MUNGU ATAINGILIA KATI MAMBO YAKO? | PR.DAVID MMBAGA -

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 95

  • @stivininjingo504
    @stivininjingo504 2 หลายเดือนก่อน +15

    Wow pr. Mbaga unanibariki sana, najitahidi kuyaishi mafundisho Yako, 1 ya faida niliyoipata, nilikuwa na vidonda vya tumbo kwisha, maumivu ya uti wa mgongo kwisha, kwa kufyeka tu mazingira ya kanisa na kuyasafisha Kila j. Pili. Barikiwa sana

    • @barnnettarus1672
      @barnnettarus1672 22 วันที่ผ่านมา

      Kwa namna gani vidonda vya tumbo zilipona ndugu? . Nielimishe natamani kupata nafuu pia

  • @sintasamwel9473
    @sintasamwel9473 7 วันที่ผ่านมา +1

    Pastor ubarikiwe zaid Kwa ujumbe huu mzuri wenye kutia nguvu,, naimani kupitia neno hili nimewekwa huru. AMINA

  • @rosemutesi6626
    @rosemutesi6626 5 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi wa Mungu Nimeenda kukufwatilia sana hivi hivi karibuni, nimejiona kabisa unasema na maisha yangu kabisa Mungu akuongezee upako.

  • @rayman111
    @rayman111 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kwa mara ya kwanza nimepata live
    Hapa kutoka Australia.
    Nabarikiwa sana , Mungu aendelee kukuinua ktk viwango vya juu zaidi.
    Ubarikiwe na Bwana mtumishi

  • @PresciousGold
    @PresciousGold 2 หลายเดือนก่อน +4

    Amen amen nimebarikiwa sana mtumish mungu aendelee kukupa nguvu 🙏🙏🙏

  • @user-tr6vq5ld5o
    @user-tr6vq5ld5o 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ubarikiwe mchungaji.
    Nilikutana na mhadhiri ambaye hats sauti yangu alikuwa hataki kuisikia.
    Uifanya mawasilisho ya kazi ukisoma sentensi mbili anakuambia stop mpe mwingine .Marks zake Sasa Dio usiseme.Nashukuru kwa kufunuliwa hili.Mungu nipiganie

  • @mariamaswani832
    @mariamaswani832 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nakushukuru pastor kwa mafundisho yako. Fundisho hili limenigusa sana linahusu maisha yangu na family yangu naomba uniombee nitoke kwenye roho za mizimu mungu akubariki sana

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa kweli umenifundisha mambo mengi Hadi imebadili maisha yangu Barikiwa na bwana

  • @amosmonary
    @amosmonary 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hili nalo ni la kwangu , for sure God is working through you Mchungaji. I have really struggled to finish my education but still in vain ,

  • @elienew3788
    @elienew3788 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amina amina Mungu azidi kukutia nguvu Mtumishi wa Mungu na barikiwa sana nkiwa Lebanon

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli 2 หลายเดือนก่อน +3

    Imani katika Yesu Kristu

  • @user-dv2ky6ve7u
    @user-dv2ky6ve7u 4 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki sana pastor umekuwa mbaraka sana kwa watu wengi

  • @MaryWanjiku-tr8ji
    @MaryWanjiku-tr8ji 2 หลายเดือนก่อน +7

    Pastor Mimi huwanikiomba naongea dimi nsaidia

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 3 วันที่ผ่านมา

    Najiskia kubarikiwa kupitia somo hili naaamini Mungu anaenda kufungua njia naam naenda kupata ajira serikalini kwa jina la Yesu kristo navunja maagano ya kichawi niliofanya na niliofanyiwa na wazazi wangu kwa waganga wa kienyeji roho ya kukataliwa naikataa katika jina LA yesu kuanzia sasa Mimi ni kiumbe kipya!

  • @user-hc4jv8uz5b
    @user-hc4jv8uz5b 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hili somo ni la kwangu kabxa.Barikiwa sana pastor wangu.

  • @maureenmgeni
    @maureenmgeni 2 หลายเดือนก่อน +21

    Nimebarikiwa sana kwa somo hili. Sifa na Utukufu ni kwa Mungu Baba Mwenyezi mwenye Upendo usio kifani kwani hutusamehe makosa yetu na kututakasa dhambi zetu kwa Damu Ya Yesu KRISTO BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU. AMINA.

    • @SamuelMwambene
      @SamuelMwambene 2 หลายเดือนก่อน +2

      Asante kaka pasta Mungu awe pamoja nawe,

    • @joshuaolomi3762
      @joshuaolomi3762 หลายเดือนก่อน

      Toa sadaka Sasa dadaa tuma hata M pesa

    • @FiniasEliya-my2zd
      @FiniasEliya-my2zd 9 วันที่ผ่านมา

      @@joshuaolomi3762 kwani somo likikubariki nilazima utoe sadaka

  • @lennyfrank
    @lennyfrank 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ameen Ameen

  • @AchelKwizera
    @AchelKwizera 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu alinde vyombo vyenu iki tuendeley kusikiriza Habari njema ,,mim niko burundi nanijifunza mengi kilakukicha kupitia mahubiri TV, ila natamani siku moja nikutane na pr David Mbaga.
    Happy sabbath

    • @user-gx6nk6wg4j
      @user-gx6nk6wg4j 2 หลายเดือนก่อน

      Nafurahia kuona kwamba kuna mtu wa nyumbani tunakutania hapa kwenye hii meza kupata maneno ya MUNGU hakika tuzidi kubarikiwa haya maneno akawe na nguvu katika maisha yetu hivyo ile siku itakapo fika tuwe miongoni mwa wale watakae mpokea YESU KRISTO kwa shangwe na furaha tele

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 2 หลายเดือนก่อน +5

    Ninaisubiri kwa hamu🙏🙏🙏🙏

  • @williamjumbe1988
    @williamjumbe1988 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hili SoMo , pastor umeyagusa maisha yangu, Yani ile mtu unachukiwa ukiwa unasoma duhu, mpaka lecture Yuko radhi akuharibie wewe ambae ndo upo chuo mpaka wizarani hili usichomoze maishani, unaweza chukiwa na kila unae kutana nae , tuombee mungu atupe roho ya kibali kukataliwa imetosha, make Vita ni nzito imetutesa miaka pastor,

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nikumbuke kwamaombi pia pastor 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amen! God is great ❤❤❤❤❤❤❤

  • @phanemochache352
    @phanemochache352 2 หลายเดือนก่อน +2

    This is powerful! Following from Nairobi.

  • @williambega7810
    @williambega7810 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe pasta nakupenda sana Mungu akuzidishe mara Elfu Elfu

  • @elizabethasha1677
    @elizabethasha1677 2 หลายเดือนก่อน +8

    Niombe Pastor nimefika mwisho naitwa Elizabeth,umekua ukiniombea nashukuru.Mimi ni mkenya.
    Niombee neema ya Bwana inifunike na Yesu anionekani kwa rehema zake katika ndoa yangu,Watoto wangu na Mume wangu,yaani familia yangu,Atufungue,atuondolee mambo ya giza na kwenye mateka ya shetani.
    Asante

  • @FrenkNgurukah-vi2mc
    @FrenkNgurukah-vi2mc 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amina sana mtumishi🎉

  • @Ungwamissi
    @Ungwamissi 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amennn❤❤❤

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amen

  • @user-sr3rn1ty9g
    @user-sr3rn1ty9g 2 หลายเดือนก่อน +3

    Preacher naomba utusaidie kujua nguvu ya msalaba maana 2na struggling katk kujua nguvu ya mungu barikiwa sanaa

  • @jeikary8767
    @jeikary8767 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hii story yko inani furahiaanga sana mungu akubariki

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe8676 2 หลายเดือนก่อน +2

    Asante Yesu Amen Amen Amen 🙌🤲

  • @Blop95
    @Blop95 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mambo mazito Sana.
    Asante Kwa hili neno

  • @ambonisefesto1416
    @ambonisefesto1416 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pr huwa nakukubali sana shuhuda zako huwa zinanipa moto wa imani lakini changamoto yangu kubwa ni magonjwa kwangu na mume wangu na upandewa watoto wangu

  • @zilperatieno5722
    @zilperatieno5722 5 วันที่ผ่านมา

    Ahsante kwa mafundisho mazuri na ufafanuzi wa maandiko.

  • @mussacharles5311
    @mussacharles5311 26 วันที่ผ่านมา

    MUNGU akubariki sana mtumishi.

  • @Trizah-254-e
    @Trizah-254-e 2 หลายเดือนก่อน +2

    AMEN

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg หลายเดือนก่อน

    Asante mtumishi wa mungu akubariki na akulinde mafundisho yako safi

  • @elizabethmatiko9794
    @elizabethmatiko9794 2 หลายเดือนก่อน

    Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki sana

  • @BensonMurithi-vr7ii
    @BensonMurithi-vr7ii หลายเดือนก่อน

    To God be the glory

  • @MarimaAlez-kc5rj
    @MarimaAlez-kc5rj 2 หลายเดือนก่อน +2

    mungu habarikiwe😂 hakubariki nawewe pia hanibariki namimi kwanzia leo Mimi nimushindi wazambi kwanzia sasa Hadi mirere

  • @ZaharaKamota
    @ZaharaKamota 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unanibariki sana mtumishi wa Mungu, Mungu akuzidishe

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 3 วันที่ผ่านมา

    Hata Mimi natamani Mungu wako awe Mungu wangu

  • @MarthaTosh
    @MarthaTosh 2 หลายเดือนก่อน

    Mungo na habariki mtumishi wake,hii ibada ni Zuri hallelujah kwa masihi aliyemtuma

  • @jasuminsele7538
    @jasuminsele7538 หลายเดือนก่อน

    Nabarikiwa Sana na mafundisho yako wewe ni Mwalimu,Mungu akubariki

  • @mlishohadija6923
    @mlishohadija6923 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amen ubarikiwe sana PR

  • @ElibarickAllex
    @ElibarickAllex หลายเดือนก่อน

    thank you lord

  • @purity134
    @purity134 2 หลายเดือนก่อน +1

    Blessings pastor

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hero Wangu ni Jeremiah,the man who was not Afraid.

  • @mahenzosamuelmahenzo7353
    @mahenzosamuelmahenzo7353 2 หลายเดือนก่อน +2

    niko kazini lakini nafuatilia mafundishisho yako nabarikiwa sana mungu atubariki sote

  • @GastonMunyembabazi-tx1oh
    @GastonMunyembabazi-tx1oh 23 วันที่ผ่านมา

    Asante kwa mafundisho ya kujenga batu kimbiliya

  • @centrinenafula5147
    @centrinenafula5147 14 วันที่ผ่านมา

    Amen 🙏

  • @feadamagessa889
    @feadamagessa889 หลายเดือนก่อน

    Nashuhudia kuwa Mungu anaendelea taratibu kuingilia mambo yangu

  • @user-sj3xu6he5k
    @user-sj3xu6he5k หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki

  • @estershedrack530
    @estershedrack530 2 หลายเดือนก่อน

    Grorry to God
    Ubarikiwe saana pastor

  • @esthernkwabi1675
    @esthernkwabi1675 2 หลายเดือนก่อน

    Nimebarikiwa na somo hili BWANA Akubariki sana.

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 2 หลายเดือนก่อน +2

    Shalom mchungaji huko ni mbali sasa tutapata je hiyo kitabu mchungaji?

  • @user-qv4oo6di1d
    @user-qv4oo6di1d 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amina

  • @sthazelallan8392
    @sthazelallan8392 2 หลายเดือนก่อน

    Amina sana..nimebarikiwa na mahubiri

  • @zabronemmanuel-eo1om
    @zabronemmanuel-eo1om 2 หลายเดือนก่อน

    Amina pastor

  • @DeborahChristopher-th6nl
    @DeborahChristopher-th6nl หลายเดือนก่อน

    Nimebarikiwa sana nimepata kitu hapa

  • @jescaissay2871
    @jescaissay2871 หลายเดือนก่อน

    Umenisaidia sana mchungaji

  • @YoshuaJoseph
    @YoshuaJoseph 18 วันที่ผ่านมา

    Nimebakiwa na mafundisho Yako sana.

  • @JaluoOdera
    @JaluoOdera หลายเดือนก่อน

    MUNGU akubariki sana

  • @BlaisetajiriTajiri-kg6ji
    @BlaisetajiriTajiri-kg6ji 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu tu aku bariki pasta

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 หลายเดือนก่อน

    Ameen

  • @ElijahMosong
    @ElijahMosong 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nikumbuke pst kwa maombi biashara yngu iko jini

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nime furai san kweli 🎉😂😂😂❤

    • @JumanneWila
      @JumanneWila 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @calvinjoseph
    @calvinjoseph 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pastor, kwahiyo mpaka wanafunzi wake wote walikimbia 😅

  • @magrethsindabaha1851
    @magrethsindabaha1851 หลายเดือนก่อน

    Yohana

  • @KwihaAthanas
    @KwihaAthanas หลายเดือนก่อน

    Samweli

  • @ruthsimon5846
    @ruthsimon5846 2 หลายเดือนก่อน +3

    Namtafuta huyu mchungaji, anapatikana wapi

  • @user-zt9fp8cp5s
    @user-zt9fp8cp5s 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naitwa imani nko geita umenibarik saana karbu geita kwenye makambi ya mwezi 7 Bomba mbir geita natamani kukuona laiv

  • @michealkasyama5065
    @michealkasyama5065 12 วันที่ผ่านมา

    Pasta mbaga mmMungu akubariki

  • @user-jq4zh1tm3g
    @user-jq4zh1tm3g 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba.mchungaj.uniombee.vita.nikubw.ninamiaka.kama.nane.sijaenda.nnyumbani.niko.inje.yainchi.siamin.katika.uchawi

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 2 หลายเดือนก่อน +1

    Shunjaa ni Lazarus

  • @SuzanShayo
    @SuzanShayo 11 วันที่ผ่านมา

    MUNGU AKUBARIKI BABA UMEGUSA MAISHA YANGU

  • @danielkkyuma1836
    @danielkkyuma1836 7 วันที่ผ่านมา

    kidogo pastor, unieleze kwanza hapa kwa haya maelezo: " melkizedek anasemwa kuwa hana wazazi kwa sababu ya ukuhani wake ktk israel na wakati yeye hana histori yoyote ktk ukoo wa walawi ambao ndio makuhani, ndo maana Yesu katajwa kuwa kuhani kama yeye sababu melkizedek alikuwa mtu kawaida aliefanya kazi ya ukuhani kama mlawi na nasaba yake haitajwi ktk orodha ya walawi " . Haya maelezo unayaonaje?

  • @user-pg5kf2ec2i
    @user-pg5kf2ec2i หลายเดือนก่อน

    Nuhu

  • @GastonMunyembabazi-tx1oh
    @GastonMunyembabazi-tx1oh 23 วันที่ผ่านมา

    Kwanini mataifa inakamatiya kuile kuponya sikuya Sabato kuwa kutosha sheriya ?

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 หลายเดือนก่อน

    SASA NAULIZA MCHUNGAJI ATA KAMA TUKO MAKANISA YA SANAMU?

  • @Godwin-v6p
    @Godwin-v6p 19 วันที่ผ่านมา

    .

  • @kiungulias
    @kiungulias 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mfalme wa salemu bado sija mjua vizuli jamani heb nisaidieni

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 27 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @estergasaya6935
    @estergasaya6935 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo3052 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia4807 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amen

  • @Calton898
    @Calton898 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amen