Asante sana .funga hizo bar kabisa zinaharibu vijana wetu. Ni aibu sana katika eneo hilo. Wasichana wanajipanga barabarani wamevaa vinguo vya ajabu kabisa. Hongera sana dc wangu. Mungu akulinde
Hongereni sana serikari Mungu awape nguvu kutokomeza hii hadha wallah awa ndo Wana sababisha majanga yanayo endelea apa duniani na pia kusababisha ndoa nyingi kuvunjika wanaume wengi wanapata vishawishi vichafu kwa.ao ma dada poa Kisha kuzileta kwenya nyumba zao na.ndoa kuvunjika subhanna Allah 😭
Shobo tuu!!! Wewe siyo mungu punguza mulkali wako,, sasa kama wewe ni mwanamme kweli tunaomba ukawapatie kazi za kufanya!! Utatumbuliwa vibaya!! Ya mungu mengi shahuri yako!!!
Mungu kakupa viungo vyote umekamirika si uuze hata matunda umalaya na tamaa za kutaka hela ya haraka nayo hutosheki tamaa na kesho Tena upo na vichupi juu2 hamna kujiongeza kufanya kazi zingine nje na mwili 🙄
Mnaowatetea kumbukeni Sodoma Na Gomola walichokipata kwaajili ya dhambi hizo pia hamfikirii haya majanga yanayotokea kua Mungu anasema na watu kupitia majanga yamkini watu watujiuliza kwanini kuna mambo yanatokea tumrudie Mungu atatusamehe
Kuna watu wanaibia umma ufisadi mkubwa uporaji rasilimari za nchi wizi wa miundombinu nk hao ndio wanaleta majanga nchi hii, nioneshe mwenye maisha mazuri anayefanya uchangudoa maksudi kati yao hao! Watu mnapenda kuhukumu wenzenu wakati nanyi ni machangudoa wa chinichini tuu, kama unaweza kutembea na wapenzi zaidi ya mmoja kwa mwaka wewe umejiweka kundi gani hapo?! Yesu aliyakataa haya kwa yule mwanamke kahaba waliyetaka kumpiga mawe wayahudi.
Kamanda kazi nzuri sisi wenye dada zetu inatuumiza sana hii hali wanadharirika utu wa mwanamke wakitaka iishe hii hali wekeni ulinzi shirikishi wataondoka
Mungu anabariki kazi ya mikono mbona kuna njia nyingi za kufanya kazi kuna watu wanauza mboga wanaishi wanauza matunda hawajataka wanapenda kupefanya kazi ya aibu Mungu awaokoe na hiyo kazi
Hii ni hoja binafsi wala haina tija kitaifa neema, linda ndoa yako mchunge mmeo kila mwanamke ni malaya hata nyie mlioolewa bado mnajiuza kama mumeo haridhiki nawewe hatopona kwa kuwakamata hawa!
Mkuu wa wilaya anatangaza vita na hao wanao Fanya biashara haramu ya ukahaba na mimi na msapot kwa kazi anayoifanya mungu Yuko pamoja nae . Wewe utabaki na kama ulivo . Kazi iendelee
Serikali ipo busy kujichumua tumbo Maisha mtaani yamekuwa magumu mno mpaka watu wanaamua kujiuza😭😭😭 si ajabu ni graduates wa miaka nenda Rudi ajira hakuna hata kimtaji cha biashara hakuna inaumiza, YOTE KWA YOTE HATA HUNA CHAKUFANYA USIKATE TAMAA KUFIKIA HATUA HII muombe Mungu akujaalie riziki ya halali japo kidogo
Haueleweki wewe ni wa baridi au moto ama vuguvugu, hata kama maisha ni magumu kiasi gani bado haiwezi kuwa sababu ya kujiuza, hivi umeshawahi kujiuliza je wakipata magonjwa wakayaeneza kwa wengine mwishoe wakawa na afya dhaifu sana itakaoyo wafanya wasiweze tena kujiuza lakini inabidi wajitibie na matibabu ni gharama itakuwaje, si nibora wakafanya hata kazi za uhudumu wa bar ama hoteli hata kazi za usafi hata kuuza chai ama mama ntilie, hao ni wavivu wa kujitafutia na hupenda vya bure na wengi wao ni wezi mbali ya kujiuza maana anaeweza kuuza mwili wake anaweza kufanya uhalifu wa aina yoyote ile, na hakuna imani yoyote inayohalalisha hiyo tabia uwe mkristo au mwislamu ni haramu tu, na hata uwe huna dini bado ni tabia mbaya mno mno hivyo ni laana kubwa sana sana sana. Me nadhani japo serikali ina mambo mengi ila ipo kwa ajili ya wananchi hawa watu badala ya kupelekwa mahakamani ni bora wawekwe sawa ki akili wafundishwe namna ya kujitegemea na baada ya hapo wapelekwe viwandani wakafanye kazi hata usafi kufunga mizigo na zenginezo, ila wapewe adhabu kama fundisho za kufanya kazi za kijamii kama kufanya usafi magerezani hosptalini na baadhi ya ofisi za kiserikali badala ya kuwapi faini na kuwaweka ndani maana wakitoka watakuwa sugu na wataendelea na tabia zao maeneo mengine au mikoa mengine.
Nikweli wafunge kabisa unamkuta mtu anacomment eti subirin watoto wabakwe kwani kabla hawajakamatwa hakuna matukio ya kubaka Mwenyeez Mungu anasuru vizazi vyetu mtihani mzito
Safi sanaaa nalipongeza sana Jeshi la police kwa hatua kama hiii ila Ila toen mitaji pesa mtaan hakunaaa watu wanalazimika kufanya ivi ili kulea watt na kusomesha watu wana majukumu sanaaaaaa aiseeee😢😢😢😢
Serikali ipo busy kusaka ma dada powa, vijana walikuwa wakijishuhulisha na machinga vibanda vimevunjwa, ajira akuna 😢 wengine wazazi wao wamefariki wamefukuzwa na ndugu wamezulumiwa mali zao awajui pakuanzia 😭 Maisha magumu kila kukicha afadhali ya jana serika ingalie kwa jicho la3 swalaah la ajira na hao makahaba wakikamatwa wapate kuojiwa wengine watoto wa ngazi ya juu wawe wanaojiwa kwanzia familia mpk maisha yao si kukamatwa na kuzalilishwa 😢 kikombe unacho mpimia mwenzio na wewe ipo siku utakuja kupimiwa leo ni mtoto wa mwenzako kesho utakuta mtoto wako dada yk n.k Binafsi ningeomba serikali itafute njia m,badala juu ya Hawa madada pw mana wengine kwako mambo safi wanatakiwa wakikamatwa waojiwe private mtapata solution ya ukahaba na itatokomea
saw mmefanya kazi nzr.. ILA kwann kabla hamjawakamata msiwaite mkawapa ushauri mkawambia watengeneze makundi mkawapa mtaji wakafanye biashara na mwisho mkaenda kukagua maendeleo ya mlichowapa??? kuliko kutowasaidia na kuwaendeleza kuwadidimiza kama hawana sehem ya kutoa mtaji watafanyeje kumbk; nanyi mlipo MMEAJILIWA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣"MAWAZO TU YA MWANAGENZI...."
Well said..mtaani ni pagumu ingawa njia wanayotumia co nzuri kujiuza watu tunapambana adi tunataka kukata tamaa hakuna wakukupa mtaji wala support yeyote adi unatamani u give up
@@user-uc8ei8kn3lit’s classed as illegal activity for a very good reason! Effects & ramifications of prostitution within a particular community have been studied for years, the negatives hugely outweigh the few positives if any!!
Maisha magumu ndio watu watende madhambi ,wewe katika familia Yako yooote hakuna hata maisha magumu? Mbona hawajiuzi ,ugumu wa maisha isiwe ufunguo wa kutenda madhambi,basi watu waambie watu waibe Kwa sababu ya ugumu wa maisha! .
Safisha mazingira kiongozi. Mwenyezi Mungu fadhila zake ziwe juu yako na kizazi chako Aamin Inshaalah.
Kabisaa 😅😅😅
Aamiin
amiin
Wamenisevu sana ao wa dada
😅😅😅😅
Mungu amulinde sana Mkuu Wa Wilaya....Anafanya Vizurii sana...nimekua namfatilia sana kuanzia yuko Ukerewe
Asante sana .funga hizo bar kabisa zinaharibu vijana wetu. Ni aibu sana katika eneo hilo. Wasichana wanajipanga barabarani wamevaa vinguo vya ajabu kabisa. Hongera sana dc wangu. Mungu akulinde
Tena hawana hata haya wanakaa barabrn mapema 2
Wanavaa uchii yaan ni huzuni
Aneth watafutie kazi wanawake wenzio hawa.
Wawakamate na madjoga
Mashoga saw ila hawa amuwatak
Uyo DC yuko vizuri mungu amuongoze kwa kazi mzuri
Hongereni sana serikari Mungu awape nguvu kutokomeza hii hadha wallah awa ndo Wana sababisha majanga yanayo endelea apa duniani na pia kusababisha ndoa nyingi kuvunjika wanaume wengi wanapata vishawishi vichafu kwa.ao ma dada poa Kisha kuzileta kwenya nyumba zao na.ndoa kuvunjika subhanna Allah 😭
My Classmate Dc Bomboko. HONGERA SANA keep the good work
Ubarikiwe sana Mkuu wa Wilaya. Hongera sana jeshi la polisi... special congrats to these female officers wamefanya kazi vizuri.
mungu awape maisha malefu kwa kazi nzuli safi sana
Munafanya kazi nzuri,Hongera sana Kwa kazi nzuri
Mh DC Wa Ubungo Katika Hili Hata Mbele Za Mungu Utapata Thawabu Kiutendaji 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🫡🫡🫡🫡
Mungu awabariki viongozi wetu kwa kazi ya mungu mnayoifanya, mungu awape ushujaa mkubwa hasa dc
Kazi nzuri sana, funga kote huko wanatuharibia family zetuu!!
Sishabikii ila watoto wasibakwe tu
Wewe unasema wana waaribia watoto wetu acha watu waka jipoozee ukoo una taka watu waanze kubakwa
Shobo tuu!!! Wewe siyo mungu punguza mulkali wako,, sasa kama wewe ni mwanamme kweli tunaomba ukawapatie kazi za kufanya!! Utatumbuliwa vibaya!! Ya mungu mengi shahuri yako!!!
Mungu kakupa viungo vyote umekamirika si uuze hata matunda umalaya na tamaa za kutaka hela ya haraka nayo hutosheki tamaa na kesho Tena upo na vichupi juu2 hamna kujiongeza kufanya kazi zingine nje na mwili 🙄
Asante
Kwa ivo unaona kafanya kitu kibaya?nadhani we hata Huna hofu ya Mungu kumb. miili yetu ni hekalu la roho mtakatifu.
Mnaowatetea kumbukeni Sodoma Na Gomola walichokipata kwaajili ya dhambi hizo pia hamfikirii haya majanga yanayotokea kua Mungu anasema na watu kupitia majanga yamkini watu watujiuliza kwanini kuna mambo yanatokea tumrudie Mungu atatusamehe
Kuna watu wanaibia umma ufisadi mkubwa uporaji rasilimari za nchi wizi wa miundombinu nk hao ndio wanaleta majanga nchi hii, nioneshe mwenye maisha mazuri anayefanya uchangudoa maksudi kati yao hao!
Watu mnapenda kuhukumu wenzenu wakati nanyi ni machangudoa wa chinichini tuu, kama unaweza kutembea na wapenzi zaidi ya mmoja kwa mwaka wewe umejiweka kundi gani hapo?!
Yesu aliyakataa haya kwa yule mwanamke kahaba waliyetaka kumpiga mawe wayahudi.
@@davidrweyemamu938watu vijijini huku wanaishi maisha magumu kuliko hao kwa Nini hawajiuzi unawatetea siku ya hukumu utajutia Hilo unalolifanya
@@davidrweyemamu938 😂😂 Yesu pia hakubariki ukahaba wake akamwambia aachane nao ...Malizia nukuu ww msapoti ukahaba 🚮🚮😂
Bora yeye anaeuza Kwa pesa kuliko wewe unaeliwa bule mtaani
@@fredducaunt Mbona husemi alivyowaambia " Asiye na dhambi kati yenu na awe wa kwanza kumtupia jiwe"?
DC wa Ubungo hangers kwa kazi nzuri,naomba na Ma-DC wengine waige hilo,hapa Kahama hii biashara imekithiri sana
Mtalipwa tu na mungu kwa kazi nzuri
Allah akulinde kiongozi. Mwema. Utalipwa na Mungukwakweli viongoziwote mgekua mnatendahakikamahivi mgeona makipoyake Duniani na Ahllah.
Jamani nimekaa sana ubungo liverside lkn sikuwahi kujua kama kuna madanguro doooh,kazi nzuri wakuu
Basi ujakaa river side 😁😁😁
Huyu hapajui river Bado 😂@@godfreysudi7264
Sio liver side *...Riverside ..Tanzania English inawasumbua
😂😂😂@@shamisfahiye9628
Sasa wewe umekaa liver side hao wapo riverside
Kamanda kazi nzuri sisi wenye dada zetu inatuumiza sana hii hali wanadharirika utu wa mwanamke wakitaka iishe hii hali wekeni ulinzi shirikishi wataondoka
Hongereni sn.Mungu awabariki kwa kaxi nxuri.
Allah akuhifadhi DC, usije ukaandikiwa waraka na ubalozi wa marekani
mungu ambariki huyu kiongozi jamani aishi maisha marefu
Finally dc amefanya kazi nzuri
Asante kwa kutuokoa wanawake maana tulikuwa tunajiabisha msiishie huko tu iyo opperation ifanywe tz nzima
Kazi nzuri brother sina mashaka na wewe piga kazi
Hongera sana kazi nzuri na hao wanaume nao weka ndani maana wanaboa
sasa sibilia mtoto wako abakwe
@@starjay3052Sio kweli hayo kukamatwa kwa dada powa ndio sababu ya watoto kubakwa walikuwepo na watoto wanabakwa kila siku
@@user-fs7xc2bb5d uhalifu kwa vifungu vipi 😂😂😂😂😂😂 mkuu wa mkoa apa kapita kushoto amekosa kazi
Kazi nzuri sana👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Vizuri sana mungu awabariki na muendelee kufanya kazi hiyo kwa ushirikiano na watanzania wote
😂😂😂😂😂😂
CCM ni janga la taifa namba moja..
Mlitakiwa mvae groves kushika evidence
*gloves!!!!
Kwa ufaulu wa D nne ningumu kuwa makin kama FBI wa marekani😂😂
@@damianihubert-qb1mrdaah hatar😂sana
Very good mungu akupe Maisha maleefu Inshaallah 🙏
Mungu akubariki sana umongozwa na roho mtakatifu
Kazi nzuri Serikali yangu..Ila Police wetu muwe munavaa Gloves wakati wa kugusa hizo vifaa vyao.
No offense lakini hamna police hapo,
Yaani kweli police anashika shika tuu vitu without gloves.. haha inasikitishaa sana..
Toka bana
Mungu anabariki kazi ya mikono mbona kuna njia nyingi za kufanya kazi kuna watu wanauza mboga wanaishi wanauza matunda hawajataka wanapenda kupefanya kazi ya aibu Mungu awaokoe na hiyo kazi
Polisi ndo machimbo yao kwahiyo anavijuwa ndo maana wanashika hivyo vifaa
Tupeni mitaji
Safi sana Mungu awabariki sana nyoni na uku mombo wanavunja ndoa za watu alafu wanajiona wao ndo kila kitu kwa waume zetu sweka ndani wote awo
Hii ni hoja binafsi wala haina tija kitaifa neema, linda ndoa yako mchunge mmeo kila mwanamke ni malaya hata nyie mlioolewa bado mnajiuza kama mumeo haridhiki nawewe hatopona kwa kuwakamata hawa!
Duh! Barikiwa sana kiongoz dhambi zipungue mweee
Hongera sana mkuu wa wilaya mkamate nao wanaonunua pia kazi nzuri Mungu akubariki sana
Unaacha kuangaika na matatizo ya wanaichi unaenda kuangaika ujingatu chukuweni mfano kwa makonda
Kazi hii nzuri pia ndugu
Angekua dada ako au mdogo wako wa kike anajiuza hapo ungefurahia?? TUMIA AKILI
Mkuu wa wilaya anatangaza vita na hao wanao Fanya biashara haramu ya ukahaba na mimi na msapot kwa kazi anayoifanya mungu Yuko pamoja nae .
Wewe utabaki na kama ulivo .
Kazi iendelee
Mungu awaogoze 🥺🤲🏾
Hongera Mh.Dc
SAFI SANA HONGERA SANA WANASAMBAZA MAGONJWA NCHINI TANZANIA
Kazi nzur kuongozi watafute kazi yakufanya wanafanya mapenzi kinyume namaumbile hawa ndowanasababisha matatizo 😊
hongera Dc hakika wewe ni kiongoz mfano wa kuigwa.
ewe mungu mlinde dc huyu
Jamani maisha nayo kazi nyingine ziko wapi toeni ajila basi yani selikali bongo watu wanao ishi daa wanajua hii
Acha kutetea ujinga
Serikali ipo busy kujichumua tumbo Maisha mtaani yamekuwa magumu mno mpaka watu wanaamua kujiuza😭😭😭 si ajabu ni graduates wa miaka nenda Rudi ajira hakuna hata kimtaji cha biashara hakuna inaumiza, YOTE KWA YOTE HATA HUNA CHAKUFANYA USIKATE TAMAA KUFIKIA HATUA HII muombe Mungu akujaalie riziki ya halali japo kidogo
Haueleweki wewe ni wa baridi au moto ama vuguvugu, hata kama maisha ni magumu kiasi gani bado haiwezi kuwa sababu ya kujiuza, hivi umeshawahi kujiuliza je wakipata magonjwa wakayaeneza kwa wengine mwishoe wakawa na afya dhaifu sana itakaoyo wafanya wasiweze tena kujiuza lakini inabidi wajitibie na matibabu ni gharama itakuwaje, si nibora wakafanya hata kazi za uhudumu wa bar ama hoteli hata kazi za usafi hata kuuza chai ama mama ntilie, hao ni wavivu wa kujitafutia na hupenda vya bure na wengi wao ni wezi mbali ya kujiuza maana anaeweza kuuza mwili wake anaweza kufanya uhalifu wa aina yoyote ile, na hakuna imani yoyote inayohalalisha hiyo tabia uwe mkristo au mwislamu ni haramu tu, na hata uwe huna dini bado ni tabia mbaya mno mno hivyo ni laana kubwa sana sana sana. Me nadhani japo serikali ina mambo mengi ila ipo kwa ajili ya wananchi hawa watu badala ya kupelekwa mahakamani ni bora wawekwe sawa ki akili wafundishwe namna ya kujitegemea na baada ya hapo wapelekwe viwandani wakafanye kazi hata usafi kufunga mizigo na zenginezo, ila wapewe adhabu kama fundisho za kufanya kazi za kijamii kama kufanya usafi magerezani hosptalini na baadhi ya ofisi za kiserikali badala ya kuwapi faini na kuwaweka ndani maana wakitoka watakuwa sugu na wataendelea na tabia zao maeneo mengine au mikoa mengine.
Wewe huna dadaako ndo maana unaongea hivo
@@suleimanbalemba3348 Sasa mm nimeumizwa na hiyo Hali wanayoipitia dada ama wadogo zangu pia alafu unanilaumu Tena 🤣🤣
Asante mkuu kinondoni viongozi wako wapi pale vijana panatisha aisee
@@nassercurtis9579😂😂
Hongeren sana mungu awabaliki
Kazi nzuri sana wanatia aibu sana awataki kazi wavivu wakubwa
MAY GOD SHOWER YOU DC WITH HIS UNCONDITIONAL BLESSINGS. KWA HIKI UNACHOKIFANYA
Yaani Kuma zinauzwa kama NYANYA,....wanawake kwa wanaume kufirana....hii ni hatari sana, ...Yaani funga hayo MADANGURO , wasilete kisingizio cha ajira
Nikweli wafunge kabisa unamkuta mtu anacomment eti subirin watoto wabakwe kwani kabla hawajakamatwa hakuna matukio ya kubaka Mwenyeez Mungu anasuru vizazi vyetu mtihani mzito
😅😅😅
Ee Mungu tujaalie vizazi vyema hii inaumiza sana kwa wazazi maana Kila mzazi anapata uchungu wakati wa kuzaa
Nawapa hongera sana watu serikari kwa kweli inaumiiza mungu akubariki sana kwa kweli
Wakat makondo anapambana kutatua kero za wananchi Dar tunapambana na madanguro😂😂😂
Kwahiyo hii si changamoto?
@@user-vw5bn4pf4yakili zingine 😅😅😅😅ujinga ujinga tu hakuna kitu
Hizo kazi zingine mnawapatia lakin
Una support ujinga
Safi sanaaa nalipongeza sana Jeshi la police kwa hatua kama hiii ila Ila toen mitaji pesa mtaan hakunaaa watu wanalazimika kufanya ivi ili kulea watt na kusomesha watu wana majukumu sanaaaaaa aiseeee😢😢😢😢
Hongera sana mkuu. Ukerewe tumekumic sana. Piga kazi mkuu. Kazi iendelee
Nakukubali xna brother bomboko
Wapeni kazi. Kujiuza hamtakaa muweze kutokomeza. Na hao wakamataji wakitoka hapo wanaenda kujiuza au kununua ngono😊
Exactly
Wakipewa watafanya?
safi sana ,gu atalinda
vzuri. ila watafutieni hizo kazi zingine.
Mafuta Aslay nayaona apo😅😅
Hahahahaha
,😂
@@lucymtui8680 mambo
Hatakua halikuwepo
dc hongera piga kaziii
Daaaah... Safi Sana aseee...
Serikali ipo busy kusaka ma dada powa, vijana walikuwa wakijishuhulisha na machinga vibanda vimevunjwa, ajira akuna 😢 wengine wazazi wao wamefariki wamefukuzwa na ndugu wamezulumiwa mali zao awajui pakuanzia 😭 Maisha magumu kila kukicha afadhali ya jana serika ingalie kwa jicho la3 swalaah la ajira na hao makahaba wakikamatwa wapate kuojiwa wengine watoto wa ngazi ya juu wawe wanaojiwa kwanzia familia mpk maisha yao si kukamatwa na kuzalilishwa 😢 kikombe unacho mpimia mwenzio na wewe ipo siku utakuja kupimiwa leo ni mtoto wa mwenzako kesho utakuta mtoto wako dada yk n.k Binafsi ningeomba serikali itafute njia m,badala juu ya Hawa madada pw mana wengine kwako mambo safi wanatakiwa wakikamatwa waojiwe private mtapata solution ya ukahaba na itatokomea
Hakika
The problem is hawataki kuhangaika so they are trying to get a soft way to get money
Duuh wana vitendea kazi kabisa 😢😢😂😂😂😂😂 kamata hao shenzi
Amina sana kiongoz mungu akutie nguvu
Safi 👏👏
Mnawaonea Waachieni tuu ni kazi yao
Kazi ya kubomoa jamii au sio
Mwamba mteja nini
Acha kuzingua bro
Waacheni wapige Kaz.. otherwise muwape ajira
Na ukiwafuatilia Wana vyeti vizur tu
Acha ujinga wewe kizazi cha shetani unaona vizur hivo
Yaan nikose Kaz ndo nikauze nyapu ni upunguf waakili kizazi Cha nyok@@gisdenga7740
Koma weeh kwani hakuna kazi zingine mbaka hii?
Wewe mwenyewe hapo huna ajira , mbona hujiuzi..?
Hongera sana
saw mmefanya kazi nzr.. ILA kwann kabla hamjawakamata msiwaite mkawapa ushauri mkawambia watengeneze makundi mkawapa mtaji wakafanye biashara na mwisho mkaenda kukagua maendeleo ya mlichowapa???
kuliko kutowasaidia na kuwaendeleza kuwadidimiza kama hawana sehem ya kutoa mtaji watafanyeje
kumbk; nanyi mlipo MMEAJILIWA
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣"MAWAZO TU YA MWANAGENZI...."
mtu aliezoea pesa ya rahisi kazoea tu hata akipewa mtaji biashara ataona ngumu atarudi alipotoka
Kwani kazi zingine hakuna mpaka lazima wafanye biashara?! Wafanyabiashara wameshatosha machinga wamejazana mabarabarani hata pa kupita hakuna!
Waondolewe tuu kwakweli pale riverside Pana Tisha
Mwamba unayumba maelezo mengi alafu poor point
Unahisi hao jamaa hawana akili wewe ndiyo smart au na wewe mteja mbona unatetea sana watu wana data
Well said..mtaani ni pagumu ingawa njia wanayotumia co nzuri kujiuza watu tunapambana adi tunataka kukata tamaa hakuna wakukupa mtaji wala support yeyote adi unatamani u give up
Watafutieni hizo kazi zingine
Kabsa mtu anauza mwili wake ngoja ubakaji ushamili.
@@user-uc8ei8kn3lkwani kabla hawajakatwa wanaume walikuwa hawabaki watoto kila siku matukio ya ubakaji au huyasikii
@@user-uc8ei8kn3lit’s classed as illegal activity for a very good reason! Effects & ramifications of prostitution within a particular community have been studied for years, the negatives hugely outweigh the few positives if any!!
Shoga ww
@user-uc8ei8kn3lwalikuwe kila siku watoto wetu wanalawitiwa na kubakwa huna hoja
Asantee dc ndo maana ukimwi hauishi dar TENA WAPEWE ADHABU KALII HATA MWENYE NIZO BAR
Saf sana mkuu wa wilaya umefanya kaz nzuri sana mungu akulinde
Pambanen na vitu vya maana jaman
kwahiyo ilo sio la maana au ndio walewale
Halina maana ndio
Kwahyo Hilo sio lq màana aiseeeee 😮
Mnawaonea awo mashoga nao muakamate
Daaah!!walizidi sana
Hongera sana muheshimiwa
KWEL KABISA MAKE IMEKUWA N KERO HIVI SO VITU VYA KUCHEKEA KABISA FANYEN MSAKO KILA ENEO❤❤
Hujamskia yule anaeyesemq anatak ela yake
Ambao mnakamata madangulo mji tafakari
Safy sana mkuu mungu akupambanie
Ee MUNGU sikia kuonba kwetu. Hakuna limshindalo MUNGU atampa nguvu kubwa mh. DC huyu
Ee MUNGU sikia kuonba kwetu. Hakuna limshindalo MUNGU atampa nguvu kubwa mh. DC huyu
Kazi safi sana
Wee kujan na ngv hana maarifaa sas asante kazi gani
Nikazi nzuri. Lkn kumbukeni, maisha magumu jamanni serekali tengenezi kazi muwapatie,
Sawa maisha magumu vp ww kweny familia yako Kuna mtu au watu wanao fanya hyo kazi.....hakuna ambao wanajishughulisha na kazi tofaut tofaut
@@athumaniamani9905😂😂😂
Kazi nzuri🎉
Safi sana watutia album tu Wanamaker wenzetu album tupu
Andika kiswahili 😂
Kuna ajira lakini mnawaonea maisha magumu yamesababisha yote hayo jamani mwee waachieni
Kwahiyo unawaunga mkono,
Maisha magumu ndio watu watende madhambi ,wewe katika familia Yako yooote hakuna hata maisha magumu? Mbona hawajiuzi ,ugumu wa maisha isiwe ufunguo wa kutenda madhambi,basi watu waambie watu waibe Kwa sababu ya ugumu wa maisha! .
Nnchi Haina ajira asa mnavo wazuia wafanye kazi gani Sasa wapeni Sasa connection.....inch ya ksnge
Mbona imekuuma sana . Au dada zako nao wapo kwenye hiyo kazi?😂
Acha ujinga ww
Mpeleke dada yako
Safi sanaaaa
Kwanza nicheke..iyo kazi hainaumuhimu sana..
Kipi kizuiliwe kati ya madada poa na mapenzi ya jinsia moja 😂😂
Vyote havifai
Vyote haramu tunaanza panapostahili
kwani ujaona hao madada poa wanafanya kinyume na maumbile
Kama wanaweza wazuie jinsia Moja au vibaka kama wao wanaweza kwel 😂
Waambie wa ache uchoko wanataka tuatombe waoo. Toeni ajila basi
😅😅😅😅
👍👍
Nice one🎉
Ndo inavo takiwa jiji liwe safi ndomana maisha magumu aisee
Jiji lnakuaje safi wakat mashoga hawakamatwi!!?
Kwa wahaya😂😂😂😂😂
Na wewe ni mshiriki sio
Ongereni sana kwakazi mzr
Safi Sana mkuu wa wilaya kwaniaba ya watanzia wazalendo tunaomba mashoga mashoga wakamatweeee
Mumekosa Kaxi kufanya
Nani sasa kakosa kazi ya kufanya? Eleweka basi.
Ukweli hizo biashara Zina level hata Ukienda Casino au Hotel kubwa hizi biashara zipo je na huko tutafunga?
Afadhali uwaulize hawa maana ni standard tu ya umalaya ila hawa wa mtaani ndio wanaonwa wao malaya hao wa huko sio
Labda wanataka waanze kulipa kodi (VAT)
Well done ❤