MUNGU ANAJUA NI LINI MAMBO YAKO YATAKAA SAWA (SEH 2)

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 144

  • @judithmakoye6592
    @judithmakoye6592 3 ปีที่แล้ว +15

    Asante Yesu, kila ninalolipitia lipo kwenye ramani yako Mungu wangu hata kama linaniumiza na kunitoa machozi, kuna asubuhi njema inakuja, asante Yesu

  • @isayakomba9467
    @isayakomba9467 3 ปีที่แล้ว +7

    Namshukuru MUNGU kwa hili neno la leo maana limenitia tumaini Sana maana changamoto nyingi nilizozipata nikigeuka nyuma na hapa nilipo sasa kwakwer acheni MUNGU aitwe MUNGU , mchungaji ubarikiwe Sana umenigusa Sana kweri sikuzaliwa kwa bahati mbaya maana nilihisi hvo kabisa na kuna mda nilikua na blem Sana kuhusu wazazi wangu kwann walifany niwepo dunian bila kuniandalia mazingira had napata shida hivi kumbe nimejua leo nimekua na nimezaliwa kwa mpango maalumu sasa Nina Amani moyoni mwangu , ubarikiwe Sana mchungaji 🙏🙏🙏

  • @susanotambo9544
    @susanotambo9544 3 ปีที่แล้ว +4

    Asante Mtumishi wa Bwana Neno hil somo limeni funza. Ubarikiwe sana.Bwana ni mwema,kila wakati,

    • @wemapaul674
      @wemapaul674 ปีที่แล้ว

      Pastor niombee nikue kiroho

  • @mercywanjala3762
    @mercywanjala3762 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ameni🙏..nimebarikiwa naneno la Mungu... inanitia nguvu.ameni🙏.

  • @stellamariki6852
    @stellamariki6852 3 ปีที่แล้ว +11

    Mungu Mwenyezi asantee kwa namna unavyotenda maishani mwangu, BABA OMBI LANGU KUU NIFUNDISHE KUKUAMINI, NIFANYE KUWA MBARAKA KWA WAHITAJI WENZANGU.

    • @nikolasjeffery3225
      @nikolasjeffery3225 3 ปีที่แล้ว

      pro tip: you can watch movies at kaldroStream. Been using it for watching a lot of movies recently.

    • @raylanamir3359
      @raylanamir3359 3 ปีที่แล้ว

      @Nikolas Jeffery yup, been using kaldrostream for since december myself :)

  • @josephkimbory7700
    @josephkimbory7700 3 ปีที่แล้ว +3

    Ashukuriwe bwana Mungu wa Majeshi kwa kutufungua akili na mioyo yetu kupitia kwa mtumishi wake. Hakika neno hili limenifundisha na kunifungua akili katika mambo mengi. Ikafanyike baraka kwako mtumishi wa Mungu

  • @dianamalaba1776
    @dianamalaba1776 3 ปีที่แล้ว +3

    Ombi langu kwa Mungu kila siku ni kukutunza pr.maana umekuwa mbaraka mkubwa Sana kiroho kwny maisha yangu.napata nguvu sana na matumaini mapya kila nkisikiliza masomo yako.ubarikiwee pr.Mmbaga.

  • @drostaflorian7970
    @drostaflorian7970 3 ปีที่แล้ว +5

    Baba yangu uliye mbinguni nakupenda sana naomba unipende na Mimi pia

  • @damarisangasa9757
    @damarisangasa9757 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana Mungu kwa maana wewe ndiwe dereva wa maisha yatu.Hakika kwa Yesu narelax tu.Bwana asifiwe kila wakati.Asante sana mtumishi wa Mungu maana ujumbe umeufikisha.Mungu akushushie baraka teletele

  • @Mathias-yi5bo
    @Mathias-yi5bo หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana pastor hili somo ni zur na nnaona ni jipya kila sku kwa sababu linanibariki kila nikilitazama Amen🙏🙏

  • @Pendomabula
    @Pendomabula 3 ปีที่แล้ว +1

    Namshukuru Mungu kwa ajiri ya huyu PR,hunifanya niendelee kumpenda MUNGU zaidi na zaidi ktk hali zote Niko salama rohoni mwangu kwa ajiri ya Mungu anayemhubiri.

  • @gracejohn1769
    @gracejohn1769 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Yesu kwa ajili ya mtumishi wako na hakika pastor masomo yako yananibariki sana, japo napitia changamoto ila masomo yako yananipa ujasiri wa kisonga mbele kwa imani, kazi yangu ni kukuombea tu afya njema na maisha malefu.

  • @tantinebettynduwimana380
    @tantinebettynduwimana380 2 ปีที่แล้ว +3

    Pastor una busara sana hakika ww ni mtumishi wa Mungu

  • @victoriousblessedmom4343
    @victoriousblessedmom4343 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen and I'm Connecting faith through Christ Jesus and I Agree and Believe and receive this Powerful Prayers upon my life and my Son and my family We receive Devine Miracle Victory in our case 12 may let the court and the judge declare victory over my case on 12 may we shall testify through Christ Jesus because our help comes from Jehovah God the maker of the Heaven and earth and no weapon formed against us will be able to prosper Because God is with us and no body can against us and all things are possible with God in the mighty name of Jesus Christ Amen and Amen Hallelujah Glory be to God

  • @perisbosibori8524
    @perisbosibori8524 3 ปีที่แล้ว +6

    Thank you LORD because you're the LORD of LORDS and everything is possible before you. GOD bless u pastor for the powerful teaching .

  • @simonfundisha6817
    @simonfundisha6817 3 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante Mungu kwa ajili ya Neno Hili. Mungu na Unifanye Nikutii wewe siku zote za Maisha yangu. Kwa maana Maisha Yangu yote umeyachora katika Viganja vyako. Ukanifanye kuwa Mbaraka ktk Maisha Yangu yote. Niwasamehe watesi Wangu ili Nani nisamehewe dhambi Zangu. Amein.

  • @user-os3vo4sm2n
    @user-os3vo4sm2n 8 หลายเดือนก่อน

    Asante YESU kwamaana leo nimejua kuwa wewe wajua nilini utanivusha hapa nilipo ,pai Bwana nakukabidhi kila hatua zangu ziongoze wewe 🙏🙏🙏🙏

  • @anastaziaemily4708
    @anastaziaemily4708 3 ปีที่แล้ว +2

    Duh, Mungu tusaidie tuitambue thamani yetu, kwamba n zaid Mali zote za dunia......!!!!

  • @froline5209
    @froline5209 ปีที่แล้ว

    AMEN 🙏🏻🙏🏻. Utajiri wangu sio pesa, pesa ni yule ambaye aliye ndani yangu.

  • @trizatina7219
    @trizatina7219 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu umenitua mzigo uliyokua moyoni umenipandisha kiwango kingine asante sana

    • @user-sl4te7mb1m
      @user-sl4te7mb1m 8 หลายเดือนก่อน

      Asante mungu sana mwanangu kaolewa na msabato yeye.
      Ni mlokole mwòmbee awe msabato

  • @linethowire7031
    @linethowire7031 ปีที่แล้ว

    Hakika Somo hili limenigusa na linanibadilisha Sasa,niwe mtu wakusikiliza SAUTI YA BWANA MUNGU WANGU TU....MTUMISHI ubarikiwe kwa kazi nzuri unayoifanya....Hakika nimebarikiwa Sana...AMEEEN...

  • @namsifumaduhumwita2495
    @namsifumaduhumwita2495 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakushukuru Mungu kwamba unaniwazia mema siku zote

  • @stellamariki6852
    @stellamariki6852 3 ปีที่แล้ว +1

    Asanteee Mungu kwa kuruhusu nilisikie SOMO HILI LEO, Jina Lako LITUKUZWE BABA.

  • @meilleurkitoko7487
    @meilleurkitoko7487 2 ปีที่แล้ว +2

    AMEN👏NASHUKURU KWA NENO HILI LIME NITIA MOYO KWA CHANGA MOTO NI NAZO.NAMUSUBIRI MUNGU ATENDE.

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim28 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen, Mungu akubariki sana pastor

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 3 ปีที่แล้ว +3

    Ameen sana pastor kwa somo zuri limenibariki sana

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 3 ปีที่แล้ว +7

    Aminaa pastor nakujuza kwamba unawaandaa walimu uku nje ambao huwajuwi. Wenzangu wanashangaa kwani wewe unasomaje biblia nawaambia Mahubiri TV wamenisaidia mno kupenda kusoma neno na kusikia Mahubiri.Pastor kupitia mafundisho hayo Mungu amenitoa kabisa kutoka kupenda mambo ya ulimwengu hadi nikawa mwalimu wa neno online Wenzangu wanapata tumaini ya kuendelea na kazi licha ya kupitia changamoto mingi uku Saudi Arabia. Barikiwa sana.

  • @isabelavictor9964
    @isabelavictor9964 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante Sana mchungaji kwa neno la Mungu takatifu🙏

  • @MaggieG276
    @MaggieG276 3 ปีที่แล้ว +2

    its a blessing to listen to you mtumishi.Regards frm kenya

  • @neemajonas5459
    @neemajonas5459 ปีที่แล้ว

    Asante pr, kupitia somo hili Mungu ameweka tumaini jipya ktk moyo wangu. Hakika ameniongezea nguvu furaha na amani. Asant sn

  • @rubias2978
    @rubias2978 2 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli acha mungu aitwe mungu siku zote ubarikiwe

  • @joycegesare1571
    @joycegesare1571 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen, nimebrikiwa na hili somo , pastor nimekufuatilia sana na mila nimizikilisa fundisho lako nasikia kuna nguvu mpya sasa nikaamua kwamba kila asubuhi nikiamka maombi kwanza then fundisho lako, mungu akubariki sana pator

  • @asherwarda7590
    @asherwarda7590 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen, am blessed man of God....following from saudi Arabia

  • @dausonmdee4303
    @dausonmdee4303 ปีที่แล้ว

    Nibaada ya miaka miwili lakini hili Neno bado like hai kwaajili yangu.... Ninapokea kwa Jina la Yesu Kristo

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies1782 3 ปีที่แล้ว +1

    Lime nibariki hilo neno mungu aedelee kukuinua mtumishi wa mungu

  • @linethowire7031
    @linethowire7031 ปีที่แล้ว

    Asante kwa maneno yenye kuleta moyo Kwangu/kwetu...Sasa Sina hofu Maana Bwana alinijua Mimi Lineth hata kabla ya kuzaliwa Kwangu ,... Ubarikiwe Pastor kwa Somo zuri...Mungu na akubariki

  • @Vel42
    @Vel42 3 ปีที่แล้ว +1

    AMEN ninahitaji maombi MUNGU anitawale na anioshe nikuwe msafi.Pastor niombee kuna my cousin ako na pesa zangu anirudishie.

  • @azaransari7307
    @azaransari7307 3 ปีที่แล้ว +2

    Amina, Yeremia 29:11 imenigusa sana kwa kipindi ninachokipitia salamu nyingi sana kutoka Germany, Nakufuatialia sana na umenisogesa sana ktk imani yangu na ukaribu wangu na Mungu.

    • @shalakilulu7396
      @shalakilulu7396 3 ปีที่แล้ว

      Trees o

    • @shalakilulu7396
      @shalakilulu7396 3 ปีที่แล้ว

      Under he he under post play episode war sqq we we we we we to to

  • @marsellah9295
    @marsellah9295 ปีที่แล้ว

    Ninafuraha pastor 🙌 🙏 na mahubiri yako ubarikiwe sana

  • @PeterCharles-yc7tn
    @PeterCharles-yc7tn หลายเดือนก่อน

    Kiukweli mchungaji umenifungua macho ninauza biashara yangu koliko wote namshukuru mungu sana asante sana mungu

  • @user-hg9uo1hb3y
    @user-hg9uo1hb3y 3 ปีที่แล้ว +1

    Nasikiza mahubiri nikiwa saudia mm nimkenya haki nimeeka pesa mbele na kila siku haitoshi Nimechoka lakini naongeza miezi kila siku 😪😪haki limenifariji barikiwa sana mtumishi

  • @juliusmantago4511
    @juliusmantago4511 3 ปีที่แล้ว +1

    Pasta mbaga ubarikiwe sanavna Mungu akujalie maisha marefu.

  • @joycemaxmillian4909
    @joycemaxmillian4909 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akutunze pastor na akubariki

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 3 ปีที่แล้ว +2

    AMINA.🙏asante sana kwa mahubiri mchungaji,na kwa maombi pia....napenda jinsi hua unaanzisha nyimbo pia.barikiwa sana🙏

  • @leahdaniel271
    @leahdaniel271 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina jina la BWANA litukuzwe

  • @agneskhakali2069
    @agneskhakali2069 3 ปีที่แล้ว +2

    Amina

  • @amosbyarufu100
    @amosbyarufu100 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwamafundisho mtumishi

  • @lilianlima8609
    @lilianlima8609 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen, Bwana azidi kukubariki

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 ปีที่แล้ว

    Kiukweli hili somo nimekuwa nikililudia kila Mara Amina pastor

  • @joyceobiyanyaundi1977
    @joyceobiyanyaundi1977 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu wangu asante KWA yote unayonitendea siku KWA siku. Mahubiri haya yamenitia nguvu, Mungu nishindie the remaining part ndio nipate nafasi ya kwenda kuona watoto wangu Africa. Amen

  • @joyceobiyanyaundi1977
    @joyceobiyanyaundi1977 3 ปีที่แล้ว +5

    God you hold the future. You know me well than I know myself.

  • @andreakulwa2759
    @andreakulwa2759 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameen

  • @joycekabungo6483
    @joycekabungo6483 2 ปีที่แล้ว +2

    Dah Mungu ni mkubwa fadhili zake hazichunguziki

  • @seasonepisode3328
    @seasonepisode3328 3 ปีที่แล้ว +1

    Yan mchungaji aya mahubiri naona unanisema mimi apa😭😭😭😭Mungu akubariki

  • @dorcasrhobi8211
    @dorcasrhobi8211 ปีที่แล้ว

    Amen pst ubarikiwe

  • @user-hz4lw7ld3j
    @user-hz4lw7ld3j 4 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli Mungu akuongoze na akulinde mchungaji

  • @ivanfaustin9717
    @ivanfaustin9717 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameniii Mungu nakupendaa

  • @antoinettefuraha8790
    @antoinettefuraha8790 3 ปีที่แล้ว +3

    Amen huwa nabarikiwa sana na Pr David

    • @ruthnzotha1410
      @ruthnzotha1410 3 ปีที่แล้ว

      Mchungaji ubarikiwe sana niombi langu ikimpendeza mungu uje kabuki xku moja

  • @puritychogoro
    @puritychogoro 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen,kila kitu hufanyika na wakati wake,wakati ikiifika ushaafika.

  • @marymachete9152
    @marymachete9152 3 ปีที่แล้ว +1

    Asenta mungu kwa uai najua umenimbangie mema yeremai29. 11

  • @elizabethmambai2072
    @elizabethmambai2072 3 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante mungu ananiwazia mazuri niko Qatar mimi Kenya

    • @otiliahaule6867
      @otiliahaule6867 3 ปีที่แล้ว

      Hakika Mungu nimwema kwetu naomba no ya WA whatasp yako Dada Elizabeth

    • @byamungubahati5978
      @byamungubahati5978 3 ปีที่แล้ว

      Asante, habari za Qatar?

    • @davidhezron9478
      @davidhezron9478 3 ปีที่แล้ว

      mungu ni mwema hakika naomba namba yako ya whattapp

  • @gracebasondole6990
    @gracebasondole6990 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze sana poster, unanikuza kiroho kila iitwapo leo

  • @user-hz4lw7ld3j
    @user-hz4lw7ld3j 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde na kuongoze sana

  • @marymachete9152
    @marymachete9152 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 ปีที่แล้ว

    Dumu kubarikiwa pastor hakika unabariki wengi

  • @francomukumu
    @francomukumu 3 ปีที่แล้ว +1

    Tafadhali upload that hymn, Nimeskia Mbiu

  • @victoriousblessedmom4343
    @victoriousblessedmom4343 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen 🙏 Hallelujah Glory be to God

  • @piliechildofkingjesus4594
    @piliechildofkingjesus4594 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina.. glory glory to God in the Highest

  • @paschalemmanuellutandula8640
    @paschalemmanuellutandula8640 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwan Petro mwenyewe anasemaje 🤣🤣🤣

  • @salehlubunga1892
    @salehlubunga1892 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina sana Mchungaji wangu

  • @salomehingi19
    @salomehingi19 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina pr

  • @galaxykahalid3172
    @galaxykahalid3172 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina Mchungaji nabarikiwa san

  • @glorykamenya2543
    @glorykamenya2543 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen pastor

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 3 หลายเดือนก่อน

    Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @elizabethmambai2072
    @elizabethmambai2072 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameen pastor

  • @claricealice4241
    @claricealice4241 3 ปีที่แล้ว +1

    Asant sana n'a mungu asifiwe

  • @madgaleinebukuru6572
    @madgaleinebukuru6572 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi naitaji maombi naitwa magdaleine please

  • @febbycosmas6298
    @febbycosmas6298 3 ปีที่แล้ว +1

    Àmen

  • @wadyanali900
    @wadyanali900 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen. Am blessed

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 ปีที่แล้ว +1

    SAWA mchungaji.

  • @rimepeter789
    @rimepeter789 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen ❤🙏

  • @delishbby8542
    @delishbby8542 3 ปีที่แล้ว +1

    I surrender my all to you Jesus.

  • @gracekisaka8461
    @gracekisaka8461 3 ปีที่แล้ว +1

    Aminaa

  • @jacquelinebyaombe9729
    @jacquelinebyaombe9729 3 ปีที่แล้ว +1

    AMEN 🙏 SANA

  • @rizikichigodi4316
    @rizikichigodi4316 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameeen

  • @lucasmabuli9374
    @lucasmabuli9374 3 ปีที่แล้ว +1

    Aminaaa

  • @sarahbahath333
    @sarahbahath333 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubarik san natamn kupat namb yako ya whatsap me ninayo changamoto ya uchumb lakin kila nikisikiliza mafundisho yako najikuta napat nguv tena

  • @gabbyedward4079
    @gabbyedward4079 7 หลายเดือนก่อน

    Amen 🙏

  • @pendomatei846
    @pendomatei846 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameeeeeeeee napokea mtumizi

  • @user-ub8vm1go9j
    @user-ub8vm1go9j 26 วันที่ผ่านมา

    Somo zurii ❤❤

  • @marthakahimba1390
    @marthakahimba1390 3 ปีที่แล้ว +1

    Mch Mungu Akubariki samahani naomba nisaidie namba yako

  • @ombenigodfrey1182
    @ombenigodfrey1182 3 ปีที่แล้ว +1

    Pastor naomba unisaidie mawasiliano yako

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  3 ปีที่แล้ว +1

      +255 755 932 283 Whatspp

    • @ruthmnyuku7113
      @ruthmnyuku7113 2 ปีที่แล้ว

      Dear pr nakupenda sana unajua technic za kuwaweka watu huru barikiwa sana

  • @priscamb10
    @priscamb10 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @beatricempiga-ex9wz
    @beatricempiga-ex9wz ปีที่แล้ว

    MUNGU atusaidie

  • @wankurujulius4510
    @wankurujulius4510 3 ปีที่แล้ว +1

    0p

  • @wemapaul674
    @wemapaul674 ปีที่แล้ว

    Pastor nisaidie mawasiliano yako

  • @jimmykileo1473
    @jimmykileo1473 3 ปีที่แล้ว +1

    Nina jambo la kukushirikisha napataje number yako??

  • @frank_luminous
    @frank_luminous 3 ปีที่แล้ว +1

    Naam

    • @francoishabonimana446
      @francoishabonimana446 3 ปีที่แล้ว

      Muchungiji ubalikiwe yaani unatushibisha chakura cha rohoni 🙏🙏🙏⛪🕊️🌴 Amen

    • @reginatsaxara4600
      @reginatsaxara4600 3 ปีที่แล้ว

      Nina relax leo kwenye mikono yako Bwana maana ulinijua toka cjfika duniani nakuachilia maisha yangu utende sawasawa na mapenzi yako

  • @user-rq4kv7oi6i
    @user-rq4kv7oi6i 3 หลายเดือนก่อน

    Msaada wa namba ya kutuma maombi ..

  • @karatasimsilu8928
    @karatasimsilu8928 3 ปีที่แล้ว +1

    Mm ninaomba namba zako mchungaji