunga na hatupokei asante mtumishi Mungu alitumia zaidi na zaid
❤❤❤ wewe Mchungaji umebarikiwa sana napenda maneno Yako unafundisha VIZUR mnooo
Ahsante sana Mtumishi kwa mafundisho haya mazuri
Asante pasta nimepata maarifa makubwa sana yanisadie kukua kiroho kweli nilikuwa nafunga wakati mwingine nikawa nakosa muda wa kuomba kabisa,ubarikiwe!!
Ubarikiwe sana mchungaji kwa ajili ya mafundisho ya kufunga nashukuru MUNGU kwa ajili ya kesho kwa mfungo wangu KUPITIA haya mafundisho 🙏🙏🙏
Ameeeen Mtumishi umeniuniua upya sasa nitasimama
Hakika wewe uko na neno sio maneno sikujui lakini wewe ni mtumishi wa Mungu utaenda mbali
Ameeen mtumishi wa mungu najifuza namna ya kufunga
Amen huwa naskia amani Sana ninaposikiliza mafundisho yako yananibariki na kunifungua pastor George Mungu yupo ndani yako ,natamani siku moja nije kanisani kwako nikuone Tu ,umenifungua vitu vingi Sana Sana , kwenye mafundisho yako.
Nasikia aman sana nikisikiliza neno lako
Kiukweli nilikuwa sina huu ufahamu kabisa I know its Holly Spirit na sio kingine. Tunamsujudu yeye na kila mmoja amepata ufahamu. Ubarikiwe baba kwa kutupa haya maarifa
Nipo Dodoma ila Mtumishi najengeka Santa na masomo haya
Neema huyu mtumishi kanisa lake liko wapi?
@@jordanchisawilo6177
Pastor BWANA YESU asifiwe MUNGU akubariki , jinsi anavyokutumia nimekuwa nikijengwa sana na mafundisho mimi ni mchangaji ila nimeanza kupata matokeo ninavyo endelea kujifunza
Aminamtumishi
Amina mtumishi
Asante Mtumishi wa Mungu, Mafudisho yamekuja kwa wakati.
Bwana Yesu asifiwe mtumishi
naomba kuuliza ule mfungo wa Yesu wa siku arobaini ulikuwa kavu ama lah,maana umesema kibiblia mifungo mikavu mwisho ni siku tatu ,naomba unielekeze
Mchungaji ni mvivu kusoma comment za Washirika so angalia namna nyingine ya kumpata
l love this man of God😊...his teachings are bomb💪
Umenifungua macho, nilikuwa sijui chochote,be blessed Man of God
Kuna hatua naenda katika maombi.. Mungu akubariki pastor George hakika ww ni baraka katika kizazi hiki.
Hakika mimi umenipeleka mbali sana kwa mafundiso yako ya kufunga asnte sana ni martin mpeketoni kenya
May God bless you for i learnt alot yenye sikuwa naifahamu.God thanks.
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Mimi ni mmoja wa maelfu wanaoponywa kupitia huduma hii ya utumishi wako mbele za Mungu. Namuomba Mungu anipe neema ya kuyafanyia kazi mafundisho unayotupa na siku Moja nije nitoe ushuhuda mbele za Mungu Kwa jinsi yalivyonivusha. Naendelea kuchuchumilia hadi uzima wa milele. Amen
Asante MUNGU kupitia mtumish wako ubarikiwe mlele 😢
Very insightful! Asante Mtumishi, God bless you!
nabarikiwa sana na Mtumishi huyu ubarikiwe sana.
Haki umenifundisa mengi nimefunguka kiroho Amen
Amen amen ubarikiwe sana..sijatoka bure mungu anipe hiyo roho ya mfuno kwa jina la yesu
Amen,umenisaidia sana ubarikiwe pastor
Oooh Nabarikiwa cn kwa huduma hii
Mungu akubariki baba hakika unatufungua wengi
Amen am blessed Man of God,may God bless you
Asante mtumishi nimejengwa sana na hili somo Mungu aendelee kuiutumia kwa viwango vya juuu
Barikiwa sana Mtumishi, umenifungua pakubwa sana
Mungu azidi kufungua mipaka yako mchungaji,nimesikia na kusonga hatua nyingine tena ningependa kukushukuru sana
This is true gospel of Christ, I have been so much blessed!
Amen Mtumishi, hakika umenifungua, nashukuru sana na Mungu akubariki.
Orioh pastor wateka likhuwa liomwami
Mtumishi asante sana jee ukiwa na mtt mdogo nanyonyesha nitawezaje
Ubarikiwe mtumishi wa BWANA,umenivusha,AMEN.
Mungu naomba mwanangu aje kutumika hivi
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananibariki sana sana kiukweli
Daah ..... MUNGU akibariki sana kwa mafundisho yako baba angu%
Amen mtumishi. Wa mungu
Amen mchungaji huwa naelewa sana neno,ubarikiwe
Amen.mungu.akubariki.sana.mtumishi
Ameen mchungaj mungu akubari sana
Amina, nimesoma kitu hapa🙏🙏 barikiwa mwalimu
Amen
Amen amen
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
NimebarikiwA
Amina Mtumishi wa Mungu umenivusha kiwango Kingine ubarikiwe