Wow pr. Mbaga unanibariki sana, najitahidi kuyaishi mafundisho Yako, 1 ya faida niliyoipata, nilikuwa na vidonda vya tumbo kwisha, maumivu ya uti wa mgongo kwisha, kwa kufyeka tu mazingira ya kanisa na kuyasafisha Kila j. Pili. Barikiwa sana
Kwa mara ya kwanza nimepata live Hapa kutoka Australia. Nabarikiwa sana , Mungu aendelee kukuinua ktk viwango vya juu zaidi. Ubarikiwe na Bwana mtumishi
Ubarikiwe mchungaji. Nilikutana na mhadhiri ambaye hats sauti yangu alikuwa hataki kuisikia. Uifanya mawasilisho ya kazi ukisoma sentensi mbili anakuambia stop mpe mwingine .Marks zake Sasa Dio usiseme.Nashukuru kwa kufunuliwa hili.Mungu nipiganie
Nakushukuru pastor kwa mafundisho yako. Fundisho hili limenigusa sana linahusu maisha yangu na family yangu naomba uniombee nitoke kwenye roho za mizimu mungu akubariki sana
Najiskia kubarikiwa kupitia somo hili naaamini Mungu anaenda kufungua njia naam naenda kupata ajira serikalini kwa jina la Yesu kristo navunja maagano ya kichawi niliofanya na niliofanyiwa na wazazi wangu kwa waganga wa kienyeji roho ya kukataliwa naikataa katika jina LA yesu kuanzia sasa Mimi ni kiumbe kipya!
Nimebarikiwa sana kwa somo hili. Sifa na Utukufu ni kwa Mungu Baba Mwenyezi mwenye Upendo usio kifani kwani hutusamehe makosa yetu na kututakasa dhambi zetu kwa Damu Ya Yesu KRISTO BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU. AMINA.
Mungu alinde vyombo vyenu iki tuendeley kusikiriza Habari njema ,,mim niko burundi nanijifunza mengi kilakukicha kupitia mahubiri TV, ila natamani siku moja nikutane na pr David Mbaga. Happy sabbath
Nafurahia kuona kwamba kuna mtu wa nyumbani tunakutania hapa kwenye hii meza kupata maneno ya MUNGU hakika tuzidi kubarikiwa haya maneno akawe na nguvu katika maisha yetu hivyo ile siku itakapo fika tuwe miongoni mwa wale watakae mpokea YESU KRISTO kwa shangwe na furaha tele
Hili SoMo , pastor umeyagusa maisha yangu, Yani ile mtu unachukiwa ukiwa unasoma duhu, mpaka lecture Yuko radhi akuharibie wewe ambae ndo upo chuo mpaka wizarani hili usichomoze maishani, unaweza chukiwa na kila unae kutana nae , tuombee mungu atupe roho ya kibali kukataliwa imetosha, make Vita ni nzito imetutesa miaka pastor,
Niombe Pastor nimefika mwisho naitwa Elizabeth,umekua ukiniombea nashukuru.Mimi ni mkenya. Niombee neema ya Bwana inifunike na Yesu anionekani kwa rehema zake katika ndoa yangu,Watoto wangu na Mume wangu,yaani familia yangu,Atufungue,atuondolee mambo ya giza na kwenye mateka ya shetani. Asante
Pr huwa nakukubali sana shuhuda zako huwa zinanipa moto wa imani lakini changamoto yangu kubwa ni magonjwa kwangu na mume wangu na upandewa watoto wangu
kidogo pastor, unieleze kwanza hapa kwa haya maelezo: " melkizedek anasemwa kuwa hana wazazi kwa sababu ya ukuhani wake ktk israel na wakati yeye hana histori yoyote ktk ukoo wa walawi ambao ndio makuhani, ndo maana Yesu katajwa kuwa kuhani kama yeye sababu melkizedek alikuwa mtu kawaida aliefanya kazi ya ukuhani kama mlawi na nasaba yake haitajwi ktk orodha ya walawi " . Haya maelezo unayaonaje?
Wow pr. Mbaga unanibariki sana, najitahidi kuyaishi mafundisho Yako, 1 ya faida niliyoipata, nilikuwa na vidonda vya tumbo kwisha, maumivu ya uti wa mgongo kwisha, kwa kufyeka tu mazingira ya kanisa na kuyasafisha Kila j. Pili. Barikiwa sana
Kwa namna gani vidonda vya tumbo zilipona ndugu? . Nielimishe natamani kupata nafuu pia
Pastor ubarikiwe zaid Kwa ujumbe huu mzuri wenye kutia nguvu,, naimani kupitia neno hili nimewekwa huru. AMINA
Mtumishi wa Mungu Nimeenda kukufwatilia sana hivi hivi karibuni, nimejiona kabisa unasema na maisha yangu kabisa Mungu akuongezee upako.
Kwa mara ya kwanza nimepata live
Hapa kutoka Australia.
Nabarikiwa sana , Mungu aendelee kukuinua ktk viwango vya juu zaidi.
Ubarikiwe na Bwana mtumishi
Amen amen nimebarikiwa sana mtumish mungu aendelee kukupa nguvu 🙏🙏🙏
Ubarikiwe mchungaji.
Nilikutana na mhadhiri ambaye hats sauti yangu alikuwa hataki kuisikia.
Uifanya mawasilisho ya kazi ukisoma sentensi mbili anakuambia stop mpe mwingine .Marks zake Sasa Dio usiseme.Nashukuru kwa kufunuliwa hili.Mungu nipiganie
Nakushukuru pastor kwa mafundisho yako. Fundisho hili limenigusa sana linahusu maisha yangu na family yangu naomba uniombee nitoke kwenye roho za mizimu mungu akubariki sana
Kwa kweli umenifundisha mambo mengi Hadi imebadili maisha yangu Barikiwa na bwana
Hili nalo ni la kwangu , for sure God is working through you Mchungaji. I have really struggled to finish my education but still in vain ,
Amina amina Mungu azidi kukutia nguvu Mtumishi wa Mungu na barikiwa sana nkiwa Lebanon
Imani katika Yesu Kristu
Mungu akubariki sana pastor umekuwa mbaraka sana kwa watu wengi
Pastor Mimi huwanikiomba naongea dimi nsaidia
Najiskia kubarikiwa kupitia somo hili naaamini Mungu anaenda kufungua njia naam naenda kupata ajira serikalini kwa jina la Yesu kristo navunja maagano ya kichawi niliofanya na niliofanyiwa na wazazi wangu kwa waganga wa kienyeji roho ya kukataliwa naikataa katika jina LA yesu kuanzia sasa Mimi ni kiumbe kipya!
Hili somo ni la kwangu kabxa.Barikiwa sana pastor wangu.
Nimebarikiwa sana kwa somo hili. Sifa na Utukufu ni kwa Mungu Baba Mwenyezi mwenye Upendo usio kifani kwani hutusamehe makosa yetu na kututakasa dhambi zetu kwa Damu Ya Yesu KRISTO BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU. AMINA.
Asante kaka pasta Mungu awe pamoja nawe,
Toa sadaka Sasa dadaa tuma hata M pesa
@@joshuaolomi3762 kwani somo likikubariki nilazima utoe sadaka
Ameen Ameen
Mungu alinde vyombo vyenu iki tuendeley kusikiriza Habari njema ,,mim niko burundi nanijifunza mengi kilakukicha kupitia mahubiri TV, ila natamani siku moja nikutane na pr David Mbaga.
Happy sabbath
Nafurahia kuona kwamba kuna mtu wa nyumbani tunakutania hapa kwenye hii meza kupata maneno ya MUNGU hakika tuzidi kubarikiwa haya maneno akawe na nguvu katika maisha yetu hivyo ile siku itakapo fika tuwe miongoni mwa wale watakae mpokea YESU KRISTO kwa shangwe na furaha tele
Ninaisubiri kwa hamu🙏🙏🙏🙏
Hili SoMo , pastor umeyagusa maisha yangu, Yani ile mtu unachukiwa ukiwa unasoma duhu, mpaka lecture Yuko radhi akuharibie wewe ambae ndo upo chuo mpaka wizarani hili usichomoze maishani, unaweza chukiwa na kila unae kutana nae , tuombee mungu atupe roho ya kibali kukataliwa imetosha, make Vita ni nzito imetutesa miaka pastor,
Nikumbuke kwamaombi pia pastor 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amen! God is great ❤❤❤❤❤❤❤
This is powerful! Following from Nairobi.
Ubarikiwe pasta nakupenda sana Mungu akuzidishe mara Elfu Elfu
Niombe Pastor nimefika mwisho naitwa Elizabeth,umekua ukiniombea nashukuru.Mimi ni mkenya.
Niombee neema ya Bwana inifunike na Yesu anionekani kwa rehema zake katika ndoa yangu,Watoto wangu na Mume wangu,yaani familia yangu,Atufungue,atuondolee mambo ya giza na kwenye mateka ya shetani.
Asante
Amina sana mtumishi🎉
Amennn❤❤❤
Amen
Preacher naomba utusaidie kujua nguvu ya msalaba maana 2na struggling katk kujua nguvu ya mungu barikiwa sanaa
Hii story yko inani furahiaanga sana mungu akubariki
Asante Yesu Amen Amen Amen 🙌🤲
Mambo mazito Sana.
Asante Kwa hili neno
Pr huwa nakukubali sana shuhuda zako huwa zinanipa moto wa imani lakini changamoto yangu kubwa ni magonjwa kwangu na mume wangu na upandewa watoto wangu
Ahsante kwa mafundisho mazuri na ufafanuzi wa maandiko.
MUNGU akubariki sana mtumishi.
AMEN
Asante mtumishi wa mungu akubariki na akulinde mafundisho yako safi
Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏
Mungu akubariki sana
To God be the glory
mungu habarikiwe😂 hakubariki nawewe pia hanibariki namimi kwanzia leo Mimi nimushindi wazambi kwanzia sasa Hadi mirere
Unanibariki sana mtumishi wa Mungu, Mungu akuzidishe
Hata Mimi natamani Mungu wako awe Mungu wangu
Mungo na habariki mtumishi wake,hii ibada ni Zuri hallelujah kwa masihi aliyemtuma
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako wewe ni Mwalimu,Mungu akubariki
Amen ubarikiwe sana PR
thank you lord
Blessings pastor
Hero Wangu ni Jeremiah,the man who was not Afraid.
niko kazini lakini nafuatilia mafundishisho yako nabarikiwa sana mungu atubariki sote
Asante kwa mafundisho ya kujenga batu kimbiliya
Amen 🙏
Nashuhudia kuwa Mungu anaendelea taratibu kuingilia mambo yangu
Mungu akubariki
Grorry to God
Ubarikiwe saana pastor
Nimebarikiwa na somo hili BWANA Akubariki sana.
Shalom mchungaji huko ni mbali sasa tutapata je hiyo kitabu mchungaji?
Amina
Amina sana..nimebarikiwa na mahubiri
Amina pastor
Nimebarikiwa sana nimepata kitu hapa
Umenisaidia sana mchungaji
Nimebakiwa na mafundisho Yako sana.
MUNGU akubariki sana
Mungu tu aku bariki pasta
Ameen
Nikumbuke pst kwa maombi biashara yngu iko jini
Nime furai san kweli 🎉😂😂😂❤
😂😂
Pastor, kwahiyo mpaka wanafunzi wake wote walikimbia 😅
Yohana
Samweli
Namtafuta huyu mchungaji, anapatikana wapi
Ubarikiwe +255 755 932 283
Naitwa imani nko geita umenibarik saana karbu geita kwenye makambi ya mwezi 7 Bomba mbir geita natamani kukuona laiv
Pasta mbaga mmMungu akubariki
Naomba.mchungaj.uniombee.vita.nikubw.ninamiaka.kama.nane.sijaenda.nnyumbani.niko.inje.yainchi.siamin.katika.uchawi
Shunjaa ni Lazarus
MUNGU AKUBARIKI BABA UMEGUSA MAISHA YANGU
kidogo pastor, unieleze kwanza hapa kwa haya maelezo: " melkizedek anasemwa kuwa hana wazazi kwa sababu ya ukuhani wake ktk israel na wakati yeye hana histori yoyote ktk ukoo wa walawi ambao ndio makuhani, ndo maana Yesu katajwa kuwa kuhani kama yeye sababu melkizedek alikuwa mtu kawaida aliefanya kazi ya ukuhani kama mlawi na nasaba yake haitajwi ktk orodha ya walawi " . Haya maelezo unayaonaje?
Nuhu
Kwanini mataifa inakamatiya kuile kuponya sikuya Sabato kuwa kutosha sheriya ?
SASA NAULIZA MCHUNGAJI ATA KAMA TUKO MAKANISA YA SANAMU?
.
Mfalme wa salemu bado sija mjua vizuli jamani heb nisaidieni
Amen
Amina
Amen
Amen
Amen