NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU (Mungu anapoongea na wewe)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
  • JE! UNAWEZA KUTAMBUA MUNGU ANAPO ONGEA NA WEWE?
    KUPATA KITABU KINACHO ONGELEA NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU PIGA SIM NUMBER +255759612430
    MAREKANI NA CANADA PIGA +1515 441 4962

ความคิดเห็น • 85

  • @theresiamwanamkejasiri6510
    @theresiamwanamkejasiri6510 6 หลายเดือนก่อน +2

    Roho yangu ni toleo la zamani😢😢😢😢😢
    Baada ya miaka minne nabarikiwa na hili hubiri,hadi nimeogopa,Tangu nimemjua Yesu 2007 labda bado sikumjua Mungu wangu😢😢😢😢😢,Barikiwa Pastor

  • @edwardmarro978
    @edwardmarro978 4 ปีที่แล้ว +13

    Machozi yananitoka moyoni Pr somo hili ni kama uliandaa kwa ajiri yangu,
    Eehh Mungu neema yako ikawe juu yetu na utupe macho ya kiroho katika pendo la Yesu kristo Amen.

  • @asharamadhan8806
    @asharamadhan8806 4 ปีที่แล้ว +2

    Amina Mchungaji ubarikiwe na MUNGU wa MBINGUNI katika JINA LA YESU maana tunabarikiwa sana kwa NENO LA MUNGU unalo tuletea hakika rinatubadirisha maisha yetu MUNGU akupe afia NJEMA kila siku pamoja na familiya YAKO

  • @catherinehenryameeen5977
    @catherinehenryameeen5977 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameeen.Asante Mungu kwa ajiri ya Mchungaji Mbanga.

  • @pauloropian3093
    @pauloropian3093 4 ปีที่แล้ว +4

    Thanks Uwepo wa mungu hukaa juu ya sifa " may God bless all "

  • @lenahasantemchungajiauko8811
    @lenahasantemchungajiauko8811 4 ปีที่แล้ว +3

    Amina mchungaji nabarikiwa sana.naomba ubarikiwe Kwanza ndo ni fwatie nami.

  • @graceb2398
    @graceb2398 4 ปีที่แล้ว +3

    I’m blessed to hear your massages always 🙏

  • @mn9484
    @mn9484 4 ปีที่แล้ว +1

    Ni katika roho!! Kila siku najifunza zaidi kumsikiliza Mungu hatua kwa hatua. Mungu akubariki Mchungaji, hapa USA Grace.

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏🙏 Thanks for good song

  • @maryosoro5497
    @maryosoro5497 4 ปีที่แล้ว +1

    Really mchungaji huwa unanibariki sana sana na mahubiri yako

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 ปีที่แล้ว

    Amina asante mchungaji nimepata kuchua Mungu n nani.naomba uongozo Wa roho mtakatifu aniwezeshe niskie sauti ya Mungu

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 3 ปีที่แล้ว +3

    Nice message keep it up,I have learned many things from ur sermon pastor, God 🙏 bless you

  • @zipporahnyanchoka4291
    @zipporahnyanchoka4291 4 ปีที่แล้ว +2

    Wah am blessed with your preaching,thanks pastor also b blessed

  • @petromabagala9186
    @petromabagala9186 4 ปีที่แล้ว

    Hii kwaya huwa inanivuta karibu sana na Mungu. Mungu akubariki sana Pr Mmbaga

  • @sdawalokole9489
    @sdawalokole9489 4 ปีที่แล้ว +2

    Amen,Mungu ni Roho na sisi ni roho pia

  • @franksikombe9860
    @franksikombe9860 4 ปีที่แล้ว +1

    Tumebarikiwa sana huduma yenu mungu awape uvumilivu muimbe hadi mbinguni by FRANK SIKOMBE-Katavi

  • @KASICHANANDARO-ud1eh
    @KASICHANANDARO-ud1eh ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana mchungaji

  • @teddymagori3779
    @teddymagori3779 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiw paster

  • @roselele341
    @roselele341 4 ปีที่แล้ว +1

    Amina unanifungua kila siku nazidi kuwa na Imani asnt mchungaji mungu akubaliki sana

  • @selfaakinyi7824
    @selfaakinyi7824 4 ปีที่แล้ว +2

    Eeeh mungu wangu , nijalie macho ya rohoni. 🙏

  • @daudnyore4696
    @daudnyore4696 4 ปีที่แล้ว +2

    I hope one day I will talk, with you man of. God,may The Peace of God that passes all. Understanding keep you by the grace of God

    • @monniekevin9303
      @monniekevin9303 3 ปีที่แล้ว

      Amina Amina kweli mchungaji taji yako mbinguni itang'aa Sana.usife moyo chochea injili kabisa wengi wanainuliwa kiroho kupitia Yale maneno Mungu ameweka kwako.kama Mimi nashangaa nikama ndio naanza kusikia maneno ya Mungu Kwa mara ya Kwanza baada ya miaka mingi tangu kuamini.Mungu akubariki Sana.

  • @Patience763
    @Patience763 9 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen mchungaji

  • @cutestpuppies6632
    @cutestpuppies6632 4 ปีที่แล้ว

    Kila mara ninapokusikiliza, ninabarikiwa na kufunuliwa ukweli mpya, Mungu akubariki sana pastor

  • @janehlwjn9982
    @janehlwjn9982 4 ปีที่แล้ว

    Asante kwa mahubiri yako nabarikiwa Sana nkiwa Saudi Arabia napenda Sana mafundisho yako pr ubariwe sana

  • @janetfrancis7180
    @janetfrancis7180 4 ปีที่แล้ว +1

    Amina tunabarikiwa na somo zuri

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph2202 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen.

  • @daviddotto327
    @daviddotto327 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awabariki sana waimbaji wa kwaya hii ya sauti ya jangwani kutoka shinyanga ushirika

    • @hondenisonmagufulinyabaro3923
      @hondenisonmagufulinyabaro3923 4 ปีที่แล้ว

      Mungu akuzaidie ulipo ufanyapo,,,,,Nimejua Choir hii imenitoa jozi kubwa !! Mungu wangu Nani atakuwa juu yangu!!!

  • @magdalenamassangwa-qs3ie
    @magdalenamassangwa-qs3ie 11 หลายเดือนก่อน

    Naomba no zako mtumishi

  • @EnaellaNiyongabire
    @EnaellaNiyongabire 5 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @hassanhussein6161
    @hassanhussein6161 ปีที่แล้ว

    amina sana

  • @kakajey6867
    @kakajey6867 4 ปีที่แล้ว +7

    Pongezi kwangu wa kwanza kukoment

  • @keziaranga6329
    @keziaranga6329 4 ปีที่แล้ว

    Paster ninabrikiwa sana na masomo yako umenifungua sana macho ya rohini

  • @lightnesslengine7499
    @lightnesslengine7499 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki pastor

  • @mathiasfrancis2614
    @mathiasfrancis2614 4 ปีที่แล้ว

    Amina barikiwa parsto

  • @anchepto8314
    @anchepto8314 4 ปีที่แล้ว

    Amina tunabarikiwa kwa neno

  • @felysytersonduso8064
    @felysytersonduso8064 4 ปีที่แล้ว +2

    Aminaaa wimbo mxuri

  • @lenahasantemchungajiauko8811
    @lenahasantemchungajiauko8811 4 ปีที่แล้ว

    Kwaya nzuri sana mmbarikiwe

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @samsonngweina5048
    @samsonngweina5048 3 ปีที่แล้ว

    😂😂😂 Amina pastor

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 4 ปีที่แล้ว

    Amen Mungu ni Roho👏👏

  • @MTUMISHI-254
    @MTUMISHI-254 4 ปีที่แล้ว

    Hakika mchungaji masomo yako yananibariki nakunibadilisha Sana nami natumia fursa hii kuwambia watu ile Nuru ninayopata kupitia masomo yako

  • @aurolanyatambe215
    @aurolanyatambe215 3 ปีที่แล้ว

    Vitabu vyako kwa Zanzibar napataje

  • @charleskaselya7744
    @charleskaselya7744 4 ปีที่แล้ว +1

    Habari mm sijaelewa hubiri la umiliki, nilikuwa nalisikiliza usiku baadaye nimeikuta inaniambia video hii ni private na naisearch haipo mmeifuta?

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 2 ปีที่แล้ว

    AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN

  • @barakachongera9705
    @barakachongera9705 3 ปีที่แล้ว

    Hakika nimejua vitu vya thamani Thana"

  • @dausonmdee4303
    @dausonmdee4303 4 ปีที่แล้ว

    somo halijaishaaaaaaa

  • @rehemaisaack1728
    @rehemaisaack1728 2 ปีที่แล้ว

    Hili somo sehemu ya pili yake inayofata naipata wapi nimetafuta humu nimekosa

  • @fredmselle2227
    @fredmselle2227 3 ปีที่แล้ว

    Naomba kujua km hicho kitabu kipo moshi

  • @akwiliniswai5203
    @akwiliniswai5203 4 ปีที่แล้ว

    Amina sana

    • @erastomarco8080
      @erastomarco8080 4 ปีที่แล้ว

      akwilini swai ubarikiwe sana mtmsh wa Mungu uwa nabarikiwa na mafundisho yako

    • @akwiliniswai5203
      @akwiliniswai5203 4 ปีที่แล้ว

      @@erastomarco8080 amina

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 4 ปีที่แล้ว

    AMEN🙏mchugaji mmbaga ninalo swali,sasa nimesikiza mahubiri yaki yakaniguza kweli,hivi ikiwa mimi nim Catholic,na sali kwa rosary,ama kwa kanisa kuna ile picha ya yesu kama amesulubuwa,je nivyema kuviinamia au kuzishududu wakati wakuomba au ni dhambi?.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 ปีที่แล้ว +2

      Kutoka 20:4,5 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,

    • @rosepeter8996
      @rosepeter8996 4 ปีที่แล้ว +1

      @@MahubiriPrMmbaga asante sana naona nimeanza kufunguka macho sasa.hili somo la mchungaji nalisikiza like kika siku.limenufunia akili sana.mungu na akubariki pastor 🙏🙏🙏

  • @suzanaagustinookelo4953
    @suzanaagustinookelo4953 3 ปีที่แล้ว

    Lakini picha ya mzungu

  • @waltermakori5855
    @waltermakori5855 4 ปีที่แล้ว

    How can i get the song very good song

    • @daviddotto327
      @daviddotto327 4 ปีที่แล้ว

      I have ana audio, can we communicate

    • @waltermakori5855
      @waltermakori5855 4 ปีที่แล้ว

      @@daviddotto327 yeah i need it but I don't know how to get it

    • @daviddotto327
      @daviddotto327 4 ปีที่แล้ว

      @@waltermakori5855 fall me in what's up

    • @waltermakori5855
      @waltermakori5855 4 ปีที่แล้ว

      @@daviddotto327 +254701506826 WhatsApp number

  • @patrickemmanuelemmanuel9354
    @patrickemmanuelemmanuel9354 4 ปีที่แล้ว

    ubarikiwe mtumishi wa mungu ninawezaje kupata kitabu chako cha namna ya kusikia sauti ya mungu mm niko sumbawanga namba zangu za simu ni 0757392906 lkn pia ninachangamoto yakufanya maamzi yakuongoka nanilisha muapia mungu kwamba sitarudi tena ktk imani yangu ya zamani yaani imani ya Rc lkn kumekuwa napambano ndani yangu nakati ya watu ambao mmechangia kufungua imani mpya ndani ya roho yangu niww pr mmbanga Lawrence odondi wa kenya mchungaji Emmanuel mwakalinga wa iringa nimewafuatilisana mafundisho yenu

  • @laithvayinga1122
    @laithvayinga1122 4 ปีที่แล้ว

    Mchungaji naomba nambaako ninashida ...nashukuru kwa masomo

  • @messagerkambale5830
    @messagerkambale5830 2 ปีที่แล้ว +1

    Nina hitaji hiinyimbo ime ni jenga,

  • @hondenisonmagufulinyabaro3923
    @hondenisonmagufulinyabaro3923 4 ปีที่แล้ว +1

    Hii kwaya gani 👆 please??
    Niambie Naomba tu

  • @elishashillah9776
    @elishashillah9776 4 ปีที่แล้ว +1

    Hili somo natamani Sana, Kulipata lote, Jamani, naomba nisaidiwe kulipita! Naomba Kama unaweza nitumia ktk Email ni
    elishashillah139@gmail.com au WhatsApp Number 0767522247
    Nisaidie sana

  • @erickmahindu9198
    @erickmahindu9198 4 ปีที่แล้ว

    Our father in heaven, means? He's a male

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 ปีที่แล้ว

      No! God is Spirit ( John 4:24),Spirit has no gender

  • @roselele341
    @roselele341 4 ปีที่แล้ว

    Uku sijayajua makanisa yp ila sijui yapo wapi

  • @aurolanyatambe215
    @aurolanyatambe215 3 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 4 ปีที่แล้ว

    Amen