Soma Hilo linadhidi kunibadilisha katika maisha yangu ya Kila siku.mimi naenda nitoe ushuhuda huu kuhusiana na masomo yangu,Kuna masomo mawili nilikuwa sijafikisha course work kwa ajili ya mitihani ya mwisho. Saiv nimekuwa miongoni wa wanafunzi tutakaofanya mitihani yote. Ninacho washauri watu wa Baba tuwe na Imani iliyo dhabiti. Nashukuru pastor mmbaga kwa somo hili nzuri
Amina barikiwa Kwa Neno la asubuhi, nimebarikiwa Sana , naomba maombi Boc wangu hataki niende kanisani Kwa sababu anasema Kuna Corona Na yeye Ananda kazini Na watoto wakitaka kutoka Wana toka
Soma Hilo linadhidi kunibadilisha katika maisha yangu ya Kila siku.mimi naenda nitoe ushuhuda huu kuhusiana na masomo yangu,Kuna masomo mawili nilikuwa sijafikisha course work kwa ajili ya mitihani ya mwisho. Saiv nimekuwa miongoni wa wanafunzi tutakaofanya mitihani yote. Ninacho washauri watu wa Baba tuwe na Imani iliyo dhabiti. Nashukuru pastor mmbaga kwa somo hili nzuri
Mafundisho yako ni mazuri sana pliz pastor nakuomba siku moja uongee kuhusu wanjane mayatima
Ubarikiwe sana pastor,unanibariki sana
Viewer wa kwanza. All the way from china 🇨🇳. Amina.
Asante sana mchungaji kwa mahubiri yako. Yesu ndiye ambaye tunamhitaji kuliko pesa.
Amen. Ubarikiwe sana pastor Mbaga.
Mafundisho mazuri pastor, Mungu akubariki
Praise God. I am blessed by the Word coming to us in this manner.
Amen
AMEN, Ahsante kwa Neno, Barikiwa zaidi
Ahsante kwa somo nzuri asubuhi hii , barikiwa mtumishi wa Mungu🙏
Glory be to God.....mafundisho mazuri sana 👏👏👏
Amina MUNGU atusadiesana
Asante Mungu kwa neno hili bariki mtumishi wako hadi ashangae
Amina barikiwa Kwa Neno la asubuhi, nimebarikiwa Sana , naomba maombi Boc wangu hataki niende kanisani Kwa sababu anasema Kuna Corona Na yeye Ananda kazini Na watoto wakitaka kutoka Wana toka
Ubarikiwe sn pastor najifunza mengi xn
Unachosem ni kweli kuna saa unatakiw kusimam wew kama wew maan vita ni kubwa sana
Asante Mchungaji nimejifunza kusali nakuomba 🙏🙏
Ubarikiwe pasta
Jina la yesu kristo litunzwe milele zote