DC UBUNGO ASHTUKIZA KWENYE MADANGURO AKAMATA NA KUZIFUNGIA BAR RIVERSIDE "WAFIKISHWE MAHAKAMANI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 มิ.ย. 2024
  • #UBUNGODARESSALAAM

ความคิดเห็น • 1.1K

  • @DominickTemba
    @DominickTemba 22 วันที่ผ่านมา +130

    Safisha mazingira kiongozi. Mwenyezi Mungu fadhila zake ziwe juu yako na kizazi chako Aamin Inshaalah.

  • @kamugishaishengoma-ei6kp
    @kamugishaishengoma-ei6kp 22 วันที่ผ่านมา +37

    Mungu amulinde sana Mkuu Wa Wilaya....Anafanya Vizurii sana...nimekua namfatilia sana kuanzia yuko Ukerewe

  • @anethmtei2912
    @anethmtei2912 22 วันที่ผ่านมา +59

    Asante sana .funga hizo bar kabisa zinaharibu vijana wetu. Ni aibu sana katika eneo hilo. Wasichana wanajipanga barabarani wamevaa vinguo vya ajabu kabisa. Hongera sana dc wangu. Mungu akulinde

    • @analisacecy
      @analisacecy 22 วันที่ผ่านมา +2

      Tena hawana hata haya wanakaa barabrn mapema 2

    • @hildamasonda6528
      @hildamasonda6528 22 วันที่ผ่านมา +2

      Wanavaa uchii yaan ni huzuni

    • @davidrweyemamu938
      @davidrweyemamu938 22 วันที่ผ่านมา +1

      Aneth watafutie kazi wanawake wenzio hawa.

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya 22 วันที่ผ่านมา

      Wawakamate na madjoga

    • @gustavompemba1781
      @gustavompemba1781 22 วันที่ผ่านมา

      Mashoga saw ila hawa amuwatak

  • @AbdalahMakungwa
    @AbdalahMakungwa 4 วันที่ผ่านมา +1

    Uyo DC yuko vizuri mungu amuongoze kwa kazi mzuri

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 22 วันที่ผ่านมา +39

    Hongereni sana serikari Mungu awape nguvu kutokomeza hii hadha wallah awa ndo Wana sababisha majanga yanayo endelea apa duniani na pia kusababisha ndoa nyingi kuvunjika wanaume wengi wanapata vishawishi vichafu kwa.ao ma dada poa Kisha kuzileta kwenya nyumba zao na.ndoa kuvunjika subhanna Allah 😭

  • @MatthewHaden
    @MatthewHaden 20 วันที่ผ่านมา +3

    My Classmate Dc Bomboko. HONGERA SANA keep the good work

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ubarikiwe sana Mkuu wa Wilaya. Hongera sana jeshi la polisi... special congrats to these female officers wamefanya kazi vizuri.

  • @Happyjaphet-fr6np
    @Happyjaphet-fr6np 3 วันที่ผ่านมา

    mungu awape maisha malefu kwa kazi nzuli safi sana

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 19 วันที่ผ่านมา +11

    Munafanya kazi nzuri,Hongera sana Kwa kazi nzuri

  • @venancesangawe6295
    @venancesangawe6295 22 วันที่ผ่านมา +46

    Mh DC Wa Ubungo Katika Hili Hata Mbele Za Mungu Utapata Thawabu Kiutendaji 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🫡🫡🫡🫡

  • @user-kq7kn7gh6l
    @user-kq7kn7gh6l 19 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu awabariki viongozi wetu kwa kazi ya mungu mnayoifanya, mungu awape ushujaa mkubwa hasa dc

  • @vero57
    @vero57 22 วันที่ผ่านมา +43

    Kazi nzuri sana, funga kote huko wanatuharibia family zetuu!!

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 22 วันที่ผ่านมา +2

      Sishabikii ila watoto wasibakwe tu

    • @richlymo
      @richlymo 9 วันที่ผ่านมา

      Wewe unasema wana waaribia watoto wetu acha watu waka jipoozee ukoo una taka watu waanze kubakwa

  • @nevinmirambo9921
    @nevinmirambo9921 13 วันที่ผ่านมา +4

    Shobo tuu!!! Wewe siyo mungu punguza mulkali wako,, sasa kama wewe ni mwanamme kweli tunaomba ukawapatie kazi za kufanya!! Utatumbuliwa vibaya!! Ya mungu mengi shahuri yako!!!

    • @liliannyagawa7777
      @liliannyagawa7777 6 วันที่ผ่านมา

      Mungu kakupa viungo vyote umekamirika si uuze hata matunda umalaya na tamaa za kutaka hela ya haraka nayo hutosheki tamaa na kesho Tena upo na vichupi juu2 hamna kujiongeza kufanya kazi zingine nje na mwili 🙄

    • @IdaMkama
      @IdaMkama 5 วันที่ผ่านมา

      Asante

    • @user-ss8mn8wu5r
      @user-ss8mn8wu5r 4 วันที่ผ่านมา

      Kwa ivo unaona kafanya kitu kibaya?nadhani we hata Huna hofu ya Mungu kumb. miili yetu ni hekalu la roho mtakatifu.

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9h 22 วันที่ผ่านมา +19

    Mnaowatetea kumbukeni Sodoma Na Gomola walichokipata kwaajili ya dhambi hizo pia hamfikirii haya majanga yanayotokea kua Mungu anasema na watu kupitia majanga yamkini watu watujiuliza kwanini kuna mambo yanatokea tumrudie Mungu atatusamehe

    • @davidrweyemamu938
      @davidrweyemamu938 22 วันที่ผ่านมา +4

      Kuna watu wanaibia umma ufisadi mkubwa uporaji rasilimari za nchi wizi wa miundombinu nk hao ndio wanaleta majanga nchi hii, nioneshe mwenye maisha mazuri anayefanya uchangudoa maksudi kati yao hao!
      Watu mnapenda kuhukumu wenzenu wakati nanyi ni machangudoa wa chinichini tuu, kama unaweza kutembea na wapenzi zaidi ya mmoja kwa mwaka wewe umejiweka kundi gani hapo?!
      Yesu aliyakataa haya kwa yule mwanamke kahaba waliyetaka kumpiga mawe wayahudi.

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@davidrweyemamu938watu vijijini huku wanaishi maisha magumu kuliko hao kwa Nini hawajiuzi unawatetea siku ya hukumu utajutia Hilo unalolifanya

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 22 วันที่ผ่านมา +1

      ​​@@davidrweyemamu938 😂😂 Yesu pia hakubariki ukahaba wake akamwambia aachane nao ...Malizia nukuu ww msapoti ukahaba 🚮🚮😂

    • @PendoManeno
      @PendoManeno 22 วันที่ผ่านมา +2

      Bora yeye anaeuza Kwa pesa kuliko wewe unaeliwa bule mtaani

    • @davidrweyemamu938
      @davidrweyemamu938 22 วันที่ผ่านมา +2

      @@fredducaunt Mbona husemi alivyowaambia " Asiye na dhambi kati yenu na awe wa kwanza kumtupia jiwe"?

  • @peterjisema4222
    @peterjisema4222 5 วันที่ผ่านมา

    DC wa Ubungo hangers kwa kazi nzuri,naomba na Ma-DC wengine waige hilo,hapa Kahama hii biashara imekithiri sana

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mtalipwa tu na mungu kwa kazi nzuri

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 22 วันที่ผ่านมา +5

    Allah akulinde kiongozi. Mwema. Utalipwa na Mungukwakweli viongoziwote mgekua mnatendahakikamahivi mgeona makipoyake Duniani na Ahllah.

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 22 วันที่ผ่านมา +12

    Jamani nimekaa sana ubungo liverside lkn sikuwahi kujua kama kuna madanguro doooh,kazi nzuri wakuu

    • @godfreysudi7264
      @godfreysudi7264 22 วันที่ผ่านมา +2

      Basi ujakaa river side 😁😁😁

    • @getrudakyando8798
      @getrudakyando8798 22 วันที่ผ่านมา

      Huyu hapajui river Bado 😂​@@godfreysudi7264

    • @shamisfahiye9628
      @shamisfahiye9628 21 วันที่ผ่านมา

      Sio liver side *...Riverside ..Tanzania English inawasumbua

    • @zuhrazuhra637
      @zuhrazuhra637 21 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂​@@shamisfahiye9628

    • @kelvindagine9571
      @kelvindagine9571 21 วันที่ผ่านมา +2

      Sasa wewe umekaa liver side hao wapo riverside

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 19 วันที่ผ่านมา +1

    Kamanda kazi nzuri sisi wenye dada zetu inatuumiza sana hii hali wanadharirika utu wa mwanamke wakitaka iishe hii hali wekeni ulinzi shirikishi wataondoka

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 22 วันที่ผ่านมา

    Hongereni sn.Mungu awabariki kwa kaxi nxuri.

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 22 วันที่ผ่านมา +6

    Allah akuhifadhi DC, usije ukaandikiwa waraka na ubalozi wa marekani

  • @cab-2001
    @cab-2001 22 วันที่ผ่านมา +3

    mungu ambariki huyu kiongozi jamani aishi maisha marefu

  • @HumphreyMccall
    @HumphreyMccall 19 วันที่ผ่านมา +2

    Finally dc amefanya kazi nzuri

  • @marialumbanga
    @marialumbanga 21 วันที่ผ่านมา

    Asante kwa kutuokoa wanawake maana tulikuwa tunajiabisha msiishie huko tu iyo opperation ifanywe tz nzima

  • @drmtangi3649
    @drmtangi3649 22 วันที่ผ่านมา +8

    Kazi nzuri brother sina mashaka na wewe piga kazi

  • @user-xd9ye7wk6c
    @user-xd9ye7wk6c 22 วันที่ผ่านมา +10

    Hongera sana kazi nzuri na hao wanaume nao weka ndani maana wanaboa

    • @starjay3052
      @starjay3052 22 วันที่ผ่านมา +1

      sasa sibilia mtoto wako abakwe

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d 22 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@starjay3052Sio kweli hayo kukamatwa kwa dada powa ndio sababu ya watoto kubakwa walikuwepo na watoto wanabakwa kila siku

    • @godsonmngara5722
      @godsonmngara5722 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-fs7xc2bb5d uhalifu kwa vifungu vipi 😂😂😂😂😂😂 mkuu wa mkoa apa kapita kushoto amekosa kazi

  • @kabelwasalim6305
    @kabelwasalim6305 22 วันที่ผ่านมา

    Kazi nzuri sana👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @khamisihamadi629
    @khamisihamadi629 22 วันที่ผ่านมา +19

    Vizuri sana mungu awabariki na muendelee kufanya kazi hiyo kwa ushirikiano na watanzania wote

    • @user-uc8ei8kn3l
      @user-uc8ei8kn3l 22 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 21 วันที่ผ่านมา +5

    CCM ni janga la taifa namba moja..

  • @sheilanampenya1833
    @sheilanampenya1833 22 วันที่ผ่านมา +13

    Mlitakiwa mvae groves kushika evidence

    • @section8ight174
      @section8ight174 22 วันที่ผ่านมา +1

      *gloves!!!!

    • @damianihubert-qb1mr
      @damianihubert-qb1mr 21 วันที่ผ่านมา +2

      Kwa ufaulu wa D nne ningumu kuwa makin kama FBI wa marekani😂😂

    • @ZephaniahSekwa-fl2go
      @ZephaniahSekwa-fl2go 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@damianihubert-qb1mrdaah hatar😂sana

  • @user-pg6dr3mo5t
    @user-pg6dr3mo5t 22 วันที่ผ่านมา

    Very good mungu akupe Maisha maleefu Inshaallah 🙏

  • @gwantwajoseph5564
    @gwantwajoseph5564 22 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki sana umongozwa na roho mtakatifu

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 22 วันที่ผ่านมา +23

    Kazi nzuri Serikali yangu..Ila Police wetu muwe munavaa Gloves wakati wa kugusa hizo vifaa vyao.

    • @Sokomoko13
      @Sokomoko13 19 วันที่ผ่านมา +1

      No offense lakini hamna police hapo,
      Yaani kweli police anashika shika tuu vitu without gloves.. haha inasikitishaa sana..

    • @IdaMkama
      @IdaMkama 5 วันที่ผ่านมา

      Toka bana

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9h 22 วันที่ผ่านมา +11

    Mungu anabariki kazi ya mikono mbona kuna njia nyingi za kufanya kazi kuna watu wanauza mboga wanaishi wanauza matunda hawajataka wanapenda kupefanya kazi ya aibu Mungu awaokoe na hiyo kazi

    • @user-ex9sd8wm4l
      @user-ex9sd8wm4l 22 วันที่ผ่านมา +1

      Polisi ndo machimbo yao kwahiyo anavijuwa ndo maana wanashika hivyo vifaa

    • @IdaMkama
      @IdaMkama 5 วันที่ผ่านมา

      Tupeni mitaji

  • @neematelervomtawa3894
    @neematelervomtawa3894 22 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana Mungu awabariki sana nyoni na uku mombo wanavunja ndoa za watu alafu wanajiona wao ndo kila kitu kwa waume zetu sweka ndani wote awo

    • @davidrweyemamu938
      @davidrweyemamu938 22 วันที่ผ่านมา +2

      Hii ni hoja binafsi wala haina tija kitaifa neema, linda ndoa yako mchunge mmeo kila mwanamke ni malaya hata nyie mlioolewa bado mnajiuza kama mumeo haridhiki nawewe hatopona kwa kuwakamata hawa!

  • @eliassampa8719
    @eliassampa8719 22 วันที่ผ่านมา

    Duh! Barikiwa sana kiongoz dhambi zipungue mweee

  • @josiahsimon5333
    @josiahsimon5333 22 วันที่ผ่านมา +13

    Hongera sana mkuu wa wilaya mkamate nao wanaonunua pia kazi nzuri Mungu akubariki sana

  • @Mosses8
    @Mosses8 22 วันที่ผ่านมา +8

    Unaacha kuangaika na matatizo ya wanaichi unaenda kuangaika ujingatu chukuweni mfano kwa makonda

    • @allywaziry6419
      @allywaziry6419 18 วันที่ผ่านมา +1

      Kazi hii nzuri pia ndugu

    • @ommyking9978
      @ommyking9978 16 วันที่ผ่านมา +1

      Angekua dada ako au mdogo wako wa kike anajiuza hapo ungefurahia?? TUMIA AKILI

    • @user-fx4tz6wt6z
      @user-fx4tz6wt6z 15 วันที่ผ่านมา

      Mkuu wa wilaya anatangaza vita na hao wanao Fanya biashara haramu ya ukahaba na mimi na msapot kwa kazi anayoifanya mungu Yuko pamoja nae .
      Wewe utabaki na kama ulivo .
      Kazi iendelee

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu awaogoze 🥺🤲🏾

  • @biitamarry4383
    @biitamarry4383 22 วันที่ผ่านมา +6

    Hongera Mh.Dc

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 22 วันที่ผ่านมา +4

    SAFI SANA HONGERA SANA WANASAMBAZA MAGONJWA NCHINI TANZANIA

  • @azeezaya8510
    @azeezaya8510 22 วันที่ผ่านมา

    Kazi nzur kuongozi watafute kazi yakufanya wanafanya mapenzi kinyume namaumbile hawa ndowanasababisha matatizo 😊

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 22 วันที่ผ่านมา

    hongera Dc hakika wewe ni kiongoz mfano wa kuigwa.
    ewe mungu mlinde dc huyu

  • @user-mw7qg8qm7j
    @user-mw7qg8qm7j 22 วันที่ผ่านมา +6

    Jamani maisha nayo kazi nyingine ziko wapi toeni ajila basi yani selikali bongo watu wanao ishi daa wanajua hii

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumba 22 วันที่ผ่านมา +29

    Serikali ipo busy kujichumua tumbo Maisha mtaani yamekuwa magumu mno mpaka watu wanaamua kujiuza😭😭😭 si ajabu ni graduates wa miaka nenda Rudi ajira hakuna hata kimtaji cha biashara hakuna inaumiza, YOTE KWA YOTE HATA HUNA CHAKUFANYA USIKATE TAMAA KUFIKIA HATUA HII muombe Mungu akujaalie riziki ya halali japo kidogo

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 19 วันที่ผ่านมา

      Haueleweki wewe ni wa baridi au moto ama vuguvugu, hata kama maisha ni magumu kiasi gani bado haiwezi kuwa sababu ya kujiuza, hivi umeshawahi kujiuliza je wakipata magonjwa wakayaeneza kwa wengine mwishoe wakawa na afya dhaifu sana itakaoyo wafanya wasiweze tena kujiuza lakini inabidi wajitibie na matibabu ni gharama itakuwaje, si nibora wakafanya hata kazi za uhudumu wa bar ama hoteli hata kazi za usafi hata kuuza chai ama mama ntilie, hao ni wavivu wa kujitafutia na hupenda vya bure na wengi wao ni wezi mbali ya kujiuza maana anaeweza kuuza mwili wake anaweza kufanya uhalifu wa aina yoyote ile, na hakuna imani yoyote inayohalalisha hiyo tabia uwe mkristo au mwislamu ni haramu tu, na hata uwe huna dini bado ni tabia mbaya mno mno hivyo ni laana kubwa sana sana sana. Me nadhani japo serikali ina mambo mengi ila ipo kwa ajili ya wananchi hawa watu badala ya kupelekwa mahakamani ni bora wawekwe sawa ki akili wafundishwe namna ya kujitegemea na baada ya hapo wapelekwe viwandani wakafanye kazi hata usafi kufunga mizigo na zenginezo, ila wapewe adhabu kama fundisho za kufanya kazi za kijamii kama kufanya usafi magerezani hosptalini na baadhi ya ofisi za kiserikali badala ya kuwapi faini na kuwaweka ndani maana wakitoka watakuwa sugu na wataendelea na tabia zao maeneo mengine au mikoa mengine.

    • @suleimanbalemba3348
      @suleimanbalemba3348 19 วันที่ผ่านมา

      Wewe huna dadaako ndo maana unaongea hivo

    • @TreasureMagumba
      @TreasureMagumba 18 วันที่ผ่านมา

      @@suleimanbalemba3348 Sasa mm nimeumizwa na hiyo Hali wanayoipitia dada ama wadogo zangu pia alafu unanilaumu Tena 🤣🤣

    • @funnymohammed1494
      @funnymohammed1494 17 วันที่ผ่านมา

      Asante mkuu kinondoni viongozi wako wapi pale vijana panatisha aisee

    • @busnaoman9981
      @busnaoman9981 16 วันที่ผ่านมา

      ​@@nassercurtis9579😂😂

  • @LeilahamisiMwanya
    @LeilahamisiMwanya 20 วันที่ผ่านมา

    Hongeren sana mungu awabaliki

  • @MwanaidhMary
    @MwanaidhMary 20 วันที่ผ่านมา

    Kazi nzuri sana wanatia aibu sana awataki kazi wavivu wakubwa

  • @manwalimshali2986
    @manwalimshali2986 20 วันที่ผ่านมา +8

    MAY GOD SHOWER YOU DC WITH HIS UNCONDITIONAL BLESSINGS. KWA HIKI UNACHOKIFANYA

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 22 วันที่ผ่านมา +6

    Yaani Kuma zinauzwa kama NYANYA,....wanawake kwa wanaume kufirana....hii ni hatari sana, ...Yaani funga hayo MADANGURO , wasilete kisingizio cha ajira

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d 22 วันที่ผ่านมา +3

      Nikweli wafunge kabisa unamkuta mtu anacomment eti subirin watoto wabakwe kwani kabla hawajakamatwa hakuna matukio ya kubaka Mwenyeez Mungu anasuru vizazi vyetu mtihani mzito

    • @user-tt3jh1mq5y
      @user-tt3jh1mq5y 19 วันที่ผ่านมา +1

      😅😅😅

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumba 22 วันที่ผ่านมา +2

    Ee Mungu tujaalie vizazi vyema hii inaumiza sana kwa wazazi maana Kila mzazi anapata uchungu wakati wa kuzaa

  • @Roza-qv6tn
    @Roza-qv6tn 7 วันที่ผ่านมา

    Nawapa hongera sana watu serikari kwa kweli inaumiiza mungu akubariki sana kwa kweli

  • @nazaelemmanuel3496
    @nazaelemmanuel3496 22 วันที่ผ่านมา +7

    Wakat makondo anapambana kutatua kero za wananchi Dar tunapambana na madanguro😂😂😂

    • @user-vw5bn4pf4y
      @user-vw5bn4pf4y 22 วันที่ผ่านมา

      Kwahiyo hii si changamoto?

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-vw5bn4pf4yakili zingine 😅😅😅😅ujinga ujinga tu hakuna kitu

  • @mussansoleziplutnumz2097
    @mussansoleziplutnumz2097 22 วันที่ผ่านมา +5

    Hizo kazi zingine mnawapatia lakin

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 22 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sanaaa nalipongeza sana Jeshi la police kwa hatua kama hiii ila Ila toen mitaji pesa mtaan hakunaaa watu wanalazimika kufanya ivi ili kulea watt na kusomesha watu wana majukumu sanaaaaaa aiseeee😢😢😢😢

  • @SamwelJohn-dh9kk
    @SamwelJohn-dh9kk 22 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana mkuu. Ukerewe tumekumic sana. Piga kazi mkuu. Kazi iendelee

  • @fadhilirajabu2816
    @fadhilirajabu2816 22 วันที่ผ่านมา +8

    Nakukubali xna brother bomboko

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq 22 วันที่ผ่านมา +6

    Wapeni kazi. Kujiuza hamtakaa muweze kutokomeza. Na hao wakamataji wakitoka hapo wanaenda kujiuza au kununua ngono😊

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 22 วันที่ผ่านมา

      Exactly

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 22 วันที่ผ่านมา

      Wakipewa watafanya?

  • @isaselogistics7266
    @isaselogistics7266 22 วันที่ผ่านมา +1

    safi sana ,gu atalinda

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 22 วันที่ผ่านมา +4

    vzuri. ila watafutieni hizo kazi zingine.

  • @paidenasra4548
    @paidenasra4548 22 วันที่ผ่านมา +10

    Mafuta Aslay nayaona apo😅😅

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 22 วันที่ผ่านมา

      Hahahahaha

    • @lucymtui8680
      @lucymtui8680 22 วันที่ผ่านมา

      ,😂

    • @paidenasra4548
      @paidenasra4548 22 วันที่ผ่านมา

      @@lucymtui8680 mambo

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 22 วันที่ผ่านมา

      Hatakua halikuwepo

  • @teddysanga1840
    @teddysanga1840 5 วันที่ผ่านมา

    dc hongera piga kaziii

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 20 วันที่ผ่านมา

    Daaaah... Safi Sana aseee...

  • @janethedward4631
    @janethedward4631 19 วันที่ผ่านมา +3

    Serikali ipo busy kusaka ma dada powa, vijana walikuwa wakijishuhulisha na machinga vibanda vimevunjwa, ajira akuna 😢 wengine wazazi wao wamefariki wamefukuzwa na ndugu wamezulumiwa mali zao awajui pakuanzia 😭 Maisha magumu kila kukicha afadhali ya jana serika ingalie kwa jicho la3 swalaah la ajira na hao makahaba wakikamatwa wapate kuojiwa wengine watoto wa ngazi ya juu wawe wanaojiwa kwanzia familia mpk maisha yao si kukamatwa na kuzalilishwa 😢 kikombe unacho mpimia mwenzio na wewe ipo siku utakuja kupimiwa leo ni mtoto wa mwenzako kesho utakuta mtoto wako dada yk n.k Binafsi ningeomba serikali itafute njia m,badala juu ya Hawa madada pw mana wengine kwako mambo safi wanatakiwa wakikamatwa waojiwe private mtapata solution ya ukahaba na itatokomea

    • @kelvinjonas6974
      @kelvinjonas6974 18 วันที่ผ่านมา +1

      Hakika

    • @EstherKayanda
      @EstherKayanda 17 วันที่ผ่านมา

      The problem is hawataki kuhangaika so they are trying to get a soft way to get money

  • @mamasalhat
    @mamasalhat 22 วันที่ผ่านมา +4

    Duuh wana vitendea kazi kabisa 😢😢😂😂😂😂😂 kamata hao shenzi

  • @GloryKimario-rp9ef
    @GloryKimario-rp9ef 16 วันที่ผ่านมา

    Amina sana kiongoz mungu akutie nguvu

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 22 วันที่ผ่านมา +1

    Safi 👏👏

  • @djhajiztz
    @djhajiztz 22 วันที่ผ่านมา +3

    Mnawaonea Waachieni tuu ni kazi yao

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 22 วันที่ผ่านมา

      Kazi ya kubomoa jamii au sio

    • @kondomrisho8776
      @kondomrisho8776 20 วันที่ผ่านมา

      Mwamba mteja nini
      Acha kuzingua bro

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 22 วันที่ผ่านมา +8

    Waacheni wapige Kaz.. otherwise muwape ajira

    • @gisdenga7740
      @gisdenga7740 22 วันที่ผ่านมา +1

      Na ukiwafuatilia Wana vyeti vizur tu

    • @IsmailJafary-ir8cv
      @IsmailJafary-ir8cv 22 วันที่ผ่านมา +3

      Acha ujinga wewe kizazi cha shetani unaona vizur hivo

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 22 วันที่ผ่านมา

      Yaan nikose Kaz ndo nikauze nyapu ni upunguf waakili kizazi Cha nyok​@@gisdenga7740

    • @mamasalhat
      @mamasalhat 22 วันที่ผ่านมา

      Koma weeh kwani hakuna kazi zingine mbaka hii?

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 22 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe mwenyewe hapo huna ajira , mbona hujiuzi..?

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 22 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana

  • @mansoorburuhan6791
    @mansoorburuhan6791 22 วันที่ผ่านมา +4

    saw mmefanya kazi nzr.. ILA kwann kabla hamjawakamata msiwaite mkawapa ushauri mkawambia watengeneze makundi mkawapa mtaji wakafanye biashara na mwisho mkaenda kukagua maendeleo ya mlichowapa???
    kuliko kutowasaidia na kuwaendeleza kuwadidimiza kama hawana sehem ya kutoa mtaji watafanyeje
    kumbk; nanyi mlipo MMEAJILIWA
    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣"MAWAZO TU YA MWANAGENZI...."

    • @flavy_kipps4025
      @flavy_kipps4025 22 วันที่ผ่านมา +1

      mtu aliezoea pesa ya rahisi kazoea tu hata akipewa mtaji biashara ataona ngumu atarudi alipotoka

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 22 วันที่ผ่านมา

      Kwani kazi zingine hakuna mpaka lazima wafanye biashara?! Wafanyabiashara wameshatosha machinga wamejazana mabarabarani hata pa kupita hakuna!

    • @priscamabuga7396
      @priscamabuga7396 22 วันที่ผ่านมา

      Waondolewe tuu kwakweli pale riverside Pana Tisha

    • @kondomrisho8776
      @kondomrisho8776 20 วันที่ผ่านมา

      Mwamba unayumba maelezo mengi alafu poor point
      Unahisi hao jamaa hawana akili wewe ndiyo smart au na wewe mteja mbona unatetea sana watu wana data

    • @AshuraMkonda
      @AshuraMkonda 18 วันที่ผ่านมา

      Well said..mtaani ni pagumu ingawa njia wanayotumia co nzuri kujiuza watu tunapambana adi tunataka kukata tamaa hakuna wakukupa mtaji wala support yeyote adi unatamani u give up

  • @KaraniBonge
    @KaraniBonge 22 วันที่ผ่านมา +15

    Watafutieni hizo kazi zingine

    • @user-uc8ei8kn3l
      @user-uc8ei8kn3l 22 วันที่ผ่านมา +2

      Kabsa mtu anauza mwili wake ngoja ubakaji ushamili.

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-uc8ei8kn3lkwani kabla hawajakatwa wanaume walikuwa hawabaki watoto kila siku matukio ya ubakaji au huyasikii

    • @section8ight174
      @section8ight174 22 วันที่ผ่านมา

      @@user-uc8ei8kn3lit’s classed as illegal activity for a very good reason! Effects & ramifications of prostitution within a particular community have been studied for years, the negatives hugely outweigh the few positives if any!!

    • @manlematz821
      @manlematz821 22 วันที่ผ่านมา +1

      Shoga ww

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 22 วันที่ผ่านมา

      ​@user-uc8ei8kn3lwalikuwe kila siku watoto wetu wanalawitiwa na kubakwa huna hoja

  • @MagrethMhina
    @MagrethMhina 3 วันที่ผ่านมา

    Asantee dc ndo maana ukimwi hauishi dar TENA WAPEWE ADHABU KALII HATA MWENYE NIZO BAR

  • @user-lw1kp1nx8b
    @user-lw1kp1nx8b 14 วันที่ผ่านมา

    Saf sana mkuu wa wilaya umefanya kaz nzuri sana mungu akulinde

  • @zaidyabed
    @zaidyabed 22 วันที่ผ่านมา +6

    Pambanen na vitu vya maana jaman

    • @jamilally3916
      @jamilally3916 22 วันที่ผ่านมา +2

      kwahiyo ilo sio la maana au ndio walewale

    • @davidrweyemamu938
      @davidrweyemamu938 22 วันที่ผ่านมา

      Halina maana ndio

    • @EstherKayanda
      @EstherKayanda 17 วันที่ผ่านมา

      Kwahyo Hilo sio lq màana aiseeeee 😮

  • @user-fx2wq2yx5r
    @user-fx2wq2yx5r 22 วันที่ผ่านมา +3

    Mnawaonea awo mashoga nao muakamate

  • @Tanzania_Ya_mama
    @Tanzania_Ya_mama 22 วันที่ผ่านมา +1

    Daaah!!walizidi sana

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 21 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana muheshimiwa

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 22 วันที่ผ่านมา +3

    KWEL KABISA MAKE IMEKUWA N KERO HIVI SO VITU VYA KUCHEKEA KABISA FANYEN MSAKO KILA ENEO❤❤

    • @Zedizediismaily
      @Zedizediismaily 12 วันที่ผ่านมา

      Hujamskia yule anaeyesemq anatak ela yake

  • @EdwinAugustine-up5kd
    @EdwinAugustine-up5kd 22 วันที่ผ่านมา +9

    Ambao mnakamata madangulo mji tafakari

  • @user-bh4jd1ll2k
    @user-bh4jd1ll2k 22 วันที่ผ่านมา +1

    Safy sana mkuu mungu akupambanie

    • @rahabnkya8276
      @rahabnkya8276 22 วันที่ผ่านมา

      Ee MUNGU sikia kuonba kwetu. Hakuna limshindalo MUNGU atampa nguvu kubwa mh. DC huyu

    • @rahabnkya8276
      @rahabnkya8276 22 วันที่ผ่านมา

      Ee MUNGU sikia kuonba kwetu. Hakuna limshindalo MUNGU atampa nguvu kubwa mh. DC huyu

  • @hmdijitalsports
    @hmdijitalsports 22 วันที่ผ่านมา

    Kazi safi sana

  • @Jesusbelongtome
    @Jesusbelongtome 22 วันที่ผ่านมา +4

    Wee kujan na ngv hana maarifaa sas asante kazi gani

  • @melchiadepaschal3097
    @melchiadepaschal3097 22 วันที่ผ่านมา +3

    Nikazi nzuri. Lkn kumbukeni, maisha magumu jamanni serekali tengenezi kazi muwapatie,

    • @athumaniamani9905
      @athumaniamani9905 22 วันที่ผ่านมา +1

      Sawa maisha magumu vp ww kweny familia yako Kuna mtu au watu wanao fanya hyo kazi.....hakuna ambao wanajishughulisha na kazi tofaut tofaut

    • @yunyun799
      @yunyun799 17 วันที่ผ่านมา

      ​@@athumaniamani9905😂😂😂

  • @ChochoteTv
    @ChochoteTv 17 วันที่ผ่านมา

    Kazi nzuri🎉

  • @RukiaJuma-ib3no
    @RukiaJuma-ib3no 22 วันที่ผ่านมา

    Safi sana watutia album tu Wanamaker wenzetu album tupu

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 22 วันที่ผ่านมา +3

    Kuna ajira lakini mnawaonea maisha magumu yamesababisha yote hayo jamani mwee waachieni

    • @omaryadam6884
      @omaryadam6884 22 วันที่ผ่านมา +1

      Kwahiyo unawaunga mkono,

    • @mohammedsalim3315
      @mohammedsalim3315 22 วันที่ผ่านมา

      Maisha magumu ndio watu watende madhambi ,wewe katika familia Yako yooote hakuna hata maisha magumu? Mbona hawajiuzi ,ugumu wa maisha isiwe ufunguo wa kutenda madhambi,basi watu waambie watu waibe Kwa sababu ya ugumu wa maisha! .

  • @GABROSITZ
    @GABROSITZ 22 วันที่ผ่านมา +5

    Nnchi Haina ajira asa mnavo wazuia wafanye kazi gani Sasa wapeni Sasa connection.....inch ya ksnge

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 22 วันที่ผ่านมา

      Mbona imekuuma sana . Au dada zako nao wapo kwenye hiyo kazi?😂

    • @mikidadymohammedy7603
      @mikidadymohammedy7603 22 วันที่ผ่านมา

      Acha ujinga ww

    • @salummbunga4167
      @salummbunga4167 21 วันที่ผ่านมา

      Mpeleke dada yako

  • @Mwakibinga_wisdom
    @Mwakibinga_wisdom 22 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sanaaaa

  • @odalomary5446
    @odalomary5446 16 วันที่ผ่านมา

    Kwanza nicheke..iyo kazi hainaumuhimu sana..

  • @gisdenga7740
    @gisdenga7740 22 วันที่ผ่านมา +4

    Kipi kizuiliwe kati ya madada poa na mapenzi ya jinsia moja 😂😂

    • @enockmaige8936
      @enockmaige8936 22 วันที่ผ่านมา

      Vyote havifai

    • @kondomrisho8776
      @kondomrisho8776 20 วันที่ผ่านมา

      Vyote haramu tunaanza panapostahili

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 20 วันที่ผ่านมา

      kwani ujaona hao madada poa wanafanya kinyume na maumbile

    • @DeusyWilliam
      @DeusyWilliam 9 วันที่ผ่านมา

      Kama wanaweza wazuie jinsia Moja au vibaka kama wao wanaweza kwel 😂

  • @user-by2gj2bw9f
    @user-by2gj2bw9f 22 วันที่ผ่านมา +3

    Waambie wa ache uchoko wanataka tuatombe waoo. Toeni ajila basi

  • @TaboraTalentCenterTTC
    @TaboraTalentCenterTTC 22 วันที่ผ่านมา +1

    👍👍

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 19 วันที่ผ่านมา

    Nice one🎉

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7q 16 วันที่ผ่านมา +3

    Ndo inavo takiwa jiji liwe safi ndomana maisha magumu aisee

    • @allykagawa
      @allykagawa 13 วันที่ผ่านมา

      Jiji lnakuaje safi wakat mashoga hawakamatwi!!?

  • @davidjoackim2216
    @davidjoackim2216 22 วันที่ผ่านมา +3

    Kwa wahaya😂😂😂😂😂

  • @Oman-nu2kc
    @Oman-nu2kc 22 วันที่ผ่านมา

    Ongereni sana kwakazi mzr

  • @MarioNdanzi-kp9hp
    @MarioNdanzi-kp9hp 22 วันที่ผ่านมา +1

    Safi Sana mkuu wa wilaya kwaniaba ya watanzia wazalendo tunaomba mashoga mashoga wakamatweeee

  • @joellongidare8280
    @joellongidare8280 22 วันที่ผ่านมา +4

    Mumekosa Kaxi kufanya

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 22 วันที่ผ่านมา +1

      Nani sasa kakosa kazi ya kufanya? Eleweka basi.

  • @kombosalehe9787
    @kombosalehe9787 22 วันที่ผ่านมา +6

    Ukweli hizo biashara Zina level hata Ukienda Casino au Hotel kubwa hizi biashara zipo je na huko tutafunga?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 22 วันที่ผ่านมา +1

      Afadhali uwaulize hawa maana ni standard tu ya umalaya ila hawa wa mtaani ndio wanaonwa wao malaya hao wa huko sio

    • @kelvinjonas6974
      @kelvinjonas6974 18 วันที่ผ่านมา

      Labda wanataka waanze kulipa kodi (VAT)

  • @husseinbugobe9037
    @husseinbugobe9037 22 วันที่ผ่านมา

    Well done ❤